Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mawaziri wanaongoza kwa wizi serikalini - Deo Filikunjombe

    Report Post
    Page 5 of 8 FirstFirst ... 34567 ... LastLast
    Results 81 to 100 of 148
    1. #1
      KELVIN GASPER's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 440
      Rep Power : 526
      Likes Received
      113
      Likes Given
      11

      Default Mawaziri wanaongoza kwa wizi serikalini - Deo Filikunjombe

      Mbunge huyo ametakiwa athibitishe kauli yake na naibu spika.

      Quote By measkron View Post
      Lukuvi amemtaka Mh Filikunjombe athibitishe kauli yake kuwa mawaziri Wengi ndio wanaoongoza kwa kuitafuna nchi hii.

      Filikunjombe kasema yupo tayari kufanya hivyo, je tutegemee nini toka kwa serikali yetu inayovuliwa nguo hata na wabunge Wa CCM?
      castic likes this.


    2. #81
      Gwankaja Gwakilingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th January 2012
      Location : Masoko Busisya
      Posts : 1,230
      Rep Power : 619
      Likes Received
      337
      Likes Given
      34

      Default re: Mawaziri wanaongoza kwa wizi serikalini - Deo Filikunjombe

      Inahitaji uwe na akili ya marehemu ili uweze kuyasikia ya serikali ya Tanzania
      kwa pamoja ni lazima twende mbali zaidi ya maneno yetu...........039.mac

    3. #82
      muhogomtamu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th April 2012
      Location : Gezaulole
      Posts : 238
      Rep Power : 410
      Likes Received
      29
      Likes Given
      16

      Default re: Mawaziri wanaongoza kwa wizi serikalini - Deo Filikunjombe

      Quote By Crashwise View Post
      Kwani usibitisho wa Lema walisha usoma....kama bado wausome kwanza wa Lema ndiyo waombe mwingine
      Its true

    4. #83
      Mr. Zero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2007
      Posts : 4,101
      Rep Power : 1445
      Likes Received
      485
      Likes Given
      72

      Default re: Mawaziri wanaongoza kwa wizi serikalini - Deo Filikunjombe

      Hao akina Lukuvi inaelekea ndiyo wale design za yes Sir. No wonder wanasurvive kila awamu!!
      "The Only Necessary for the Triumph of Evil is for Good Men to do Nothing" Edmund Burke (1729 - 97)

    5. #84
      Edson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2009
      Posts : 7,310
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1806
      Likes Given
      433

      Default re: Mawaziri wanaongoza kwa wizi serikalini - Deo Filikunjombe

      Quote By Candid Scope View Post
      Nilishamwona muda mrefu huyu Kijana Filikunjombe uwezo wake, uchungu kwa wapiga kura wake na kwa taifa. Hapa JF mmenishambulia kwa sana tu kuhusu mbunge huyu, na leo wenyewe mnaona alivyo mtetezi mkubwa ndani ya bunge bila kujali itikadi za kichama.

      Juzi tu nilifanya utalii Mkoa mpya wa Njombe, tofauti ya majimbo ya uchaguzi yanayoongozwa na wabunge wa CCM Njombe Kusini la Spika Anna makinda na la Ludewa la Filikunjombe utaona tofauti kubwa. Kijana kaanza juzi tu barabara zinaakisi kushughulikiwa tofauti na kwa Makinda. Stand ya mabasi Njombe ikinyesha mvua ni matope na kukiwa Jua ni jangwa la vumbi unatakiwa vaa kitambaa na maski vinginevyo mafua yatakuanzia hapo hapo uwanjani.

      Tuachane na ushabiki, Kijana Filikunjombe yuko Mtanzania halisi asiye mbinafsi na mwoga na anayejali utaifa na ni mzalendo wa kweli. Hawa ndio tunaowataka na kesho wakiamua kujing'oa CCM na kujiunga na kambi ya akina Tundu Lisu, ndo kasi ya maendeleo ya nchi yetu itakavyopiku mataifa yote ya afrika mashariki.


      kuna mahali nimeona post yako kuwa uko USA kwa obama na kuwa ndege iliingia mushikeli...vipi mkuu usharudi
      Candid Scope likes this.
      I'm Naturaly Evasive..

    6. #85
      zubedayo_mchuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2011
      Posts : 3,380
      Rep Power : 1070
      Likes Received
      601
      Likes Given
      45

      Default re: Mawaziri wanaongoza kwa wizi serikalini - Deo Filikunjombe

      nitaongeza idadi ya ma waziri walafi...kama tuanze kabisa


    7. #86
      zubedayo_mchuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2011
      Posts : 3,380
      Rep Power : 1070
      Likes Received
      601
      Likes Given
      45

      Default re: Mawaziri wanaongoza kwa wizi serikalini - Deo Filikunjombe

      Quote By Edson View Post
      kuna mahali nimeona post yako kuwa uko USA kwa obama na kuwa ndege iliingia mushikeli...vipi mkuu usharudi
      TZ kila raia anasafiri kwenye mtandao hapa mi naelekea kwa syria huko

    8. #87
      Edson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2009
      Posts : 7,310
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1806
      Likes Given
      433

      Default re: Mawaziri wanaongoza kwa wizi serikalini - Deo Filikunjombe

      yaani tunamkoma nyani with no apology
      I'm Naturaly Evasive..

