Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: JK ziarani Brazil kwa siku tano (Source TBC1 habari)

    Report Post
    Page 1 of 6 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 117
    1. #1
      Amavubi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th December 2010
      Location : Kigali-Rwanda
      Posts : 5,408
      Rep Power : 1609
      Likes Received
      2328
      Likes Given
      1957

      Default JK ziarani Brazil kwa siku tano (Source TBC1 habari)

      Mkuu wa nchi yuko Sao Paolo Brazil, huenda akaja na kocha mwingine maana tulipanda kwa ngazi tunashuka kwa lift viwango vya FIFA
      Quote By Mupirocin
      Jk jana amewasili nchini Brazil, cha kushangaza nchi nyingi zimewakilishwa na mawaziri wa mambo ya nje au mawaziri wa uwekezaji. Mfano ni Marekani na baadhi ya nchi za Africa, Jk huoni aibu.

      Hospital ya Tumbi haina x ray kwa mwaka mzima sasa, kifaa kilichoharibika kinagharimu 37m lakini yeye anatoa rambirambi 10m afu zinatafunwa na wajanja. Tanzania tunakosa priority.

      Afu mtu anakuja kumtetea eti JK ni Masiha ebu tuache kuchezea jina la Mungu na kumsafisha huyu mzembe. Hakuna hata siku mmoja hapa duniani atakayefanananishwa na Yesu.
      Ukipepeta Pumba Tunachagua Chuya

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,914
      Rep Power : 5060
      Likes Received
      3198
      Likes Given
      2653

      Default re: JK ziarani Brazil kwa siku tano (Source TBC1 habari)

      Maximo alikua nomaaaaa!!
      Amavubi likes this.

    4. #3
      Mupirocin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2011
      Location : Tanzania
      Posts : 1,562
      Rep Power : 805
      Likes Received
      523
      Likes Given
      408

      Default JK ziarani Brazil kwa siku tano (Source TBC1 habari)

      Jk jana amewasili nchini Brazil, cha kushangaza nchi nyingi zimewakilishwa na mawaziri wa mambo ya nje au mawaziri wa uwekezaji. Mfano ni Marekani na baadhi ya nchi za Africa, Jk huoni aibu.

      Hospital ya Tumbi haina x ray kwa mwaka mzima sasa, kifaa kilichoharibika kinagharimu 37m lakini yeye anatoa rambirambi 10m afu zinatafunwa na wajanja. Tanzania tunakosa priority.

      Afu mtu anakuja kumtetea eti JK ni Masiha ebu tuache kuchezea jina la Mungu na kumsafisha huyu mzembe. Hakuna hata siku mmoja hapa duniani atakayefanananishwa na Yesu.

    5. #4
      Mr. Bigman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2011
      Posts : 573
      Rep Power : 624
      Likes Received
      103
      Likes Given
      57

      Default re: JK ziarani Brazil kwa siku tano (Source TBC1 habari)

      Mwenye data aniwekee hapa. Hivi Marais wa awamu zote wa nchi hii kila mmoja alifanya ziara ngapi za kikazi na binafsi nje ya nchi akiwa madarakani? Nataka kucomment
      Godlisten Masawe likes this.

    6. #5
      Hobic11ac's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 29
      Rep Power : 364
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default re: JK ziarani Brazil kwa siku tano (Source TBC1 habari)

      Mbona hakupokelewa na mwenyeji wake? Hata Brazil nao wamemuchoka! Eti atakutana na watu maarufu!

    7. Miaka 50

    8. #6
      Loy MX's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th March 2012
      Posts : 608
      Rep Power : 482
      Likes Received
      118
      Likes Given
      42

      Default re: JK ziarani Brazil kwa siku tano (Source TBC1 habari)

      anaenda kusainiwa Autograph na Ronaldinho.
      cerezo likes this.

    9. #7
      ntamaholo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : Mwilavya
      Posts : 4,116
      Rep Power : 1387
      Likes Received
      918
      Likes Given
      412

      Default re: JK ziarani Brazil kwa siku tano (Source TBC1 habari)

      fari ya ngapi hii? kweli rais wetu mzururaji
      saddam likes this.
      UTUMISHI WA HAKI, NI SULUHISHO LA MAOVU YOTE

    10. #8
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1826
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default re: JK ziarani Brazil kwa siku tano (Source TBC1 habari)

      Hivi kwanini Rais wetu anazurura kila siku kwa kutumia kodi zetu lakini Watanzania hatuchukui hatua yoyote tunaishia kulalamika???
      Last edited by Angel Msoffe; 16th April 2012 at 08:00.
      saddam likes this.

    11. #9
      Lyimo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 1,799
      Rep Power : 1526
      Likes Received
      796
      Likes Given
      450

      Default re: JK ziarani Brazil kwa siku tano (Source TBC1 habari)

      Hivi kule Brazil summer imeshaanza tayari?
      "Wisdom is not a product of schooling, but of the lifelong attempt to acquire it"

    12. #10
      MD25's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 27th January 2012
      Location : Mugumu, Serengeti
      Posts : 1,912
      Rep Power : 0
      Likes Received
      540
      Likes Given
      66

      Default re: JK ziarani Brazil kwa siku tano (Source TBC1 habari)

      Duh... Nimeamini ule msemo wa 'kichwa-nazi'
      ze encyclopedia likes this.

