CHANGIA JF: Mkono mtupu haulambwi - Page 5 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Jukwaa la Siasa


Jukwaa la Siasa Tanzania & World Politics General Discussion Forum. You need to be registered in order to post your comment(s)


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 9th January 2009, 02:24 PM  
CHANGIA JF: Mkono mtupu haulambwi
Sikonge Sikonge is offline 9th January 2009, 02:24 PM

Wana JF,

Quote:
Maelezo hapo chini nimeyatoa kwa KICHUGUU kwenye thread yenye kichwa chenye maneno Administrator wa JF ni Mkali.
Nataka TUJUKUMBUSHE ambao hatujachangia (mie pia bado) kuwa mkono mtupu haulambwi. Kazi wanayofanya hawa jamaa si ndogo. Kuna muda nilikuwa na matatizo ya computer, basi Invisible aliichukulia kama ni shida yake. Akawa tayari hata kunitafutia watu waje warekebishe matatizo kwenye computer yangu. Kama CCM wangelijali watu wao walau nusu ya hii basi tungelikuwa mbali. Sasa na yote haya jamaa kujitolea, nafikiri hizi mashine zinahitaji matengenezo ya aina mbalimbali na kuifanya iwe up-to-date. Na kila mtu anajua kuwa kila miezi mitatu, vinatoka vitu vipya na bei yake si znuri sana. Hivyo kama hujasaidia JF basi shime shime tuchangie BANDUGU.
Kwa maana hii mchango na mimi mwaka huu naanza kuchangia.
Invisible nilikuahidi kuwa ntaleta mchango wangu mwenyewe nikiwa Dar ila naona sintaweza au nikaja mwisho wa mwaka. Pesa kidogo tayari zipo Dar na hapo Sister wangu atakuleteeni. Unaweza kunitumia anwani yenu na nani wa kumuona ili akija akupatieni hako kamchango kiduchu!!!Niandikie kwenye PM.

NB:- Mods, baadaye waweza zichanganya na ile ya Kichuguu.

Quote:
Napenda kuapa kuwa JF ni forum ambayo inaendeshwa vizuri sana. Admin wa JF ana-respond kwa kila ombi in time. Kukitokea out-of-direction thread, anaishugulikia ipasavyo kabla hijawa kero kwa forum nzima. Ilivyofika wakati wa kipindi cha holidays ali-respond vizuri tukawa na skin ya Chrsimas halafu ikaja skin ya New Year na leo skin yetu ya Tanzania Tanzania Nakupenda kwa Moyo Wote imerudi tena. Nahisi amejenga system nzuri sana kwa kutumia OOP akaweka na objetcs nzuri sana kiasi kuwa haoni ugumu kubadili mambo ikiwa lazima.

Kwa vyovyote vile, ameweka muda wake mwingi ili kuifanya JF iwe sehemu nzuri ya mtu kutumia muda wake hata kama hupendezwi na yanayoongelewa. Mod anastahili pongezi nyingi sana.
__________________
.... hata kama akitambika uchi huyu mwakyembe, ukweli utabaki pale pale kuwa yeye nimiongoni mwa wale wabunge waliokula milioni 5 za rostam wakati wa kampeni (By: Game Theory)

Last edited by Sikonge; 15th February 2010 at 07:02 PM..

 
Sikonge's Avatar
Sikonge
JF Premium Member
Points: 272,777, Level: 100 Points: 272,777, Level: 100 Points: 272,777, Level: 100
Activity: 19% Activity: 19% Activity: 19%
Join Date: Sat Jan 2008
Location: Sikonge, Tabora
Posts: 2,742
Thanks: 1,206
Thanked 607 Times in 360 Posts
Views: 6604
Reply With Quote
  #41  
Old 11th June 2009, 08:39 AM
Fidel80's Avatar
Fidel80 Fidel80 is offline
Fidel80 > Muosha huoshwa
JF Premium Member
Points: 807,707, Level: 100 Points: 807,707, Level: 100 Points: 807,707, Level: 100
Activity: 75% Activity: 75% Activity: 75%
 
Join Date: Sat May 2008
Location: UVUNGUNI
Posts: 7,398
Thanks: 517
Thanked 987 Times in 685 Posts
Rep Power: 36
Fidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enough
Default Re: CHANGIA JF: Mkono mtupu haulambwi

Naona JF watu waoga sana kutoa michango.
Jamani hii forum kuindesha nigarama sana wakuu tujitolee kuchangia japo kiduchu hata mwenye 500 inapokelewa tu naomba tujitahidi kuchangia ili twendelee kuburudika.
__________________
Ukiuza utumbo usiogope nzi.
Chuda Raha

