Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hoja ya Zitto sio ya CHADEMA

    Report Post
    Page 1 of 9 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 170
    1. #1
      KIM KARDASH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Posts : 4,252
      Rep Power : 0
      Likes Received
      564
      Likes Given
      55

      Default Hoja ya Zitto sio ya CHADEMA

      Ningependa kuweka sawa hili,kumekuwepo na upotoshaji wa makusudi wa genge la watu wa chama kimoja cha siasa kutaka kuteka ama kudandia hili suala la waheshimiwa wabunge wa bunge letu kutaka kuwasilisha hoja ya kuibana serikali na kulifanya ni lao kwa maana la iko chama chao kitu ambacho si kweli.Sababu za genge hilo kifanya hivyo kwanza ni kuupotosha umma na kuondoa umuhimu na unyeti wa suala lenyewe lakini pili ni kujaribu kukipatia chama iko cheap popularity na kukifanya kionekane ndio kaka mkuu mwenye uchungu zaidi na nchi hii kitu ambacho si kweli kwani wabunge wa chama iko ukimuacha MH.ZITTO bado wameendelea kutubebesha mzigo mkubwa walipa kodi kwa kupanga foleni ya kuchukua posho ya kukaa tu kitako pale bungeni.

      Sasa ili kuweka kumbukumbu sawa na kuzuia upotoshaji huo wa makusudi unaofanywa na hilo genge la chama iko nimeamua niwaletee orodha ya waheshimiwa waliolishikia bango suala hili na vyama wanavyotoka kwa vitendo then mpime wenyewe na kuona kama chama iko kinastahili kubeba ushujaa wa hili ama kinajaribu kuteka hii hoja ili kujinufaisha kisiasa.


