Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kikwete: Katiba mpya isiegemee udini, ukabila au kulenga kuvunja muungano

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 24
    1. #1
      abdulahsaf's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st August 2010
      Posts : 860
      Rep Power : 718
      Likes Received
      123
      Likes Given
      1

      Default Kikwete: Katiba mpya isiegemee udini, ukabila au kulenga kuvunja muungano


      Rais Jakaya Kikwete wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

      Rais Jakaya Kikwete wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameonya kuwa mchakato wa kuandika Katiba Mpya usifanywe kwa kuegemea udini, ukabila, ubinafsi, siasa ama kulenga kuvunja Muungano.

      Rais Kikwete amesema hayo baada ya kuwaapisha wajumbe wa Tume ya Kuratibu Maoni ya Katiba Mpya, Ikulu, Dar es Salaam hapo Jana na kuwahutubu wajumbe wa tume hiyo akiwaambia, Tanzania hakuna udini wala ukabila, hivyo wajumbe wa Tume ya Katiba mnatakiwa kuongozwa na maoni ya wananchi siyo ya makundi mnayotoka, hatutaki ipatikane Katiba itakayoegemea udini, ukabila, siasa wala kulenga kuvunja Muungano, katiba ni ya Watanzania wote.

      Tume hiyo itaanza kazi yake ya miezi 18, Mei mosi mwaka huu, kwa kukusanya maoni ya wananchi na kutengeneza rasimu ya katiba, baadaye zikifuata hatua mbili muhimu ambazo ni kuundwa kwa Bunge Maalumu la kuchambua rasimu hiyo, kisha wananchi kupiga kura ya maoni.

    2. Miaka 50

    3. #2
      abdulahsaf's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st August 2010
      Posts : 860
      Rep Power : 718
      Likes Received
      123
      Likes Given
      1

      Default Re: Kikwete: Katiba mpyaisiegemee udini, ukabila au kulenga kuvunja muungano

      Muungano sio kitu chakulazimishana Mh JK ikiwa upande moja utakuwa na sababu na kusema hawataki basi hio ndio Democracy, kwanza ujulikane kuwa Muungano huu haukuwachirikicha wananchi a.b. umeuwa utaifa wa Tanganyika na Katiba yake ambaye alikuwa ni mchirika mkuu wa Muungano.

    4. #3
      jogi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th September 2010
      Posts : 3,977
      Rep Power : 1211
      Likes Received
      965
      Likes Given
      247

      Default Re: Kikwete: Katiba mpyaisiegemee udini, ukabila au kulenga kuvunja muungano

      kama ni hivyo si angeiandika wenyewe tu. au anafikiri kuwa rais ndio katuzidi kwa akili na maarifa, Huwezi kumshangaa mwanaasha!

    5. #4
      evoddy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2011
      Posts : 250
      Rep Power : 430
      Likes Received
      45
      Likes Given
      8

      Post Re: Kikwete: Katiba mpyaisiegemee udini, ukabila au kulenga kuvunja muungano

      Ni kwanini viongozi kutoka Tanganyika wanakuwa ving'ang'anizi wa muungano wakati wazanzibar hawataki muungano?

      Wakati umefika kujadiliana maana sisi watanganyika inaonekana kama tunanufaika sana na huo muungano,acha wazanzibar waondoke na zanzibar yao na Tanganyika tubaki na tanganyika yetu.Kujadili muundo wa muungano ni lazima siyo ombi
      "Tanzania freedom does not stop at political independence we have to cross borders to see what is next"

    6. #5
      mharakati's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 931
      Rep Power : 572
      Likes Received
      258
      Likes Given
      243

      Default Re: Kikwete: Katiba mpyaisiegemee udini, ukabila au kulenga kuvunja muungano

      tunajua Jk hutaki kuingia kwenye historia kama wewe ni rais aliyeasisi kuvunja muungano, lakini wewe ni wewe na sisi wenye nchi tuko milioni 48 na wengi wetu hatuupendi muungano au sehemu kubwa ya huu muungano na hili lazima lijadiliwe kama halijadiliwi tutakuja kuuvunja huu muungano wenu kwa nguvu sababu hamna kitu chenye nguvu duniani kama wazo zuri lililofikia wakati wake, hamna wa kuzuia hili.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      MNYISANZU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,305
      Rep Power : 2018
      Likes Received
      591
      Likes Given
      76

      Default Re: Kikwete: Katiba mpyaisiegemee udini, ukabila au kulenga kuvunja muungano

      Kwanini asingesema moja kwa moja kuwa NO mahakama ya kadhi, OIC.

