Naanza kushitukia kwamba kuna mambo yamekuwa yakijadiliwa muda mrefu na wakati mwingine hata hayana tija, wakati mwingine yaki-engage mahakama, serikali na bunge!
Je hii haiwezeki kuwa ni mojawapo za athari ya kusomesha wataalamu wa sayansi(arts) jamii wengi!
Je suala la TANESCO kuonekana la kisiasa ndio dalili za mfumo huo wa elimu kuwa na waatalaamu wa arts zaidi kuliko wahandisi?
Ninachalea kusema haya kwa kuwa hoja ya TANESCO inaonekana kutosikilizwa kabisa. concern yao ya kuwepo umeme usiotosha mahitaji na kwamba serikali imekuwa ikijivutavuta kuwekeza haionekani kuonekana machoni mwa wanasiasa... nini tatizo?
Ila ni kwa nini wawe watawala tu tangu Uhuru na leo ni karibu 50 years??
Kwa kuwa basi tangu Uhuru tumetawaliwa na Maraisi na PM wote Ngwuni..basi sasa tuwape pia nafasi Natural Scientists ili tulinganishe!
Hii ndo hoja yangu!
Au Natural Scientists hawana interest na hiki cheo cha juu??
It is fair enough tuwape nafasi halafu tupime matokeo!
Huenda Blaa Blaa Blaa na Maneno mengi bila vitendo Tanzania vitapungua!
Sii mbaya Kujaribu!
Je Natural Scientists Mpo? Akina Fundi Mchundo Mnasemaje?
Mpira uko kwenu!!!
Mnasemaje?
Kwa bahati mbaya sana ni % ndogo sana ya ma-natural scientists wanakuwa tayari ku-lead organisations and political organs.
Sababu ni moja kwa sababu ya upungufu wao wanakuwa siku zote busy kutenda kazi zao (natural jobs, udaktari, uhandisi mitambo, vyuma etc)... mfano tuna upungufu wa madakrati Medical Doctors ni vigumu, hao wachache ku-offer kwa ajili ya kuongoza sehemu zingine... wahandisi hivyo hivyo.
Kwa nini? kwa sababu kazi zao haziwezi fanywa na mtu yeyote isipokuwa wale waliokula...form V & VII science, miaka minne hadi mitano ya university...
Tofauti na field zingine unaweza zuka kutoka kokote kule bado uweze ku-deliver.
Lakini nakuhakikishia kila pale nilipoona CEO anayetoka kwenye natural science... performance zao zimekuwa nzuri sana.
Na hili ndio chimbuko la wana-science jamii kujaza mashule mengi ya sayansi jamii... HGK, HKF, etc... kwenye taifa.
Kasheshe,
Mkuu ktk hili nadhani unajaribu ku spin the issue kwa sababu tunachozungumza hapa ni hili swala la mitambo ya Dowans..
Kuna issue mbili hapa ambazo unajaribu kuziunganisha Short na Long term strategies..
Kwanza hakuna mwananchi anayepinga umuhimu wa Umeme na kwa nini serikali yetu imeshindwa kutekeleza long term plan ya kuzalisha umeme..Hilo halina ubishi wala mjadala iwe kwa wanasiasa, wasomi au wananchi kabuntas kama sisi.. mahitaji ya UMEME hayana elimu ya art wala Uhandisi isipokuwa ni chombo gani kinahitajika..tatizo ipo ktk utekelezaji wa short term plan ambayo tayari imekwisha fanyiwa kazi na hao hao wasomi wahandisi unaowazungumza.. wametumia art kutuzuga wananchi wote. sasa sijui walisomea art au Uhandisi.