      Majina ya wabunge waliotia saini hoja ya mh.zitto kabwe



      1. Mhe. Rashid Ali Abdallah – CUF
      2. Mhe . Chiku Aflah Abwao- CHADEMA
      3. Mhe . Saluim Ali Mbarouk – CUF
      4. Mhe . salum Khalfam Barwany – CUF
      5. Mhe . Deo Haule Filikuchombe - CCM
      6. Mhe.Pauline Philipo Gekul - CHADEMA
      7. Mhe. Asaa Othman Hamad - CUF
      8. Mhe. Prof.Kuliyokela Kahigi- CHADEMA
      9. Mhe.Naomi Mwakyoma Kaihula – CHADEMA
      10. Mhe . Sylvester Kasulumbayi - CHADEMA
      11. Mhe. Raya Ibrahim Khamis - CHADEMA
      12. Mhe. Mkiwa Hamad Kiwanga - CUF
      13. Mhe. Susan Limbweni Kiwanga - CHADEMA
      14. Mhe. Grace Sindato Kiwelu – CHADEMA
      15. Mhe. Kombo Khamis Kombo – CUF
      16. Mhe. Joshua Samwel Nassari – CHADEMA
      17. Mhe. Tundu Antiphas Lissu - chadema
      18. Mhe Aphaxar Kangi Lugola - CCM
      19. Mhe susan Anselim Lymo - CHADEMA
      20. Mhe. Moses Machali – NCCR Mageuzi
      21. Mhe. John Shibuda Magalle – CHADEMA
      22. Mhe. Faki Haji Makame - CUF
      23. Mhe . Esther Nicholas Matiko - CHADEMA
      24. Mhe. Joseph Osmund Mbilinyi - CHADEMA
      25. Mhe. Freman Aikaeli Mbowe - CHADEMA
      26. Mhe. Kurudhum Jumanne Mchuchuli – CHADEMA
      27. Mhe. Halima James Mdee - CHADEMA
      28. John John Mnyika - CHADEMA
      29. Mhe. Augustino Lyatonga Mrema - TLP
      30. Mhe . Maryam Salum Msabaha - CHADEMA
      31. Mhe. Peter Msingwa - CHADEMA
      32. Mhe. Christowaja Gerson Mtinda - CHADEMA
      33. Mhe. Philipa Geofrey Mturano - CHADEMA
      34. Mhe. Christina Lissu Mughwai - CHADEMA
      35. Mhe. Joyce John Mukya – CHADEMA
      36. Mhe. Mchungaji Israel Yohane Natse – CHADEMA
      37. Mhe. Philemon Ndesamburo- CHADEMA
      38. Mhe. Ahmed Juma Ngwali - CUF
      39. Mhe. Vincent Josephat Nyerere - CHADEMA
      40. Mhe. Rashid Ali Omar - CUF
      41. Meshack Jeremiah Opulukwa - CHADEMA
      42. Mhe. Lucy Philemon Owenya - CHADEMA
      43. Mhe. Rachel Mashishanga - CHADEMA
      44. Mhe. Mhonga Said Ruhwanya – CHADEMA
      45. Mhe. Conchesta Rwamlaza – CHADEMA
      46. Mhe. Moza Abedi Saidy - CUF
      47. Mhe. Joseph Roman Selasini – CHADEMA
      48. Mhe. David Ernest Silinde - CHADEMA
      49. Mhe Rose Kamili Sukum - CHADEMA
      50. Mhe. Cecilia Daniel Paresso - CHADEMA
      51. Mhe. Kabwe Zuberi Zitto - CHADEMA
      52. Mhe. Magdalena Sakaya – CUF
      53. Mhe Rebecca Mngodo - CUF
      54. Mhe. Sabreena Sungura - CHADEMA
      55. Mhe. Hamad Rashid Mohammed- CUF
      56. Mhe. Rukia Kassim Ahmed (CUF)
      57. Mhe. Mustapha Boay Akoonay (CHADEMA)
      58. Mhe. Abdalla Haji Ali (CUF)
      59. Mhe. Khatibu Said Ali (CUF)
      60. Mhe. Hamad Ali Hamad (CUF)
      61. Mhe. Riziki Omar Juma (CUF)
      62. Mhe Haji Khatibu Kai (CUF)
      63. Mhe. Anna Marystella John Malack - CHADEMA
      64. Mhe. Hamad Rashid Mohamed (CUF)
      65. Mhe. Rajab Mbarouk Mohamed (CUF)
      66. Mhe. Thuwayba Idrissa Muhamed (CUF)
      67. Mhe. Masoud Abdallah Salum (CUF)
      68. Mhe. Muhamad Ibrahim Sanya (CUF)
      69. Mhe. Ali Khamis Seif (CUF)
      70. Mhe. Haroub Muhammed Shamis (CUF)
      71. Mhe. Amina Amour Nassoro (CUF)


      Nawasilisha
      Last edited by KIM KARDASH; 22nd April 2012 at 08:53.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Mbimbinho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2009
      Posts : 1,834
      Rep Power : 865
      Likes Received
      470
      Likes Given
      209

      Default Re: Hoja ya Zitto sio ya chadema

      Tarehe za mwisho hizi, you might not be feeling well, I know, I know it.
      Mbwa ukimjua jina wala hakupi shida....

    4. #3
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,513
      Rep Power : 19750
      Likes Received
      5443
      Likes Given
      3638

      Default Re: Hoja ya Zitto sio ya chadema

      Kwahiyo hapa unataka kutuaminisha kwamba Zitto Kabwe ni mbunge wa CCM!!??........
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    5. #4
      KIM KARDASH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Posts : 4,252
      Rep Power : 0
      Likes Received
      564
      Likes Given
      55

      Default Re: Hoja ya Zitto sio ya chadema

      Quote By Matola
      Kwahiyo hapa unataka kutuaminisha kwamba Zitto Kabwe ni mbunge wa CCM!!??........
      Kwani zitto ana signature ngapi hapo?na wewe unataka kutuaminisha wote hao ni wabunge wa chadema au

