Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hoja ya Zitto Kabwe dhidi ya Pinda sasa yaimarika!

    Report Post
    Page 1 of 8 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 147
    1. #1
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Hoja ya Zitto Kabwe dhidi ya Pinda sasa yaimarika!


      Waziri Ngeleja aliyeachwa katika Wizara ya Nishati na Madini


      Adam Kighoma Malima.............bosi wake Ngeleja kamwaga unga lakini kwenye uwajibikaji wa JK huyu ni mtu safi!










      Khoja ya Zitto Kabwe ya kukosa imani na Waziri Mkuu imepata matumaini makubwa baada ya JK kurudia makosa yaleyale ya kuipuzilia mbali taarifa ya CAG ambayo iliyoweka hadharani matatizo makubwa ya wizi na ubadhirifu katika
      Wizara (4) za kilimo, Nishati, Viwanda na Biashara na Serikali za mitaa lakini baadhi ya mawaziri au manaibu wao bado kurudishwa kwa maana ya uhamisho tu kwenye nyadhifa zao ikiashiria ya kuwa JK kaiponda taarifa tajwa.

      Aidha uteuzi wa Prof. Maghembe kutoka wizara ya kilimo kwenda Maji unazua utata mkubwa na huku aliyekuwa naibu wake Chiza kupandishwa cheo katika wizara ileile kwa kazi chafu ya usimamizi wa wizara tajwa kulingana na taarifa ya CAG unaonyesha jinsi serikali ya JK inavyofanya kazi kwa upendeleo, mashinikizo na ya kuwa haijali maelekezo ya Bunge lake lenyewe.

      Uteuzi wa Kighoma Malima aliyekuwa naibu wa Nishati chini ya Ngeleja unazua maswali mengi ambayo hayana majibu kwa sababu baadhi ya manaibu wamewajibishwa lakini huyu na Nyalandu wanaonekana kuwa ni
      "the untouchables" kwenye hii serikali ya wababaishaji................

      Mkuchika na Mwanri nao walivurunda sana wizara ya serikali za mitaa kulingana na taarifa ya CAG lakini JK na Pinda wake wametia pamba masikioni na hivyo kutia dosari kubwa katika zoezi zima la kuwawajibisha watendaji wakuu ndani ya serikali.

      Lakini hii siyo mara ya kwanza kwa JK kukaidi maelekezo ya Bunge ambalo wengi wa wabunge wake wanatoka ndani ya chama chake cha ccm. Katika sakata la Richmond/Dowans manaibu kama Ngeleja walinusurika na leo imeonekana kwa uwazi kabisa ya kuwa kuwapandisha manaibu siyo dawa ya matatizo yaliyopo. Hata akina Dr. Hosea hawakuondolewa kule Takukuru kwa kulipotosha Bunge juu ya sakata la Richmond hadi muda wao wa kustaafu ulipofika na watendaji wengine ilikuwa ni pata shika kuwang'oa ikiashiria JK na Pinda wanalidharau bunge kwa kugoma kutekeleza maagizo yake.

      Kutokana na upembuzi huo, nionavyo khoja ya kumn'goa Pinda bado ina mashiko manene na inapaswa kuendelea kutiliwa mkazo ili kumshurutisha JK na Pinda wake waache na kukoma kabisa kuiendesha nchi kisanii-sanii hivi
      Last edited by Rutashubanyuma; 4th May 2012 at 20:33. Reason: additional points
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    2. Study Abroad

    3. #2
      STEIN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Location : Arusha
      Posts : 1,341
      Rep Power : 714
      Likes Received
      306
      Likes Given
      156

      Default re: Hoja ya Zitto Kabwe dhidi ya Pinda sasa yaimarika!

      Tunasubiri Zito atasema nini... Kama akiondoa hoja ile itakuwa proof kwa Zito kutumiwa na CCM au lengo lake lilikuwa Mkulo atoke.
      Rutashubanyuma likes this.
      “Problems cannot be solved by the same level of thinking that created them.”“Insanity: doing the same thing over and over again and expecting different results.”" by Albert Einstein"

    4. #3
      Sumba-Wanga's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : Gambushi
      Posts : 3,941
      Rep Power : 1208
      Likes Received
      766
      Likes Given
      674

      Default re: Hoja ya Zitto Kabwe dhidi ya Pinda sasa yaimarika!

      Bravo Zito, at least we are now experiencing the true color of opposition.

      Imagine what Tanzania would have been without opposition?
      "A man's or woman's best or worst choice in life is his or her spouse"

    5. #4
      Preta's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : yaeda chini
      Posts : 14,726
      Rep Power : 15101
      Likes Received
      7176
      Likes Given
      6842

      Default re: Hoja ya Zitto Kabwe dhidi ya Pinda sasa yaimarika!

