Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Sekretarieti ya Ajira ichunguzwe, kuna dalili za rushwa!

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 31 of 31
    1. #1
      Kalunguine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th July 2010
      Location : Mwanza Tanzania
      Posts : 2,223
      Rep Power : 892
      Likes Received
      27
      Likes Given
      54

      Default Sekretarieti ya Ajira ichunguzwe, kuna dalili za rushwa!

      Habari wana jamvi,
      Ni mara ya kwanza kuitwa hawa watu kwa ajiri ya Interview. Ila kile kilichojitokeza jana kikiachwa kiendelee tutakuwa tunaendeleza ugonjwa uleule na kupoteza dhana nzima ya kuanzishwa kwake.
      Nilibahatika kuingia kwenya mtihani wao wa maandishi ukilinganisha nawale ambao hawakupata nafasi ya kufanya mtihani huo, kwasababu zisizo na msingi za kukosa vyeti halisi vya elimu zao. Ikiwa matokeo ya mfumpo mbovu wa vyuo vyetu.
      Kinachonisikitisha ni namna gani wanasahihisha hiyo mitihani yao kupata washindi kwa ajili ya Oral interview. Kwa mtihani ambao nimeufanya sijaona tatizo na kosa la kunifanya nisirudi kwa Oral interview.
      Na sisitiza hii taasisi iangaliwe kwa macho mawil.i Nachelea kusema kuwa kuna dalili za Rushwa, Makisi za huyu kupewa mtahlniwa mwingine, Kuna ukabila.
      Taasisi ichunguzwe kabla watanzania hatujapoteza imani nayo. Kwawale wamepata ajira kupitia taasisi hii kwa kubebwa watabeza ushauri huu.
      Kwa wale waanga kama mm tujipe moyo tumaini linakuja.
      IF YOU CANNOT KILL YOUR, BUY HIM
      Agrodealer and john leonard like this.
      VUA GAMBA,PASUA GWANDA,VAA UZALENDO! HAKUNA MBWEMBWE KATIKA UKOMBOZI WA RASILIMALI ZA NCHI!

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      Kalunguine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th July 2010
      Location : Mwanza Tanzania
      Posts : 2,223
      Rep Power : 892
      Likes Received
      27
      Likes Given
      54

      Default re: Sekretarieti ya Ajira ichunguzwe, kuna dalili za rushwa!

      Quote By Polisi
      Pambafu! sasa hapo kwenye nyekundu umeandika nini? kama tu kuandika shida, utaweza kuandika CV na cover letter yenye ushindani kweli!
      We keali unaukalia, Hiyo inaweza kusema sijui kuandika. Acha useeee
      VUA GAMBA,PASUA GWANDA,VAA UZALENDO! HAKUNA MBWEMBWE KATIKA UKOMBOZI WA RASILIMALI ZA NCHI!

    4. #22
      Mjanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th February 2011
      Location : "MWILINI MWANGU"
      Posts : 776
      Rep Power : 574
      Likes Received
      107
      Likes Given
      22

      Default Secretarieti ya ajira utumishi wa umma mwisho wa matatizo kwa wanyonge?

      wana JF habari zenu??
      Hivi karibuni nimeona serikali imekuja na mfumo mpya
      wa kuajiri watumishi wa umma kupitia Secretarieti ya Ajira utumishi
      wa umma, Je nini ajenda nyuma ya pazia?
      Je watoto wa wakulima wasio kuwa na godFathers wataweza tena kupenya?
      najikuta najiuliza haya maswali kutokana na uzoefu wa hapo nyuma!
      mathalani tumekuwa tukiona matangazo ya masoma ya juu nchi za
      nje (China) kupitia wizara ya Elimu na hata mamlaka nyingine za
      serikali cha ajabu nafasi zimekuwa zikibanwa sana na pengine watu kwenda
      wasiokuwa na sifa, au kutokwenda kabisa kwa sababu wahusika wamekosa
      ndugu zao wa kuwapeleka!, waalimu wa Kiswahili waliwahi kuhitajika
      katika baadhi ya nchi za kiafrika, lakini nafasi zilibanwa, matokeo yake
      wakenya wakazinyakua fasta! tumeona scholashipu za BTC zilivyoleta
      mkanganyiko mpaka zikasimama mwaka jana!

