Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hii ndiyo hali ya mfumo wa afya Tanzania - Jionee tulivyo katika hali ngumu

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 65
    1. #1
      mawazo mbishi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 16
      Rep Power : 363
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Hii ndiyo hali ya mfumo wa afya Tanzania - Jionee tulivyo katika hali ngumu

      Tz ina Madaktari wa upasuaji wa mfumo wa fahamu (neuro surgeons)-3
      Madaktari wa moyo ( cardiologists)-5
      Madaktari wa figo (nephrologists)-3
      Madaktari wa mfumo wa fahamu (neurologists)-2


      Nchi nzima ina machine 7 za Hemodialysis za kusafisha figo kwa watu wenye renal failure, na zinazofanya kazi ni 4 na hizo nne zinatumiwa na watu watatu au wanne tu. Nchi yetu inakadiriwa kuwa na wagonjwa zaidi ya laki moja wanaohitaji dialysis...maana yake ukipata tu renal failure maana yake we umeshakufa...

      leo hii ukipata renal failure, ambayo wengi wanapata kuafanyiwa dialysis mara moja tu ni sh 200,000 na unahitaji kufanyiwa mara tatu kwa wiki...!!!!

      Hospitali zote za mikoa hazina madaktari bingwa na zile ambazo wapo ni mmoja mmoja, nao ni viongozi hawatibu watu.

      Hebu niambieni hawa watanzania milioni 40 wanapata wapi hizi huduma, hivi tuna justification viongozi wetu kutembea na VX..!!!!!

      Inasikitisha kuona bado tuna mazingira kama haya, na tunatumia mamilioni ya pesa kuwapeleka vigogo wetu wakatibiwe nje ya nchi kwa hela zetu za kodi. Nadhani madaktari waliposema pamoja na mabo mengine wanapinga wagonjwa kupelekwa nje ya nchi walikuwa sahihi hasa ukizingatia wanaopata nafasi kwa kipaumbele ni viongozi wakifuatiwa na ndugu na jamaa zao, na wale wanaoweza kuilainisha machine nadhani hapa naeleweka, ila wewe mlalahoi ukiugua basi ndugu zako waanze tu taraibu za kukuaga....!!!

      Naona aibu kwamba tuna miaka 50 tangu uhuru..na tuna rasilimali nyingi kama Taifa...!!!!nimetafakari kwa kina taarifa hizi na nikaona wataalamu wetu walikuwa na hoja ya msingi walipoamua kuingia katika mgomo

    2. Miaka 50

    3. #2
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,495
      Rep Power : 46709
      Likes Received
      16329
      Likes Given
      8399

      Default Re: HII NDIYO HALI YA MFUMO WA AFYA TZ-jionee waTz walivyo katika hali ngumu

      Asante kwa taarifa hii. Lakini serikali imechaguluwa na wananchi hawa

    4. #3
      NgumiJiwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th March 2011
      Posts : 732
      Rep Power : 613
      Likes Received
      195
      Likes Given
      52

      Default Re: HII NDIYO HALI YA MFUMO WA AFYA TZ-jionee waTz walivyo katika hali ngumu

      Nawafahamu baadhi ya madaktari wa moyo na madaktari wengine wa kitanzania wanaofanyia nje ambao wangekuwa msaada mkubwa sana kama wangeamua kurudi nyumbani.
      Lakini mkuu hizo data zako za madaktari specialists nadhani ni wale walioajiriwa serikalini tu,hukujumlisha na wale wa private,au?all in all hali ni mbaya na inasikitisha sana.Tatizo ni ubinafsi na kutojua vipaumbele vyetu kama nchi

    5. #4
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,172
      Rep Power : 31374
      Likes Received
      9577
      Likes Given
      683

      Default Re: HII NDIYO HALI YA MFUMO WA AFYA TZ-jionee waTz walivyo katika hali ngumu

