Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Zitto: Sitagombea uongozi CHADEMA

    Report Post
    Page 5 of 13 FirstFirst ... 34567 ... LastLast
    Results 81 to 100 of 243
    1. #1
      EasyFit's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Posts : 832
      Rep Power : 565
      Likes Received
      572
      Likes Given
      196

      Default Zitto: Sitagombea uongozi CHADEMA

      Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Zitto Zuberi Kabwe, amesema kuwa hana nia ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chama chake katika Uchaguzi wa ndani wa chama hicho unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu.

      Zitto aliyasema hayo juzi wakati akizungumza na NIPASHE jijini Mbeya, alikokuwa amekwenda kuongeza nguvu katika kampeni za uchaguzi wa udiwani katika kata ya Kiwira wilayani Rungwe.

      Alisema kuwa hana nia ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chama hicho kwa sababu anaona timu ya sasa ya uongozi wa chama hicho inatosha na inafaa kuendelea kukiongoza kwa miaka mingine mitano ijayo.

      “Sina interest (nia) na sifikirii kama nitagombea uongozi ndani ya chama katika uchaguzi wa ndani wa Chadema mwaka huu, naona timu iliyopo inatosha na inafaa kuendelea kukiongoza chama,” alisema Zitto ambaye pia ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini.

      Alisema ingawa katika uchaguzi uliopita alijitosa kuwania nafasi ya mwenyekiti wa chama hicho, lakini safari hii nafsi yake haimtumi kufanya hivyo kwa kuwa ana imani kuwa uongozi wa sasa unastahili kuendelea kuwa madarakani kwa manufaa na maslahi ya chama na Watanzania kwa ujumla.


      Chanzo: Gazeti la Nipashe

      UPDATE:
      Kairudia kauli hii Juni 16, 2012 akiwa Iringa (M4C)

    2. RukaaJuu Final

    3. #81
      Mzito Kabwela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : MPUMBULI
      Posts : 7,243
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1087
      Likes Given
      7

      Default

      Quote By JB WISER
      Ben Saanane huyu Masalia ya Zitto yaliyopukutishwa CHADEMA?.........Yaani mtu ambaye hana sifa za kuwa kiongozi kwenye Baraza la vijana atapata wapi sifa za kuwa kiongozi wa chama? hapa ndipo ninapomkumbuka Makamba Sr visisimizi kama hivi alikuwa anaviponda kwa nyundo nzito.
      Imeandikwa....Ben Saa 8 anajitahidi kupoteza Muda wake.
      Ben Saanane likes this.

    4. #82
      mgt software's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,750
      Rep Power : 784
      Likes Received
      141
      Likes Given
      201

      Default Re: Zitto: Sitagombea uongozi CHADEMA

      acho sio baadaye anaamuka na kupalulana na wakuu wake waliomkuza.
      "Mtoto wa Maskini Hachagui Malezi, Tanganyika siyo Masikini Masikini ni wewe Unayehonga Haki yako Kwa Mafisadi" Bamugileki

    5. #83
      Ben Saanane's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th January 2007
      Posts : 6,731
      Rep Power : 32788
      Likes Received
      4996
      Likes Given
      6458

      Default Re: Zitto: Sitagombea uongozi CHADEMA

      Quote By Nuclear1
      mkuu hilo kundi haliaminiki.hapo kuna hesabu kali sana mwana.chadema watimueni tu hao
      Quote By Shardcole
      may be anataka amwachie Nafasi ya kugombea uwenyekiti BENARD SANANE. bkoz we cant know
      It's a vengeful decree designed by maniacal undemocratic characters out there not only to silence freedom of expression and of the youths but also to silence radical movement underway......

      Unataka niseme unachotaka kusikia.Ok,Let my signature below,confirm your doubts.It's very clear and loud !
      Waberoya likes this.
      Wametuonyesha Jeuri ya ukaburu,tuwaonyeshe jeuri ya Umkhontho we sizwe kupitia Red Brigade.Tukiwaonyesha woga wetu, itakua silaha imara zaidi kwao kutumaliza-Ben Saanane

    6. #84
      Ernesto Che's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Posts : 565
      Rep Power : 537
      Likes Received
      94
      Likes Given
      21

      Default Re: Zitto: Sitagombea uongozi CHADEMA

      Quote By EMT
      Yeye tayari kashasema anautaka urais. Hivi vyeo vya chini tena vya kichama ni kujishusha hadhi.
      Mgombea urais wa Chadema ni Dr Slaa
      "If there is no struggle, there is no progress.”

