Leo inangojewa kwa hamu kwa CCM na CDM kwani mpaka sasa ktk kesi za kupinga ubunge CCM ineshinda mechi za Arusha (Lema) pekee na wamepigwa chini Sumbawanga, Bihalamuro na Singida na leo inaelekea CDM kuendeleza ushindi. Wakati huohuo Ubungo na Igunga zangojewa. Ifahamike wizara ya sheria imezitaka mahakama kumaliza kesi zote tarehe 4/5/2012
Naelekea mahakamani kwa Updates zote. Kwa lugha ya Kiingereza au Kiswahili haijalishi
FINALLY: Makongoro Mahanga kashinda kesi!
UPDATES:
1. Bado kesi haijaanza
2. Hakuna speakers zilizowekwa nje kitu kinachopelekea kujua kinachoendelea ndani, walio ndani simu zimezimwa!




Follow Us Here