Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Miongoni Mwa Mazuri ya Kikwete: "Has Good Sense of Humour"

    Report Post
    Page 3 of 23 FirstFirst 1234513 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 442
    1. #1
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6153
      Likes Given
      22273

      Default Miongoni Mwa Mazuri ya Kikwete: "Has Good Sense of Humour"

      Wanabodi,
      Naangalia TBC Live, Rais Jakaya Kikwete yuko hewani!
      Miongoni wa mazuri ya JK, ni having a good sense of humour, akiongea, huchoki kumsikiliza!.
      Alipokuwa akiongelea kilimo cha ndizi kijijini kwao Msoga, Bagamoyo, akasema wakulima wana bananisha migomba mingi kwenye shina moja, matokeo yake kila mgomba unatoa kichane kimoja au viwili ya vindizi vilivyokondeana!.

      Akasema wanakijiji wale wanalima hivyo kwa sababu hawajui kuwa kama wakiacha mgomba mmoja kwenye shina moja, mgomba huo utatoa mkungu mkubwa wa ndizi, na ndizi zenyewe zitakuwa ni ndizi za shibe kama "Mrisho Mpoto"!. Ukumbi mzima ulizizima kwa vicheko, watu hawana mbavu!.

      Kuwa na 'good sense of humour' ni kipaji na ni miongoni mwa mambo mazuri machache ya rais wetu Jakaya Kikwete, besides good looking!.

      Kwa wale wenye kumbukumbu ya hotuba za Mwalimu, ukiondoa ile hotuba yake ya kutangaza vita, hotuba za Mwalimu, watu walikuwa wanacheka na hutamani amalize kuzungumza!.

      Hii ni thread ya miongoni mwa mazuri ya JK, kama na wewe unalo zuri lolote la JK ambalo unalijua, unaweza kuliweka.

      Kwa vile tunazungumzia mazuri, ningeomba wale ambao hawana zuri lolote la kuzungumzia JK, sio lazima mchangie, wala zuri hili la "good sense of humour", haimaanishi JK sasa ndio rais bora kwa Tanzania, wala haina maana ndio hana mabaya yake!, leo tuzungumzie mazuri yake!

      Angalizo:
      Wanabodi wenzangu, tunajukumu la kujimoderate sisi wenyewe kulinda hadhi ya jukwaa letu, haiwezekana kila siku sisi tukawa ni watu wa kulalamika tuu, au kubonda tuu, mara moja moja kwenye mazuri, pia tutoe sifa pale panapo stahili!.

      Natanguliza Shukrani kwa kunielewa!

      Asanteni!

      Pasco (wa jf)

      Note: Pasco wa jf, sio mwanachama wa chama chochote cha siasa, bali ni muumini wa ukweli "seek the truth, and the truth will set you free"!. Kwa wale wanaofikiri Pasco wa jf, ni mshabiki wa CCM, tafuteni thread yangu ya "CCM Imechokwa" !.


      --------------------------------------------
      Hoja Nyingine za Thread ya kibananhukhu iliyounganishwa #148
      Quote By kibananhukhu
      Pamoja na list ya mambo lukuki ambayo wakuu mnamlaumu JK, lakini ni kweli kuwa kuna kitu anafanya siyo kwamba amelele fofofo. Kuna mapungufu pia ni kwa nia njema mnayaainisha kusaidia uboreshaji kazi. Nimefuatilia na kuyaona baadhi ya mazuri ya JK Kama list inavyoainisha, ninaweza kuwa na upungufu kidogo katika takwimu hii itatokana na mimi kutumia kumbukumbu zangu nipo tayari kusahihishwa takwimu. Tupitie mazuri ya JK HAPA CHINI

      1. Mpango wa kuiruhusu bandari (THA) kufanya kazi kwa kuanza na technologia mpya ili dereva tu ndiye awe anakwenda bandarini kupakia mzigo na mengine yote yatamalizwa kwa njia ya mtandao, e-port. Kumbukeni TICTS walikuwa na mkataba mbaya sana kwa miaka 15, na ulirejewa kwa mazingira ya kutatanisha.

      2. Dar tayari nyumba 50 zimeanza kutumia gesi kwa matumizi mbali mbali ya ndani, kama ulaya na kwingineko kwa mara ya kwanza. Mikocheni wameanza jiandaeni kuvuta gesi majumbani kwenu.

