Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Sera za Majimbo ni za Lazima! Asiyetaka ahame Nchi!

    Report Post
    Page 6 of 13 FirstFirst ... 45678 ... LastLast
    Results 101 to 120 of 256
    1. #1
      Waberoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2008
      Location : Busia-Uganda
      Posts : 5,948
      Rep Power : 1742
      Likes Received
      1518
      Likes Given
      2835

      Default Sera za Majimbo ni za Lazima! Asiyetaka ahame Nchi!

      Unajua kuna kipimo cha ujinga na upumbavu lakini heri mjinga maana anaweza kueleweshwa na mpumbavu katu anajua ukweli ila anaupindisha kwa faida zake

      Ridhwan Kikwete na wana CCM wenzie ni moja ya makundi dhaifu kiakili na kihuhalisia, huku kundi linguine la wenye ulemavu wa akili ni baadhi ya wanachadema ambao ni fuata mkumbo, wasiozijua seraza chama chao na hawawezi kuzitetea..poleni!


      Faida za sera za majimbo


      1. Faida za utawala

      Sera za majimbo zinaweza kabisa kufananishwa na Decentralisation system, ambako maamuzi hufanywa na watu wa chini kabisa, kwa jambo husika na kwa wakati husika.

      Wananchi wanapewa uwezo wa kujitafuatia uongozi wao, na hivyo kumjweka mtu ambaye anajua mazingira ya eneo hilo, shinda walizonanzo na way forward kuzitatua. Mtu huyu pengine anajua utamaduni wa eneo husika, tabia zao na kupanga mikakati ya kujikwamua kutokana na walivyo.

      Kwa kifupi ita improve quality of decision kwa jambo loloye liwe kwa eneo husika kitu ambacho hakipo kwa sasa

      2. Faida za uchumi

      Mtu yeyote mjinga na asiyeelewa ni yule anayedhani au kufikiri kuwa kuna maeneo nchi hii ni maskini na mengine ni tajiri.

      Kansa ya mawazo haya iko kwa viongozi wa CCM na serikali yao wakihubiri kuwa majimbo ni mifarakano na wengine watakuwa maskini
      Sema jimbo gani ni maskini, nitakueleza wafanye nini kupata utajiri..

      Hakuna kijiji, mkoa au wilaya maskini Tanzania haipo!!! Umaskini ukiwapo ni wa ubongo mdogo wa raia wa mahali hapo

      Sera ya majimbo itaharakisha maendeleo kwani ita ‘motivate’ au ku’stimulate brain za watu wa eneo husika kuwaza na kufikiri kipi kifanyike kuleta maendeleo

      Wataalamu wa sosholojia wanatanabaisha kuwa, jamii inayotengeneza sere zake, au kuamua mambo yake hufanya kazi kwa bidii ili maamuzi na malengo waliyoyaamua yafikiwe….kwa mfano sera ya kilimo kwanza haitaweza kufanikiwa kwa sababu haijaamuliwa na wananchi na haijaingia akilini au mioyoni mwao ..kwa nini ‘kilimo kwanza’ hata kama sera hii ni nzuri!!

      Ni matatizo waliyoyapata akina Nyerere enzi hizo..wakati mpaka leo hii israel ina vijiji ya ujamaa kama alivyoanzisha Nyerere sisi vyetu havipo na kama vipo ni kibahati tu!!

      Leo wengi hawajui wilaya ya Mbinga ndiyo tajiri kuliko zote Tanzania kwa kilimo cha kahawa, ufugaji na sasa wanapanda miti!!Nani anajua kuwa mkoa wa mtwara ni wa saba kuliingizia pato taifa?

      Au hamjui kuwa wilaya za Ngaka, kiwira zina makaa ya mawe na liganga kuna chuma, nani asiyejua utajiri wa madini na kilimo morogogoro na mazao ya madawa mkoa wa Pwani?

      Au nani asiyetamani kuona utajiri za zabibu Dodoma unavuka mipaka na kushindana na Israel ambayo inategemea zabibu kwa sana
      Tanzania haina sehemu maskini, J

      Juzi Mkongeumeongelewa sana, Mafuta na ziwa ni utajiri wa Kigoma na Rukwa inasifika kwa kilimo…semeni tujue wilaya maskini ni ipi?

      Au haiumi kuona Lindi na Mtwara wana gesi ambayo inasafirishwa kuletwa DSM huku wao wakihangaika kucheza ngoma kwa kukosa kazi??

      Haiumi kusikia Tanzania ni wazalishaji wakubwa wa dhahabu duniani uku wilaya husika ni maskini wakutupwa, au Almasi ya shinyanga ikiliwa kimya kimya!!! Kweli asali ya tabora na kijani cha Bukoba sio mtaji wa maendeleo ya taifa hili? Nani anabisha??

      Sera hii italeta ushindani wa majimbo katika kuongeza kipato cha kaya, kijiji, kata, jimno na taifa!!

      Dubai wameweza kuuweka mji wao kuwa sehemu ya kibiashara duniani sehemu ambayo ni jangwa kabisa!!

      Kama kuna sehemu kuna jangwa, basi tutaweka DAR LIVE nyingi sana (Ridhwan tenda hiyoo dogo), na starehe nyingine zote ili watu wakipiga kazi ngumu wanaenda kupumzika na kujiburidisha sehemu ambazo zitakuwa haziwezekaniki..japo hamna hizo sehemu

      3. Faida za kulinda utamaduni

      Hakuna utumwa mbaya na wa kipekee kama kuacha tamaduni zetu, tumeiga wazungu mpaka wanatushangaa, vijana wetu wamekuwa kama mabinti, eti wanabana pua na MASCULINE behavior haipo!!

      Malezi duni!!!
      Kijana gani leo yuko tayari kupigana na kusema msitu huu wa baba yangu, na yuko tayari kuua simba na kulinda hadhi za kikoo, kifamilia, kikabila na hatimaye taifa??

      Sera majimbo japo zimejikita ki-uchumi zaidi, lakini zina faida kubwa sana hata kiutamaduni

      Utamaduni wa eneo husika huleta ubunifu wa eneo husika na kuongeza hadhi ya eneo hilo…leo hatuangalii nyimbo za wamasai ila tunanunuA MAKHIRIKHIRI kwa raha zooote huku tukijiona tumeendelea!

      Kumbuka pia utamaduni hapa pia ni kurithisha vizazi vijavyo mambo ambayo kizazi cha sasa kinafanya, kama kulima, kufuga nyuki, kuchimba madini , kutengeneza vitu mbali mbali! kurithisha kizazi kijacho.......this is called informal education which is sometime far better than formal education!!

      kuna faida gani kumaliza na degree uchwara ya uhandisi wa ujenzi na huwezi kazi wakati kuna fundi aliyejifunza tangu utotoni alianzia kubeba vifaa vya baba yake!!! anajua kila kitu kuliko injinia aliyekuwa na stress za bodi ya mikopo na shida za kukosa vifaa vya mafunzo??


      4.
      Faida ya kukusanya mawazo

      Unapoona mwenzio kaendelea utajiuliza how? Kafanyaje? Maendeleo ya baadhi ya sehemu Fulani Fulani zitaleta ‘data collection’ na mawazo kuwa kwa nini wengine wameendela wanafanyaje fanyaje.

      Sera za majimbo zinaweza kupelekea kubadilisha sera za uongozi wa taifa na kufikia kufanya maamuzi ambayo huwezi kuyajutia na una mifano yake.


      5.
      Kulinda Rasilimali za Taifa

      Kumbuka ikiwa kama majimbo yatagawanywa na kuwa mfumo wa states….basi taifa la Tanzania lina weza kuitwa ‘United Sates of Tanzania’ majimbo ambayo yana dola ya local na kitaifa, kulinda maeneo husika.

      Ukiwa na mali lazima ulinde mali…kutorosha vitu kama wanyama hakutakuwepo, kuiba michanga ya madini hakutakuwepo, kukata miti ovyo na kuuza kwa bei ya kutupa hakutakuwepo!!! Do I need to say more here??...no!


      6.
      Kujenga Taifa Imara na viongozi wazuri wa kitaifa


      Tuna taifa dhaifu kwa sababu tuna viongozi dhaifu! Tuna viongozi dhaifu kwa sababu tuna taasisi dhaifu, tuna taasisi dhaifu kwa sababu tuna familia dhaifu!


