SOURCE: itv news
Anasema wabunge wa Tanzania ndio wanaongoza kwa kulipwa posho ndogo duniani na hata wabunge wa nchi jirani kama Kenya wanawashangaa.
SOURCE: itv news
Anasema wabunge wa Tanzania ndio wanaongoza kwa kulipwa posho ndogo duniani na hata wabunge wa nchi jirani kama Kenya wanawashangaa.
Leo hii kaja na kali nyingine!
Mh. Spika Anna Makinda amesema nusu ya wabunge wetu wanataka kuacha ubunge kutokana na ukata,
Je, hii ni kweli? na kama ni kweli,Je, wabunge wa CDM nao wamo?
Source - ITV taharifa ya habari jioni hii
Hakuna kazi ngumu na mbaya hapa duniani kama kuukataa ukweli....na kuufanya uongo ndiyo ukweli:Tafakari!
Wanaficha sababu ni kuwa kuanzia bunge lijalo posho hakuna
Nnapomshangaa anazungumza swanglish huko njoluma sijui wanamwelewaje? Mama anahalalisha posho
Jamani ukishangaa ya Musa basi subiri uyaone ya Firauni, Ana Makinda leo alikuwa anawahutubia wapiga kura wake wa Njombe na kuwaeleza ETI nusu ya wabunge wamemwambia wanataka kuacha ubunge kwa sababu kazi ya ubunge haina pesa, ila yeye Anne Makinda ndio amewabembeleza wasifanye hivyo ili kuokoa pesa za kuita uchaguzi mwingine!!
Source: ITV, Taarifa ya habari ya saa 2 usiku huu.
My Take: Watanzania wenzangu hivi mnasubili mpaka hawa viongozi uchwara watutie vidole vya makalioni ndio tujuwe kwamba wanatuzarau to the maximum!!?? nadhani sasa imetosha tuwe na utaratibu wa kuanza kuwachalaza bakora watu wanaoleta kauli za kuudhi kama huyu Spika Makinda.
WAFU: Hawa ni maiti wako Hai ila ni mazoba, hata wakiambiwa na CCM walipie PUMZI na USINGIZI watalipia ingawa hawana kitu. Wanakubaliana na kila hali hawajui kupinga wala kukataa, hawana tofauti na mabehewa ya treni kinakokwenda kichwa ndiko wanakokwenda wao.
Itakuwa vema sana kama wameona wameshindwa kutumikia wananchi na kujitumikia wenyewe na kutetea maovu ya serikali. Ni vema tubakiwe na wawakilishi wachache ila wenye nia dhabiti ya kulitumikia Taifa.
"Wisdom is not a product of schooling, but of the lifelong attempt to acquire it"
Nimemuona anaongea utumbo mtupu.. ati ooh wanalipwa kiduchu kuliko mabunge mengine yeyote.. sasa kama wanataka kuacha ci waache.. kwani tuliwatuma..? ci walikuja wenyewe kuomba.. damn.. yaani wananikera kweli hawa.. pumba pumba pumba..
Mama bado anakomaa na mambo ya posho? yeye anaona wenye hari ngumu ni wabunge pekee!
Anawahutubia wazee hata hela ya kununua mafuta ya taa hawans unaeleza posho ya 200,000 haiwatoshi daaaah aliyeshiba hamjui mwenye njaa.
Ametoa mapovu na nusu ya maneno aliyozungumza ni uongo mtupu. Kweli mtaji wa magamba ni ujinga ........ Mpaka msoma habari wa ITV kacheka lol..... Magamba are Dogs in a manger lolz...
Verbal Diarrhea Dehydrates Human Dignity
Hakuna kazi ngumu na mbaya hapa duniani kama kuukataa ukweli....na kuufanya uongo ndiyo ukweli:Tafakari!
Write a comment...
Mimi Mwanakijiji
Kama Ubunge ni "umaskini" kwanini matajiri wanafanya kazi kubwa sana kuutafuta? Ingekuwa vizuri tuwape maskini maana hao tayari "umaskini" wameshauzoea!
