Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: CHADEMA yawa gumzo Mtwara

    Report Post
    Page 7 of 10 FirstFirst ... 56789 ... LastLast
    Results 121 to 140 of 193
    1. #1
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,423
      Rep Power : 10874
      Likes Received
      3801
      Likes Given
      426

      Default CHADEMA yawa gumzo Mtwara

      Wakazi wa manispaa ya Mtwara wamepokea kwa furaha kubwa taarifa za ujio wa CDM katika mikoa ya kusini.Wananchi mbalimbali waliohojiwa wamesema wamekuwa wakiisikia CDM kupitia vyombo mbalimbali vya habari na hasa mambo makubwa wabayofanya viongozi wake Dr Slaa,Mbowe na wabunge wa chama hicho.Wameapa kukipokea kwa kishindo chama hicho huku wakiapa kurudisha kadi za CCM na kusimika bendera za CDM mpaka ndani ya vyumba vyao.Mzee mmoja akiongea kwa uchungu alisema anaamini CDM itawakomboa na vuguvugu lao la M4C hasa katika zao la korosho.Ameahidi mikoa ya kusini kuwa ngome kuu ya CDM kama mikoa ya kanda ya ziwa na kaskazini.
      Source:Majira Jumanne

      ------------------------------------------------------------------------
      UPDATES.....1

      Mkurugenzi wa habari na uenezi-CDM John Mnyika ametangaza rasmi operesheni ya M4C kwa mikoa ya kusini itaanza tarehe 28/05/2012 na itadumu kwa wiki mbili ambapo maelfu ya wananchi wanatarajiwa kuvua Gamba na kuvaa Gwanda.

      -------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
      UPDATES...2

      MBOWE, SLAA KUONGOZA OPERESHENI KUSINI

      Awamu mpya ya operesheni ya Chadema inayolenga kuhamaisha umma kuleta mabadiliko na uwajibikaji serikalini iliyopangwa kufanyika katika mikoa ya Kanda ya Kusini, itaanza rasmi Mei 28, mwaka huu, katika Mkoa wa Mtwara.

      Akizungumza na NIPASHE jana, Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Chadema, John Mnyika, alisema operesheni hiyo itaongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Freeman Mbowe.

      Alisema wengine watakaoongoza operesheni hiyo, ni Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willibrod Slaa pamoja na wabunge wa chama hicho na kwamba, itahitimishwa katika mkoa wa Lindi.

      Kwa mujibu wa Mnyika, operesheni hiyo imelenga kushughulikia mambo matatu; la kwanza likiwa ni kusimamia uwajibikaji katika ngazi zote za serikali, ili kuhakikisha changamoto zote zinazolikabili taifa zinashughulikiwa.

      Mnyika ambaye pia ni Mbunge wa Ubungo, alisema jambo la pili litakaloshughulikiwa na operesheni hiyo, ni kutoa elimu ya kisiasa kwa umma kuhusu mchakato wa mabadiliko ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

      Alisema jambo la tatu, litakuwa ni kujenga organaizesheni ya chama mijini na vijijini katika mikoa hiyo.


      Source:Nipashe Jumanne.


      -----------------------------
      More Updates

      Makamanda wa CDM wakiongozwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe na Katibu Mkuu Dr Wilbroad Slaa wameondoka leo kuelekea mikoa ya Mtwara na Lindi kwa operesheni itakayotikisa ukanda wote wa kusini.Jumla ya makamanda wote walioondoka ni 60 ambapo watasambaa vijiji vyote kufungua matawi, ofisi za chama kata mbalimbali,kutoa elimu ya uraia kuhusu katiba na kuhutubia mikutano kila kata na kijiji.
      Last edited by Molemo; 27th May 2012 at 15:58.

    2. Miaka 50

    3. #121
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,423
      Rep Power : 10874
      Likes Received
      3801
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By SIERA
      Why Arusha wakatimwingine zinapigwa nyimbo za dini kwanye mikutano sababu nini ...kuna yoyote anaweza kunielezea Wanamagwanda ?
      Unataka zipigwe nyimbo za Shetani?

