Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Taarifa ya Mwaka:Miaka 3 Baadaye... Asanteni!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 25
    1. #1
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,619
      Rep Power : 46737
      Likes Received
      16718
      Likes Given
      8553

      Default Taarifa ya Mwaka:Miaka 3 Baadaye... Asanteni!



      Leo Machi 1, 2009 ni miaka mitatu tangu tuanze kuandika kama wanaharakati na kuanza matangazo yetu yenye kujenga hoja mbalimbali. Ni miaka mitatu ambayo imetimia ndani yetu moto wa mwamko mpya ukizidi kuwaka na kuchochewa kila siku kama tanuru ya kufua chuma!

      Katika kuangalia mwaka uliopita na kutazama mwaka huu mpya tumeandaa ripoti yetu hii ya shughuli zetu kama tulivyofanya mwaka jana. Kwa mara ya kwanza tumeenda mbele zaidi kwa kuweka mambo mengi wazi ambayo tunaamini kwa wale mashabiki, wanachama na wanaotuunga mkono kuweza kufahamu.

      Tunatumaini taarifa hii ni kile kidogo tunachofanya katika kuwajibika mbele zenu.

      Kwa unyenyekevu mkubwa naomba kuwasilisha.

      Hii nayo iwe ushuhuda!

      M.M. Mwanakijiji
      Attached Files
      Last edited by Silencer; 1st March 2009 at 17:40.
      [email protected]
      The Best of Tanzanian Socio-Political Blogging - http://www.mwanakijiji.com


    2. #2
      Selous's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2008
      Posts : 1,258
      Rep Power : 835
      Likes Received
      84
      Likes Given
      59

      Default Re: Miaka 3 Baadaye... Asanteni!

      Ngoja tuisome kwa makini ili tujijuze

    3. #3
      The Farmer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2009
      Location : At the middle of the Farm Yard
      Posts : 1,032
      Rep Power : 739
      Likes Received
      14
      Likes Given
      6

      Default Re: Miaka 3 Baadaye... Asanteni!

      Big-up Mzee Mwanakijiji, Naomba uliza Jambo moja; hili tamasha kubwa ambalo linategemewa kufanyika mwaka huu, kwa Watanzania walioko UK na Tanzania litafanyika lini na wapi?

    4. #4
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,862
      Rep Power : 7377
      Likes Received
      6196
      Likes Given
      22551

      Default Re: Miaka 3 Baadaye... Asanteni!

      Asante MMKJJ. Nimekusoma, nimekupata, nimekuelewa na tuko nyuma yako.

      Hongera/hongereni kwa yote mnayoyafanya kwa ajili ya taifa letu, nami naungana na kauli mbiu yako na kuamini 'pamoja tutashinda'

      Nina mapendekezo yafuatayo.
      1.Ongeza nguvu ya maandishi katika magazeti zaidi ya nyumbani pia ukilenga yale magazeti yanayo matter zaidi kwa policy makers wetu.
      Hapa simanishi kubagua magazeti, bali ni ukweli uliowazi kuna magazeti mengine yana nguvu kuliko mengine. Naamini umenipata. Tayari kazi ya makala zako ni nzuri ila usiishie kwenye
      hayo tunayayaona, nenda mbali zaidi, hata ikibidi magazeti ya sebuleni, jikoni na hadi ya chumbani kwa mwenye nyumba.
      2.Kwa vile wewe tayari umebarikiwa kuuona mwanga na sasa unafanya jitihada za kuwamulikia na wengine ili hatimaye sote tuuone mwanga, nakuomba ugeuke 'ufunguo' kwa kuwafungulia milango na madirisha wale unawaona wana uwezo wa kuona mwanga/tayari wameuona mwanga ila hawajawa tayari kuwamulikia na wengine kama ufanyavyo wewe. Wakaribishe kwako by 'headhunting'. Weingine hawawezi kuja bila kukaribishwa rasmi. Yale makaribisho ya jumla ni ya wote.
      Ukishawakaribisha rasmi hilo kundi lenye mwanga, kupitia kwako, waelekeze namna ya kuandika makala na kuzituma kwaenye magazeti ya nyumbani ili nguvu ya cheche ienee kwa kasi nchi nzima.
      3.fanya utafiti wa kusambaza print out ya kijarida cha Cheche kwenye local circulation. Kw jinsi kilivyo, ni only 2 pages kwa
      Size ya Broadsheet hata ukicharge Shilingi 100 tuu italipa hivyo kijarida kitatembea nchini nzima.
      4. Yale matangazo yako ya live ocasionally, uyalink na redio za nyumbani ili ujumbe uwafikie wengi zaidi kama ulifikiria.
      5. Kwa vile pia unauwezekano wa kufanya TV program, zifanye na kuzileta zirushwe kwenye vituo vya nyumbani kucompliment
      Kule ulikodhamiria kuonyesha.
      6. Hii ni critik. Kwa hayo uliodhamiria kuyafanya mwaka huu, umejifagilia sana kwa kauli za 'haijapata kutokea', 'kwa mara ya kwanza katika historia' 'Tamasha ambalo mfano wake haujawahi kutokea' . Kwa maoni yangu, ningeshauri usiweke hivyo vibwagizo vikapelekea kujenga anticipation, bali fanya ulichodhamiria kufanya ndipo sifa zifuate kwa wengine ndio waseme 'Haijawahi kutokea!'.

