CHANGIA JF: Mkono mtupu haulambwi - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Jukwaa la Siasa


Jukwaa la Siasa Tanzania & World Politics General Discussion Forum. You need to be registered in order to post your comment(s)


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 9th January 2009, 02:24 PM   #1
CHANGIA JF: Mkono mtupu haulambwi
Sikonge Sikonge is offline 9th January 2009, 02:24 PM

Wana JF,

Quote:
Maelezo hapo chini nimeyatoa kwa KICHUGUU kwenye thread yenye kichwa chenye maneno Administrator wa JF ni Mkali.
Nataka TUJUKUMBUSHE ambao hatujachangia (mie pia bado) kuwa mkono mtupu haulambwi. Kazi wanayofanya hawa jamaa si ndogo. Kuna muda nilikuwa na matatizo ya computer, basi Invisible aliichukulia kama ni shida yake. Akawa tayari hata kunitafutia watu waje warekebishe matatizo kwenye computer yangu. Kama CCM wangelijali watu wao walau nusu ya hii basi tungelikuwa mbali. Sasa na yote haya jamaa kujitolea, nafikiri hizi mashine zinahitaji matengenezo ya aina mbalimbali na kuifanya iwe up-to-date. Na kila mtu anajua kuwa kila miezi mitatu, vinatoka vitu vipya na bei yake si znuri sana. Hivyo kama hujasaidia JF basi shime shime tuchangie BANDUGU.
Kwa maana hii mchango na mimi mwaka huu naanza kuchangia.
Invisible nilikuahidi kuwa ntaleta mchango wangu mwenyewe nikiwa Dar ila naona sintaweza au nikaja mwisho wa mwaka. Pesa kidogo tayari zipo Dar na hapo Sister wangu atakuleteeni. Unaweza kunitumia anwani yenu na nani wa kumuona ili akija akupatieni hako kamchango kiduchu!!!Niandikie kwenye PM.

NB:- Mods, baadaye waweza zichanganya na ile ya Kichuguu.

Quote:
Napenda kuapa kuwa JF ni forum ambayo inaendeshwa vizuri sana. Admin wa JF ana-respond kwa kila ombi in time. Kukitokea out-of-direction thread, anaishugulikia ipasavyo kabla hijawa kero kwa forum nzima. Ilivyofika wakati wa kipindi cha holidays ali-respond vizuri tukawa na skin ya Chrsimas halafu ikaja skin ya New Year na leo skin yetu ya Tanzania Tanzania Nakupenda kwa Moyo Wote imerudi tena. Nahisi amejenga system nzuri sana kwa kutumia OOP akaweka na objetcs nzuri sana kiasi kuwa haoni ugumu kubadili mambo ikiwa lazima.

Kwa vyovyote vile, ameweka muda wake mwingi ili kuifanya JF iwe sehemu nzuri ya mtu kutumia muda wake hata kama hupendezwi na yanayoongelewa. Mod anastahili pongezi nyingi sana.
__________________
.... hata kama akitambika uchi huyu mwakyembe, ukweli utabaki pale pale kuwa yeye nimiongoni mwa wale wabunge waliokula milioni 5 za rostam wakati wa kampeni (By: Game Theory)

Last edited by Sikonge; 15th February 2010 at 07:02 PM..

 
Sikonge's Avatar
Sikonge
JF Premium Member
Points: 273,087, Level: 100 Points: 273,087, Level: 100 Points: 273,087, Level: 100
Activity: 19% Activity: 19% Activity: 19%
Join Date: Sat Jan 2008
Location: Sikonge, Tabora
Posts: 2,744
Thanks: 1,222
Thanked 619 Times in 363 Posts
Views: 6606
Reply With Quote
  #2  
Old 9th January 2009, 03:35 PM
msabato masalia msabato masalia is offline
msabato masalia has no status.
Senior Member
Points: 90,437, Level: 100 Points: 90,437, Level: 100 Points: 90,437, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Dec 2008
Posts: 97
Thanks: 9
Thanked 14 Times in 5 Posts
Rep Power: 22
msabato masalia will become famous soon enoughmsabato masalia will become famous soon enoughmsabato masalia will become famous soon enoughmsabato masalia will become famous soon enoughmsabato masalia will become famous soon enoughmsabato masalia will become famous soon enoughmsabato masalia will become famous soon enoughmsabato masalia will become famous soon enough
Default Re: CHANGIA JF, Mkono mtupu haulambwi.

