Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Baraza jipya: VIJANA Wasichaguliwe Uwaziri

    Report Post
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 21 to 40 of 75
    1. #1
      Ulukolokwitanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2010
      Location : ndzengelendete
      Posts : 2,776
      Rep Power : 5975
      Likes Received
      1506
      Likes Given
      283

      Default Baraza jipya: VIJANA Wasichaguliwe Uwaziri

      Uzoefu wa toka JK ameingia madarakani vijana waliobahatika kupewa uwaziri wamegeuka kuwa genge la majizi na wahujumu uchumi. Lau Masha, Wiliam Ngeleja, Ezekiel Maige, Cyril Chami, Adam Malima, na wengine wametufanya tuamini kuwa vijana wa sasa hawajalelewa katika maadili mema ya uadilifu. Wanaiba wake za watu, wanatembea na wanafunzi, walevi kupindukia huku wizara zao zinaongoza kwa utendaji mbovu na hakuna ufanisi. Mfano wizara ya Ngeleja mgao wa umeme toka ameingia madarakani.

      Mimi mtazamo wangu vijana wasipewe uwaziri, wachache wapate unaibu ili tuwachunguze kama wanaweza kuongoza na hawana tamaa. Mimi pia ni kijana lakini naona dhahiri vijana waliopo katika wabunge wa CCM hakuna msaada, wote ni majizi yanayotafuta vijiwe vya kufanyia uhalifu.

      Nawakilisha...


    2. #21
      dudus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 2,339
      Rep Power : 1018
      Likes Received
      1323
      Likes Given
      531

      Default Re: Baraza jipya: VIJANA Wasichaguliwe Uwaziri

      Tafadhali usiseme VIJANA sema VIJANA WA CCM. Kama huko CCM hamna maadili hiyo ni juu yao lakini maeneo mengine kuna maelfu ya vijana wazalendo, waadilifu, na wenye uchungu na nchi yao tofauti na hao mapakashume wa magamba. Nimezingatia kwamba Rais akitaka aweza kumteua mbunge wa chama chochote kushika nafasi ya uwaziri.
      ChaterMaster and Original like this.

    3. #22
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,543
      Rep Power : 6185
      Likes Received
      3103
      Likes Given
      1025

      Default

      Quote By Original View Post
      Umri si tatizo, bali malezi na maadili ndiyo tatizo. Kuna wazee wangapi ambao ni wezi ndani ya serikali?.

      Mkapa, Karamagi, Yona, Mramba, Chenge, Lowasa, Rostam, Mboma, Simbo - mkuu wa utawala jeshini je hawa ni vijana?.

      Tujenge maadili ya kuwadhibiti, kuwafunga na kuwafilisi mali zao wezi wote wanaoibia serikali yetu. Umri si kigezo hata kidogo.
      Mkuu Original this is original. Vijana msidanganywe mkakubali kurudi enzi zile za vijana taifa la kesho. Kama kuna walioharibu suluhu si kukimbilia kwa wazee kwa kuwa wazee nao wameshiriki kwenye huo ufisadi kwa kiwango kikuu. Tatizo vijana wanatumiwa na wazee, wanaingizwa serikalini kulinda maslahi ya watu hawaingii kwa kuwa wana uwezo. Watafutwe wenye uwezo na hakika watatenda kazi na kuwapa watanzania utumishi uliotukuka.
      Original likes this.

    4. #23
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,543
      Rep Power : 6185
      Likes Received
      3103
      Likes Given
      1025

      Default

      Quote By dudus View Post
      Tafadhali usiseme VIJANA sema VIJANA WA CCM. Kama huko CCM hamna maadili hiyo ni juu yao lakini maeneo mengine kuna maelfu ya vijana wazalendo, waadilifu, na wenye uchungu na nchi yao tofauti na hao mapakashume wa magamba. Nimezingatia kwamba Rais akitaka aweza kumteua mbunge wa chama chochote kushika nafasi ya uwaziri.
      Mkuu unataka SUK kama ya CUF na CCM kule Zanzibar?

    5. #24
      Maliki's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 24th April 2012
      Posts : 40
      Rep Power : 0
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default Re: Baraza jipya: VIJANA Wasichaguliwe Uwaziri

      Zanzibar ni koloni la tanganyika. Ewe mzanzibar shiriki katika harakati za kudai uhuru wa zanzibar-2012 kutoka mikononi mwa watanganyika.
      OKW BOBAN SUNZU likes this.

    6. #25
      Papa D's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 615
      Rep Power : 561
      Likes Received
      88
      Likes Given
      75

      Default Re: Baraza jipya: VIJANA Wasichaguliwe Uwaziri

      uadilifu hauna uhusiano wowote na umri bali background ya muhusika!!
      The person with poor background will deliver poor results and the opposite is true for people with good background!


