Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Quote From: The President Dr. Jakaya M. Kikwete!

    Report Post
    Page 1 of 12 12311 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 226
    1. #1
      W. J. Malecela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th March 2009
      Posts : 4,511
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2029
      Likes Given
      1819

      Default Quote From: The President Dr. Jakaya M. Kikwete!

      "Nimefurahishwa na mjadala wa uwazi ulioendelea Bungeni na kwenye kamati ya wabunge wa CCM; nafurahi kwamba azma yangu ya kuzifanya taarifa za mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali ziwe zinafanyiwa kazi imeanza kutimia" Mhe. Jakaya M. Kikwete


    2. #2
      Safety last's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2011
      Posts : 2,733
      Rep Power : 963
      Likes Received
      541
      Likes Given
      6

      Default Re: Quote From: The President Dr. Jkaya M. Kikwete!

      Mkuu ,Mbona umesahau kuweka Ha! ha !ha! ha! ha! ha! ha! ha!

    3. #3
      anney's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 9th July 2010
      Posts : 152
      Rep Power : 484
      Likes Received
      40
      Likes Given
      27

      Default Re: Quote From: The President Dr. Jkaya M. Kikwete!

      Kwa hili la uwazi, Kikwete tutamkumbuka. Maana kabla yake repoti ya CAG huwa inabaki ikulu na haipelekwi kwa wananchi. Kwa hili Bravo Kikwete.
      Alpha, rmashauri, Milindi and 6 others like this.

    4. #4
      Zipuwawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Posts : 2,206
      Rep Power : 875
      Likes Received
      310
      Likes Given
      123

      Default Re: Quote From: The President Dr. Jkaya M. Kikwete!

      Huwa hazina logic quote zake .
      Maisha yetu ni mafupi lazima tuyatete kwa namna yeyote ile!

    5. #5
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,661
      Rep Power : 4023
      Likes Received
      2944
      Likes Given
      5072

      Default Re: Quote From: The President Dr. Jkaya M. Kikwete!

      I wish I could hear the fully speech to get the whole message better. I also hope he knows what Tanzanians expect of him. Hizi story peke yake hazitasaidia sana bila matendo na kuwajibishana.
      Mtumishi Wetu likes this.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson


    6. #6
      Uliza_Bei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th February 2011
      Posts : 796
      Rep Power : 581
      Likes Received
      112
      Likes Given
      46

      Default Re: Quote From: The President Dr. Jkaya M. Kikwete!

      Uwazi na mengine ya kugawa madaraka kama zawadi sawa lakini msiulize utendaji/utekelezaji hilo siyo lake

    7. #7
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,838
      Rep Power : 0
      Likes Received
      565
      Likes Given
      295

      Default Re: Quote From: The President Dr. Jkaya M. Kikwete!

      Mkuu ni JK anatisha sana, majambazi na wezi wanamuogopa sana.

      Ila naona tatizo anafight alone maana huku kwenye maidara kuna mchwa
      kutomuunga mkono mchungaji au padre mnafiki, mpika majungu, mfitini, anaendesha kanisa kwa maono ya hawara yake, mkabila, ndumilakuwili haimanishi kwamba nimelihasi kanisa-mwampamba

    8. #8
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,798
      Rep Power : 19852
      Likes Received
      4412
      Likes Given
      1744

      Default Re: Quote From: The President Dr. Jkaya M. Kikwete!

      nothing new
      Advocate Jasha and mkizungo like this.

    9. #9
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,838
      Rep Power : 0
      Likes Received
      565
      Likes Given
      295

      Default Re: Quote From: The President Dr. Jkaya M. Kikwete!

      Quote By Ndahani View Post
      I wish I could hear the fully speech to get the whole message better. I also hope he knows what Tanzanians expect of him. Hizi story peke yake hazitasaidia sana bila matendo na kuwajibishana.
      Acha chuki mkuu,

      Kuweza wazi uovu ni one step.....
      kutomuunga mkono mchungaji au padre mnafiki, mpika majungu, mfitini, anaendesha kanisa kwa maono ya hawara yake, mkabila, ndumilakuwili haimanishi kwamba nimelihasi kanisa-mwampamba

    10. #10
      Micro E coli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2011
      Posts : 552
      Rep Power : 496
      Likes Received
      103
      Likes Given
      88

      Default Re: Quote From: The President Dr. Jkaya M. Kikwete!

      Unafikiri anayoyasema angeyasema kama Waziri mkuu asinge tishiwa kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye na wabunge maji yalishaifika shingoni serikali yake hana namna zaidi ya kuteka hoja za wabunge kina Zitto na kujiunganao kuwa adabisha wabadhirifu kama ataweza maana tulitarajia leo hii wasingekuwa madarakani ndio maana tunaseka JK nidhaifu sana kiutendaje hotuba yake inarudia mambo ya bungeni ambayo sisi tunayajua na tumeyaona sehemu iliyobaki ni yake atekeleze kuwadabisha watendaji wake na mawazili wke aache porojo hakuna kitu hapo Willie.

