TMF|JamiiForums Blog
  • Member Login:
http://www.jamiiforums.com/zain.jpg

+ Reply to Topic
Page 1 of 3 1 2 3 LastLast
Results 1 to 20 of 58
  1. #1
    JF Premium Member Kasheshe will become famous soon enough Kasheshe will become famous soon enough Kasheshe will become famous soon enough Kasheshe will become famous soon enough Kasheshe will become famous soon enough Kasheshe will become famous soon enough Kasheshe will become famous soon enough Kasheshe will become famous soon enough Kasheshe's Avatar
    Join Date
    Fri Jun 2007
    Location
    Bububu
    Posts
    2,727
    Thanks : 310
    Thanked 270 Times in 161 Posts
    Rep Power
    29

    Default Nini chanzo cha mijadala mingi isiyoisha? Je ni mfumo wetu wa Elimu?

    Wanabodi,

    Naanza kushitukia kwamba kuna mambo yamekuwa yakijadiliwa muda mrefu na wakati mwingine hata hayana tija, wakati mwingine yaki-engage mahakama, serikali na bunge!

    Je hii haiwezeki kuwa ni mojawapo za athari ya kusomesha wataalamu wa sayansi(arts) jamii wengi!

    Je suala la TANESCO kuonekana la kisiasa ndio dalili za mfumo huo wa elimu kuwa na waatalaamu wa arts zaidi kuliko wahandisi?

    Ninachalea kusema haya kwa kuwa hoja ya TANESCO inaonekana kutosikilizwa kabisa. concern yao ya kuwepo umeme usiotosha mahitaji na kwamba serikali imekuwa ikijivutavuta kuwekeza haionekani kuonekana machoni mwa wanasiasa... nini tatizo?

  2. #2
    Shy
    Shy is offline
    JF Senior Expert Member Shy will become famous soon enough Shy will become famous soon enough Shy will become famous soon enough Shy will become famous soon enough Shy will become famous soon enough Shy will become famous soon enough Shy will become famous soon enough Shy will become famous soon enough Shy's Avatar
    Join Date
    Thu Nov 2006
    Posts
    4,498
    Thanks : 0
    Thanked 228 Times in 148 Posts
    Rep Power
    32

    Default Re: Nini chanzo cha mijadala mingi isiyoisha? Je ni mfumo wetu wa Elimu?

    Ndugu ndio maana kwenye ile hoja ya ip attacking jf nilimuuliza mtu can we be profesional nilichosema pale nilimaanisha kama vitu ni profesional waache profesional wanaojua waongee na wawa shauri kutokana na uelewa wao na mambo hayo --
    Unielezee - Uniambiee -

  3. #3
    Senior Member Jujuman will become famous soon enough Jujuman will become famous soon enough Jujuman will become famous soon enough Jujuman will become famous soon enough Jujuman will become famous soon enough Jujuman will become famous soon enough Jujuman will become famous soon enough Jujuman will become famous soon enough
    Join Date
    Sun Dec 2008
    Posts
    148
    Thanks : 140
    Thanked 18 Times in 13 Posts
    Rep Power
    22

    Default Re: Nini chanzo cha mijadala mingi isiyoisha? Je ni mfumo wetu wa Elimu?

    Quote Originally Posted by Kasheshe View Post
    Wanabodi,

    Naanza kushitukia kwamba kuna mambo yamekuwa yakijadiliwa muda mrefu na wakati mwingine hata hayana tija, wakati mwingine yaki-engage mahakama, serikali na bunge!

    Je hii haiwezeki kuwa athari ya kusomesha wataalamu wa sayansi(arts) jamii wengi!

    Je suala la TANESCO kuonekana la kisiasa ndio dalili za mfumo huo wa elimu kuwa na waatalaamu wa arts zaidi kuliko wahandisi!

    Ninachalea kusema haya kwa kuwa hoja ya TANESCO inaonekana kutosikilizwa kabisa. concern yao ya kuwepo umeme usiotosha mahitaji na kwamba serikali imekuwa ikijivutavuta kuwekeza haionekani kuonekana machoni mwa wanasiasa... nini tatizo?
    Mkuu Kasheshe salam,
    Mbali na elimu ya fani hii au ile kuna kitu kingine muhimu ambacho viongozi wengi wana upungufu nacho; UWEZO WA KUZALIWA NAO katika kutoa uamuzi na kutekeleza uliyoamua. hayo mawili yanakwenda pamoja na kwa maoni yangu, utapata mwongozo wa hayo kutoka Shule/Elimu lakini atakuwa bora yule aliezaliwa na kuondokea kuwa na POWER hiyo toka udogo wake naamini kuna viongzi wengi Duniani waliothibitisha hivyo akiwemo Abaham Lincon (USA) na Mzee Jomo Kenyata(kenya).nk.

  4. #4
    JF Premium Member Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough
    Join Date
    Thu Mar 2006
    Location
    T dot
    Posts
    8,247
    Thanks : 1,192
    Thanked 1,924 Times in 845 Posts
    Rep Power
    82

    Default Re: Nini chanzo cha mijadala mingi isiyoisha? Je ni mfumo wetu wa Elimu?

