Nini chanzo cha mijadala mingi isiyoisha? Je ni mfumo wetu wa Elimu? - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Jukwaa la Siasa


Jukwaa la Siasa Tanzania & World Politics General Discussion Forum. You need to be registered in order to post your comment(s)


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 8th March 2009, 05:36 PM   #1
Nini chanzo cha mijadala mingi isiyoisha? Je ni mfumo wetu wa Elimu?
Kasheshe Kasheshe is offline 8th March 2009, 05:36 PM

Wanabodi,

Naanza kushitukia kwamba kuna mambo yamekuwa yakijadiliwa muda mrefu na wakati mwingine hata hayana tija, wakati mwingine yaki-engage mahakama, serikali na bunge!

Je hii haiwezeki kuwa ni mojawapo za athari ya kusomesha wataalamu wa sayansi(arts) jamii wengi!

Je suala la TANESCO kuonekana la kisiasa ndio dalili za mfumo huo wa elimu kuwa na waatalaamu wa arts zaidi kuliko wahandisi?

Ninachalea kusema haya kwa kuwa hoja ya TANESCO inaonekana kutosikilizwa kabisa. concern yao ya kuwepo umeme usiotosha mahitaji na kwamba serikali imekuwa ikijivutavuta kuwekeza haionekani kuonekana machoni mwa wanasiasa... nini tatizo?

 
Kasheshe's Avatar
Kasheshe
JF Premium Member
Points: 295,959, Level: 100 Points: 295,959, Level: 100 Points: 295,959, Level: 100
Activity: 11% Activity: 11% Activity: 11%
Join Date: Fri Jun 2007
Location: Bububu
Posts: 2,558
Thanks: 202
Thanked 187 Times in 103 Posts
Views: 1274
Reply With Quote
  #2  
Old 8th March 2009, 05:47 PM
Shy's Avatar
Shy Shy is offline
Shy is yours
JF Senior Expert Member
Points: 2,370,138, Level: 100 Points: 2,370,138, Level: 100 Points: 2,370,138, Level: 100
Activity: 12% Activity: 12% Activity: 12%
 
Join Date: Thu Nov 2006
Posts: 4,254
Thanks: 0
Thanked 164 Times in 109 Posts
Rep Power: 32
Shy will become famous soon enoughShy will become famous soon enoughShy will become famous soon enoughShy will become famous soon enoughShy will become famous soon enoughShy will become famous soon enoughShy will become famous soon enoughShy will become famous soon enough
Send a message via Yahoo to Shy
Default Re: Nini chanzo cha mijadala mingi isiyoisha? Je ni mfumo wetu wa Elimu?

Ndugu ndio maana kwenye ile hoja ya ip attacking jf nilimuuliza mtu can we be profesional nilichosema pale nilimaanisha kama vitu ni profesional waache profesional wanaojua waongee na wawa shauri kutokana na uelewa wao na mambo hayo --
__________________
I.T. Specialist and Digital Security Consultant
Reply With Quote
  #3  
Old 8th March 2009, 05:56 PM
Jujuman Jujuman is offline
Jujuman has no status.
Senior Member
Points: 72,539, Level: 100 Points: 72,539, Level: 100 Points: 72,539, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Sun Dec 2008
Posts: 142
Thanks: 126
Thanked 16 Times in 11 Posts
Rep Power: 22
Jujuman will become famous soon enoughJujuman will become famous soon enoughJujuman will become famous soon enoughJujuman will become famous soon enoughJujuman will become famous soon enoughJujuman will become famous soon enoughJujuman will become famous soon enoughJujuman will become famous soon enough
Default Re: Nini chanzo cha mijadala mingi isiyoisha? Je ni mfumo wetu wa Elimu?

Quote:
View Post
Wanabodi,

Naanza kushitukia kwamba kuna mambo yamekuwa yakijadiliwa muda mrefu na wakati mwingine hata hayana tija, wakati mwingine yaki-engage mahakama, serikali na bunge!

Je hii haiwezeki kuwa athari ya kusomesha wataalamu wa sayansi(arts) jamii wengi!

