Re: Tendwa hili halikubaliki
Hao wazee ni matokeo ya kazi ya kisiri siri ya Edward Lowassa kuweka himaya yake hapa nchini kwa kumtanguliza mkwewe. Nashangaa hata Nape anacheza hiyo hiyo ngoma na Membe yuko kwa David Cameron kuwajadili wasomali na huku Mzee Six yuko busy na Kanumba. Janja ya Lowassa kiboko yake ni CDM tu. Nassary alipata zaidi ya kura 30,000 (Baada ya kuchakachuliwa) 2010 bila hata Lema kwenda kule. CCM wao tishio lao kubwa ni Lema tu wanasahau kuwa CDM sio one man army. Lwaigwanani wenye njaa na waliohongwa na EL wazuie CDM yote kama wanaweza
R.I.P Chama Cha Magamba.... CCM 1977-2015, Bwana alitoa, Bwana atatwaa.
Follow Us Here