      Taasisi kama uongozi wa ngazi mbalimbali ukiwa makini unaleta viongozi makini, taasisi hata za kidini zinaweza kuchochea kupata viongozi wazuri na akina baba wazuri
      Ikiwa tyuna kiognozi wa jimbo Fulani aliweka strategy za kupata maendelao na yakaoneka, je hawezi kuwa ndio candidate mzuri wa wizara husika na hata taifa??

      Viongozi watakuwa judged na kazi zao za kwenye majimbo na tutakuwa na hakika ya kuwa atafanya jambo akiwa rais let say…sio kuwa na viongozi vimeo kama hawa wasasa ambao haujui katoka wapi, kafanya nini, anaweza nini, unashtukia tu kiongozi na kesho mnalia HAWEZI…kwani nani alisema anaweza??


      7.
      Mwingiliano wa watu


      Uzuri wa sera hizi kwa sababu tunaongelea taifa moja, mtu ataishi sehemua mabayo anajua atazichanga. ‘atatoka’ atatengeneza fedha kulingana na akili zake na ujuzi wake!! Hili huleta maendeleo ya haraka kwa wenye akili! Sio wanaokalia majungu, kuchezabao na kuwaza uchawi!

      Sera za majimbo kwa maendeleo ya Taifa, kumbuka kuna limitation zako au hasara zake, japo ni ndogo sana kw ataifa letu change sera za majimbo is not a matter of discussion…is a must!!

      8. Kodi husika

      Kodi inakatwa kulingana na eneo husika, kwa mfano kodi ya jimbo la Ontario nchini kanada iko tofauti na kodi ya British Columbia japo wako nchi moja, ukasanyaji wa kodi utakuwa rahisi na itafanya kazi iliyokusudiwaLeo hii kaodi zetu hatujui zinafanya nini na haujui umuulize nani! Aibu

      9. Watu watapungua DSM (miji mikubwa) ha ha ha ha!!

      I hate DSM but I am in!..ila nina kazi yangu na some prospects…ila naona watu wakitaabika, hawajui wafanye nini, hawana future, asubuhi tunajaziana foleni wengine wakiwa na decent jobs wengine hawana na cha ajabu ambao hawana kazi wanaishi maisha mazuri kabisa…sisi wafanya kazi tunakatwa kodi kubwa na ilimradi vituko tupu

      Hawa wenyeji wengi waDSM ambao ni jobless ambao wanaweza kwenda elfu arobaini kwenye msiba wa kanumba siku ya kazi asubuhi..wakisikia wenzao mikoani wanazalisha na maisha yao yanaenda vizuri watarudi tu!!

      Hata kama wasipoondoka hawa kwasababu wameishalemaa at least tutazuia watu kukimbilia mijini. Maisha ya bahati bahati , maisha yasiyo na muda wala malengo…maisha ambayo unatoka nyumbani saa kumbi na mbili na kufika kazini saa nne!!

      Unafikia chai,kucheza karata kufacebook kidogo, lunch na unasinzia kidogo saa tisa unaanza kuangalia usafiri wa kurudi…asilimia 90 ya wafanya kazi wa serikalini ndio wanavyoishi!! Ha ha ha ha!


      Watu hukimbilia mijini wakidhani ndiko kuna hela, sera ya majimbo itazuia hili! Japo hatari yake ni kuwa jimbo Fulani kukiwa kuzuri zaidi watu watakimbilia huko….

      lakini kama wanazalisha is okay hakuna shida, siyo kama wakazi wa DSM wengi…hawaishi bali wanatafuta maisha!


      10.
      inatosha

      wenu

      Waberoya s. Waberoya

      N.B huu sio uchambuzi wa sera rasmi ya chadema, maneno rasmi ya sera za chadema kuhusu hili , tafuta sera zake fika ofisi ya chadema iliyo karibu nawe utaipata, hapa nimeelezea tu kwa ufahamu wangu ubora wa sera hii, kumbuka pia kuwa mimi sio mwana chadema wala chama chochote cha siasa.
      You are not supposed to be so blind with patrotism that you cant face reality. Wrong is wrong no matter who says it. Malcom X

    2. FemaTV & Radio

    3. #101
      jmushi1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2007
      Posts : 14,376
      Rep Power : 16492
      Likes Received
      4299
      Likes Given
      5491

      Default Re: Sera za Majimbo ni za Lazima Asiyetaka Ahame Nchi!

      Quote By JokaKuu
      Waberoya,


      ..binafsi naamini majimbo yata-reverse mafanikio yaliyopatikana katika kujenga utaifa wa Mtanzania. Bado hatujafanikiwa vya kutosha ktk kuuzika ukabila, pamoja na udini, ktk jamii yetu, sasa tukirudi kwenye majimbo matatizo hayo yanaweza kuchomoza tena kwa kasi na kuleta instability ktk jamii yetu.

      .
      Mkuu JokaKuu, si lazima udini na ukabila (kama upo) utokomezwe moja kwa moja ndo tufikirie kuhusu mabadiliko ya kimaendeleo.Hata wenzetu wamarekani wanaenda hivyo hivyo, kadri wanavyozidi kupata mafanikio, ndo a step more towards "Perfection" of their union.Nadhani unasahau ni kwa kiasi gani Taifa letu limepoteza nguvu kubwa na resources nk ili kuleta tu wanachoita umoja wa Taifa na Afrika kwa ujumla.

      Tuelekeze nguvu zetu kwenye issue zenye tija kwa maendeleo ya jamii zetu, hapo unakuwa na Taifa lenye watu huru na **** huru, kitu ambacho ndo tunamiss kwenye jamii ya watanzania.

      Pointi yangu ni kwamba tusiwe na mwelekeo wa kutaka tu kuunganisha wananchi, kimsingi wananchi ndo wanaungana.Kufanya redistributions kwa vigezo kama hivyo si vyema kabisa.
      JokaKuu and Waberoya like this.
      "One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors"-Plato

    4. #102
      JingalaFalsafa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th April 2012
      Location : Africa.
      Posts : 336
      Rep Power : 425
      Likes Received
      211
      Likes Given
      80

      Default

      Quote By jmushi1
      Mkuu JokaKuu, si lazima udini na ukabila (kama upo) utokomezwe moja kwa moja ndo tufikirie kuhusu mabadiliko ya kimaendeleo.Hata wenzetu wamarekani wanaenda hivyo hivyo, kadri wanavyozidi kupata mafanikio, ndo a step more towards "Perfection" of their union.Nadhani unasahau ni kwa kiasi gani Taifa letu limepoteza nguvu kubwa na resources nk ili kuleta tu wanachoita umoja wa Taifa na Afrika kwa ujumla.

      Tuelekeze nguvu zetu kwenye issue zenye tija kwa maendeleo ya jamii zetu, hapo unakuwa na Taifa lenye watu huru na **** huru, kitu ambacho ndo tunamiss kwenye jamii ya watanzania.

      Pointi yangu ni kwamba tusiwe na mwelekeo wa kutaka tu kuunganisha wananchi, kimsingi wananchi ndo wanaungana.Kufanya redistributions kwa vigezo kama hivyo si vyema kabisa.
      Kiongozi yeyote asiyekuwa na mawazo ya kuunganisha raia wake, basi ameshashindwa uongozi. Hivi ile ndoto ya Afrika Moja, ni upuuzi kuiota tena? Wazungu walianza kutugawa katika kanda, mara GEACo. BSACo. nk. wakaona haitoshi wakaja na nchi, nayo haitoshi wanatushinikiza na majimbo, watakuja wilaya, tarafa, na mwisho koo, wanayahubiri haya kwa lugha nzuri ya "KULETA UFANISI NA UWAJIBIKAJI KATIKA KUENDELEZA TAIFA" hapo mikuki na mishale litakuwa ni jambo la kawaida. Mental slavery....ni zaidi ya kifo.
      Lakini...habari njema ni hii Mungu wetu anaita sasa!
      JokaKuu, Kasheshe and Waberoya like this.

    5. #103
      Kasheshe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th June 2007
      Location : Bububu
      Posts : 3,547
      Rep Power : 1330
      Likes Received
      165
      Likes Given
      278

      Default Re: Sera za Majimbo ni za Lazima! Asiyetaka ahame Nchi!

      Quote By Sangarara
      Sheria ndio nini Ndugu yangu kasheshe? tunasheria ngapi za kidhalimu nchi hii? tumefuta sheria ngapi katika nchi hii? na ni sheria ngapi mpya zinatengenewa kila mwaka katika nchi hii? ni nini kinachokufanya ufikirie sheria ndio FACT?
      Mkuu Sangara,

      Ama kumbe sera za majimbo zinaingizwa tanzania bila kuwa kwenye katiba and then sheria? huu si utakuwa udikteta sasa? Ndugu yangu kwa heshima zote.... mimi siko serikalini, lakini serikali haiongozwi bila katiba, sera, sheria kanuni... in fact serikali inaongozwa kwa mfumo wa bureaucracy... kote duniani na mfumo huu vitu vyote huandikwa mkuu....

