Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wazanzibari wasema Muungano umewadhoofisha na kuwatia ufukara, ni bora maisha ya nyuma kuliko ya leo

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 37
    1. #1
      Kakke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th December 2010
      Posts : 712
      Rep Power : 571
      Likes Received
      137
      Likes Given
      0

      Default Wazanzibari wasema Muungano umewadhoofisha na kuwatia ufukara, ni bora maisha ya nyuma kuliko ya leo

      CHAKUJIULIZA WANA WA ZANZIBAR JEE BAADA YA KULIVAA HILI JINDAMIZI LA MUUNGANO ZANZIBAR IMEPIGA HATUA MBELE AU HATUA NYUMA?

      Kuna ushahidi wa kutosha unaoonesha kuwa Zanzibar kabla ya kuungana na Tanganyika ilikuwa mstari wa mbele kimaendeleo, si tu ukilinganisha na Tanganyika ya wakati huo, bali katika mwambao mzima wa Afrika Mashariki. Ilimiliki Currency yake mwenyewe, T.V ya rangi, viwanda vya Sukari, Reli, Viwanda vya mafuta na manukato, nyumba za kisasa kwa wananchi wake, barabara na mataa warawara, maji safi, umeme wa uhakika, n.k . Baadae mambo haya yote yakakongeshwa na kuharibiwa na jini la mdimu (Muungano).

      Sasa swali linakuja hii imetokea Accidentally kuwa Zanzibar kila siku zinavyokwenda kwa kuwa kwake katika Muungano huu ndio inavyozidi kuporomoka kiuchumi, kiutamaduni na pia kimaadili, au mambo haya yalipagwa na kukadiriwa na vigogo wa Muungano? Kwa mtazamo wangu binafsi hili jinamizi la Muungano linapswa kupungwa na kutoka vichwani mwetu, mimi sipendi hata kidogo kuona kizazi kinachokuja kinasikia harufu la hili baa la Muungano.

      Kwa kweli kama jungu limepikwa na J.K Nyerere akisaidiwa na top Church members basi wajuwe kuwa muda umefika dude hili hatulitaki, na shari za dude hili ziwarudie hao waliolipika na walipakuwe na wale wenyewe.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Nyakageni's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,248
      Rep Power : 0
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default re: Wazanzibari wasema Muungano umewadhoofisha na kuwatia ufukara, ni bora maisha ya nyuma kuliko ya leo

      utamaduni wa mzanzibar ni upi? Naamini uislamu si wao

    4. #3
      JokaKuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2006
      Posts : 6,826
      Rep Power : 2968
      Likes Received
      2433
      Likes Given
      3511

      Default re: Wazanzibari wasema Muungano umewadhoofisha na kuwatia ufukara, ni bora maisha ya nyuma kuliko ya leo

      Kakke,

      ..uchumi wa Znz umeporomoka baada ya kupungua kwa uzalishaji wa zao la karafuu.

      ..pia population yenu imeongezeka, bila kuongezeka kwa uzalishaji na mapato ya serikali yenu.

      NB:

      ..hata huku Tanganyika kuna wanaodai miaka ya 60 na 70 kulikuwa na hali nzuri ya maisha kuliko sasa hivi. je na sisi tuna haki ya kulaumu muungano??
      mzeelapa and Hacha like this.

    5. #4
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default

      Quote By JokaKuu
      Kakke,

      ..uchumi wa Znz umeporomoka baada ya kupungua kwa uzalishaji wa zao la karafuu.

      ..pia population yenu imeongezeka, bila kuongezeka kwa uzalishaji na mapato ya serikali yenu.

      NB:

      ..hata huku Tanganyika kuna wanaodai miaka ya 60 na 70 kulikuwa na hali nzuri ya maisha kuliko sasa hivi. je na sisi tuna haki ya kulaumu muungano??
      Hawa jamaa wengi ni wapiga domo na sio wachakarikaji. Wanaamini hata yasiyoaminika. Kuna mjanja anataka kuwafix baada ya kuvunja muungano. Watchout you will see...
      mzeelapa likes this.

    6. #5
      PakavuNateleza's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 9th September 2009
      Posts : 176
      Rep Power : 529
      Likes Received
      40
      Likes Given
      9

      Default re: Wazanzibari wasema Muungano umewadhoofisha na kuwatia ufukara, ni bora maisha ya nyuma kuliko ya leo

      wanzanzibari wanadai muungano ndio ulioleta popobawa kwa hiyo hawautaki.ha ha haaa!

