Gazeti la Seif Khatib lazuiliwa Pemba - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Jukwaa la Siasa


Jukwaa la Siasa Tanzania & World Politics General Discussion Forum. You need to be registered in order to post your comment(s)


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 12th January 2009, 06:26 PM   #1
Gazeti la Seif Khatib lazuiliwa Pemba
Mpita Njia Mpita Njia is offline 12th January 2009, 06:26 PM

Waziri Mohammed Seif Khatib, kupitia kampuni yake ya Zanzibar media Corporation aliamua kulibadili gazeti lake la Asumini na kuliita Taifa Huru. gazeti hili lilikuwa lizinduliwe leo wakati wa sherehe za mapinduzi. Kwa maandalizi yatari alishachapisha kopi 200 za gazeti hilo ambazo zilipangwa zigawiwe bure kwa watu watakaohudhuris maadhimisho ya sherehe za mapinduzi katika kiwanja cha Gombani hiko pemba.
lakini kwa mashanga wa Seif Khatib na wafanyakazi wake, vigogo wa SMZ (ambao hawajatajwa hadi sasa) walizuia kyugawanywa kwa gazeti hilo.
Msajili wa magazeti Zenji, Issa Mohamed anasema alishalisajili gazeti hilo bila matatizo na yeye anashangaa kwa nini viongozi hao wa serikali wamelizuia gazeti hilo.
Seif Khatib mwenyewe naye amesema hajua ni kwa nini gazeti lake limezuiliwa licha ya kutoa taarifa kwa wahusika kwua wamelenga kuchapisha gazeti na kuligawa bure kwa wasomaji watakaohudhuria sherehe za mapinduzi.
walioliona gazeti hilo wanasema limechapisha habari za kawaida tu, ambazo haziwezi kuwa kkigezo cha kulifungua gazeti

Mpita Njia
JF Premium Member
Points: 738,469, Level: 100 Points: 738,469, Level: 100 Points: 738,469, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
Join Date: Mon Mar 2008
Posts: 3,143
Thanks: 79
Thanked 89 Times in 58 Posts
Views: 417
Reply With Quote
  #2  
Old 12th January 2009, 06:38 PM
Masatu Masatu is offline
Masatu Is Magumashi
JF Senior Expert Member
Points: 733,039, Level: 100 Points: 733,039, Level: 100 Points: 733,039, Level: 100
Activity: 4% Activity: 4% Activity: 4%
 
Join Date: Mon Jan 2007
Location: Mbagala, Jeshini
Posts: 3,741
Thanks: 0
Thanked 88 Times in 66 Posts
Rep Power: 0
Masatu is infamous around these parts
Default Re: Gazeti la Seif Khatib lazuiliwa Pemba

Kinyanga'anyiro cha urais Zanzibar 2010 hicho kimeshaanza.

Halafu huu ujasiriamali mkorogo mtupu waziri yeye, entrepreneur yeye mmh haya...
__________________
Mkulima kala Mbegu......
Reply With Quote
  #3  
Old 12th January 2009, 09:22 PM
Black Jesus Black Jesus is offline
Black Jesus has no status.
Senior Member
Points: 63,401, Level: 100 Points: 63,401, Level: 100 Points: 63,401, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Fri Mar 2008
Posts: 202
Thanks: 0
Thanked 2 Times in 1 Post
Rep Power: 0
Black Jesus is infamous around these parts
Exclamation Re: Gazeti la Seif Khatib lazuiliwa Pemba

