TiGo Internet
    Show/Hide This

    Topic: MAKINDA: Nusu ya wabunge wataka kuacha ubunge kutokana na hali ngumu ya maisha

    Report Post
    Page 1 of 9 123 ... LastLast
    Results 1 to 30 of 254
    1. #1
      samirnasri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 1,168
      Rep Power : 614
      Likes Received
      159
      Likes Given
      43

      Default MAKINDA: Nusu ya wabunge wataka kuacha ubunge kutokana na hali ngumu ya maisha

      SOURCE: itv news

      Anasema wabunge wa Tanzania ndio wanaongoza kwa kulipwa posho ndogo duniani na hata wabunge wa nchi jirani kama Kenya wanawashangaa.


    2. #2
      mshikachuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2010
      Posts : 1,428
      Rep Power : 662
      Likes Received
      268
      Likes Given
      2188

      Default Nusu ya wabunge wanataka kuacha kazi: Anna Makinda

      Leo hii kaja na kali nyingine!

      Mh. Spika Anna Makinda amesema nusu ya wabunge wetu wanataka kuacha ubunge kutokana na ukata,
      Je, hii ni kweli? na kama ni kweli,Je, wabunge wa CDM nao wamo?

      Source - ITV taharifa ya habari jioni hii
      MWananyati likes this.
      Hakuna kazi ngumu na mbaya hapa duniani kama kuukataa ukweli....na kuufanya uongo ndiyo ukweli:Tafakari!

    3. #3
      EasyFit's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Posts : 816
      Rep Power : 510
      Likes Received
      561
      Likes Given
      191

      Default Re: MAKINDA: Nusu ya wabunge wataka kuacha ubunge kutokana na hali ngumu ya maisha

      Wanaficha sababu ni kuwa kuanzia bunge lijalo posho hakuna

    4. #4
      Takeuchi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Posts : 73
      Rep Power : 285
      Likes Received
      15
      Likes Given
      0

      Default Re: MAKINDA: Nusu ya wabunge wataka kuacha ubunge kutokana na hali ngumu ya maisha

      Nnapomshangaa anazungumza swanglish huko njoluma sijui wanamwelewaje? Mama anahalalisha posho

    5. #5
      Matola's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 5,872
      Rep Power : 10399
      Likes Received
      2479
      Likes Given
      1794

      Default Fiksi za Makinda: Wabunge wanataka kuacha Ubunge kwa sababu wameishiwa pesa!!

      Jamani ukishangaa ya Musa basi subiri uyaone ya Firauni, Ana Makinda leo alikuwa anawahutubia wapiga kura wake wa Njombe na kuwaeleza ETI nusu ya wabunge wamemwambia wanataka kuacha ubunge kwa sababu kazi ya ubunge haina pesa, ila yeye Anne Makinda ndio amewabembeleza wasifanye hivyo ili kuokoa pesa za kuita uchaguzi mwingine!!
      Source: ITV, Taarifa ya habari ya saa 2 usiku huu.

      My Take: Watanzania wenzangu hivi mnasubili mpaka hawa viongozi uchwara watutie vidole vya makalioni ndio tujuwe kwamba wanatuzarau to the maximum!!?? nadhani sasa imetosha tuwe na utaratibu wa kuanza kuwachalaza bakora watu wanaoleta kauli za kuudhi kama huyu Spika Makinda.
      WAFU: Hawa ni maiti wako Hai ila ni mazoba, hata wakiambiwa na CCM walipie PUMZI na USINGIZI watalipia ingawa hawana kitu. Wanakubaliana na kila hali hawajui kupinga wala kukataa, hawana tofauti na mabehewa ya treni kinakokwenda kichwa ndiko wanakokwenda wao.

    6. #6
      Lyimo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 499
      Rep Power : 723
      Likes Received
      146
      Likes Given
      215

      Default Re: Nusu ya wabunge wanataka kuacha kazi: Anna Makinda

      Itakuwa vema sana kama wameona wameshindwa kutumikia wananchi na kujitumikia wenyewe na kutetea maovu ya serikali. Ni vema tubakiwe na wawakilishi wachache ila wenye nia dhabiti ya kulitumikia Taifa.
      mshikachuma likes this.
      "Wisdom is not a product of schooling, but of the lifelong attempt to acquire it"

    7. #7
      sosoliso's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2009
      Posts : 425
      Rep Power : 544
      Likes Received
      152
      Likes Given
      74

      Default Re: Nusu ya wabunge wanataka kuacha kazi: Anna Makinda

      Nimemuona anaongea utumbo mtupu.. ati ooh wanalipwa kiduchu kuliko mabunge mengine yeyote.. sasa kama wanataka kuacha ci waache.. kwani tuliwatuma..? ci walikuja wenyewe kuomba.. damn.. yaani wananikera kweli hawa.. pumba pumba pumba..
      mshikachuma likes this.