      Namalizia kwa kukupongeza sana wewe na timu yako, na kuwaombea mafanikio ya dhati kwa yote mliyoyadhamiria.
      Mungu ibariki Tanzania.

      Pasco.

    5. #5
      Nyambala's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th October 2007
      Location : Tahiti
      Posts : 4,403
      Rep Power : 1522
      Likes Received
      1020
      Likes Given
      938

      Default Re: Miaka 3 Baadaye... Asanteni!

      This is great man! and you deserve wonderful congrats.......... Tuko pamoja let's do it!


      Kifikra we have achieved plenty in the last 3 yrs and hopefully in the coming three it ill be better in multiple terms.


    6. #6
      Mfumwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2008
      Posts : 1,470
      Rep Power : 845
      Likes Received
      15
      Likes Given
      1

      Default Re: Miaka 3 Baadaye... Asanteni!

      Hongera sana, kwa miaka mitatu kufanya mambo yote hayo si jambo dogo.

    7. #7
      Dotori's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2007
      Posts : 580
      Rep Power : 718
      Likes Received
      5
      Likes Given
      17

      Default Re: Miaka 3 Baadaye... Asanteni!

      Hongera kwa kazi unayofanya. Nitawasiliana nawe punde kuhusu kutoa mchango wangu.
      "I am crying for my beloved motherland, what hath happened to thee, why so much destruction and uncaring attitude?"

    8. #8
      Mpita Njia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 6,755
      Rep Power : 3270
      Likes Received
      993
      Likes Given
      787

      Default Re: Miaka 3 Baadaye... Asanteni!

      usivunjike moyo wala kukata tamaa, malipo yako yapo tu hata usipoyapata wewe mwenyewe moja kwa moja, wapo watakaonufaika na unachokfanya
      kudos
      I assume full responsibility for my actions, except the ones that are someone else's fault.

    9. #9
      bm21's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th May 2008
      Location : Britain
      Posts : 780
      Rep Power : 723
      Likes Received
      2
      Likes Given
      24

      Default Re: Miaka 3 Baadaye... Asanteni!

      Great will get back after having read it

    10. #10
      MzalendoHalisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2007
      Posts : 4,049
      Rep Power : 1422
      Likes Received
      106
      Likes Given
      208

      Default Re: Miaka 3 Baadaye... Asanteni!

      Hongera mzee Mwanakijiji ila sasa mbona una mawazo kama Mwanajiji?

      Ukulima ndo unaanza kuupa kisogo?
      Uadilifu Kiwe Kigezo Muhimu Zaidi Kuwa Kiongozi Tanzania Kwa Sasa!

    11. #11
      Shadow's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th May 2008
      Posts : 2,031
      Rep Power : 972
      Likes Received
      162
      Likes Given
      106

      Default Re: Miaka 3 Baadaye... Asanteni!

