TMF|JamiiForums Blog
  • Member Login:
http://www.jamiiforums.com/zain.jpg

+ Reply to Topic
Results 1 to 7 of 7
  1. #1
    JF Premium Member Mpita Njia will become famous soon enough Mpita Njia will become famous soon enough Mpita Njia will become famous soon enough Mpita Njia will become famous soon enough Mpita Njia will become famous soon enough Mpita Njia will become famous soon enough Mpita Njia will become famous soon enough Mpita Njia will become famous soon enough
    Join Date
    Mon Mar 2008
    Posts
    3,443
    Thanks : 189
    Thanked 226 Times in 149 Posts
    Rep Power
    29

    Default Gazeti la Seif Khatib lazuiliwa Pemba

    Waziri Mohammed Seif Khatib, kupitia kampuni yake ya Zanzibar media Corporation aliamua kulibadili gazeti lake la Asumini na kuliita Taifa Huru. gazeti hili lilikuwa lizinduliwe leo wakati wa sherehe za mapinduzi. Kwa maandalizi yatari alishachapisha kopi 200 za gazeti hilo ambazo zilipangwa zigawiwe bure kwa watu watakaohudhuris maadhimisho ya sherehe za mapinduzi katika kiwanja cha Gombani hiko pemba.
    lakini kwa mashanga wa Seif Khatib na wafanyakazi wake, vigogo wa SMZ (ambao hawajatajwa hadi sasa) walizuia kyugawanywa kwa gazeti hilo.
    Msajili wa magazeti Zenji, Issa Mohamed anasema alishalisajili gazeti hilo bila matatizo na yeye anashangaa kwa nini viongozi hao wa serikali wamelizuia gazeti hilo.
    Seif Khatib mwenyewe naye amesema hajua ni kwa nini gazeti lake limezuiliwa licha ya kutoa taarifa kwa wahusika kwua wamelenga kuchapisha gazeti na kuligawa bure kwa wasomaji watakaohudhuria sherehe za mapinduzi.
    walioliona gazeti hilo wanasema limechapisha habari za kawaida tu, ambazo haziwezi kuwa kkigezo cha kulifungua gazeti

  2. #2
    JF Senior Expert Member Masatu is infamous around these parts
    Join Date
    Mon Jan 2007
    Location
    Mbagala, Jeshini
    Posts
    3,745
    Thanks : 0
    Thanked 96 Times in 68 Posts
    Rep Power
    0

    Default Re: Gazeti la Seif Khatib lazuiliwa Pemba

    Kinyanga'anyiro cha urais Zanzibar 2010 hicho kimeshaanza.

    Halafu huu ujasiriamali mkorogo mtupu waziri yeye, entrepreneur yeye mmh haya...
    Mkulima kala Mbegu......

  3. #3
    Senior Member Black Jesus is infamous around these parts
    Join Date
    Fri Mar 2008
    Posts
    207
    Thanks : 0
    Thanked 2 Times in 1 Post
    Rep Power
    0

    Exclamation Re: Gazeti la Seif Khatib lazuiliwa Pemba

    Quote Originally Posted by Mpita Njia View Post
    Waziri Mohammed Seif Khatib, kupitia kampuni yake ya Zanzibar media Corporation aliamua kulibadili gazeti lake la Asumini na kuliita Taifa Huru. gazeti hili lilikuwa lizinduliwe leo wakati wa sherehe za mapinduzi. Kwa maandalizi yatari alishachapisha kopi 200 za gazeti hilo ambazo zilipangwa zigawiwe bure kwa watu watakaohudhuris maadhimisho ya sherehe za mapinduzi katika kiwanja cha Gombani hiko pemba.
    lakini kwa mashanga wa Seif Khatib na wafanyakazi wake, vigogo wa SMZ (ambao hawajatajwa hadi sasa) walizuia kyugawanywa kwa gazeti hilo.
    Msajili wa magazeti Zenji, Issa Mohamed anasema alishalisajili gazeti hilo bila matatizo na yeye anashangaa kwa nini viongozi hao wa serikali wamelizuia gazeti hilo.
    Seif Khatib mwenyewe naye amesema hajua ni kwa nini gazeti lake limezuiliwa licha ya kutoa taarifa kwa wahusika kwua wamelenga kuchapisha gazeti na kuligawa bure kwa wasomaji watakaohudhuria sherehe za mapinduzi.
    walioliona gazeti hilo wanasema limechapisha habari za kawaida tu, ambazo haziwezi kuwa kkigezo cha kulifungua gazeti
    Kadri usiku utakavyokuwa mkubwa basi ni lazima Alfajiri itachomoza ( )