Email: fidel80@jamiiforums.com
Reply With Quote
  #42  
Old 11th June 2009, 09:00 AM
Next Level's Avatar
Next Level Next Level is offline
Next Level is optimistic one day yes
JF Premium Member
Points: 176,473, Level: 100 Points: 176,473, Level: 100 Points: 176,473, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Mon Nov 2008
Location: Pwani
Posts: 2,559
Thanks: 386
Thanked 531 Times in 325 Posts
Rep Power: 27
Next Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enough
Default Re: CHANGIA JF: Mkono mtupu haulambwi

Quote:
View Post
Naona JF watu waoga sana kutoa michango.
Jamani hii forum kuindesha nigarama sana wakuu tujitolee kuchangia japo kiduchu hata mwenye 500 inapokelewa tu naomba tujitahidi kuchangia ili twendelee kuburudika.
Mkuu Fide, wadau sijui wanafikiria kuchangia mpaka atoe mamilioni vile......! something is better than none....so kama ulivyosema kila member kwa mfano akitoa 500....kwa member zaidi ya 10,000 tunapata 5m mkuu....ambayo angalau itasaidia kuwapunguzia makali kina max for at least 5months!

Inabidi wadau tutambue kuwa kadiri tunavyofurahia hii forum ilivyokuwa faster, inavyotupa habari motomoto etc tujue mambo hayo yana gharama kuyamaintain katika kiwango tunanachotaka....so the need ya kuunganisha nguvu zetu!
__________________
“Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning
- GLORIA STEINEM.
Reply With Quote
  #43  
Old 11th June 2009, 09:16 AM
Fidel80's Avatar
Fidel80 Fidel80 is offline
Fidel80 > Muosha huoshwa
JF Premium Member
Points: 807,707, Level: 100 Points: 807,707, Level: 100 Points: 807,707, Level: 100
Activity: 75% Activity: 75% Activity: 75%
 
Join Date: Sat May 2008
Location: UVUNGUNI
Posts: 7,398
Thanks: 517
Thanked 987 Times in 685 Posts
Rep Power: 36
Fidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enough
Default Re: CHANGIA JF: Mkono mtupu haulambwi

Alafu mkuu Next Level wengine wanajua kuwa akina Invisible na mods wanalipwa kwa kazi nzito wanayo ifanya hapa JF kumbe wanajitolea tu hakuna wanacho pata wanajitolea tu kwani na sisi tukijitolea kuchangia angalau Tsh. 500/= kuna kitu utakuwa umepungukiwa?
Watanzania tujaribu kubadilika jamani kutoa si utajili ni moyo tu.
__________________
Ukiuza utumbo usiogope nzi.
Chuda Raha

Email: fidel80@jamiiforums.com
Reply With Quote
  #44  
Old 9th July 2009, 11:56 AM
Future-Tanzania Future-Tanzania is offline
Future-Tanzania has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 71,215, Level: 100 Points: 71,215, Level: 100 Points: 71,215, Level: 100
Activity: 14% Activity: 14% Activity: 14%
 
Join Date: Sun Dec 2008
Posts: 293
Thanks: 147
Thanked 58 Times in 45 Posts
Rep Power: 22
Future-Tanzania will become famous soon enoughFuture-Tanzania will become famous soon enoughFuture-Tanzania will become famous soon enoughFuture-Tanzania will become famous soon enoughFuture-Tanzania will become famous soon enoughFuture-Tanzania will become famous soon enoughFuture-Tanzania will become famous soon enoughFuture-Tanzania will become famous soon enough
Default Re: CHANGIA JF: Mkono mtupu haulambwi

Quote:
View Post
Alafu mkuu Next Level wengine wanajua kuwa akina Invisible na mods wanalipwa kwa kazi nzito wanayo ifanya hapa JF kumbe wanajitolea tu hakuna wanacho pata wanajitolea tu kwani na sisi tukijitolea kuchangia angalau Tsh. 500/= kuna kitu utakuwa umepungukiwa?
Watanzania tujaribu kubadilika jamani kutoa si utajili ni moyo tu.

Nimesoma leo hii forum yakuchangia ila kuna kitu ambacho haki add up.. first post ya invisible alisema kuna wanachama kama 2000, kila mtu akitoa Tsh 10,000 a year that is Tsh 20,000,000!! sio kwamba nasema tusitoe ila kama tunatoa inabidi tupewe mahesabu yanayokamilika. 20 Mil Tsh ni nyingi sana ni almost $16000 or Ł15000...