Sina wasi wasi na JF.Ongera ya maneno haitoshi.Binafsi ndo nimekuja huku kupiga boksi,nikisimama mchango wangu utafika.Hii ni sehemu ambayo unaweza dhani uko pale sinza Corner bar unaongea na washikaji.You really feel to be home though you're away.
Thank you JF.
Reply With Quote
  #3  
Old 9th January 2009, 04:13 PM
Sikonge's Avatar
Sikonge Sikonge is offline
Sikonge "Mwenye wivu kwa mafisadi ajinyonge"
JF Premium Member
Points: 273,087, Level: 100 Points: 273,087, Level: 100 Points: 273,087, Level: 100
Activity: 19% Activity: 19% Activity: 19%
 
Join Date: Sat Jan 2008
Location: Sikonge, Tabora
Posts: 2,744
Thanks: 1,222
Thanked 619 Times in 363 Posts
Rep Power: 28
Sikonge will become famous soon enoughSikonge will become famous soon enoughSikonge will become famous soon enoughSikonge will become famous soon enoughSikonge will become famous soon enoughSikonge will become famous soon enoughSikonge will become famous soon enoughSikonge will become famous soon enough
Default Re: CHANGIA JF, Mkono mtupu haulambwi.

Quote:
View Post
Sina wasi wasi na JF.Ongera ya maneno haitoshi.Binafsi ndo nimekuja huku kupiga boksi,nikisimama mchango wangu utafika.Hii ni sehemu ambayo unaweza dhani uko pale sinza Corner bar unaongea na washikaji.You really feel to be home though you're away.
Thank you JF.
Kweli kabisa Msabato,
Na unaanzia kuanzia dola kumi kwa mwaka, na kuendelea. Ukitoa hata ...... kwa mwaka ni nyongeza kubwa sana katika kuweka Tbites kadhaa ndani ya Hard disc ya JF, maana kila tunavyoandika, viaenda kutunzwa sehemu na hiyo inabidi isiwe moja maaja ikianguka moja basi ipo ya akiba. Hii shule imenifungua mengi na kunikutanisha na wengi. Humu tumeshakuwa jamii moja kubwa sana. Ila wanasema "hakuna mtu atakupa ugali wa bure". Tujipigepige hivyohivyo na tuwasaidie wenzetu. Ikifika sehemu waweze kusimama wenyewe kwa matagazo ya biashara, hapo tunaweza kusema sasa endelea mwenyewe. Penye nia pana njia, zitapatikana tu.
__________________
.... hata kama akitambika uchi huyu mwakyembe, ukweli utabaki pale pale kuwa yeye nimiongoni mwa wale wabunge waliokula milioni 5 za rostam wakati wa kampeni (By: Game Theory)
Reply With Quote
  #4  
Old 9th January 2009, 04:37 PM
Invisible's Avatar
Invisible Invisible is offline
Invisible is around but busy!
Robot
Points: 6,334,204, Level: 100 Points: 6,334,204, Level: 100 Points: 6,334,204, Level: 100
Activity: 9% Activity: 9% Activity: 9%
 
Join Date: Sat Feb 2006
Location: Here...!
Posts: 6,046
Thanks: 506
Thanked 1,455 Times in 432 Posts
Rep Power: 100000
Invisible is a glorious beacon of lightInvisible is a glorious beacon of lightInvisible is a glorious beacon of lightInvisible is a glorious beacon of lightInvisible is a glorious beacon of lightInvisible is a glorious beacon of lightInvisible is a glorious beacon of lightInvisible is a glorious beacon of lightInvisible is a glorious beacon of lightInvisible is a glorious beacon of lightInvisible is a glorious beacon of light
Send a message via MSN to Invisible
Default

Mkuu wangu Sikonge,

Ukweli ni kuwa siku za nyuma tulijaribu sana kuwafahamisha members kuwa JF haiendeshwi kwa fedha za watu flani bali kwa kujitolea.

Tukatanabaisha wazi kuwa wanachama na wote wenye mapenzi mema inabidi watambue kuwa tuna mzigo mkubwa wa kubeba kwa niaba yao.