    11. #11
      W. J. Malecela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th March 2009
      Posts : 4,511
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2029
      Likes Given
      1819

      Default Re: Quote From: The President Dr. Jkaya M. Kikwete!

      Quote By Micro E coli View Post
      Unafikiri anayoyasema angeyasema kama Waziri mkuu asinge tishiwa kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye na wabunge maji yalishaifika shingoni serikali yake hana namna zaidi ya kuteka hoja za wabunge kina Zitto na kujiunganao kuwa adabisha wabadhirifu kama ataweza maana tulitarajia leo hii wasingekuwa madarakani ndio maana tunaseka JK nidhaifu sana kiutendaje hotuba yake inarudia mambo ya bungeni ambayo sisi tunayajua na tumeyaona sehemu iliyobaki ni yake atekeleze kuwadabisha watendaji wake na mawazili wke aache porojo hakuna kitu hapo Willie.
      - Kwani CAG imekuwepo kwa muda gani? Maaana hii ni mara yangu ya pili kuisikia, mara yangu ya kwanza ilikuwa Dr. Kikwete aliposhika utawala mambo ya mabalozi walioiba, wengine wakafikishwa kwenye Sheria na wengine walilazimishwa ku-retire na kulipa walizoiba.

      - Hii ni mara ya pili nawasikia tena CAG, naomba kukuuliza walianza lini hawa CAG? Mbona huko nyuma kwenye awamu zingine hatukuwahi kuwasikia?

      William.

    12. #12
      Alpha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2007
      Posts : 600
      Rep Power : 723
      Likes Received
      46
      Likes Given
      61

      Default Re: Quote From: The President Dr. Jkaya M. Kikwete!

      Quote By anney View Post
      Kwa hili la uwazi, Kikwete tutamkumbuka. Maana kabla yake repoti ya CAG huwa inabaki ikulu na haipelekwi kwa wananchi. Kwa hili Bravo Kikwete.
      Yes Kikwete deserves praise for this. So does our CAG Ludovick and all those who work on those reports. They are doing a wonderfull job especially when you consider where we were at just a few years ago.

      However there has to be firm action taken on these reports otherwise they will become meaningless.
      W. J. Malecela and kajima like this.

    13. #13
      W. J. Malecela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th March 2009
      Posts : 4,511
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2029
      Likes Given
      1819

      Default Re: Quote From: The President Dr. Jkaya M. Kikwete!

      Quote By Safety last View Post
      Mkuu ,Mbona umesahau kuweka Ha! ha !ha! ha! ha! ha! ha! ha!
      - Una maana, ha! ha! ha! ha! ha!

      William.
      IronBroom and Litvinienko like this.

    14. #14
      Litvinienko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 313
      Rep Power : 556
      Likes Received
      105
      Likes Given
      88

      Default Re: Quote From: The President Dr. Jkaya M. Kikwete!

      Quote By W. J. Malecela View Post
      - Kwani CAG imekuwepo kwa muda gani? Maaana hii ni mara yangu ya pili kuisikia, mara yangu ya kwanza ilikuwa Dr. Kikwete aliposhika utawala mambo ya mabalozi walioiba, .
      ha ha ha ha ha ha ahaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!

    15. #15
      NasDaz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2009
      Location : Ushenzini
      Posts : 3,350
      Rep Power : 5408
      Likes Received
      1574
      Likes Given
      1876

      Default Re: Quote From: The President Dr. Jkaya M. Kikwete!

      Kwa Institutional Reforms, JK amefanya vya kutosha hata kama watu wataendelea kupinga! Kilichobaki, na ama kilichokosekana toka kwake yeye binafsi na watendaji wengine ni kuchukua hatua stahiki kutokana na reform husika!

      Ndani ya jamii isiyo na mapungufu ya maadili, reform iliyofanywa na JK ilitosha kabisa kusafisha nchi yetu! Kwa bahati mbaya sana, kuna mmomonyoko mkubwa sana wa maadili, toka kwa vingozi, watendaji wakuu hadi wananchi wa kawaida! Mmomonyoko huu katu hauwezi kutibika ndani ya what's so called GOOD GOVERNANCE! Good Governance/Utawala Bora unafanya vizuri ndani ya jamii iliyosheheni maadili. Lakini jamii kama yetu, inahitaji Approved Dictatorship Governance (ADG)....yaani Utawala wa Kidikteta Ulioidhinishwa!

