Jana RC wa Arusha (Magesa) aliwashukuru majaji kwa kazi waliyoifanya, imesaidia kurudisha amani Arusha na alisema wale wasioridhika waende kwenye ngazi inayofata na siyo kulalamika na kunyooshea watu vidole kwani haisaidii kwani imeshafanyika na na maamuzi tayari yameshatoka…..
Magesa nilini amani Arusha ilitoweka na ni nani aliitoa amani, je amani inaletwa mahakama na kuajiri polisi wengi nchini…..

Reply With Quote


Follow Us Here