Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Makamu wa Rais ana kazi gani?

    Report Post
    Page 1 of 8 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 160
    1. #1
      MwanaFalsafa1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Posts : 5,450
      Rep Power : 9880
      Likes Received
      613
      Likes Given
      448

      Default Makamu wa Rais ana kazi gani?

      Habari zenu wakuu.

      Leo nina dukuduku ambalo nataka kulitoa. Sijui kama wenzangu linawatatiza pia. Hivi jamani makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ana kazi gani haswa?

      Nauliza hivi kutokana na ninayoyaona kwahiyo kama sipo sahihi nitarekebishwa. Kila nikiona kwenye vyombo vya habari namuona makamu wa rais aidha anazindua kitu au ni mgeni rasmi sehemu au anafanya ziara sehemu. Yani amekuwa "mzee wa kukata utepe". Ninachosema ni hivi huyu mtu tunaemuita makamu wa rais tunamlipa na kumhudumia kwa ajili ya kuhudhuria sherehe tu? Kwa nchi masikini kama yetu why do we need a ceremonial leader?

      Najua watu wataanza kusema oh ni kwa ajili ya ku-accomodate muungano. Siamini hiyo ni sababu. Kwa maana tunaweza kabisa kufuta nafasi ya makamo wa rais na tukasema rais akitoka upande mmoja wa muungano basi waziri mkuu atoke upande mwingine. Kwanini tupoteze rasilimali za nchi kwa ajili ya kuwa na mtu asiye na shughuli za maana ambazo hata rais na waziri mkuu wanaweza waka gawana na kufanya?

      Sina nia ya kumshushia heshima makamu wa raisi wala nafasi ya umakamu wa rais ila ninachosema sasa ifike wakati aidha tumpe makamu wa rais kazi za maana za kufanya au tukifute hiki cheo. Kwa ufahamu wangu, Makamu wa Rais ni msaidizi wa rais kwa maana rais ndiyo anaamua ampe kazi zipi makamu wake. Sasa ni kwamba rais hamuamini makamu wake kumpa kazi zozote za maana?

      Jamani hili ndilo dukuduku langu.
      mwaJ, GOMA, Mauza uza and 12 others like this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6153
      Likes Given
      22273

      Default Re: Makamu wa raisi ana kazi gani?

      Makamo wa rais yupo yupo tuu standby just in case anything happens kwa rais!. Ila makamo wa rais anapokuwa mchovu mchovu, hilo nalo neno!
      MwanaFalsafa1 and jadenisambi like this.

    4. #3
      MwanaFalsafa1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Posts : 5,450
      Rep Power : 9880
      Likes Received
      613
      Likes Given
      448

      Default Re: Makamu wa raisi ana kazi gani?

      Quote By Pasco
      Makamo wa rais yupo yupo tuu standby just in case anything happens kwa rais!. Ila makamo wa rais anapokuwa mchovu mchovu, hilo nalo neno!
      Hilo nalo tatizo. If anything happens to the president siyo bora kuachiwa mtu amabe ana experience ya day to day activities za serikali kuliko kumuachia mtu ambae alikua anakaa kaa tu?
      Pasco likes this.

    5. #4
      babukijana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2009
      Posts : 2,883
      Rep Power : 1079
      Likes Received
      307
      Likes Given
      151

      Default Re: Makamu wa raisi ana kazi gani?

      na msafara wake mzito,pkpk magari km 7 hivi,hii nchi ya ajabu sana kwakweli

    6. #5
      MwanaFalsafa1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Posts : 5,450
      Rep Power : 9880
      Likes Received
      613
      Likes Given
      448

      Default Re: Makamu wa raisi ana kazi gani?

      Quote By babukijana
      na msafara wake mzito,pkpk magari km 7 hivi,hii nchi ya ajabu sana kwakweli
      Yani acha tu. Unnecessary expenditures everywhere. Nakumbuka wakati Bilal ndiyo kwanza anapata umakamu wa raisi JK alimuambia ikiwezekana aendelee kutoa lecture chuo cha UDOM. Sasa kama makamu wa raisi ana muda wa kufundisha na kusafiri mpaka Dodoma kufanya hivyo ina maana ana a lot of free time.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Mzito Kabwela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : MPUMBULI
      Posts : 7,243
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1086
      Likes Given
      7

      Default Re: Makamu wa raisi ana kazi gani?

