CHANGIA JF: Mkono mtupu haulambwi - Page 3 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Jukwaa la Siasa


Jukwaa la Siasa Tanzania & World Politics General Discussion Forum. You need to be registered in order to post your comment(s)


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 9th January 2009, 02:24 PM  
CHANGIA JF: Mkono mtupu haulambwi
Sikonge Sikonge is offline 9th January 2009, 02:24 PM

Wana JF,

Quote:
Maelezo hapo chini nimeyatoa kwa KICHUGUU kwenye thread yenye kichwa chenye maneno Administrator wa JF ni Mkali.
Nataka TUJUKUMBUSHE ambao hatujachangia (mie pia bado) kuwa mkono mtupu haulambwi. Kazi wanayofanya hawa jamaa si ndogo. Kuna muda nilikuwa na matatizo ya computer, basi Invisible aliichukulia kama ni shida yake. Akawa tayari hata kunitafutia watu waje warekebishe matatizo kwenye computer yangu. Kama CCM wangelijali watu wao walau nusu ya hii basi tungelikuwa mbali. Sasa na yote haya jamaa kujitolea, nafikiri hizi mashine zinahitaji matengenezo ya aina mbalimbali na kuifanya iwe up-to-date. Na kila mtu anajua kuwa kila miezi mitatu, vinatoka vitu vipya na bei yake si znuri sana. Hivyo kama hujasaidia JF basi shime shime tuchangie BANDUGU.
Kwa maana hii mchango na mimi mwaka huu naanza kuchangia.
Invisible nilikuahidi kuwa ntaleta mchango wangu mwenyewe nikiwa Dar ila naona sintaweza au nikaja mwisho wa mwaka. Pesa kidogo tayari zipo Dar na hapo Sister wangu atakuleteeni. Unaweza kunitumia anwani yenu na nani wa kumuona ili akija akupatieni hako kamchango kiduchu!!!Niandikie kwenye PM.

NB:- Mods, baadaye waweza zichanganya na ile ya Kichuguu.

Quote:
Napenda kuapa kuwa JF ni forum ambayo inaendeshwa vizuri sana. Admin wa JF ana-respond kwa kila ombi in time. Kukitokea out-of-direction thread, anaishugulikia ipasavyo kabla hijawa kero kwa forum nzima. Ilivyofika wakati wa kipindi cha holidays ali-respond vizuri tukawa na skin ya Chrsimas halafu ikaja skin ya New Year na leo skin yetu ya Tanzania Tanzania Nakupenda kwa Moyo Wote imerudi tena. Nahisi amejenga system nzuri sana kwa kutumia OOP akaweka na objetcs nzuri sana kiasi kuwa haoni ugumu kubadili mambo ikiwa lazima.

Kwa vyovyote vile, ameweka muda wake mwingi ili kuifanya JF iwe sehemu nzuri ya mtu kutumia muda wake hata kama hupendezwi na yanayoongelewa. Mod anastahili pongezi nyingi sana.
__________________
.... hata kama akitambika uchi huyu mwakyembe, ukweli utabaki pale pale kuwa yeye nimiongoni mwa wale wabunge waliokula milioni 5 za rostam wakati wa kampeni (By: Game Theory)

Last edited by Sikonge; 15th February 2010 at 07:02 PM..

 
Sikonge's Avatar
Sikonge
JF Premium Member
Points: 273,087, Level: 100 Points: 273,087, Level: 100 Points: 273,087, Level: 100
Activity: 19% Activity: 19% Activity: 19%
Join Date: Sat Jan 2008
Location: Sikonge, Tabora
Posts: 2,744
Thanks: 1,222
Thanked 619 Times in 363 Posts
Views: 6607
Reply With Quote
  #21  
Old 21st May 2009, 03:45 PM
Fidel80's Avatar
Fidel80 Fidel80 is offline
Fidel80 > Muosha huoshwa
JF Premium Member
Points: 807,707, Level: 100 Points: 807,707, Level: 100 Points: 807,707, Level: 100
Activity: 75% Activity: 75% Activity: 75%
 
Join Date: Sat May 2008
Location: UVUNGUNI
Posts: 7,398
Thanks: 517
Thanked 987 Times in 685 Posts
Rep Power: 36
Fidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enough
Default Re: CHANGIA JF: Mkono mtupu haulambwi