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      nngu007's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd August 2010
      Posts : 11,221
      Rep Power : 3559
      Likes Received
      3060
      Likes Given
      462

      Default re: Wazanzibari wasema Muungano umewadhoofisha na kuwatia ufukara, ni bora maisha ya nyuma kuliko ya leo

      Yeah, Juzi tu wamesamehewa Umeme wa sh. 50billion sasa kama ingekuwa ni Umeme wa kununua wangefika kweli?

      Wajaribu kuwauliza Jirani zao big mouth Kenyan's baharini hakuna Gas, Petroli waliyoipata sio commercial ina maana

      sio nyingi kuweza kuuza nje ya nchi ni kama wakati tulivyo pata ya SongoSongo haikuwa Commercial

    9. #7
      abu alfauzaan's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th May 2012
      Posts : 61
      Rep Power : 365
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default re: Wazanzibari wasema Muungano umewadhoofisha na kuwatia ufukara, ni bora maisha ya nyuma kuliko ya leo

      Nyakageni,
      utamudini wa wazanzibar ndo uwo uwo unaojulikanwa na weng duniani uliotafautiana kwa asilimia kubwa na utamaduni wa watanganyika,

    10. #8
      Nyakageni's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,248
      Rep Power : 0
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By PakavuNateleza
      wanzanzibari wanadai muungano ndio ulioleta popobawa kwa hiyo hawautaki.ha ha haaa!
      shule yao ndogo

    11. #9
      Nyakageni's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,248
      Rep Power : 0
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By abu alfauzaan
      Nyakageni,
      utamudini wa wazanzibar ndo uwo uwo unaojulikanwa na weng duniani uliotafautiana kwa asilimia kubwa na utamaduni wa watanganyika,
      huo si wa asili. Napenda unijulishe kabla ya ukoloni. Ukristo na uislamu ni mazao ya ukoloni

    12. #10
      Nyakageni's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,248
      Rep Power : 0
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By abu alfauzaan
      Nyakageni,
      utamudini wa wazanzibar ndo uwo uwo unaojulikanwa na weng duniani uliotafautiana kwa asilimia kubwa na utamaduni wa watanganyika,
      colonial mentality hiyo mkuu

    13. #11
      Mch Kasimbazi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th January 2012
      Posts : 15
      Rep Power : 374
      Likes Received
      24
      Likes Given
      1

      Default re: Wazanzibari wasema Muungano umewadhoofisha na kuwatia ufukara, ni bora maisha ya nyuma kuliko ya leo

      Mimi nafikiri kuwang'gang'ania wazanzibari kwa nguvu si suluhisho la kudumu la amani. Kila mara watafikiri kuna maslahi ya siri bara inayopata zaidi ya faida za umoja na mshikamano. Hivyo wapewe uhuru wa kuamua wanachoona ni bora. Hii ndiyo demokrasia ya kweli.
      mzeelapa and lum like this.

    14. #12
      kajima's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th December 2009
      Location : Mtwara, Tanzania
      Posts : 161
      Rep Power : 513
      Likes Received
      40
      Likes Given
      130

      Default re: Wazanzibari wasema Muungano umewadhoofisha na kuwatia ufukara, ni bora maisha ya nyuma kuliko ya leo

      Suluhisho ni serikali tatu halafu tutajua ukweli

    15. #13
      Nyakageni's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,248
      Rep Power : 0
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default re: Wazanzibari wasema Muungano umewadhoofisha na kuwatia ufukara, ni bora maisha ya nyuma kuliko ya leo

      nimefuatilia muziki wa vikundi vya kizenj nao wanaimba ujinga na matusi. Hata taarab ilikUwa hivyo kabla ya kuwa modernized

    16. #14
      Bangoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2011
      Posts : 2,270
      Rep Power : 835
      Likes Received
      370
      Likes Given
      0

      Default re: Wazanzibari wasema Muungano umewadhoofisha na kuwatia ufukara, ni bora maisha ya nyuma kuliko ya leo

      Hivi nyie wa znz mna akili za tope! Naombeni muendelee kusubiri siku tutakapopata Rais kichaa awape masaa 48 muwe mmeondoka bara wote ndiyo mtajua kwa kwenda kukaa. Acheni upuuzi wenu huo
      mzeelapa likes this.

    17. FJM
      #15
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,174
      Rep Power : 2568
      Likes Received
      5322
      Likes Given
      4587

      Default re: Wazanzibari wasema Muungano umewadhoofisha na kuwatia ufukara, ni bora maisha ya nyuma kuliko ya leo

      Quote By Kakke
      Kuna ushahidi wa kutosha unaoonesha kuwa Zanzibar kabla ya kuungana na Tanganyika ilikuwa mstari wa mbele kimaendeleo, si tu ukilinganisha na Tanganyika ya wakati huo, bali katika mwambao mzima wa Afrika Mashariki.