      3. Magari yameaanza kutumia gesi japokuwa bado kuna baadhi ya vikwazo kwa wasaidizi wa raisi. Mpango wa JK ilikuwa matuzi ya petroli katika gari yapungue kwa 80%, lkn ukiritimba wetu umesababisha yapungue kwa 55%

      4. Kivuko na daraja kigamboni.

      5. Mradi wa daraja Maragalasi na lami Tabora – Itigi – Kigoma

      6. Ujenzi wa barabara lami kutoka Mombo, Mtibwa turiani, Kilosa, Mikumi na baadaye ifakara, mahenge, Malinyi, Songea. Pia Ifakara, Mlimba hadi Njombe. Usafiri wa songea kupunguza safari kwa masaa 5.

      7. Barabara ya Mafinga, Iringa, Kitonga, Ruaha Mbuyuni, Madaraja mawili mpakani na morogoro imekwishapanuliwa kwa uboro wa hali ya juu. Kipande cha Ipogolo kupandisha kwenda iringa mjini kimepanuliwa sana.

      8. Bara bara ya Iringa Kwenda Dodoma Imekwishaanza

      9. Bara bara ya Tunduma hadi Sumbawanga kuna makandarasi watatu wanashindana kwa ubora wa lami.

      10. Viwanja vya ndege mikoani kuboreshwa.

      11. Karekebisha mkataba wa Songas, ulikuwa hauruhusu mtu meingine yetote awaye kujenga tena bomba la gesi. Sasahivi wakuu mnaruhusiwa kujenga mabomba ya gesi kutoka Kusini.

      12. Mkataba wa wachina na serikali kujenga bomba la gesi kutoka Mtwara hadi dar ili kuzalisha MG 2900 za umeme dar.

      13. Barabara Dodoma, Manyara lami.

      14. Ujenzi reli kutoka Tanga, Musoma, Uganda.

      15. Ujenzi bandari, Tanga, Mtwara na Babamoyo

      16. Uwanja wa Ndege Terminal two wajengwa.

      17. Maeneo ya Umwagiliaji maji, hekari 20,000 zimejengwa na lengo ni ekari 1milioni.

      18. Kilimo kwanza mashamba darasa na ongezeko la mavuno kwa ekari.

      19. Tanzania ni ya kwanza kwa export afrika masharik na kati

      20. Mradi wa makaa ya Mawe Mchuchuma na katewaka liganga kuzalisha MGW za kutosha nchi nzima

      21. Mradi wa machimbo mgodi wa chuma Liganga, uzalishaji wa Titanium, Vanadium, Fe kwa ajili ya utengenezaji nondo, malighafi ya mabati, vyuma vya kujengea madaraja na maghorofa, kuweka pembezoni mwa mabarabara kuzalishwa nchini. Viwanda vya kutengeneza vifaa vya ujenzi wa meli, ndege, na magari kujengwa nchini.

      22. Machimbo ya makaa yam awe Ngaka Mbinga Ruvuma, uwezo Kuzalisha pia umeme MG 400.

      23. Hospitali upasuaji moyo kwa mara ya kwanza Tanzania.

      24. Hospitali kubwa mingoni mwa zitakazoheshimika kujengwa Tanzania na Appollo ya India. Maradhi yote kutibiwa Tanzania.

      25. Uboreshaji shirika la nyumba NHC, Baadhi ya watanzania kunufaika na mikopo ya nyumba na nyumba kuanza kujengwa kwa spidi kali.

      26. Ujenzi wa barabara nane Dar hadi chalinze.

      27. Ufumuaji na ujenzi wa reli ya kati dar, hadi kigoma, mwanza, mpanda, Rwanda na Burundi.

      28. Ubareshaji maabara shule za kata ($ 90Milioni)

      29. Idadi ya walimu kwaajili ya shule za kata na nyinginezo kuanzia muda mfupi ujao, walimu elfu 40 kuhitimu kila mwaka.

      30. Baadhi ya shule nyingi binafsi zimeanza kudorola au kufungwa kabisha, wengi wamejiunga na shule za kata na ubora unapanda japo kwa spidi ndogo.

      31. Idadi kubwa ya wanafunzi vyuo vikuu, Udom uwezo elfu 40, SAUT elfu 15, UDSM Elfu 15, Ruco elf 2.5, Mkwawa elfu 2.5 Tumaini elfu 2, Open University elfu 20 nk.

      32. Wafanya biashara wamepewa kipau mbele term ya JK, Wengi husafiri na Mheshimiwa Raisi kutafuta na kupata fursa za biashara nje.

      33. Uhuru wa Vyombo vya habari, waandishi wanafanya mambo kwa uhuru ambao wasingelithubutu enzi ya Mwalimu, Mwinyi wala Mkapa. Hata baadhi ya ninyi wakuu, mnaruhusuwa kutoa mawazo yenu japo wengine wanatukana matusi ya nguoni lakini JK anavumilia sana.