      Makamu wa Rais anatembea na mkasi wa kukatia utepe

    9. #7
      LE GAGNANT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2011
      Posts : 1,228
      Rep Power : 709
      Likes Received
      222
      Likes Given
      184

      Default Re: Makamu wa raisi ana kazi gani?

      Kazi yake ni kuongeza gharama za matumizi ya serikali ya muungano.
      MwanaFalsafa1 likes this.
      SI VYOTE VING'AAVYO NI DHAHABU

    10. #8
      DOMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2011
      Posts : 630
      Rep Power : 0
      Likes Received
      183
      Likes Given
      1

      Default Re: Makamu wa raisi ana kazi gani?

      Kukata utepe

    11. #9
      samora10's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2010
      Location : Kwa-Gude
      Posts : 3,252
      Rep Power : 1103
      Likes Received
      729
      Likes Given
      1163

      Default Re: Makamu wa raisi ana kazi gani?

      Tuanze na Rais kwanza.. manake bora hata huyo makam wake anakata utepe na kufungua warsha mbali mbali!

      Rais yeye kazi yake nini? nchi imegubikwa na matatizo lukuki.. muhimbili watu wanakufa sijasikia lolote la maana zaidi ya ngonjera na siasa za wito!
      eddo and muonamambo like this.
      ''Mipango na Mikakati imekamilika na sasa tuko kwenye mchakato wa mazungumzo na wafadhili"- M Pinda

    12. #10
      MwanaFalsafa1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Posts : 5,450
      Rep Power : 9880
      Likes Received
      613
      Likes Given
      448

      Default Re: Makamu wa raisi ana kazi gani?

      Quote By samora10
      Tuanze na Rais kwanza.. manake bora hata huyo makam wake anakata utepe na kufungua warsha mbali mbali!

      Rais yeye kazi yake nini? nchi imegubikwa na matatizo lukuki.. muhimbili watu wanakufa sijasikia lolote la maana zaidi ya ngonjera na siasa za wito!
      Tofauti ya raisi na makamu ni kwamba raisi ana nguvu ya katiba kufanya mambo sema mwenywe anashindwa. makamu wa raisi ni hana nguvu yoyote.
      samora10 likes this.

    13. #11
      JACADUOGO2.'s Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th December 2010
      Posts : 774
      Rep Power : 582
      Likes Received
      184
      Likes Given
      0

      Default Re: Makamu wa raisi ana kazi gani?

      Makamu wa Rais yupo yupo tu na wala hana kazi yoyote tofauti na kula mshahara, kuuza sura na kuzururu huku na huku kwa kutumia kodi za wananchi walalahoi!
      MwanaFalsafa1 and eddo like this.

    14. #12
      Amavubi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th December 2010
      Location : Kigali-Rwanda
      Posts : 5,409
      Rep Power : 1609
      Likes Received
      2328
      Likes Given
      1958

      Default Re: Makamu wa raisi ana kazi gani?

      Kutalii na wakeze
      mpigauzi likes this.

    15. #13
      jmushi1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2007
      Posts : 14,376
      Rep Power : 16492
      Likes Received
      4301
      Likes Given
      5491

      Default Re: Makamu wa raisi ana kazi gani?

      Mshereheshaji.
      Tata, eddo, mpigauzi and 1 others like this.
      "One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors"-Plato

    16. #14
      Nonda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th November 2010
      Location : Gongo La Mboto
      Posts : 5,816
      Rep Power : 1863
      Likes Received
      937
      Likes Given
      367

      Default Re: Makamu wa raisi ana kazi gani?

      Ili kuelewa mkorogo huu wa Makamu wa Rais itakupasa urudi miaka ile siasa za vyama vingi ziliporudishwa katika siasa za Tanzania na Muungano.
      Mwanzoni, Rais wa Zanzibar alikuwa automatic anakalia kiti hicho ya Makamu wa Rais na alikuwa anawakilisha maslahi ya Zanzibar katika Muungano.

      Tulipofuta utaratibu huo wa Zanzibar kuwa Makamo wa Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano ndio tumejikuta na Makamu wa Rais ambaye kama ulivyosema katika kutahadharisha "yupo yupo tu ili kuaccomodate Muungano" lakini hawakilishi Zanzibar au maslahi ya Zanzibar katika Muungano.

