Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ofisi ya CCM yafungwa na kugeuzwa ya CHADEMA:CCM yapoteza Mali na wanachama

    Report Post
    Page 1 of 8 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 146
    1. #1
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,456
      Rep Power : 10882
      Likes Received
      3821
      Likes Given
      426

      Post Ofisi ya CCM yafungwa na kugeuzwa ya CHADEMA:CCM yapoteza Mali na wanachama

      Katika tukio ambalo halikutarajiwa na la kushangaza vijana zaidi ya 50 waliokuwa wanachama wa CCM Tawi la Cairo mjini Mererani wilayani Simanjiro mkoani Manyara wameishusha bendera ya Tawi hilo na kuipandisha ya CHADEMA huku kila kitu ikiwemo ofisi,samani na wanachama wote kuhamia CHADEMA.

      Wanachama hao wamesema wameamua kufanya tukio hilo la kushangaza kutokana na kudai kwamba CCm imepoteza dira na mwelekeo hadi kusababisha maisha kuzidi kuwa magumu na mfumuko wa bei.Pia wamesema wameamua kumuunga mkono aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Arusha James Ole Millya aliyejiondoa CCM na kujiunga na CHADEMA mwezi uliopita.

      Akizungumzia tukio hilo kiongozi wa CCM kata hiyo Sifael Saitore mbali ya kushtushwa na tukio hilo aliahidi kutafuta kiwanja sehemu nyingine kwa ajili ya kujenga ofisi mpya ya Tawi kwani awali Tawi hilo lililojiunga na CHADEMA halikuwa katika eneo linalomilikiwa na CCM.

      Source:Mwananchi Ijumaa Uk.10

    2. Miaka 50

    3. #2
      Waberoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2008
      Location : Busia-Uganda
      Posts : 5,948
      Rep Power : 1742
      Likes Received
      1518
      Likes Given
      2835

      Default Re: Ofisi ya CCM yafungwa na kugeuzwa ya CHADEMA:CCM yapoteza Mali na wanachama

      Hii nzuri kabisa!!
      Sikonge and Ndahani like this.
      You are not supposed to be so blind with patrotism that you cant face reality. Wrong is wrong no matter who says it. Malcom X

    4. #3
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      593
      Likes Given
      76

      Default Re: Ofisi ya CCM yafungwa na kugeuzwa ya CHADEMA:CCM yapoteza Mali na wanachama

      Freedom is around the corner. M4C ni zaidi ya uijuavyo.

    5. #4
      LESIRIAMU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2008
      Posts : 562
      Rep Power : 688
      Likes Received
      88
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Waberoya
      Hii nzuri kabisa!!
      Mali zote Ccm inazotumia ni za wananchi wa itikadi zote coz walizichukua kibabe.

    6. #5
      Rejao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2010
      Location : Long Street
      Posts : 8,758
      Rep Power : 25651
      Likes Received
      3346
      Likes Given
      2878

      Default Re: Ofisi ya CCM yafungwa na kugeuzwa ya CHADEMA:CCM yapoteza Mali na wanachama

      kumbe Arusha? Napita tu
      If you can't convince them, confuse them.
      M-4-C - Movement for Chagaz

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      AlamaZA NYAKATI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 274
      Rep Power : 474
      Likes Received
      23
      Likes Given
      0

      Default Re: Ofisi ya CCM yafungwa na kugeuzwa ya CHADEMA:CCM yapoteza Mali na wanachama

      Quote By Waberoya
      Hii nzuri kabisa!!
      Mpaka kieleweke

    9. #7
      Marytina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2011
      Posts : 4,870
      Rep Power : 1430
      Likes Received
      888
      Likes Given
      274

      Default Re: Ofisi ya CCM yafungwa na kugeuzwa ya CHADEMA:CCM yapoteza Mali na wanachama

      Duh!wanatekeleza agizo la nec
      Kiduku likes this.

    10. #8
      Donyongijape's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2010
      Location : Worldwide
      Posts : 791
      Rep Power : 615
      Likes Received
      168
      Likes Given
      207

      Default Re: Ofisi ya CCM yafungwa na kugeuzwa ya CHADEMA:CCM yapoteza Mali na wanachama

      Duuh..bonge la Uhuni.! Big up


      Ndg wananchi ubunge siyo utendaji, ni uwakilishi tu ndio maana unaweza kukaa bungeni muda wote wewe ni kusinzia tu,”. S.Wassira,7/10/2010 ktk kampeni,Bunda.

    11. #9
      tikatika's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th May 2011
      Posts : 208
      Rep Power : 449
      Likes Received
      48
      Likes Given
      1

      Default Re: Ofisi ya CCM yafungwa na kugeuzwa ya CHADEMA:CCM yapoteza Mali na wanachama

      bado kidogo kuhama ikulu ikawa ya chadema!!!!
      mpujufu likes this.

    12. #10
      FUNGO jr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2011
      Posts : 252
      Rep Power : 433
      Likes Received
      22
      Likes Given
      1

      Default Re: Ofisi ya CCM yafungwa na kugeuzwa ya CHADEMA:CCM yapoteza Mali na wanachama

      ccm is still working harder but cdm works smart
      Manager likes this.