      Quote By Okada
      Bravo Zito, at least we are now experiencing the true color of opposition.

      Imagine what Tanzania would have been without opposition?
      just imagine......me I like opposition......

      Life is too short to waste time hating anyone.........

    6. #5
      Blaki Womani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Location : migombani
      Posts : 4,353
      Rep Power : 26646
      Likes Received
      2654
      Likes Given
      1560

      Default re: Hoja ya Zitto Kabwe dhidi ya Pinda sasa yaimarika!

      Hapo ndio nimeshindwa kumwelewa JK unavurunda huku unapewa kule haina maana bora asingevunja kabla 2015 itakuwa yeye
      Rutashubanyuma likes this.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      LoyalTzCitizen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th September 2010
      Location : Lashkar Gah, Helmand
      Posts : 1,539
      Rep Power : 762
      Likes Received
      157
      Likes Given
      147

      Default re: Hoja ya Zitto Kabwe dhidi ya Pinda sasa yaimarika!

      Mkuu! mimi nimeshachoka na huyu mkuu na serikali yake na sitaki kuumwa na kichwa tena i will sit and watch till he is gone maana jamaa uwezo wake ni mdogo mno na i have to be honest that i really do think i could make a best president compared to this honorable. I just do not understand him at all, Aaarghh what a frustrating creature.
      Kongi likes this.
      "A government that robs Peter to pay Paul can always depend on the support of Paul.." (GB Shaw)


    9. #7
      Blaki Womani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Location : migombani
      Posts : 4,353
      Rep Power : 26646
      Likes Received
      2654
      Likes Given
      1560

      Default

      Quote By Preta
      just imagine......me I like opposition......

      Heeeeh Preta upo hakikisha una kadi dearest

    10. #8
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Re: Hoja ya Zitto Kabwe dhidi ya Pinda sasa yaimarika!

      Tunasubiri Zito atasema nini... Kama akiondoa hoja ile itakuwa proof kwa Zito kutumiwa na CCM au lengo lake lilikuwa Mkulo atoke.
      STEIN uko sahihi the ball is now on Zitto's court........kama akitetereka tunajua amenunuliwa na hawa wanamagamba.......
      mhondo likes this.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    11. #9
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Re: Hoja ya Zitto Kabwe dhidi ya Pinda sasa yaimarika!

      Hapo ndio nimeshindwa kumwelewa JK unavurunda huku unapewa kule haina maana bora asingevunja kabla 2015 itakuwa yeye
      @ ni kweli, sera za Nyerere za kuhamishana yaelekea ndizo sera za ccm na bila kushinikizwa kamwe watakuwa wakiziimba kwenye majukwaa tu................
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    12. #10
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Re: Hoja ya Zitto Kabwe dhidi ya Pinda sasa yaimarika!

      just imagine......me I like opposition......
      Preta..............are you a follower or a mere fan?
      Preta likes this.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    13. #11
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Re: Hoja ya Zitto Kabwe dhidi ya Pinda sasa yaimarika!

      Bravo Zito, at least we are now experiencing the true color of opposition.

      Imagine what Tanzania would have been without opposition?
      Okada mageuzi haya ya shingo upande hayatoshi.....tuna dhiki nying sana tunahitaji mabadiliko ya haraka na yenye kutia matumaini na haya hakuna kitu hadi sasa ni kupooza mkaa unaowaka ukitarajia utazimika kumbe unaukoleza zaidi.......
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    14. #12
      Kiganyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 1,162
      Rep Power : 982
      Likes Received
      708
      Likes Given
      400

      Default Re: Hoja ya Zitto Kabwe dhidi ya Pinda sasa yaimarika!

      Bizness ez yuzo!!
      Rutashubanyuma and mkizungo like this.

    15. #13
      marejesho's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : MULA
      Posts : 3,364
      Rep Power : 13046
      Likes Received
      1553
      Likes Given
      1137

      Default Re: Hoja ya Zitto Kabwe dhidi ya Pinda sasa yaimarika!

      Yaani unachafua bedroom ya kawaida,badala ya kuadhibiwa,unapelekwa masterbedroom !!!

      Politics!Politics! Politics!!!!
      Rutashubanyuma and ANY like this.

    16. #14
      Mbinga's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 64
      Rep Power : 371
      Likes Received
      12
      Likes Given
      0

      Exclamation Re: Hoja ya Zitto Kabwe dhidi ya Pinda sasa yaimarika!

