Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Joshua Nassari MB.

    Report Post
    Page 19 of 20 FirstFirst ... 917181920 LastLast
    Results 361 to 380 of 389
    1. #1
      Arushaone's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2012
      Location : Arusha
      Posts : 6,377
      Rep Power : 40138
      Likes Received
      5026
      Likes Given
      16240

      Default Joshua Nassari MB.

      WanaJF
      Nadhani wote mngependa kujua kuhusu kinachojiri hapa kuhusu Mheshimiwa Joshua Nasari na sakata lake na polisi wa Arusha. To make a long story short, mchana huu kasharipoti kituo kikuu cha police hapa Arusha akifuatana na Godbless Lema na baadhi ya viongozi wa CDM akahojiwa kwa kama 20 minutes then yuko free. Karibuni Arusha.
      Ochu, palalisote, Mboko and 4 others like this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #361
      Gumzo's Avatar
      Guest Array
      Join Date : 2nd January 2012
      Posts : 211
      Rep Power : 0
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Hatimaye joshua nassari aripoti kituo kikuu cha polisi mkoani arusha



      Wakili Albert Msando akizungumza na waandishi wa habari jana katika makao makuu ya Jeshi hilo mkoani Arusha akiwa na Mbunge wa Jimbo la Arumeru Magharibi Joshua Nassari (Chadema) alipojisalimisha Polisi baada ya kutakiwa kujisalimisha.



      KWA HABARI KAMILI BOFYA HAPA

      JOSHUA NASSARI ARIPOTI KITUO KIKUU CHA POLISI MKOANI ARUSHAGUMZO LA JIJI

    4. #362
      Borakufa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2011
      Location : Tohell
      Posts : 1,149
      Rep Power : 638
      Likes Received
      258
      Likes Given
      206

      Default Re: Tamko la Joshua Nassari, Mbunge wa Arumeru Mashariki

      Quote By Shardcole
      yani mapolisi na ubaba wao wote eti wanakaogopa haka katoto Nassary(26), duuuuuu kweli hii serkali ni legelege.
      Lege bim lege bin lege bin lege wabun lege bint legea

    5. #363
      Borakufa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2011
      Location : Tohell
      Posts : 1,149
      Rep Power : 638
      Likes Received
      258
      Likes Given
      206

      Default Re: Tamko la Joshua Nassari, Mbunge wa Arumeru Mashariki

      Quote By JingalaFalsafa
      Bila samahani ndugu yangu, nilishakusamehe kabla hujawaza kuandika post yako!
      Ila tu nikukumbushe kuwa, Dr. Slaa na Chdm inaheshimu sana mawazo yako kama shabiki au mwanachama katika kuimarisha chama. Kudhania kuwa raia hana mchango wowote katka uwajibikaji wa viongozi ndiko kulipotufikisha hapa tunapopalalamikia leo.
      Nakushauri, acha ushabiki tumia mantiki katika kuhoji mambo! Pole sana kwa kujidharirisha, ila usiumie sana bado una nafasi ya kuonesha kuwa unaakili, uliteleza tu na hukuanguka, kama alivyoteleza Nassari.
      Mungu wetu anaita!

      Mwee kweli jinga"Majina uumba" ovyo! kada mkubwa wee!!


    6. #364
      Borakufa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2011
      Location : Tohell
      Posts : 1,149
      Rep Power : 638
      Likes Received
      258
      Likes Given
      206

      Default Re: Tamko la joshua nassari mb arumeru mash.

      Quote By Tume ya katiba
      Well said my brother,

      Niliandika pia siku ya kwanza kabisa kuwa nasary bado mdogo na ni mchanga sana katika siasa. Pia nilisema kuwa nafasi

      Ubunge aliyoyano imemzidi umri na uwezo i mean sio saizi yake.

      At least umenena kweli.

      Ni kwa watu kama wewe pekee ndio jamii hupata manufaa ya kweli.

      Well done my brother.
      Nope! mdai haki yeyote! huuitwa majina mbaya! kama vile gaidi, mhaini etc!! apelekwe mahakamani kama kakosea! He is a freedom fighter!!