      34. Amegundua fitna nyingi sana serikalini, majungu, uongo na sasa hivi anakua mwangalifu sana katika maamuzi na inalazimika kuonekana kana kwamba hana maamuzi ili awe na subira. (Ukiwa na hasiri usifanye maamuzi, ahirisha upate busara)

      35. Makampuni ya madini, yamekupali kuanza kulapa 30% kutoka faida zitakazo patikana kuanzia 2012.

      36. Wapinzani wameanza kumwelewa na kumsifia kwa yale anayoyafanya vizuri.

      37. Mnaweza ongeza list nyingine ili nije baadaye na listi ya faida za kiuchumi kwa taarifa tu, inflation inachangiwa na gharama za chakula kwa 16%.

      Kuna mambo madogo ya kiufundi yakirekebishwa inflation inapashwa iwe 8% single digit. Mfano mahindi yanaoza Ruvuma, Iringa, na Sumbawanga yangeweza kutoa mchango katika kupunguza gharama za chakula na mfumuko wa bei ukashuka.Mengine mengi nitaongeza baadaye. Nadhani kwa faida ya wakuu wangu, nitajitahidi kufuatilia pia ilani yake ili nilinganishe na hayo hapo juu. Hata hivyo, ni ukweli kwamba kwa upanda wa barabara tu, miaka 50 tangu uhuru lami ilifikia km 6000, JK Pekee ameweka mikataba ya lami km 11,000.

      Kuna vitu anafanya JK.
      Last edited by Viwango; 6th March 2012 at 11:52. Reason: Adding points of merged thread

    2. FemaTV & Radio

    3. #41
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6153
      Likes Given
      22273

      Default

      Quote By MTM
      Thanks MY BRO... I KNOW!!! as always it depends on the school of thoughts and mentors in life

      One thing for sure my friend, if you try to analyse yourself, you will realise that you have almost eaten your very own self. My advice mkuu.... practice what you preach!! and BTW, I learned to Fear the COPTIC, especially when they bring ornaments
      Mkuu MTM, human beings are not static, we are dynamic, we change with time!. Some us changes for the better, some changes for the worse!. Mimi naamini nilijikwaa tuu mahali nikaanguka, nitaamka, nitajifuta vumbi na kusimama tena kuendelea na safari for the better!.

    4. #42
      Imany John's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th July 2011
      Posts : 1,971
      Rep Power : 2977
      Likes Received
      471
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By MtamaMchungu
      That's very true, everytime he speaks, he always find ways to make people laugh.
      Kwaiyo raisi wetu ni MCHEKESHAJI?

      Asante kwa taarifa.

    5. #43
      Mabewa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th October 2011
      Posts : 119
      Rep Power : 405
      Likes Received
      15
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Pasco
      Wanabodi,
      Naangalia TBC Live, Rais Jakaya Kikwete yuko hewani!
      Miongoni wa mazuri ya JK, ni having a good sense of humour, akiongea, huchoki kumsikiliza!.
      Alipokuwa akiongelea kilimo cha ndizi kijijini kwao Msoga, Bagamoyo, akasema wakulima wana bananisha migomba mingi kwenye shina moja, matokeo yake kila mgomba unatoa kichane kimoja au viwili ya vindizi vilivyokondeana!.

      Akasema wanakijiji wale wanalima hivyo kwa sababu hawajui kuwa kama wakiacha mgomba mmoja kwenye shina moja, mgomba huo utatoa mkungu mkubwa wa ndizi, na ndizi zenyewe zitakuwa ni ndizi za shibe kama "Mrisho Mpoto"!. Ukumbi mzima ulizizima kwa vicheko, watu hawana mbavu!.

      Kuwa na 'good sense of humour' ni kipaji na ni miongoni mwa mambo mazuri machache ya rais wetu Jakaya Kikwete, besides good looking!.

      Kwa wale wenye kumbukumbu ya hotuba za Mwalimu, ukiondoa ile hotuba yake ya kutangaza vita, hotuba za Mwalimu, watu walikuwa wanacheka na hutamani amalize kuzungumza!.

      Hii ni thread ya miongoni mwa mazuri ya JK, kama na wewe unalo zuri lolote la JK ambalo unalijua, unaweza kuliweka.

      Kwa vile tunazungumzia mazuri, ningeomba wale ambao hawana zuri lolote la kuzungumzia JK, sio lazima mchangie, wala zuri hili la "good sense of humour", haimaanishi JK sasa ndio rais bora kwa Tanzania, wala haina maana ndio hana mabaya yake!, leo tuzungumzie mazuri yake!