      That is frightening!
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    6. #5
      JOYCE PAUL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2010
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 970
      Rep Power : 674
      Likes Received
      65
      Likes Given
      18

      Default Re: HII NDIYO HALI YA MFUMO WA AFYA TZ-jionee waTz walivyo katika hali ngumu

      Safi serikali yetu haina wagonjwa ndio maana jaman madaktari hawana umuhimu

    7. Study Abroad

    8. #6
      mubi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd February 2010
      Posts : 209
      Rep Power : 513
      Likes Received
      30
      Likes Given
      19

      Default Re: HII NDIYO HALI YA MFUMO WA AFYA TZ-jionee waTz walivyo katika hali ngumu

      Quote By mawazo mbishi
      Tz ina Madaktari wa upasuaji wa mfumo wa fahamu (neuro surgeons)-3
      Madaktari wa moyo ( cardiologists)-5
      Madaktari wa figo (nephrologists)-3
      Madaktari wa mfumo wa fahamu (neurologists)-2
      Nchi nzima ina machine 7 za Hemodialysis za kusafisha figo kwa watu wenye renal failure, na zinazofanya kazi ni 4 na hizo nne zinatumiwa na watu watatu au wanne tu. Nchi yetu inakadiriwa kuwa na wagonjwa zaidi ya laki moja wanaohitaji dialysis...maana yake ukipata tu renal failure maana yake we umeshakufa...

      leo hii ukipata renal failure, ambayo wengi wanapata kuafanyiwa dialysis mara moja tu ni sh 200,000 na unahitaji kufanyiwa mara tatu kwa wiki...!!!!

      Hospitali zote za mikoa hazina madaktari bingwa na zile ambazo wapo ni mmoja mmoja, nao ni viongozi hawatibu watu.

      Hebu niambieni hawa watanzania milioni 40 wanapata wapi hizi huduma, hivi tuna justification viongozi wetu kutembea na VX..!!!!!

      Inasikitisha kuona bado tuna mazingira kama haya, na tunatumia mamilioni ya pesa kuwapeleka vigogo wetu wakatibiwe nje ya nchi kwa hela zetu za kodi. Nadhani madaktari waliposema pamoja na mabo mengine wanapinga wagonjwa kupelekwa nje ya nchi walikuwa sahihi hasa ukizingatia wanaopata nafasi kwa kipaumbele ni viongozi wakifuatiwa na ndugu na jamaa zao, na wale wanaoweza kuilainisha machine nadhani hapa naeleweka, ila wewe mlalahoi ukiugua basi ndugu zako waanze tu taraibu za kukuaga....!!!

      Naona aibu kwamba tuna miaka 50 tangu uhuru..na tuna rasilimali nyingi kama Taifa...!!!!nimetafakari kwa kina taarifa hizi na nikaona wataalamu wetu walikuwa na hoja ya msingi walipoamua kuingia katika mgomo
      Iam going to work on this though Iam not a politician. Not only this even O and gyenacology in villages. Nitakuja na mifano halisi inayoonekana.

    9. #7
      collezione's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd October 2010
      Posts : 347
      Rep Power : 504
      Likes Received
      132
      Likes Given
      3

      Default Re: HII NDIYO HALI YA MFUMO WA AFYA TZ-jionee waTz walivyo katika hali ngumu

      Madaktari walivyogoma. Si mliona vichekesho. Ngoja sasa muone mambo ya CCM.
      Shine likes this.

    10. #8
      MD25's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2012
      Location : Mugumu, Serengeti
      Posts : 1,890
      Rep Power : 895
      Likes Received
      534
      Likes Given
      64

      Default Re: HII NDIYO HALI YA MFUMO WA AFYA TZ-jionee waTz walivyo katika hali ngumu

      Mkuu, ambao wanapaswa kulaumiwa ni sisi wananchi kwa kuendelea kukubali kutawaliwa na awa majambazi.
      Jana nilishangaa sana ni kwa nini ccm walipata kura 26,000 hapa ndo utapiwa ujuwa wa wananchi...
      Shine likes this.