      Good Job.

    12. #12
      Dr.W.Slaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2008
      Posts : 553
      Rep Power : 714
      Likes Received
      885
      Likes Given
      35

      Default Re: Miaka 3 Baadaye... Asanteni!

      Quote By Mzee Mwanakijiji View Post


      Leo Machi 1, 2009 ni miaka mitatu tangu tuanze kuandika kama wanaharakati na kuanza matangazo yetu yenye kujenga hoja mbalimbali. Ni miaka mitatu ambayo imetimia ndani yetu moto wa mwamko mpya ukizidi kuwaka na kuchochewa kila siku kama tanuru ya kufua chuma!

      Katika kuangalia mwaka uliopita na kutazama mwaka huu mpya tumeandaa ripoti yetu hii ya shughuli zetu kama tulivyofanya mwaka jana. Kwa mara ya kwanza tumeenda mbele zaidi kwa kuweka mambo mengi wazi ambayo tunaamini kwa wale mashabiki, wanachama na wanaotuunga mkono kuweza kufahamu.

      Tunatumaini taarifa hii ni kile kidogo tunachofanya katika kuwajibika mbele zenu.

      Kwa unyenyekevu mkubwa naomba kuwasilisha.

      Hii nayo iwe ushuhuda!

      M.M. Mwanakijiji
      MMKJJ,
      Great! Keep up, mpaka kieleweke, ninahakika kitaeleweka. Thanks for the great work and contribution to this great cause.

    13. Shy is offline
      Shy
      #13
      Shy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2006
      Posts : 4,922
      Rep Power : 0
      Likes Received
      76
      Likes Given
      0

      Default Re: Miaka 3 Baadaye... Asanteni!

      dr slaa may i have ur email address

    14. #14
      Cynic's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2009
      Location : Around
      Posts : 2,172
      Rep Power : 975
      Likes Received
      318
      Likes Given
      187

      Default Re: Miaka 3 Baadaye... Asanteni!

      Brilliant MMM.
      '... Knowledge is good, but wisdom is even better ...'

    15. #15
      Neemah's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th October 2008
      Location : USA - Tz
      Posts : 72
      Rep Power : 558
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Miaka 3 Baadaye... Asanteni!

      Hivi nini kirefu cha KLHN?

    16. #16
      Nyani Ngabu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,521
      Rep Power : 0
      Likes Received
      9766
      Likes Given
      696

      Default Re: Miaka 3 Baadaye... Asanteni!

      Nadhani itakuwa haki kusema kuwa kati ya watu wengi humu tupigao soga kila siku, ni Mwanakijiji pekee anayejitahidi angalau kuyaweka maneno yake katika vitendo. Wengi wetu tukiulizwa tuonyeshe tukifanyacho Tanzania ambacho ni cha manufaa kwa jamii zaidi ya kubandika mabandiko alfu kadhaa hapa JF tutabaki kujing'atang'ata ulimi. But Mwanakijiji has something to show for it. Good job man.

      Moja ya jambo ambalo litachukua muda mimi kulisahau ni pale Mwanakijiji alipomsaidia mama mmoja hivi wa ki Zambia aliyekuwa kaolewa na Mtanzania aliyefariki huko Angola bila ndugu zake kujua Tanzania. Kama wengine, Mwanakijiji alipata habari za huyo mama kupitia mtandao, nadhani ni Tanzatl kupitia bondoradio (sina uhakika sana lakini ni moja ya hizo tovuti) and he took it up on his own and found the lady. Akamhoji na kuyarusha mahojiano kwenye redio yake. Mama wa watu alikuwa anawatafuta ndugu wa mumewe bila mafanikio lakini habari zilipomfikia Mwanakijiji wala haikuchukua muda na aliweza kuwaunganisha huyo mama wa ki Zambia na mama mzazi wa mumewe.

      That interview was touching. I could hear both the pain and relief in the lady's voice. I think Mwanakijji and the lady were strangers to each other and the kindness that he showed in helping her find her in laws was touching. It will be hard for me to forget that.