      Ripoti ya CAG imetaja ufisadi mkubwa kwenye wizara na taasisi mbalimbali....under Good Governance, hatuna chochote cha kuwafanya wahusika! Sana sana, ni kuwaachisha kazi....kazi ni ya nini basi ikiwa tayari mtu ameshapata ukwasi wa kutosha!!! Haina haja! Na kama tumejitahidi sana, labda tutawapeleka mahakamani....huko, kesi itaunguruma miaka kadhaa....at the end of the game, hapatakuwa na ushahidi usio na shaka yoyote(Rule of Law, One of The Main Pillar of Good Governance) kuthibitisha tuhuma ama za wizi au ubadhirifu! Labda, tunaweza ku-force na kubambika kesi ya matumizi mabaya ya ofisi; Amatus Lyumba, alifungwa miaka 2; What da Hell! That's why I Hate Good Governance kwenye nchi yenye mmomonyoko wa maadili kama yetu!

      Under ADG, kama kweli mtu kama Ngeleja amenunua nyumba ya mamilioni ya fedha, wala tusingekuwa na sababu ya upande wa mashitaka uthibitishe kwamba nyumba hiyo ameinunua kwa vyanzo ambavyo si halali, bali ni yeye; within a day, athibitishe beyond reasonable doubt, kwamba ameinunua kwa mapato halali! Na akishindwa kufanya hivyo, JELA!
      Last edited by NasDaz; 1st May 2012 at 19:06.
      I am a free thinker! It's only my free thinking that leads me, to what am commenting. Thus, I've no doubt that today I can be your fellow but tomorrow your enemy, and the agent between us being my comments!! So, If today we agree with cheers, tomorrow we'd not disagree with jeers!


    16. #16
      NasDaz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2009
      Location : Ushenzini
      Posts : 3,350
      Rep Power : 5408
      Likes Received
      1574
      Likes Given
      1876

      Default Re: Quote From: The President Dr. Jkaya M. Kikwete!

      Quote By Safety last View Post
      Mkuu ,Mbona umesahau kuweka Ha! ha !ha! ha! ha! ha! ha! ha!
      Sio hivyo, tangu aanze kuongea kiu-MP ameacha kumalizia "Le Baharia...!"
      I am a free thinker! It's only my free thinking that leads me, to what am commenting. Thus, I've no doubt that today I can be your fellow but tomorrow your enemy, and the agent between us being my comments!! So, If today we agree with cheers, tomorrow we'd not disagree with jeers!


    17. #17
      Litvinienko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 313
      Rep Power : 556
      Likes Received
      105
      Likes Given
      88

      Default Re: Quote From: The President Dr. Jkaya M. Kikwete!

      Quote By W. J. Malecela View Post
      - Una maana, ha! ha! ha! ha! ha!

      William.
      Quote By W. J. Malecela View Post
      -
      - Hii ni mara ya pili nawasikia tena CAG, naomba kukuuliza walianza lini hawa CAG?

      William.
      Yupi?
      @NYC au
      @dodoma City au
      @DSM city au
      @Mtera City au
      @segerea city?
      Usituache hewanihewani....
      ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! haaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!

    18. #18
      Litvinienko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 313
      Rep Power : 556
      Likes Received
      105
      Likes Given
      88

      Default Re: Quote From: The President Dr. Jkaya M. Kikwete!

      Quote By NasDaz View Post
      Sio hivyo, tangu aanze kuongea kiu-MP ameacha kumalizia "Le Baharia...!"
      le Mutuz.....!
      NasDaz likes this.

    19. #19
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 16,053
      Rep Power : 14671
      Likes Received
      2955
      Likes Given
      2099

      Default Re: Quote From: The President Dr. Jkaya M. Kikwete!

      Quote By Zipuwawa View Post
      Huwa hazina logic quote zake .
      Tatizo ni hutaki kuelewa, lakini kwa hili nakuasa "mnyonge mnyongeni haki yake mpeni".

    20. #20
      Nanyaro Ephata's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd January 2011
      Location : Arusha
      Posts : 611
      Rep Power : 548
      Likes Received
      412
      Likes Given
      1

      Default Re: Quote From: The President Dr. Jkaya M. Kikwete!

      Yaani badala ya kuchukua hatua stahiki Jk anasema amefurahishwa na sisi tunashangilia?kama amefurahi so what?,kwa rais mwenye madaraka makubwa kama Rais wa Tanzania,hili sio swala la yeye Rais kufurahishwa bali ni swala la kuchukua hatua,yaani mabilioni ya fedha yanatafunwa kifisadi,rais anakuja na sentensi ya ajabu kama hii....
      samora10 and mmbangifingi like this.

    Page 1 of 12 12311 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...