      Mungu awe na we.
      Mzee Mwanakijiji likes this.

    6. #104
      Kasheshe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th June 2007
      Location : Bububu
      Posts : 3,547
      Rep Power : 1330
      Likes Received
      165
      Likes Given
      278

      Default Re: Sera za Majimbo ni za Lazima! Asiyetaka ahame Nchi!

      Quote By Sangarara
      Wewe unaita wenzako wavivu kwa sababu hawajasoma vitu ulivyosoma wewe sio? unauhakika gani kwamba vitu ulivyosoma wewe ndio KWELI NA SADIKI? Unaelewa walioandika maandiko uliyosoma wewe walikuwa wanania ya kukulazimisha wewe kuelewa nini? unauhakika gani kwamba maandiko yao yalikuwa complete in every aspect? wewe unasoma kitu kimoja na kukimbilia hapa kututisha kwamba umesoma? na hata kama umesoma sana na unafanya reserach sana SO WHAT?

      wengine tunazungumza kutoka kwenye real life experience yetu wenyewe na sio ya watu wengine, kwamba nikasome sheria inayotengeneza Local Government Authority alafu inisaidie nini? ninajua kutoka kwenye practice namna serikali zote mbili kuu na hii ya mitaa zinavyofanya kazi, ninajua kwamba kati ya Mkurugenzi wa Halmashauri na baraza la madiwani ni Mkurugenzi wa Halmashauri ndio mwenye mamlaka ya kuamua halmashauri inaendeshwa namna gani? Serikali hii imeshindwa kuniwezesha sangarara kupata huduma bora za afya, imeshindwa kutengeneza mfumo bora wa elimu kwa watanzania wengi nikiwamo mimi, ndugu zangu, jamaa na rafiki zangu.

      Unataka nikasome au niresearch nini kuelezea ukweli huu. Au nia yenu tusiongee?? Matokeo ya aina ya maisha ninayoishi ni conclusion ya kutosha kusema kwamba the current system of Governance has failed. Acha kujitia aibu, tuko kwenye mchakato wa kubadirisha Katiba wewe unakuja kutuambia tukaangalie ubora wa muundo wa serikali yetu kwenye sheria, nini kikubwa kati ya sheria na Katiba??
      Sangara umeongea vizuri kama consumers of service, na mimi niko na wewe... lakini nilidhani naongea na namwandikia mtu ambaye ni mchambuzi wa sera... katika hili... before thinking of changing the sera/policy katiba... maana hili litaenda kwenye level hiyo una-evaluate and ku-assess nini kime-fail? is sera/policy or implementation/utekelezaji? kama ni policy/sera then you think of better policy/sera ... kama ni utekelezaji then you think of who was responsible to implement, why s/he, they failed, does elimanting CCM with CDM, CUF etc... will it make the policy work as expected? does it caused by scarce resource? may be yes/no... does it caused by laziness culture? yes/no. if laziness culture, what do we do with it? etc....

      SO kusoma na kuelewa mifumo in details inakusaida ku-propose and future implement a system which will real work....

      Mfumo wa sasa unashindwa kwa sababu kubwa ya awareness ya katiba ilichosema na sheria... je kuna anadai hiyo haki ya independence ya Hamshauri na Manispaa... .kuna ambaye amewapeleka serikali kuu mahakamani kwa kuingiliwa?

      Je kuna halmashauri imezuiwa kutafuta vyanzo mbadala vya kupata mapato ili wafanye mambo makubwa? Je leo hii manispaa ya Moshi imeweza kuweka mji wao safi? je hili ni la serikali kuu? kwa nini wengine washindwe? je hujui kuna kodi ndogo ndogo ndogo nyingi zinatozwa kwenye halmashauri kodi za masoko etc?
      JokaKuu, Waberoya and Sangarara like this.

    7. #105
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,498
      Rep Power : 46709
      Likes Received
      16345
      Likes Given
      8417

      Default Re: Sera za Majimbo ni za Lazima! Asiyetaka ahame Nchi!

      Quote By Waberoya


      Unajua kuna kipimo cha ujinga na upumbavu lakini heri mjinga maana anaweza kueleweshwa na mpumbavu katu anajua ukweli ila anaupindisha kwa faida zake

      Ridhwan Kikwete na wana CCM wenzie ni moja ya makundi dhaifu kiakili na kihuhalisia, huku kundi linguine la wenye ulemavu wa akili ni baadhi ya wanachadema ambao ni fuata mkumbo, wasiozijua seraza chama chao na hawawezi kuzitetea..poleni!


      Faida za sera za majimbo


      1. Faida za utawala

      Sera za majimbo zinaweza kabisa kufananishwa na Decentralisation system, ambako maamuzi hufanywa na watu wa chini kabisa, kwa jambo husika na kwa wakati husika.

      Wananchi wanapewa uwezo wa kujitafuatia uongozi wao, na hivyo kumjweka mtu ambaye anajua mazingira ya eneo hilo, shinda walizonanzo na way forward kuzitatua. Mtu huyu pengine anajua utamaduni wa eneo husika, tabia zao na kupanga mikakati ya kujikwamua kutokana na walivyo.

      Kwa kifupi ita improve quality of decision kwa jambo loloye liwe kwa eneo husika kitu ambacho hakipo kwa sasa

      2. Faida za uchumi

      Mtu yeyote mjinga na asiyeelewa ni yule anayedhani au kufikiri kuwa kuna maeneo nchi hii ni maskini na mengine ni tajiri.

      Kansa ya mawazo haya iko kwa viongozi wa CCM na serikali yao wakihubiri kuwa majimbo ni mifarakano na wengine watakuwa maskini
      Sema jimbo gani ni maskini, nitakueleza wafanye nini kupata utajiri..

      Hakuna kijiji, mkoa au wilaya maskini Tanzania haipo!!! Umaskini ukiwapo ni wa ubongo mdogo wa raia wa mahali hapo

      Sera ya majimbo itaharakisha maendeleo kwani ita ‘motivate’ au ku’stimulate brain za watu wa eneo husika kuwaza na kufikiri kipi kifanyike kuleta maendeleo

      Wataalamu wa sosholojia wanatanabaisha kuwa, jamii inayotengeneza sere zake, au kuamua mambo yake hufanya kazi kwa bidii ili maamuzi na malengo waliyoyaamua yafikiwe….kwa mfano sera ya kilimo kwanza haitaweza kufanikiwa kwa sababu haijaamuliwa na wananchi na haijaingia akilini au mioyoni mwao ..kwa nini ‘kilimo kwanza’ hata kama sera hii ni nzuri!!

      Ni matatizo waliyoyapata akina Nyerere enzi hizo..wakati mpaka leo hii israel ina vijiji ya ujamaa kama alivyoanzisha Nyerere sisi vyetu havipo na kama vipo ni kibahati tu!!

      Leo wengi hawajui wilaya ya Mbinga ndiyo tajiri kuliko zote Tanzania kwa kilimo cha kahawa, ufugaji na sasa wanapanda miti!!Nani anajua kuwa mkoa wa mtwara ni wa saba kuliingizia pato taifa?

      Au hamjui kuwa wilaya za Ngaka, kiwira zina makaa ya mawe na liganga kuna chuma, nani asiyejua utajiri wa madini na kilimo morogogoro na mazao ya madawa mkoa wa Pwani?

      Au nani asiyetamani kuona utajiri za zabibu Dodoma unavuka mipaka na kushindana na Israel ambayo inategemea zabibu kwa sana
      Tanzania haina sehemu maskini, J

      Juzi Mkongeumeongelewa sana, Mafuta na ziwa ni utajiri wa Kigoma na Rukwa inasifika kwa kilimo…semeni tujue wilaya maskini ni ipi?

      Au haiumi kuona Lindi na Mtwara wana gesi ambayo inasafirishwa kuletwa DSM huku wao wakihangaika kucheza ngoma kwa kukosa kazi??

      Haiumi kusikia Tanzania ni wazalishaji wakubwa wa dhahabu duniani uku wilaya husika ni maskini wakutupwa, au Almasi ya shinyanga ikiliwa kimya kimya!!! Kweli asali ya tabora na kijani cha Bukoba sio mtaji wa maendeleo ya taifa hili? Nani anabisha??

