Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: JK ndani ya mji wa Moshi....

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 55
    1. #1
      boybsema's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 104
      Rep Power : 455
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default JK ndani ya mji wa Moshi....

      Rais JK kaingia ndani ya mji wa Moshi mida hii akiwa ndani ya ulinzi mkali...kila kona ni polisi waliosheheni silaha nzito,msafara wake ni zaidi ya magari 30...atakuwa kwenye lango kuu la mlima kilimanjaro (marangu gate) jirani na kwa lyatonga wa kiraracha...

    2. RukaaJuu Final

    3. #21
      Losambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2011
      Location : Katikati
      Posts : 2,346
      Rep Power : 850
      Likes Received
      688
      Likes Given
      296

      Default

      Quote By Mungi
      kwa jinsi anavyopiga mwereka sidhani kama ana nia ya kuupanda mlima. Wasi wasi wangu ni kwamba labda anataka kuupiga bei mlima wetu!
      Unaweza kukuta ana dogo dogo mpya Moshi ameifuaa halafu hilo ni changa la macho tu.

      Nasikia tarehe 07.03 atakuwa Loliondo kuzindua umeme wa kutumia majeneta. Sijui kama ataenda kwa babu kumsalimu au kurenew charge kwa kupiga kikombe tena.

    4. #22
      muonamambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2010
      Posts : 554
      Rep Power : 552
      Likes Received
      164
      Likes Given
      938

      Default Re: JK ndani ya mji wa Moshi....

      Magari 30 yote ya nini? Huko ndiko kubana matumizi ya safari anakokutangaza?

    5. #23
      Gwalihenzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 2,379
      Rep Power : 0
      Likes Received
      615
      Likes Given
      377

      Default Re: JK ndani ya mji wa Moshi....

      Quote By Royals
      Anata kupanda mlima mrefu kuliko yoyote Afrika.Itakuwa vema akaweka rekodi ya kuwa raisi wa kwanza Kuupanda.
      Afya inaruhusu?

    6. #24
      Freeland's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 318
      Rep Power : 433
      Likes Received
      99
      Likes Given
      124

      Default Re: JK ndani ya mji wa Moshi....

      Quote By boybsema
      hahaha naskia kuna ishu za akina mama anaenda zindua

      Yaani akina mama au vibinti?

    7. #25
      dubu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2011
      Posts : 2,396
      Rep Power : 960
      Likes Received
      583
      Likes Given
      143

      Default

      Quote By Mamndenyi
      Kwani nani kafa huko.
      hivi yule mbowe aliyekufa alikuwa anaishi wapi?

    8. Miaka 50

    9. #26
      Kabakabana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th August 2011
      Posts : 5,484
      Rep Power : 1759
      Likes Received
      1119
      Likes Given
      126

      Default

      Quote By dubu
      hivi yule mbowe aliyekufa alikuwa anaishi wapi?
      mbeya jamani

    10. #27
      OSOKONI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 3,632
      Rep Power : 1110
      Likes Received
      1001
      Likes Given
      756

      Default Re: JK ndani ya mji wa Moshi....

      Quote By msnajo
      Sasa atembelee wapi Wakuu kama kila mahali mnamkandia? Awe Tz mnasema, akienda nje, nako mnamsema.
      akalishe ofisini afanye kazi
      Narrow minded people discuss people,common minded people discuss events great minded people discuss ideas!!!

    11. #28
      Mwanajamii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2008
      Posts : 7,085
      Rep Power : 1810
      Likes Received
      24
      Likes Given
      13

      Default Rais Kikwete atua Mkoani Kilimanjaro kikazi

      Mar 5
      Rais Jakaya Kikwete Atua Mkoani Kilimanjaro Kwa Ziara Ya Kikazi Ya Siku Tatu


      Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakipokewa kwa furaha walipowasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA)jana jioni tayari kwa ziara ya siku tatu.
      Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokewa kwa furaha mara alipotua uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) jioni Jana. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mh Leonidas Gama
      Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea taaria ya Mkoa toka kwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mh Leonidas Gama mara tu baada ya kuwasili Ikulu ndogo mjini Moshi Jana Jioni.Picha na IKULU
      ------
      Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewasili mjini Moshi jana, Jumapili, Machi 4, 2012 kwa ziara ya kikazi ya siku tatu.Miongoni mwa shughuli ambazo Mheshimiwa Rais atafanya ni pamoja na kuzindua kampeni ya kupinga ukatili na matumizi ya nguvu dhidi ya wanawake ambayo ataizindua kwa kuanzisha safari ya kupanda Mlima Kilimanjaro iliyopewa jina la “Kilimanjaro Speak Out, Climb Up”.

      Shughuli hiyo itakayofanyika kesho Jumatatu, Machi 5, 2012 asubuhi, imepangwa kwenye Lango la Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA)Mbali na kuanzisha kampeni hiyo, Mhe Rais pia atafungua Mkutano wa Mwaka wa Maofisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi unaofanyika kwenye Chuo cha Polisi mjini Moshi.
      Hii ni ziara ya kwanza ya Mhe Rais Kikwete katika Mkoa wa Kilimanjaro tokea alipotembelea Mkoa huo wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010.