      Angalizo:
      Wanabodi wenzangu, tunajukumu la kujimoderate sisi wenyewe kulinda hadhi ya jukwaa letu, haiwezekana kila siku sisi tukawa ni watu wa kulalamika tuu, au kubonda tuu, mara moja moja kwenye mazuri, pia tutoe sifa pale panapo stahili!.

      Natanguliza Shukrani kwa kunielewa!

      Asanteni!

      Pasco (wa jf)

      Note: Pasco wa jf, sio mwanachama wa chama chochote cha siasa, bali ni muumini wa ukweli "seek the truth, and the truth will set you free"!. Kwa wale wanaofikiri Pasco wa jf, ni mshabiki wa CCM, tafuteni thread yangu ya "CCM Imechokwa" !.
      Ni rais mwenye huruma na upendo sana...j.k ana kipaji cha kupendwa na watu,Leo mchukie mseme vibaya lkn akija ktk eneo lako utashangaa watu watakavyokanyagana ili wamsalimie.
      nilishuhudia haya ktk msikiti wa kichangani alikuja kuswali(haiusiani na dini ni mfano tu)basi alipotoka akashangaa watu wanavyokanyagana wampe mkono mpk akatoa machozi mana hakutegemea na hata protocal team haikujiandaa na ulinzi mkubwa.Huyo ndo J.k mwenye good looking & good sense of humour.
      Pasco likes this.

    6. #44
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,084
      Rep Power : 12251
      Likes Received
      6014
      Likes Given
      6851

      Default re: Miongoni Mwa Mazuri ya Kikwete: "Has Good Sense of Humour"

      Quote By Pasco
      Mkuu MTM, human beings are not static, we are dynamic, we change with time!. Some us changes for the better, some changes for the worse!. Mimi naamini nilijikwaa tuu mahali nikaanguka, nitaamka, nitajifuta vumbi na kusimama tena kuendelea na safari for the better!.
      Nimekusoma Pasco but i am worried unaposema some of us change for the better, and some change for worse... (knowing if you are better or worse, could be a long term process, requiring external observation as well as a few notable milestones between the timelines) it is difficult to say if you are heading in the right direction without external views, IMO

      But good luck in your endeavor but take it from me; something ahs changed and not to the good for you.... you have lost that neutrality and i even now see how opportunistic your are by tring to use JF views kwenye vipindi vyako unavyotaka ku-air. It is really bad when you think you are smart and can play with people philosophy thinking that it can always go your way

      If you want to succeed, dont be a puppet! but if you want a joyride, then you can be one... My daughter has a toy, it closes its eyes when put asleep and opens the eyes whenever kept in upright position; and she loves it!!!

      I AM SORRY BUT I AM WORRIED NA HIYO JOYRIDE UNAYOTAKA KUENJOY KWA MIGONGO YA JF

      Goodbye and Goodluck
      Last edited by TIMING; 4th March 2012 at 08:02.
      Yo Yo, Ndahani, Balantanda and 3 others like this.
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    7. #45
      MTAZAMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 4,229
      Rep Power : 2202
      Likes Received
      1811
      Likes Given
      2427

      Default

      Quote By Mtazamaji
      Uzuri wa JK ni weakness zake zimewezesha mazuri . Sometime udhaifu unaweza kuwa silaha. Kuna mambo yanaoyendelea CCM . Na maamuzi yake ya kuchelewa au kusburi kusiiklizia umma na kugeuka geuka yamesaidia sana. Mfano Isue ya Jairo, Nyogeza wa posho za wabunge nk. Mkapa aliongoza kwa style ya udiketa fulani hivi . hakukuw aa nafasi ya kurudi nyuma no.

      Na huko CCM uzuri wake JK wa kuuma na kupuliza nadhani hata Lowasa anajiuliza kama walikutana bararaani

      Yaani kuna sifa fulani za JK angekuwa nazo Mkapa na na sifa fulani za Mkapa angekuwa nazo JK may be tungekuwa hatua tano mbele zaidi ya tulipo sasa
      Hakuna mtu aliyeandika sentensi fupi na ikajumuisha yote kama wewe! UZURI WA JK NI WEAKNESS ZAKE UMEWEZESHA MAZURI!
      Pasco likes this.

    8. Miaka 50

    9. #46
      MTAZAMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 4,229
      Rep Power : 2202
      Likes Received
      1811
      Likes Given
      2427

      Default re: Miongoni Mwa Mazuri ya Kikwete: "Has Good Sense of Humour"

      MTM kweli kabisa umemaliza!
      TIMING, Yo Yo and Pasco like this.

    10. #47
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default re: Miongoni Mwa Mazuri ya Kikwete: "Has Good Sense of Humour"

      Quote By Pasco
      Mkuu Jasusi, come 2015, tutaletewa mwingine anaechagulika na Watanzania, watamchagua!. Kama hakuna civic education ya kuwaeleza Watanzania wachague nini, then chochote tutakacholetewa tutachagua!