      Hofu yangu: huu mfumo mpya usijeukawa unatumika kuwaneemesha
      watoto wa "Walala Hai" na kugandamiza haki ya watoto wa "Walala Hoi"!

      nawakilisha!!!
      "A broken heart won't heal if you keep on giving it to the same person that broke it"


    5. #23
      tindikalikali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 3,080
      Rep Power : 1214
      Likes Received
      392
      Likes Given
      89

      Default Re: Secretarieti ya ajira utumishi wa umma mwisho wa matatizo kwa wanyonge?

      kupenya huko ni ngumu sana.

    6. #24
      Bukyanagandi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2009
      Location : DSM
      Posts : 1,956
      Rep Power : 923
      Likes Received
      716
      Likes Given
      1475

      Default Re: Secretarieti ya ajira utumishi wa umma mwisho wa matatizo kwa wanyonge?

      Quote By Mjanga
      wana JF habari zenu??
      Hivi karibuni nimeona serikali imekuja na mfumo mpya
      wa kuajiri watumishi wa umma kupitia Secretarieti ya Ajira utumishi
      wa umma, Je nini ajenda nyuma ya pazia?
      Je watoto wa wakulima wasio kuwa na godFathers wataweza tena kupenya?
      najikuta najiuliza haya maswali kutokana na uzoefu wa hapo nyuma!
      mathalani tumekuwa tukiona matangazo ya masoma ya juu nchi za
      nje (China) kupitia wizara ya Elimu na hata mamlaka nyingine za
      serikali cha ajabu nafasi zimekuwa zikibanwa sana na pengine watu kwenda
      wasiokuwa na sifa, au kutokwenda kabisa kwa sababu wahusika wamekosa
      ndugu zao wa kuwapeleka!, waalimu wa Kiswahili waliwahi kuhitajika
      katika baadhi ya nchi za kiafrika, lakini nafasi zilibanwa, matokeo yake
      wakenya wakazinyakua fasta! tumeona scholashipu za BTC zilivyoleta
      mkanganyiko mpaka zikasimama mwaka jana!

      Hofu yangu: huu mfumo mpya usijeukawa unatumika kuwaneemesha
      watoto wa "Walala Hai" na kugandamiza haki ya watoto wa "Walala Hoi"!

      nawakilisha!!!
      Nakuhunga mkono katika hilo mkuu, watu hawa wa UTUMISHI wamekwamisha sana nchi yetu kwa kufanya mambo ya ndio sivyo - kwa bahati mbaya nasikitika kusema naona hawajabadirika chochote, wapo radhi kupoteza nafasi za Watanzania kusoma nje simply wakiona walio omba nafasi hizo kama hakuna ndugu,rafiki zao basi nafasi hizo wanazikalia au wakati mwingine wanazituma kwa taasisi husika wakijuwa waombaji hawatapata muda wa kujaza form na vitu vingine before deadline!

      Watanzania sisi ni watu wa ajabu sana, mimi nilipata bahati ya kupata scholarship na kwenda kusoma nje, kitu kilicho nishangaza ni pale wafadhili walipo kuwa wanalalamikia Tanzania kwamba inapewa nafazi nyingi kwa ajili kuwasomesha raia wake, lakini ni watu wachache wanaojitokeza kwa hiyo wafadhili wameamua ku-scale down offers zao kwa Tanzania na kuwapa mataifa mengine kwa kuwa tunaonekana hatuna interest!