    7. #365
      JingalaFalsafa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th April 2012
      Location : Africa.
      Posts : 336
      Rep Power : 425
      Likes Received
      211
      Likes Given
      80

      Default

      Quote By Mbalinga
      Nakubaliana na wewe kwa kiasi fulani. Lakini nadhani nchi hii inahitaji watu watakaotibua hali ili watawala wetu wapate akili. Nakumbuka kuna wakati Mh Mbowe alisema inabidi wakati fulani pawe na Civil disobedience, je utasema Mbowe alikosea? Ni kwa sababu utawala uliopo hauwezi usikia vilio vya watu bila kauli kali kama hizi. Kwa nchi yenye demokrasia ya kweli na iliyotulia, na ambayo viongozi wake ni wasikivu kwa matakwa ya raia wake, kauli ya Nassari ingekuwa mbaya sana, lakini si kwa serikali kama yetu, ambayo kwa kutumia jeshi la polisi wanaifichia CCM ukweli wa mauaji wanayoyafanya kwa viongozi na makada wa vyama vya upinzani.

      Natamani kauli kama hizi ziwe nyingi ili kuwaamusha wananchi na kuifanya serikali hii izinduke. Msimamo wangu siku zote ni kuwa CCM haindoki kwa lugha laini laini, lazima iambiwe maneno magumu ambayo hata wakiyasikia masikio yawe yawashwe.

      Wito kwa Polisi wetu; acheni kufuatilia mambo yasiyo na umuhimu na kujaribu kuyakuuuuuza; kumbuka walivyomkamata Mbowe kule Dar na kumpeleka Arusha, nguvu kubwa inatumika kwa mambo madogo sana. Wao wanajua kuwa pamoja na Nassari kutamka yale maneno, hana uwezo wa kufanya lolote, ama wananchi wa Arusha hawawezi kufanya chochote kwa kauli ile; kwa nini msifanye mambo muhimu kwa nchi hii?
      Ndugu, nadhani hujaichunguza kauli ile! Naweza kuamini kuwa alikuwa anaishinikiza serikali, lakini ukweli huu pia hauwezi pingika..."kauli inapinga umoja tulionao, inaamsha chuki ya watanzania wengine dhidi ya wameru, inajenga picha mbaya kwa chama, inakiuka utaifa wetu" Mbowe hakuwa na maana hiyo, civil disobdience ni kama zile zinazotokea Mbeya, wamerusha mawe, watu kugoma, nk. Lakini huku kwa Nasari sio kuikomoa serikali, bali ni kuwakomoa watanzania wengine! Kwanza atakuwa hajashinda vita, ila ameikimbia, na chuki ambayo itaibuka kati ya watz na wameru sio ya kuizima na maji. Ndio maana nilikuja na mawazo hayo, kuimarisha umoja kumshinda adui yetu. Yalikuwa mawazo yangu mimi, sio amri!
      Mungu wetu anaita!

    8. Miaka 50

    9. #366
      kaiyulankuba's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 44
      Rep Power : 368
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: Tamko la Joshua Nassari, Mbunge wa Arumeru Mashariki

      Bwana RAGE alipanda na bastola Igunga jeshi halikuona,bwana Mkama akatoa kauli nzito za makomando na walikopata mafunzo bila vielelezo polisi wakaishia kusema CDM iwashtaki kwani wao hawajui,leo kijana kasema hli neno wao wamelipandia juu.Ukweli ni kwamba CCM wanawatumia polisi kuwatishia watanzania wasifuate njia ya haki lakini hatuchoki kama GADDAF na wenzake walishindwa na utajili wao wote na nyie magamba mtashinwa tu.Ebu ona kesi za kupinga uchaguzi zlivyo kibao kwa USHINDI WA CDM alafu wanajitetea kutohuska na mauaji wakati mnakataa ushindi wa kweli.POLENI MAGAMBA MAANA HAMNA TENA JIPYA.WATU WANAJUA KUWA MNAWADANGANYA KWA VISINGIZIO VISIVYO NA MASHIKO.NA MKOME KUTUDHARAU WATANZANIA KANA KWAMBA HATUNA MACHO HATUONI!

    10. #367
      sanjo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th October 2010
      Posts : 861
      Rep Power : 606
      Likes Received
      219
      Likes Given
      33

      Default Re: NASSARY awapasulia jipu tena mapolisi Arusha'

      Quote By Mungi
      Kina Ritz wanamwona Nassary ni mtu mkubwa sana. Ni waoga hujapata kuona
      Mtawala ambaye sera zimemuishia njia ya mwisho ni kutumia rungu na mabavu ya dola ili kupunguza makali ya wapinzani wake. Subiri mengi tutayaona.
      Whatever exists is already becoming obsolete.

    11. #368
      Cheche Mtungi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 14th November 2010
      Location : POPOTE NIPO
      Posts : 737
      Rep Power : 0
      Likes Received
      7
      Likes Given
      6

      Default Re: Hatimaye joshua nassari aripoti kituo kikuu cha polisi mkoani arusha

      Quote By Choziba


      Wakili Albert Msando akizungumza na waandishi wa habari jana katika makao makuu ya Jeshi hilo mkoani Arusha akiwa na Mbunge wa Jimbo la Arumeru Magharibi Joshua Nassari (Chadema) alipojisalimisha Polisi baada ya kutakiwa kujisalimisha.