    11. #9
      mawazo mbishi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 16
      Rep Power : 363
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: HII NDIYO HALI YA MFUMO WA AFYA TZ-jionee waTz walivyo katika hali ngumu

      Hao ndiyo madaktari walioko TZ, hospitali binafsi zinaendeshwa na hawa hawa mkuu, leo nenda Ahga kaulize kama Neuro Surgeon pale kama hawajakuambia watamuita kutoka MOI.

      Tena ili kukuonyesha hiyo hali ilivyo zaidi hao wa moyo na figo wote wako Muhimbili, wa upasuaji wa mfumo wa fahamu wote wako MOI. kwa hiyo hata ukienda pale hospitali ya rufaa Mbeya hawapo.

      Wagonjwa wenye matatizo ya figo wanapata huduma ya dialysis Regency lakini hakuna daktari bingwa wa figo hapo, kwa hiyo wanakwenda kliniki muhimbili na kufanya dialysis regency, ukiwa na tatizo la figo Bugando hautapata msaada wowote kwa kuwa hakuna wataalamu wala machine za kukusaidia.

      That's how pathetic it is, nami nilikuwa nadahni hospitali za binafsi zina wataalamu, baadaye nikagundua hawapo kote huko.......!!!!
      kaburungu likes this.

    12. #10
      Mwazange's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2007
      Location : Nyanda za Juu Kusini
      Posts : 1,038
      Rep Power : 795
      Likes Received
      58
      Likes Given
      4

      Default Re: HII NDIYO HALI YA MFUMO WA AFYA TZ-jionee waTz walivyo katika hali ngumu

      Mie naona mganga aliyeturoga kafa....Otherwise ingebidi tu turudi tukampigie magoti. Maana unashindwa kuelewa kama tunatumia hata chembe moja ya ubongo wetu.
      Shine likes this.
      A positive attitude may not solve all your problems,but it will annoy enough people to make it worthwhile......

    13. #11
      Topical's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2010
      Posts : 5,050
      Rep Power : 1231
      Likes Received
      853
      Likes Given
      707

      Default Re: Hii ndiyo hali ya mfumo wa afya Tanzania - Jionee tulivyo katika hali ngumu

      Quote By mawazo mbishi
      Tz ina Madaktari wa upasuaji wa mfumo wa fahamu (neuro surgeons)-3
      Madaktari wa moyo ( cardiologists)-5
      Madaktari wa figo (nephrologists)-3
      Madaktari wa mfumo wa fahamu (neurologists)-2


      Nchi nzima ina machine 7 za Hemodialysis za kusafisha figo kwa watu wenye renal failure, na zinazofanya kazi ni 4 na hizo nne zinatumiwa na watu watatu au wanne tu. Nchi yetu inakadiriwa kuwa na wagonjwa zaidi ya laki moja wanaohitaji dialysis...maana yake ukipata tu renal failure maana yake we umeshakufa...

      leo hii ukipata renal failure, ambayo wengi wanapata kuafanyiwa dialysis mara moja tu ni sh 200,000 na unahitaji kufanyiwa mara tatu kwa wiki...!!!!

      Hospitali zote za mikoa hazina madaktari bingwa na zile ambazo wapo ni mmoja mmoja, nao ni viongozi hawatibu watu.

      Hebu niambieni hawa watanzania milioni 40 wanapata wapi hizi huduma, hivi tuna justification viongozi wetu kutembea na VX..!!!!!