Nyakati hizo tulikuwa na wanachama waliojisajili karibia 2,000 hivi na tukasema endapo kila mwanachama (aliyejisajili) angechangia Tshs 10,000/= basi ilimaanisha kuwa tungepata Tshs 20,000,000/= ambayo kwa wakati huo ingetosheleza kuiendesha JF kwa karibia mwaka mzima bila wasiwasi.

Maisha yakabadilika, Server tuliyokuwa nayo ilikuwa ndogo sana kumbe kulinganisha na uhitaji wa watanzania, balaa lilionekana wazi Mwezi Februari 2008 pale Mhe. Lowassa alipokuwa akijieleza Bungeni... Server ikachemsha kubeba mzigo mkubwa.

Kwa wakati huo tukaona ni vema tukaangalia namna ya kuweza kuwashirikisha wanachama juu ya ugumu tunaokumbana nao... Tukalazimika kununua server kubwa zaidi mbili na zenye back up za kila baada ya masaa 6 kwa nyakati tofauti.

Hilo likasaidia japo kwa gharama ambazo zilitoka mfukoni mwa mwanachama mmoja! Ndiyo, kulipia server hizo kila mwezi ni $940 na ameendelea kufanya hivyo kwa imani kuwa kuna siku mambo yataenda sawa.

JF inahitaji SANA michango ya watanzania na wote wenye mapenzi mema.

Kuna wanachama ambao humu mnawaona wana usernames ambazo ni bolded, hawa ni Premium Members. Hawa walau wamechangia kwa kiwango cha kuanzia $5 na wawili walau $300 tangu JF inaanzishwa mwaka 2006 (ikijulikana kama JamboForums).

Tangu JF inaanza (2006) mpaka sasa Januari 9 2009, tumekwishapokea jumla ya US$ 1,450/= toka kwa wanachama waliojisajili na wasiojisajili.

Wengi wa waliohitaji kuchangia walikuwa wanatuma barua pepe nasi tunawapa maelekezo juu ya namna ya kutufikishia michango hiyo.

Ukweli ni kwamba kwa wasio wanachama wa JF wakiwa wanasoma hapa wanaona matangazo mengi ya Google kuliko wanachama waliojisajili.

Dhamira yetu si kuweka matangazo haya ya Google kwani hayaingizi kwa kiwango kikubwa hivyo, watu hawabonyezi matangazo hayo na hivyo income yake inategemea pale mtu atakapokosea akabonyeza tangazo ndipo tupate vijisenti kidogo kwa clicks hizo. Gharama za uendeshaji bado zinatoka mfukoni mwa mtu mmoja mpaka sasa na baadhi ya Premium Members ambao wameendelea kuona umuhimu wa kufanya hivyo.

Mpaka sasa JF ina wanachama waliojisajili karibia 8,000. Endapo waliojili hawa wangechangia walau Tshs 10,000/= kwa mwaka basi inamaanisha JF ingetengeneza Tshs 80,000,000/= kwa mwaka na hivyo tusingeweka matangazo KABISA na tungejitahidi kupata moderators ambao watakuwa wanalipwa kwa kazi yao na wangeifanya kwa umakini mkubwa zaidi.

Ukiangalia katika historia ya Forums nyingi, huwa zinashindwa kuhimili traffic inapokuwa kubwa kutokana na servers kuhitaji umakini zaidi na Forum owners hujikuta wanaona ni mzigo usio na faida hivyo forums hizo kufa.

Tumshukuru Maxence kwa kuendelea kulipia gharama hizi kila mwezi kwa kujitolea mpaka sasa huku akilipia na Chat Server (IRC Server).

Wapo wanachama kama Ogah, Nyambala, SteveD, FairPlayer, Mchukia Fisadi na Phillemon Mikael ambao huchangia walau kila wanapopata wasaa... Hawa nao wamesaidia kwa kiwango kikubwa katika jitihada za kuhakikisha JF inakuwa hewani. Bila kuwasahau wadau waliochangia walau $200 hivi initially kama Mtanzania, Field Marshal ES na Halisi.

Ninachoamini binafsi ni kitu kimoja, Tshs 5,000/= kwa mwaka inawezekana kabisa kwa watanzania tulio na uwezo wa kuingia mtandaoni. Na uzuri, benki zetu Tanzania zinaruhusu mtu ku-deposit Tshs 5,000/= kama kiwango cha chini.