Je suala la TANESCO kuonekana la kisiasa ndio dalili za mfumo huo wa elimu kuwa na waatalaamu wa arts zaidi kuliko wahandisi!

Ninachalea kusema haya kwa kuwa hoja ya TANESCO inaonekana kutosikilizwa kabisa. concern yao ya kuwepo umeme usiotosha mahitaji na kwamba serikali imekuwa ikijivutavuta kuwekeza haionekani kuonekana machoni mwa wanasiasa... nini tatizo?
Mkuu Kasheshe salam,
Mbali na elimu ya fani hii au ile kuna kitu kingine muhimu ambacho viongozi wengi wana upungufu nacho; UWEZO WA KUZALIWA NAO katika kutoa uamuzi na kutekeleza uliyoamua. hayo mawili yanakwenda pamoja na kwa maoni yangu, utapata mwongozo wa hayo kutoka Shule/Elimu lakini atakuwa bora yule aliezaliwa na kuondokea kuwa na POWER hiyo toka udogo wake naamini kuna viongzi wengi Duniani waliothibitisha hivyo akiwemo Abaham Lincon (USA) na Mzee Jomo Kenyata(kenya).nk.
Reply With Quote
  #4  
Old 8th March 2009, 06:32 PM
Mkandara Mkandara is online now
Mkandara Aviator
JF Premium Member
Points: 578,599, Level: 100 Points: 578,599, Level: 100 Points: 578,599, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Fri Mar 2006
Location: T dot
Posts: 7,284
Thanks: 460
Thanked 725 Times in 321 Posts
Rep Power: 80
Mkandara is a jewel in the roughMkandara is a jewel in the roughMkandara is a jewel in the roughMkandara is a jewel in the roughMkandara is a jewel in the roughMkandara is a jewel in the roughMkandara is a jewel in the roughMkandara is a jewel in the roughMkandara is a jewel in the roughMkandara is a jewel in the roughMkandara is a jewel in the rough
Default Re: Nini chanzo cha mijadala mingi isiyoisha? Je ni mfumo wetu wa Elimu?

Kasheshe,
Mkuu ktk hili nadhani unajaribu ku spin the issue kwa sababu tunachozungumza hapa ni hili swala la mitambo ya Dowans..
Kuna issue mbili hapa ambazo unajaribu kuziunganisha Short na Long term strategies..
Kwanza hakuna mwananchi anayepinga umuhimu wa Umeme na kwa nini serikali yetu imeshindwa kutekeleza long term plan ya kuzalisha umeme..Hilo halina ubishi wala mjadala iwe kwa wanasiasa, wasomi au wananchi kabuntas kama sisi.. mahitaji ya UMEME hayana elimu ya art wala Uhandisi isipokuwa ni chombo gani kinahitajika..tatizo ipo ktk utekelezaji wa short term plan ambayo tayari imekwisha fanyiwa kazi na hao hao wasomi wahandisi unaowazungumza.. wametumia art kutuzuga wananchi wote. sasa sijui walisomea art au Uhandisi.

Mkuu wangu kinachogomba hapa labda nikiweke sawa.. ni Hivi kama sisi tumekwenda kwa daktari na ametuandikia dawa ya maleria iwe Chloroquine, hakuna anayepinga maamuzi hayo, isipokuwa tunachopinga ni maamuzi ya mtu alioyekwenda dukani kununua dawa hiyo..Kwanza kanunua dawa toka kwa mlanguzi feki - made in India kwa gharama ambayo ni kubwa..Kinachogomba zaidi ni madai yake yanayolenga zaidi sababu za maradhi yetu na somo zito kuhusiana na Maleria wakati sisi tunachouliza ni kidogo sana why.. kinahusu hiyo dawa sio maradhi yetu..hatupati jibu!