      Mimi chaguo langu kwa mgombea wa CCM ni EL, jamaa hajichekeshi, ni no nonsense man mwenye kutaka delivery, wengi humu hamumpendi kwa sababu ya mizigo aliyowabebea watu!. Kwa vile JK ni diplomat, alitoka foreign, na moja ya sifa za good diplomat ni kujua kujichanganya na watu na kusmile, ambazo JK anazo, basi jiandaeni kuletewa aliyeko foreign sasa, Mhe, Membe, he is good looking, he smiles good, na pia ni mtu wa watu, mkifuatilia baadhi ya hotuba zake, pia atakuwa na 'good sense of humour' ambazo ndizo sifa Watanzania wanazotaka kwa rais ajaye!, na tutamchagua kwa kishindo kuliko kile cha JK 2005 kwa sababu wapiga kura wengi zaidi ni wale wasomi zaidi, na wasomi wengi zaidi ni watu wa dini fulani zaidi, hivyo zitaongezeka japo kidogo, haswa kutegeeana na waraka wa wakati huo pia!
      Kwani hii hoja yako ni moja ya mazuri ya JK? Yes JK ni mtu mvumilivu sana. Ameweza kuvumilia watu kujieleza wanavyotaka, watu kuwa mafisadi wanavyotaka etc....na kikubwa ni uwezo wake wa kuwa rafiki na pande zote bila kuchagua upande wa kuegemea.
      Pasco likes this.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    11. #48
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default re: Miongoni Mwa Mazuri ya Kikwete: "Has Good Sense of Humour"

      Quote By Jasusi
      Naona hujasafiri nje ya nchi ndugu yangu. Nenda London kaulize nani pale alikuwa anamliwaza. Nenda Marekani kaulize ni akina nani waliolipiwa nauli kwenda kuweka joto kwenye viota vya mahaba. Don't even go there.
      Some of the things that people were so busy doing when travelling will come to revelation when the time is due...probably after somebody has come and the new team formulated and the new scandals come out...just trying to think aloud.
      Anyway, travelling abroad ni moja ya mafanikio makubwa ya utawala wa awamu hii...hakuna ubishi.
      Jasusi and Pasco like this.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    12. #49
      only83's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Dodoma-Mjengoni
      Posts : 4,157
      Rep Power : 1846
      Likes Received
      1431
      Likes Given
      1539

      Default re: Miongoni Mwa Mazuri ya Kikwete: "Has Good Sense of Humour"

      Zuri lingine ni kulinda marafiki wake pale anapohisi kuwa wanafanya madudu..hii ni moja ya sifa nzuri ya mkuu wa kaya,ana uwezo mkubwa wa kukulinda rafiki yake hata kama unafanya madudu.Namkubali kwa hili.
      MAMMAMIA and Pasco like this.
      "Problems can not be solved by the same level of thinking that created them"
      "Matatizo hayawezi kutatuliwa na uwezo ule ule mdogo wa watawala wa CCM walioyasababisha"




    13. #50
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6153
      Likes Given
      22273

      Default

      Quote By MTM
      Nimekusoma Pasco but i am worried unaposema some of us change for the better, and some change for worse... (knowing if you are better or worse, could be a long term process, requiring external observation as well as a few notable milestones between the timelines) it is difficult to say if you are heading in the right direction without external views, IMO

      But good luck in your endeavor but take it from me; something ahs changed and not to the good for you.... you have lost that neutrality and i even now see how opportunistic your are by tring to use JF views kwenye vipindi vyako unavyotaka ku-air. It is really bad when you think you are smart and can play with people philosophy thinking that it can always go your way

      If you want to succeed, dont be a puppet! but if you want a joyride, then you can be one... My daughter has a toy, it closes its eyes when put asleep and opens the eyes whenever kept in upright position; and she loves it!!!

      I AM SORRY BUT I AM WORRIED NA HIYO JOYRIDE UNAYOTAKA KUENJOY KWA MIGONGO YA JF

      Goodbye and Goodluck
      Mkuu MTM, thanks for being bold to call a spade a spade!.

      If you were doing something before and you left it for something else which is more paying than what you were getting, yuo simply justfy the move!.

      After a period of time you realise you were a better man before than what you are now, you decide to abandon what you do now and get set to do what you used to be, and plans ahead to do it in a better way!. In a planning stage you just say, channging for the better!.

      The issue of neutrality is a bone of contentions. You are in a jungle struggling for existance, and survival is only for the fittest!. In order to survive one might find himself doing the things he should never have done if that is the one and only way to survive!. I'm survivor!.