    Kasheshe,
    Mkuu ktk hili nadhani unajaribu ku spin the issue kwa sababu tunachozungumza hapa ni hili swala la mitambo ya Dowans..
    Kuna issue mbili hapa ambazo unajaribu kuziunganisha Short na Long term strategies..
    Kwanza hakuna mwananchi anayepinga umuhimu wa Umeme na kwa nini serikali yetu imeshindwa kutekeleza long term plan ya kuzalisha umeme..Hilo halina ubishi wala mjadala iwe kwa wanasiasa, wasomi au wananchi kabuntas kama sisi.. mahitaji ya UMEME hayana elimu ya art wala Uhandisi isipokuwa ni chombo gani kinahitajika..tatizo ipo ktk utekelezaji wa short term plan ambayo tayari imekwisha fanyiwa kazi na hao hao wasomi wahandisi unaowazungumza.. wametumia art kutuzuga wananchi wote. sasa sijui walisomea art au Uhandisi.

    Mkuu wangu kinachogomba hapa labda nikiweke sawa.. ni Hivi kama sisi tumekwenda kwa daktari na ametuandikia dawa ya maleria iwe Chloroquine, hakuna anayepinga maamuzi hayo, isipokuwa tunachopinga ni maamuzi ya mtu alioyekwenda dukani kununua dawa hiyo..Kwanza kanunua dawa toka kwa mlanguzi feki - made in India kwa gharama ambayo ni kubwa..Kinachogomba zaidi ni madai yake yanayolenga zaidi sababu za maradhi yetu na somo zito kuhusiana na Maleria wakati sisi tunachouliza ni kidogo sana why.. kinahusu hiyo dawa sio maradhi yetu..hatupati jibu!

    Nachoomba hawa wahandisi unaotaka kuwasifia watueleze kwa undani kuhusu hii mitambo ya Dowans na sio kiza kinachotuandama, hilo tunafahamu toka mwanzo na ndio maana serikali iliwapa go ahead Tanesco kununua mitambo ya dharura badala yake wao wakatufungashia mitambo ya mashinga!..
    Sasa nani artist hapa ikiwa huyo msomi mwenyewe anatumia art kufanya maamuzi yanayohitaji elimu yake..Kulikuwa hakuna wakati una viongozi wsomi na wahandisi kama unavyotaka kuliko wakati wa Mkapa lakini ndio wakati Umeme,Maji na vitu vyote vimetupwa nje ya elimu zao..walichofikiria ni UTAJIRI!.. na ktk swala la mitambo ya Dowans kinaendelea hapa ni imani hiyo ya UTAJIRI..imani ambayo wananchi tumechoka nayo! kwa nini hawa wasomi hawaelewi hilo?
    So artist can be anyone, msomi, mwanasiasa na hata raia asokuwa na elimu..Ni kipaji kinachotegemea wajinga wangapi wanaingia!
    Exploration of reality

  5. #5
    JF Premium Member Kasheshe will become famous soon enough Kasheshe will become famous soon enough Kasheshe will become famous soon enough Kasheshe will become famous soon enough Kasheshe will become famous soon enough Kasheshe will become famous soon enough Kasheshe will become famous soon enough Kasheshe will become famous soon enough Kasheshe's Avatar
    Join Date
    Fri Jun 2007
    Location
    Bububu
    Posts
    2,727
    Thanks : 310
    Thanked 270 Times in 161 Posts
    Rep Power
    29

    Default Re: Nini chanzo cha mijadala mingi isiyoisha? Je ni mfumo wetu wa Elimu?

    Quote Originally Posted by Mkandara View Post
    Kasheshe,
    Mkuu ktk hili nadhani unajaribu ku spin the issue kwa sababu tunachozungumza hapa ni hili swala la mitambo ya Dowans..
    Kuna issue mbili hapa ambazo unajaribu kuziunganisha Short na Long term strategies..
    Kwanza hakuna mwananchi anayepinga umuhimu wa Umeme na kwa nini serikali yetu imeshindwa kutekeleza long term plan ya kuzalisha umeme..Hilo halina ubishi wala mjadala iwe kwa wanasiasa, wasomi au wananchi kabuntas kama sisi.. mahitaji ya UMEME hayana elimu ya art wala Uhandisi isipokuwa ni chombo gani kinahitajika..tatizo ipo ktk utekelezaji wa short term plan ambayo tayari imekwisha fanyiwa kazi na hao hao wasomi wahandisi unaowazungumza.. wametumia art kutuzuga wananchi wote. sasa sijui walisomea art au Uhandisi.

    Mkuu wangu kinachogomba hapa labda nikiweke sawa.. ni Hivi kama sisi tumekwenda kwa daktari na ametuandikia dawa ya maleria iwe Chloroquine, hakuna anayepinga maamuzi hayo, isipokuwa tunachopinga ni maamuzi ya mtu alioyekwenda dukani kununua dawa hiyo..Kwanza kanunua dawa toka kwa mlanguzi feki - made in India kwa gharama ambayo ni kubwa..Kinachogomba zaidi ni madai yake yanayolenga zaidi sababu za maradhi yetu na somo zito kuhusiana na Maleria wakati sisi tunachouliza ni kidogo sana why.. kinahusu hiyo dawa sio maradhi yetu..hatupati jibu!

