"Nimefurahishwa na mjadala wa uwazi ulioendelea Bungeni na kwenye kamati ya wabunge wa CCM; nafurahi kwamba azma yangu ya kuzifanya taarifa za mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali ziwe zinafanyiwa kazi imeanza kutimia" Mhe. Jakaya M. Kikwete
"Nimefurahishwa na mjadala wa uwazi ulioendelea Bungeni na kwenye kamati ya wabunge wa CCM; nafurahi kwamba azma yangu ya kuzifanya taarifa za mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali ziwe zinafanyiwa kazi imeanza kutimia" Mhe. Jakaya M. Kikwete
Mkuu ,Mbona umesahau kuweka Ha! ha !ha! ha! ha! ha! ha! ha!
Kwa hili la uwazi, Kikwete tutamkumbuka. Maana kabla yake repoti ya CAG huwa inabaki ikulu na haipelekwi kwa wananchi. Kwa hili Bravo Kikwete.
Huwa hazina logic quote zake .
Maisha yetu ni mafupi lazima tuyatete kwa namna yeyote ile!
I wish I could hear the fully speech to get the whole message better. I also hope he knows what Tanzanians expect of him. Hizi story peke yake hazitasaidia sana bila matendo na kuwajibishana.
We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
Ralph Waldo Emerson
Uwazi na mengine ya kugawa madaraka kama zawadi sawa lakini msiulize utendaji/utekelezaji hilo siyo lake
Mkuu ni JK anatisha sana, majambazi na wezi wanamuogopa sana.
Ila naona tatizo anafight alone maana huku kwenye maidara kuna mchwa
kutomuunga mkono mchungaji au padre mnafiki, mpika majungu, mfitini, anaendesha kanisa kwa maono ya hawara yake, mkabila, ndumilakuwili haimanishi kwamba nimelihasi kanisa-mwampamba
nothing new
Unafikiri anayoyasema angeyasema kama Waziri mkuu asinge tishiwa kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye na wabunge maji yalishaifika shingoni serikali yake hana namna zaidi ya kuteka hoja za wabunge kina Zitto na kujiunganao kuwa adabisha wabadhirifu kama ataweza maana tulitarajia leo hii wasingekuwa madarakani ndio maana tunaseka JK nidhaifu sana kiutendaje hotuba yake inarudia mambo ya bungeni ambayo sisi tunayajua na tumeyaona sehemu iliyobaki ni yake atekeleze kuwadabisha watendaji wake na mawazili wke aache porojo hakuna kitu hapo Willie.
- Kwani CAG imekuwepo kwa muda gani? Maaana hii ni mara yangu ya pili kuisikia, mara yangu ya kwanza ilikuwa Dr. Kikwete aliposhika utawala mambo ya mabalozi walioiba, wengine wakafikishwa kwenye Sheria na wengine walilazimishwa ku-retire na kulipa walizoiba.
- Hii ni mara ya pili nawasikia tena CAG, naomba kukuuliza walianza lini hawa CAG? Mbona huko nyuma kwenye awamu zingine hatukuwahi kuwasikia?
William.
Yes Kikwete deserves praise for this. So does our CAG Ludovick and all those who work on those reports. They are doing a wonderfull job especially when you consider where we were at just a few years ago.
However there has to be firm action taken on these reports otherwise they will become meaningless.
Kwa Institutional Reforms, JK amefanya vya kutosha hata kama watu wataendelea kupinga! Kilichobaki, na ama kilichokosekana toka kwake yeye binafsi na watendaji wengine ni kuchukua hatua stahiki kutokana na reform husika!
Ndani ya jamii isiyo na mapungufu ya maadili, reform iliyofanywa na JK ilitosha kabisa kusafisha nchi yetu! Kwa bahati mbaya sana, kuna mmomonyoko mkubwa sana wa maadili, toka kwa vingozi, watendaji wakuu hadi wananchi wa kawaida! Mmomonyoko huu katu hauwezi kutibika ndani ya what's so called GOOD GOVERNANCE! Good Governance/Utawala Bora unafanya vizuri ndani ya jamii iliyosheheni maadili. Lakini jamii kama yetu, inahitaji Approved Dictatorship Governance (ADG)....yaani Utawala wa Kidikteta Ulioidhinishwa!
Ripoti ya CAG imetaja ufisadi mkubwa kwenye wizara na taasisi mbalimbali....under Good Governance, hatuna chochote cha kuwafanya wahusika! Sana sana, ni kuwaachisha kazi....kazi ni ya nini basi ikiwa tayari mtu ameshapata ukwasi wa kutosha!!! Haina haja! Na kama tumejitahidi sana, labda tutawapeleka mahakamani....huko, kesi itaunguruma miaka kadhaa....at the end of the game, hapatakuwa na ushahidi usio na shaka yoyote(Rule of Law, One of The Main Pillar of Good Governance) kuthibitisha tuhuma ama za wizi au ubadhirifu! Labda, tunaweza ku-force na kubambika kesi ya matumizi mabaya ya ofisi; Amatus Lyumba, alifungwa miaka 2; What da Hell! That's why I Hate Good Governance kwenye nchi yenye mmomonyoko wa maadili kama yetu!
Under ADG, kama kweli mtu kama Ngeleja amenunua nyumba ya mamilioni ya fedha, wala tusingekuwa na sababu ya upande wa mashitaka uthibitishe kwamba nyumba hiyo ameinunua kwa vyanzo ambavyo si halali, bali ni yeye; within a day, athibitishe beyond reasonable doubt, kwamba ameinunua kwa mapato halali! Na akishindwa kufanya hivyo, JELA!
Last edited by NasDaz; 1st May 2012 at 19:06.
I am a free thinker! It's only my free thinking that leads me, to what am commenting. Thus, I've no doubt that today I can be your fellow but tomorrow your enemy, and the agent between us being my comments!! So, If today we agree with cheers, tomorrow we'd not disagree with jeers!
I am a free thinker! It's only my free thinking that leads me, to what am commenting. Thus, I've no doubt that today I can be your fellow but tomorrow your enemy, and the agent between us being my comments!! So, If today we agree with cheers, tomorrow we'd not disagree with jeers!
Yaani badala ya kuchukua hatua stahiki Jk anasema amefurahishwa na sisi tunashangilia?kama amefurahi so what?,kwa rais mwenye madaraka makubwa kama Rais wa Tanzania,hili sio swala la yeye Rais kufurahishwa bali ni swala la kuchukua hatua,yaani mabilioni ya fedha yanatafunwa kifisadi,rais anakuja na sentensi ya ajabu kama hii....
Follow Us Here