      Inasikitisha kuona bado tuna mazingira kama haya, na tunatumia mamilioni ya pesa kuwapeleka vigogo wetu wakatibiwe nje ya nchi kwa hela zetu za kodi. Nadhani madaktari waliposema pamoja na mabo mengine wanapinga wagonjwa kupelekwa nje ya nchi walikuwa sahihi hasa ukizingatia wanaopata nafasi kwa kipaumbele ni viongozi wakifuatiwa na ndugu na jamaa zao, na wale wanaoweza kuilainisha machine nadhani hapa naeleweka, ila wewe mlalahoi ukiugua basi ndugu zako waanze tu taraibu za kukuaga....!!!

      Naona aibu kwamba tuna miaka 50 tangu uhuru..na tuna rasilimali nyingi kama Taifa...!!!!nimetafakari kwa kina taarifa hizi na nikaona wataalamu wetu walikuwa na hoja ya msingi walipoamua kuingia katika mgomo
      Source? usije furaha baraza kwa mambo sensitive kumbe unafanya siasa za majitaka
      mkomatembo likes this.
      "Mbowe for Presidency 2015""

    14. #12
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,131
      Rep Power : 2418
      Likes Received
      936
      Likes Given
      377

      Default Re: HII NDIYO HALI YA MFUMO WA AFYA TZ-jionee waTz walivyo katika hali ngumu

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Asante kwa taarifa hii. Lakini serikali imechaguluwa na wananchi hawa
      Imechaguliwa na wachache pia na kujilazimishia kuingia madarakani mfani hai ni uchaguzi wa mwaka 1995

    15. #13
      Ziltan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2011
      Posts : 727
      Rep Power : 537
      Likes Received
      120
      Likes Given
      0

      Default Re: Hii ndiyo hali ya mfumo wa afya Tanzania - Jionee tulivyo katika hali ngumu

      Safi sana ccm buruza hao vilaza wanaokuweka madarakani,
      wanaoichagua ccm wanasumbuliwa na ubinafsi tu
      Shine likes this.

    16. JS
      #14
      JS's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2009
      Posts : 2,047
      Rep Power : 3365
      Likes Received
      449
      Likes Given
      310

      Default Re: Hii ndiyo hali ya mfumo wa afya Tanzania - Jionee tulivyo katika hali ngumu

      Hii ni hatari....a lot needs to be done kwenye health sector yetu...a lot
      JF Rocks!!!!!!!!!!!!

    17. #15
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,131
      Rep Power : 2418
      Likes Received
      936
      Likes Given
      377

      Default Re: HII NDIYO HALI YA MFUMO WA AFYA TZ-jionee waTz walivyo katika hali ngumu

      Quote By NgumiJiwe
      Nawafahamu baadhi ya madaktari wa moyo na madaktari wengine wa kitanzania wanaofanyia nje ambao wangekuwa msaada mkubwa sana kama wangeamua kurudi nyumbani.
      Lakini mkuu hizo data zako za madaktari specialists nadhani ni wale walioajiriwa serikalini tu,hukujumlisha na wale wa private,au?all in all hali ni mbaya na inasikitisha sana.Tatizo ni ubinafsi na kutojua vipaumbele vyetu kama nchi

      Hata kama hajawajumuisha mkuu jiulize ni waTZ wangapi wanaweza kwenda kutibiwa hospital za private?
      ukichunguza sana utakuta wanawatibu hao hao viongozi wa serikali wenye uwezo na sio mtanzania wa kawaida

    18. #16
      Mnyamahodzo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd May 2008
      Posts : 1,400
      Rep Power : 963
      Likes Received
      305
      Likes Given
      216

      Default Re: Hii ndiyo hali ya mfumo wa afya Tanzania - Jionee tulivyo katika hali ngumu

      Mpaka tumefika hapa, je kuna mtu anaweza kukumbuka mwaka gani tulipofanya makosa hadi leo kufikia kuyapata matokeo haya? Naogopa janga litakalo kuja kuifika Tanzania kama hatua za haraka hazitachukuliwa.