    6. #5
      nyabhingi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Posts : 3,221
      Rep Power : 1291
      Likes Received
      1356
      Likes Given
      2646

      Default Re: Hoja ya Zitto sio ya chadema

      umesahau kuwa aliyeanzisha mjadala wa kumpigia pinda no confidence ni lissu bungeni kabla zitto kuiendeleza,kwani zitto anatoka chama gani?roho inakuuma,unatamani kujiunga cdm ila unaona aibu kula mitapishi yako!
      Bigirita, Matola and FJM like this.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Mkuu wa chuo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Location : Kibada
      Posts : 1,769
      Rep Power : 841
      Likes Received
      340
      Likes Given
      20

      Default Re: Hoja ya Zitto sio ya chadema

      wewe KIM KARDASH nashindwa kukuelewa kabisa kwa hiyo unataka kutuaminisha Zitto ni jeshi la mtu mmoja!?

    9. #7
      ntamaholo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : Mwilavya
      Posts : 4,116
      Rep Power : 1387
      Likes Received
      918
      Likes Given
      412

      Default Re: Hoja ya Zitto sio ya chadema

      kaanza na CUF huyu atakuwa masalia ya CUF, kama siyo CCK. suala la msingi ni ujasiri wa kuanzisha majadala. ingawa sikuangalia vipindi vya bunge wakati yanaibuka, najua kuwa, aliyeanzisha kitu hii ni TUNDU LISU aliposhauriwenyekiti wa kamati zilizowasilisha uozo kuwasilisha hoja ya kupiga kura kutokuwa na imani ni waziri mkuu.

      hayo mengine yakaendelea. lakini swala ni la kitaifa na kizalendo, bila kujali nani kalitoa, wote waliounga mkono ni majasiri na wana uchungu na nchi yao kama siyo yetu
      Mantaleka likes this.
      UTUMISHI WA HAKI, NI SULUHISHO LA MAOVU YOTE

    10. #8
      KIM KARDASH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Posts : 4,252
      Rep Power : 0
      Likes Received
      564
      Likes Given
      55

      Default Re: Hoja ya Zitto sio ya chadema

      Quote By Mkuu wa chuo
      wewe KIM KARDASH nashindwa kukuelewa kabisa kwa hiyo unataka kutuaminisha Zitto ni jeshi la mtu mmoja!?
      Ushasema jeshi so ni wazi hakunaga jeshi la mtu mmoja lakini haimaanshi hii ni hoja ya chadema no,ni hoja ya wabunge kufuatia ripoti ya CAG ndio maana mnaona kuna sahihi mpaka ya mrema na cuf ambao hamuishi kuwatukana humu kwamba wameolewa na ccm kama mnavyompondaga zitto kwa kumuita kibaraka wa ccm,leo ndio huyo kashirikiana na wabunge wenzake kutoka vyama vyote

    11. #9
      KIM KARDASH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Posts : 4,252
      Rep Power : 0
      Likes Received
      564
      Likes Given
      55

      Default Re: Hoja ya Zitto sio ya chadema

      Quote By nyabhingi
      umesahau kuwa aliyeanzisha mjadala wa kumpigia pinda no confidence ni lissu bungeni kabla zitto kuiendeleza,kwani zitto anatoka chama gani?roho inakuuma,unatamani kujiunga cdm ila unaona aibu kula mitapishi yako!
      unasahau kuna sahihi ya mrema na wana cuf wale mnaosemaga wameolewa na ccm hapo,msipende cheap poularity nyie,na hapo mngependa aanzishe mwingine huko cdm sio zitto maana kiukweli hamnaga mapenzi nae,hapa mnajichekesha kwake kinafiki tu

    12. #10
      dudus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 2,302
      Rep Power : 1007
      Likes Received
      1291
      Likes Given
      522