    7. #85
      ndenga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th December 2010
      Location : Kigamboni New City
      Posts : 1,049
      Rep Power : 636
      Likes Received
      269
      Likes Given
      84

      Default Re: Zitto: Sitagombea uongozi CHADEMA

      Hatagombea uongozi ndani ya chama ili aweze kupata muda mzuri wa kujiandaa na Urais. Hata hivyo uongozi kwenye chama siyo saizi yeke tena...yuko juu zaidi ya hapo.. go for uPrezidaa

    8. Miaka 50

    9. #86
      Ndusty's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th April 2009
      Posts : 108
      Rep Power : 590
      Likes Received
      17
      Likes Given
      102

      Default Re: Zitto: Sitagombea uongozi CHADEMA

      Zitto ni mlipukaji tuu.ni kinyong tu.anyways who care?zaidi tungeshukuru kama angeamua kurudisha kadi ya chama kabisa.tumechoka kusikilizaupuuzi wake

    10. #87
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1210
      Likes Given
      1253

      Default Re: Zitto: Sitagombea uongozi CHADEMA

      safi sana kabwe safi mnoooo
      Waberoya likes this.

    11. #88
      Christ's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th December 2011
      Posts : 28
      Rep Power : 381
      Likes Received
      7
      Likes Given
      26

      Default Re: Zitto: Sitagombea uongozi CHADEMA

      Come what may but don't ban me:
      'zito for presidency 2015'

    12. #89
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,516
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5447
      Likes Given
      3641

      Default Re: Zitto: Sitagombea uongozi CHADEMA

      Quote By Christ
      Come what may but don't ban me:
      'zito for presidency 2015'
      Sofia Simba ndio Rais wetu 2015-2020, hizo nyingine ni ndoto zenu za alinacha.

    13. #90
      MwanaFalsafa1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Posts : 5,451
      Rep Power : 9880
      Likes Received
      615
      Likes Given
      448

      Default Re: Zitto: Sitagombea uongozi CHADEMA

      Nakumbuka pia alisema hato gombea ubunge 2010.

    14. #91
      Waberoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2008
      Location : Busia-Uganda
      Posts : 5,948
      Rep Power : 1742
      Likes Received
      1518
      Likes Given
      2835

      Default Re: Zitto: Sitagombea uongozi CHADEMA

      Quote By ipogolo
      Ujasiri ni kitu muhimu sana. Zitto ni jasiri amesema anachoamini ni sahihi kwake. Anataka chama kimteue agombee urais kama kitaona inafaa. Mwisho wa siku wapiga kura nao wataamua nani wanataka awaongeze kwa kipindi hicho. Zitto hajataja mwaka atakao gombea urais. amesema iwe 2015,2020 au 2025. Sasa wadau kwani mchango wa zitto chadema hauonekani? Hakuna chuo cha kufundisha urais, tunataka rais mwenye utashi, na nia njema ya kuwaongoza wa tz.Hao wengine mnaowafikiria hawajaonesha nia. Timu yenye ushindi huanza maandalizi mapema.ZITTO HAJAKOSEA. DEMOKRASIA YA KWELI ITACHUKUA MKONDO WAKE.
      aisee!!
      You are not supposed to be so blind with patrotism that you cant face reality. Wrong is wrong no matter who says it. Malcom X

    15. #92
      Waberoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2008
      Location : Busia-Uganda
      Posts : 5,948
      Rep Power : 1742
      Likes Received
      1518
      Likes Given
      2835

      Default Re: Zitto: Sitagombea uongozi CHADEMA

      jambo usilolijua! zito is far!!
      You are not supposed to be so blind with patrotism that you cant face reality. Wrong is wrong no matter who says it. Malcom X

    16. EMT
      #93
      EMT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2010
      Location : Mahuta
      Posts : 8,918
      Rep Power : 61730
      Likes Received
      7244
      Likes Given
      6455

      Default Re: Zitto: Sitagombea uongozi CHADEMA

      Quote By Ernesto Che
      Mgombea urais wa Chadema ni Dr Slaa
      Nani kasema?
      Ben Saanane likes this.
      “Wanaotaka kuhashua wanatoa rushwa. Wanaotaka kuhashukwa nao wanataka rushwa. Hahashukwi mtu bila rushwa, na mtu hahashui bila rushwa na hapo ndipo tatizo lilipo.” - Mie mwenyewe.