Nachoomba hawa wahandisi unaotaka kuwasifia watueleze kwa undani kuhusu hii mitambo ya Dowans na sio kiza kinachotuandama, hilo tunafahamu toka mwanzo na ndio maana serikali iliwapa go ahead Tanesco kununua mitambo ya dharura badala yake wao wakatufungashia mitambo ya mashinga!..
Sasa nani artist hapa ikiwa huyo msomi mwenyewe anatumia art kufanya maamuzi yanayohitaji elimu yake..Kulikuwa hakuna wakati una viongozi wsomi na wahandisi kama unavyotaka kuliko wakati wa Mkapa lakini ndio wakati Umeme,Maji na vitu vyote vimetupwa nje ya elimu zao..walichofikiria ni UTAJIRI!.. na ktk swala la mitambo ya Dowans kinaendelea hapa ni imani hiyo ya UTAJIRI..imani ambayo wananchi tumechoka nayo! kwa nini hawa wasomi hawaelewi hilo?
So artist can be anyone, msomi, mwanasiasa na hata raia asokuwa na elimu..Ni kipaji kinachotegemea wajinga wangapi wanaingia!
__________________
Exploration of reality
Reply With Quote
  #5  
Old 8th March 2009, 09:02 PM
Kasheshe's Avatar
Kasheshe Kasheshe is offline
Kasheshe a responsible citizen!
JF Premium Member
Points: 295,959, Level: 100 Points: 295,959, Level: 100 Points: 295,959, Level: 100
Activity: 11% Activity: 11% Activity: 11%
 
Join Date: Fri Jun 2007
Location: Bububu
Posts: 2,558
Thanks: 202
Thanked 187 Times in 103 Posts
Rep Power: 28
Kasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enough
Default Re: Nini chanzo cha mijadala mingi isiyoisha? Je ni mfumo wetu wa Elimu?

Quote:
View Post
Kasheshe,
Mkuu ktk hili nadhani unajaribu ku spin the issue kwa sababu tunachozungumza hapa ni hili swala la mitambo ya Dowans..
Kuna issue mbili hapa ambazo unajaribu kuziunganisha Short na Long term strategies..
Kwanza hakuna mwananchi anayepinga umuhimu wa Umeme na kwa nini serikali yetu imeshindwa kutekeleza long term plan ya kuzalisha umeme..Hilo halina ubishi wala mjadala iwe kwa wanasiasa, wasomi au wananchi kabuntas kama sisi.. mahitaji ya UMEME hayana elimu ya art wala Uhandisi isipokuwa ni chombo gani kinahitajika..tatizo ipo ktk utekelezaji wa short term plan ambayo tayari imekwisha fanyiwa kazi na hao hao wasomi wahandisi unaowazungumza.. wametumia art kutuzuga wananchi wote. sasa sijui walisomea art au Uhandisi.

Mkuu wangu kinachogomba hapa labda nikiweke sawa.. ni Hivi kama sisi tumekwenda kwa daktari na ametuandikia dawa ya maleria iwe Chloroquine, hakuna anayepinga maamuzi hayo, isipokuwa tunachopinga ni maamuzi ya mtu alioyekwenda dukani kununua dawa hiyo..Kwanza kanunua dawa toka kwa mlanguzi feki - made in India kwa gharama ambayo ni kubwa..Kinachogomba zaidi ni madai yake yanayolenga zaidi sababu za maradhi yetu na somo zito kuhusiana na Maleria wakati sisi tunachouliza ni kidogo sana why.. kinahusu hiyo dawa sio maradhi yetu..hatupati jibu!

Nachoomba hawa wahandisi unaotaka kuwasifia watueleze kwa undani kuhusu hii mitambo ya Dowans na sio kiza kinachotuandama, hilo tunafahamu toka mwanzo na ndio maana serikali iliwapa go ahead Tanesco kununua mitambo ya dharura badala yake wao wakatufungashia mitambo ya mashinga!..
Sasa nani artist hapa ikiwa huyo msomi mwenyewe anatumia art kufanya maamuzi yanayohitaji elimu yake..Kulikuwa hakuna wakati una viongozi wsomi na wahandisi kama unavyotaka kuliko wakati wa Mkapa lakini ndio wakati Umeme,Maji na vitu vyote vimetupwa nje ya elimu zao..walichofikiria ni UTAJIRI!.. na ktk swala la mitambo ya Dowans kinaendelea hapa ni imani hiyo ya UTAJIRI..imani ambayo wananchi tumechoka nayo! kwa nini hawa wasomi hawaelewi hilo?
So artist can be anyone, msomi, mwanasiasa na hata raia asokuwa na elimu..Ni kipaji kinachotegemea wajinga wangapi wanaingia!
Mkuu Mkandara,

Heshima mbele, yaani nilichoeleza ndio exactly unachofanya... post yako imejaa siasa sana, najua wewe umesoma arts... hivyo ni fani yako!