      Sera hii italeta ushindani wa majimbo katika kuongeza kipato cha kaya, kijiji, kata, jimno na taifa!!

      Dubai wameweza kuuweka mji wao kuwa sehemu ya kibiashara duniani sehemu ambayo ni jangwa kabisa!!

      Kama kuna sehemu kuna jangwa, basi tutaweka DAR LIVE nyingi sana (Ridhwan tenda hiyoo dogo), na starehe nyingine zote ili watu wakipiga kazi ngumu wanaenda kupumzika na kujiburidisha sehemu ambazo zitakuwa haziwezekaniki..japo hamna hizo sehemu

      3. Faida za kulinda utamaduni

      Hakuna utumwa mbaya na wa kipekee kama kuacha tamaduni zetu, tumeiga wazungu mpaka wanatushangaa, vijana wetu wamekuwa kama mabinti, eti wanabana pua na MASCULINE behavior haipo!!

      Malezi duni!!!
      Kijana gani leo yuko tayari kupigana na kusema msitu huu wa baba yangu, na yuko tayari kuua simba na kulinda hadhi za kikoo, kifamilia, kikabila na hatimaye taifa??

      Sera majimbo japo zimejikita ki-uchumi zaidi, lakini zina faida kubwa sana hata kiutamaduni

      Utamaduni wa eneo husika huleta ubunifu wa eneo husika na kuongeza hadhi ya eneo hilo…leo hatuangalii nyimbo za wamasai ila tunanunuA MAKHIRIKHIRI kwa raha zooote huku tukijiona tumeendelea!

      Kumbuka pia utamaduni hapa pia ni kurithisha vizazi vijavyo mambo ambayo kizazi cha sasa kinafanya, kama kulima, kufuga nyuki, kuchimba madini , kutengeneza vitu mbali mbali! kurithisha kizazi kijacho.......this is called informal education which is sometime far better than formal education!!

      kuna faida gani kumaliza na degree uchwara ya uhandisi wa ujenzi na huwezi kazi wakati kuna fundi aliyejifunza tangu utotoni alianzia kubeba vifaa vya baba yake!!! anajua kila kitu kuliko injinia aliyekuwa na stress za bodi ya mikopo na shida za kukosa vifaa vya mafunzo??


      4.
      Faida ya kukusanya mawazo

      Unapoona mwenzio kaendelea utajiuliza how? Kafanyaje? Maendeleo ya baadhi ya sehemu Fulani Fulani zitaleta ‘data collection’ na mawazo kuwa kwa nini wengine wameendela wanafanyaje fanyaje.

      Sera za majimbo zinaweza kupelekea kubadilisha sera za uongozi wa taifa na kufikia kufanya maamuzi ambayo huwezi kuyajutia na una mifano yake.


      5.
      Kulinda Rasilimali za Taifa

      Kumbuka ikiwa kama majimbo yatagawanywa na kuwa mfumo wa states….basi taifa la Tanzania lina weza kuitwa ‘United Sates of Tanzania’ majimbo ambayo yana dola ya local na kitaifa, kulinda maeneo husika.

      Ukiwa na mali lazima ulinde mali…kutorosha vitu kama wanyama hakutakuwepo, kuiba michanga ya madini hakutakuwepo, kukata miti ovyo na kuuza kwa bei ya kutupa hakutakuwepo!!! Do I need to say more here??...no!


      6.
      Kujenga Taifa Imara na viongozi wazuri wa kitaifa


      Tuna taifa dhaifu kwa sababu tuna viongozi dhaifu! Tuna viongozi dhaifu kwa sababu tuna taasisi dhaifu, tuna taasisi dhaifu kwa sababu tuna familia dhaifu!


      Taasisi kama uongozi wa ngazi mbalimbali ukiwa makini unaleta viongozi makini, taasisi hata za kidini zinaweza kuchochea kupata viongozi wazuri na akina baba wazuri
      Ikiwa tyuna kiognozi wa jimbo Fulani aliweka strategy za kupata maendelao na yakaoneka, je hawezi kuwa ndio candidate mzuri wa wizara husika na hata taifa??

      Viongozi watakuwa judged na kazi zao za kwenye majimbo na tutakuwa na hakika ya kuwa atafanya jambo akiwa rais let say…sio kuwa na viongozi vimeo kama hawa wasasa ambao haujui katoka wapi, kafanya nini, anaweza nini, unashtukia tu kiongozi na kesho mnalia HAWEZI…kwani nani alisema anaweza??


      7.
      Mwingiliano wa watu


      Uzuri wa sera hizi kwa sababu tunaongelea taifa moja, mtu ataishi sehemua mabayo anajua atazichanga. ‘atatoka’ atatengeneza fedha kulingana na akili zake na ujuzi wake!! Hili huleta maendeleo ya haraka kwa wenye akili! Sio wanaokalia majungu, kuchezabao na kuwaza uchawi!

      Sera za majimbo kwa maendeleo ya Taifa, kumbuka kuna limitation zako au hasara zake, japo ni ndogo sana kw ataifa letu change sera za majimbo is not a matter of discussion…is a must!!

      8. Kodi husika

      Kodi inakatwa kulingana na eneo husika, kwa mfano kodi ya jimbo la Ontario nchini kanada iko tofauti na kodi ya British Columbia japo wako nchi moja, ukasanyaji wa kodi utakuwa rahisi na itafanya kazi iliyokusudiwaLeo hii kaodi zetu hatujui zinafanya nini na haujui umuulize nani! Aibu

      9. Watu watapungua DSM (miji mikubwa) ha ha ha ha!!

      I hate DSM but I am in!..ila nina kazi yangu na some prospects…ila naona watu wakitaabika, hawajui wafanye nini, hawana future, asubuhi tunajaziana foleni wengine wakiwa na decent jobs wengine hawana na cha ajabu ambao hawana kazi wanaishi maisha mazuri kabisa…sisi wafanya kazi tunakatwa kodi kubwa na ilimradi vituko tupu

      Hawa wenyeji wengi waDSM ambao ni jobless ambao wanaweza kwenda elfu arobaini kwenye msiba wa kanumba siku ya kazi asubuhi..wakisikia wenzao mikoani wanazalisha na maisha yao yanaenda vizuri watarudi tu!!

      Hata kama wasipoondoka hawa kwasababu wameishalemaa at least tutazuia watu kukimbilia mijini. Maisha ya bahati bahati , maisha yasiyo na muda wala malengo…maisha ambayo unatoka nyumbani saa kumbi na mbili na kufika kazini saa nne!!

      Unafikia chai,kucheza karata kufacebook kidogo, lunch na unasinzia kidogo saa tisa unaanza kuangalia usafiri wa kurudi…asilimia 90 ya wafanya kazi wa serikalini ndio wanavyoishi!! Ha ha ha ha!


      Watu hukimbilia mijini wakidhani ndiko kuna hela, sera ya majimbo itazuia hili! Japo hatari yake ni kuwa jimbo Fulani kukiwa kuzuri zaidi watu watakimbilia huko….

      lakini kama wanazalisha is okay hakuna shida, siyo kama wakazi wa DSM wengi…hawaishi bali wanatafuta maisha!


      10.
      inatosha

      wenu

      Waberoya s. Waberoya

      N.B huu sio uchambuzi wa sera rasmi ya chadema, maneno rasmi ya sera za chadema kuhusu hili , tafuta sera zake fika ofisi ya chadema iliyo karibu nawe utaipata, hapa nimeelezea tu kwa ufahamu wangu ubora wa sera hii, kumbuka pia kuwa mimi sio mwana chadema wala chama chochote cha siasa.
      Hoja zako za ndani ni nzuri sana - si lazima zitekelezwe kwenye majimbo anyway - lakini mwanzo wako mbaya. Mtu ambaye anatofautiana na wewe kimtazamo au hakubaliani na hoja ya majimbo si lazima awe mjinga au mpumbavu! Ungeweza kujenga hoja yako vizuri bila kuanza kuwalabel watu ambao hawashiriki msimamo kama wa kwako. Kwa mfano, mimi binafsi siamini kama sera ya majimbo ni suluhisho japo naamini yote mengine uliyoyasema yanaweza kabisa kufanyika hata sasa hivi kwenye mikoa! Kuna ugumu gani wa kuleta hiyo decentralization kutoka serikali kuu na kwenda kwenye mikoa ya sasa?