Jamani kwa member wote mnao faidi na msio faidi hapa Jamvini naomba kutangaza dau kuwa j3 nita deposit sh.20000/= kama mchango wangu hapa JF naombeni wahusika tukumbushane tu j3 mi nakabidhi kwa Maxelo au nitapeleka BANK kama hakutakuwa na foleni maana vibank vyetu siku ya j3 kuna kuwa na foleni za ajabu.
__________________
Ukiuza utumbo usiogope nzi.
Chuda Raha

Email: fidel80@jamiiforums.com
Reply With Quote
  #22  
Old 21st May 2009, 03:50 PM
BelindaJacob BelindaJacob is offline
BelindaJacob has no status.
JF Premium Member
Points: 159,318, Level: 100 Points: 159,318, Level: 100 Points: 159,318, Level: 100
Activity: 5% Activity: 5% Activity: 5%
 
Join Date: Mon Nov 2008
Location: BelindaJacob
Posts: 1,336
Thanks: 189
Thanked 78 Times in 51 Posts
Rep Power: 24
BelindaJacob will become famous soon enoughBelindaJacob will become famous soon enoughBelindaJacob will become famous soon enoughBelindaJacob will become famous soon enoughBelindaJacob will become famous soon enoughBelindaJacob will become famous soon enoughBelindaJacob will become famous soon enoughBelindaJacob will become famous soon enough
Default Re: CHANGIA JF: Mkono mtupu haulambwi

Quote:
View Post
Jamani kwa member wote mnao faidi na msio faidi hapa Jamvini naomba kutangaza dau kuwa j3 nita deposit sh.20000/= kama mchango wangu hapa JF naombeni wahusika tukumbushane tu j3 mi nakabidhi kwa Maxelo au nitapeleka BANK kama hakutakuwa na foleni maana vibank vyetu siku ya j3 kuna kuwa na foleni za ajabu.
Ishalaah, utakumbushwa!..Bora uwasiliane na Maxelo,kama bank kuna foleni tena jumatatuz umtumie yeye kwa ile huduma ya vodafasta(kama bado ipo)..
__________________
Giving up doesn’t always mean you are weak,sometimes it means that you are strong enough to let go!....
Reply With Quote
  #23  
Old 21st May 2009, 03:58 PM
Next Level's Avatar
Next Level Next Level is offline
Next Level is optimistic one day yes
JF Premium Member
Points: 176,473, Level: 100 Points: 176,473, Level: 100 Points: 176,473, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Mon Nov 2008
Location: Pwani
Posts: 2,559
Thanks: 386
Thanked 531 Times in 325 Posts
Rep Power: 27
Next Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enough
Default Re: CHANGIA JF: Mkono mtupu haulambwi

Quote:
View Post
Jamani kwa member wote mnao faidi na msio faidi hapa Jamvini naomba kutangaza dau kuwa j3 nita deposit sh.20000/= kama mchango wangu hapa JF naombeni wahusika tukumbushane tu j3 mi nakabidhi kwa Maxelo au nitapeleka BANK kama hakutakuwa na foleni maana vibank vyetu siku ya j3 kuna kuwa na foleni za ajabu.
Mwaveja sana mwanawane......tutakustua tu kaka!
__________________
“Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning
- GLORIA STEINEM.
Reply With Quote
  #24  
Old 21st May 2009, 03:59 PM
Mzizi wa Mbuyu Mzizi wa Mbuyu is offline
Mzizi wa Mbuyu has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 189,152, Level: 100 Points: 189,152, Level: 100 Points: 189,152, Level: 100
Activity: 17% Activity: 17% Activity: 17%
 
Join Date: Fri May 2009
Posts: 371
Thanks: 37
Thanked 64 Times in 36 Posts
Rep Power: 21
Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enough
Default Re: CHANGIA JF: Mkono mtupu haulambwi

Jamani mie naahidi Tzs 10,000/= ntatuma kwa njia ya sms. Kujiwekea cover vizuri ntanunua sim card ya mia tano mpya ntaandika jina langu la Mzizi kwenye sms hiyo na kuhakikisha Max kishapata pesa hiyo, sinta itumia kwa mtu mwingine yeyote! then ntaivunja hiyo sim card,...UWT wasumbufu sana!
Reply With Quote
  #25  
Old 21st May 2009, 04:05 PM
Maane Maane is offline
Maane ni mchukia dhuluma
JF Premium Member
Points: 122,437, Level: 100 Points: 122,437, Level: 100 Points: 122,437, Level: 100
Activity: 19% Activity: 19% Activity: 19%
 
Join Date: Thu Jul 2008
Posts: 1,521
Thanks: 47
Thanked 187 Times in 116 Posts
Rep Power: 25
Maane will become famous soon enoughMaane will become famous soon enoughMaane will become famous soon enoughMaane will become famous soon enoughMaane will become famous soon enoughMaane will become famous soon enoughMaane will become famous soon enoughMaane will become famous soon enough
Default Re: CHANGIA JF: Mkono mtupu haulambwi

Jamani wakuu nime feel guilty sana kwa kuwa sijachangia my lovely JF hadi leo. Nina moyo wa kuchangia sema najisahau. Ila ningependa kuchangia kwa anonymity. Sasa Maxence na Invisible je ninaweza kutuma kwa kutumia jina bandia? If so then nijulishe mapema ili by next week ni deposit.