Quote:
View Post
Waziri Mohammed Seif Khatib, kupitia kampuni yake ya Zanzibar media Corporation aliamua kulibadili gazeti lake la Asumini na kuliita Taifa Huru. gazeti hili lilikuwa lizinduliwe leo wakati wa sherehe za mapinduzi. Kwa maandalizi yatari alishachapisha kopi 200 za gazeti hilo ambazo zilipangwa zigawiwe bure kwa watu watakaohudhuris maadhimisho ya sherehe za mapinduzi katika kiwanja cha Gombani hiko pemba.
lakini kwa mashanga wa Seif Khatib na wafanyakazi wake, vigogo wa SMZ (ambao hawajatajwa hadi sasa) walizuia kyugawanywa kwa gazeti hilo.
Msajili wa magazeti Zenji, Issa Mohamed anasema alishalisajili gazeti hilo bila matatizo na yeye anashangaa kwa nini viongozi hao wa serikali wamelizuia gazeti hilo.
Seif Khatib mwenyewe naye amesema hajua ni kwa nini gazeti lake limezuiliwa licha ya kutoa taarifa kwa wahusika kwua wamelenga kuchapisha gazeti na kuligawa bure kwa wasomaji watakaohudhuria sherehe za mapinduzi.
walioliona gazeti hilo wanasema limechapisha habari za kawaida tu, ambazo haziwezi kuwa kkigezo cha kulifungua gazeti
Kadri usiku utakavyokuwa mkubwa basi ni lazima Alfajiri itachomoza ( )
Reply With Quote
  #4  
Old 13th January 2009, 01:12 PM
Pakacha Pakacha is offline
Pakacha has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 85,785, Level: 100 Points: 85,785, Level: 100 Points: 85,785, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Tue Apr 2008
Posts: 637
Thanks: 23
Thanked 26 Times in 23 Posts
Rep Power: 23
Pakacha will become famous soon enoughPakacha will become famous soon enoughPakacha will become famous soon enoughPakacha will become famous soon enoughPakacha will become famous soon enoughPakacha will become famous soon enoughPakacha will become famous soon enoughPakacha will become famous soon enough
Default Re: Gazeti la Seif Khatib lazuiliwa Pemba

Quote:
View Post
Waziri Mohammed Seif Khatib, kupitia kampuni yake ya Zanzibar media Corporation aliamua kulibadili gazeti lake la Asumini na kuliita Taifa Huru. gazeti hili lilikuwa lizinduliwe leo wakati wa sherehe za mapinduzi. Kwa maandalizi yatari alishachapisha kopi 200 za gazeti hilo ambazo zilipangwa zigawiwe bure kwa watu watakaohudhuris maadhimisho ya sherehe za mapinduzi katika kiwanja cha Gombani hiko pemba.
lakini kwa mashanga wa Seif Khatib na wafanyakazi wake, vigogo wa SMZ (ambao hawajatajwa hadi sasa) walizuia kyugawanywa kwa gazeti hilo.
Msajili wa magazeti Zenji, Issa Mohamed anasema alishalisajili gazeti hilo bila matatizo na yeye anashangaa kwa nini viongozi hao wa serikali wamelizuia gazeti hilo.
Seif Khatib mwenyewe naye amesema hajua ni kwa nini gazeti lake limezuiliwa licha ya kutoa taarifa kwa wahusika kwua wamelenga kuchapisha gazeti na kuligawa bure kwa wasomaji watakaohudhuria sherehe za mapinduzi.
walioliona gazeti hilo wanasema limechapisha habari za kawaida tu, ambazo haziwezi kuwa kkigezo cha kulifungua gazeti
Tuweke pembeni suala la kuwa gazeti hilo ni la Mohameed Seif Khatib. Hilo ni gazeti la kibinafsi . Sherehe za Mapinduzi ni za Kitaifa na maadhimishao yake yanafanywa na Serikali. Hivi kuna umuhimu gani au uhalali gani wa kuruhusu gazeti hilo la Binafsi kuingizwa katika ratiba za sherehe zinazodhimishwa na Serikali katika uwanja wa Gombani? Nafikiri Mohammed Seif Khatib ange"organise" kihafla chake mbali na maadhimisho ya Gombani na akagawa kijigazeti chake bure kwa waalikwa ikiwa kama ni sehemu ya Kampuni yake kusherehekea Maadhimisho ya Sherehe za Mapinduzi na kuanzishwa kwa kijigazeti chake. Kwa maoni yangu ni sahihi kabisa Maofisa wa Habari kukuzuia kisiingilie mtiririko wa ratinba ya Gombani.
Reply With Quote
  #5  
Old 13th January 2009, 01:46 PM
Mpita Njia Mpita Njia is offline
Mpita Njia has no status.
JF Premium Member
Points: 738,469, Level: 100 Points: 738,469, Level: 100 Points: 738,469, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Mon Mar 2008
Posts: 3,143
Thanks: 79
Thanked 89 Times in 58 Posts
Rep Power: 29
Mpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enough
Default Re: Gazeti la Seif Khatib lazuiliwa Pemba