      Lakini binafsi naamini kuna sera bora zaidi kuliko ya majimbo ambayo nayo huweza kufikia malengo hayo hayo na labda kwa nguvu kubwa zaidi na ndani ya mikoa hii hii! Kutokukubali majimbo siyo ujinga.
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    8. Miaka 50

    9. #106
      Kasheshe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th June 2007
      Location : Bububu
      Posts : 3,547
      Rep Power : 1330
      Likes Received
      165
      Likes Given
      278

      Default Re: Sera za Majimbo ni za Lazima Asiyetaka Ahame Nchi!

      Quote By Waberoya
      Local government hazijitafutii fedha zake, nyingi hazina nguvu ya maamuzi

      LG zimekaa kisiasa zaidi
      I can assure LG zinajitafutia fedha na ziko nyingi sana! but not to the level one will like... nina mfano wa Halmashauri ya Arumeru ambayo ilienda kukopa bank na kuweza kupima viwanja vyake then walivyouza wakapa fedha nyingi za ziada in terms of billions.

      Kwa uelewa wangu ambao unaelezwa bungeni kila siku kwa wale wafuatiliaji... central government inasema inaiwajengea LG uwezo ili waweze kutimiza lengo halisi la wao ku-exist.... and slowly CG wanajitoa...

      Tu me.... this is the only good initiative kuliko kuleta revolution ambao tutawachanganya wananchi... na mfumo huo wanaweza kuelewa baada ya miaka miongo kadhaaa....
      JokaKuu likes this.

    10. #107
      Kasheshe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th June 2007
      Location : Bububu
      Posts : 3,547
      Rep Power : 1330
      Likes Received
      165
      Likes Given
      278

      Default Re: Sera za Majimbo ni za Lazima! Asiyetaka ahame Nchi!

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Hoja zako za ndani ni nzuri sana - si lazima zitekelezwe kwenye majimbo anyway - lakini mwanzo wako mbaya. Mtu ambaye anatofautiana na wewe kimtazamo au hakubaliani na hoja ya majimbo si lazima awe mjinga au mpumbavu! Ungeweza kujenga hoja yako vizuri bila kuanza kuwalabel watu ambao hawashiriki msimamo kama wa kwako. Kwa mfano, mimi binafsi siamini kama sera ya majimbo ni suluhisho japo naamini yote mengine uliyoyasema yanaweza kabisa kufanyika hata sasa hivi kwenye mikoa! Kuna ugumu gani wa kuleta hiyo decentralization kutoka serikali kuu na kwenda kwenye mikoa ya sasa?

      Lakini binafsi naamini kuna sera bora zaidi kuliko ya majimbo ambayo nayo huweza kufikia malengo hayo hayo na labda kwa nguvu kubwa zaidi na ndani ya mikoa hii hii! Kutokukubali majimbo siyo ujinga.
      Mzee Mwanakijiji,

      Kula tano!!! That what I needed to educate my colleague may be i'm just poor communicator

    11. #108
      Cynic's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2009
      Location : Around
      Posts : 2,151
      Rep Power : 967
      Likes Received
      317
      Likes Given
      185

      Default Re: Sera za Majimbo ni za Lazima! Asiyetaka ahame Nchi!

      CDM should rethink this policy. Hii ni 2012 .. nakumbuka hii ilikuwa ni moja ya sera za waanzilishi .. yaani wale wazee (akina Mtei et al.) walioishi miaka ilee ya majimbo ya kikoloni ..
      Kasheshe and Waberoya like this.

    12. #109
      wantuzu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th November 2011
      Posts : 41
      Rep Power : 386
      Likes Received
      13
      Likes Given
      11

      Default Re: Sera za Majimbo ni za Lazima! Asiyetaka ahame Nchi!

      Quote By Waberoya


      Unajua kuna kipimo cha ujinga na upumbavu lakini heri mjinga maana anaweza kueleweshwa na mpumbavu katu anajua ukweli ila anaupindisha kwa faida zake

      Ridhwan Kikwete na wana CCM wenzie ni moja ya makundi dhaifu kiakili na kihuhalisia, huku kundi linguine la wenye ulemavu wa akili ni baadhi ya wanachadema ambao ni fuata mkumbo, wasiozijua seraza chama chao na hawawezi kuzitetea..poleni!


      Faida za sera za majimbo


      1. Faida za utawala

      Sera za majimbo zinaweza kabisa kufananishwa na Decentralisation system, ambako maamuzi hufanywa na watu wa chini kabisa, kwa jambo husika na kwa wakati husika.

      Wananchi wanapewa uwezo wa kujitafuatia uongozi wao, na hivyo kumjweka mtu ambaye anajua mazingira ya eneo hilo, shinda walizonanzo na way forward kuzitatua. Mtu huyu pengine anajua utamaduni wa eneo husika, tabia zao na kupanga mikakati ya kujikwamua kutokana na walivyo.

      Kwa kifupi ita improve quality of decision kwa jambo loloye liwe kwa eneo husika kitu ambacho hakipo kwa sasa

      2. Faida za uchumi

      Mtu yeyote mjinga na asiyeelewa ni yule anayedhani au kufikiri kuwa kuna maeneo nchi hii ni maskini na mengine ni tajiri.

      Kansa ya mawazo haya iko kwa viongozi wa CCM na serikali yao wakihubiri kuwa majimbo ni mifarakano na wengine watakuwa maskini
      Sema jimbo gani ni maskini, nitakueleza wafanye nini kupata utajiri..

      Hakuna kijiji, mkoa au wilaya maskini Tanzania haipo!!! Umaskini ukiwapo ni wa ubongo mdogo wa raia wa mahali hapo

      Sera ya majimbo itaharakisha maendeleo kwani ita ‘motivate’ au ku’stimulate brain za watu wa eneo husika kuwaza na kufikiri kipi kifanyike kuleta maendeleo

      Wataalamu wa sosholojia wanatanabaisha kuwa, jamii inayotengeneza sere zake, au kuamua mambo yake hufanya kazi kwa bidii ili maamuzi na malengo waliyoyaamua yafikiwe….kwa mfano sera ya kilimo kwanza haitaweza kufanikiwa kwa sababu haijaamuliwa na wananchi na haijaingia akilini au mioyoni mwao ..kwa nini ‘kilimo kwanza’ hata kama sera hii ni nzuri!!

      Ni matatizo waliyoyapata akina Nyerere enzi hizo..wakati mpaka leo hii israel ina vijiji ya ujamaa kama alivyoanzisha Nyerere sisi vyetu havipo na kama vipo ni kibahati tu!!

      Leo wengi hawajui wilaya ya Mbinga ndiyo tajiri kuliko zote Tanzania kwa kilimo cha kahawa, ufugaji na sasa wanapanda miti!!Nani anajua kuwa mkoa wa mtwara ni wa saba kuliingizia pato taifa?

      Au hamjui kuwa wilaya za Ngaka, kiwira zina makaa ya mawe na liganga kuna chuma, nani asiyejua utajiri wa madini na kilimo morogogoro na mazao ya madawa mkoa wa Pwani?

      Au nani asiyetamani kuona utajiri za zabibu Dodoma unavuka mipaka na kushindana na Israel ambayo inategemea zabibu kwa sana
      Tanzania haina sehemu maskini, J

      Juzi Mkongeumeongelewa sana, Mafuta na ziwa ni utajiri wa Kigoma na Rukwa inasifika kwa kilimo…semeni tujue wilaya maskini ni ipi?

      Au haiumi kuona Lindi na Mtwara wana gesi ambayo inasafirishwa kuletwa DSM huku wao wakihangaika kucheza ngoma kwa kukosa kazi??

      Haiumi kusikia Tanzania ni wazalishaji wakubwa wa dhahabu duniani uku wilaya husika ni maskini wakutupwa, au Almasi ya shinyanga ikiliwa kimya kimya!!! Kweli asali ya tabora na kijani cha Bukoba sio mtaji wa maendeleo ya taifa hili? Nani anabisha??

      Sera hii italeta ushindani wa majimbo katika kuongeza kipato cha kaya, kijiji, kata, jimno na taifa!!

      Dubai wameweza kuuweka mji wao kuwa sehemu ya kibiashara duniani sehemu ambayo ni jangwa kabisa!!

      Kama kuna sehemu kuna jangwa, basi tutaweka DAR LIVE nyingi sana (Ridhwan tenda hiyoo dogo), na starehe nyingine zote ili watu wakipiga kazi ngumu wanaenda kupumzika na kujiburidisha sehemu ambazo zitakuwa haziwezekaniki..japo hamna hizo sehemu

      3. Faida za kulinda utamaduni

      Hakuna utumwa mbaya na wa kipekee kama kuacha tamaduni zetu, tumeiga wazungu mpaka wanatushangaa, vijana wetu wamekuwa kama mabinti, eti wanabana pua na MASCULINE behavior haipo!!