      Ilimiliki Currency yake mwenyewe, T.V ya rangi, viwanda vya Sukari, Reli, Viwanda vya mafuta na manukato, nyumba za kisasa kwa wananchi wake, barabara na mataa warawara, maji safi, umeme wa uhakika, n.k . Baadae mambo haya yote yakakongeshwa na kuharibiwa na jini la mdimu (Muungano).
      Hapo kwenye red bado sijaelewa. Ina maana kuna mtu alitoka Tanganyika (physically) akaenda Zanzibar kubadilisha TV ya rangi ikawa black & white, au akangoa mitambo kwenye viwanda, au akavunya nyumba za kisasa walizokuwa wanakaa wananchi or what?

      Na kuhusu taa za barabarani, haziwaki au shida ni nini? Mwezi ulipita Zanzibar wamefutiwa deni la Tshs 50 bilion na TANESCO mnataka nini tena?

      Kuna jambo moja ambalo mara nyingi watu wanaruka kusema. Mikopo inayotelewa Tanzania, Zanzibar wanapata 4.5% lakini kwenye kulipa madeni Zanzibar hailipi!

      Ni vizuri huu muungano ujadiliwe, kama ni kuvunja tuvunje, na kama ni kuusuka upya tuwe pasu pasu kwenye mambo ya muungano. Kila jambo la muuungano gharama zitoke pande mbili sawa kwa sawa. Kwa mfano, bajeti za wizara za muungano i.e mambo ya ndani, au ulinzi kila upande uchangie 50%.

    18. #16
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default re: Wazanzibari wasema Muungano umewadhoofisha na kuwatia ufukara, ni bora maisha ya nyuma kuliko ya leo

      Quote By Nyakageni
      utamaduni wa mzanzibar ni upi? Naamini uislamu si wao
      Utamaduni wa kila Muislaam ni Uislaam.

    19. #17
      abu alfauzaan's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th May 2012
      Posts : 61
      Rep Power : 365
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default re: Wazanzibari wasema Muungano umewadhoofisha na kuwatia ufukara, ni bora maisha ya nyuma kuliko ya leo

      Nyakageni
      utamaduni wa waznzbar ni mchanganyiko,africans+asian+po rtugues+europe+uislam=ndio utamaduni wa wazanzbr ambao umewafanya watafautiane na watanganyika.
      wakoloni jst wamekuja kuongezea 2,at wamewakuta wazanzibar na mila zao na ustarabu wao,
      tena ufahamu kua jamii ya mwanzo kustaarabika afrika masharik na kati including tanganyika ni jamii hii ya kizanzibar
      JokaKuu likes this.

    20. #18
      JokaKuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2006
      Posts : 6,826
      Rep Power : 2968
      Likes Received
      2433
      Likes Given
      3511

      Default re: Wazanzibari wasema Muungano umewadhoofisha na kuwatia ufukara, ni bora maisha ya nyuma kuliko ya leo

      Quote By abu alfauzaan
      Nyakageni

      utamaduni wa waznzbar ni mchanganyiko,africans+asian+portugues+europe+uislam =ndio utamaduni wa wazanzbr ambao umewafanya watafautiane na watanganyika.
      wakoloni jst wamekuja kuongezea 2,at wamewakuta wazanzibar na mila zao na ustarabu wao,
      tena ufahamu kua jamii ya mwanzo kustaarabika afrika masharik na kati including tanganyika ni jamii hii ya kizanzibar
      abu,

      ..katika hao Uafrika basi wa-Tanganyika tumo.

      ..damu ya Kiafrika/Kitanganyika iko very dominant miongoni mwa wa-Zanzibari.

      ..ukiangalia mikutano ya uamsho wananchi wengi wanafanana na Watanganyika zaidi kuliko Waarabu,Wahindi, au Waportugizi.

    21. #19
      abu alfauzaan's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th May 2012
      Posts : 61
      Rep Power : 365
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default re: Wazanzibari wasema Muungano umewadhoofisha na kuwatia ufukara, ni bora maisha ya nyuma kuliko ya leo

      joka kuu,
      wanafanana na watanganyika,wakenya,wauganda, wakongo,afrika magharibi,wasomali,wamalawi,wa sudani,ethiopia,ruanda,na wabantu wote,lakini wao si watanganyika,wao ni wazanzibar ilo ulifaham,na ndio maana wakatofautiana na watanganyika kiutamaduni kwa sababu wao ni wazanzibar,upo apo!?

    22. #20
      ma2mbo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 478
      Rep Power : 460
      Likes Received
      88
      Likes Given
      9

      Default

      Quote By Ribosome
      Utamaduni wa kila Muislaam ni Uislaam.
      wapo waZnz wenye akili zao ni wakirsto...sio kila mzenj ni muhamadan.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...