    Nachoomba hawa wahandisi unaotaka kuwasifia watueleze kwa undani kuhusu hii mitambo ya Dowans na sio kiza kinachotuandama, hilo tunafahamu toka mwanzo na ndio maana serikali iliwapa go ahead Tanesco kununua mitambo ya dharura badala yake wao wakatufungashia mitambo ya mashinga!..
    Sasa nani artist hapa ikiwa huyo msomi mwenyewe anatumia art kufanya maamuzi yanayohitaji elimu yake..Kulikuwa hakuna wakati una viongozi wsomi na wahandisi kama unavyotaka kuliko wakati wa Mkapa lakini ndio wakati Umeme,Maji na vitu vyote vimetupwa nje ya elimu zao..walichofikiria ni UTAJIRI!.. na ktk swala la mitambo ya Dowans kinaendelea hapa ni imani hiyo ya UTAJIRI..imani ambayo wananchi tumechoka nayo! kwa nini hawa wasomi hawaelewi hilo?
    So artist can be anyone, msomi, mwanasiasa na hata raia asokuwa na elimu..Ni kipaji kinachotegemea wajinga wangapi wanaingia!
    Mkuu Mkandara,

    Heshima mbele, yaani nilichoeleza ndio exactly unachofanya... post yako imejaa siasa sana, najua wewe umesoma arts... hivyo ni fani yako!

    Maswali yote ya msingi uliyonayo ukipeleka TANESCO wanakupa majibu yote bila hata kukupa tarehe...

    Kuacha nchi kuongozwa zaidi na siasa... itatumaliza.

  6. #6
    JF Premium Member Waberoya will become famous soon enough Waberoya will become famous soon enough Waberoya will become famous soon enough Waberoya will become famous soon enough Waberoya will become famous soon enough Waberoya will become famous soon enough Waberoya will become famous soon enough Waberoya will become famous soon enough
    Join Date
    Sun Aug 2008
    Location
    On Earth
    Posts
    2,976
    Thanks : 3,073
    Thanked 1,801 Times in 887 Posts
    Rep Power
    28

    Default Re: Nini chanzo cha mijadala mingi isiyoisha? Je ni mfumo wetu wa Elimu?

    Hakuna cha short term wala long term strategies, issue ni kuwa mpaka sasa tumeshindw kuonyesha uwezo wetu si kwa viongozi wala wahandisi!

    Kama alivyosema mtoa maada kuna tatizo pengine kwenye mifumo ya elimu, elimu means to solve problems, not bla bla.

    Mpaka leo sijajua tangu enzi za Nyerere kwa nini tuna tatizo hili?? LABDA MSIO JUA, WATAALAMU WETU WA UMEME WENGI NI WALE WENYE UWEZO MAALUMU/VIPAJI MAALUMU. WENGI WAMEMALIZA ILBORU, KIBAHA, MZUMBE NA TABORA BOYS! HAWA WENGI HUSOMA ELECTRICAL ENGINEERING!

    LAZIMA KUNA TATIZO SEHEMU!!!!!!!!!!lazima
    ‘’I have come to the conclusion that politics are too serious a matter to be left to the politicians’’. Charles De Gaulle (1890 - 1970)

  7. #7
    JF Premium Member Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough
    Join Date
    Thu Mar 2006
    Location
    T dot
    Posts
    8,247
    Thanks : 1,192
    Thanked 1,924 Times in 845 Posts
    Rep Power
    82

    Default Re: Nini chanzo cha mijadala mingi isiyoisha? Je ni mfumo wetu wa Elimu?

    Kasheshe,
    Mkuu wangu acha matusi, na wewe umesomea kitu gani! Kama hao Tanesco wangekuwa wamesomea Uhandisi basi wasingemleta huyo mzungu kutoka ng'ambo kuitazama hiyo mitambo..walishindwa kipi ambacho hakikuwa ktk elimu yao au ndio mzungu kasema!
    Exploration of reality

  8. #8
    JF Premium Member Kasheshe will become famous soon enough Kasheshe will become famous soon enough Kasheshe will become famous soon enough Kasheshe will become famous soon enough Kasheshe will become famous soon enough Kasheshe will become famous soon enough Kasheshe will become famous soon enough Kasheshe will become famous soon enough Kasheshe's Avatar
    Join Date
    Fri Jun 2007
    Location
    Bububu
    Posts
    2,727
    Thanks : 310
    Thanked 270 Times in 161 Posts
    Rep Power
    29

    Default Re: Nini chanzo cha mijadala mingi isiyoisha? Je ni mfumo wetu wa Elimu?

    Quote Originally Posted by Waberoya View Post
    Hakuna cha short term wala long term strategies, issue ni kuwa mpaka sasa tumeshindw kuonyesha uwezo wetu si kwa viongozi wala wahandisi!

    Kama alivyosema mtoa maada kuna tatizo pengine kwenye mifumo ya elimu, elimu means to solve problems, not bla bla.

    Mpaka leo sijajua tangu enzi za Nyerere kwa nini tuna tatizo hili?? LABDA MSIO JUA, WATAALAMU WETU WA UMEME WENGI NI WALE WENYE UWEZO MAALUMU/VIPAJI MAALUMU. WENGI WAMEMALIZA ILBORU, KIBAHA, MZUMBE NA TABORA BOYS! HAWA WENGI HUSOMA ELECTRICAL ENGINEERING!

    LAZIMA KUNA TATIZO SEHEMU!!!!!!!!!!lazima
    Tatizo ni kwamba jamii inawasikiliza wanasiasa sana wana-bla bla bla... labda nikuulize swali...

    Tangu sakata hili lianze,,, ni kina nani wame-be-interviewed.... ni wanasiasa tu...

    Hakuna hata interview moja iliyofanywa kwa ERB etc... au kwa mhandisi wowote...

    Nakuambia nyererea alianza kukosea pale University of East Africa, sisi badala ya kuanza na Wahandisi na Madakrai sisi tulianza na wanasiasa... angalia enrolment yetu... arts ni asilimia kubwa sana...

