tumezoea kuona ccm wakitoa rushwa za kofia,tshirt na pilau ili wawachague . nimesoma kwny blod ya mjengwa nikaluta post ya zitto akisikitika kwny FB kuwa rushwa imekidhiri kuwapata wabunge wa kuwakilisha bunge la afrika mashariki. kama wananch wanahongwa kofia wabunge wanahongwa nn

Reply With Quote


Follow Us Here