Re: AMIMI USIAMINI - Hii ndiyo fomu ya kuombea viza ya kuja Tanzania!
Inasikitisha. Watanzania hatuna utaifa na hatupendani ndio maana tunajiona kama ni wakarimu sana kwa wageni. Wenzetu wanapendana na wana utaifa, ndio maana wanalinda sana mambo yao na hadhi ya watu wao. Nilitaka kulifanyia kazi suala hili, lakini nikagundua nchi yetu kila kona iko hovyohovyo; uhamiaji, tra, tbs, madini, bot, tanapa, bandari yaani kila sehemu ni hovyo. Mbaya zaidi hata TISS wanafanya siasa, na hawana uzalendo tena.
Arumeru Kula CCM, KURA Chadema !
Follow Us Here