Endapo kuna mwanachama anaguswa (kutoka moyoni) na angependa kuiwezesha JF kuendelea kusimama imara na kufanya vema zaidi bila mizengwe ya kifedha, basi anaweza kukubali kuchangia Tshs 5,000/= walau kwa mwaka.

Benki zetu (hapa naongelea NBC na CRDB kwa haraka) hazikulazimishi unayetuma hela kuandika jina lako la kweli bali lile ambalo ungependa mpokeaji alitambue.

Kwa walio Tanzania wanaweza kuichangia JF kwa kutuma katika akaunti za NBC au CRDB.

Akaunti ambazo tangu awali tulipendekeza zitumiwe ni za Maxence Melo (as the JF Founder) na tukawaomba wanaotuma waandike Nicks za kuweza kutanabaisha kuwa wao ndio walotuma.

=================================

Michango inaweza kutumwa kwa njia kuu nne:

1. Kwa walio nje wanaweza kutumia PayPal au Credit Cards au Debit Cards kwa kufuata link hii ( http://www.jamiiforums.com/payments.php) iliyo kwenye sahihi yangu (linapoonyesha dole gumba) na pindi mchangiaji anapoweka chochote tunakuwa notified nasi tunafanya kuwasiliana na mhusika ili aweze kupandishwa kwenda katika group la Premium Members.

Paypal users:

Send via email - macdemelo@gmail.com moja kwa moja itafika na utaarifiwa ndani ya dakika 60 kuwa mchango wako umepokelewa.

2. Njia ya pili ni kutumia Western Union au Money Gram na kutuma kwenda kwa Maxence Melo Mubyazi wa Dar es Salaam.

3. Njia ya tatu ni kutumia Bank accounts za Maxence kama ifuatavyo:

NBC:

Acc #: 033201064359
Jina: Maxence Melo Mubyazi

CRDB:

Account Name: Maxence Melo Mubyazi
Bank: CRDB Pugu Road Branch
Swift Code: CORUTZTZ
Acc No: 01J2092391800

4. Njia ya nne:

Unaweza kutuma recharge vouchers za tiGO, Zain, VodaCom au Zantel kwenda kwa Maxence - 0713444649 naye atakufahamisha kuwa kazipokea.

=================================

Ikumbukwe, SI LAZIMA kuandika jina lako la kweli na SI LAZIMA kwenda mwenyewe bank kutuma pesa hizo (kwani unaweza kumpa unayemwamini na kumpa account details na jina lako ambalo ungependa aandike).

Tunaweza kuandika mengi lakini ukweli unabakia pale kuwa JF inahitaji michango yenu kwa sana tu.

Kwa wenye maswali zaidi wanaweza kuwasiliana na Maxence kupitia namba yake ya simu +255713444649.

Nasikitika kuwa yawezekana hata hivi natembeza bakuli
__________________
Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!

Thank you for supporting JF! <---(click to support us)
Waliochangia 2010: <--- (click to read)
JINSI YA KUCHANGIA JF<---(click to read)

24/7 Email SUPPORT: support@jamiiforums.com

Reply With Quote
The Following 9 Users Say Thank You to Invisible For This Useful Post:
Ab-Titchaz (17th January 2010), Baba_Enock (15th January 2010), ejogo (19th December 2009), Lekanjobe Kubinika (4th March 2010), madule (4th February 2010), Mchukia Fisadi (17th January 2010), mkurugenzi1 (16th February 2010), Mnyonywaji (16th February 2010), ThinkPad (11th February 2010)
  #5  
Old 20th May 2009, 03:54 PM
Next Level's Avatar
Next Level Next Level is offline
Next Level is optimistic one day yes
JF Premium Member
Points: 176,473, Level: 100 Points: 176,473, Level: 100 Points: 176,473, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Mon Nov 2008
Location: Pwani
Posts: 2,559
Thanks: 386
Thanked 531 Times in 325 Posts
Rep Power: 27
Next Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enough
Default Re: CHANGIA JF: Mkono mtupu haulambwi

Wadau na wapenzi wote wa JF.....! Heshima mbele!

Wakuu mbona haka kathread tunakasahau sana? Tunalipenda jamvi sana kwa sababu mbalimbali (sitaki kuzieleza, hope kila mmoja anazifahamu), lakini founders wa hii kitu wanaumia sana kuhakikisha jamvi linakuwa hai katika hali tunayoifurahia. Wanaumia,techinically and financially wakuu!