    4. #122
      OSOKONI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 3,632
      Rep Power : 1109
      Likes Received
      1001
      Likes Given
      756

      Default re: CHADEMA yawa gumzo Mtwara

      Quote By Rejao
      Tunakumbushi mlichokisema na end result yake! na mtwara itakuwa hivyo hivyo...
      Kwa watu wanaolewa mwenendo wa CDM na uducteta uliopo, hawawezi kukishobokea CDM.
      Am happy watu wa Pwani ni waelewa na wanajua kupima mambo kabla ya kukurupukia vitu!
      hapo nilipoweka nyekundu bold inaonyesha jinsi ulivo shallow! hata kuandika maneno kwa usahihi unashindwa sasa tutegemee point ya maana toka kwako kweli??
      Narrow minded people discuss people,common minded people discuss events great minded people discuss ideas!!!

    5. #123
      OSOKONI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 3,632
      Rep Power : 1109
      Likes Received
      1001
      Likes Given
      756

      Default re: CHADEMA yawa gumzo Mtwara

      Quote By ritz
      Wewe kweli kauzu yani ukiwa mshabiki wa Chadema humu JF ndio great thinkers halafu kazi yako ni kuisifia Chadema ndio unakuwa unaongea pointi?
      shule hizi za kata zimeharibu wengi sana! unaacha mada husika unarukia kutukana!! anyway I never argue with fools like you!!
      Narrow minded people discuss people,common minded people discuss events great minded people discuss ideas!!!

    6. #124
      Kajuni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th May 2009
      Location : Jupiter
      Posts : 390
      Rep Power : 587
      Likes Received
      85
      Likes Given
      85

      Default re: CHADEMA yawa gumzo Mtwara

      so what?
      We should use common sense although common sense is not always common to everyone!!!

    7. #125
      SIERA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 370
      Rep Power : 485
      Likes Received
      52
      Likes Given
      86

      Default re: CHADEMA yawa gumzo Mtwara

      Quote By Molemo
      Unataka zipigwe nyimbo za Shetani?
      Ulitakiwa unijibu Ndio uniulize swali"......kwanini zinapigwa za mapambio tu au wanachama wake wote ni watu wa mapambio

    8. FemaTV & Radio

    9. #126
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,688
      Rep Power : 1913
      Likes Received
      1583
      Likes Given
      676

      Default re: CHADEMA yawa gumzo Mtwara

      Quote By OSOKONI
      shule hizi za kata zimeharibu wengi sana! unaacha mada husika unarukia kutukana!! anyway I never argue with fools like you!!
      Mkuu osokoni naona umeamua kuyashambulia magamba
      parameter likes this.

    10. #127
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,688
      Rep Power : 1913
      Likes Received
      1583
      Likes Given
      676

      Default re: CHADEMA yawa gumzo Mtwara

      Quote By Kajuni
      so what?
      CCM Mjiandae kuwa wapinzani
      parameter likes this.

    11. #128
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,423
      Rep Power : 10874
      Likes Received
      3801
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By SIERA
      Ulitakiwa unijibu Ndio uniulize swali"......kwanini zinapigwa za mapambio tu au wanachama wake wote ni watu wa mapambio
      Mtu ukiwa kila mara unapenda kuchochea fujo za udini kwa watu wastaarabu watakudharau.

    12. #129
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,688
      Rep Power : 1913
      Likes Received
      1583
      Likes Given
      676

      Default re: CHADEMA yawa gumzo Mtwara

      Quote By ritz
      Mkuu wangu Tanzania kuna watu zaidi ya milioni 40 JF kuna members 70,000 na kuna zaidi ya Multiple ID's 40,000 Members hai unaweza kukuta wapo 20,000 tu Chadema wape members 15,000 hawa ndio wanawawakilisha Watanzania milioni 45? Ha haa haaa haaaa haaaaaa!
      Ukumbuke hao 15000 ndio walimu wa hao ambao sio member

    13. #130
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,277
      Rep Power : 12580
      Likes Received
      5814
      Likes Given
      768

      Default

      Quote By OSOKONI
      shule hizi za kata zimeharibu wengi sana! unaacha mada husika unarukia kutukana!! anyway I never argue with fools like you!!
      Mbona unalia lia wapi umetukanwa umejibiwa kiungwana mbona...ni kweli mie nimesoma shule za kata ndio saizi yetu sisi masikini nyie mna uwezo ndio maana mmesoma shule za kulipia mkuu.