Quote:
View Post
Tuweke pembeni suala la kuwa gazeti hilo ni la Mohameed Seif Khatib. Hilo ni gazeti la kibinafsi . Sherehe za Mapinduzi ni za Kitaifa na maadhimishao yake yanafanywa na Serikali. Hivi kuna umuhimu gani au uhalali gani wa kuruhusu gazeti hilo la Binafsi kuingizwa katika ratiba za sherehe zinazodhimishwa na Serikali katika uwanja wa Gombani? Nafikiri Mohammed Seif Khatib ange"organise" kihafla chake mbali na maadhimisho ya Gombani na akagawa kijigazeti chake bure kwa waalikwa ikiwa kama ni sehemu ya Kampuni yake kusherehekea Maadhimisho ya Sherehe za Mapinduzi na kuanzishwa kwa kijigazeti chake. Kwa maoni yangu ni sahihi kabisa Maofisa wa Habari kukuzuia kisiingilie mtiririko wa ratinba ya Gombani.
Hoja sidhani kama ni kuingilia sherehe. Hoja ni kulizuia gazeti ambalo tayari limeshasajiliwa. kama ingekuwa ni hoja ya kutoingilia sherehe nadhani Seif Khatib angeambiwa akatafute sehemu nyingine ya kugawia gazeti lake. Lakini hata kama angegawa hilo gazeti wakatiw a sherehe hatua hiyo ingekuwa na athari gani?
Reply With Quote
  #6  
Old 13th January 2009, 02:22 PM
Pakacha Pakacha is offline
Pakacha has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 85,785, Level: 100 Points: 85,785, Level: 100 Points: 85,785, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Tue Apr 2008
Posts: 637
Thanks: 23
Thanked 26 Times in 23 Posts
Rep Power: 23
Pakacha will become famous soon enoughPakacha will become famous soon enoughPakacha will become famous soon enoughPakacha will become famous soon enoughPakacha will become famous soon enoughPakacha will become famous soon enoughPakacha will become famous soon enoughPakacha will become famous soon enough
Default Re: Gazeti la Seif Khatib lazuiliwa Pemba

Quote:
View Post
Hoja sidhani kama ni kuingilia sherehe. Hoja ni kulizuia gazeti ambalo tayari limeshasajiliwa. kama ingekuwa ni hoja ya kutoingilia sherehe nadhani Seif Khatib angeambiwa akatafute sehemu nyingine ya kugawia gazeti lake. Lakini hata kama angegawa hilo gazeti wakatiw a sherehe hatua hiyo ingekuwa na athari gani?
Nielewavyo mimi hakuzuiwa kusambaza gazeti lake aliloruhusiwa kisheria kuchapisha. amezuiwa kuligawa katika Sherere za Gombani na waandaaji wa Sherehe hizo (Serikali). Hivi ukiwa na sherehe zako (taarab) na ukakataza watu fulani wasitunze hapo (wataharibu madoido ya sherehe) itakuwa ni kosa? Unafikiri kama watatokea watu saba kama Mo'd Seif wakitaka kusambaza vijarida vyao hapo Jee uruhusu tu?
Reply With Quote
  #7  
Old 13th January 2009, 02:56 PM
campana campana is offline
campana has no status.
Member
Points: 63,940, Level: 100 Points: 63,940, Level: 100 Points: 63,940, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Dec 2008
Posts: 14
Thanks: 0
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power: 0
campana will become famous soon enoughcampana will become famous soon enoughcampana will become famous soon enoughcampana will become famous soon enoughcampana will become famous soon enoughcampana will become famous soon enoughcampana will become famous soon enoughcampana will become famous soon enough
Default Re: Gazeti la Seif Khatib lazuiliwa Pemba

Sheria na taratibu zao kandamizi zinawakandamiza wao sasa
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
gazeti, khatib, la, lazuiliwa, pemba, seif


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
CCM, CUF wapigana Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Siasa 9 19th May 2008 09:53 PM
CUF: SMZ ya Karume ina Ukaburu Mtu wa Pwani Jukwaa la Siasa 7 3rd May 2008 04:51 AM
Seif Khatib aja na lake kuhusu REDET Report Mtu wa Pwani Jukwaa la Siasa 18 16th December 2007 07:28 AM
Maalim Seif amsifu Rais Karume kwa mafanikio Mtu wa Pwani Jukwaa la Siasa 4 17th October 2007 09:09 PM
Seif Khatib: Kuzomewa Ni Gharama Ya Siasa maggid Jukwaa la Siasa 20 4th October 2007 02:59 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 07:40 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com