      KWA HABARI KAMILI BOFYA HAPA

      JOSHUA NASSARI ARIPOTI KITUO KIKUU CHA POLISI MKOANI ARUSHAGUMZO LA JIJI
      Chalii nae aonyeshe amekua,aache maskhara kama ni kweli amepayuka,naamini atakuwa mfano bora kama kiongozi kijana!

    12. #369
      JingalaFalsafa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th April 2012
      Location : Africa.
      Posts : 336
      Rep Power : 425
      Likes Received
      211
      Likes Given
      80

      Default

      Quote By Borakufa
      Mwee kweli jinga"Majina uumba" ovyo! kada mkubwa wee!!

      Kweli, ukikosa akili duniani borakufa. Jinalo laumba nini mwenzangu? Mimi mwenzio jinga kweli, wewe?
      Ficha upuuzi wako, na si hekima yako "invisible" amenena!
      Mungu wetu anaita!

    13. #370
      Drifter's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th January 2010
      Posts : 634
      Rep Power : 603
      Likes Received
      93
      Likes Given
      63

      Default Re: NASSARY awapasulia jipu tena mapolisi Arusha'

      Quote By makoye2009
      I can't believe this. Kwamba Polisi wamemhoji Nassari for 6 hours! Walikuwa wanamhoji kitu gani hasa WASICHOKIJUA????
      Hakika HATUNA POLISI NCHI HII! Hivi huyu dogo na MANENO ALIYOTAMKA KUWA ANAWEZA KUMZUIA RAIS WA NCHI JAKAYA KIWETE ASIKANYAGE ARUSHA YANA UKWELI WOWOTE HAPO????Kwa ujinga wa Polisi wetu wanayaona haya maneno kama DEAL na issue nzito ya kupotezea muda!!!!...

      Kwa hiyo tunaweza kuhitimisha kwa kusema kuwa KAMA JOSHUA NASSARI NA WAFUASI WA CDM ATAWEZA KUMZUIA KIWETE ASIKANYAGE 'A' TOWN,THEN HATUNA JESHI LA POLISI,HATUNA UWT,HATUNA JWTZ NA KWA MAANA HIYO HATUNA SERIKALI. MAANA YAKE NI NINI??NI WAKTI WA CHADEMA KUCHUKUA NCHI. Pambaf!

      Hapa unaona waziwazi kabisa kwamba dola na mashabiki wake wamekuwa kama mfa maji kapata unyasi wa kushikilia. Mh. Nassari kateleza kikawaida kabisa kama ilivyo kwa wanasiasa wetu wengi. Basi tungeshtuka sana enzi zile Mh. Sumaye alipowataka wafanyabiashara wajiunge na CCM wakitaka mambo yao yawaendee safi. Kusema kwamba kauli ya Nassari inatishia amani ya nchi ni unafiki wa hali ya juu na ubabaishaji. Ingekuwa CHADEMA wamesema ndio msimamo wa chama ingekuwa habari nyingine. Nassari anatakiwa kupewa mawaidha na chama chake kuhusu kauli maridhawa za kisiasa; sio kupigiwa kelele zote hizi zisizo na mashiko kwenye media!
      The sources of our fears reside within our depths

    14. #371
      santesandy's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Posts : 63
      Rep Power : 369
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By JingalaFalsafa
      Ni mkubwa sana kimamlaka, ni mwakilishi wa wanaarumeru wa mashariki wote, pia wengi vijana wameshamfanya kama role model wao, unaweza kufikiria kauli yake imezaa nini kwa watu hao? Hata kama alikuwa na lengo la kuhamasisha mikoa mingine, tafsiri hiyo imo nafsini mwake tu, ni njia ya kitoto na haina mantiki, kwanini asiombe radhi tu aeleweke yaishe! Ndugu we sijui umechambua kwa ujumla upi? Usitumie hisia zako kwake, utaishia kumtukana, au kumpa sifa za kijinga. TUMIA MANTIKI!
      Mungu wetu anaita!
      asante
      Last edited by santesandy; 9th May 2012 at 19:35.