    Angalia wanafunzi wanavyofeli hesabu... Nakubwambia hilo ndio Tatizo... jamii inawasikiliza wanasiasa, wana-arts sana kuliko wahandisi, wahasibu... etc...

  9. #9
    JF Premium Member Ogah is one of most respected JF members! Ogah is one of most respected JF members! Ogah is one of most respected JF members! Ogah is one of most respected JF members! Ogah is one of most respected JF members! Ogah is one of most respected JF members! Ogah is one of most respected JF members! Ogah is one of most respected JF members! Ogah is one of most respected JF members! Ogah is one of most respected JF members! Ogah is one of most respected JF members!
    Join Date
    Fri Mar 2006
    Posts
    3,778
    Thanks : 1,962
    Thanked 547 Times in 325 Posts
    Rep Power
    2032

    Default Re: Nini chanzo cha mijadala mingi isiyoisha? Je ni mfumo wetu wa Elimu?

    Quote Originally Posted by Kasheshe View Post
    Wanabodi,

    Naanza kushitukia kwamba kuna mambo yamekuwa yakijadiliwa muda mrefu na wakati mwingine hata hayana tija, wakati mwingine yaki-engage mahakama, serikali na bunge!

    Je hii haiwezeki kuwa ni mojawapo za athari ya kusomesha wataalamu wa sayansi(arts) jamii wengi!

    Je suala la TANESCO kuonekana la kisiasa ndio dalili za mfumo huo wa elimu kuwa na waatalaamu wa arts zaidi kuliko wahandisi?

    Ninachalea kusema haya kwa kuwa hoja ya TANESCO inaonekana kutosikilizwa kabisa. concern yao ya kuwepo umeme usiotosha mahitaji na kwamba serikali imekuwa ikijivutavuta kuwekeza haionekani kuonekana machoni mwa wanasiasa... nini tatizo?
    Tha ball is inyour court....fanya hiyo research halafu uje na findings......

    This is Jamii Forums....soma madhumuni yake na kwa nini ipo hivi ilivyo....

  10. #10
    JF Premium Member Ogah is one of most respected JF members! Ogah is one of most respected JF members! Ogah is one of most respected JF members! Ogah is one of most respected JF members! Ogah is one of most respected JF members! Ogah is one of most respected JF members! Ogah is one of most respected JF members! Ogah is one of most respected JF members! Ogah is one of most respected JF members! Ogah is one of most respected JF members! Ogah is one of most respected JF members!
    Join Date
    Fri Mar 2006
    Posts
    3,778
    Thanks : 1,962
    Thanked 547 Times in 325 Posts
    Rep Power
    2032

    Default Re: Nini chanzo cha mijadala mingi isiyoisha? Je ni mfumo wetu wa Elimu?

    Quote Originally Posted by Mkandara View Post
    Kasheshe,
    Mkuu ktk hili nadhani unajaribu ku spin the issue kwa sababu tunachozungumza hapa ni hili swala la mitambo ya Dowans..
    Kuna issue mbili hapa ambazo unajaribu kuziunganisha Short na Long term strategies..
    Kwanza hakuna mwananchi anayepinga umuhimu wa Umeme na kwa nini serikali yetu imeshindwa kutekeleza long term plan ya kuzalisha umeme..Hilo halina ubishi wala mjadala iwe kwa wanasiasa, wasomi au wananchi kabuntas kama sisi.. mahitaji ya UMEME hayana elimu ya art wala Uhandisi isipokuwa ni chombo gani kinahitajika..tatizo ipo ktk utekelezaji wa short term plan ambayo tayari imekwisha fanyiwa kazi na hao hao wasomi wahandisi unaowazungumza.. wametumia art kutuzuga wananchi wote. sasa sijui walisomea art au Uhandisi.

    Mkuu wangu kinachogomba hapa labda nikiweke sawa.. ni Hivi kama sisi tumekwenda kwa daktari na ametuandikia dawa ya maleria iwe Chloroquine, hakuna anayepinga maamuzi hayo, isipokuwa tunachopinga ni maamuzi ya mtu alioyekwenda dukani kununua dawa hiyo..Kwanza kanunua dawa toka kwa mlanguzi feki - made in India kwa gharama ambayo ni kubwa..Kinachogomba zaidi ni madai yake yanayolenga zaidi sababu za maradhi yetu na somo zito kuhusiana na Maleria wakati sisi tunachouliza ni kidogo sana why.. kinahusu hiyo dawa sio maradhi yetu..hatupati jibu!

    Nachoomba hawa wahandisi unaotaka kuwasifia watueleze kwa undani kuhusu hii mitambo ya Dowans na sio kiza kinachotuandama, hilo tunafahamu toka mwanzo na ndio maana serikali iliwapa go ahead Tanesco kununua mitambo ya dharura badala yake wao wakatufungashia mitambo ya mashinga!..
    Sasa nani artist hapa ikiwa huyo msomi mwenyewe anatumia art kufanya maamuzi yanayohitaji elimu yake..Kulikuwa hakuna wakati una viongozi wsomi na wahandisi kama unavyotaka kuliko wakati wa Mkapa lakini ndio wakati Umeme,Maji na vitu vyote vimetupwa nje ya elimu zao..walichofikiria ni UTAJIRI!.. na ktk swala la mitambo ya Dowans kinaendelea hapa ni imani hiyo ya UTAJIRI..imani ambayo wananchi tumechoka nayo! kwa nini hawa wasomi hawaelewi hilo?
    So artist can be anyone, msomi, mwanasiasa na hata raia asokuwa na elimu..Ni kipaji kinachotegemea wajinga wangapi wanaingia!
    ......umemshtukia eeh......