Sisi wadau wengine tunaweza tukashindwa kusaidia technically directly but we can do that financially...na kwa maoni yangu silazima uchangie mamilioni wakati huna uwezo wakufanya hivyo, kila mmoja wetu (members) ambao ni registered akitoa Tshs 1,000..kwa mwaka, tunaweza kufanya makubwa kwa kuwasaidia kina Robot na founders wengine kutuboreshea zaidi jukwaa hili kwa manufaa yetu sote!

I hope hakuna mtu angependa kusikia ati anaamka asubuhi kujaribu kupata breaking news hapa JF au kasikia tetesi sehemu fulani anataka kuja apate uthibitisho hapa ....unaambiwa the web you are browsing is not found....yaani JF haiko hewani.....! No one will like this to happen! But nina uhakika kama hatuisupport JF one day hii kitu itafungwa kabisa!

Kwa hiyo wandugu kwa wote wenye mapenzi mema na JF pamoja na nchi hii, let us join our hands...tuchangie JF kwa moyo wote!

Admin please wakumbusheni members hali halisi ya gharama za kuiendesha JF na umuhimu wa michango yao! Ningeshauri pia, mngewajulisha members direct costs za kuimanage JF kwa mwaka...then labda tufungue thread special kwaajili ya members kuweka Pledges zao za hali na mali zitakazowezesha atleast kucover direct running costs za JF kwa mwaka!

Kwa kuanzia kule VIP mimi nimeahidi kuirusha kwa Max Tshs 30,000 wiki ijayo.....so wadau mnaweza endeleza hapo!

Cheers!
__________________
“Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning
- GLORIA STEINEM.
Reply With Quote
  #6  
Old 20th May 2009, 03:59 PM
Junius's Avatar
Junius Junius is offline
Junius Sir Phillip Francis
JF Senior Expert Member
Points: 445,143, Level: 100 Points: 445,143, Level: 100 Points: 445,143, Level: 100
Activity: 5% Activity: 5% Activity: 5%
 
Join Date: Wed Mar 2009
Posts: 2,076
Thanks: 141
Thanked 182 Times in 129 Posts
Rep Power: 26
Junius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enough
Default Re: CHANGIA JF: Mkono mtupu haulambwi

Nashangaa sasa limekuwa jukwa la kutukana matusi na kuwakashifu waislamu mtindo mmoja na hatuwa hazichukuliwi kwa wahusika au ndo wenye jukwaa hao?
Reply With Quote
  #7  
Old 20th May 2009, 04:01 PM
Masanilo's Avatar
Masanilo Masanilo is offline
Masanilo is alcoholic
JF Premium Member
Points: 827,098, Level: 100 Points: 827,098, Level: 100 Points: 827,098, Level: 100
Activity: 46% Activity: 46% Activity: 46%
 
Join Date: Tue Oct 2007
Location: Swat valley
Posts: 7,059
Thanks: 1,055
Thanked 1,106 Times in 724 Posts
Rep Power: 77
Masanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the rough
Default Re: CHANGIA JF: Mkono mtupu haulambwi

Quote:
View Post
Nashangaa sasa limekuwa jukwa la kutukana matusi na kuwakashifu waislamu mtindo mmoja na hatuwa hazichukuliwi kwa wahusika au ndo wenye jukwaa hao?
Usiharibu thread tfadhali.....hapa sisi tunataka michango kunusuru JF...malalamiko yako si hapa...andikia mods! Hapa tupishe...
__________________
To be able to do everything by knowing nothing is dangerous

E-mail:
masanilo@jamiiforums.com
Reply With Quote
  #8  
Old 20th May 2009, 04:10 PM
Next Level's Avatar
Next Level Next Level is offline
Next Level is optimistic one day yes
JF Premium Member
Points: 176,473, Level: 100 Points: 176,473, Level: 100 Points: 176,473, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Mon Nov 2008
Location: Pwani
Posts: 2,559
Thanks: 386
Thanked 531 Times in 325 Posts
Rep Power: 27
Next Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enough
Default Re: CHANGIA JF: Mkono mtupu haulambwi

Quote:
View Post
Nashangaa sasa limekuwa jukwa la kutukana matusi na kuwakashifu waislamu mtindo mmoja na hatuwa hazichukuliwi kwa wahusika au ndo wenye jukwaa hao?
Mkuu Junius, kwanza kabisa kumbuka kuwa umeweza kuandika ulichoandika kwa sababu tu kuna watu wamekuwezesha kufanya hivyo hapa JF.....! Sasa kama unataka uendelea kuwezeshwa kufanya hivyo, please tunaomba pledge yako ya hiari kuisaidia JF kuwa hewani!