Mkuu wangu kinachogomba hapa labda nikiweke sawa.. ni Hivi kama sisi tumekwenda kwa daktari na ametuandikia dawa ya maleria iwe Chloroquine, hakuna anayepinga maamuzi hayo, isipokuwa tunachopinga ni maamuzi ya mtu alioyekwenda dukani kununua dawa hiyo..Kwanza kanunua dawa toka kwa mlanguzi feki - made in India kwa gharama ambayo ni kubwa..Kinachogomba zaidi ni madai yake yanayolenga zaidi sababu za maradhi yetu na somo zito kuhusiana na Maleria wakati sisi tunachouliza ni kidogo sana why.. kinahusu hiyo dawa sio maradhi yetu..hatupati jibu!
Nachoomba hawa wahandisi unaotaka kuwasifia watueleze kwa undani kuhusu hii mitambo ya Dowans na sio kiza kinachotuandama, hilo tunafahamu toka mwanzo na ndio maana serikali iliwapa go ahead Tanesco kununua mitambo ya dharura badala yake wao wakatufungashia mitambo ya mashinga!..
Sasa nani artist hapa ikiwa huyo msomi mwenyewe anatumia art kufanya maamuzi yanayohitaji elimu yake..Kulikuwa hakuna wakati una viongozi wsomi na wahandisi kama unavyotaka kuliko wakati wa Mkapa lakini ndio wakati Umeme,Maji na vitu vyote vimetupwa nje ya elimu zao..walichofikiria ni UTAJIRI!.. na ktk swala la mitambo ya Dowans kinaendelea hapa ni imani hiyo ya UTAJIRI..imani ambayo wananchi tumechoka nayo! kwa nini hawa wasomi hawaelewi hilo?
So artist can be anyone, msomi, mwanasiasa na hata raia asokuwa na elimu..Ni kipaji kinachotegemea wajinga wangapi wanaingia!
Kazi kweli kweli. Kinachonisikitisha ni kuwa Tanesco ambayo ni kweli imesheheni wahandisi, ila imekuwa haiwatumii kama inavyotakiw au inawatumia wakati kuna mizengwe ambayo wanasiasa wanajua bila wahandisi mambo yao hayataenda. Mara nyingi mambo ya kitaalamu wanayoyashauri huwa hayasikilizwi.Master plan ya umeme TZ si ipo? Wahandisi walijiandaa kukabiliana na ongezeko la matumizi ya umeme kwa utaratibu huo mzuri tu,ila wanasiasa wanataka kula humo.Wamesahau kama wanatakiwa kuifuata master plan ili kuachana na kuhangaika na emergency kila mwaka.
Ninachojua mimi wahandisi wa Tanzania ni bora Botswana, Dubai, South Africa na kwingineko lakini sio hapa nyumbani.Sijui tutang'amua lini kwamba kama hatutaki kuutumia utaalamu wao hatutapata maendeleo ya kudumu...ilivyosasa, nahisi hatuna shida na utaalamu wao kabisa.Tutaendelea kuwaazima wahindisi kutoka India waendelee kutujengea high rise buildings in town.
Kazi kweli kweli. Kinachonisikitisha ni kuwa Tanesco ambayo ni kweli imesheheni wahandisi, ila imekuwa haiwatumii kama inavyotakiw au inawatumia wakati kuna mizengwe ambayo wanasiasa wanajua bila wahandisi mambo yao hayataenda. Mara nyingi mambo ya kitaalamu wanayoyashauri huwa hayasikilizwi.Master plan ya umeme TZ si ipo? Wahandisi walijiandaa kukabiliana na ongezeko la matumizi ya umeme kwa utaratibu huo mzuri tu,ila wanasiasa wanataka kula humo.Wamesahau kama wanatakiwa kuifuata master plan ili kuachana na kuhangaika na emergency kila mwaka.
Ninachojua mimi wahandisi wa Tanzania ni bora Botswana, Dubai, South Africa na kwingineko lakini sio hapa nyumbani.Sijui tutang'amua lini kwamba kama hatutaki kuutumia utaalamu wao hatutapata maendeleo ya kudumu...ilivyosasa, nahisi hatuna shida na utaalamu wao kabisa.Tutaendelea kuwaazima wahindisi kutoka India waendelee kutujengea high rise buildings in town.