    8. #8
      mgodi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Posts : 734
      Rep Power : 527
      Likes Received
      70
      Likes Given
      65

      Default Re: Nusu ya wabunge wanataka kuacha kazi: Anna Makinda

      Mama bado anakomaa na mambo ya posho? yeye anaona wenye hari ngumu ni wabunge pekee!

    9. #9
      Blaki Womani's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Location : migombani
      Posts : 2,562
      Rep Power : 20924
      Likes Received
      1243
      Likes Given
      803

      Default Re: MAKINDA: Nusu ya wabunge wataka kuacha ubunge kutokana na hali ngumu ya maisha

      Anawahutubia wazee hata hela ya kununua mafuta ya taa hawans unaeleza posho ya 200,000 haiwatoshi daaaah aliyeshiba hamjui mwenye njaa.

    10. #10
      Bukanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th December 2010
      Location : Mmahare!
      Posts : 1,174
      Rep Power : 610
      Likes Received
      302
      Likes Given
      708

      Default Re: MAKINDA: Nusu ya wabunge wataka kuacha ubunge kutokana na hali ngumu ya maisha

      Ametoa mapovu na nusu ya maneno aliyozungumza ni uongo mtupu. Kweli mtaji wa magamba ni ujinga ........ Mpaka msoma habari wa ITV kacheka lol..... Magamba are Dogs in a manger lolz...
      Verbal Diarrhea Dehydrates Human Dignity

    11. #11
      mshikachuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2010
      Posts : 1,428
      Rep Power : 662
      Likes Received
      268
      Likes Given
      2188

      Default Re: Nusu ya wabunge wanataka kuacha kazi: Anna Makinda

      Quote By Lyimo View Post
      Itakuwa vema sana kama wameona wameshindwa kutumikia wananchi na kujitumikia wenyewe na kutetea maovu ya serikali. Ni vema tubakiwe na wawakilishi wachache ila wenye nia dhabiti ya kulitumikia Taifa.
      Amesema wabunge waliowengi waliutafuta ubunge kwa kuwa walisikia mshahara wa bunge ni Tsh mil 12
      Lakini walipoingia mjengoni wamekuta hali ni tofauti kabisa....so wanataka kuachia ngazi
      Hakuna kazi ngumu na mbaya hapa duniani kama kuukataa ukweli....na kuufanya uongo ndiyo ukweli:Tafakari!


    12. #12
      Tikerra's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2008
      Location : Morogoro
      Posts : 1,309
      Rep Power : 755
      Likes Received
      65
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By samirnasri View Post
      SOURCE: itv news
      Hata wakiacha hatuta loose chochote.Mbona kwanza hawatusaidii lolote.Ufisadi mtupu.

    13. #13
      mgodi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Posts : 734
      Rep Power : 527
      Likes Received
      70
      Likes Given
      65

      Default

      Quote By Lyimo View Post
      Itakuwa vema sana kama wameona wameshindwa kutumikia wananchi na kujitumikia wenyewe na kutetea maovu ya serikali. Ni vema tubakiwe na wawakilishi wachache ila wenye nia dhabiti ya kulitumikia Taifa.
      Tena kwa kuongezea hata nahao mawaziri nao pia wapungue, ili tuweze kubana bajeti vizuri.
      mshikachuma likes this.

    14. #14
      Matola's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 5,872
      Rep Power : 10399
      Likes Received
      2479
      Likes Given
      1794

      Default Re: Nusu ya wabunge wanataka kuacha kazi: Anna Makinda

      Write a comment...
      Mimi Mwanakijiji


      Kama Ubunge ni "umaskini" kwanini matajiri wanafanya kazi kubwa sana kuutafuta? Ingekuwa vizuri tuwape maskini maana hao tayari "umaskini" wameshauzoea!

      Lyimo, Tom, mshangama and 4 others like this.
      WAFU: Hawa ni maiti wako Hai ila ni mazoba, hata wakiambiwa na CCM walipie PUMZI na USINGIZI watalipia ingawa hawana kitu. Wanakubaliana na kila hali hawajui kupinga wala kukataa, hawana tofauti na mabehewa ya treni kinakokwenda kichwa ndiko wanakokwenda wao.

    15. #15
      Idimulwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th May 2011
      Posts : 1,063
      Rep Power : 568
      Likes Received
      294
      Likes Given
      140

      Default

      Nadhani kuna kitu nyuma ya pazia...kauli za huyu mama kwa wiki hii ni za kutatanisha....mara hatagombea ubunge 2015...mara anataka kuchukua mkopo benki ajenge...leo tena katoka kivingine!..Yangu macho na masikio...ngoja nisubiri.

