Re: Kwa mhe: Mwakyembe
unadhani hajui? Anajua huyu. Shida ni kwamba hawezi kuwaangusha wakubwa wake wa kazi na hapa ndipo ugumu wake wa kazi utakapoanzia! Anyway ameshashindwa! Ngoja tuone kama tunatabiri uongo!
wakati Cuf wanataka kuchukua nchi mwaka 2000 CCM walikuja na single ya kusema Cuf ni waislamu na kwa sasa wanadai sisi Chadema ni chama cha wakristo sasa CCM nacho ni cha watu gani? Watu wakajibu mashetaaaaaniiiiii.!---Wana Kigoma.
....Pamoja na kansa ya uongozi wa CCM watu wataendelea kukichagua,au watu wanaweza wakachoka na kusema potelea mbali wakachagua chama KINGINE....Julius. Kambarage. NYERERE"
Follow Us Here