    9. #7
      MNYISANZU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,305
      Rep Power : 2018
      Likes Received
      591
      Likes Given
      76

      Default Re: Kikwete: Katiba mpyaisiegemee udini, ukabila au kulenga kuvunja muungano

      JK hataki muungano uvunjwe cos anataka 2015 rais atoke Zanzibar.

    10. #8
      Lole Gwakisa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2008
      Posts : 2,959
      Rep Power : 1132
      Likes Received
      462
      Likes Given
      330

      Default Re: Kikwete: Katiba mpyaisiegemee udini, ukabila au kulenga kuvunja muungano

      Abdulsahaf, wewe nafikiri ni mzenji, Hilo kwanza.

      Pili posti yako imekaa kinafikinafiki kidogo, unamwonyesha Rais JK akiwa amevaa kuashiria Rais Mwislamu wa Tanzania.

      Tatu picha na ujumbe ulioandika haviendani, yaani Rais anayepinga udini ndo mwenyewe mdini, kwa jinsi alivovaa.

      Nne kudhihirisha kuwa posti yako ni ya kinafiki, umeshindilia kwa maoni yako mwenyewe kupinga muungano.

      Tumewazoea wazenji, mnakuja Kama mnvyokwenda.
      mharakati likes this.
      Yours faithfully!

    11. #9
      WISTON MWINUKA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Posts : 72
      Rep Power : 370
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default Rais Kikwete akemea udini

      Mh.Rais Jk Kikwete amekemea udini nchini Tanzania,Hayo ameyasema katika siku ya mtoto wa Afrika ambapo pia amesisitiza kwamba watoto wana haki ya kulindwa na kuthaminiwa ikiwa ni pamoja na kupewa haki zao.

    12. FJM
      #10
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,168
      Rep Power : 2566
      Likes Received
      5318
      Likes Given
      4585

      Default re: Rais Kikwete akemea udini

      Ni jambo la faraja kama rais amekemea tatizo la udini. Lakini shida kubwa ninayoona ni kwamba wananchi wengi hawana uhakika na kauli ya rais ni ya kweli toka rohoni kwake na kwamba anachosema ndicho anachofanya nje ya uso wa vyombo vya habari.

      Kama tunataka kunusuru balaa linalotunyemelea basi iko haja ya kuwa na 'definition' mpya kuhusu serikali kutokuwa na dini. Lazima tuwekane sawa nini maana ya serikali kutokuwa na dini katika context ya Tanzania.

      Na kwa maoni yangu maoni yangu nishauri bunge lipitishe sheria inayozuia mwanasiasa kushiriki kwenye mambo ya dini. Kama mwanasiasa atahudhuria ibada au hafla ya dini basi afanye hivyo kama muumini wa kawaida kabisa, lakini iwe mwiko mwanasiasa kutoa hotuba kwenye mikusanyiko ya dini (msikitini/kanisani/temple) hata kusalimia iwe marufuku. Asali na aende zake. Hakuna mambo ya Harambee, haya ndio yanaleta balaa kama ukabila na siasa Kenya. Kwani huko nyuma makanisa yalikuwa yanapataje michango? Tufumbe macho ni kutenganisha kwa vitendo siasa na dini.
      Thesi likes this.

    13. #11
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,388
      Rep Power : 1264
      Likes Received
      1208
      Likes Given
      1253

      Default Re: Rais Kikwete akemea udini

      nafurahi kusikia kikwete nae anaweza kukumea...
      apunguze kucheka cheka bwana kipindi anapokua anakemea

    14. #12
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4015
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Rais Kikwete akemea udini

      For the benefit of my doubts, amesemaje tena kuukemea udini?