  4. #4
    JF Senior Expert Member Pakacha will become famous soon enough Pakacha will become famous soon enough Pakacha will become famous soon enough Pakacha will become famous soon enough Pakacha will become famous soon enough Pakacha will become famous soon enough Pakacha will become famous soon enough Pakacha will become famous soon enough
    Join Date
    Tue Apr 2008
    Posts
    640
    Thanks : 23
    Thanked 28 Times in 25 Posts
    Rep Power
    24

    Default Re: Gazeti la Seif Khatib lazuiliwa Pemba

    Quote Originally Posted by Mpita Njia View Post
    Waziri Mohammed Seif Khatib, kupitia kampuni yake ya Zanzibar media Corporation aliamua kulibadili gazeti lake la Asumini na kuliita Taifa Huru. gazeti hili lilikuwa lizinduliwe leo wakati wa sherehe za mapinduzi. Kwa maandalizi yatari alishachapisha kopi 200 za gazeti hilo ambazo zilipangwa zigawiwe bure kwa watu watakaohudhuris maadhimisho ya sherehe za mapinduzi katika kiwanja cha Gombani hiko pemba.
    lakini kwa mashanga wa Seif Khatib na wafanyakazi wake, vigogo wa SMZ (ambao hawajatajwa hadi sasa) walizuia kyugawanywa kwa gazeti hilo.
    Msajili wa magazeti Zenji, Issa Mohamed anasema alishalisajili gazeti hilo bila matatizo na yeye anashangaa kwa nini viongozi hao wa serikali wamelizuia gazeti hilo.
    Seif Khatib mwenyewe naye amesema hajua ni kwa nini gazeti lake limezuiliwa licha ya kutoa taarifa kwa wahusika kwua wamelenga kuchapisha gazeti na kuligawa bure kwa wasomaji watakaohudhuria sherehe za mapinduzi.
    walioliona gazeti hilo wanasema limechapisha habari za kawaida tu, ambazo haziwezi kuwa kkigezo cha kulifungua gazeti
    Tuweke pembeni suala la kuwa gazeti hilo ni la Mohameed Seif Khatib. Hilo ni gazeti la kibinafsi . Sherehe za Mapinduzi ni za Kitaifa na maadhimishao yake yanafanywa na Serikali. Hivi kuna umuhimu gani au uhalali gani wa kuruhusu gazeti hilo la Binafsi kuingizwa katika ratiba za sherehe zinazodhimishwa na Serikali katika uwanja wa Gombani? Nafikiri Mohammed Seif Khatib ange"organise" kihafla chake mbali na maadhimisho ya Gombani na akagawa kijigazeti chake bure kwa waalikwa ikiwa kama ni sehemu ya Kampuni yake kusherehekea Maadhimisho ya Sherehe za Mapinduzi na kuanzishwa kwa kijigazeti chake. Kwa maoni yangu ni sahihi kabisa Maofisa wa Habari kukuzuia kisiingilie mtiririko wa ratinba ya Gombani.