Mimi binafsi sijui how much it cost to host a website/forum in Tanzania but with $16000 or Ł15000 a year that is too much.. and i do believe that is what it turn off people.. maana hii inasound like business now, a place to get full time income...

sorry if i am being so straight forward but things doesn't add up!!! and also i don't understand are these people (invisible etc) doing this as their daily job?
Reply With Quote
  #45  
Old 9th July 2009, 12:20 PM
Maxence Melo's Avatar
Maxence Melo Maxence Melo is offline
Maxence Melo 42%....
JF Founder
Points: 3,768,629, Level: 100 Points: 3,768,629, Level: 100 Points: 3,768,629, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Mon Mar 2006
Location: Dar es Salaam
Posts: 1,993
Thanks: 112
Thanked 292 Times in 77 Posts
Rep Power: 100000
Maxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the rough
Send a message via MSN to Maxence Melo
Default Usahihi...

Quote:
View Post
Mkuu wangu Sikonge,

Ukweli ni kuwa siku za nyuma tulijaribu sana kuwafahamisha members kuwa JF haiendeshwi kwa fedha za watu flani bali kwa kujitolea.

Tukatanabaisha wazi kuwa wanachama na wote wenye mapenzi mema inabidi watambue kuwa tuna mzigo mkubwa wa kubeba kwa niaba yao.

Nyakati hizo tulikuwa na wanachama waliojisajili karibia 2,000 hivi na tukasema endapo kila mwanachama (aliyejisajili) angechangia Tshs 10,000/= basi ilimaanisha kuwa tungepata Tshs 20,000/= ambayo kwa wakati huo ingetosheleza kuiendesha JF kwa karibia mwaka mzima bila wasiwasi.

Maisha yakabadilika, Server tuliyokuwa nayo ilikuwa ndogo sana kumbe kulinganisha na uhitaji wa watanzania, balaa lilionekana wazi Mwezi Februari pale Mhe. Lowassa alipokuwa akijieleza Bungeni... Server ikachemsha kubeba mzigo mkubwa.

Kwa wakati huo tukaona ni vema tukaangalia namna ya kuweza kuwashirikisha wanachama juu ya ugumu tunaokumbana nao... Tukalazimika kununua server kubwa zaidi mbili na zenye back up za kila baada ya masaa 6 kwa nyakati tofauti. Tukiwa na uwezo wa kufanya hosting hata BURE kwa website za watanzania.

Hilo likasaidia japo kwa gharama ambazo zilitoka mfukoni mwa mwanachama mmoja! Ndiyo, kulipia server hizo kila mwezi ni karibia $900 na ameendelea kufanya hivyo kwa imani kuwa kuna siku mambo yataenda sawa.

JF inahitaji SANA michango ya watanzania na wote wenye mapenzi mema.

Kuna wanachama ambao humu mnawaona wana usernames ambazo ni bolded, hawa ni Premium Members. Hawa walau wamechangia kwa kiwango cha kuanzia $5 na wawili walau $300 tangu JF inaanzishwa mwaka 2006 (ikijulikana kama JamboForums).

Tangu JF inaanza (2006) mpaka sasa, tumekwishapokea jumla ya US$ 1,450/= toka kwa wanachama waliojisajili na wasiojisajili.

Wengi wa waliohitaji kuchangia walikuwa wanatuma barua pepe nasi tunawapa maelekezo juu ya namna ya kutufikishia michango hiyo.

Ukweli ni kwamba kwa wasio wanachama wa JF wakiwa wanasoma hapa wanaona matangazo mengi ya Google kuliko wanachama waliojisajili.

Dhamira yetu si kuweka matangazo haya ya Google kwani hayaingizi kwa kiwango kikubwa hivyo, watu hawabonyezi matangazo hayo na hivyo income yake inategemea pale mtu atakapokosea akabonyeza tangazo ndipo tupate vijisenti kidogo kwa clicks hizo. Gharama za uendeshaji bado zinatoka mfukoni mwa mtu mmoja mpaka sasa na baadhi ya Premium Members ambao wameendelea kuona umuhimu wa kufanya hivyo.

Mpaka sasa JF ina wanachama waliojisajili karibia 8,000. Endapo waliojili hawa wangechangia walau Tshs 10,000/= kwa mwaka basi inamaanisha JF ingetengeneza Tshs 80,000,000/= kwa mwaka na hivyo tusingeweka matangazo KABISA na tungejitahidi kupata moderators ambao watakuwa wanalipwa kwa kazi yao na wangeifanya kwa umakini mkubwa zaidi.

Ukiangalia katika historia ya Forums nyingi, huwa zinashindwa kuhimili traffic inapokuwa kubwa kutokana na servers kuhitaji umakini zaidi na Forum owners hujikuta wanaona ni mzigo usio na faida hivyo forums hizo kufa.