    15. #13
      Sideeq's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th December 2009
      Posts : 1,588
      Rep Power : 797
      Likes Received
      203
      Likes Given
      0

      Default Re: Rais Kikwete akemea udini

      Quote By FJM
      Na kwa maoni yangu maoni yangu nishauri bunge lipitishe sheria inayozuia mwanasiasa kushiriki kwenye mambo ya dini. Kama mwanasiasa atahudhuria ibada au hafla ya dini basi afanye hivyo kama muumini wa kawaida kabisa, lakini iwe mwiko mwanasiasa kutoa hotuba kwenye mikusanyiko ya dini (msikitini/kanisani/temple) hata kusalimia iwe marufuku. Asali na aende zake. Hakuna mambo ya Harambee, haya ndio yanaleta balaa kama ukabila na siasa Kenya. Kwani huko nyuma makanisa yalikuwa yanapataje michango? Tufumbe macho ni kutenganisha kwa vitendo siasa na dini.
      Kwa staili hii utawa isolate "wadini"! walio katika siasa wataikimbia siasa, ambao hawajajiingiza katika siasa wataikwepa, matokeo yake unakuwa na Serikali iliyo upande wake na wananchi "wadini" upande wao!
      Kwa nini kusiwe na utawala wa majimbo ya kidini?

    16. #14
      Bornvilla's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th February 2011
      Posts : 634
      Rep Power : 0
      Likes Received
      141
      Likes Given
      0

      Default Re: Rais Kikwete akemea udini

      Wacheza disco ndio wadini wakubwa! Wanatamani nchi yote ijae kumbi za disco tu! Wanaosababisha hadi sasa hali kuwa tete ni vigazeti na viradio mbao vilivyojaa makanjanja, hawa wataiangamiza nchi siku sinyingi.

      Tumeshuhudia yalotokea Zanzibar ukweli unajulikana CCM ndio waliochoma makanisa ili ishu ya kutaka muungano uvunjike ife na ishu igeuke kuwa ya kidini na mwisho habari ya muungano ikiguswa ionekane ni udini. Jiulize kwanini hadi sasa haiundwi tumehuru kuchunguza ishu hii? Ishu inajulikana ndio maana makanjanja wanang'ang'ania vitu visivyopo ili kudivert mind za mazuzu wasiojua kinachoendelea.

      Mmesahau janjaweed ilivyofanya uharibifu Zanzibar? Ndio hao walotumika kuchoma makanisa Zanzibar,Waislam na Uamsho ni kisingizio tu ili kuhalalisha dhulma.
      takashi likes this.

    17. #15
      kalanjadd's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th October 2011
      Posts : 28
      Rep Power : 389
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Re: Rais Kikwete akemea udini

      huo mkutano aliozungumza wa mtoto wa afrika umejaa usanii mtupu na tatizo kubwa kinara wa uandaaji bwana Abubakar Fransis Kabwogi ni tapeli mkubwa wa kimataifa JK kaingia mkenge tenda kwenda kufungua mkutano magumashi

    18. #16
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,087
      Rep Power : 14280
      Likes Received
      3980
      Likes Given
      3246

      Default

      Quote By WISTON MWINUKA
      Mh.Rais Jk Kikwete amekemea udini nchini Tanzania,Hayo ameyasema katika siku ya mtoto wa Afrika ambapo pia amesisitiza kwamba watoto wana haki ya kulindwa na kuthaminiwa ikiwa ni pamoja na kupewa haki zao.
      udini aliuanzisha kikwete na ccm yake, halafu kuhu watoto je atafuta kauli yake ya wamba wtoto wanaopewa mimba ni viherehere leo anazungumzia kuwa linda wakati wanao wabaka watoto wanalipwa m 10...
      Jasusi likes this.

    19. #17
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,448
      Rep Power : 19777
      Likes Received
      4284
      Likes Given
      1187

      Default

      Quote By Bornvilla
      Wacheza disco ndio wadini wakubwa! Wanatamani nchi yote ijae kumbi za disco tu! Wanaosababisha hadi sasa hali kuwa tete ni vigazeti na viradio mbao vilivyojaa makanjanja, hawa wataiangamiza nchi siku sinyingi.