      Quote By Rutashubanyuma
      STEIN uko sahihi the ball is now on Zitto's court........kama akitetereka tunajua amenunuliwa na hawa wanamagamba.......
      Not on Zitto but with all Tanzanians
      Rutashubanyuma likes this.

    17. #15
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Re: Hoja ya Zitto Kabwe dhidi ya Pinda sasa yaimarika!


      Heeeeh Preta upo hakikisha una kadi dearest
      yeah vinginevyo chelea-chelea hulia mwana......@
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    18. EMT
      #16
      EMT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2010
      Location : Mahuta
      Posts : 8,867
      Rep Power : 61719
      Likes Received
      7142
      Likes Given
      6417

      Default Re: Hoja ya Zitto Kabwe dhidi ya Pinda sasa yaimarika!

      Watuhumiwa kwenye ripoti za CAG na zile za Kamati za Bunge sio mawaziri tuu. In fact mawaziri wamekuwa responsible politically. Wako wakurugenzi, makatibu wakuu na watumishi wengine wa ngazi za juu. Kwa hiyo, kama Rais atabadilisha mawaziri tuu bila kuwachukulia hatua hao walio chini ya hao mawaziri ni kama vile hajafanya kitu. Kwa hiyo hoja bado ni ya msingi unless walio chini ya mawaziri watachukuliwa hatua pia. Kumbuka kwenye ripoti ya kamati yake Augustino Mrema alisema halmashauri zote zimeoza.
      “Wanaotaka kuhashua wanatoa rushwa. Wanaotaka kuhashukwa nao wanataka rushwa. Hahashukwi mtu bila rushwa, na mtu hahashui bila rushwa na hapo ndipo tatizo lilipo.” - Mie mwenyewe.

    19. #17
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Re: Hoja ya Zitto Kabwe dhidi ya Pinda sasa yaimarika!

      Not on Zitto but with all Tanzanians
      yeah Mbinga you are right lakini hiyo khoja iko bado kwa Zitto kazi yetu ni kumshinikiza afanye the right thing...................
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    20. #18
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Re: Hoja ya Zitto Kabwe dhidi ya Pinda sasa yaimarika!

      Watuhumiwa kwenye ripoti za CAG na zile za Kamati za Bunge sio mawaziri tuu. In fact mawaziri wamekuwa responsible politically. Wako wakurugenzi, makatibu wakuu na watumishi wengine wa ngazi za juu. Kwa hiyo, kama Rais atabadilisha mawaziri tuu bila kuwachukulia hatua hao walio chini ya hao mawaziri na kama vile hajafanya kitu. Kwa hiyo hoja bado ni ya msingi unless walio chini ya mawaziri watachukuliwa hatua pia. Kumbuka kwenye ripoti ya kamati yake Augustino Mrema alisema halmashauri zote zimeoza.
      EMT huoni yakuwa kama Mkuchika na Mwanri wanaonekana bado wanafaa sasa hao wakurugenzi n amakatibu wakuu si wanafaa zaidi katika wizara ya serikali ya mitaa? Hakuna nia ya kuirekebisha nchi hii ndani ya ccm.........sioni hata dalili.................mengine yo aliyoongea JK leo ni ushahidi kuwa anacheza na maneno tu lakini moyoni anafurahia ufisadi uendelee kushamiri.......
      Manumbu likes this.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    21. #19
      Morinyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th August 2011
      Posts : 700
      Rep Power : 702
      Likes Received
      149
      Likes Given
      75

      Default Re: Hoja ya Zitto Kabwe dhidi ya Pinda sasa yaimarika!

      Quote By STEIN
      Tunasubiri Zito atasema nini... Kama akiondoa hoja ile itakuwa proof kwa Zito kutumiwa na CCM au lengo lake lilikuwa Mkulo atoke.

      Hukumuelewa kabisa alisema mawaziri wenye kashfa wasipowajibika wao kama wabunge(not only ZK) watamuajibisha waziri mkuu. Wameshaondolewa kwenye wizara kwa itabidi ashauriane na wenzake cha kufanya kama ni kuiendeleza au kuiacha.
      Rutashubanyuma likes this.

    22. #20
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Re: Hoja ya Zitto Kabwe dhidi ya Pinda sasa yaimarika!

      Yaani unachafua bedroom ya kawaida,badala ya kuadhibiwa,unapelekwa masterbedroom !!!

      Politics!Politics! Politics!!!!
      marejesho.............you are very spot on.........mkuchika kachafua sebule sasa kahamishiwa ikulu ambako ni master bedroom........is it not polluting the whole government really?
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    23. Miaka 50
    Page 1 of 8 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...