Tumshukuru Maxence kwa kuendelea kulipia gharama hizi kila mwezi kwa kujitolea mpaka sasa huku akilipia na Chat Server (IRC Server).

Wapo wanachama kama Ogah, Nyambala, SteveD, FairPlayer, Mchukia Fisadi na Phillemon Mikael ambao huchangia walau kila wanapopata wasaa... Hawa nao wamesaidia kwa kiwango kikubwa katika jitihada za kuhakikisha JF inakuwa hewani. Bila kuwasahau wadau waliochangia walau $200 hivi initially kama Mtanzania, Field Marshal ES na Halisi.

Ninachoamini binafsi ni kitu kimoja, Tshs 5,000/= kwa mwaka inawezekana kabisa kwa watanzania tulio na uwezo wa kuingia mtandaoni. Na uzuri, benki zetu Tanzania zinaruhusu mtu ku-deposit Tshs 5,000/= kama kiwango cha chini.

Endapo kuna mwanachama anaguswa (kutoka moyoni) na angependa kuiwezesha JF kuendelea kusimama imara na kufanya vema zaidi bila mizengwe ya kifedha, basi anaweza kukubali kuchangia Tshs 5,000/= walau kwa mwaka.

Benki zetu (hapa naongelea NBC na CRDB kwa haraka) hazikulazimishi unayetuma hela kuandika jina lako la kweli bali lile ambalo ungependa mpokeaji alitambue.

Kwa walio Tanzania wanaweza kuichangia JF kwa kutuma katika akaunti za NBC au CRDB.

Akaunti ambazo tangu awali tulipendekeza zitumiwe ni za Maxence Melo (as the JF Founder) na tukawaomba wanaotuma waandike Nicks za kuweza kutanabaisha kuwa wao ndio walotuma.

Michango inaweza kutumwa kwa njia kuu nne:

Kwa walio nje wanaweza kutumia PayPal au Credit Cards au Debit Cards kwa kufuata link hii ( JamiiForums |The Home of Great Thinkers ) iliyo kwenye sahihi yangu (linapoonyesha dole gumba) na pindi mchangiaji anapoweka chochote tunakuwa notified nasi tunafanya kuwasiliana na mhusika ili aweze kupandishwa kwenda katika group la Premium Members.

Njia ya pili ni kutumia Western Union au Money Gram na kutuma kwenda kwa Maxence Melo wa Dar es Salaam.

Njia ya tatu ni kutumia Bank accounts za Maxence kama ifuatavyo:

NBC:

Acc #: 033201064359
Jina: Maxence Melo Mubyazi

CRDB:

Account Name: Maxence Melo Mubyazi
Bank: CRDB Pugu Road Branch
Swift Code: CORUTZTZ
Acc No: 01J2092391800

Njia ya nne ni kwa PayPal: Tumia email ya
macdemelo@gmail.com
wakati unatumia PayPal.

Ikumbukwe, SI LAZIMA kuandika jina lako la kweli na SI LAZIMA kwenda mwenyewe bank kutuma pesa hizo (kwani unaweza kumpa unayemwamini na kumpa account details na jina lako ambalo ungependa aandike).

Tunaweza kuandika mengi lakini ukweli unabakia pale kuwa JF inahitaji michango yenu kwa sana tu.

Kwa wenye maswali zaidi wanaweza kuwasiliana na Maxence kupitia namba yake ya simu +255713444649.

Nasikitika kuwa yawezekana hata hivi natembeza bakuli
Quote:
View Post
Nimesoma leo hii forum yakuchangia ila kuna kitu ambacho haki add up.. first post ya invisible alisema kuna wanachama kama 2000, kila mtu akitoa Tsh 10,000 a year that is Tsh 20,000,000!! sio kwamba nasema tusitoe ila kama tunatoa inabidi tupewe mahesabu yanayokamilika. 20 Mil Tsh ni nyingi sana ni almost $16000 or Ł15000...


Mimi binafsi sijui how much it cost to host a website/forum in Tanzania but with $16000 or Ł15000 a year that is too much.. and i do believe that is what it turn off people.. maana hii inasound like business now, a place to get full time income...

sorry if i am being so straight forward but things doesn't add up!!! and also i don't understand are these people (invisible etc) doing this as their daily job?
Nimejaribu kuangalia ulichoandika na kuoanisha na kilichoandikwa na Invisible (hasa niliyoyawekea rangi, na mengine ku-bold nikaona huenda hukuelewa.

Uanachama ndani ya JF ni BURE, na mengine yote unayoweza kufanya via JF ni BURE. Hakuna anayelazimishwa kuchangia JF, bali post ya Invisible ilikuwa inaonyesha uhalisia wa mambo. Tena post hiyo ni wakati JF ina wanachama almost 8,000 na sasa ni zaidi ya 12,000 kwa maana kuwa traffic imeongezeka zaidi.