    15. #372
      santesandy's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Posts : 63
      Rep Power : 369
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By JingalaFalsafa
      Bila samahani ndugu yangu, nilishakusamehe kabla hujawaza kuandika post yako!
      Ila tu nikukumbushe kuwa, Dr. Slaa na Chdm inaheshimu sana mawazo yako kama shabiki au mwanachama katika kuimarisha chama. Kudhania kuwa raia hana mchango wowote katka uwajibikaji wa viongozi ndiko kulipotufikisha hapa tunapopalalamikia leo.
      Nakushauri, acha ushabiki tumia mantiki katika kuhoji mambo! Pole sana kwa kujidharirisha, ila usiumie sana bado una nafasi ya kuonesha kuwa unaakili, uliteleza tu na hukuanguka, kama alivyoteleza Nassari.
      Mungu wetu anaita!
      jinga kwanini una amini sana kwamba kuna mantiki kwenye hoja zako, na za wengine ni ushabiki ama hisia? Hapa umetumia hoja yenye lengo la kumshushua mwenzako. Pia huo msamaha wako umewai sana kuutoa, aina iyo ya misamaha husukumwa na kiburi tu! Na sijui ni Mungu wetu yupi huyo anaye ita, na anaita mwito gani!
      Last edited by santesandy; 9th May 2012 at 19:30.

    16. #373
      Jagermaster's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : Echtenstein
      Posts : 642
      Rep Power : 565
      Likes Received
      246
      Likes Given
      185

      Default Re: Chadema hiyoo yazidi kuteleza!!

      Quote By Mu-Israeli
      Mmhhh !!

      Attachment 53889

      Ila mathalani ukiambiwa uchague 'siasa za kanda' na siasa za 'kudadadeki !!!' utachagua nini ???
      Oooops !! Nilitaka kusahau ... Hiyo 'Kudadadeki' ni kwa hisani ya huyo jamaa hapo kwenye picha !!!
      Kwa wale ambao hawakupata audio ya Mh Joshua hii hapa.

      JOSHUA NASSARI SPEECH.mp3 - Hulk Share - Music Distribution Platform
      All things are subject to interpretation; whichever interpretation prevails at a given time is a function of power and not truth.

    17. #374
      JingalaFalsafa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th April 2012
      Location : Africa.
      Posts : 336
      Rep Power : 425
      Likes Received
      211
      Likes Given
      80

      Default

      Quote By santesandy
      jinga kwanini una amini sana kwamba kuna mantiki kwenye hoja zako, na za wengine ni ushabiki ama hisia? Hapa umetumia hoja yenye lengo la kumshushua mwenzako. Pia huo msamaha wako umewai sana kuutoa, aina iyo ya misamaha husukumwa na kiburi tu! Na sijui ni Mungu wetu yupi huyo anaye ita, na anaita mwito gani! Kama ni YAHWE, naomba tuongee nje ya JF.
      Ndugu, msamaha wangu wala sio wa kiburi hata kidogo, ni kutoka moyoni japo najua amenikosea, siwezi kumlaumu!
      Nimesema tutumie mantiki ya mambo, ila sio ushabiki na hisia, mimi na kwa wengine! Sidhan kama kuna mantiki yoyote katika matusi, au kumuhukumu mtu kisa tu hajasema kile unachokifurahia. Tukosoane ila kwa hoja, na si vinginevyo.

      Kweli..."MUNGU WETU ANAITA" LAZIMA TUITIKE KATIKA UMOJA NA KUTHUBUTU.
      Labda ni Yahwe.... Lakini nachojua ni Mungu wetu aliye hai! Nitajitahid kukutafuta, nivumilie tafadhali!
      Ukishabikia siasa, kubali kuanguka na kunyanyuka, imo!
      Mungu wetu anaita sasa!
      Last edited by JingalaFalsafa; 9th May 2012 at 20:21.

    18. #375
      Ringo Edmund's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Location : MDAWI
      Posts : 3,670
      Rep Power : 1361
      Likes Received
      885
      Likes Given
      586

      Default Re: Tamko la Joshua Nassari, Mbunge wa Arumeru Mashariki

      nchi iitweje?tanga,kilimanjaro,arus ha manyara,mara mwanza na kagera du bonge la nchi.
      hata kagame haoni ndani kwa maendeleo.
      kama zanzibar wanataka nchi yao sijui itakuwaje na hawa wakitaka hii nchi.\

      yaani ni full amerika.
      ​kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.

    19. #376
      Kigarama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2007
      Location : Manzese kwa Mfuga Mbwa
      Posts : 2,359
      Rep Power : 16278
      Likes Received
      974
      Likes Given
      703

      Default Re: Tamko la Joshua Nassari, Mbunge wa Arumeru Mashariki

      Quote By jmushi1
      Kigarama,unafahamu maana ya verbatim?Huoni mjadala ungekuwa vyema baina yetu kama ungeweka hayo maneno kama alivyoyasema?
      jmushi1 naujua sana lakini nashangaa tangu lini tumeanza kudaiana ushahidi wa neno kwa neno badala ya kujadiliana kwa hoja?
      UKIDHANI WEWE SI MWENDAWAZIMU PIMA KWANZA UHUSIANO WAKO NA MACHIZI!!

