Wabunge wa Kigoma wana Matatizo gani?! - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Jukwaa la Siasa


Jukwaa la Siasa Tanzania & World Politics General Discussion Forum. You need to be registered in order to post your comment(s)


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 28th February 2009, 10:03 AM   #1
Wabunge wa Kigoma wana Matatizo gani?!
KGM KGM is offline 28th February 2009, 10:03 AM

Naomba nipate michango yenu wanajamii, kutokana na mimi binafsi kutowaelewa Vizuri wabunge wa KIGOMA

Sijui niseme wanauzalendo sana kwa mambo ya kitaifa au ni vipi, wanashadadia sana mambo mengine lakini MATATIZO ya wana KIGOMA hata hawayaoni.


Angalia mifano.
Mh ZIto na mawaswala ya kitaifa na sehemu nyingine kama mambo ya Downs, BUZWAGI, KIWIRA,

Mh Shelukamba yeye amejikita kwenye utetezi wa mafisadi wote mnajua.


Bwana Msambya ya yeye ni UDINI, yakija mambo ya OIC na Mahakama ya Kadhi, Bungeni panajimbika.


SASA wanajamii, mbon matatizo makubwa ya wanaKIGOMA kama Usafiri, Maji na UMEME wala hayawasumbui wako kimyaaaaaaaaaaa, nini TATIZO lao.

Hivi ndugu zangu kuna mtu asiyefahamu kuwa wana KIGOMA ndio waathirika wakubwa wa usafiri wa Reli ya KATI, mbona wabunge wetu hawakomalii issue za hawa mafisadi wa kihindi walioko pale kwelye shirika la Reli badala yake wanakomalia vitu vingine kabisa?

Hivi Mh Zito hajui kuwa kigoma wapo GIZA kila siku, mbona hilo halimsumbui badala yake anakomalia mitambo ya Downs ambayo najua kabisa haitawapatia wanakigoma umeme.Kigoma siku zote iko giza, hakuna mbunge wa kigoma anayeinua mdomo kulisema.

Wanajamii, utashangaa, pamoja na Kigoma kuwa na Ziwa, lakini mji ule hauna maji. Hilo wala halimsumbui ndugu yetu Serukamba, yeye kutwa, kuchwa michango yake ni utetezi wa mafisadi bungeni. Ataongea mpaka utamuonea huruma kwa mishipa na mate kumtoka, nini Tatizo la wabunge wetu? Au ni kwa kwa kuwa wao wenyewe hawaishi kule, au ndio kutaka sifa tu au nini.

Nisaidieni wanajamii, niko kwenye TUTA.

KGM
Senior Member
Points: 107,848, Level: 100 Points: 107,848, Level: 100 Points: 107,848, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
Join Date: Mon May 2007
Posts: 189
Thanks: 0
Thanked 8 Times in 5 Posts
Views: 2175
Reply With Quote
  #2  
Old 28th February 2009, 10:24 AM
SkillsForever SkillsForever is offline
SkillsForever has no status.
Member
Points: 71,476, Level: 100 Points: 71,476, Level: 100 Points: 71,476, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu Sep 2007
Posts: 15
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
SkillsForever will become famous soon enoughSkillsForever will become famous soon enoughSkillsForever will become famous soon enoughSkillsForever will become famous soon enoughSkillsForever will become famous soon enoughSkillsForever will become famous soon enoughSkillsForever will become famous soon enoughSkillsForever will become famous soon enough
Default Re: Wabunge wa Kiogoma wana Matatizo gani.

Wana inferiority complex so wanakomaa na issue moja ili iwatoe.wamesahau yaliyowapeleka bungeni ...
Reply With Quote
  #3  
Old 28th February 2009, 12:36 PM
NTIRU NTIRU is offline
NTIRU has no status.
Member
Points: 72,556, Level: 100 Points: 72,556, Level: 100 Points: 72,556, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu Sep 2007
Posts: 46
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
NTIRU will become famous soon enoughNTIRU will become famous soon enoughNTIRU will become famous soon enoughNTIRU will become famous soon enoughNTIRU will become famous soon enoughNTIRU will become famous soon enoughNTIRU will become famous soon enoughNTIRU will become famous soon enough
Default Re: Wabunge wa Kigoma wana Matatizo gani.