    7. #26
      idawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 4,981
      Rep Power : 3414
      Likes Received
      1345
      Likes Given
      498

      Default Re: Baraza jipya: VIJANA Wasichaguliwe Uwaziri

      tatizo sio vijana au wazee.tatizo tumekua wazito kuwaadabisha wahalifu hivyo kufanya ufisadi mchezo wa kuigana.naamini tungekua siriasi kudhibiti mafisadi na kuwafikisha sehem husika hamna ambaye angekua tayari kufanya ufisadi.

    8. #27
      OKW BOBAN SUNZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 24th August 2011
      Posts : 1,618
      Rep Power : 0
      Likes Received
      608
      Likes Given
      657

      Default Re: Baraza jipya: VIJANA Wasichaguliwe Uwaziri

      Mawazo yangu sio Sheria
      Mimi sipotezi mda wa kuwazia Cabinet ya CCM Magamba, wahuni wooote,akili ipo kwenye cabinet ya 2015 kama makamanda watatia timu magogoni. Kujadili cabinet ya CCM ni kujadili future ya mgojwa anayekaribia kukata roho hapa duniani. Nipeni updates za M4C mie nilale natabasamu

    9. #28
      lidoda's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th April 2008
      Posts : 215
      Rep Power : 612
      Likes Received
      51
      Likes Given
      23

      Default Re: Baraza jipya: VIJANA Wasichaguliwe Uwaziri

      Mtoa maada Ulukolokwitanga
      kwa hiyo kama CDM itachukua nchi, basi unapendekeza vijana kama Zitto,Mbunge wa Ubungo,Lema na vijana wengine wasipewe uwaziri?
      Mbona wazee kama Lowasa,Vijisenti au angalia list ya Silaa ya mafisadi ya mwembe Yanga wote ni wazee.
      Cha msingi ni kubadili katiba na kuwa nafasi za uwaziri zigombewe na achaguliwe mtu mwenye taaluma na sio kumchagua nani katoka chama gani. Wengi wa hao mawaziri sio wasomi hawaijui taaluma ya wizara zao. Sasa kwa hali ilioko sasa hivi usishangae Lusinde Kibajaji akawa waziri wa sheria

    10. #29
      MADAM T's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Posts : 1,087
      Rep Power : 656
      Likes Received
      114
      Likes Given
      133

      Default Re: Baraza jipya: VIJANA Wasichaguliwe Uwaziri

      Naona unamtafuta ugomvi Makamba kijana, mwenzio ameshakaa mkao wa kupokea li-wizara halafu wewe unasema hayo..

    11. #30
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,741
      Rep Power : 10184
      Likes Received
      5679
      Likes Given
      12666

      Default Re: Baraza jipya: VIJANA Wasichaguliwe Uwaziri

      una ugomvi na January Makamba?

    12. #31
      Mnyonge Namba1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2012
      Posts : 402
      Rep Power : 453
      Likes Received
      78
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Ulukolokwitanga View Post
      Uzoefu wa toka JK ameingia madarakani vijana waliobahatika kupewa uwaziri wamegeuka kuwa genge la majizi na wahujumu uchumi. Lau Masha, Wiliam Ngeleja, Ezekiel Maige, Cyril Chami, Adam Malima, na wengine wametufanya tuamini kuwa vijana wa sasa hawajalelewa katika maadili mema ya uadilifu. Wanaiba wake za watu, wanatembea na wanafunzi, walevi kupindukia huku wizara zao zinaongoza kwa utendaji mbovu na hakuna ufanisi. Mfano wizara ya Ngeleja mgao wa umeme toka ameingia madarakani.

      Mimi mtazamo wangu vijana wasipewe uwaziri, wachache wapate unaibu ili tuwachunguze kama wanaweza kuongoza na hawana tamaa. Mimi pia ni kijana lakini naona dhahiri vijana waliopo katika wabunge wa CCM hakuna msaada, wote ni majizi yanayotafuta vijiwe vya kufanyia uhalifu.

      Nawakilisha...
      Sifa kuu za uongozi ni mbili tu:-UADILIFU(uzalendo) na UWEZO WA KUONGOZA.Hizo sifa za ujana zinazoletwa na Zitto na January mimi nazipinga hadi siku ya kuingia kaburini.