  11. #11
    JF Premium Member Mzee Mwanakijiji is on a distinguished road Mzee Mwanakijiji is on a distinguished road Mzee Mwanakijiji is on a distinguished road Mzee Mwanakijiji's Avatar
    Join Date
    Fri Mar 2006
    Location
    Kijijini
    Posts
    20,685
    Thanks : 13,731
    Thanked 8,535 Times in 2,444 Posts
    Rep Power
    51

    Default Re: Nini chanzo cha mijadala mingi isiyoisha? Je ni mfumo wetu wa Elimu?

    Kasheshe.. nitaandika hapa kwa kifupi:

    Kutenganisha siasa na maisha ya kawaida haiwezekani. Siasa encompass everything and exclude nothing. Kujaribu kuondoa siasa kwenye masuala yoyote yanayohusu jamii ya watu ambapo muhusika ni zaidi ya mtu mmoja haiwezekani. Hivyo, iwe katika taaluma mbalimbali, fani au mtazamo wa kimaisha siasa haiepukiki.

    Tanesco kama taasisi ya kiweledi ingeweza kufanya mambo itakavyo. Hata hivyo sera, mwelekeo wa maono na ufadhili wa kifedha wa Tanesco unategemea maamuzi ya kisiasa. Tanesco wanaweza kuwa na hoja nzuri sana na hoja ambazo unazisema wengine tulizisema miaka mitatu sasa. Hakuna lililo geni katika hoja za Tanesco. Bahati mbaya Tanesco wameshindwa kuwashawishi wanasiasa.

    So, wanasiasa hawawezi kuepukika, maamuzi ya kisiasa hayawezi kuepukika. Haiwezekini Tanesco wasema "tunahitaji bilioni 60 kununua mitambo ya umeme" halafu wanasiasa waseme tu "ok here is 60 billion tsh!" huo utakuwa ni wazimu.

    Gharama kubwa tuliyoilipa hadi sasa ni mambo kama hayo kwamba watu ambao ni weledi wameachwa kuchukua maamuzi yao wao wenyewe huku wanasiasa wakifuata nyuma kuyahalalisha. TUmeona Benki Kuu, tumeyaona kwenye wizara mbalimbali, wakala na idara. Matokeo yake professionals wengi ndiyo wamekuwa kiini cha ufisadi nchini! Ni wao ambao wamekuwa wahasibu waliochota mabilioni au wataalamu walioandika miradi ya kifisadi. Ni wao wamegeana mabilioni ya fedha za per diem katika warsha na semina zao za "kitaalamu". KUwachia wafanye wapendavyo ni kujitakia matatizo ambayo tayari tunayo.

    HIvyo wanasiasa sasa wanachukua nafasi yao sahihi, nayo ni kusimamia serikali na by extension wale wote wanaohusiaana na serikali. Maprofessional wasitarajie tena kupewa a blank check ati kwa vile wao ni "wataalamu". Tukifanya hivyo (kuwaachia tu) basi itakuwa ni "wizi mtupu!".

    Tanesco wameshindwa kuangalia political ramification ya maamuzi yao na matokeo yake wanalipa. Kama Dr. Idris hajasikilizwa muda wote aliokuwa madarakani hadi miradi mingine imedoda (kama alivyosema) alitakiwa kujiuzulu muda mrefu uliopita.
    Hadithi mpya ya "HASIRA YA BABA-2" Inaendelea..!.. angalia kwenye Jukwaa la Mapenzi na Mahusiano! - Search Facebook "mimi mwanakijiji"

  12. #12
    JF Premium Member Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough
    Join Date
    Thu Mar 2006
    Location
    T dot
    Posts
    8,247
    Thanks : 1,192
    Thanked 1,924 Times in 845 Posts
    Rep Power
    82

    Default Re: Nini chanzo cha mijadala mingi isiyoisha? Je ni mfumo wetu wa Elimu?

    Ogah!
    siku nyingi nilishamshitukia, unajua tena wapambe wengi...nchi haiongozwi kwa elimu bali wale wanaofikiria wana elimu.
    Miezi michache iliyopita kuna mshikaji wangu kanunua gari kwa dollar 500 akalifanyia ukarabati likapita both emission test na sefty kwa gaharama ya kitu kama 800 in total..
    Sasa jamaa kaingia wazimu ati anataka kuliuza gari kwa dollar 3,000 nikamwambia aache wazimu atumie gari lake hadi litakapo kufa maanake hakuna mjinga atakaye nunua gari hilo kwa kiasi hicho.
    well I was wrong, kuna msomi mjinga aliyeuvaa mkenge akalinunua, sasa matatizo yalipoanza ananifuata mimi nimwambie mshikaji wangu anakaa wapi! ati alimbambika gari bovu.. damn,
    Nikamwambia kwani ile ownership card haina address?...
    Ikawa mimi naleta siasa, msomi kanuna ndio haya ya Kasheshe!
    Exploration of reality

  13. #13
    JF Senior Expert Member omarilyas will become famous soon enough omarilyas will become famous soon enough omarilyas will become famous soon enough omarilyas will become famous soon enough omarilyas will become famous soon enough omarilyas will become famous soon enough omarilyas will become famous soon enough omarilyas will become famous soon enough
    Join Date
    Wed Jan 2007
    Location
    Morogoro
    Posts
    1,761
    Thanks : 68
    Thanked 196 Times in 116 Posts
    Rep Power
    27

    Default Re: Nini chanzo cha mijadala mingi isiyoisha? Je ni mfumo wetu wa Elimu?