      Default Re: Hoja ya Zitto sio ya chadema

      Quote By ntamaholo
      kaanza na hamad,huyu atakuwa masalia ya CUF, kama siyo CCK. suala la msingi ni ujasiri wa kuanzisha majadala. ingawa sikuangalia vipindi vya bunge wakati yanaibuka, najua kuwa, aliyeanzisha kitu hii ni TUNDU LISU aliposhauriwenyekiti wa kamati zilizowasilisha uozo kuwasilisha hoja ya kupiga kura kutokuwa na imani ni waziri mkuu.

      hayo mengine yakaendelea. lakini swala ni la kitaifa na kizalendo, bila kujali nani kalitoa, wote waliounga mkono ni majasiri na wana uchungu na nchi yao kama siyo yetu

      Naomba nikurekebishe kidogo hapo kwenye
      red; kwa upande wa CUF hawakuunga bali WALIUNGISHWA mkono kwa nguvu. Order ya kufanya hivyo hivyo ilitoka Makao Makuu na sio kwa dhati ya mioyo yao. Kimsingi wanafuata maelekezo kama watoto wadogo.

    13. #11
      KIM KARDASH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Posts : 4,252
      Rep Power : 0
      Likes Received
      564
      Likes Given
      55

      Default Re: Hoja ya Zitto sio ya chadema

      Quote By dudus

      Naomba nikurekebishe kidogo hapo kwenye
      red; kwa upande wa CUF hawakuunga bali WALIUNGISHWA mkono kwa nguvu. Order ya kufanya hivyo hivyo ilitoka Makao Makuu na sio kwa dhati ya mioyo yao. Kimsingi wanafuata maelekezo kama watoto wadogo.
      kwa hiyo ilitoka makao makuu ya chadema au,acheni kibri kura zenu hazitoshi kuiangusha serikali bungeni,hata kama mngependa hamuwezi fanikiwa bila msaada wa anagalau cuf,yani kwenye mipango yenu yeyote mtakayoiandaa dhidi ya govt kuomba msaada cuf hakukwepeki kwani peke yenu hamna meno,hamkupewa na wananchi wapiga kura
      BASHADA likes this.

    14. #12
      Njangula's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 179
      Rep Power : 418
      Likes Received
      16
      Likes Given
      1

      Default Re: Hoja ya Zitto sio ya chadema

      Jamani tusiharibu mshikamano wa wabunge. This is Unilateral Movement for Change. Ni vyama vyote tofauti baadaye. Nyumba moja kwa nini tupiganie tofari? Nawe uliyeweka uzi umekurukupuka. Unaparua donda linalopona! Sio ustaarabu. Control your hormone of jealousness.

    15. #13
      Kibanga Ampiga Mkoloni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2007
      Location : Here! here!
      Posts : 4,768
      Rep Power : 1628
      Likes Received
      1185
      Likes Given
      1701

      Default

      Quote By Mbimbinho
      Tarehe za mwisho hizi, you might not be feeling well, I know, I know it.
      u mean kachinja kuku?

    16. #14
      Sir oby's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 124
      Rep Power : 394
      Likes Received
      7
      Likes Given
      5

      Default Re: Hoja ya Zitto sio ya chadema

      hujui unalolisema, we pambana na hao majority wa ccm wanaolimaliza taifa.

    17. #15
      Innobwoy's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th November 2010
      Posts : 200
      Rep Power : 470
      Likes Received
      61
      Likes Given
      80

      Default Re: Hoja ya Zitto sio ya chadema

      Hata kama hoja ni ya makinda we dont care, hatuangalii rangi ya paka bt uwezo wake wa kukamata panya,,CCM wamesaini wangapi hapo mama???ingekuwa ni hoja ya bunge tungepata sahihi 245+,wale wa CCM waliokuwa wanatoka mapovu wako wapi???chezea na brain za vijana wewe,ukitoka povu tunakupa karatasi umwage sahihi,,,,,Kilango wapi?Ole Sendeka wapi???
      MIRIJA IKATWE likes this.