Pia wana JF naamini members wote, wawe wa mrengo wa kulia au kushoto, sote tunafaidika na hii forum. Mexence Melo ameamua kuacha kazi rasmi (kuajiriwa) ili aweze kutumia muda wake kwa ajili ya Forum hii. Huu ni uzalendo wa hali ya juu. At the same tima atahitaji fedha kwa ajili ya kendesha maisha yake i.e compensation for his salary forgone. Ninashauri wote tuweze kuchangia michango meaningful ili angalao tuweze kugharamia administrative costs za JF. Kama alivyosema member hapo juu tuko wanachama 5000 na bado wapya wanajinga, hivyo imagine kila member mwenye wezo kifedha akichangia kuanzia 100,0000/= na wenye average income akichangia between 50,0000 - 90,000= na waliobaki wakichangia kuanzia 5,000 -40,000. Pia wale ambao wanaweza kchangia zaidi ya 100,000/= ni vizuri sana na tunawashukuru. Kwa hakika tungepata fedha ya kutosha kiendesha JF bila tabu ya fedha.

Nimechukua Bank account nasubiri Max an Invisible mni PM taratibu za kutuma as anonimous. Then nikishatuma nitawa PM kwa my nick kwa ajili ya records. Thanks.
Reply With Quote
  #26  
Old 21st May 2009, 04:57 PM
Fidel80's Avatar
Fidel80 Fidel80 is offline
Fidel80 > Muosha huoshwa
JF Premium Member
Points: 807,707, Level: 100 Points: 807,707, Level: 100 Points: 807,707, Level: 100
Activity: 75% Activity: 75% Activity: 75%
 
Join Date: Sat May 2008
Location: UVUNGUNI
Posts: 7,398
Thanks: 517
Thanked 987 Times in 685 Posts
Rep Power: 36
Fidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enough
Default Re: CHANGIA JF: Mkono mtupu haulambwi

Quote:
View Post
Mwaveja sana mwanawane......tutakustua tu kaka!
Mkuu kidogo kidogo hujaza kibaba....tuwe na mioyo ya kuchangia si harusi tu wakuu.
__________________
Ukiuza utumbo usiogope nzi.
Chuda Raha

Email: fidel80@jamiiforums.com
Reply With Quote
  #27  
Old 21st May 2009, 05:21 PM
Next Level's Avatar
Next Level Next Level is offline
Next Level is optimistic one day yes
JF Premium Member
Points: 176,473, Level: 100 Points: 176,473, Level: 100 Points: 176,473, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Mon Nov 2008
Location: Pwani
Posts: 2,559
Thanks: 386
Thanked 531 Times in 325 Posts
Rep Power: 27
Next Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enough
Default Re: CHANGIA JF: Mkono mtupu haulambwi

Quote:
View Post
Jamani wakuu nime feel guilty sana kwa kuwa sijachangia my lovely JF hadi leo. Nina moyo wa kuchangia sema najisahau. Ila ningependa kuchangia kwa anonymity. Sasa Maxence na Invisible je ninaweza kutuma kwa kutumia jina bandia? If so then nijulishe mapema ili by next week ni deposit.
Mkuu Maane, God bless you kwa kuchukua hatua ya kuchangia JF! I know,members wengi wanawasiwasi kujulikana ID zao sio pekee yako!

Mkuu ukisoma post ya Invisible pale mwanzoni utaona Max anasema unaweza kumtuma hata jamaa mwingine tu bank akadeposit hela kwa kutumia hata ID ya say MAANE au other name unayoitaka wewe....then umjulishe MAX kuwa umedeposit kusudi a confirm kwa kuangalia Bank statement yake.....!

So mkuu just go ahead, ofcourse Max na Invisible wanaweza kusaidia zaidi namna ya kudeposit cash mkuu!

Once again tuhamasishane zaidi kuchangia JF ili iendelea kutupatia uhondo huu.......!