    16. #16
      adobe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th July 2010
      Posts : 296
      Rep Power : 454
      Likes Received
      23
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By mshikachuma View Post
      Leo hii kaja na kali nyingine!

      Mh. Spika Anna Makinda amesema nusu ya wabunge wetu wanataka kuacha ubunge kutokana na ukata,
      Je, hii ni kweli? na kama ni kweli,Je, wabunge wa CDM nao wamo?

      Source - ITV taharifa ya habari jioni hii
      nimemshangaa sana huyu mama sijui uelewa wake ukoje.hao wabunge walitumwa au kulazimishwa hio kazi?mbona wanangangania hebu waache.kudadadeki

    17. #17
      mkiva's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th January 2012
      Posts : 208
      Rep Power : 358
      Likes Received
      28
      Likes Given
      0

      Default Re: Nusu ya wabunge wanataka kuacha kazi: Anna Makinda

      bora waachie ngazi kumbe hawako pale kwa maslah ya taifa wapo kwa maslah yao haina maana nibora waondoke.tena mm naomba mungu magamba wote watoke vijana cdm waongoze kua na wabunge weng

    18. #18
      Gobegobe's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 23rd November 2010
      Posts : 233
      Rep Power : 424
      Likes Received
      22
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By samirnasri View Post
      Anasema wabunge wa tanzania ndio wanaongoza kwa kulipwa posho ndogo duniani na hata wabunge wa nchi jirani kama kenya wanawashangaa.
      Ngumu kumeza!

    19. #19
      STIDE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st September 2011
      Posts : 402
      Rep Power : 422
      Likes Received
      123
      Likes Given
      0

      Default Re: Nusu ya wabunge wanataka kuacha kazi: Anna Makinda

      Yooo maaaweee!!!!
      Wanasubiri nini!!?? Ila wakumbuke marejesho ya mikopo waliyochukua kuonga wapiga kura!!
      mwabaluhi likes this.

    20. #20
      mshikachuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2010
      Posts : 1,428
      Rep Power : 662
      Likes Received
      268
      Likes Given
      2188

      Default Re: Nusu ya wabunge wanataka kuacha kazi: Anna Makinda

      Quote By Matola View Post
      Write a comment...
      Mimi Mwanakijiji


      Kama Ubunge ni "umaskini" kwanini matajiri wanafanya kazi kubwa sana kuutafuta? Ingekuwa vizuri tuwape maskini maana hao tayari "umaskini" wameshauzoea!
      Kitu ambacho bado kinanichanganya kwenye hii taharifa ya huyu mama ni Je, wabunge wa Chadema nao wamo
      kwenye hilo sakata la kung'atuka kutokana na maslahi madogo au ni wabunge wa CCM tu?
      Hakuna kazi ngumu na mbaya hapa duniani kama kuukataa ukweli....na kuufanya uongo ndiyo ukweli:Tafakari!

    21. #21
      kasenene's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th June 2008
      Posts : 69
      Rep Power : 520
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: Nusu ya wabunge wanataka kuacha kazi: Anna Makinda

      Duh huyu mama kanistua sijui ndoo uzee unamnyemelea ina maana ndo maana na yeye ameamua asigombee tena uchaguzi ujao?fine manake miaka yake yote 17 pamoja na kuwa bacherol mzoefu bado analalamika duh! nchii hi bwana na je angekuwa anasomesha mtoto feza au chuo kikuu igekuwaje..anasema sisi ndo wabunge wetu wanalipwa kiasi kidogo kuliko wabunge wengine wa afrika kwa sekta nyingine katika rank tupo wangapi?na je tanzania ni ya ngapi kwa umaskini duniani?au anataka tuwe sawa na nigeria au south afrika?duh kweli chadema mnatisha!!moto ule ule mpaka wajiuzulu wote this time watagombea walimu wa shule za msingi wenye shida wakatutetee
      Amanikavu likes this.

    22. #22
      Ngoiva's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th November 2011
      Posts : 204
      Rep Power : 367
      Likes Received
      36
      Likes Given
      0

      Default Re: MAKINDA: Nusu ya wabunge wataka kuacha ubunge kutokana na hali ngumu ya maisha

      Hivi huyu ni mwanamke au msichana au bibi! Simwelewi kabisa
      gmosha48 and OLESAIDIMU like this.