Maswali yote ya msingi uliyonayo ukipeleka TANESCO wanakupa majibu yote bila hata kukupa tarehe...

Kuacha nchi kuongozwa zaidi na siasa... itatumaliza.
Reply With Quote
  #6  
Old 8th March 2009, 09:06 PM
Waberoya Waberoya is offline
Waberoya ni mchunguzaji
JF Premium Member
Points: 185,847, Level: 100 Points: 185,847, Level: 100 Points: 185,847, Level: 100
Activity: 90% Activity: 90% Activity: 90%
 
Join Date: Sun Aug 2008
Location: On Earth
Posts: 2,513
Thanks: 2,192
Thanked 1,287 Times in 668 Posts
Rep Power: 27
Waberoya will become famous soon enoughWaberoya will become famous soon enoughWaberoya will become famous soon enoughWaberoya will become famous soon enoughWaberoya will become famous soon enoughWaberoya will become famous soon enoughWaberoya will become famous soon enoughWaberoya will become famous soon enough
Default Re: Nini chanzo cha mijadala mingi isiyoisha? Je ni mfumo wetu wa Elimu?

Hakuna cha short term wala long term strategies, issue ni kuwa mpaka sasa tumeshindw kuonyesha uwezo wetu si kwa viongozi wala wahandisi!

Kama alivyosema mtoa maada kuna tatizo pengine kwenye mifumo ya elimu, elimu means to solve problems, not bla bla.

Mpaka leo sijajua tangu enzi za Nyerere kwa nini tuna tatizo hili?? LABDA MSIO JUA, WATAALAMU WETU WA UMEME WENGI NI WALE WENYE UWEZO MAALUMU/VIPAJI MAALUMU. WENGI WAMEMALIZA ILBORU, KIBAHA, MZUMBE NA TABORA BOYS! HAWA WENGI HUSOMA ELECTRICAL ENGINEERING!

LAZIMA KUNA TATIZO SEHEMU!!!!!!!!!!lazima
__________________
‘’I have come to the conclusion that politics are too serious a matter to be left to the politicians’’. Charles De Gaulle (1890 - 1970)
Reply With Quote
  #7  
Old 8th March 2009, 09:08 PM
Mkandara Mkandara is online now
Mkandara Aviator
JF Premium Member
Points: 578,599, Level: 100 Points: 578,599, Level: 100 Points: 578,599, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Fri Mar 2006
Location: T dot
Posts: 7,284
Thanks: 460
Thanked 725 Times in 321 Posts
Rep Power: 80
Mkandara is a jewel in the roughMkandara is a jewel in the roughMkandara is a jewel in the roughMkandara is a jewel in the roughMkandara is a jewel in the roughMkandara is a jewel in the roughMkandara is a jewel in the roughMkandara is a jewel in the roughMkandara is a jewel in the roughMkandara is a jewel in the roughMkandara is a jewel in the rough
Default Re: Nini chanzo cha mijadala mingi isiyoisha? Je ni mfumo wetu wa Elimu?

Kasheshe,
Mkuu wangu acha matusi, na wewe umesomea kitu gani! Kama hao Tanesco wangekuwa wamesomea Uhandisi basi wasingemleta huyo mzungu kutoka ng'ambo kuitazama hiyo mitambo..walishindwa kipi ambacho hakikuwa ktk elimu yao au ndio mzungu kasema!
__________________
Exploration of reality
Reply With Quote
  #8  
Old 8th March 2009, 09:11 PM
Kasheshe's Avatar
Kasheshe Kasheshe is offline
Kasheshe a responsible citizen!
JF Premium Member
Points: 295,959, Level: 100 Points: 295,959, Level: 100 Points: 295,959, Level: 100
Activity: 11% Activity: 11% Activity: 11%
 
Join Date: Fri Jun 2007
Location: Bububu
Posts: 2,558
Thanks: 202
Thanked 187 Times in 103 Posts
Rep Power: 28
Kasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enough
Default Re: Nini chanzo cha mijadala mingi isiyoisha? Je ni mfumo wetu wa Elimu?