    9. #88
      benbry's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 13
      Rep Power : 366
      Likes Received
      1
      Likes Given
      3

      Default re: Mawaziri wanaongoza kwa wizi serikalini - Deo Filikunjombe

      jamani hata Mungu alivyotaka kuwakomboa waisraeli kule Misri aliufanya moyo wa Farao kuwa mgumu kwanza ili aweze kuziona nguvu za Mungu. Bila shaka na kwa ccm pia kinachofanyika hapa ni kuwa na moyo mgumu ili waione nguvu ya umma. ili ukubali ukatae ukombozi wa watz u karibu. wabunge wakikosea hii timing ya ss basi tena.

    10. #89
      Murrah's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th May 2011
      Location : Tarime
      Posts : 191
      Rep Power : 446
      Likes Received
      40
      Likes Given
      9

      Default Re: Kutoka Bungeni: Lukuvi amtaka Filikunjombe athibitishe kauli yake

      Quote By measkron View Post
      Lukuvi ememtaka Mh Filikunjombe athibitishe kauli yake kuwa mawaziri Wengi ndio wanaoongoza kwa kuitafuna nchi hii. Filikunjombe kasema yupo tayari kufanya hivyo, je tutegemee nini toka kwa serikali yetu inayovuliwa nguo hata na wabunge Wa CCM?
      Kwa kuwa speaker ubongo ni matape ataharishe Bunge kama kawaida yake, she can't deal with isssues

    11. #90
      KELVIN GASPER's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 440
      Rep Power : 526
      Likes Received
      113
      Likes Given
      11

      Default Re: Mawaziri wanaongoza kwa wizi serikalini - Deo Filikunjombe

      wazir chami kaweka rehani uwazir kama yeye na bosi wa tbs wanaiba pamoja.

    12. #91
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,710
      Rep Power : 15286
      Likes Received
      3768
      Likes Given
      2906

      Default Re: Mawaziri wanaongoza kwa wizi serikalini - Deo Filikunjombe

      Quote By Edson View Post
      kuna mahali nimeona post yako kuwa uko USA kwa obama na kuwa ndege iliingia mushikeli...vipi mkuu usharudi
      Dunia inazidi kuwa ndogo sana, kwani kama jana ulikula dinner Moscow, usishangae kesha unakula breakfast pale Mikocheni Shoppers center. Ukifanya tathmini ya kutosha unaweza kugundua lini mwandishi alitembelea huko kwa akina Makinda na Filikunjombe kabla au baada ya kupata msukosuko wa ndege kusitisha kuruka kwa masaa kadhaa pale Zurich Internationa Ariport kwa ndege ya US Airways.

    13. #92
      Ngangasyonga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2010
      Posts : 417
      Rep Power : 525
      Likes Received
      54
      Likes Given
      11

      Default Re: Mawaziri wanaongoza kwa wizi serikalini - Deo Filikunjombe

      Vijana wamechoka kuburuzwa na wazee kwa manufaa yao, mizee inachota halafu inataka vijana waufyate. BIG UP Filikunzombe!!!!
      CCM imeoza, inakuwa kama ni chama cha watu fulani wenye nguvu na sio kwa wanyonge walio wengi. Tunahitaji kufanya mabadiliko hata ya kuingia msituni.

    14. #93
      nahavache's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2009
      Posts : 671
      Rep Power : 654
      Likes Received
      189
      Likes Given
      318

      Default Re: Mawaziri wanaongoza kwa wizi serikalini - Deo Filikunjombe

      Quote By Crashwise View Post
      Kwani usibitisho wa Lema walisha usoma....kama bado wausome kwanza wa Lema ndiyo waombe mwingine
      Kimsingi kwa kukaa kimya wenye akili walijua kuwa waziri mkuu alidanganya bunge. Kwa hiyo PM wetu ni MUONGO. Lakini inaonekana serekali iliingilia kati kumlina PM na ndio maana wakafanya njama ya kumuondoa Lema Bungeni.

    15. #94
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,710
      Rep Power : 15286
      Likes Received
      3768
      Likes Given
      2906

      Default Re: Mawaziri wanaongoza kwa wizi serikalini - Deo Filikunjombe

      Quote By zubeda_mchuzi View Post
      TZ kila raia anasafiri kwenye mtandao hapa mi naelekea kwa syria huko
      Hutakuwa umewadanganya wadau wa JF bali ni kujidhalilisha mwenyewe.

    16. #95
      Mathias Luoga's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 11
      Rep Power : 443
      Likes Received
      3
      Likes Given
      1

      Default Re: Mawaziri wanaongoza kwa wizi serikalini - Deo Filikunjombe

      Huyu Mhe, Filikunjombe alikuwa Polisi kwaiyo anaposema anaoushahidi atakuwa amejipanga lakinio pia jamani wenye ushahidi wakumsaidia kuongeza nguvu Mhe, Filikunjombe wampe ili watanzania wajue Serikali ilivyo na uozo.