      Tumeshuhudia yalotokea Zanzibar ukweli unajulikana CCM ndio waliochoma makanisa ili ishu ya kutaka muungano uvunjike ife na ishu igeuke kuwa ya kidini na mwisho habari ya muungano ikiguswa ionekane ni udini. Jiulize kwanini hadi sasa haiundwi tumehuru kuchunguza ishu hii? Ishu inajulikana ndio maana makanjanja wanang'ang'ania vitu visivyopo ili kudivert mind za mazuzu wasiojua kinachoendelea.

      Mmesahau janjaweed ilivyofanya uharibifu Zanzibar? Ndio hao walotumika kuchoma makanisa Zanzibar,Waislam na Uamsho ni kisingizio tu ili kuhalalisha dhulma.
      ipandisheni ccm mahakamani kwa kusabibisha nyie mmeonekana magaidi na wachoma makanisa.

      Sidhani kama una ushahidi wa kuitia nyinyiemu hatiani, lakin umma wote unajua makanisa yalichomwa na taasisi ya kiislam uamsho.

    20. #18
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,669
      Rep Power : 0
      Likes Received
      537
      Likes Given
      272

      Default Re: Rais Kikwete akemea udini

      Quote By FJM
      Ni jambo la faraja kama rais amekemea tatizo la udini. Lakini shida kubwa ninayoona ni kwamba wananchi wengi hawana uhakika na kauli ya rais ni ya kweli toka rohoni kwake na kwamba anachosema ndicho anachofanya nje ya uso wa vyombo vya habari.

      Kama tunataka kunusuru balaa linalotunyemelea basi iko haja ya kuwa na 'definition' mpya kuhusu serikali kutokuwa na dini. Lazima tuwekane sawa nini maana ya serikali kutokuwa na dini katika context ya Tanzania.

      Na kwa maoni yangu maoni yangu nishauri bunge lipitishe sheria inayozuia mwanasiasa kushiriki kwenye mambo ya dini. Kama mwanasiasa atahudhuria ibada au hafla ya dini basi afanye hivyo kama muumini wa kawaida kabisa, lakini iwe mwiko mwanasiasa kutoa hotuba kwenye mikusanyiko ya dini (msikitini/kanisani/temple) hata kusalimia iwe marufuku. Asali na aende zake. Hakuna mambo ya Harambee, haya ndio yanaleta balaa kama ukabila na siasa Kenya. Kwani huko nyuma makanisa yalikuwa yanapataje michango? Tufumbe macho ni kutenganisha kwa vitendo siasa na dini.
      Mkuu maoni yako mazuri sana, ila kwa heshima na taadhima nakuomba unipe definition kwa uelewa wako nini "UDINI"?

    21. FJM
      #19
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,168
      Rep Power : 2566
      Likes Received
      5318
      Likes Given
      4585

      Default Re: Rais Kikwete akemea udini

      Quote By Sideeq
      Kwa staili hii utawa isolate "wadini"! walio katika siasa wataikimbia siasa, ambao hawajajiingiza katika siasa wataikwepa, matokeo yake unakuwa na Serikali iliyo upande wake na wananchi "wadini" upande wao!
      Kwa nini kusiwe na utawala wa majimbo ya kidini?
      Sideeq, naongelea utawala na siasa vs. dini na siasa. Based on what I am seeing now, kuna haja kabisa ya kutenganisha siasa na dini. Mtu achague moja, dini au siasa. Na tumipige marufuku kutumia wanasiasa kuhutubia au kuongoza shughuli yoyote ile ya kidini. Ukabila unakuwa mgumu, wanasiasa wametumia lakini wameona ni shida kutumia makabila kwa manufaa ya kisiasa, lakini dini wameona mwanga. Sasa tufunge huu mlango kabla hatufikwa na balaa.
      Thesi likes this.

    22. #20
      Lokissa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Location : Goba
      Posts : 4,091
      Rep Power : 5807
      Likes Received
      1024
      Likes Given
      2876

      Default Re: Rais Kikwete akemea udini

      ametoa tamko kuhusu azimio la bakwata kukataa sensa?
      kama hajakemea nampa big up kwani atakuwa ameona ajenda yao haina maana.
      silence is the answer.
      You may know me but you have no Idea who I am !

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...