    13. #11
      Babkey's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th December 2010
      Posts : 1,987
      Rep Power : 913
      Likes Received
      399
      Likes Given
      162

      Default re: JK ziarani Brazil kwa siku tano (Source TBC1 habari)

      ...anatutafutia pesa tusife njaa jamani. Huyo ni baba mhangaikaji.

    14. #12
      dosama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th December 2010
      Posts : 736
      Rep Power : 573
      Likes Received
      296
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By MD25
      Duh... Nimeamini ule msemo wa 'kichwa-nazi'
      Lile dafu mkuu

    15. #13
      paty's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : never never land
      Posts : 1,024
      Rep Power : 974
      Likes Received
      270
      Likes Given
      62

      Default re: JK ziarani Brazil kwa siku tano (Source TBC1 habari)

      vasco da gama hashauriki wala hajifunzi ,madudu yale yale always , inabidi siku moja tumpokee apo uwanja wa ndege na mabango ya kupinga izo safari
      CHADEMA mwendo mdundo - T 2015 CDM

    16. #14
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,687
      Rep Power : 27092
      Likes Received
      10056
      Likes Given
      13958

      Default re: JK ziarani Brazil kwa siku tano (Source TBC1 habari)

      jamani juzi mtoto wa mkulima kasema serikali imeishiwa sasa hebu nijibuni hizi za kusafiria kapata wapi? au amekopa? au ni ofa kapewa?manake kaenda na mkewe sasa najiuliza nauli ya ndege watu 2, kula, malazi pamoja na wapambe wao ni sh ngapi wametumia? halafu tunaambiwa serikali imefilisika. kweli hatuongopewi?

    17. #15
      Kurunzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2009
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 1,946
      Rep Power : 888
      Likes Received
      382
      Likes Given
      144

      Default re: JK ziarani Brazil kwa siku tano (Source TBC1 habari)

      Mil 300 hizoo zinayeyuka zingetufà sana kutoa elimu ya uraia.

    18. #16
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,687
      Rep Power : 27092
      Likes Received
      10056
      Likes Given
      13958

      Default re: JK ziarani Brazil kwa siku tano (Source TBC1 habari)

      lakini hebu mnsaidie mm mnake ni mshamba wa haya mambo. ni nani anayepanga ratiba ya raisi? je kwenye diary yake huwa anaratiba ya mwaka au huwa zinaibukaga tu pasi mpango? na je yeye anaweza kuziahirisha au hawezi? na wakati zinapangwa zinakuwa na fungu la pembeni au ni fungu hili hili la bajeti ya nchi kwa kawaida?

    19. #17
      Black Bat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Abbottabad
      Posts : 2,479
      Rep Power : 9580
      Likes Received
      682
      Likes Given
      575

      Default re: JK ziarani Brazil kwa siku tano (Source TBC1 habari)

      Quote By Loy MX
      anaenda kusainiwa Autograph na Ronaldinho.
      si angesainiwa na dinyo wake wa magogoni? si hana kazi yule zaidi ya kukata utepe na kufungua vyummba vya madarasa
      ukipenda niite double biiiiiii!! tchao

    20. #18
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,601
      Rep Power : 22056
      Likes Received
      995
      Likes Given
      777

      Default Re: JK ziarani Brazil kwa siku tano (Source TBC1 habari)

      Botswana raisi max anatakiwa asafiri na watu 8 WHILE waziri ni watu 4!
      Uliza utitiri wa watu anao enda nao JK
      No wonder kila safari yake huwa inatughalimu atleast 300millions
      WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.

    21. #19
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,252
      Rep Power : 12575
      Likes Received
      5796
      Likes Given
      758

      Default

      Quote By Mupirocin
      Jk jana amewasili nchini Brazil, cha kushangaza nchi nyingi zimewakilishwa na mawaziri wa mambo ya nje au mawaziri wa uwekezaji. Mfano ni Marekani na baadhi ya nchi za Africa, Jk huoni aibu.

      Hospital ya Tumbi haina x ray kwa mwaka mzima sasa, kifaa kilichoharibika kinagharimu 37m lakini yeye anatoa rambirambi 10m afu zinatafunwa na wajanja. Tanzania tunakosa priority.

      Afu mtu anakuja kumtetea eti JK ni Masiha ebu tuache kuchezea jina la Mungu na kumsafisha huyu mzembe. Hakuna hata siku mmoja hapa duniani atakayefanananishwa na Yesu.
      Acha uwongo wewe Marekani wanawakilishwa na Barack Obama.

    22. #20
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1826
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By ritz
      Acha uwongo wewe Marekani wanawakilishwa na Barack Obama.
      utaweza kufananisha uchumi wa MAREKANI na TANZANIA?
      saddam likes this.

    Page 1 of 6 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...