Quote:
View Post
Hakuna cha short term wala long term strategies, issue ni kuwa mpaka sasa tumeshindw kuonyesha uwezo wetu si kwa viongozi wala wahandisi!

Kama alivyosema mtoa maada kuna tatizo pengine kwenye mifumo ya elimu, elimu means to solve problems, not bla bla.

Mpaka leo sijajua tangu enzi za Nyerere kwa nini tuna tatizo hili?? LABDA MSIO JUA, WATAALAMU WETU WA UMEME WENGI NI WALE WENYE UWEZO MAALUMU/VIPAJI MAALUMU. WENGI WAMEMALIZA ILBORU, KIBAHA, MZUMBE NA TABORA BOYS! HAWA WENGI HUSOMA ELECTRICAL ENGINEERING!

LAZIMA KUNA TATIZO SEHEMU!!!!!!!!!!lazima
Tatizo ni kwamba jamii inawasikiliza wanasiasa sana wana-bla bla bla... labda nikuulize swali...

Tangu sakata hili lianze,,, ni kina nani wame-be-interviewed.... ni wanasiasa tu...

Hakuna hata interview moja iliyofanywa kwa ERB etc... au kwa mhandisi wowote...

Nakuambia nyererea alianza kukosea pale University of East Africa, sisi badala ya kuanza na Wahandisi na Madakrai sisi tulianza na wanasiasa... angalia enrolment yetu... arts ni asilimia kubwa sana...

Angalia wanafunzi wanavyofeli hesabu... Nakubwambia hilo ndio Tatizo... jamii inawasikiliza wanasiasa, wana-arts sana kuliko wahandisi, wahasibu... etc...
Reply With Quote
  #9  
Old 8th March 2009, 09:15 PM
Ogah Ogah is offline
Ogah is Omnipotent
JF Premium Member
Points: 5,279,170, Level: 100 Points: 5,279,170, Level: 100 Points: 5,279,170, Level: 100
Activity: 13% Activity: 13% Activity: 13%
 
Join Date: Fri Mar 2006
Posts: 3,379
Thanks: 1,293
Thanked 306 Times in 184 Posts
Rep Power: 2031
Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!
Default Re: Nini chanzo cha mijadala mingi isiyoisha? Je ni mfumo wetu wa Elimu?

Quote:
View Post
Wanabodi,

Naanza kushitukia kwamba kuna mambo yamekuwa yakijadiliwa muda mrefu na wakati mwingine hata hayana tija, wakati mwingine yaki-engage mahakama, serikali na bunge!

Je hii haiwezeki kuwa ni mojawapo za athari ya kusomesha wataalamu wa sayansi(arts) jamii wengi!

Je suala la TANESCO kuonekana la kisiasa ndio dalili za mfumo huo wa elimu kuwa na waatalaamu wa arts zaidi kuliko wahandisi?

Ninachalea kusema haya kwa kuwa hoja ya TANESCO inaonekana kutosikilizwa kabisa. concern yao ya kuwepo umeme usiotosha mahitaji na kwamba serikali imekuwa ikijivutavuta kuwekeza haionekani kuonekana machoni mwa wanasiasa... nini tatizo?
Tha ball is inyour court....fanya hiyo research halafu uje na findings......

