Re: Tamko la LHRC na waandishi wa habari leo kuhusu mgomo wa madaktari!

By
Mtu Mzima
Achana na hayo makombo ya waliokutuma uende ukasome udaktari uje utibu bure wagonjwa.
Kinachowapagawisha ni wasiwasi wenu wa utawala kuanguka halafu mnajifanya mnawapenda sana wagonjwa.
Kama mnawapenda wagonjwa na kuthamini uhai kama mnavyolalama hospitali zisingekuwa taabani na wala msingekuwa mnauwa watu msitu wa pande na kwenye maandamano ya amani.
Acheni unafiki
Na wewe kama kazi haina maslahi siuwache?Kwanini umnga'ang'anie muajiri ambaye hana maslahi na wewe,Mnagoma lakini Posho na Mishahara bado mnavuta ,wagonjwa wakija mnawadai rushwa kabla ya kuwapa huduma,au mnawaelekeza wawaone hospitali binafsi kwa maslahi yenu,huo ndiyo unafiki!Achaneni na serikali kwasababu siyo muajiri pekee, hakuna maslahi nenda kwenye maslahi,ili nafasi iwe wazi na serikali itangaze ajira kwa raia na wasio raia tuone kama nafasi zitashindwa kujazwa.
UKIJUA UNAPOKWENDA NI RAHISI KUFIKA!
Follow Us Here