Nini kinaku-turn off? Unajua Wikipedia wanavyopata michango toka kwa Jamii (community)? Ni kwa njia ya Jamii kuona kuwa inanufaika nayo na pindi wakiomba michango basi inakuwa ni makusanyo makubwa kuliko maelezo. Mtafurahi tukiweka matangazo kibao kila baada ya post ili kutafuta faida? Nadhani HAPANA, ndio maana tunakubali maumivu tu kwa kupunguza matangazo hayo na kuacha nafasi ya watu kuandika na kusoma bila bughudha.

Ukweli ni kuwa, JF kwa sasa imefikia kuwa na hits 40mil kwa mwezi, kama server yake ingekuwa ndogo basi ingekwisha chemsha siku nyingi.

Tatizo kubwa ni kuwa kila tunayem-approach kwa ajili ya kuweka matangazo JF au kuifadhili JF basi anakuwa na masharti ambayo nikuhakikishie yataondoa dhana ya 'kumkoma nyani' au 'kuwa na uhuru wa kuongea bila kumwangalia mtu usoni'. Tumejaribu kwingi lakini masharti yao yanakatisha tamaa!

Serikali yetu yenyewe ilisema tukiwa na vikundi tukaomba mikopo tutawezeshwa (ahadi za JK), tuliambiwa tupeleke proposal na hatukusita kufanya vile lakini tangu mwaka jana mwishoni mpaka leo response hakuna.

JF ingejiendesha yenyewe kwa wanachama kuchangia chochote (simply fikiria mtu achangie Tshs 5,000/= kwa mwaka, kiasi ambacho naamini hata wewe unakimudu). Tatizo ni kuwa wengi hawana moyo wa kutoa! Bado wanasema "Anzisheni Tv ya wana JF, Anzisheni gazeti la wana JF n.k.

Just angalia tangu 2009 imeanza ni wangapi wamechangia JF, tena wengine kwa kiwango kikubwa sana na zaidi ya mara moja... Unaweza kusoma hapa:

Michango JF 2009: Updates

Watu tunapenda kila kitu BURE, kuna gharama zake ila kuna wachache waliojitolea kuhakikisha hata ulichoandika hapo juu kinawezekana... Ni hao kwenye post ya juu, wanastahili pongezi sana!

Binafsi naamini kila anayeingia mtandaoni anaweza kuzichanga na kufikisha Tshs 5,000 kwa mwaka. Haijalishi uwe umejisajili ama hujajisajili, unaweza kuchangia JF na njia zote zimewekwa wazi.

Simu yangu huwa iko hewani 24hrs na wengi wanaweza kukiri kuwa huwasiliana nami nami huwapa options zote za kuchangia.
__________________
Welcome to JF Phase II...

Contact me:
Mobile: +255713444649

Email: maxence@maxence.co.tz
Pls DO NOT send me Job applications... Read adverts carefully!
Reply With Quote
  #46  
Old 9th July 2009, 01:02 PM
Mtanzania Mtanzania is offline
Mtanzania has no status.
JF Premium Member
Points: 645,736, Level: 100 Points: 645,736, Level: 100 Points: 645,736, Level: 100
Activity: 5% Activity: 5% Activity: 5%
 
Join Date: Thu May 2006
Location: UK
Posts: 4,923
Thanks: 62
Thanked 234 Times in 105 Posts
Rep Power: 33
Mtanzania will become famous soon enoughMtanzania will become famous soon enoughMtanzania will become famous soon enoughMtanzania will become famous soon enoughMtanzania will become famous soon enoughMtanzania will become famous soon enoughMtanzania will become famous soon enoughMtanzania will become famous soon enough
Default Re: CHANGIA JF: Mkono mtupu haulambwi

Watanzania tunapenda sana vya bure; hatujui bure ni very expensive.

Itafaa kama wanachama wengi zaidi watajitolea na kisha ndio tuombe uwajibikaji toka kwa hao wanaoendesha hii JF.

Wanachama tujitolee lakini pia waendeshaji wawe wanatuambia hata kama ni mara moja kwa miezi sita jinsi pesa tunazojitolea zinavyotuma na kama zinatosha au hazitoshi. Transparency ni muhimu sana ili kuondoa hisia hisia, majungu na uwongo mwingine.
Reply With Quote
  #47  
Old 9th July 2009, 01:15 PM
Sikonge's Avatar
Sikonge Sikonge is offline
Sikonge "Mwenye wivu kwa mafisadi ajinyonge"
JF Premium Member
Points: 272,777, Level: 100 Points: 272,777, Level: 100 Points: 272,777, Level: 100
Activity: 19% Activity: 19% Activity: 19%
 
Join Date: Sat Jan 2008
Location: Sikonge, Tabora
Posts: 2,742
Thanks: 1,206
Thanked 607 Times in 360 Posts
Rep Power: 28
Sikonge will become famous soon enoughSikonge will become famous soon enoughSikonge will become famous soon enoughSikonge will become famous soon enoughSikonge will become famous soon enoughSikonge will become famous soon enoughSikonge will become famous soon enoughSikonge will become famous soon enough
Default Re: Usahihi...