      Kwa hiyo mimi siwezi kushangaa kama tabia hii inaendelea hata katika mambo ya ajila.
      Mjanga likes this.

    7. #25
      Nteko Vano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2012
      Location : Dar es salaam
      Posts : 428
      Rep Power : 450
      Likes Received
      90
      Likes Given
      26

      Default Re: Secretarieti ya ajira utumishi wa umma mwisho wa matatizo kwa wanyonge?

      Ni kweli tunahitaji mabadiliko makubwa sana. Hata scholarships za Uholanzi utaratibu wa kuomba ulibadilishwa kutokana na hao hao na wengine wa nchi kama za kwetu.

    8. Miaka 50

    9. #26
      mambomoto's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th May 2011
      Posts : 61
      Rep Power : 435
      Likes Received
      14
      Likes Given
      0

      Default Sekretarieti ya ajira ya serikali rushwa tupu

      Mojawapo ya matumaini makubwa ya kuanzishwa kwa sekretarieti ya Ajira nchini kwa mujibu wa sheria ni kusaidia kuajiri katika utumishi wa umma kwa niaba ya waajiri katika utumishi wa umma. Jambo hili lilionekana kuwa huenda ikaondoa ukandamizaji wa rushwa pamoja na upendeleo uliokuwepo wakati waajiri walivyokuwa wanaajiri wenyewe. Lakini cha kusikitisha mno ni pale hata sekretarieti hii imeingia kwenye mkumbo huo huo wa kutumia magumashi katika zoezi lao la kuajiri. Rushwa hii ipo hasa kwenye nafasi nyeti na kubwa kulinganisha na zile nafasi ndogo (direct entry). Utashangaa kuona watu wanaitwa kwenye interview kupitia magazeti mnaenda kwenye interview lakini matokea hamyaoni mnasikia tu fulani ameshaitwa kuanza kazi mbali na utaratibu unaojulikana kuwa mnafanya interview anayefaulu anatangazwa kama kawaida na ambao hamkuyaona majina yenu kujihesabu kuwa hamkubahatika. Hii kwa nini kama mtu amefaulu asitangazwe kwa utaratibu kama nafasi nyingine? Na si mara ya kwanza kuona mambo haya katika sekretarieti hii. Ukitaka kujua wameshacheza faulu zao utaona kimya majibu ya hiyo nafasi hayatatoka kama nafasi nyingine. Mfano mzuri ni interview iliyofanyika kati ya tarehe 14-23 May 2012. Wanakuja na majina kadhaa wanasema wasiona majina yao wajihesabu hawakufaulu. Je mbona nafasi hizo hazionekani kana zilipata watu au zitarudiwa????? Mapungufu mengine ni kama 1. Kutokuwa na special pannel ya kuinterview professionals. Utakuwa wazee wa agano la kale wasiojua kabisa kitu ndo wanafanya interview unaweza kujikuta unaoverqualify kuliko wao 2. Katibu wa sekretarieti hii pia ni tatizo kwa ubabe wake usiozingatia taratibu za interview 3. Siri kuvuja hata kabla ya matokeo kutoka 4. Wafanyakazi wa sekretarieti kutozingaziti viapo vya uadilifu wakati wa interview

    10. #27
      CHIETH's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th August 2011
      Location : South Korea
      Posts : 172
      Rep Power : 427
      Likes Received
      63
      Likes Given
      98

      Default Re: Sekretarieti ya ajira ya serikali rushwa tupu

      We ni victim nini?