      Malezi duni!!!
      Kijana gani leo yuko tayari kupigana na kusema msitu huu wa baba yangu, na yuko tayari kuua simba na kulinda hadhi za kikoo, kifamilia, kikabila na hatimaye taifa??

      Sera majimbo japo zimejikita ki-uchumi zaidi, lakini zina faida kubwa sana hata kiutamaduni

      Utamaduni wa eneo husika huleta ubunifu wa eneo husika na kuongeza hadhi ya eneo hilo…leo hatuangalii nyimbo za wamasai ila tunanunuA MAKHIRIKHIRI kwa raha zooote huku tukijiona tumeendelea!

      Kumbuka pia utamaduni hapa pia ni kurithisha vizazi vijavyo mambo ambayo kizazi cha sasa kinafanya, kama kulima, kufuga nyuki, kuchimba madini , kutengeneza vitu mbali mbali! kurithisha kizazi kijacho.......this is called informal education which is sometime far better than formal education!!

      kuna faida gani kumaliza na degree uchwara ya uhandisi wa ujenzi na huwezi kazi wakati kuna fundi aliyejifunza tangu utotoni alianzia kubeba vifaa vya baba yake!!! anajua kila kitu kuliko injinia aliyekuwa na stress za bodi ya mikopo na shida za kukosa vifaa vya mafunzo??


      4.
      Faida ya kukusanya mawazo

      Unapoona mwenzio kaendelea utajiuliza how? Kafanyaje? Maendeleo ya baadhi ya sehemu Fulani Fulani zitaleta ‘data collection’ na mawazo kuwa kwa nini wengine wameendela wanafanyaje fanyaje.

      Sera za majimbo zinaweza kupelekea kubadilisha sera za uongozi wa taifa na kufikia kufanya maamuzi ambayo huwezi kuyajutia na una mifano yake.


      5.
      Kulinda Rasilimali za Taifa

      Kumbuka ikiwa kama majimbo yatagawanywa na kuwa mfumo wa states….basi taifa la Tanzania lina weza kuitwa ‘United Sates of Tanzania’ majimbo ambayo yana dola ya local na kitaifa, kulinda maeneo husika.

      Ukiwa na mali lazima ulinde mali…kutorosha vitu kama wanyama hakutakuwepo, kuiba michanga ya madini hakutakuwepo, kukata miti ovyo na kuuza kwa bei ya kutupa hakutakuwepo!!! Do I need to say more here??...no!


      6.
      Kujenga Taifa Imara na viongozi wazuri wa kitaifa


      Tuna taifa dhaifu kwa sababu tuna viongozi dhaifu! Tuna viongozi dhaifu kwa sababu tuna taasisi dhaifu, tuna taasisi dhaifu kwa sababu tuna familia dhaifu!


      Taasisi kama uongozi wa ngazi mbalimbali ukiwa makini unaleta viongozi makini, taasisi hata za kidini zinaweza kuchochea kupata viongozi wazuri na akina baba wazuri
      Ikiwa tyuna kiognozi wa jimbo Fulani aliweka strategy za kupata maendelao na yakaoneka, je hawezi kuwa ndio candidate mzuri wa wizara husika na hata taifa??

      Viongozi watakuwa judged na kazi zao za kwenye majimbo na tutakuwa na hakika ya kuwa atafanya jambo akiwa rais let say…sio kuwa na viongozi vimeo kama hawa wasasa ambao haujui katoka wapi, kafanya nini, anaweza nini, unashtukia tu kiongozi na kesho mnalia HAWEZI…kwani nani alisema anaweza??


      7.
      Mwingiliano wa watu


      Uzuri wa sera hizi kwa sababu tunaongelea taifa moja, mtu ataishi sehemua mabayo anajua atazichanga. ‘atatoka’ atatengeneza fedha kulingana na akili zake na ujuzi wake!! Hili huleta maendeleo ya haraka kwa wenye akili! Sio wanaokalia majungu, kuchezabao na kuwaza uchawi!

      Sera za majimbo kwa maendeleo ya Taifa, kumbuka kuna limitation zako au hasara zake, japo ni ndogo sana kw ataifa letu change sera za majimbo is not a matter of discussion…is a must!!

      8. Kodi husika

      Kodi inakatwa kulingana na eneo husika, kwa mfano kodi ya jimbo la Ontario nchini kanada iko tofauti na kodi ya British Columbia japo wako nchi moja, ukasanyaji wa kodi utakuwa rahisi na itafanya kazi iliyokusudiwaLeo hii kaodi zetu hatujui zinafanya nini na haujui umuulize nani! Aibu

      9. Watu watapungua DSM (miji mikubwa) ha ha ha ha!!

      I hate DSM but I am in!..ila nina kazi yangu na some prospects…ila naona watu wakitaabika, hawajui wafanye nini, hawana future, asubuhi tunajaziana foleni wengine wakiwa na decent jobs wengine hawana na cha ajabu ambao hawana kazi wanaishi maisha mazuri kabisa…sisi wafanya kazi tunakatwa kodi kubwa na ilimradi vituko tupu

      Hawa wenyeji wengi waDSM ambao ni jobless ambao wanaweza kwenda elfu arobaini kwenye msiba wa kanumba siku ya kazi asubuhi..wakisikia wenzao mikoani wanazalisha na maisha yao yanaenda vizuri watarudi tu!!

      Hata kama wasipoondoka hawa kwasababu wameishalemaa at least tutazuia watu kukimbilia mijini. Maisha ya bahati bahati , maisha yasiyo na muda wala malengo…maisha ambayo unatoka nyumbani saa kumbi na mbili na kufika kazini saa nne!!

      Unafikia chai,kucheza karata kufacebook kidogo, lunch na unasinzia kidogo saa tisa unaanza kuangalia usafiri wa kurudi…asilimia 90 ya wafanya kazi wa serikalini ndio wanavyoishi!! Ha ha ha ha!


      Watu hukimbilia mijini wakidhani ndiko kuna hela, sera ya majimbo itazuia hili! Japo hatari yake ni kuwa jimbo Fulani kukiwa kuzuri zaidi watu watakimbilia huko….

      lakini kama wanazalisha is okay hakuna shida, siyo kama wakazi wa DSM wengi…hawaishi bali wanatafuta maisha!


      10.
      inatosha

      wenu

      Waberoya s. Waberoya

      N.B huu sio uchambuzi wa sera rasmi ya chadema, maneno rasmi ya sera za chadema kuhusu hili , tafuta sera zake fika ofisi ya chadema iliyo karibu nawe utaipata, hapa nimeelezea tu kwa ufahamu wangu ubora wa sera hii, kumbuka pia kuwa mimi sio mwana chadema wala chama chochote cha siasa.
      umeeleweka mkuu sie tunasubiri hiyo 2015 mh. mbowe akichukua nchi tushuhudie ikulu ikihamia machame
      Waberoya likes this.

    13. #110
      Kasheshe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th June 2007
      Location : Bububu
      Posts : 3,547
      Rep Power : 1330
      Likes Received
      165
      Likes Given
      278

      Default Re: Sera za Majimbo ni za Lazima! Asiyetaka ahame Nchi!

      Quote By Cynic
      CDM should rethink this policy. Hii ni 2012 .. nakumbuka hii ilikuwa ni moja ya sera za waanzilishi .. yaani wale wazee (akina Mtei et al.) walioishi miaka ilee ya majimbo ya kikoloni ..
      You said it clearly, wale wazee were refering their ages and it wasn't wrong, they had a point, alafu by then our LG was still very weak , remember sheria ya LG came in 1984..., kwa sasa sera ya majimbo haina mshiko kwa kuwa the current LG Structure is working,,, we just miss motivation for experts to work in that level... lakini thank God ma-graduate wengi wanaenda huko siku hizi... so slowly will be there!!!!
      JokaKuu, Waberoya and Cynic like this.

    14. #111
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,498
      Rep Power : 46709
      Likes Received
      16345
      Likes Given
      8417

      Default Re: Sera za Majimbo ni za Lazima! Asiyetaka ahame Nchi!