    Quote Originally Posted by Kasheshe View Post
    Mkuu Mkandara,

    Heshima mbele, yaani nilichoeleza ndio exactly unachofanya... post yako imejaa siasa sana, najua wewe umesoma arts... hivyo ni fani yako!

    Maswali yote ya msingi uliyonayo ukipeleka TANESCO wanakupa majibu yote bila hata kukupa tarehe...

    Kuacha nchi kuongozwa zaidi na siasa... itatumaliza.
    Nchi daima itaongozwa na SIASA wakati UTAALAMU unahitajika katika kupanga na kutekeleza mikakati/sera za kuendesha nchi. Suala ni aina gani ya siasa. Na hii ni changamoto yetu sote kuredifine aina ya siasa tunayopaswa kuitumia katika kuongoza nchi. Ni wazi hili ni zoezi gumu lenye kuhitaji ujasiri mkubwa kwani wengi tunapenda kufanya mambo ikiwemo siasa kwa kutumia uzoefu kwakuwa tunauhakika na matokeo. watanzania kwa ujumla ni wahafidhina wasiopenda mawazo na mitindo mipya hivyo inahitaji wanasiasa wali tayari kupata kurisk mafanikio yao binafsi kuweza kukabiliana na athari za kukiuka utamaduni ulio zoeleka wa siasa hohehahe kama ambavyo umegubika nchi yetu.

    Kuhusu mijadala mingi isiyoisha hiyo ni dalili ya kukua kidemokrasia. Ni alama muhimu ya kujengeka kwa jamii inayoanza kutambua umuhimu wa kuwa na tofauti za kimitazamo. Kinachohitajika ni kujenga mifumo muhimu ya kiasasi ambayo itaweza kutumia utamaduni huu tofauti za kimitazamo kwa umakini na kusaidia katika kujenga taifa na kupunguza uwezekano wa tofauti hizo kuwa chachu ya matatizo.

    omarilyas
    Tanzania Makini haitajengwa kwa mbinu za kiujanjaujanja(oppurtunism)..

  14. #14
    JF Premium Member Mag3 is a jewel in the rough Mag3 is a jewel in the rough Mag3 is a jewel in the rough Mag3 is a jewel in the rough Mag3 is a jewel in the rough Mag3 is a jewel in the rough Mag3 is a jewel in the rough Mag3 is a jewel in the rough Mag3 is a jewel in the rough Mag3 is a jewel in the rough Mag3 is a jewel in the rough Mag3's Avatar
    Join Date
    Sat May 2008
    Posts
    1,563
    Thanks : 603
    Thanked 841 Times in 322 Posts
    Rep Power
    66

    Default Re: Nini chanzo cha mijadala mingi isiyoisha? Je ni mfumo wetu wa Elimu?

    Unatuhumu kuwa wengi wetu post zetu imejaa siasa isipokuwa zako wewe mtaalamu - lakini kama majibu uliyotoa kwa Ndugu Mwanzange is anything to go by, wewe ni mtu hatari na moja kwa moja chanzo cha mijadala isiyokwisha.

    Quote Originally Posted by Mwanzange
    Mkuu utakuwa unakosea sana kuhusu suala la muheshimiwa kufanya biashara akiwa Ikulu. Yule bwana hakuchaguliwa kwenda ikulu kuwa CEO wa biashara zake binafsi; biashara aliyotakiwa kwenda kufanya pale ni kuwapatia faida wale waliompeleka ambao ni wananchi. Kama alikuwa na haja sana ya kuwa mjasirimali, basi angeendelea tu na biashara zake bila ya kuja kwetu sisi kutaka kura.
    Hatukumuweka pale kama BWM, alikuwa pale kama Rais wa jamhuri ya Muungano wa tanzania, na kama ukipitia katiba ya nchi, inaeleza vizuri tu ni majukumu gani rais wa nchi anatakiwa afanye, biashara binafsi halimo, hivyo kila biashara ya kujinufaisha kama Benjamin Mkapa ilikuwa ni batili....Just a common sense tu hapo.
    Majibu yako:-

    Quote Originally Posted by Kasheshe View Post
    Kweli bwana... kifungu gani cha sheria kilimzuia kufanya hivyo?
    Mh. Ali Hassan Mwinyi alivyokuwa ikulu aliendelea na kuwa na mashamba yake...
    Mh. Julius K. Nyerere Marehemu, alikuwa na mashamba yake hata alipokuwa ikulu... swali hizo hazikuwa kazi binafsi kwa kizungu business...
    Mpaka sasa muda mwingi tunaongelea ana kinga, hana kinga... lakini
    anatakiwa ashitakiwe kwa lipi?
    Pili; Kwani kesi lazima aipeleke Felesi, Huyo Dr. Slaa si anaweza peleka kesi mahakamani?
    Kwa nini tunapenda kuongea sana?
    Huyu ni Mkapa aliyeanzisha biashara akiwa Ikulu, akajiuzia Kiwira !! Hapa tunapata sababu kubwa ya kuendeleza mijadala mpaka pale mafisadi na makuwadi wao watuelewe kuwa hatuwapi hata hiyo nafasi ya kufaidi mali walizotuibia kwa amani. Vitendo vyao haviwezi kuhalalishwa asilani kwa sababu nyepesi unazotoa, hatuwezi kumsifia mwizi wetu na kumwona kama mkombozi.
    Something that is much more scarce than ability is the ability to recognize ability.