Jamani... TANESCO ina all operation na strategic plans both short term and long term.. tatizo serikali yenu haitoi fedha za kutekeleza hizo plans... in short hao magwini hawaelewi mpaka umeme ukatike ndio wanaelewa.
Kumbukeni kipindi cha Mh. Ben Mkapa 10years hakuna investment kubwa ilifanyika kwenye power sector... matokeo yake mwaka 2005/2006 mukaonja joto ya jiwe... ndio ikazalisha richmond etc.
Tatizo sayansi jamii ndio ina power kubwa ya kuamua mambo... siku hizi wana-uhuru mpaka wa kusanifu barabara na madaraja... ati mtu anasimama anasema tuweke barabara za fly over... kwa feasibility study gani?
Jamani... TANESCO ina all operation na strategic plans both short term and long term plans.. tatizo serikali yenu haitoi fedha za kutekeleza hizo plans... in short hao magwini hawaelewi mpaka umeme ukatike ndio wanaelewa.
Kumbukeni kipindi cha Mh. Ben Mkapa 10years hakuna investment kubwa ilifanyika kwenye power sector... matokeo yake mwaka 2005/2006 mukaonja joto ya jiwe... ndio ikazalisha richmond etc.
Tatizo sayansi jamii ndio ina power kubwa ya kuamua mambo... siku hizi wana-uhuru mpaka wa kusanifu barabara na madaraja... ati mtu anasimama anasema tuweke barabara za fly over... kwa feasibility study gani?
Kasheshe,
Kama hawa Ngwini ndo mchawi basi sii tuwapige chini angalau kwa muda?
Watawala wamesomea ngwini alafu wanatuendesha kama gari bovu na blaa blaa nyingi!!
Yaani wala sina la kusema!
__________________ Uadilifu Kiwe Kigezo Muhimu Zaidi Kuwa Kiongozi Tanzania Kwa Sasa!
Re: Nini chanzo cha mijadala mingi isiyoisha? Je ni mfumo wetu wa Elimu?
..naona Ban Ki-Moon kalikoroga kwelikweli.
Quote:
Woes mount at UN office over Tibaijuka demotion
Abiya Ochola
UN-Habitat Director General Anna Tibaijuka could have been demoted due to her efforts to restore order at the UN Office in Nairobi.
It has also emerged that UN Secretary-General Ban Ki-moon did not consult his Special Adviser on Gender Issues and the Advancement of Women, Ms Rachel Mayanja.
The demotion has also opened up administrative problems at the UN Office in Nairobi (UNON), with issues of who will be in charge when new Director General Achim Steiner is out of station.
Dr Anna Tibaijuka, UN-Habitat Executive Director. UN chief Ban Ki-moon replaced Tibaijuka as the UNON Director-General, last week. Photo: File
According to correspondence in our possession, Dr Tibaijuka could have been hounded out as punishment for her dedication to restore order.
"It would be a paradox to treat her this way and punish her for her efforts to restore order and decency in administration at the Nairobi duty station," wrote Mozambican Permanent Representative to Unep and Un-Habitat.
An investigation by American media agency Inner City Press (ICP) revealed that Mayanja was not informed of the changes.
Asked whether Mr Ban consulted her before demoting one of his most senior female officials, she said: "I am not very familiar with this issue. I need to look into it and get properly informed before answering you."
Rotation principle
In demoting Tibaijuka, Ban espoused what he termed the principle of rotation, but questions are being raised as to the selective application of the principle.
Tibaijuka, a Tanzanian, has headed UNON for two and half years, while the head of UN Office in Geneva, a Russian, Mr Sergei Ordzhonikidze, has been head of station for seven years.
"If there is a policy of rotation, it is selective, it appears," observes ICP.
Tibaijuka’s demotion came after a memo changing the requirements for holding the office to fit in her successor.