      Most preachers who claim to be men if God, are taking a joy ride by playing with peoples mind!. I'll also has to take a joy ride somewhere somehow but I will not play your mind away!. The use of jf mind was not a means but only a way!. As long as I have a means, I can always find my way out not necesarly through jf!. Hivyo don't worry kuwa ninataka kupanda juu kupitia mgongo wa jf!. The plan was to just to scratch my back and I'll scratch yours!. Mission abandoned!. Najipanga upya nitoke kivingine without jf!.

      Hoja ya a puppet or not, the end will justfy the means!.

      Thanks again Mkuu MTM,
      Back to mazuri ya JK!
      TIMING likes this.

    14. #51
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6153
      Likes Given
      22273

      Default

      Quote By MTAZAMO
      Hakuna mtu aliyeandika sentensi fupi na ikajumuisha yote kama wewe! UZURI WA JK NI WEAKNESS ZAKE UMEWEZESHA MAZURI!
      Mtazamo, kitendo cha turning weakness into streghth ni uwezo mkubwa, hivyo JK ana uwezo mkubwa transformation. Nilimsikiliza sana pale alipozungukia mawizara, he had a good vision na good plans ila watendaji wake ndio wamemlet down!. He is so kind, he can't just fire anybody!. Hata akikutana na Mama Nyoni, atamwambia sorry ni Pinda ila tulia kidogo watu wasahau nitakupeleka ubalozini nchi moja nzuri, ukatulie!, nikishakupeleka pia nitakua naitembelea nchi hiyo mara kwa mara!.
      MAMMAMIA likes this.

    15. #52
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,084
      Rep Power : 12251
      Likes Received
      6014
      Likes Given
      6851

      Default re: Miongoni Mwa Mazuri ya Kikwete: "Has Good Sense of Humour"

      Quote By Pasco
      Mkuu MTM, thanks for being bold to call a spade a spade!.

      If you were doing something before and you left it for something else which is more paying than what you were getting, yuo simply justfy the move!.

      After a period of time you realise you were a better man before than what you are now, you decide to abandon what you do now and get set to do what you used to be, and plans ahead to do it in a better way!. In a planning stage you just say, channging for the better!.

      The issue of neutrality is a bone of contentions. You are in a jungle struggling for existance, and survival is only for the fittest!. In order to survive one might find himself doing the things he should never have done if that is the one and only way to survive!. I'm survivor!.

      Most preachers who claim to be men if God, are taking a joy ride by playing with peoples mind!. I'll also has to take a joy ride somewhere somehow but I will not play your mind away!. The use of jf mind was not a means but only a way!. As long as I have a means, I can always find my way out not necesarly through jf!. Hivyo don't worry kuwa ninataka kupanda juu kupitia mgongo wa jf!. The plan was to just to scratch my back and I'll scratch yours!. Mission abandoned!. Najipanga upya nitoke kivingine without jf!.

      Hoja ya a puppet or not, the end will justfy the means!.

      Thanks again Mkuu MTM,
      Back to mazuri ya JK!
      Thanks Pasco... I hear you bro!! but don't say that you weren't warned [gone are the days where one cohort would enjoy the ride for 15 years, it has come down to a 4-5 year cycle; so get ready for like 5 more change of position along the way]
      Yo Yo, Pasco and manuu like this.
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    16. #53
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6153
      Likes Given
      22273

      Default

      Quote By Mabewa
      Ni rais mwenye huruma na upendo sana...j.k ana kipaji cha kupendwa na watu,Leo mchukie mseme vibaya lkn akija ktk eneo lako utashangaa watu watakavyokanyagana ili wamsalimie.
      nilishuhudia haya ktk msikiti wa kichangani alikuja kuswali(haiusiani na dini ni mfano tu)basi alipotoka akashangaa watu wanavyokanyagana wampe mkono mpk akatoa machozi mana hakutegemea na hata protocal team haikujiandaa na ulinzi mkubwa.Huyo ndo J.k mwenye good looking & good sense of humour.
      Mabewa, kusema ukweli kwenye hili, lazima tumpe 100% chini ya 100%!. last month alikuja Morogoro kuzindua jengo jipya la CAG, alipomaliza watu wakamzonga, ali hang out for few minutes na ordinary people lilikuwa kama zogo fulani!. Nadhani anawapa shida sana watu wa protocal na walinzi wake, kazi wanayo!.
      Mungu ambariki sana na tumuombee aitumie hiyo charm katika miaka hii mitatu iliyobakia kuleta maisha bora ya kweli kwa kila Mtanzania!.