    13. #11
      Fredrick Sanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2011
      Location : Kijitonyama
      Posts : 2,982
      Rep Power : 2590
      Likes Received
      637
      Likes Given
      776

      Default

      Quote By MNYISANZU
      Freedom is around the corner. M4C ni zaidi ya uijuavyo.
      Imekaa vizuri sana, na bado kabisa. Mambo yanakuja

    14. #12
      FUNGO jr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2011
      Posts : 252
      Rep Power : 433
      Likes Received
      22
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Rejao
      kumbe Arusha? Napita tu
      ulizani zenj au?
      FREDOMFIGHTER likes this.

    15. #13
      Tikerra's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2008
      Location : Morogoro
      Posts : 1,588
      Rep Power : 864
      Likes Received
      100
      Likes Given
      3

      Default

      Ndicho CCM walichotaka.Wameshindwa kabisa kusoma alama za nyakati hata baada ya watu kutoa ushauri mwingi wa bure.Ni watu wa ajabu sana,maana hata sasa bado hawajastuka,it's business as usual.
      Quote By fmpiganaji
      Katika tukio ambalo halikutarajiwa na la kushangaza vijana zaidi ya 50 waliokuwa wanachama wa CCM Tawi la Cairo mjini Mererani wilayani Simanjiro mkoani Manyara wameishusha bendera ya Tawi hilo na kuipandisha ya CHADEMA huku kila kitu ikiwemo ofisi,samani na wanachama wote kuhamia CHADEMA.
      Wanachama hao wamesema wameamua kufanya tukio hilo la kushangaza kutokana na kudai kwamba CCm imepoteza dira na mwelekeo hadi kusababisha maisha kuzidi kuwa magumu na mfumuko wa bei.Pia wamesema wameamua kumuunga mkono aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Arusha James Ole Millya aliyejiondoa CCM na kujiunga na CHADEMA mwezi uliopita.
      Akizungumzia tukio hilo kiongozi wa CCM kata hiyo Sifael Saitore mbali ya kushtushwa na tukio hilo aliahidi kutafuta kiwanja sehemu nyingine kwa ajili ya kujenga ofisi mpya ya Tawi kwani awali Tawi hilo lililojiunga na CHADEMA halikuwa katika eneo linalomilikiwa na CCM.

      Source:Mwananchi Ijumaa Uk.10

    16. #14
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,186
      Rep Power : 24275
      Likes Received
      4682
      Likes Given
      2300

      Default Re: Ofisi ya CCM yafungwa na kugeuzwa ya CHADEMA:CCM yapoteza Mali na wanachama

      Watu wa Mererani walikuwa mtaji mkubwa wa CCM. Sasa kama na ofisi imehamishiwa CHADEMA CCM bye bye!

      Msako Unaendelea
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    17. #15
      mmbangifingi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2011
      Posts : 2,569
      Rep Power : 858
      Likes Received
      452
      Likes Given
      2908

      Default Re: Ofisi ya CCM yafungwa na kugeuzwa ya CHADEMA:CCM yapoteza Mali na wanachama

      Quote By Waberoya
      Hii nzuri kabisa!!
      Waberoya,, umeipenda? daaaaaa!
      Feedback likes this.
      Who Jah bless, No one Curse!

    18. #16
      Hosida's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st October 2008
      Posts : 64
      Rep Power : 552
      Likes Received
      12
      Likes Given
      1

      Default Re: Ofisi ya CCM yafungwa na kugeuzwa ya CHADEMA:CCM yapoteza Mali na wanachama

      Saa ya Ukombozi wa Mtanzania imewadia.

      Glory to God

    19. #17
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,456
      Rep Power : 10882
      Likes Received
      3821
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Waberoya
      Hii nzuri kabisa!!
      Ni kweli kamanda!

    20. #18
      Gwankaja Gwakilingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th January 2012
      Location : Masoko Busisya
      Posts : 1,215
      Rep Power : 613
      Likes Received
      329
      Likes Given
      33

      Default Re: Ofisi ya CCM yafungwa na kugeuzwa ya CHADEMA:CCM yapoteza Mali na wanachama

      sasa hatuwanyatii tena na wala hatuwafukuzi kimya kimya,hiki ndicho kimbunga lichosema Mheshimiwa Sugu,baada ya hiyo ofisi tutafuatia viwanja vyote vya michezo virudishwe serikalini iweje wajenge wote leo waseme vyao
      Kiduku and GITWA like this.
      kwa pamoja ni lazima twende mbali zaidi ya maneno yetu...........039.mac

    21. #19
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,456
      Rep Power : 10882
      Likes Received
      3821
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Mungi
      Watu wa Mererani walikuwa mtaji mkubwa wa CCM. Sasa kama na ofisi imehamishiwa CHADEMA CCM bye bye!

      Msako Unaendelea
      Hakika binafsi M4C imenitisha........
      Uwezo Tunao likes this.

    22. #20
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,456
      Rep Power : 10882
      Likes Received
      3821
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Gwankaja Gwakilingo
      sasa hatuwanyatii tena na wala hatuwafukuzi kimya kimya,hiki ndicho kimbunga lichosema Mheshimiwa Sugu,baada ya hiyo ofisi tutafuatia viwanja vyote vya michezo virudishwe serikalini iweje wajenge wote leo waseme vyao
      Ndiyo maana hata kiongozi wa ccm wa kata amekiri kushtushwa na tukio hilo

    Page 1 of 8 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...