      MWISHO

      Imetolewa na

      KURUGENZI YA MAWASILINO YA RAIS
      MARCH 4, 2012
      MOSHI

    12. #29
      Mwanajamii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2008
      Posts : 7,085
      Rep Power : 1810
      Likes Received
      24
      Likes Given
      13

      Default Re: Rais Kikwete atua Mkoani Kilimanjaro kikazi

      atapita arumeru?

    13. #30
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,263
      Rep Power : 3043
      Likes Received
      3054
      Likes Given
      4137

      Default Re: Rais Kikwete atua Mkoani Kilimanjaro kikazi

      Huyu mama anaandika nini hapo kando?
      f2f likes this.
      * LOVE COMES NATURALLY; HATE IS TAUGHT.....by nngu007 wa JF

    14. #31
      MAMA POROJO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 4,858
      Rep Power : 1844
      Likes Received
      592
      Likes Given
      413

      Default Re: Rais Kikwete atua Mkoani Kilimanjaro kikazi

      Quote By Bigirita
      Huyu mama anaandika nini hapo kando?
      Mkurugenzi mpya wa mawasiliano ya Rais

    15. f2f
      #32
      f2f's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 7th November 2011
      Posts : 6
      Rep Power : 382
      Likes Received
      0
      Likes Given
      2

      Default Re: Rais Kikwete atua Mkoani Kilimanjaro kikazi

      Quote By Bigirita
      Huyu mama anaandika nini hapo kando?
      Anajaza karatasi bure!!

    16. #33
      mlavie's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th December 2010
      Posts : 63
      Rep Power : 440
      Likes Received
      14
      Likes Given
      8

      Default Re: Rais Kikwete atua Mkoani Kilimanjaro kikazi

      anachukua points na yeye ili baba akisahau amkumbushe...

    17. #34
      Budo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th July 2011
      Posts : 15
      Rep Power : 401
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Rais Kikwete atua Mkoani Kilimanjaro kikazi

      Ni ziara ya kichama au? Naona watu wamevalia jez za ccm

    18. #35
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 11,989
      Rep Power : 24153
      Likes Received
      4706
      Likes Given
      2647

      Default Re: Rais Kikwete atua Mkoani Kilimanjaro kikazi

      Mama ananukuu nini hapa+-


      Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te


    19. #36
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 11,989
      Rep Power : 24153
      Likes Received
      4706
      Likes Given
      2647

      Default Re: Rais Kikwete atua Mkoani Kilimanjaro kikazi

      Huyu jamaa kapata lini mvi?


      Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te


    20. #37
      Tangawizi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th June 2009
      Posts : 943
      Rep Power : 693
      Likes Received
      188
      Likes Given
      184

      Default Re: JK ndani ya mji wa Moshi....

      Dunia hii ina vituko kweli...baada ya kuharibu Ulaya na Marekeni sasa tunaharibu humu humu ndani.
      "Carpe Diem...Seize the Day"

    21. #38
      Blayi wa Mpwapwa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 106
      Rep Power : 392
      Likes Received
      41
      Likes Given
      0

      Default Re: JK ndani ya mji wa Moshi....

      Quote By A. D. Pigangoma
      Na kale kaugonjwa ketu kalikompatia sifa Babu wa Loliondo katamuacha kweli? Nasikia na yeye alikwenda kupiga kikombe cha babu! Nijuavyo mimi kama afya yako inahitaji msaada wa kikombe cha Babu basi ukijidai shujaa wa kupanda mlima Kilimanjaro ujue huo ndo mwisho wa maisha yako au utasababisha watu wakubebe kwenye yale machela yetu!............. Mungu ongoza mkono wako ili mheshimiwa rais wetu asikubali kupanda mlima Kilimanjaro kwani bado miaka mitatu tu tumpe heshima ya ustaafu!.........
      Kwenye ushauri nasaha tunaambiwa Usimwonyeshee mwenzio kidole, wewe vidole vingapi vinaangalia kwako?

    22. #39
      PISTO LERO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2011
      Posts : 833
      Rep Power : 0
      Likes Received
      133
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Safari_ni_Safari
      Huyu jamaa kapata lini mvi?

      ndugu umeonaje?

    23. #40
      Sumba-Wanga's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : Gambushi
      Posts : 4,007
      Rep Power : 1222
      Likes Received
      778
      Likes Given
      680

      Default Re: Rais Kikwete atua Mkoani Kilimanjaro kikazi

      Quote By Bigirita
      Huyu mama anaandika nini hapo kando?

      Hata mimi nimeshangaa sana!
      Mbona zile ziara zake zilizokuwa na motor cade kuliko waziri mkuu sizisikii tena?
      "A man's or woman's best or worst choice in life is his or her spouse"

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...