    17. #54
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default re: Miongoni Mwa Mazuri ya Kikwete: "Has Good Sense of Humour"

      Quote By Saint Ivuga
      yaani wewe hueleweki unarahisha mambo sana..
      Nini ambacho hujakielewa?

      Mashule yanayokosa madawati utakuta yote yapo vijijini na utakuta vijiji hivyo hivyo vinakata miti na kuuza mbao na kuuza kuni badala ya kujitengenezea madawati ya shule zao, wanangoja handouts na au kufanyiwa.

      Kikwete kajenga mashule kwa kuwahamasisha hao hao kwenye kata zao na sasa ilikuwa wakati muafaka hao kwenye kata kuweka mikakati ya kujisaidia kuziendesha kwa ufanisi, kama kukusanyika na kujitengenezea madawati japo mawili au matatu kila wiki. Leo baada ya miaka 6 kungekuwa hakuna shida a madawati. Inabidi watanzania wajuwe kujituma wasingoje kutumikiwa tu.
      MAMMAMIA, TIMING, Pasco and 1 others like this.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    18. #55
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,084
      Rep Power : 12251
      Likes Received
      6014
      Likes Given
      6851

      Default re: Miongoni Mwa Mazuri ya Kikwete: "Has Good Sense of Humour"

      Quote By zomba
      Nini ambacho hujakielewa?

      Mashule yanayokosa madawati utakuta yote yapo vijijini na utakuta vijiji hivyo hivyo vinakata miti na kuuza mbao na kuuza kuni badala ya kujitengenezea madawati ya shule zao, wanangoja handouts na au kufanyiwa.

      Kikwete kajenga mashule kwa kuwahamasisha hao hao kwenye kata zao na sasa ilikuwa wakati muafaka hao kwenye kata kuweka mikakati ya kujisaidia kuziendesha kwa ufanisi, kama kukusanyika na kujitengenezea madawati japo mawili au matatu kila wiki. Leo baada ya miaka 6 kungekuwa hakuna shida a madawati. Inabidi watanzania wajuwe kujituma wasingoje kutumikiwa tu.
      Kamanda kwa hili una point kubwa sana!!!

      You have made my day... as Pasco say, you have called a SPADE, a SPADE and not a big spoon whatsoever

      YEs JK ana matatizo yake, lakini tusihamishe magoli sasa kwenye kila kitu, mwisho tutamuomba aje achimbe vyoo vya shimo huko bwisya na manyamanyama!!
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    19. #56
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default re: Miongoni Mwa Mazuri ya Kikwete: "Has Good Sense of Humour"

      Quote By MTM
      Kamanda kwa hili una point kubwa sana!!!

      You have made my day... as Pasco say, you have called a SPADE, a SPADE and not a big spoon whatsoever

      YEs JK ana matatizo yake, lakini tusihamishe magoli sasa kwenye kila kitu, mwisho tutamuomba aje achimbe vyoo vya shimo huko bwisya na manyamanyama!!
      This is exactly what is happening now, tunasikia shule hazina mashimo ya vyoo na hao wanakijiji na mabwana afya wa wilaya wanaruhusu watoto wanakwenda shule bila vyoo. Wakati hao hao watu wana pesa za kuzuia vipindupindu, wanazipeleka wapi? utawakuta wanakwenda kwenye restaurants na kukusanya rushwa badala ya kwenda kuweka mikakati watoto wakapata vyoo.

      Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni. Kikwete kawawekea mashule, basi hata mashimo ya vyoo mnashindwa? hata madawati? hata nyumba za walimu? mpaka aje Kikwete kuwahamasisha?

      Wabunge kazi yao kutafuta waandishi wa habari na kwenda nao kutoa handouts ili waonekane wanafanya la maana. Sijaona hata mmoja akiwakusanya wananchi na kuwa nao bega kwa bega katika mikakati ya kujitengenezea mashimo ya vyoo wala madawati wala nyumba za walimu, utasikia kapeleka bati alizopewa na barick jimboni kwake. What a way.

      Hakuna hata mbunge mmoja anaekuja na mkakati wa kusema ntazifanya shule zangu ziwe mfano wa kuigwa kwa kuwafanya wanachi wa jimbo langu waziendeshe kwa ufanisi mkubwa kabisa.
      TIMING likes this.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    20. #57
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default re: Miongoni Mwa Mazuri ya Kikwete: "Has Good Sense of Humour"

      Kikwete kafanya mazuri mengi sana.