In a UN memo dated April 28, last year, Ban stated, "The Office (UNON) is headed by a Director-General, at the Under-Secretary-General level, who is the most senior Under-Secretary-General among the Heads of the United Nations Programmes headquartered at the duty station, namely, Unep and UN-Habitat."
But in a new memo, called bulletin in UN circles, which came into effect on March 1, Ban quietly changed the clause omitting "most senior". It reads: "The office is headed by a Director-General, at the Under-Secretary-General level, designated by the Secretary-General from among the heads of United Nations Programmes headquartered at the duty station, namely, Unep and UN-Habitat."
Had the UN been strict acoording to the original bulletin, Mr Steiner would not have become UNON chief because with six years experience as an Under Secretary-General, Tibaijuka is his senior.
Tibaijuka is still the executive director of UN-Habitat in Nairobi.
Administrative troubles
According to ICP, Steiner is said to have, immediately upon appointment, run into administrative troubles when he tried to appoint the Officer-In-Charge (OIC).
"The Under Secretary General for Management Angela Kane demanded that the former DG (Tibaijuka) serve as OIC, not realising the legal contradictions in the new hastily prepared bulletin.
The former DG expressed the legal impossibility of her serving as OIC for the new DG, but her concerns were left unanswered," ICP says.
In the impending confusion, Steiner attempted to identify OIC by approaching the Assistant Secretary-General for UN-Habitat Inga Klevby, who allegedly refused on grounds that she saw no statutory basis or administrative guidelines to serve in that capacity.
Kazi kweli kweli. Kinachonisikitisha ni kuwa Tanesco ambayo ni kweli imesheheni wahandisi, ila imekuwa haiwatumii kama inavyotakiw au inawatumia wakati kuna mizengwe ambayo wanasiasa wanajua bila wahandisi mambo yao hayataenda. Mara nyingi mambo ya kitaalamu wanayoyashauri huwa hayasikilizwi.Master plan ya umeme TZ si ipo? Wahandisi walijiandaa kukabiliana na ongezeko la matumizi ya umeme kwa utaratibu huo mzuri tu,ila wanasiasa wanataka kula humo.Wamesahau kama wanatakiwa kuifuata master plan ili kuachana na kuhangaika na emergency kila mwaka.
Ninachojua mimi wahandisi wa Tanzania ni bora Botswana, Dubai, South Africa na kwingineko lakini sio hapa nyumbani.Sijui tutang'amua lini kwamba kama hatutaki kuutumia utaalamu wao hatutapata maendeleo ya kudumu...ilivyosasa, nahisi hatuna shida na utaalamu wao kabisa.Tutaendelea kuwaazima wahindisi kutoka India waendelee kutujengea high rise buildings in town.
Jibu la swali lako analo injinia Stela Manyanya yule mama mbunge wa wakina mama aliyekuwa kwenye tume ya Mwakyembe.
Muulize kwa nini aliamua kuacha kazi ya uinjinia Tanesco na kwenda Dodoma. Tena alipoona kama anaweza kurudishwa kazini Tanesco siku moja, akajiwahi kwa kuwaandikia barua kwamba wamkome hana haja na kazi yao tena. Muulize atakupa jibu
__________________ If OUR God offends you, then I suggest you consider another part of the world as your new home, because OUR God is part of our culture.
Re: Nini chanzo cha mijadala mingi isiyoisha? Je ni mfumo wetu wa Elimu?
Inaaminika kuwa ni rahisi sana kwa mtu aliyesomea injinia au sayansi kubadilisha profession yake. Lakini watu wa fani zisizo za sayansi wana kazi kubwa kubadili fani zao kwenda kwenye sayansi.
Kwa mtaji huu nchi ni lazima ibadilike. Miaka ya zamani nchi iliweza kuwabana wana-sayansi wake kubakia katika kile walichosoma. Lakini kwa miaka ya sasa nchi haiwezi kumudu kufanya hivyo.
__________________ If you don't take time for wellness, you are going to have to take time for sickness.