    17. #94
      Ndusty's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th April 2009
      Posts : 108
      Rep Power : 590
      Likes Received
      17
      Likes Given
      102

      Default Re: Zitto: Sitagombea uongozi CHADEMA

      Quote By EMT
      Mkuu ina maana kwa yeye kuamua kutogombea uongozi wowote Chadema, effectively has joined them? Anadai “Sina interest (nia) na sifikirii kama nitagombea uongozi ndani ya chama katika uchaguzi wa ndani wa Chadema mwaka huu, naona timu iliyopo inatosha na inafaa kuendelea kukiongoza chama.”

      Lakini si ni mingonini mwa watu walio kwenye timu ilioyopo sasa ambayo anaona inatosha? Kwa hiyo akiondoka, timu itaendelea kutosha? Au tusema role yale kwenye timu ya sasa ni kama haipo to the extent kwamba hata asipogombea tena timu mpya itaendelea kutosheleza?

      I mean what exactly does he want to convey?
      Mkuu EMT umeuliza swali la msingi.hata mimi simuelewi alichoimanisha zitto.ndo maana nasema Zitto ni kama kinyonga,period.sasa kwa yeyote mwenye akili timamu anaweza kumshabikia zitto kwenye kugombea cheo chochote potelea mbani uraisi?mtu siyejua au asiyekuwa na uwezo wa kupima au kuchagua maneno ya kuongea hawezi kuwa kiongozi.
      EMT likes this.

    18. #95
      Kima Mchanga's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Location : Dynamic
      Posts : 4,501
      Rep Power : 11226
      Likes Received
      608
      Likes Given
      446

      Default Re: Zitto: Sitagombea uongozi CHADEMA

      Huyo bwana mdogo anatapatapa,ataishia kula malapa!

    19. #96
      Kichuguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2006
      Location : Popote Porini
      Posts : 6,836
      Rep Power : 3272
      Likes Received
      1315
      Likes Given
      916

      Default Re: Zitto: Sitagombea uongozi CHADEMA

      Quote By EasyFit
      Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Zitto Zuberi Kabwe, amesema kuwa hana nia ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chama chake katika Uchaguzi wa ndani wa chama hicho unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu.

      Zitto aliyasema hayo juzi wakati akizungumza na NIPASHE jijini Mbeya, alikokuwa amekwenda kuongeza nguvu katika kampeni za uchaguzi wa udiwani katika kata ya Kiwira wilayani Rungwe.

      Alisema kuwa hana nia ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chama hicho kwa sababu anaona timu ya sasa ya uongozi wa chama hicho inatosha na inafaa kuendelea kukiongoza kwa miaka mingine mitano ijayo.

      “Sina interest (nia) na sifikirii kama nitagombea uongozi ndani ya chama katika uchaguzi wa ndani wa Chadema mwaka huu, naona timu iliyopo inatosha na inafaa kuendelea kukiongoza chama,” alisema Zitto ambaye pia ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini.

      Alisema ingawa katika uchaguzi uliopita alijitosa kuwania nafasi ya mwenyekiti wa chama hicho, lakini safari hii nafsi yake haimtumi kufanya hivyo kwa kuwa ana imani kuwa uongozi wa sasa unastahili kuendelea kuwa madarakani kwa manufaa na maslahi ya chama na Watanzania kwa ujumla.


      Chanzo: Gazeti la Nipashe
      Yaani huyu badala ya kutumia nguvu na muda wake kujenga chama chake; yeye anatumia nguvu hizo kujijenga na kufikiria uongozi tu. Mara ninautaka uraisi, mara sitagombea uongozi, ili mradi focus yake ni kwake tu badala ya kufokasi kwenye kuimarisha chama.

      Ama kweli mgema asisifiwe na ngoma isilie sana.
      Mzee Mwanakijiji likes this.
      Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo

    20. #97
      Shardcole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 4,394
      Rep Power : 1284
      Likes Received
      1032
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Ndusty
      Mkuu EMT umeuliza swali la msingi.hata mimi simuelewi alichoimanisha zitto.ndo maana nasema Zitto ni kama kinyonga,period.sasa kwa yeyote mwenye akili timamu anaweza kumshabikia zitto kwenye kugombea cheo chochote potelea mbani uraisi?mtu siyejua au asiyekuwa na uwezo wa kupima au kuchagua maneno ya kuongea hawezi kuwa kiongozi.
      dah! Jamani inamana huyu zitto rafiki wa ben sanane hata hiyo nafasi yake ya umakamu katibu mkuu wa chama hatagombea? Pia ina maana atakuwa ni mwanchama wa kawaida?
      But kwa yeyote yule anayependezwa na mienendo ya zitto na kundi lake la wakina Ben sanane yani wazee wa Radical change BASI NI MUASI NA HANA MAPENZI MEMA NA CHADEMA PAMOJA NA TAIFA.
      .HAKYA MUNGU NAAPA MAMA YANGU MZAZI ! KWANI VIJANA HAWA WENYE VIBURI NA DHARAU NI JANGA KWA TAIFA KWANI WANATUHAIBISHA SISI VIJANA WENZAO.
      Ben Saanane likes this.

    21. #98
      Shardcole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 4,394
      Rep Power : 1284
      Likes Received
      1032
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Ben
      It's a vengeful decree designed by maniacal undemocratic characters out there not only to silence freedom of expression and of the youths but also to silence radical movement underway......

      Unataka niseme unachotaka kusikia.Ok,Let my signature below,confirm your doubts.It's very clear and loud !
      wewe huna sifa za kuwa mwana-chadema kwani haupo accontable na chama kabisa, mshabiki wa siasa za makundi na most of the time una -spend kuonyesha jeuri yako humu na wa2 tunazidi kukusoma ze way ur, unampenda san Zitto kwa sababu tabia mnafanana, unapenda sana totoz so hata ukiwa mbunge unaweza kusaliti jimbo kwa ajili ya toto mmoja 2 , wakati sis wenzako tukijaribu kuwasilisan na viongoz wa chama na kuwapa mbinu nzuri za kulinda kura arumeru but wewe upo unakula bata 2, wenzako wakina heche na mnishi wapoa arumeru but ww upo fcbk 24 hrs unachat alafu unategemea eti chama kipitishe jina lako ktk uchaguz wowote ule!
      Nimekufatilia san humu JF na post zako za kukashifu viongozi wako wa upinzani eti hawana tofauti kwani wote ni vibaraka wa wazungu alfu una mchukulia zitto kam ndo mungu wako na wengine ni malofa.
      MOVEMENT 4 RADICAL CHANGE ndo itakayo tumika ku-scan virus wote CDM kama ww Ben.
      Ben Saanane, Quinine and JIBRIL like this.

    22. #99
      Stoudemire's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2012
      Posts : 317
      Rep Power : 424
      Likes Received
      64
      Likes Given
      237

      Default Re: Zitto: Sitagombea uongozi CHADEMA

      Bora Zitto umeamua moja. Maana wangekutia nzi wa mdomo hao wakina Mbowe.

    23. #100
      Hussein Mustafa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st November 2011
      Posts : 18
      Rep Power : 382
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Post Re: Zitto: Sitagombea uongozi CHADEMA

      Quote By easyfit
      naibu katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema), zitto zuberi kabwe, amesema kuwa hana nia ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chama chake katika uchaguzi wa ndani wa chama hicho unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu.

      Zitto aliyasema hayo juzi wakati akizungumza na nipashe jijini mbeya, alikokuwa amekwenda kuongeza nguvu katika kampeni za uchaguzi wa udiwani katika kata ya kiwira wilayani rungwe.

      Alisema kuwa hana nia ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chama hicho kwa sababu anaona timu ya sasa ya uongozi wa chama hicho inatosha na inafaa kuendelea kukiongoza kwa miaka mingine mitano ijayo.

      “sina interest (nia) na sifikirii kama nitagombea uongozi ndani ya chama katika uchaguzi wa ndani wa chadema mwaka huu, naona timu iliyopo inatosha na inafaa kuendelea kukiongoza chama,” alisema zitto ambaye pia ni mbunge wa kigoma kaskazini.

      Alisema ingawa katika uchaguzi uliopita alijitosa kuwania nafasi ya mwenyekiti wa chama hicho, lakini safari hii nafsi yake haimtumi kufanya hivyo kwa kuwa ana imani kuwa uongozi wa sasa unastahili kuendelea kuwa madarakani kwa manufaa na maslahi ya chama na watanzania kwa ujumla.


      chanzo: Gazeti la nipashe

      hivi huyu ndio mlisema alitangaza nia ya kugombea kweli urais au walimzushia au hakueleweka vizuri!

    Page 5 of 13 FirstFirst ... 34567 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...