    13. #32
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,209
      Rep Power : 12280
      Likes Received
      6065
      Likes Given
      6929

      Default Re: Baraza jipya: VIJANA Wasichaguliwe Uwaziri

      Quote By Mzee Mwanakijiji View Post
      Hii nakubali kabisa; ndio maana mimi si muumini kabisa wa "ujana" ni sawa sawa na "uongozi bora". Mifano iko mbele yetu na tukipuuzia tunapoteza haki ya kulalamika. Waachwe vijana wawe wabunge na taratibu waanze kujengwa; waendesha mashirika au makampuni yao n.k.. wapewe watu wenye uzoefu wa kuendesha biashara au shughuli zao kwa umakini na weledi..
      Na wewe umeingia mitego wa ubaguzi ghafla??

      Tulianza na kabila, tukafika dini, tulishapitia jinsia sasa tuko umri, shame

      Hebu niambie tofauti ya ujana wa Mathayo na UZee wa Wasira

      Hebu MMM usiniaibishe tafadhali

      we have more criteria to use than age.... Nigger please!!!
      ....Time is the wisest counselor !!!

    14. #33
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,209
      Rep Power : 12280
      Likes Received
      6065
      Likes Given
      6929

      Default Re: Baraza jipya: VIJANA Wasichaguliwe Uwaziri

      Quote By Ulukolokwitanga View Post
      Uzoefu wa toka JK ameingia madarakani vijana waliobahatika kupewa uwaziri wamegeuka kuwa genge la majizi na wahujumu uchumi. Lau Masha, Wiliam Ngeleja, Ezekiel Maige, Cyril Chami, Adam Malima, na wengine wametufanya tuamini kuwa vijana wa sasa hawajalelewa katika maadili mema ya uadilifu. Wanaiba wake za watu, wanatembea na wanafunzi, walevi kupindukia huku wizara zao zinaongoza kwa utendaji mbovu na hakuna ufanisi. Mfano wizara ya Ngeleja mgao wa umeme toka ameingia madarakani.

      Mimi mtazamo wangu vijana wasipewe uwaziri, wachache wapate unaibu ili tuwachunguze kama wanaweza kuongoza na hawana tamaa. Mimi pia ni kijana lakini naona dhahiri vijana waliopo katika wabunge wa CCM hakuna msaada, wote ni majizi yanayotafuta vijiwe vya kufanyia uhalifu.

      Nawakilisha...
      Mkuu i beg to differ... basi sema na wazee wasichaguliwe, kwani kuna akina kawambwa, mary nagu, prof. maghembe, wasirra, wasirra, wasirra, wasirra, wasirra, mponda, chikawe nk

      lets not use cheap divisive indicators, ndizo zinazofanya yule shekhe wa z'bar kubwatuka kusema kwamba wao tu ndio wana kero za muungano ati siye hatuna kero yoyote

      ukoo unafahamiana, na hauna umri, jinsia wala nini
      ....Time is the wisest counselor !!!

    15. #34
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      593
      Likes Given
      76

      Default Re: Baraza jipya: VIJANA Wasichaguliwe Uwaziri

      Tatizo ni mfumo tulionao na si vijana.

    16. #35
      Lambardi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2008
      Location : KITAANI ZAIDI
      Posts : 4,588
      Rep Power : 1813
      Likes Received
      666
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Mungi View Post
      Nikipewa wizara ya Maige nauza Twiga wote nanunua magorofa, na kujenga appartment za kuwalaza akina Lulu
      Nimeipenda hii!!!!pia usisahau kuwanunulia SUV show room

    17. #36
      Ulukolokwitanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2010
      Location : ndzengelendete
      Posts : 2,776
      Rep Power : 5975
      Likes Received
      1506
      Likes Given
      283

      Default

      Quote By TIMING View Post
      Mkuu i beg to differ... basi sema na wazee wasichaguliwe, kwani kuna akina kawambwa, mary nagu, prof. maghembe, wasirra, wasirra, wasirra, wasirra, wasirra, mponda, chikawe nk

      lets not use cheap divisive indicators, ndizo zinazofanya yule shekhe wa z'bar kubwatuka kusema kwamba wao tu ndio wana kero za muungano ati siye hatuna kero yoyote

      ukoo unafahamiana, na hauna umri, jinsia wala nini
      Tatizo ni kwamba katiba inamkaba JK hata kama angekuwa na dhamira ya kuleta mawaziri bora inatakiwa acheze na pool ya wabunge wa CCM ambayo ukiangalia vijana waliomo mle ni kichekesho. Hata wazee ni wezi, lakini wazee wetu ukiangalia hata wizi wanaoufanya wanaona aibu, tofauti na akina Maige wanaiba mchana kweupe. Mtu kama Omar Nundu ameharibu lakini ukiangalia dhamira yake sio ya kifisadi kabisa... Jana Ngeleja na Malima walikuwa ktk maonesho ya madini, ukiwaangalia walivyotoa macho ya tamaa ungedhani ni majizi mateja ya Kinondoni
      TIMING likes this.

