JK kushindwa kuteua wakuu wa wilaya kwa zaidi ya mwaka kunatokana na CCM kupungukiwa makada?
Tangu ulipomalizika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 wilaya nyingi hazina wakuu wa wilaya kwa sababu mbalimbali na hivyo kusababisha baadhi ya wakuu wa wilaya kukaimu zaidi ya wilaya moja.
Katika hali ya kawaida inashangaza sana kwani kuna makada wengi ambao wanamaliza soli bila kuwa na hakika ya mlo wa kesho!
Je kucheleweshwa uteuzi wa wakuu wa wilaya kunaweza kuwa kunasababishwa na JK kutokuwaamini makada wake wengi wa CCM au CCM imeishiwa watu wenye sifa za kuwa wakuu wa wilaya?
Never give up your right!
Follow Us Here