  15. #15
    JF Premium Member Mchukia Fisadi will become famous soon enough Mchukia Fisadi will become famous soon enough Mchukia Fisadi will become famous soon enough Mchukia Fisadi will become famous soon enough Mchukia Fisadi will become famous soon enough Mchukia Fisadi will become famous soon enough Mchukia Fisadi will become famous soon enough Mchukia Fisadi will become famous soon enough Mchukia Fisadi's Avatar
    Join Date
    Thu Apr 2008
    Location
    Southern china
    Posts
    3,462
    Thanks : 2,447
    Thanked 687 Times in 394 Posts
    Rep Power
    29

    Default Re: Nini chanzo cha mijadala mingi isiyoisha? Je ni mfumo wetu wa Elimu?

    Quote Originally Posted by Kasheshe View Post
    Tatizo ni kwamba jamii inawasikiliza wanasiasa sana wana-bla bla bla... labda nikuulize swali...

    Tangu sakata hili lianze,,, ni kina nani wame-be-interviewed.... ni wanasiasa tu...

    Hakuna hata interview moja iliyofanywa kwa ERB etc... au kwa mhandisi wowote...

    Nakuambia nyererea alianza kukosea pale University of East Africa, sisi badala ya kuanza na Wahandisi na Madakrai sisi tulianza na wanasiasa... angalia enrolment yetu... arts ni asilimia kubwa sana...

    Angalia wanafunzi wanavyofeli hesabu... Nakubwambia hilo ndio Tatizo... jamii inawasikiliza wanasiasa, wana-arts sana kuliko wahandisi, wahasibu... etc..
    .
    Kasheshe hivi hapa tuna wanasayansi nchi hii? Kwani wamefanya kipi hasa? Niambie mtu mmoja aliye na sifa kubwa ya kauvumbuzi katika nchi hii, maana hata vyura tu tumeamua kuwatunzia Marekani maana hakuna mwanasayansi anayeweza kuwatunza hapa Bongo.
    Mimi niliamua kuiacha Sayansi sekondari na kujikita katika masomo ya biashara. Nimefanya kazi there after kwa miaka takribani 13 na nikaacha na sasa nafanya biashara. Sioni faida ya sayansi nchi hii maana waliosoma sayansi hawaheshimiki wala hawana maslahi.
    Niliosoma nao Sekondari wakiwa na vichwa vizuri katika masomo ya Sayansi they are nothing now. Wanajuta kwa nini waliamua kusoma Sayansi. Wengine waliamua kugeuza muelekeo baadaye na kwenda kusomea uhasibu na uanasheria na wengine kuwa wanasiasa mfano huyu mbunge Esther Kabadi Nyawazwa.
    Wale waliojikita katika arts leo ni mamilionea na wana nafasi nzuri katika nchi hii. Sayansi ya nini katika nchi hii? hapa hata ukiwa mvumbuzi no honor.
    Wanangu wote nawashawishi kabisa wasisome masomo ya sayansi ingawa baadhi likes them. Kwa nini? kwa sababu hayana prospects mbele katika nchi hii.
    Najua utapinga lakini ndio ukweli tena ukweli mtupu!
    AISEEEEE-WATANZANIA 2010 HADANGANYIKI MTU. MABADILIKO NI MUHIMU.
    CHAGUA DR W. SLAA(SIRAHA) KWA MAENDELEO YA TANZANIA

  16. #16
    JF Senior Expert Member Uwiano Maalum will become famous soon enough Uwiano Maalum will become famous soon enough Uwiano Maalum will become famous soon enough Uwiano Maalum will become famous soon enough Uwiano Maalum will become famous soon enough Uwiano Maalum will become famous soon enough Uwiano Maalum will become famous soon enough Uwiano Maalum will become famous soon enough Uwiano Maalum's Avatar
    Join Date
    Sat Aug 2008
    Location
    Kemondo Bay
    Posts
    932
    Thanks : 0
    Thanked 5 Times in 4 Posts
    Rep Power
    24

    Default Re: Nini chanzo cha mijadala mingi isiyoisha? Je ni mfumo wetu wa Elimu?

    Quote Originally Posted by Mchukia Fisadi View Post
    Kasheshe hivi hapa tuna wanasayansi nchi hii? Kwani wamefanya kipi hasa? Niambie mtu mmoja aliye na sifa kubwa ya kauvumbuzi katika nchi hii, maana hata vyura tu tumeamua kuwatunzia Marekani maana hakuna mwanasayansi anayeweza kuwatunza hapa Bongo.

    Mimi niliamua kuiacha Sayansi sekondari na kujikita katika masomo ya biashara. Nimefanya kazi there after kwa miaka takribani 13 na nikaacha na sasa nafanya biashara. Sioni faida ya sayansi nchi hii maana waliosoma sayansi hawaheshimiki wala hawana maslahi.


    Kwanza umesema hakuna wanasayansi, then unafuatia kusema wasayansi hawaheshimiki? Upi ni ukweli katika hayo mawili?
    Stimulus package.......

  17. #17
    JF Premium Member Nyani Ngabu will become famous soon enough Nyani Ngabu will become famous soon enough Nyani Ngabu will become famous soon enough Nyani Ngabu will become famous soon enough Nyani Ngabu will become famous soon enough Nyani Ngabu will become famous soon enough Nyani Ngabu will become famous soon enough Nyani Ngabu will become famous soon enough Nyani Ngabu's Avatar
    Join Date
    Mon May 2006
    Location
    Ikungulyabashashi
    Posts
    17,812
    Thanks : 400
    Thanked 2,578 Times in 1,422 Posts
    Rep Power
    60

    Default Re: Nini chanzo cha mijadala mingi isiyoisha? Je ni mfumo wetu wa Elimu?