Tatizo lao, ndugu KGM, ni kwamba Wabunge wa Kigoma hawana ushirikiano katika masuala yanayohusu maendeleo ya kwao Kigoma. Kama ulivyosema Serukamba ni mtetezi mkuu wa Mafisadi na alishiriki kwa nguvu zote kumsimamisha Zito bungeni wakati ule wa suala la Buzwagi. Ndugu yetu Msambya ni mwanasiasa aliyefilisika kimawazo na ndiyo maana uwakilishi wake ni wa udini utadhani wana-Kigoma walimtuma Bungeni kushughulika na maswala ya dini. Katika hali kama hiyo si rahisi Wabunge kama hao kusaidia kuleta maendeleo katika majimbo yao. Zito ni mtetezi wa Watanzania wote kwani ni yeye pamoja na baadhi ya Wabunge kama Dr. Slaa, Mwakyembe, Anna Kilango, n.k. walioibua maovu ya Richmond (Rich-Monduli), EPA, n.k. ambayo madhara yake ni kwa Tanzania yote hata Kigoma. Mimi nafikiri wa kuulizwa zaidi ni akina Serukamba na Msambya kama wananchi wa Kigoma waliwatuma kwenda Bungeni kutetea mafisadi na udini badala ya matatizo sugu ya Kigoma kama usafiri, umeme, maji, n.k. Ushauri wangu kwa wana-Kigoma, hakikisheni Serukamba na Msambya hawarudi Bungeni.
Reply With Quote
  #4  
Old 28th February 2009, 05:00 PM
Lunyungu Lunyungu is offline
Lunyungu Kisu Kikali Mno
JF Senior Expert Member
Points: 1,694,113, Level: 100 Points: 1,694,113, Level: 100 Points: 1,694,113, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Dec 2006
Location: Malampaka
Posts: 4,704
Thanks: 1
Thanked 204 Times in 111 Posts
Rep Power: 33
Lunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enough
Default Re: Wabunge wa Kigoma wana Matatizo gani.

Kigoma ilaumuni CCM na si zaidi ya hapo mmejitakia mashida haya wenyewe .Zitto anasimamia Taifa angalau na wengine je ?
Reply With Quote
  #5  
Old 28th February 2009, 05:08 PM
KGM KGM is offline
KGM has no status.
Senior Member
Points: 107,848, Level: 100 Points: 107,848, Level: 100 Points: 107,848, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Mon May 2007
Posts: 189
Thanks: 0
Thanked 8 Times in 5 Posts
Rep Power: 23
KGM will become famous soon enoughKGM will become famous soon enoughKGM will become famous soon enoughKGM will become famous soon enoughKGM will become famous soon enoughKGM will become famous soon enoughKGM will become famous soon enoughKGM will become famous soon enough
Default Re: Wabunge wa Kigoma wana Matatizo gani.

Quote:
View Post
Tatizo lao, ndugu KGM, ni kwamba Wabunge wa Kigoma hawana ushirikiano katika masuala yanayohusu maendeleo ya kwao Kigoma. Kama ulivyosema Serukamba ni mtetezi mkuu wa Mafisadi na alishiriki kwa nguvu zote kumsimamisha Zito bungeni wakati ule wa suala la Buzwagi. Ndugu yetu Msambya ni mwanasiasa aliyefilisika kimawazo na ndiyo maana uwakilishi wake ni wa udini utadhani wana-Kigoma walimtuma Bungeni kushughulika na maswala ya dini. Katika hali kama hiyo si rahisi Wabunge kama hao kusaidia kuleta maendeleo katika majimbo yao. Zito ni mtetezi wa Watanzania wote kwani ni yeye pamoja na baadhi ya Wabunge kama Dr. Slaa, Mwakyembe, Anna Kilango, n.k. walioibua maovu ya Richmond (Rich-Monduli), EPA, n.k. ambayo madhara yake ni kwa Tanzania yote hata Kigoma. Mimi nafikiri wa kuulizwa zaidi ni akina Serukamba na Msambya kama wananchi wa Kigoma waliwatuma kwenda Bungeni kutetea mafisadi na udini badala ya matatizo sugu ya Kigoma kama usafiri, umeme, maji, n.k. Ushauri wangu kwa wana-Kigoma, hakikisheni Serukamba na Msambya hawarudi Bungeni.
Nakubaliana na wewe kidogo ZITO afadhari kwa mambo ya Kitaifa. Ni hata Zito ndugu yangu wapiga kura wake amewasahau kabisa. Hivi unajua wapiga kura wake wamelipwa hela kiduchu sana tena bila hata uthamini kufanyika kupisha ujenzi wa barabara kwenda manyovu.


Sijamsikia hata akinyenyua mdomo wake mh ZITO. Hajui kama sisi ndio tumempeleka bungeni. watu wameitwa tu kuchukua cheque benk hawajui hata zina shilingi, mh Zito kimya kabisa na niwapiga kura wake kabisaaa.