Quote:
View Post
Nimesoma leo hii forum yakuchangia ila kuna kitu ambacho haki add up.. first post ya invisible alisema kuna wanachama kama 2000, kila mtu akitoa Tsh 10,000 a year that is Tsh 20,000,000!! sio kwamba nasema tusitoe ila kama tunatoa inabidi tupewe mahesabu yanayokamilika. 20 Mil Tsh ni nyingi sana ni almost $16000 or Ł15000...


Mimi binafsi sijui how much it cost to host a website/forum in Tanzania but with $16000 or Ł15000 a year that is too much.. and i do believe that is what it turn off people.. maana hii inasound like business now, a place to get full time income...

sorry if i am being so straight forward but things doesn't add up!!! and also i don't understand are these people (invisible etc) doing this as their daily job?
Hiyo yenye rangi ya KIJANI ndiyo PURE mentallity za wapenda vya bure. Ungelisoma ujumbe wangu wa kwanza kabisa na maelezo ya Kichuguu, ungeliona wazi kabisa kuwa hiyo pesa haitoshi.
Wee na kuandika kwako Kiingereza (naona umesoma eti) katika JF umeona pesa zahitajika ku-host website peke yake? Hapa umeshaambiwa kuwa JF iko sehemu sita tofauti duniani. Pili data/maelezo yote ya zamani yanatunzwa. Hebu niambie hizo Hard Discs zinazohitajika ni TBs ngapi? Maana hapa hatuongelei tena Gigabytes. Pitia kwenye EBAY.COM na angalia vifaa vya computer bei zake zilivyo.
Pia kumbuka hivi vifaa wanapofanyia kazi akina Invisible, inabidi vilipiwe umeme, vifanyiwe marekebisho, up-to-date kwa kuweka vifaa vipya, gharama za ofisi, maji .....na wao kama watu inabidi wakale POLISI ehhh?
Khaa, watu wanapenda MTEREMKO hadi inaleta RAHA. Kwa mtindo huu, Tanzania bado sana sana. Kusaidia kitu kidogo kama elfu tano kashaona analiwa, na unajiona MJANJA kuwa "UMEWASHTUKIA".

Quote:
View Post

Uanachama ndani ya JF ni BURE, na mengine yote unayoweza kufanya via JF ni BURE. Hakuna anayelazimishwa kuchangia JF, bali post ya Invisible ilikuwa inaonyesha uhalisia wa mambo. Tena post hiyo ni wakati JF ina wanachama almost 8,000 na sasa ni zaidi ya 12,000 kwa maana kuwa traffic imeongezeka zaidi.


Ukweli ni kuwa, JF kwa sasa imefikia kuwa na hits 40mil kwa mwezi, kama server yake ingekuwa ndogo basi ingekwisha chemsha siku nyingi.
Max,
Hiyo idadi ya watu inaleta faraja sana sana. Kweli kama pesa zingelipatikana za kutosha, my wish was to have cheap internet cafe in as many places as possible in Tanzania. Kama tungelifikia walau kila KATA ya Tanzania iwe na mtandao na watu wanasoma JAMIIFORUMS, basi tungeliibadilisha hii Tanzania kwa SPEED kubwa sana. Ila ukisikia mtu anasema kuwa eti fedha nyingi sana na haoni maana ya kuchangia, kweli hadi mikono inaanguka. Uzuri ni kuwa tumekula chumvi za wastani na hali kama hizo tumeshaziona sana. Imesemwa "If you find a path with no obstacles, it probably doesn’t lead anywhere." Tena heri angelikaa kimya tu, na siyo kuja hapa kutumia vya watu na kuanza kusema "michango ya hiari" ni mingi sana. Tangu lini Michango ya hiari ikawa mingi?
KELELE ZA CHURA HAZIMZUII TEMBO KUNYWA MAJI. JF SONGA MBELE.....