  5. #5
    JF Premium Member Mpita Njia will become famous soon enough Mpita Njia will become famous soon enough Mpita Njia will become famous soon enough Mpita Njia will become famous soon enough Mpita Njia will become famous soon enough Mpita Njia will become famous soon enough Mpita Njia will become famous soon enough Mpita Njia will become famous soon enough
    Join Date
    Mon Mar 2008
    Posts
    3,443
    Thanks : 189
    Thanked 226 Times in 149 Posts
    Rep Power
    29

    Default Re: Gazeti la Seif Khatib lazuiliwa Pemba

    Quote Originally Posted by Pakacha View Post
    Tuweke pembeni suala la kuwa gazeti hilo ni la Mohameed Seif Khatib. Hilo ni gazeti la kibinafsi . Sherehe za Mapinduzi ni za Kitaifa na maadhimishao yake yanafanywa na Serikali. Hivi kuna umuhimu gani au uhalali gani wa kuruhusu gazeti hilo la Binafsi kuingizwa katika ratiba za sherehe zinazodhimishwa na Serikali katika uwanja wa Gombani? Nafikiri Mohammed Seif Khatib ange"organise" kihafla chake mbali na maadhimisho ya Gombani na akagawa kijigazeti chake bure kwa waalikwa ikiwa kama ni sehemu ya Kampuni yake kusherehekea Maadhimisho ya Sherehe za Mapinduzi na kuanzishwa kwa kijigazeti chake. Kwa maoni yangu ni sahihi kabisa Maofisa wa Habari kukuzuia kisiingilie mtiririko wa ratinba ya Gombani.
    Hoja sidhani kama ni kuingilia sherehe. Hoja ni kulizuia gazeti ambalo tayari limeshasajiliwa. kama ingekuwa ni hoja ya kutoingilia sherehe nadhani Seif Khatib angeambiwa akatafute sehemu nyingine ya kugawia gazeti lake. Lakini hata kama angegawa hilo gazeti wakatiw a sherehe hatua hiyo ingekuwa na athari gani?

  6. #6
    JF Senior Expert Member Pakacha will become famous soon enough Pakacha will become famous soon enough Pakacha will become famous soon enough Pakacha will become famous soon enough Pakacha will become famous soon enough Pakacha will become famous soon enough Pakacha will become famous soon enough Pakacha will become famous soon enough
    Join Date
    Tue Apr 2008
    Posts
    640
    Thanks : 23
    Thanked 28 Times in 25 Posts
    Rep Power
    24

    Default Re: Gazeti la Seif Khatib lazuiliwa Pemba

    Quote Originally Posted by Mpita Njia View Post
    Hoja sidhani kama ni kuingilia sherehe. Hoja ni kulizuia gazeti ambalo tayari limeshasajiliwa. kama ingekuwa ni hoja ya kutoingilia sherehe nadhani Seif Khatib angeambiwa akatafute sehemu nyingine ya kugawia gazeti lake. Lakini hata kama angegawa hilo gazeti wakatiw a sherehe hatua hiyo ingekuwa na athari gani?
    Nielewavyo mimi hakuzuiwa kusambaza gazeti lake aliloruhusiwa kisheria kuchapisha. amezuiwa kuligawa katika Sherere za Gombani na waandaaji wa Sherehe hizo (Serikali). Hivi ukiwa na sherehe zako (taarab) na ukakataza watu fulani wasitunze hapo (wataharibu madoido ya sherehe) itakuwa ni kosa? Unafikiri kama watatokea watu saba kama Mo'd Seif wakitaka kusambaza vijarida vyao hapo Jee uruhusu tu?

  7. #7
    Member campana will become famous soon enough campana will become famous soon enough campana will become famous soon enough campana will become famous soon enough campana will become famous soon enough campana will become famous soon enough campana will become famous soon enough campana will become famous soon enough
    Join Date
    Tue Dec 2008
    Posts
    24
    Thanks : 1
    Thanked 7 Times in 5 Posts
    Rep Power
    0

    Default Re: Gazeti la Seif Khatib lazuiliwa Pemba

    Sheria na taratibu zao kandamizi zinawakandamiza wao sasa


 

Topic Information

Users Browsing this Topic

There are currently 1 users browsing this thread. (0 members and 1 guests)

     

Tags for this Topic

Bookmarks

Posting Permissions

  • You may not post new threads
  • You may not post replies
  • You may not post attachments
  • You may not edit your posts