LAKINI MAMBO MENGINE ANAONGEA MNO TENA KWA POINT KABISA.
HEBU ANGALIA SWALA LA DOWNS, ANASEMA NCHI ITAKUWA GIZANI, HIVI SISI KIGOMA TUNA UMEME? HALIONI HILO, HILO SIYO GIZA?.

HAYA NDIO MATATIZO YA KUCHAGUA WENYEJI WA DSM, ANGEKUWA HAPA KIGOMA GIZA TOTORO TUNALO KILA SIKU HAPA.

LENGO SI KUMCHAFUA LAKINI KUNA HAJA YA KUTUTETEA NA SISI WAPIGA KULA WAKE

HIVI KWA JINSI ZITO ALIVYO MSEMAJI MZURI ANASHINDWA HATA KULISEMEA KWA NGUVU SWALA LA USAFIRI WA RELI KWELI?

USAFIRI KIGOMA UKIENDA DIRISHANI HUPATI TIKETI. KILA SIKU WANAKWAMBIA ZIMEISHA ILI WAZIRUSHE. DAR-KIGOMA DARAJA LA TATU BILA LAKI MOJA HUPATI. HIZO ZOTE NI KERO KWA WANAKIGOMA WANAHANGAIKA KWELI. SASA TUNAHITAJI WATU WATUSEMEE NA WAYAKEMEE HAYA. LABDA KWA KUWA WAKO JIJINI DAR BASI NDIO HIVYO TENA KIMYA TU.

Last edited by KGM; 28th February 2009 at 05:18 PM..
Reply With Quote
  #6  
Old 28th February 2009, 05:17 PM
IsayaMwita IsayaMwita is offline
IsayaMwita mkulima
JF Senior Expert Member
Points: 134,007, Level: 100 Points: 134,007, Level: 100 Points: 134,007, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Sun Mar 2008
Posts: 621
Thanks: 4
Thanked 10 Times in 5 Posts
Rep Power: 24
IsayaMwita will become famous soon enoughIsayaMwita will become famous soon enoughIsayaMwita will become famous soon enoughIsayaMwita will become famous soon enoughIsayaMwita will become famous soon enoughIsayaMwita will become famous soon enoughIsayaMwita will become famous soon enoughIsayaMwita will become famous soon enough
Default Re: Wabunge wa Kigoma wana Matatizo gani.

Quote:
View Post
Naomba nipate michango yenu wanajamii, kutokana na mimi binafsi kutowaelewa Vizuri wabunge wa KIGOMA

Sijui niseme wanauzalendo sana kwa mambo ya kitaifa au ni vipi, wanashadadia sana mambo mengine lakini MATATIZO ya wana KIGOMA hata hawayaoni.


Angalia mifano.
Mh ZIto na mawaswala ya kitaifa na sehemu nyingine kama mambo ya Downs, BUZWAGI, KIWIRA,

Mh Shelukamba yeye amejikita kwenye utetezi wa mafisadi wote mnajua.


Bwana Msambya ya yeye ni UDINI, yakija mambo ya OIC na Mahakama ya Kadhi, Bungeni panajimbika.


SASA wanajamii, mbon matatizo makubwa ya wanaKIGOMA kama Usafiri, Maji na UMEME wala hayawasumbui wako kimyaaaaaaaaaaa, nini TATIZO lao.

Hivi ndugu zangu kuna mtu asiyefahamu kuwa wana KIGOMA ndio waathirika wakubwa wa usafiri wa Reli ya KATI, mbona wabunge wetu hawakomalii issue za hawa mafisadi wa kihindi walioko pale kwelye shirika la Reli badala yake wanakomalia vitu vingine kabisa?

Hivi Mh Zito hajui kuwa kigoma wapo GIZA kila siku, mbona hilo halimsumbui badala yake anakomalia mitambo ya Downs ambayo najua kabisa haitawapatia wanakigoma umeme.Kigoma siku zote iko giza, hakuna mbunge wa kigoma anayeinua mdomo kulisema.

Wanajamii, utashangaa, pamoja na Kigoma kuwa na Ziwa, lakini mji ule hauna maji. Hilo wala halimsumbui ndugu yetu Serukamba, yeye kutwa, kuchwa michango yake ni utetezi wa mafisadi bungeni. Ataongea mpaka utamuonea huruma kwa mishipa na mate kumtoka, nini Tatizo la wabunge wetu? Au ni kwa kwa kuwa wao wenyewe hawaishi kule, au ndio kutaka sifa tu au nini.