NB: Jamani, nakumbuka mie simo kwenye listi ya Wachangiaji bado. Ila ntajitahidi mwezi ujao iwe isiwe mchango wangu ufike. Mungu kanijalia kipaji cha Kuchelewa, ila siku zote huwa nawahi ile inasema dakika za majeruhi. Kabla mwaka haujaisha, mchango wangu utafika.
__________________
.... hata kama akitambika uchi huyu mwakyembe, ukweli utabaki pale pale kuwa yeye nimiongoni mwa wale wabunge waliokula milioni 5 za rostam wakati wa kampeni (By: Game Theory)
Reply With Quote
  #48  
Old 9th July 2009, 01:21 PM
Invisible's Avatar
Invisible Invisible is offline
Invisible is around but busy!
Robot
Points: 6,331,668, Level: 100 Points: 6,331,668, Level: 100 Points: 6,331,668, Level: 100
Activity: 10% Activity: 10% Activity: 10%
 
Join Date: Sat Feb 2006
Location: Here...!
Posts: 6,046
Thanks: 506
Thanked 1,455 Times in 432 Posts
Rep Power: 100000
Invisible is a glorious beacon of lightInvisible is a glorious beacon of lightInvisible is a glorious beacon of lightInvisible is a glorious beacon of lightInvisible is a glorious beacon of lightInvisible is a glorious beacon of lightInvisible is a glorious beacon of lightInvisible is a glorious beacon of lightInvisible is a glorious beacon of lightInvisible is a glorious beacon of lightInvisible is a glorious beacon of light
Send a message via MSN to Invisible
Default

Quote:
View Post
Watanzania tunapenda sana vya bure; hatujui bure ni very expensive.

Itafaa kama wanachama wengi zaidi watajitolea na kisha ndio tuombe uwajibikaji toka kwa hao wanaoendesha hii JF.

Wanachama tujitolee lakini pia waendeshaji wawe wanatuambia hata kama ni mara moja kwa miezi sita jinsi pesa tunazojitolea zinavyotuma na kama zinatosha au hazitoshi. Transparency ni muhimu sana ili kuondoa hisia hisia, majungu na uwongo mwingine.
Mtu akitaka kujua specs za Dedicated Servers anaweza kuangalia hata hapa mkuu:

Dedicated Unmetered Servers unlimited bandwidth Data Transfer Dedicated VOIP Media Servers streaming Audio video radio tv

JF ina server mbili zinazoiendesha, lakini server kuu ina specs hizi:

Processor: Dual Intel Quad Core 'Nehalem'
Xeon 5520, 8 x 2.26GHz + HT
Hard disk drive: 2 x 250GB
RAM: 12GB DDR3
Port: 1 GigE (1000Mbit) port
Monthly transfer: 10TB
Managed services: Fully Managed (Tunalipia kampuni maalum ya kuiangalia 24/7 $180 kwa mwezi)
IP addresses: 8Nr

Unaweza ku-google na kuangalia server yenye features hizo ina bei gani.

Monitoring server tunalipa $299 tu kwani haina madude meeengi. Ina software maalum kulinda server kuu. Siku za nyuma tulikuwa tunatumiwa attacks (httpd) lakini baada ya kununua server hii tatizo liliisha.

Hivyo ni rahisi mtu kujua tunalipia kiasi gani kwa mwezi na kuangalia michango inayotolewa ni kiasi gani na kuoanisha... Bahati mbaya mi si accountant ningeweza kuandika vema zaidi ya hivi!
__________________
Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!

Thank you for supporting JF! <---(click to support us)
Waliochangia 2010: <--- (click to read)
JINSI YA KUCHANGIA JF<---(click to read)

24/7 Email SUPPORT: support@jamiiforums.com


Last edited by Invisible; 9th July 2009 at 01:31 PM.. Reason: nyongeza ya maelezo
Reply With Quote
  #49  
Old 9th July 2009, 01:34 PM
Malyamungu Malyamungu is offline
Malyamungu has no status.
Senior Member
Points: 61,480, Level: 100 Points: 61,480, Level: 100 Points: 61,480, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sun Jul 2009
Location: Dubbo NSW, Australia
Posts: 116
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 21
Malyamungu will become famous soon enoughMalyamungu will become famous soon enoughMalyamungu will become famous soon enoughMalyamungu will become famous soon enoughMalyamungu will become famous soon enoughMalyamungu will become famous soon enoughMalyamungu will become famous soon enoughMalyamungu will become famous soon enough
Default Re: Usahihi...