      Kuserma kweli sera ya majimbo haina msingi na wala haina nafasi katika Tanzania ya sasa hivi. Kuing'ang'ania ni kutokuwa wa kweli wa historia na kujilazimisha kukaa kwenye kona iliyoshindikana. La maana ni kupiga marufuku nchi kugawanya mikoa kila Rais anapojisikia. Kuna vitu vinapaswa kuwa permanent na mojawaapo ni mikoa. Utawala wa mikoa unahitaji kubadilishwa kwa sababu hadi hivi sasa bado tunamfumo wa ukoloni. Yale yote yanayoosemwa kuhusu majimbo yanaweza kuletwa kwa kupitia mikoa.

      Labda wengine wamesahau tu kuwa kulikuwa na sera ya zamani ya TANu ya 'MADARAKA MIKOANI'. Hii kimsingi ilitaka kufanya mikoa iwe na nguvu ya kujiendesha na kujitegemea kwa kiasi kikubwa. Kama sera nyingine za CCM zilizoshindwa hii nayo imeshindwa ndio maana hadi leo bado una jeshi la polisi la taifa, magereza ya taifa, kikosi cha zima moto cha taifa, elimu ya taifa, n.k!

      Lakini vile vile watu wengine hawataki kuamini pia kuwa sera ya 'majimbo' kwa wale wazee kama mimi bado inatukumbusha sana = majimboism... sera ya huko Kenya ambayo moja kwa moja ilihusishwa na ukabila! Hata leo hii unapozungumzia majimbo katika Tanzania kuna watu wanaamini inahusiana na ukabila hata kama itadaiwa kuwa hakuna mkoa utakaokuwa jimbo pekee. Ukweli ni kuwa mikoa ya sasa inaweza kudaiwa ukabila zaidi kuliko majimbo!
      JokaKuu and Waberoya like this.
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    15. #112
      Red Giant's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2012
      Posts : 730
      Rep Power : 3610
      Likes Received
      233
      Likes Given
      282

      Default Re: Sera za Majimbo ni za Lazima! Asiyetaka ahame Nchi!

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Kuserma kweli sera ya majimbo haina msingi na wala haina nafasi katika Tanzania ya sasa hivi. Kuing'ang'ania ni kutokuwa wa kweli wa historia na kujilazimisha kukaa kwenye kona iliyoshindikana. La maana ni kupiga marufuku nchi kugawanya mikoa kila Rais anapojisikia. Kuna vitu vinapaswa kuwa permanent na mojawaapo ni mikoa. Utawala wa mikoa unahitaji kubadilishwa kwa sababu hadi hivi sasa bado tunamfumo wa ukoloni. Yale yote yanayoosemwa kuhusu majimbo yanaweza kuletwa kwa kupitia mikoa.


      Labda wengine wamesahau tu kuwa kulikuwa na sera ya zamani ya TANu ya 'MADARAKA MIKOANI'. Hii kimsingi ilitaka kufanya mikoa iwe na nguvu ya kujiendesha na kujitegemea kwa kiasi kikubwa. Kama sera nyingine za CCM zilizoshindwa hii nayo imeshindwa ndio maana hadi leo bado una jeshi la polisi la taifa, magereza ya taifa, kikosi cha zima moto cha taifa, elimu ya taifa, n.k!

      Lakini vile vile watu wengine hawataki kuamini pia kuwa sera ya 'majimbo' kwa wale wazee kama mimi bado inatukumbusha sana = majimboism... sera ya huko Kenya ambayo moja kwa moja ilihusishwa na ukabila! Hata leo hii unapozungumzia majimbo katika Tanzania kuna watu wanaamini inahusiana na ukabila hata kama itadaiwa kuwa hakuna mkoa utakaokuwa jimbo pekee. Ukweli ni kuwa mikoa ya sasa inaweza kudaiwa ukabila zaidi kuliko majimbo!
      mkuu naona kama unazunguka hoja! unaiamini hii sera ya majimbo ila unataka itekelezwe kupitia mikoa, yaani mikoa iwe na magavana waliochaguliwa na wananchi, iweze kujitungia baadhi ya sheria, mfumo wao waelimu na polisi wao si ndio? basi naona tatizo lako kubwa ni neno jimbo na sio sera ya majimbo
      Mzee Mwanakijiji and Waberoya like this.
      COAL UNDER PRESSURE BECOMES DIAMOND

    16. #113
      JokaKuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2006
      Posts : 6,819
      Rep Power : 2966
      Likes Received
      2421
      Likes Given
      3495

      Default Re: Sera za Majimbo ni za Lazima Asiyetaka Ahame Nchi!

      Quote By jmushi1
      Mkuu JokaKuu, si lazima udini na ukabila (kama upo) utokomezwe moja kwa moja ndo tufikirie kuhusu mabadiliko ya kimaendeleo.Hata wenzetu wamarekani wanaenda hivyo hivyo, kadri wanavyozidi kupata mafanikio, ndo a step more towards "Perfection" of their union.Nadhani unasahau ni kwa kiasi gani Taifa letu limepoteza nguvu kubwa na resources nk ili kuleta tu wanachoita umoja wa Taifa na Afrika kwa ujumla.

      Tuelekeze nguvu zetu kwenye issue zenye tija kwa maendeleo ya jamii zetu, hapo unakuwa na Taifa lenye watu huru na **** huru, kitu ambacho ndo tunamiss kwenye jamii ya watanzania.

      Pointi yangu ni kwamba tusiwe na mwelekeo wa kutaka tu kuunganisha wananchi, kimsingi wananchi ndo wanaungana.Kufanya redistributions kwa vigezo kama hivyo si vyema kabisa.
      jmushi,

      ..ninachoogopa mimi ni kumumunyoka kwa utaifa wa Mtanzania.

      ..ninahofia haya majimbo yanaweza kuzua identities mpya zinazopingana na utaifa wa Kitanzania.

      ..pia kutegemeana na mamlaka yatakayopewa hayo majimbo tunaweza tukafika mahali majimbo hayo yakai-challenge Federal Government na kusababisha mivutano na mitafaruku ndani ya nchi.

      ..Tujielekeze kujenga Tanzania moja. sasa mkileta majimbo, serikali za majimbo, mabunge ya majimbo, sheria za majimbo, polisi wa majimbo, vitambulisho vya majimbo,etc etc, naogopa tunaweza tukafika mahali ikawa vigumu kwa Tanzania kusimama kama nchi moja.
      Kasheshe, jmushi1 and Waberoya like this.

    17. #114
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,498
      Rep Power : 46709
      Likes Received
      16345
      Likes Given
      8417

      Default Re: Sera za Majimbo ni za Lazima! Asiyetaka ahame Nchi!

      Quote By Red Giant
      mkuu naona kama unazunguka hoja! unaiamini hii sera ya majimbo ila unataka itekelezwe kupitia mikoa, yaani mikoa iwe na magavana waliochaguliwa na wananchi, iweze kujitungia baadhi ya sheria, mfumo wao waelimu na polisi wao si ndio? basi naona tatizo lako kubwa ni neno jimbo na sio sera ya majimbo
      Naona umedhania halafu ukafikiria kilichoko kwenye kichwa changu hadi details zake na kugundua tatizo langu. Mwenyewe sijasema ninafikiria nini!
      Waberoya likes this.
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    18. #115
      Red Giant's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2012
      Posts : 730
      Rep Power : 3610
      Likes Received
      233
      Likes Given
      282

      Default Re: Sera za Majimbo ni za Lazima! Asiyetaka ahame Nchi!

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Kuserma kweli sera ya majimbo haina msingi na wala haina nafasi katika Tanzania ya sasa hivi. Kuing'ang'ania ni kutokuwa wa kweli wa historia na kujilazimisha kukaa kwenye kona iliyoshindikana. La maana ni kupiga marufuku nchi kugawanya mikoa kila Rais anapojisikia. Kuna vitu vinapaswa kuwa permanent na mojawaapo ni mikoa. Utawala wa mikoa unahitaji kubadilishwa kwa sababu hadi hivi sasa bado tunamfumo wa ukoloni. Yale yote yanayoosemwa kuhusu majimbo yanaweza kuletwa kwa kupitia mikoa.

      Labda wengine wamesahau tu kuwa kulikuwa na sera ya zamani ya TANu ya 'MADARAKA MIKOANI'. Hii kimsingi ilitaka kufanya mikoa iwe na nguvu ya kujiendesha na kujitegemea kwa kiasi kikubwa. Kama sera nyingine za CCM zilizoshindwa hii nayo imeshindwa ndio maana hadi leo bado una jeshi la polisi la taifa, magereza ya taifa, kikosi cha zima moto cha taifa, elimu ya taifa, n.k!