Nisaidieni wanajamii, niko kwenye TUTA.
KGM;

Sitasahau, ilikuwa ni mwaka 2005, hapo nilipopata fursa kufika kigoma, hakika nilibaki nimeduaa kama Tahira, nilimuuliza mwenyeji wangu tumefika? akanijibu tumefika, hakika tukashukatoka ndani ya lile gari Moshi na kuelekea Mjini, nikawa najiuliza mjini ndiyo wapi?

Hakika siku ya kwanza ikapita ya pili ikapita hata nisijui ni wapi panaitwa mjini Kigoma, niliendelea kutazama vile vilima vilivyozunguka pale station, nikaendelea kusawili yale mazingira hali nzuri inayofaa kilimo, cha kushangaza watu wote wanacheza Bao na kahawa nyingi sana.............!!!,

KGM; nataka nikueleze haya, ninyi ni wengi wa maneno na hamfanyi kazi, Tazama kama umefika pale kwenu mjini hakuna jengo jipya hata moja, majengo unayaona pale Kilimahewa na kule Jeshini, unajua kwa nini ?

KGM; wabunge wenu wameshawasoma kuwa kutwa nzima nyie mnang'ang'ania habari za dini sasa ni kwanini msitetewe kwenye maswala ya dini tu?

KGM; mshukuru Mola hata kwa kumpata huyu Kijana mbunge (zito) nadhani baada ya kutetea Taifa zima sasa ataelekeza nguvu zake hapo kigoma , naomba usitie shaka siku si nyingi neema itafunguka.
Reply With Quote
  #7  
Old 28th February 2009, 05:24 PM
Bulesi Bulesi is online now
Bulesi not satisfied until justice is done
JF Premium Member
Points: 109,782, Level: 100 Points: 109,782, Level: 100 Points: 109,782, Level: 100
Activity: 26% Activity: 26% Activity: 26%
 
Join Date: Wed May 2008
Posts: 1,379
Thanks: 119
Thanked 272 Times in 180 Posts
Rep Power: 24
Bulesi will become famous soon enoughBulesi will become famous soon enoughBulesi will become famous soon enoughBulesi will become famous soon enoughBulesi will become famous soon enoughBulesi will become famous soon enoughBulesi will become famous soon enoughBulesi will become famous soon enough
Default Re: Wabunge wa Kigoma wana Matatizo gani.

Nadhani si sahihi kuwajumuisha wabunge wa Mkoa wa Kigoma katika kundi moja kimtazamo kwani huwezi kumfananisha Zitto na Serukamba na hata Kaborou kabla yake, that will be criminal. Zitto anaangalia matatizo ya kimaendeleo kitaifa wakati Serukamba na hata Kaborou kabla yake ni wabunge wa maslahi yao binafsi na ndio maana Serukamba yuko mstari wa mbele kuwatetea mafisadi bungeni kwani huko ndiko anakopata mshiko wake na ndio maana siku Lowassa alipolazimishwa kuachia ngazi juu ya kashfa ya Richmond inasemekana Serukamba alibubujikwa na machozi kwa kuondokewa na mfadhili mkuu!! Kaborou yeye aliwaambia CCM bei yake, wakamnunua na wakamhonga ubunge wa Afrika Mashariki ndio ikawa mwisho wake na watu wa Kigoma!! WanaKigoma Mtakuwa mnajidhalilisha sana tena sana kama mtamrudisha Serukamba bungeni 2010, mnao watu waadilifu wengi watakaoweza kuwarepersent effectively wakujaza nafasi hiyo .
Reply With Quote
  #8  
Old 28th February 2009, 05:24 PM
KGM KGM is offline
KGM has no status.
Senior Member
Points: 107,848, Level: 100 Points: 107,848, Level: 100 Points: 107,848, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Mon May 2007
Posts: 189
Thanks: 0
Thanked 8 Times in 5 Posts
Rep Power: 23
KGM will become famous soon enoughKGM will become famous soon enoughKGM will become famous soon enoughKGM will become famous soon enoughKGM will become famous soon enoughKGM will become famous soon enoughKGM will become famous soon enoughKGM will become famous soon enough
Default Re: Wabunge wa Kigoma wana Matatizo gani.

Quote:
View Post
kgm;

sitasahau, ilikuwa ni mwaka 2005, hapo nilipopata fursa kufika kigoma, hakika nilibaki nimeduaa kama tahira, nilimuuliza mwenyeji wangu tumefika? Akanijibu tumefika, hakika tukashukatoka ndani ya lile gari moshi na kuelekea mjini, nikawa najiuliza mjini ndiyo wapi?