    14. #131
      mshikachuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2010
      Posts : 2,346
      Rep Power : 898
      Likes Received
      429
      Likes Given
      2283

      Default re: CHADEMA yawa gumzo Mtwara

      Quote By ritz
      Nimecheka mpaka mbavu zinauma hivi hunaweza kuchukuwa nchi na wabunge 23?
      Kwanza nimekucheka sana,kisha nikasikitika! kwahiyo kwa akili yako unadhani 2015 Chadema bado itakuwa na
      wabunge hao hao 23?....za mbayuwayu changanya na zako. pole sana!
      Signature yangu nimeihifadhi kwa mda...usiitumie


    15. #132
      kibakiking's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : dar es salaam
      Posts : 93
      Rep Power : 442
      Likes Received
      8
      Likes Given
      1

      Default re: CHADEMA yawa gumzo Mtwara

      yes ni kweli watu wa mtwara wamekuwa na kiu ya mabadiliko na walikuwa wanataka kujua ni lini CDM watakwenda kwao kuna rafiki zangu huko kama 5 na hao watakuwa mfano sana

    16. #133
      NasDaz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2009
      Location : Ushenzini
      Posts : 3,070
      Rep Power : 5348
      Likes Received
      1412
      Likes Given
      1648

      Default re: CHADEMA yawa gumzo Mtwara

      Quote By mshikachuma
      Mmh! yaani nimecheka hadi mbavu zinaniuma...nimekusoma between the line nikagundua unasumbuliwa na vitu 2.
      Kwanza wewe ni mdini sana! na ninaguess wewe ni Islam. Badilika mkuu hizi dini tumeletewa tu na wajanja wakuja.
      Pili nafsi yako imejaa chuki kubwa sana kwa Chadema, lakini jiulize swali hili...hivi hawa CDM wasipokubalika Lindi na
      Mtwara watashindwa kuichukua nchi 2015 au 2020? Jibu unalo mwenyewe na nijepesi sana kama utashirikisha ubongo
      wako.
      All in all usipoteze mda wako kwa kutaka kuzuia mafuriko au tsumani kwa mikono yako miwili! Jitahidi kusoma alama za
      nyakati...kwani sauti ya wengi ni sauti ya Mungu! Time will tell
      We ndo bure kabisa, unasoma offlines halafu unajifanya unasoma btn the lines! Sasa kama ningekuwa mdini mwislamu si ningeitetea hiyo CUF inayosemwa kwamba ni chama cha waislamu!!! Mdogo wangu wa damu ni kada wa CUF....siku moja nilimuuliza ikiwa kweli CUF hawajinasibishi na uislamu ni kwanini mikutano yao (enzi hizo) walikuwa wanafanya sana siku za ijumaa...hakuwa na jibu!
      I am a free thinker! It's only my free thinking that leads me, to what am commenting. Thus, I've no doubt that today I can be your fellow but tomorrow your enemy, and the agent between us being my comments!! So, If today we agree with cheers, tomorrow we'd not disagree with jeers!


    17. #134
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,277
      Rep Power : 12580
      Likes Received
      5814
      Likes Given
      768

      Default

      Quote By Precise pangolin
      Ukumbuke hao 15000 ndio walimu wa hao ambao sio member
      Naona umefuta kwa kasi ajabu post yako utumbo ulioiandika...narudia tena JF sio Mali ya Chadema ni jukwaa huru.
      Ndumbayeye likes this.

    18. #135
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,277
      Rep Power : 12580
      Likes Received
      5814
      Likes Given
      768

      Default

      Quote By mshikachuma
      Kwanza nimekucheka sana,kisha nikasikitika! kwahiyo kwa akili yako unadhani 2015 Chadema bado itakuwa na
      wabunge hao hao 23?....za mbayuwayu changanya na zako. pole sana!
      Hata mie nimekucheka nimekuonea na huruma mwaka 2015 Chadema watapata madiwani wengi kuliko wabunge pole sana..

    19. #136
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,688
      Rep Power : 1913
      Likes Received
      1583
      Likes Given
      676

      Default re: CHADEMA yawa gumzo Mtwara

      Quote By ritz
      Naona umefuta kwa kasi ajabu post yako utumbo ulioiandika...narudia tena JF sio Mali ya Chadema ni jukwaa huru.
      Ameshakula ban kwi! Kwi! Kwi!