    18. #16
      Naytsory's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2011
      Posts : 721
      Rep Power : 759
      Likes Received
      127
      Likes Given
      2

      Default Re: Hoja ya Zitto sio ya chadema

      Nashindwa kumwelewa mtoa mada kwanini anaendekeza siasa za vyama wakati tunajadili issue nyeti zinazohusu rasilimali zetu? Pesa zinazoibiwa ni za watanzania wote bila kujali vyama vyao, Tz tuna hasara kuwa na watu wasiothamini mali umma badala yake wanathamini vyama vyao na wamejaa wivu. Kwani hoja ikiwa imetolewa na mbunge wa chama chochote kwa maslahi ya taifa letu na chama hicho kikajivunia mbunge huyo hapo tatizo liko wapi? Labda wivu tu.

    19. #17
      idawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 4,580
      Rep Power : 3330
      Likes Received
      1218
      Likes Given
      458

      Default Re: Hoja ya Zitto sio ya chadema

      Bila kujali alieanzisha hoja ni nani awe Lissu au zitto ukweli ni kwamba wote ni zao la chadema na ni watanzania kwa ujumla na ni wajibu wao kama wawakilishi wa wananchi.....na umeona katika wabunge wote zaidi mia tatu ni wabunge 48 tu wa chadema ndio waonaokubebesha mzigo wa kodi kwa kuchukua posho ambayo ipo kisheria na iliyopitishwa na wabunge wa ccm walio wengi bungeni.?

    20. #18
      FortJeasus's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th January 2012
      Posts : 460
      Rep Power : 558
      Likes Received
      267
      Likes Given
      254

      Default Re: Hoja ya Zitto sio ya chadema

      Haujaeleza vyema ukaeleweka..
      Hata hivyo,huwezi kujaribu kumtenganisha Zito na hoja zake na CHADEMA kama chama.
      Kama ilivyo kweli pia kwa John Chiligati na CCM.
      Waberoya likes this.
      Binadamu ambaye haamini chochote na ambaye hasimamii chochote anachokiamini wala kukipigania , huweza kuangushwa kirahisi na kitu chochote kitakachomkabili. - Malcom X.

    21. #19
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,675
      Rep Power : 1911
      Likes Received
      1580
      Likes Given
      676

      Default Re: Hoja ya Zitto sio ya chadema

      KIM KARDASH Inakuuma siyo, zitto na lissu ni wetu unaleta thread za kutugombanisha siyo!! kwa taarifa yako hatumpondi zitto wala cuf Kama ilivyo kuwa matarajiyo yako umeula wa chuya wewe gamba. Nenda kaomboleze huko tunavyo iteketeza mijizi yenu na mitumbo iliyojaa kodi zetu wenzako ritz na rejao wako chini ya meza


    22. #20
      tunalazimika's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Posts : 246
      Rep Power : 482
      Likes Received
      18
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By KIM KARDASH
      kwa hiyo ilitoka makao makuu ya chadema au,acheni kibri kura zenu hazitoshi kuiangusha serikali bungeni,hata kama mngependa hamuwezi fanikiwa bila msaada wa anagalau cuf,yani kwenye mipango yenu yeyote mtakayoiandaa dhidi ya govt kuomba msaada cuf hakukwepeki kwani peke yenu hamna meno,hamkupewa na wananchi wapiga kura
      Ni mapema sana kuonyeshana itikadi katika suala hili_nadhan wengi hawafaham kuwa hoja hii itakapopelekwa Bungen itahitaj kuungwa mkono kwa 50%_ivo utaona ni kiasi kikubwa cha wabunge watahitajika kuungana kwa pamoja desipite ya Vyama wanavyotoka, tukianza kuonyeshana ubabe na ujuaji ni wazi suala hili halitoungwa mkono kwa kiasi hicho. Nawasihi kuacha mwenendo huu kwasababu halitowasaidia ninyi wala Taifa.

    Page 1 of 9 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...