This is Jamii Forums....soma madhumuni yake na kwa nini ipo hivi ilivyo....
Reply With Quote
  #10  
Old 8th March 2009, 09:16 PM
Ogah Ogah is offline
Ogah is Omnipotent
JF Premium Member
Points: 5,279,170, Level: 100 Points: 5,279,170, Level: 100 Points: 5,279,170, Level: 100
Activity: 13% Activity: 13% Activity: 13%
 
Join Date: Fri Mar 2006
Posts: 3,379
Thanks: 1,293
Thanked 306 Times in 184 Posts
Rep Power: 2031
Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!
Default Re: Nini chanzo cha mijadala mingi isiyoisha? Je ni mfumo wetu wa Elimu?

Quote:
View Post
Kasheshe,
Mkuu ktk hili nadhani unajaribu ku spin the issue kwa sababu tunachozungumza hapa ni hili swala la mitambo ya Dowans..
Kuna issue mbili hapa ambazo unajaribu kuziunganisha Short na Long term strategies..
Kwanza hakuna mwananchi anayepinga umuhimu wa Umeme na kwa nini serikali yetu imeshindwa kutekeleza long term plan ya kuzalisha umeme..Hilo halina ubishi wala mjadala iwe kwa wanasiasa, wasomi au wananchi kabuntas kama sisi.. mahitaji ya UMEME hayana elimu ya art wala Uhandisi isipokuwa ni chombo gani kinahitajika..tatizo ipo ktk utekelezaji wa short term plan ambayo tayari imekwisha fanyiwa kazi na hao hao wasomi wahandisi unaowazungumza.. wametumia art kutuzuga wananchi wote. sasa sijui walisomea art au Uhandisi.

Mkuu wangu kinachogomba hapa labda nikiweke sawa.. ni Hivi kama sisi tumekwenda kwa daktari na ametuandikia dawa ya maleria iwe Chloroquine, hakuna anayepinga maamuzi hayo, isipokuwa tunachopinga ni maamuzi ya mtu alioyekwenda dukani kununua dawa hiyo..Kwanza kanunua dawa toka kwa mlanguzi feki - made in India kwa gharama ambayo ni kubwa..Kinachogomba zaidi ni madai yake yanayolenga zaidi sababu za maradhi yetu na somo zito kuhusiana na Maleria wakati sisi tunachouliza ni kidogo sana why.. kinahusu hiyo dawa sio maradhi yetu..hatupati jibu!

Nachoomba hawa wahandisi unaotaka kuwasifia watueleze kwa undani kuhusu hii mitambo ya Dowans na sio kiza kinachotuandama, hilo tunafahamu toka mwanzo na ndio maana serikali iliwapa go ahead Tanesco kununua mitambo ya dharura badala yake wao wakatufungashia mitambo ya mashinga!..
Sasa nani artist hapa ikiwa huyo msomi mwenyewe anatumia art kufanya maamuzi yanayohitaji elimu yake..Kulikuwa hakuna wakati una viongozi wsomi na wahandisi kama unavyotaka kuliko wakati wa Mkapa lakini ndio wakati Umeme,Maji na vitu vyote vimetupwa nje ya elimu zao..walichofikiria ni UTAJIRI!.. na ktk swala la mitambo ya Dowans kinaendelea hapa ni imani hiyo ya UTAJIRI..imani ambayo wananchi tumechoka nayo! kwa nini hawa wasomi hawaelewi hilo?
So artist can be anyone, msomi, mwanasiasa na hata raia asokuwa na elimu..Ni kipaji kinachotegemea wajinga wangapi wanaingia!
......umemshtukia eeh......
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
cha, chanzo, elimu, isiyoisha, je, mfumo, mijadala, mingi, nini, wetu


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Hotuba za Rais kila mwezi JokaKuu Jukwaa la Siasa 681 2nd December 2009 09:38 AM
Budget Mbadala 2008/09 Kahangwa Jukwaa la Siasa 1 18th June 2009 04:09 PM
Bajeti ya Serikali 2008/09 - Exclusive Thread Steve Dii Jukwaa la Siasa 262 29th July 2008 12:30 PM
Your opinion please! Bubu Ataka Kusema Habari na Hoja mchanganyiko 4 11th June 2008 02:29 PM
Mapambano ya Polisi na MajambaziArusha Yapamba moto! Pinokyo Jukwaa la Siasa 34 10th May 2008 02:07 AM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 12:17 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com