    19. #17
      collezione's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd October 2010
      Posts : 347
      Rep Power : 504
      Likes Received
      132
      Likes Given
      3

      Default Re: Hii ndiyo hali ya mfumo wa afya Tanzania - Jionee tulivyo katika hali ngumu

      Tatizo Tanzania tunaweka siasa hata kwenye mambo ya msingi.

      Tutapata wapi wataalamu, wakati kila siku muhimbili wanafunzi wanapigwa mabomu. Wanafunzi wetu kila siku wanagombana na serikali kutimiziwa mahitaji yao.

      Na badala ya serikali kutimizia watoto mahitaji, wameshafanya siasa...

      Wanafunzi waTanzania wanapoteza mda mwingi kulilia mahitaji yao. Kuliko ku_concentate kwenye masomo. Sasa katika hali kama hiyo unadhani tutapata wataalamu???

      Any way tunaweza piga kelele sana hapa. Wakati mkulu ameshasema yeye yuko na kilimo kwanza,. Mambo mengine yote upuuzu kwake. Ni bora ajisafirie akale upepo wa mbefele...haha

    20. #18
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,131
      Rep Power : 2418
      Likes Received
      936
      Likes Given
      377

      Default Re: Hii ndiyo hali ya mfumo wa afya Tanzania - Jionee tulivyo katika hali ngumu

      Quote By Ziltan
      Safi sana ccm buruza hao vilaza wanaokuweka madarakani,
      wanaoichagua ccm wanasumbuliwa na ubinafsi tu
      Wana kila wajibu wa kutufanya hivyo kwani wametunyanyasa live na bado tunakuwa hatujui kuwakataa wanapokuja kutuomba kura

    21. #19
      mawazo mbishi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 16
      Rep Power : 363
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: Hii ndiyo hali ya mfumo wa afya Tanzania - Jionee tulivyo katika hali ngumu

      OOhh, unauliza chanzo......hiyo rahisi tu hauhitaji hizo takwimu, we mwambie rafiki yako yoyote aliyeko Mwanza au Mbeya aende kwenye hizo hospitali za rufaa aseme ana tatizo la figo na anahitaji huduma ya dialysis, you will get your evidence....!!!

      We jua tu siku ikitokea umeugua ghafla ukiwa nje ya Dar, basi hali yako itakuwa ngumu iwapo utahitaji hizi huduma, nadhani huko ni mbali hata ukiwa hapa Dar bado itakuwa ngumu.

      Huduma ya dialysis gharama yake ni zaidi ya Sh laki mbili ni inapatikana hospitali binafsi, Muhimbili kuna watu wanne tu, ndiyo wanapata hii huduma, sasa kama una nafasi fuatilia ujue ni kina nai hao wanaopata hiyo huduma...!!!wengine wote wanapanga foleni Regency au Agha Khan. Uikwa na bahati ukawa mwanachama wa mfuko wa bima ya afya basi mfuko utalipia hayo matibabu, ila wale wasio wanachama wanalipa kutoka mfukoni, na hiyo huduma inahitajika mapaka utakapowekewa figo nyingine. kwa hiyo unahitaji laki 2 mara tatu kwa wiki mpaka utakafanyiwa upasuaji wa kuwekewa figo nyingine, na hiyo huduma ya kufanyiwa upasuaji wa kuwekewa figo nyingine haipatikani Tz........!!!

      Na hali ni hivyo kwa wenye matatizo mengine mengi.....!!!!
      HYGEIA likes this.

    22. #20
      STK ONE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2011
      Location : Mpanda, Katavi Region
      Posts : 628
      Rep Power : 498
      Likes Received
      176
      Likes Given
      44

      Default Re: Hii ndiyo hali ya mfumo wa afya Tanzania - Jionee tulivyo katika hali ngumu

      Aibu kwetu tunaoendelea kuichagua CCM. Hata kwa sisi tusioichagua, tunawajibu wa kujitolea kuwaelimisha wananchi ili wasiichague tena sisiemu.

    23. FemaTV & Radio
    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...