      Endelea kufanya unayofanya kwani angalau wewe unacho cha kuonyesha. Kazi nzuri.

    17. #17
      Dr.W.Slaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2008
      Posts : 553
      Rep Power : 714
      Likes Received
      885
      Likes Given
      35

    18. #18
      Dr.W.Slaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2008
      Posts : 553
      Rep Power : 714
      Likes Received
      885
      Likes Given
      35

      Default Re: Miaka 3 Baadaye... Asanteni!

      Quote By Shy View Post
      dr slaa may i have ur email address
      Shy,
      Thanks. My E mail address is wslaa(at)hotmail.com and slaa(at)chadema.net
      Last edited by PainKiller; 1st March 2009 at 21:50. Reason: @symbol taken off.you could've ignored shy, he/she knows where to find you !

    19. #19
      Balantanda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th July 2008
      Location : Kusadikika
      Posts : 9,040
      Rep Power : 7163
      Likes Received
      1765
      Likes Given
      1412

      Default Re: Miaka 3 Baadaye... Asanteni!

      Quote By Neemah View Post
      Hivi nini kirefu cha KLHN?
      Kijijini Leo Hii News
      "Tukosoane, turekebishane, tuwajibishane ndipo tusameheane" Regia Mtema.

    20. #20
      Rev. Kishoka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2006
      Location : USA
      Posts : 4,352
      Rep Power : 2562
      Likes Received
      243
      Likes Given
      185

      Default Re: Taarifa ya Mwaka:Miaka 3 Baadaye... Asanteni!

      Quote By Mzee Mwanakijiji View Post


      Leo Machi 1, 2009 ni miaka mitatu tangu tuanze kuandika kama wanaharakati na kuanza matangazo yetu yenye kujenga hoja mbalimbali. Ni miaka mitatu ambayo imetimia ndani yetu moto wa mwamko mpya ukizidi kuwaka na kuchochewa kila siku kama tanuru ya kufua chuma!

      Katika kuangalia mwaka uliopita na kutazama mwaka huu mpya tumeandaa ripoti yetu hii ya shughuli zetu kama tulivyofanya mwaka jana. Kwa mara ya kwanza tumeenda mbele zaidi kwa kuweka mambo mengi wazi ambayo tunaamini kwa wale mashabiki, wanachama na wanaotuunga mkono kuweza kufahamu.

      Tunatumaini taarifa hii ni kile kidogo tunachofanya katika kuwajibika mbele zenu.

      Kwa unyenyekevu mkubwa naomba kuwasilisha.

      Hii nayo iwe ushuhuda!

      M.M. Mwanakijiji
      Mzee Mwanakijiji,

      Laiti wote tungekuwa tuko wazi namna hii na hata kuonyesha nia, madhumuni na mpaka gharama na michango kaa ulivyoonyesha, tungefika mbali sana!
      Amani Iwe Nanyi,

      Camerlengo

      Plu Camerlenghi- Revolutionary Right Reverend Kishoka

      "Any existence deprived of freedom is a kind of death." Gen. Michel Aoun

      'Who comes to give greeting to the Inkosi-kaas? Who would taste her kiss, whereof the fruit is death? I, the Woodpecker, I, the Slaughterer, I the Swiftfooted! I, Umslopogaas!"

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Unakumbuka? - Miaka 10 Baadaye..
      By Mzee Mwanakijiji in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 25
      Last Post: 15th August 2008, 16:32
    2. Tunakumbuka - Miaka 12 Baadaye.
      By Mzee Mwanakijiji in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 13
      Last Post: 21st May 2008, 16:05
    3. Miaka miwili baadaye...
      By Mzee Mwanakijiji in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 11
      Last Post: 2nd March 2008, 14:09
    4. Miaka 45 Baadaye.. Wako wapi hawa?
      By Mzee Mwanakijiji in forum Celebrities Forum
      Replies: 34
      Last Post: 14th December 2007, 18:49
    5. KLH News -Mwaka Mmoja Baadaye!
      By Mzee Mwanakijiji in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 22
      Last Post: 4th March 2007, 23:01

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...