      Lakini vile vile watu wengine hawataki kuamini pia kuwa sera ya 'majimbo' kwa wale wazee kama mimi bado inatukumbusha sana = majimboism... sera ya huko Kenya ambayo moja kwa moja ilihusishwa na ukabila! Hata leo hii unapozungumzia majimbo katika Tanzania kuna watu wanaamini inahusiana na ukabila hata kama itadaiwa kuwa hakuna mkoa utakaokuwa jimbo pekee. Ukweli ni kuwa mikoa ya sasa inaweza kudaiwa ukabila zaidi kuliko majimbo!
      mkuu sijadhania kilichopo kichwani mwako umeandika mwenyewe kwenye red hapo juu. labda kama ulikuwa unamaana tofauti na nilivyoelewa
      COAL UNDER PRESSURE BECOMES DIAMOND

    19. #116
      Waberoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2008
      Location : Busia-Uganda
      Posts : 5,948
      Rep Power : 1742
      Likes Received
      1518
      Likes Given
      2835

      Default Re: Sera za Majimbo ni za Lazima! Asiyetaka ahame Nchi!

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Kuserma kweli sera ya majimbo haina msingi na wala haina nafasi katika Tanzania ya sasa hivi. Kuing'ang'ania ni kutokuwa wa kweli wa historia na kujilazimisha kukaa kwenye kona iliyoshindikana. La maana ni kupiga marufuku nchi kugawanya mikoa kila Rais anapojisikia. Kuna vitu vinapaswa kuwa permanent na mojawaapo ni mikoa. Utawala wa mikoa unahitaji kubadilishwa kwa sababu hadi hivi sasa bado tunamfumo wa ukoloni. Yale yote yanayoosemwa kuhusu majimbo yanaweza kuletwa kwa kupitia mikoa.

      Labda wengine wamesahau tu kuwa kulikuwa na sera ya zamani ya TANu ya 'MADARAKA MIKOANI'. Hii kimsingi ilitaka kufanya mikoa iwe na nguvu ya kujiendesha na kujitegemea kwa kiasi kikubwa. Kama sera nyingine za CCM zilizoshindwa hii nayo imeshindwa ndio maana hadi leo bado una jeshi la polisi la taifa, magereza ya taifa, kikosi cha zima moto cha taifa, elimu ya taifa, n.k!

      Lakini vile vile watu wengine hawataki kuamini pia kuwa sera ya 'majimbo' kwa wale wazee kama mimi bado inatukumbusha sana = majimboism... sera ya huko Kenya ambayo moja kwa moja ilihusishwa na ukabila! Hata leo hii unapozungumzia majimbo katika Tanzania kuna watu wanaamini inahusiana na ukabila hata kama itadaiwa kuwa hakuna mkoa utakaokuwa jimbo pekee. Ukweli ni kuwa mikoa ya sasa inaweza kudaiwa ukabila zaidi kuliko majimbo!
      Mkuu MKJJ asante kwa hoja maridhawa ukubwa dawa!

      kwenye sehemu nilizo highlight nakubaliana na wewe kuwa yes, mikoa inaweza kabisa ikawa ndio majimbo!! swala ni how> and when? hizo sera za madaraka mikoani zilishindwa kwa nini??

      Ukinyima madaraka mikoani basi nguvu ya central govt inakuwa kubwa sana! ikiwa kubwa itawafanya mikoani kuwa kondoo

      kwa hoja yako, ikiwezekana wakuu wa mikoa wachaguliwe na mkoa husika (if is practical) na wakawa na nguvu then I will agree with u, je inawezekana?
      You are not supposed to be so blind with patrotism that you cant face reality. Wrong is wrong no matter who says it. Malcom X

    20. #117
      Waberoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2008
      Location : Busia-Uganda
      Posts : 5,948
      Rep Power : 1742
      Likes Received
      1518
      Likes Given
      2835

      Default Re: Sera za Majimbo ni za Lazima! Asiyetaka ahame Nchi!

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Hoja zako za ndani ni nzuri sana - si lazima zitekelezwe kwenye majimbo anyway - lakini mwanzo wako mbaya. Mtu ambaye anatofautiana na wewe kimtazamo au hakubaliani na hoja ya majimbo si lazima awe mjinga au mpumbavu! Ungeweza kujenga hoja yako vizuri bila kuanza kuwalabel watu ambao hawashiriki msimamo kama wa kwako. Kwa mfano, mimi binafsi siamini kama sera ya majimbo ni suluhisho japo naamini yote mengine uliyoyasema yanaweza kabisa kufanyika hata sasa hivi kwenye mikoa! Kuna ugumu gani wa kuleta hiyo decentralization kutoka serikali kuu na kwenda kwenye mikoa ya sasa?

      Lakini binafsi naamini kuna sera bora zaidi kuliko ya majimbo ambayo nayo huweza kufikia malengo hayo hayo na labda kwa nguvu kubwa zaidi na ndani ya mikoa hii hii! Kutokukubali majimbo siyo ujinga.
      Asante kwa fundo kaka!
      Kasheshe likes this.
      You are not supposed to be so blind with patrotism that you cant face reality. Wrong is wrong no matter who says it. Malcom X

    21. #118
      Nyakageni's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,248
      Rep Power : 0
      Likes Received
      766
      Likes Given
      52

      Default Re: Sera za Majimbo ni za Lazima! Asiyetaka ahame Nchi!

      hoja ni nzuri ila heading ya kidikteta
      Kasheshe likes this.

    22. #119
      Waberoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2008
      Location : Busia-Uganda
      Posts : 5,948
      Rep Power : 1742
      Likes Received
      1518
      Likes Given
      2835

      Default Re: Sera za Majimbo ni za Lazima Asiyetaka Ahame Nchi!

      Quote By Kasheshe
      I can assure LG zinajitafutia fedha na ziko nyingi sana! but not to the level one will like... nina mfano wa Halmashauri ya Arumeru ambayo ilienda kukopa bank na kuweza kupima viwanja vyake then walivyouza wakapa fedha nyingi za ziada in terms of billions.

      Kwa uelewa wangu ambao unaelezwa bungeni kila siku kwa wale wafuatiliaji... central government inasema inaiwajengea LG uwezo ili waweze kutimiza lengo halisi la wao ku-exist.... and slowly CG wanajitoa...

      Tu me.... this is the only good initiative kuliko kuleta revolution ambao tutawachanganya wananchi... na mfumo huo wanaweza kuelewa baada ya miaka miongo kadhaaa....
      ebu usinichekeshe kasheshe wakimaliza ardhi then wanafanya nini?? kupora nyumba?

      U r missing something!!! kama una sema LG zina uwezo huo then uwezo huo sio uwezo ni ujinga!! wanapima wanawauzia wananchi, kuna tofauti gani na mwanamke kujipamba na kujiuza...land is there! let them think what to do bro!
      Kasheshe likes this.
      You are not supposed to be so blind with patrotism that you cant face reality. Wrong is wrong no matter who says it. Malcom X

    23. #120
      Waberoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2008
      Location : Busia-Uganda
      Posts : 5,948
      Rep Power : 1742
      Likes Received
      1518
      Likes Given
      2835

      Default Re: Sera za Majimbo ni za Lazima! Asiyetaka ahame Nchi!

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Hoja zako za ndani ni nzuri sana - si lazima zitekelezwe kwenye majimbo anyway - lakini mwanzo wako mbaya. Mtu ambaye anatofautiana na wewe kimtazamo au hakubaliani na hoja ya majimbo si lazima awe mjinga au mpumbavu! Ungeweza kujenga hoja yako vizuri bila kuanza kuwalabel watu ambao hawashiriki msimamo kama wa kwako. Kwa mfano, mimi binafsi siamini kama sera ya majimbo ni suluhisho japo naamini yote mengine uliyoyasema yanaweza kabisa kufanyika hata sasa hivi kwenye mikoa! Kuna ugumu gani wa kuleta hiyo decentralization kutoka serikali kuu na kwenda kwenye mikoa ya sasa?

      Lakini binafsi naamini kuna sera bora zaidi kuliko ya majimbo ambayo nayo huweza kufikia malengo hayo hayo na labda kwa nguvu kubwa zaidi na ndani ya mikoa hii hii! Kutokukubali majimbo siyo ujinga.
      sema kaka all my ears! dont forget I am learning and I am fast learner!
      Kasheshe likes this.
      You are not supposed to be so blind with patrotism that you cant face reality. Wrong is wrong no matter who says it. Malcom X

    Page 6 of 13 FirstFirst ... 45678 ... LastLast

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...