Quote:
View Post
Hiyo yenye rangi ya KIJANI ndiyo PURE mentallity za wapenda vya bure. Ungelisoma ujumbe wangu wa kwanza kabisa na maelezo ya Kichuguu, ungeliona wazi kabisa kuwa hiyo pesa haitoshi.
Wee na kuandika kwako Kiingereza (naona umesoma eti) katika JF umeona pesa zahitajika ku-host website peke yake? Hapa umeshaambiwa kuwa JF iko sehemu sita tofauti duniani. Pili data/maelezo yote ya zamani yanatunzwa. Hebu niambie hizo Hard Discs zinazohitajika ni TBs ngapi? Maana hapa hatuongelei tena Gigabytes. Pitia kwenye EBAY.COM na angalia vifaa vya computer bei zake zilivyo.
Pia kumbuka hivi vifaa wanapofanyia kazi akina Invisible, inabidi vilipiwe umeme, vifanyiwe marekebisho, up-to-date kwa kuweka vifaa vipya, gharama za ofisi, maji .....na wao kama watu inabidi wakale POLISI ehhh?
Khaa, watu wanapenda MTEREMKO hadi inaleta RAHA. Kwa mtindo huu, Tanzania bado sana sana. Kusaidia kitu kidogo kama elfu tano kashaona analiwa, na unajiona MJANJA kuwa "UMEWASHTUKIA".



Max,
Hiyo idadi ya watu inaleta faraja sana sana. Kweli kama pesa zingelipatikana za kutosha, my wish was to have cheap internet cafe in as many places as possible in Tanzania. Kama tungelifikia walau kila KATA ya Tanzania iwe na mtandao na watu wanasoma JAMIIFORUMS, basi tungeliibadilisha hii Tanzania kwa SPEED kubwa sana. Ila ukisikia mtu anasema kuwa eti fedha nyingi sana na haoni maana ya kuchangia, kweli hadi mikono inaanguka. Uzuri ni kuwa tumekula chumvi za wastani na hali kama hizo tumeshaziona sana. Imesemwa "If you find a path with no obstacles, it probably doesn’t lead anywhere." Tena heri angelikaa kimya tu, na siyo kuja hapa kutumia vya watu na kuanza kusema "michango ya hiari" ni mingi sana. Tangu lini Michango ya hiari ikawa mingi?
KELELE ZA CHURA HAZIMZUII TEMBO KUNYWA MAJI. JF SONGA MBELE.....

NB: Jamani, nakumbuka mie simo kwenye listi ya Wachangiaji bado. Ila ntajitahidi mwezi ujao iwe isiwe mchango wangu ufike. Mungu kanijalia kipaji cha Kuchelewa, ila siku zote huwa nawahi ile inasema dakika za majeruhi. Kabla mwaka haujaisha, mchango wangu utafika.
Hapa hakuna story nyingi. Tuchangie kwa anayeijua wikipedia kila siku inachangiwa huwa haina mwenyewe ni ya watu na inapendwa. Mwenyewe mwanachama.

Hakikisha zinafanya kazi hizo hela, uliyosema na kweli server bado inahitajika nafasi kubwa sana ili tusonge.
Reply With Quote
  #50  
Old 9th July 2009, 01:43 PM
Maxence Melo's Avatar
Maxence Melo Maxence Melo is offline
Maxence Melo 42%....
JF Founder
Points: 3,768,629, Level: 100 Points: 3,768,629, Level: 100 Points: 3,768,629, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Mon Mar 2006
Location: Dar es Salaam
Posts: 1,993
Thanks: 112
Thanked 292 Times in 77 Posts
Rep Power: 100000
Maxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the rough
Send a message via MSN to Maxence Melo
Default Re: CHANGIA JF: Mkono mtupu haulambwi

Wengi wa walio Tanzania wamekuwa wakichangia kwa kutuma Vocha za simu na wengine kwa njia ya M-Pesa.

Endapo mtu angependa kuchangia kwa kutumia akaunti ya benki na si kwa credit card bado nina account ya Benki ya Marekani ambayo nimeifungua mahsusi kwa ajili ya JF.

Options zote zinawezekana tu.
__________________
Welcome to JF Phase II...

Contact me:
Mobile: +255713444649

Email: maxence@maxence.co.tz
Pls DO NOT send me Job applications... Read adverts carefully!
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
aibu, changia, haulambwi, hii, itakwisha, jf, kila, kuichangia, kwenu, lini, mkono, mtupu, mwezi, uamuzi, wakuu


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Kula Breki!!! Sura-ya-Kwanza Jokes/Utani + Udaku/Gossips 88 30th January 2010 11:20 AM
Nimrod Mkono na Mkono Advocates watch... Game Theory Jamii Intelligence 509 10th December 2009 10:00 AM
Tanzanian Stars Rising: Reginald Mengi and Nimrod Mkono Invisible Jukwaa la Siasa 0 6th April 2008 10:47 AM
Mkono na Msolla wafanya Mazingaombwe! Mzee Mwanakijiji Jukwaa la Elimu (Education Forum) 40 7th November 2007 07:33 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 01:31 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com