Katika kule tunaposema ni kulindana na nani amfunge Paka Kengele ni kua kuna yule bwana aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) kwa takribani miaka 20, Amani Mwenegoha naye ameukwaa ukuu wa wilaya.
Huyu mtu alikuwa na kesi ya kula hela za Kanisa; hapa napata mshtuko kuhusiana na kulindana huku.


Reply With Quote


YU MPUMBAVU KIPOFU AGOMBANAE NA ANAYEMUONGOZA KATIKA MAPITO SALAMA!
Follow Us Here