    17. #96
      Kicheruka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd February 2009
      Posts : 777
      Rep Power : 684
      Likes Received
      73
      Likes Given
      2

      Default Re: Mawaziri wanaongoza kwa wizi serikalini - Deo Filikunjombe

      [QUOTE=Tejai;3730381]Huyu lukuvi vip? si asuburi watajwe kwa nini anataka kuwalinda,huwa wanamgawia nini?[/QUOTE]

      Naye anaweza akawa ni mmoja wao kwa hiyo anajilinda

    18. #97
      Mabewa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th October 2011
      Posts : 119
      Rep Power : 409
      Likes Received
      15
      Likes Given
      1

      Default Re: Mawaziri wanaongoza kwa wizi serikalini - Deo Filikunjombe

      Jana Deo Filikunjombe na Zitto Kabwe walinong'onezana waombe muongozo wa spika wakawa wanaambiana nianze mm au wewe na kweli wote walisimama kumzungumzia mkulo so Deo sio mjinga aseme mneno mazito yasiyo na ushahidi,pili ikumbukwe Deo ni makamu mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya mashirika ya Umma na anafanya kazi kubwa kwa kushirikiana na zitto so kwa nafasi hiyo anayo nafasi ya kujua mengi sana juu ya wizi na wezi wenyewe.

    19. #98
      Teye's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 24
      Rep Power : 368
      Likes Received
      3
      Likes Given
      9

      Default Re: Mawaziri wanaongoza kwa wizi serikalini - Deo Filikunjombe

      Upiganaji wa upande huyo si rahisi,atazimwa.Huwezi kutukana upande unaokupa mlo!!

    20. #99
      haki na usawa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 153
      Rep Power : 399
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: Mawaziri wanaongoza kwa wizi serikalini - Deo Filikunjombe

      Imefika hatua sasa mwana kumkana mzazi wake kama hali ndo hii tutegemee makubwa zaidi juu ya kuanikana kwa chama kilicho madarakani maana mawaziri wako bize ni jinsi gani watafaidi keki ya taifa lakini si kufaidisha wananchi " DHULUMA SIKU ZOTE HAIDUMU NA KILA ADHULUMUYE HUADHIBIWA KWA KUDHALILISHWA NA MUNGU ILI KUWAPA FUNDISHO WENGINE"Tutegemee mengi zaidi kutokana na laana ya walioapa mara moja bungeni/mara mbili mbungeni na kisha Ikulu na kisha kuomba Mungu/Allah awasaidie kulinda mali na rasilimali za nchi hii hali nyoyoni hawako hivyo; sasa yaliyoko nyoyoni sasa ndo yanatoka nje na anayetetea hata mwizi siku naye akianikwa atasema ni wabaya wake wa kisiasa?
      Je yeye anayewatetea hakuwahi kuingizwa mkenge hata siku moja na makampuni ya utafiti wa madini maana yamezagaa kila sehemu kama naye ni mbuge kama walivyowengine atakuwa amewahi hata kuingizwa mkenge kuwa washirikiane na mwekezaji ili wapate faida ya rasilimali za nchi hii ili awe tajiri au wa ahadi/kutoa huduma kwa wapiga kura wake na sasa ajue siri zinatolewa na makarani/ watu wanaowaamini ndo maana wakihitaji vielelezo unakuta anayezungumza anavyo na mimi naona bora "WALETE SHERIA YA KUBANA UHURU WA HABARI BILA HIVYO WATAJUTA KUINGIA KATIKA UTANDAWAZI"
      Last edited by haki na usawa; 19th April 2012 at 15:50.

    21. sha is offline
      sha
      #100
      sha's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th March 2010
      Posts : 147
      Rep Power : 498
      Likes Received
      15
      Likes Given
      4

      Default Re: Kutoka Bungeni: Lukuvi amtaka Filikunjombe athibitishe kauli yake

      Quote By measkron View Post
      Lukuvi ememtaka Mh Filikunjombe athibitishe kauli yake kuwa mawaziri Wengi ndio wanaoongoza kwa kuitafuna nchi hii. Filikunjombe kasema yupo tayari kufanya hivyo, je tutegemee nini toka kwa serikali yetu inayovuliwa nguo hata na wabunge Wa CCM?


      NDUGU WANA JF HAKUNA MTU ANAYEWEZA KUTUWEKEA VIDEO YA MICHANGO YA HAO WABUNGE JANA?>????? WAKATI WA UKOMBOZI NDIO HUU, WEKENI HIYO KITU HATA WABISHI kama........... WAKOMAGE. JUA WENGINE HATUKUIONA MICHANGO MINGINE YA KINA TUNDU LISU. Tafadhali tafadhali KAMA YA KICHAA WA "chukua chako mapema " KULE ARUMERU ILIWEKWA KWA NINI HII CHACHU YA MAPINDUZI IKOSEKANE?????????????????????

    Page 5 of 8 FirstFirst ... 34567 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...