Cheers
__________________
“Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning
- GLORIA STEINEM.
Reply With Quote
  #28  
Old 22nd May 2009, 04:20 PM
Next Level's Avatar
Next Level Next Level is offline
Next Level is optimistic one day yes
JF Premium Member
Points: 176,473, Level: 100 Points: 176,473, Level: 100 Points: 176,473, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Mon Nov 2008
Location: Pwani
Posts: 2,559
Thanks: 386
Thanked 531 Times in 325 Posts
Rep Power: 27
Next Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enough
Default Re: CHANGIA JF: Mkono mtupu haulambwi

Quote:
View Post
Mkuu kidogo kidogo hujaza kibaba....tuwe na mioyo ya kuchangia si harusi tu wakuu.
Hapo kny bold mkuu, huwa na shangaa sana yaani wabongo kny harusi, sijui send off party etc utaona jamaa wanapledge hadi 1mill but when it comes to issues za maendeleo e.g kumchangia mwanajamii akasome....and the likes humwoni mtu aisee......ivi kwa nini inakuwa hivyo?
__________________
“Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning
- GLORIA STEINEM.
Reply With Quote
  #29  
Old 23rd May 2009, 04:30 PM
Malila Malila is offline
Malila has no status.
JF Premium Member
Points: 216,345, Level: 100 Points: 216,345, Level: 100 Points: 216,345, Level: 100
Activity: 10% Activity: 10% Activity: 10%
 
Join Date: Sat Dec 2007
Posts: 726
Thanks: 18
Thanked 135 Times in 68 Posts
Rep Power: 64
Malila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the rough
Angry Re: CHANGIA JF: Mkono mtupu haulambwi

Quote:
View Post
Ikumbukwe, SI LAZIMA kuandika jina lako la kweli na SI LAZIMA kwenda mwenyewe bank kutuma pesa hizo (kwani unaweza kumpa unayemwamini na kumpa account details na jina lako ambalo ungependa aandike).

Tunaweza kuandika mengi lakini ukweli unabakia pale kuwa JF inahitaji michango yenu kwa sana tu.

Kwa wenye maswali zaidi wanaweza kuwasiliana na Maxence kupitia namba yake ya simu +255713444649.
Asante mkuu,nilikuwa sijui namna ya kuchangia,naomba mnisamehe kwa kutumia huduma hii muhimu bure. Kiasi cha chini ulichoandika wengi wetu tunaweza. Asante,nikifika Dsm nitajitahidi kuchangia kupitia kwa MM (crdb).
Reply With Quote
  #30  
Old 24th May 2009, 03:41 PM
Junius's Avatar
Junius Junius is online now
Junius Sir Phillip Francis
JF Senior Expert Member
Points: 445,522, Level: 100 Points: 445,522, Level: 100 Points: 445,522, Level: 100
Activity: 7% Activity: 7% Activity: 7%
 
Join Date: Wed Mar 2009
Posts: 2,082
Thanks: 142
Thanked 184 Times in 130 Posts
Rep Power: 26
Junius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enough
Default Re: CHANGIA JF: Mkono mtupu haulambwi

Quote:
View Post
Mkuu Junius, kwanza kabisa kumbuka kuwa umeweza kuandika ulichoandika kwa sababu tu kuna watu wamekuwezesha kufanya hivyo hapa JF.....! Sasa kama unataka uendelea kuwezeshwa kufanya hivyo, please tunaomba pledge yako ya hiari kuisaidia JF kuwa hewani!

Pili, ungeweza kutoa dukuduku zako kule kwenye compaints na ungesaidiwa vizuri sana mkuu! Hii thread ni kwa ajili ya fund raising na kutoa maoni ya jinsi ya kuiwezesha JF ijiendeshe mkuu!
Nawatakeni radhi,
Nilikuwa sjaielewa hii thread (I was confused).
am deeply sorry
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
aibu, changia, haulambwi, hii, itakwisha, jf, kila, kuichangia, kwenu, lini, mkono, mtupu, mwezi, uamuzi, wakuu


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Kula Breki!!! Sura-ya-Kwanza Jokes/Utani + Udaku/Gossips 88 30th January 2010 11:20 AM
Nimrod Mkono na Mkono Advocates watch... Game Theory Jamii Intelligence 509 10th December 2009 10:00 AM
Tanzanian Stars Rising: Reginald Mengi and Nimrod Mkono Invisible Jukwaa la Siasa 0 6th April 2008 10:47 AM
Mkono na Msolla wafanya Mazingaombwe! Mzee Mwanakijiji Jukwaa la Elimu (Education Forum) 40 7th November 2007 07:33 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 01:49 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com