    Quote Originally Posted by Uwiano Maalum View Post
    Kwanza umesema hakuna wanasayansi, then unafuatia kusema wasayansi hawaheshimiki? Upi ni ukweli katika hayo mawili?
    Anza kwa kumwuliza BFF wako anayesema kila siku hapa kuwa Tanzania hakuna waandishi wa habari halafu anaanza kumpondea "mwandishi" mwingine wa habari mwenye redio ya mtandaoni...
    Miafrika Ndivyo Tulivyo - "Though this be madness, yet there is method in it." - From Shakespeare's Hamlet

    To be frugal is sexy; to be cheap is tacky

  18. #18
    JF Senior Expert Member Uwiano Maalum will become famous soon enough Uwiano Maalum will become famous soon enough Uwiano Maalum will become famous soon enough Uwiano Maalum will become famous soon enough Uwiano Maalum will become famous soon enough Uwiano Maalum will become famous soon enough Uwiano Maalum will become famous soon enough Uwiano Maalum will become famous soon enough Uwiano Maalum's Avatar
    Join Date
    Sat Aug 2008
    Location
    Kemondo Bay
    Posts
    932
    Thanks : 0
    Thanked 5 Times in 4 Posts
    Rep Power
    24

    Default Re: Nini chanzo cha mijadala mingi isiyoisha? Je ni mfumo wetu wa Elimu?

    Quote Originally Posted by Nyani Ngabu View Post
    Anza kwa kumwuliza BFF wako anayesema kila siku hapa kuwa Tanzania hakuna waandishi wa habari halafu anaanza kumpondea "mwandishi" mwingine wa habari mwenye redio ya mtandaoni...
    Una maana gani ?
    Stimulus package.......

  19. #19
    JF Premium Member Mzee Mwanakijiji is on a distinguished road Mzee Mwanakijiji is on a distinguished road Mzee Mwanakijiji is on a distinguished road Mzee Mwanakijiji's Avatar
    Join Date
    Fri Mar 2006
    Location
    Kijijini
    Posts
    20,685
    Thanks : 13,731
    Thanked 8,535 Times in 2,444 Posts
    Rep Power
    51

    Default Re: Nini chanzo cha mijadala mingi isiyoisha? Je ni mfumo wetu wa Elimu?

    Quote Originally Posted by Nyani Ngabu View Post
    Anza kwa kumwuliza BFF wako anayesema kila siku hapa kuwa Tanzania hakuna waandishi wa habari halafu anaanza kumpondea "mwandishi" mwingine wa habari mwenye redio ya mtandaoni...
    halafu kuomba radhi au kusahihisha hawezi... mgumu utadhani nundu.
    Hadithi mpya ya "HASIRA YA BABA-2" Inaendelea..!.. angalia kwenye Jukwaa la Mapenzi na Mahusiano! - Search Facebook "mimi mwanakijiji"

  20. #20
    JF Premium Member Rev. Kishoka is a name known to all Rev. Kishoka is a name known to all Rev. Kishoka is a name known to all Rev. Kishoka is a name known to all Rev. Kishoka is a name known to all Rev. Kishoka is a name known to all Rev. Kishoka is a name known to all Rev. Kishoka is a name known to all Rev. Kishoka is a name known to all Rev. Kishoka is a name known to all Rev. Kishoka is a name known to all Rev. Kishoka's Avatar
    Join Date
    Mon Mar 2006
    Location
    USA
    Posts
    3,872
    Thanks : 1,591
    Thanked 1,262 Times in 443 Posts
    Rep Power
    132

    Default Re: Nini chanzo cha mijadala mingi isiyoisha? Je ni mfumo wetu wa Elimu?

    Let me add some pilipili and chumvi here. Why did Tanesco had to hire a foreigner to evaluate the Dowans turbines? Ni uhaba gani au ufupi wa upeo ambao watalamu wahandisi wetu wamekosa kuweza kung'amua tangu mapema kuwa mitambo hiyo ni bomu? Je ilipoletwa nchini kwa mara ya kwanza, kwa nini Tanesco haikupeleka timu ya wataalamu kuifanyia utafiti ili ijue kama mitambo hiyo itaweza kuhimili kishindo cha kuzalisha umeme?

    Sometimes we rush to think it is about experticse in sense of education qulification while what e need is simply someone who is exposed to think outside the box.

    Lets focus on this issue of scientist being ignored a litle further. Why does TBS fail t sanction majority of bogus products locally produced or imported while majority of people working for TBS are scientist?

    Je huko nako wanaingiliwa wakiwa maabara na Mangwini kama mimi?
    Amani Iwe Nanyi,

    Camerlengo

    Plu Camerlenghi- Revolutionary Right Reverend Kishoka

    "Any existence deprived of freedom is a kind of death." Gen. Michel Aoun

    'Who comes to give greeting to the Inkosi-kaas? Who would taste her kiss, whereof the fruit is death? I, the Woodpecker, I, the Slaughterer, I the Swiftfooted! I, Umslopogaas!"


 

Topic Information

Users Browsing this Topic

There are currently 1 users browsing this thread. (0 members and 1 guests)

     

Tags for this Topic

Bookmarks

Posting Permissions

  • You may not post new threads
  • You may not post replies
  • You may not post attachments
  • You may not edit your posts