    20. #377
      santesandy's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Posts : 63
      Rep Power : 369
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By JingalaFalsafa
      Ndugu, msamaha wangu wala sio wa kiburi hata kidogo, ni kutoka moyoni japo najua amenikosea, siwezi kumlaumu!
      Nimesema tutumie mantiki ya mambo, ila sio ushabiki na hisia, mimi na kwa wengine! Sidhan kama kuna mantiki yoyote katika matusi, au kumuhukumu mtu kisa tu hajasema kile unachokifurahia. Tukosoane ila kwa hoja, na si vinginevyo.

      Kweli..."MUNGU WETU ANAITA" LAZIMA TUITIKE KATIKA UMOJA NA KUTHUBUTU.
      Labda ni Yahwe.... Lakini nachojua ni Mungu wetu aliye hai! Nitajitahid kukutafuta, nivumilie tafadhali!
      Ukishabikia siasa, kubali kuanguka na kunyanyuka, imo!
      Mungu wetu anaita sasa!
      hotuba ya Nassari pale NMC ililenga kulaani mauaji ya mwenyekiti wa CDM Usariver, ambayo hayaja shughulikiwa ipasavyo. Kuna wabunge wa CDM walicharangwa mapanga, na jeshi la polisi lipo kimya. Nassari alitishia kujitenga au kumpiga raisi marufuku, lakini uchambuzi wako wenye "MANTIKI" na wengine wengi mnachambua kama kwamba tayari ameshatoa tamko rasmi la huko kujitenga! Alisema KAMA, polisi wasipo shughulika kuwapata wauaji na kuwachukulia hatua.... Labda hatuna "MANTIKI", tunaongozwa na hisia na ushabiki, lakini nashawishika kuamini kwamba Nassari alisukumwa na mauaji ambayo yana sura ya visasi vya kisiasa na ubutu wa polisi kufanya kazi yao kutoa kauli tunazotumia kumhukumu. Ndo maana naomba tuangalie context kabla ya kufanya hitimisho la uchambuzi wa maneno.
      Mimi ni mfuasi na muumini wa Mungu aliye hai, na jina langu hapo juu ni halisi, and I gave you my number. Sina unafiki, na siyo mwanachama wa CDM, lakini naijua haki na ntasimama kwenye haki tu.

    21. #378
      PAMBANA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Posts : 61
      Rep Power : 447
      Likes Received
      10
      Likes Given
      0

      Default Re: Tamko la Joshua Nassari, Mbunge wa Arumeru Mashariki

      Kamanda Nasari songa mbele usirudi nyuma wala kutishwa nao hao polisiCCM

    22. #379
      jmushi1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2007
      Posts : 14,376
      Rep Power : 16492
      Likes Received
      4299
      Likes Given
      5491

      Default Re: Tamko la Joshua Nassari, Mbunge wa Arumeru Mashariki

      Quote By Kigarama
      jmushi1 naujua sana lakini nashangaa tangu lini tumeanza kudaiana ushahidi wa neno kwa neno badala ya kujadiliana kwa hoja?
      Kigarama, sasa utajadili hoja ya "Mtu kasema kitu" halafu kitu hicho alikichosema mtu huyo hukiwezi wazi kwenye mjadala?Utakuwa unajadili kitu gani sasa?
      "One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors"-Plato

    23. #380
      Lole Gwakisa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2008
      Posts : 2,959
      Rep Power : 1132
      Likes Received
      462
      Likes Given
      330

      Default Re: Tamko la Joshua Nassari, Mbunge wa Arumeru Mashariki

      Nyota ya Nassari kama kionozi kijana wa kuwakilisha vijana wa leo imeingia dosari kubwa.
      Siwezi kumuweka Nassari katika kundi moja na Zitto intellectually ni kama mbingu na nchi.

      Mwanasiasa anapoongea juu ya kujitenga kimsingi huo ni uhaini. Anapopata upport toka kwa wanachama wake hii inamwongeze matatizo na kuonyesha kuwa anacho propagate may come to reality.

      Na hapo ndio hatua kali zisizoeleweka zaweza kuchukuliwa kwa mtu huyu na watu wakisha poteza maisha katika sakata kama hili utetezi wa utoto , kama ilivyo kwa Lulu unakuwa hauna maana sana.
      Yours faithfully!

    Page 19 of 20 FirstFirst ... 917181920 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...