    20. #137
      NasDaz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2009
      Location : Ushenzini
      Posts : 3,070
      Rep Power : 5348
      Likes Received
      1412
      Likes Given
      1648

      Default re: CHADEMA yawa gumzo Mtwara

      Quote By mshikachuma
      Mmh! yaani nimecheka hadi mbavu zinaniuma...nimekusoma between the line nikagundua unasumbuliwa na vitu 2.
      Kwanza wewe ni mdini sana! na ninaguess wewe ni Islam. Badilika mkuu hizi dini tumeletewa tu na wajanja wakuja.
      Pili nafsi yako imejaa chuki kubwa sana kwa Chadema, lakini jiulize swali hili...hivi hawa CDM wasipokubalika Lindi na
      Mtwara watashindwa kuichukua nchi 2015 au 2020? Jibu unalo mwenyewe na nijepesi sana kama utashirikisha ubongo
      wako.
      All in all usipoteze mda wako kwa kutaka kuzuia mafuriko au tsumani kwa mikono yako miwili! Jitahidi kusoma alama za
      nyakati...kwani sauti ya wengi ni sauti ya Mungu! Time will tell
      We ndo bure kabisa....unasoma off lines halafu unajifanya unasoma btn the lines!!! Sasa ningekuwa mdini musilamu kama unavodai wewe si ningewashabikia CUF ambao wengi wanasema kwamba ni chama cha waislamu (kama wanavyosema CDM ni chama cha wakristo)!! Mdogo wangu wa damu ni kada wa CUF, nakumbuka niliwahi kumuuliza ikiwa CUF hawajinasibishi na Uislamu ni kwanini basi (especially zamani) mikutano yao walikuwa wanapenda sana kuifanya Ijumaa...hakuwa na jibu! Na hapa nimeshawahi kusema kabla, sababu inayonifanya nisikubali CHADEMA ndio hiyo hiyo inayonifanya nisiwakubali CUF....kwamba harakati na mambo yao huwa siwaelewei elewi!
      I am a free thinker! It's only my free thinking that leads me, to what am commenting. Thus, I've no doubt that today I can be your fellow but tomorrow your enemy, and the agent between us being my comments!! So, If today we agree with cheers, tomorrow we'd not disagree with jeers!


    21. #138
      mshikachuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2010
      Posts : 2,346
      Rep Power : 898
      Likes Received
      429
      Likes Given
      2283

      Default re: CHADEMA yawa gumzo Mtwara

      Ritz, jitahidi kusoma alama za nyakati...utasombwa na mafuriko ya mageuzi
      Signature yangu nimeihifadhi kwa mda...usiitumie


    22. #139
      BUBE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2010
      Location : KIMANZICHANA
      Posts : 629
      Rep Power : 558
      Likes Received
      170
      Likes Given
      174

      Default re: CHADEMA yawa gumzo Mtwara

      KWA HIYO NI NANI AMEWAOA KWA SASA? Nadhani rekebisha sentenso yako maana mimi Mmakonde damu! Suala si kabila kuoa kabila, bali ni jitihada za pamoja kukomboa nchi yetu! Kuachana na fika mgando na kuleta vuguvugu la mawazo mapya ya kimapinduzi na yenye tija kwa watu wote. Kwa bahati mbaya sisi wamakonde hatujaona mapinduzi hayo, ndo maana safari ya kilomita mia sita (Da-Mtwara) unaweza kutumia masaa 36 usipokuwa makini. Ndo maana bei ya korosho inapangwa na wasiowakulima wakati wenye kutoka jasho ni wakulima. Ndo maana hali ya kiuchumi imeendelea kuwa duni. Haya ndo mawazo ya kuleta kwenye jukwaa yajadiliwe! Sio mchaga kumwoa mmakonde! Wamakonde hawaolewi kama kabila, maana kama ni hivyo niambie kwa sasa amewaoa nani? Na je wamakonde wote ni wanawake. Acha matusi ya ya rejareja PASCO!!!!!!!!!!
      Quote By Pasco_jr_ngumi
      Mmechemka, hii ni ngome ya CCM !!!!!! Tangu lini Mmakonde aolewe na Mchaga???

    23. #140
      jacob ndunguru's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 18th May 2012
      Posts : 3
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default re: CHADEMA yawa gumzo Mtwara

      Hi sio mtwara 2,itapokelewa kwa shangwe nchi nzima mana hata wakulima,wana vijiji wameanza kutambua kama wananyonywa katika nchi yao ambayo maendeleo ni hafifu ukilinganisha na utajili uliopo,nyie hamjaliona hilo,chunguzeni bana

    Page 7 of 10 FirstFirst ... 56789 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...