Hakika siku ya kwanza ikapita ya pili ikapita hata nisijui ni wapi panaitwa mjini kigoma, niliendelea kutazama vile vilima vilivyozunguka pale station, nikaendelea kusawili yale mazingira hali nzuri inayofaa kilimo, cha kushangaza watu wote wanacheza bao na kahawa nyingi sana.............!!!,

kgm; nataka nikueleze haya, ninyi ni wengi wa maneno na hamfanyi kazi, tazama kama umefika pale kwenu mjini hakuna jengo jipya hata moja, majengo unayaona pale kilimahewa na kule jeshini, unajua kwa nini ?


Kgm; wabunge wenu wameshawasoma kuwa kutwa nzima nyie mnang'ang'ania habari za dini sasa ni kwanini msitetewe kwenye maswala ya dini tu?

Kgm; mshukuru mola hata kwa kumpata huyu kijana mbunge (zito) nadhani baada ya kutetea taifa zima sasa ataelekeza nguvu zake hapo kigoma , naomba usitie shaka siku si nyingi neema itafunguka.

wacheza bao ni waswahili wa pale ujiji, wengine tunachapa kazi mtindo mmoja ndugu yangu.

Lakini ki ukweli kabisa anyoyatetea zito si mabaya lakini anatakiwa awatetee na waliompeleka pale bungeni.
Reply With Quote
  #9  
Old 28th February 2009, 05:34 PM
IsayaMwita IsayaMwita is offline
IsayaMwita mkulima
JF Senior Expert Member
Points: 134,007, Level: 100 Points: 134,007, Level: 100 Points: 134,007, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Sun Mar 2008
Posts: 621
Thanks: 4
Thanked 10 Times in 5 Posts
Rep Power: 24
IsayaMwita will become famous soon enoughIsayaMwita will become famous soon enoughIsayaMwita will become famous soon enoughIsayaMwita will become famous soon enoughIsayaMwita will become famous soon enoughIsayaMwita will become famous soon enoughIsayaMwita will become famous soon enoughIsayaMwita will become famous soon enough
Default Re: Wabunge wa Kigoma wana Matatizo gani.

Quote:
View Post
wacheza bao ni waswahili wa pale ujiji, wengine tunachapa kazi mtindo mmoja ndugu yangu.

Lakini ki ukweli kabisa anyoyatetea zito si mabaya lakini anatakiwa awatetee na waliompeleka pale bungeni.
KGM;

Mara ya mwisho kuwa pale kigoma ni lini wewe KGM;? maana nafikiria hata sipati jibu, uliondoka lini kule KG? NAJUA UKO TOWN MKUU..
Reply With Quote
  #10  
Old 28th February 2009, 05:46 PM
KGM KGM is offline
KGM has no status.
Senior Member
Points: 107,848, Level: 100 Points: 107,848, Level: 100 Points: 107,848, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Mon May 2007
Posts: 189
Thanks: 0
Thanked 8 Times in 5 Posts
Rep Power: 23
KGM will become famous soon enoughKGM will become famous soon enoughKGM will become famous soon enoughKGM will become famous soon enoughKGM will become famous soon enoughKGM will become famous soon enoughKGM will become famous soon enoughKGM will become famous soon enough
Default Re: Wabunge wa Kigoma wana Matatizo gani.

Quote:
View Post
kgm;

mara ya mwisho kuwa pale kigoma ni lini wewe kgm;? Maana nafikiria hata sipati jibu, uliondoka lini kule kg? Najua uko town mkuu..
mimi kila mwaka natia mguu pale, nimetoka huko juzi tu na kilio cha mapunjo ya fidia kupisha ujenzi wa barabara nimekishudia mwenyewe.

Hakuna nyumba hata moja iliyofanyiwa uthamini, wameitwa dirishani tu. Sasa wewe kama mbunge utakaa kimya kweli, na kijijini kwake mhe zito (mwandiga) kiganza----. Kwa kifupi ni jimboni kwake kabisa.
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
gani, kigoma, matatizo, wabunge, wana


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Wabunge wajiandaa kumkimbia Kikwete Mag3 Habari na Hoja mchanganyiko 13 11th July 2008 12:25 AM
Anna Abdallah naye ni fisadi? Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Siasa 37 24th June 2008 08:42 AM
Wabunge: Fedha za EPA ziende TANESCO Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Siasa 1 21st March 2008 08:01 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 06:36 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com