Pili, ungeweza kutoa dukuduku zako kule kwenye compaints na ungesaidiwa vizuri sana mkuu! Hii thread ni kwa ajili ya fund raising na kutoa maoni ya jinsi ya kuiwezesha JF ijiendeshe mkuu!
__________________
“Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning
- GLORIA STEINEM.
Reply With Quote
  #9  
Old 20th May 2009, 11:07 PM
The Invincible The Invincible is online now
The Invincible is not compromising with mafisadi
JF Premium Member
Points: 154,499, Level: 100 Points: 154,499, Level: 100 Points: 154,499, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Sat May 2006
Location: Online
Posts: 1,056
Thanks: 0
Thanked 79 Times in 47 Posts
Rep Power: 26
The Invincible will become famous soon enoughThe Invincible will become famous soon enoughThe Invincible will become famous soon enoughThe Invincible will become famous soon enoughThe Invincible will become famous soon enoughThe Invincible will become famous soon enoughThe Invincible will become famous soon enoughThe Invincible will become famous soon enough
Default Re: CHANGIA JF: Mkono mtupu haulambwi

Kuna wakati kama vile speed ya wanajamii kuchangia ilikuwa inaridhisha. Lakini ghafla kumekuwa na kuzorota tena kwa muda mrefu sasa.

Ninafahamu kwamba mchangiaji/mwendashaji mkuu (90%) wa JF ni mmoja tu. Sisi wanachama zaidi ya 5000, mpaka leo waliochangia hawazidi hata 50! Chini ya asilimia moja!

Inasikitisha. Kama sisi ndio wasomi, tena wenye uelewa wa hali ya juu, na kipato fulani, tunashindwa kusaidiana mzigo huu wa kifedha, mmmmhhhh!
__________________
Watanzania vilaza watamchagua Kikwete aendeleze ubabaishaji ikulu kwa awamu nyingine - Tafakari
Reply With Quote
  #10  
Old 20th May 2009, 11:21 PM
Ndamwe's Avatar
Ndamwe Ndamwe is offline
Ndamwe has no status.
JF Premium Member
Points: 73,175, Level: 100 Points: 73,175, Level: 100 Points: 73,175, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Wed Jun 2008
Posts: 54
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 22
Ndamwe will become famous soon enoughNdamwe will become famous soon enoughNdamwe will become famous soon enoughNdamwe will become famous soon enoughNdamwe will become famous soon enoughNdamwe will become famous soon enoughNdamwe will become famous soon enoughNdamwe will become famous soon enough
Default Re: CHANGIA JF: Mkono mtupu haulambwi

Wana JF salaam wote,

Yaani hii forum mimi inanikuna sana. Naomba nishauriwe kwa kuchangia kwa njia ya euro moja kwa moja, nifanyeje bila ya peleka kwa a/c za CRDB au NBC ambazo zitahitajika gharama zingine za kutuma michango Tanzania. Kama kuna namna ya kuwakilisha mchango kama euro hapa Netherlands moja kwa moja kwa a/c ya JF nifahamishwe.
Asanteni
Amandla!
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
aibu, changia, haulambwi, hii, itakwisha, jf, kila, kuichangia, kwenu, lini, mkono, mtupu, mwezi, uamuzi, wakuu


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Kula Breki!!! Sura-ya-Kwanza Jokes/Utani + Udaku/Gossips 88 30th January 2010 11:20 AM
Nimrod Mkono na Mkono Advocates watch... Game Theory Jamii Intelligence 509 10th December 2009 10:00 AM
Tanzanian Stars Rising: Reginald Mengi and Nimrod Mkono Invisible Jukwaa la Siasa 0 6th April 2008 10:47 AM
Mkono na Msolla wafanya Mazingaombwe! Mzee Mwanakijiji Jukwaa la Elimu (Education Forum) 40 7th November 2007 07:33 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 09:45 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com