    11. #28
      wagaba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 598
      Rep Power : 479
      Likes Received
      123
      Likes Given
      92

      Default Re: Sekretarieti ya ajira ya serikali rushwa tupu

      Hivi ni wapi ktk sirikali hii hakuna rushwa?
      Ukitaka kula na kipofu vunja lako jicho..... Tafuta anaepokea hizo pesa, halafu toa dau kubwa kama kweli uko serious na kazi. Otherwise acha wenye meno watafune. Hii ndo sirikali tuliyoichagua.
      Next time kumbuka na hamasisha wadau wote kuacha kuipa madaraka sisiem.
      "Tanzania ni ya watanzania, na watanzania wenyewe ndo sisi"

    12. #29
      Janjaweed's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,613
      Rep Power : 1127
      Likes Received
      1389
      Likes Given
      1536

      Default Re: Sekretarieti ya ajira ya serikali rushwa tupu

      kwa hili napinga... The guys wameondoa sana undugunaizesheni

    13. #30
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,679
      Rep Power : 0
      Likes Received
      538
      Likes Given
      273

      Default Re: Sekretarieti ya Ajira ichunguzwe, kuna dalili za rushwa!

      Quote By Kalunguine
      Habari wana jamvi,
      Ni mara ya kwanza kuitwa hawa watu kwa ajiri ya Interview. Ila kile kilichojitokeza jana kikiachwa kiendelee tutakuwa tunaendeleza ugonjwa uleule na kupoteza dhana nzima ya kuanzishwa kwake.
      Nilibahatika kuingia kwenya mtihani wao wa maandishi ukilinganisha nawale ambao hawakupata nafasi ya kufanya mtihani huo, kwasababu zisizo na msingi za kukosa vyeti halisi vya elimu zao. Ikiwa matokeo ya mfumpo mbovu wa vyuo vyetu.
      Kinachonisikitisha ni namna gani wanasahihisha hiyo mitihani yao kupata washindi kwa ajili ya Oral interview. Kwa mtihani ambao nimeufanya sijaona tatizo na kosa la kunifanya nisirudi kwa Oral interview.
      Na sisitiza hii taasisi iangaliwe kwa macho mawil.i Nachelea kusema kuwa kuna dalili za Rushwa, Makisi za huyu kupewa mtahlniwa mwingine, Kuna ukabila.
      Taasisi ichunguzwe kabla watanzania hatujapoteza imani nayo. Kwawale wamepata ajira kupitia taasisi hii kwa kubebwa watabeza ushauri huu.
      Kwa wale waanga kama mm tujipe moyo tumaini linakuja.
      IF YOU CANNOT KILL YOUR, BUY HIM
      Huna hoja, kubali kushindwa kaa pembeni. Huna ushahidi wa rushwa, majungu ndio yamekutawala

    14. #31
      MAKAWANI's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd May 2012
      Posts : 95
      Rep Power : 374
      Likes Received
      27
      Likes Given
      21

      Default Re: Sekretarieti ya Ajira ichunguzwe, kuna dalili za rushwa!

      Quote By Kalunguine
      Hongera ndg, Na lazima utamke haya na mi sikatai ila nia angalizo tu hiii taasisi kuwepo kwake kuna lengo kubwa kwa taifa hasa sisi vijana. Lakini kama nyumba inavuja ni lazima uzibe tundu kabla ya nyumba haijabomaka. Bado nina Imani ni taasisi ni mambo madogogo madogo inatakiwa yawekwe sawa. Mtihani niliofanya ulikuwa una maswali matano ambao nimefunga safari kutoka mbali kwa ajili yake.

      Na juu ya hiyo kwa Interview ya 19/04/2012 pekee yake kuna zaidi Thread yangu inawalaumu hawa watu. So mpaka kufikia hapa ni Watanzania wangapi hawasemi ni ANGALIZO tu mkuu.

      Kabla watanzania walio wengi hawajapoteza imani kwa taasisi hii

      Wale waleeeee!!! Mkikosa mkubali kushindwa na siyo kuulizia dini yao au kabila zao! Haya ndo mambo nisiyotaka kabsaa!
      Jipange sawa sawa, mwombe mungu pia na kama una vigezo utapata; me nilishaitwa pale mara mbili na nikakosa na niliridhika na kutopata. Haya mambo bana!!!!

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...