      Ningependa na ningefurahi Kikwete angechaguwa mikoa miwili tu iliyokuwa mwisho kimaendeleo akamleta mzungu mmoja kila mkoa kuwa RC na kila wilaya za huo mkoa Mzungu mmoja kuwa DC na mmoja kuwa DD. na mmoja kuwa DFD, Halafu uone mabadiliko katika hiyo mikoa miwili. Wizi ungekwisha, rushwa ingekwisha na mikoa ingekuwa inatamanika kwa miaka 3 tu na kwa hiyo miaka mitatu hiyo mikoa itaondoka kuwa ya mwisho na kuwa ya kwanza kwa maendeleo.

      Mzungu = wa Mungu

      Afrika (derived from Afri t) = wa shetani.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    21. #58
      paulss's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th August 2009
      Posts : 3,610
      Rep Power : 4402
      Likes Received
      1086
      Likes Given
      977

      Default re: Miongoni Mwa Mazuri ya Kikwete: "Has Good Sense of Humour"

      Binafsi namkubali JK katika mambo yafuatayo: 1,Amejitahidi sana katika swala zima la demokrasia na uhuru wa kuongea kwa ujumla wake(mvumilivu wa kisiasa) 2,Ana nguvu kubwa sana ushawishi, tumeshuhudia akiamua anatumia vizuri sana hii rejea mgogoro wa Kenya, muungano, katiba mpya na wapinzani nk. 3.Kulingana na barabara alizozikuta amejitahidi sana kuongeza bara bara za kiwango cha lami na changarawe. 4.Kulinganisha na sekondari alizozikuta ameongeza sekondari kwa kiwango cha kuridhisha. 5.Amefanya vizuri katika ku maintain amani na utulivu wakati nchi ikiwa kwenye kipindi kigumu cha uchumi kwa wananchi. 6.Kafanikisha ujenzi wa UDOM kwa funds za ndani 7.Amefanya vizuri katika swala zima la uwezeshaji wa upatikanaji wa elimu ya juu 8.Mpenda michezo na amesapoti sana michezo hasa kandanda na kuinua hari ya kuipenda taifa stars kwa kuwawezesha makocha wataalamu. 9.He is good looking aka celebrity 10.Anaongoza chama kwa fuanisi mkubwa katika kipindi ambacho chama kipo kwenye wakati mgumu wa uwazi na uhuru na mpasuko mkubwa 11............................ ..........................load ing more to came
      Independent thinker
      Humu jf baadhi yetu wametengeneza haki miliki ya they way they think, you have to think like them and have drawn a line of where one has to belong, you are either "with us" or "against us", if you don't sail the same boat then you are an enemy!. -Pasco wa JF

    22. #59
      paulss's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th August 2009
      Posts : 3,610
      Rep Power : 4402
      Likes Received
      1086
      Likes Given
      977

      Default re: Miongoni Mwa Mazuri ya Kikwete: "Has Good Sense of Humour"

      Quote By zomba
      Kikwete kafanya mazuri mengi sana. Ningependa na ningefurahi Kikwete angechaguwa mikoa miwili tu iliyokuwa mwisho kimaendeleo akamleta mzungu mmoja kila mkoa kuwa RC na kila wilaya za huo mkoa Mzungu mmoja kuwa DC na mmoja kuwa DD. na mmoja kuwa DFD, Halafu uone mabadiliko katika hiyo mikoa miwili. Wizi ungekwisha, rushwa ingekwisha na mikoa ingekuwa inatamanika kwa miaka 3 tu na kwa hiyo miaka mitatu hiyo mikoa itaondoka kuwa ya mwisho na kuwa ya kwanza kwa maendeleo. Mzungu = wa Mungu Afrika (derived from Afri t) = wa shetani.
      Zomba nalazimika kukujibu haliyakuwa tupo nje ya topic. kumbe tatizo sio JK tatizo ni sisi kuwa Waafrika, maana hata ukimuweka Slaa bado sio mzungu, is that wahat you means? jitambue mkuu
      MAMMAMIA and Maundumula like this.
      Independent thinker
      Humu jf baadhi yetu wametengeneza haki miliki ya they way they think, you have to think like them and have drawn a line of where one has to belong, you are either "with us" or "against us", if you don't sail the same boat then you are an enemy!. -Pasco wa JF

    23. #60
      doctorz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th August 2010
      Location : Ilala, Dar Es Salaam
      Posts : 904
      Rep Power : 626
      Likes Received
      207
      Likes Given
      82

      Default re: Miongoni Mwa Mazuri ya Kikwete: "Has Good Sense of Humour"

      Unless if you call laughing when talking of disasters is humour. Why are you wasting your time on someone who does not help you in any way? Some people mister.............!!!!!!!!!!
      TIMING likes this.
      Great spirits have always encountered violent opposition from mediocre minds...

    Page 3 of 23 FirstFirst 1234513 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...