    18. #37
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Mzee Mwanakijiji View Post
      Hii nakubali kabisa; ndio maana mimi si muumini kabisa wa "ujana" ni sawa sawa na "uongozi bora". Mifano iko mbele yetu na tukipuuzia tunapoteza haki ya kulalamika. Waachwe vijana wawe wabunge na taratibu waanze kujengwa; waendesha mashirika au makampuni yao n.k.. wapewe watu wenye uzoefu wa kuendesha biashara au shughuli zao kwa umakini na weledi..
      hao wenye uzoefu ambao the so called WAZEE HAWAIBI?HAWANA KASHFA?
      -mungai,
      -mramba
      -yona
      -iddi simba
      -ntagazwa
      -

    19. #38
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By dudus View Post
      Tafadhali usiseme VIJANA sema VIJANA WA CCM. Kama huko CCM hamna maadili hiyo ni juu yao lakini maeneo mengine kuna maelfu ya vijana wazalendo, waadilifu, na wenye uchungu na nchi yao tofauti na hao mapakashume wa magamba. Nimezingatia kwamba Rais akitaka aweza kumteua mbunge wa chama chochote kushika nafasi ya uwaziri.
      atleast wewe umefafanua kiujana zaidi

    20. #39
      Ulukolokwitanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2010
      Location : ndzengelendete
      Posts : 2,776
      Rep Power : 5975
      Likes Received
      1506
      Likes Given
      283

      Default

      Quote By lidoda View Post
      Mtoa maada Ulukolokwitanga
      kwa hiyo kama CDM itachukua nchi, basi unapendekeza vijana kama Zitto,Mbunge wa Ubungo,Lema na vijana wengine wasipewe uwaziri?
      Mbona wazee kama Lowasa,Vijisenti au angalia list ya Silaa ya mafisadi ya mwembe Yanga wote ni wazee.
      Cha msingi ni kubadili katiba na kuwa nafasi za uwaziri zigombewe na achaguliwe mtu mwenye taaluma na sio kumchagua nani katoka chama gani. Wengi wa hao mawaziri sio wasomi hawaijui taaluma ya wizara zao. Sasa kwa hali ilioko sasa hivi usishangae Lusinde Kibajaji akawa waziri wa sheria
      Nakubaliana na wewe kuhusu katiba mpya. Lakini hiyo kwa uchache itaanza kutumika 2015, na JK anatakiwa kuja na baraza jipya hivi karibuni na vijana alionao ndio Lusinde na January Makamba. Kuna Kigwangala aliyejitangaza rasmi kuwa ni mnafiki hawezi kupinga chama chake no matter what!

    21. #40
      Niconqx's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th June 2009
      Location : Dar es salaam
      Posts : 42
      Rep Power : 519
      Likes Received
      10
      Likes Given
      15

      Default

      Quote By Ulukolokwitanga View Post
      Uzoefu wa toka JK ameingia madarakani vijana waliobahatika kupewa uwaziri wamegeuka kuwa genge la majizi na wahujumu uchumi. Lau Masha, Wiliam Ngeleja, Ezekiel Maige, Cyril Chami, Adam Malima, na wengine wametufanya tuamini kuwa vijana wa sasa hawajalelewa katika maadili mema ya uadilifu. Wanaiba wake za watu, wanatembea na wanafunzi, walevi kupindukia huku wizara zao zinaongoza kwa utendaji mbovu na hakuna ufanisi. Mfano wizara ya Ngeleja mgao wa umeme toka ameingia madarakani.

      Mimi mtazamo wangu vijana wasipewe uwaziri, wachache wapate unaibu ili tuwachunguze kama wanaweza kuongoza na hawana tamaa. Mimi pia ni kijana lakini naona dhahiri vijana waliopo katika wabunge wa CCM hakuna msaada, wote ni majizi yanayotafuta vijiwe vya kufanyia uhalifu.

      Nawakilisha...
      nathani huo ni mtazamo wa CCM.kama ukichunguza utakuta hao vijana wameambukizwa na mfumo mzima wa mawaziri wazee wa kila mtu kuwahi chake mapema.tizama maandalizi ya vijanawa CCM katika UVCCM wanaandaliwa kwa ulaji na si uzalendo wa nchi yao.makundi na matatizo mengi yanaanziaga UVCCM,vijana wanaoandaliwa kuja kuwa viongozi wengi wanashikwa mkono na viongozi wakubwa wa CCM kwaajili ya kulinda maslahi yao.hatuwezi pata viongozi wazuri wenye uzalendo katika mfumo wa umimi.

    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...