    23. #23
      Edward Teller's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Area 51
      Posts : 3,234
      Rep Power : 1028
      Likes Received
      532
      Likes Given
      573

      Default Re: MAKINDA: Nusu ya wabunge wataka kuacha ubunge kutokana na hali ngumu ya maisha

      mama anapenda hela huyu..au ndo hizo anazoyaka kwenda kujengea nyumba yake-maana kadai hana nyumba
      mshikachuma likes this.
      “Talk slowly but think quickly”

    24. #24
      mshikachuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2010
      Posts : 1,428
      Rep Power : 662
      Likes Received
      268
      Likes Given
      2188

      Default Re: Nusu ya wabunge wanataka kuacha kazi: Anna Makinda

      Quote By mkiva View Post
      bora waachie ngazi kumbe hawako pale kwa maslah ya taifa wapo kwa maslah yao haina maana nibora waondoke.tena mm naomba mungu magamba wote watoke vijana cdm waongoze kua na wabunge weng
      Je, unajuwaje kama wabunge wa CDM kama nao hawamo kwenye sakata hili?
      Hakuna kazi ngumu na mbaya hapa duniani kama kuukataa ukweli....na kuufanya uongo ndiyo ukweli:Tafakari!

    25. #25
      Kindimbajuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th July 2009
      Posts : 362
      Rep Power : 927
      Likes Received
      90
      Likes Given
      85

      Default Re: MAKINDA: Nusu ya wabunge wataka kuacha ubunge kutokana na hali ngumu ya maisha

      [QUOTE=samirnasri;3392389]Anasema wabunge wa tanzania ndio wanaongoza kwa kulipwa posho ndogo duniani na hata wabunge wa nchi jirani kama kenya wanawashangaa.[/QUOTE

      wabunge wa tanzania wanaishi tanzania wanafanya kazi tanzania, watalipwa kulingana na uchumi wa tanzania, kama kuna anae taka kulipwa kama wa nchi nyingine si aende akagombee huko duniani anakokusema?.yeye anataka awe mbunge tanzania halafu alipwe kwa kiwango cha duniani? mbona hasemi umasikini wa kule njombe anakotoka? au yeye siyo wa njombe?

    26. #26
      marejesho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Posts : 814
      Rep Power : 534
      Likes Received
      165
      Likes Given
      42

      Default Re: Nusu ya wabunge wanataka kuacha kazi: Anna Makinda

      Huyu mama akachekiwe akili!

    27. #27
      KOKUTONA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2011
      Posts : 885
      Rep Power : 546
      Likes Received
      236
      Likes Given
      690

      Default Re: MAKINDA: Nusu ya wabunge wataka kuacha ubunge kutokana na hali ngumu ya maisha

      Quote By Bukanga View Post
      Ametoa mapovu na nusu ya maneno aliyozungumza ni uongo mtupu. Kweli mtaji wa magamba ni ujinga ........ Mpaka msoma habari wa ITV kacheka lol..... Magamba are Dogs in a manger lolz...
      Ulimwonaee, aliishia kucheka kicheko cha huzuni, kuona mama mtu mzima akitudanganya watu wazima wenzake. I see!!

    28. #28
      Kabakabana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th August 2011
      Posts : 5,136
      Rep Power : 1638
      Likes Received
      1019
      Likes Given
      125

      Default Re: MAKINDA: Nusu ya wabunge wataka kuacha ubunge kutokana na hali ngumu ya maisha

      Inasikisha kweli.Huyu mama anatumiwa sana,

    29. #29
      palalisote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th August 2010
      Location : WA HAPAHAPA
      Posts : 1,110
      Rep Power : 729
      Likes Received
      411
      Likes Given
      2052

      Default Re: Nusu ya wabunge wanataka kuacha kazi: Anna Makinda

      Kwani wana elimu gani mpaka walipwe mshahara mkubwa?
      mshikachuma likes this.

    30. #30
      Matola's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 5,872
      Rep Power : 10399
      Likes Received
      2479
      Likes Given
      1794

      Default Re: Nusu ya wabunge wanataka kuacha kazi: Anna Makinda

      Quote By mshikachuma View Post
      Je, unajuwaje kama wabunge wa CDM kama nao hawamo kwenye sakata hili?
      Shibuda na Joseph Selasini ndio wazee wa posho kutoka CHADEMA. ila hii taarifa ya Makinda ni sawa na kuwafanya wapiga kura wake wa Njombe kwamba hawana uwezo wa kufikiri, hii ni dharau kubwa sana kwa viwango vyovyote vile. leo kuna watu wanatafuta kazi ya kubeba zege na haipatikani ndio ije mtu atake kukataa kazi ya kwenda kulala Bungeni!!?? haya ni matusi.
      mshikachuma likes this.
      WAFU: Hawa ni maiti wako Hai ila ni mazoba, hata wakiambiwa na CCM walipie PUMZI na USINGIZI watalipia ingawa hawana kitu. Wanakubaliana na kila hali hawajui kupinga wala kukataa, hawana tofauti na mabehewa ya treni kinakokwenda kichwa ndiko wanakokwenda wao.

    Page 1 of 9 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...