WAFU: Hawa ni maiti wako Hai ila ni mazoba, hata wakiambiwa na CCM walipie PUMZI na USINGIZI watalipia ingawa hawana kitu. Wanakubaliana na kila hali hawajui kupinga wala kukataa, hawana tofauti na mabehewa ya treni kinakokwenda kichwa ndiko wanakokwenda wao.
Nadhani kuna kitu nyuma ya pazia...kauli za huyu mama kwa wiki hii ni za kutatanisha....mara hatagombea ubunge 2015...mara anataka kuchukua mkopo benki ajenge...leo tena katoka kivingine!..Yangu macho na masikio...ngoja nisubiri.
bora waachie ngazi kumbe hawako pale kwa maslah ya taifa wapo kwa maslah yao haina maana nibora waondoke.tena mm naomba mungu magamba wote watoke vijana cdm waongoze kua na wabunge weng
Yooo maaaweee!!!!
Wanasubiri nini!!?? Ila wakumbuke marejesho ya mikopo waliyochukua kuonga wapiga kura!!
Hakuna kazi ngumu na mbaya hapa duniani kama kuukataa ukweli....na kuufanya uongo ndiyo ukweli:Tafakari!
Duh huyu mama kanistua sijui ndoo uzee unamnyemelea ina maana ndo maana na yeye ameamua asigombee tena uchaguzi ujao?fine manake miaka yake yote 17 pamoja na kuwa bacherol mzoefu bado analalamika duh! nchii hi bwana na je angekuwa anasomesha mtoto feza au chuo kikuu igekuwaje..anasema sisi ndo wabunge wetu wanalipwa kiasi kidogo kuliko wabunge wengine wa afrika kwa sekta nyingine katika rank tupo wangapi?na je tanzania ni ya ngapi kwa umaskini duniani?au anataka tuwe sawa na nigeria au south afrika?duh kweli chadema mnatisha!!moto ule ule mpaka wajiuzulu wote this time watagombea walimu wa shule za msingi wenye shida wakatutetee
Hivi huyu ni mwanamke au msichana au bibi! Simwelewi kabisa
mama anapenda hela huyu..au ndo hizo anazoyaka kwenda kujengea nyumba yake-maana kadai hana nyumba
“Talk slowly but think quickly”
[QUOTE=samirnasri;3392389]Anasema wabunge wa tanzania ndio wanaongoza kwa kulipwa posho ndogo duniani na hata wabunge wa nchi jirani kama kenya wanawashangaa.[/QUOTE
wabunge wa tanzania wanaishi tanzania wanafanya kazi tanzania, watalipwa kulingana na uchumi wa tanzania, kama kuna anae taka kulipwa kama wa nchi nyingine si aende akagombee huko duniani anakokusema?.yeye anataka awe mbunge tanzania halafu alipwe kwa kiwango cha duniani? mbona hasemi umasikini wa kule njombe anakotoka? au yeye siyo wa njombe?
Huyu mama akachekiwe akili!
Inasikisha kweli.Huyu mama anatumiwa sana,
Kwani wana elimu gani mpaka walipwe mshahara mkubwa?
Shibuda na Joseph Selasini ndio wazee wa posho kutoka CHADEMA. ila hii taarifa ya Makinda ni sawa na kuwafanya wapiga kura wake wa Njombe kwamba hawana uwezo wa kufikiri, hii ni dharau kubwa sana kwa viwango vyovyote vile. leo kuna watu wanatafuta kazi ya kubeba zege na haipatikani ndio ije mtu atake kukataa kazi ya kwenda kulala Bungeni!!?? haya ni matusi.
WAFU: Hawa ni maiti wako Hai ila ni mazoba, hata wakiambiwa na CCM walipie PUMZI na USINGIZI watalipia ingawa hawana kitu. Wanakubaliana na kila hali hawajui kupinga wala kukataa, hawana tofauti na mabehewa ya treni kinakokwenda kichwa ndiko wanakokwenda wao.
Follow Us Here