      Jambo baya ambalo linachochea Zanzibar kulalama na kuutupia madongo Muungano ni ile kumfanya Rais wa Zanzibar kuwa ni (Mjumbe )Waziri asiye na wizara maalum katika Baraza la mawaziri wa muungano.

      Ukiangalia kwa undani ,tunaweza kusema kuwa Muungano tuliuvunja siku ile tuliyomfanya mwakilishi mkuu wa upande Zanzibar kuwa hana sauti yoyote katika Muungano.

      Neno ulilolitumia "ku-accomodate Muungano" lisomeke funika kombe, au kutia changa la macho ili Muungano uzidi kuonekana kuwa ni kichekesho tu. Ni kweli kama ilivyo leo, Nafasi ya Makamu wa Rais ni ukiritimba tu, cheo ambacho kinafuja fedha za walipa kodi.

      Inapotokea watu kuanza kuona Serikali ya Muungano haipaswi kuwa na sura ya Kimuungano basi ujue watu wameanza kufuta tongo, watu wameanza kutoka usingizini na kuona mazingaombwe na ombwe la Muungano usio Muungano.

      Hiki cheo kuna haja kufutwa ili iwezeshe kuundwa kwa serikali ya Tanganyika na serikali ya Zanzibar tayari ipo na kuunda serikali ndogo ya Muungano ambayo, Rais wa Tangayika na Rais wa Zanzibar watatawala kama co-presidency ya Muungano na baraza dogo la wizara za muungano.

    17. #15
      Remote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th May 2011
      Posts : 4,262
      Rep Power : 1359
      Likes Received
      948
      Likes Given
      182

      Default Re: Makamu wa raisi ana kazi gani?

      Mwacheni mzee wa mkasi.. nasikia yy kila aendako lazma awe na mkasi kwenye koti lake la suti.
      eddo and mpujufu like this.

    18. #16
      Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2007
      Location : Tanzania
      Posts : 2,819
      Rep Power : 10811
      Likes Received
      3737
      Likes Given
      2719

      Default Re: Makamu wa raisi ana kazi gani?

      Makamu wa Rais ni Gharama tu kwa walipa kodi kwani nafasi hii ipo only to accommodate siasa za muungano. Miaka ya nyuma, nafasi hii ilikuwa more effective kutokana na kuunganishwa kwake na cheo cha Waziri Mkuu na Rais wa Zanzibar ambapo kulikuwa na makamo wa kwanza na makamo wa pili. Kwahiyo cheo cha makamo wa rais kilionekana kina mashiko lakini kumbe kilikuwa kinabebwa zaidi na kofia za waziri mkuu/rais wa znz.

      Nyerere alilshauriwa mfumo huu na tume ya Judge Bomani ambae yeye aliiga mfumo wa mgombea mwenza wa Marekani kama njia ya kuondokana na hofu iwapo CUF ingeshinda Uchaguzi ZnZ, kwani chini ya utaratibu wa zamani, rais wa zanzibar alikuwa automatically makamo wa Rais wa muungano. Vilevile mfumo wetu wa muungano nyerere aliiga ule wa UK (Ireland, Wales, Britain). Kwahiyo, with all due respect to baba wa taifa, kuna mambo mengine hayawezi kuwa effective yakiwa to ni 'copy and paste' from another context.
      Pasco and MwanaFalsafa1 like this.
      "In the future, it is possible that a Second Party will grow in Tanganyika, but in one sense such a growth would represent a failure by TANU."

      J.K Nyerere, 1968.

    19. #17
      ha ha ha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th December 2011
      Location : Hapahapa
      Posts : 456
      Rep Power : 466
      Likes Received
      45
      Likes Given
      71

      Default Re: Makamu wa raisi ana kazi gani?

      Quote By DOMA
      Kukata utepe
      Upi uo kaka?

    20. #18
      Mauza uza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th July 2008
      Location : Rio De Jeneiro
      Posts : 517
      Rep Power : 656
      Likes Received
      39
      Likes Given
      361

      Default Re: Makamu wa raisi ana kazi gani?

      Quote By babukijana
      na msafara wake mzito,pkpk magari km 7 hivi,hii nchi ya ajabu sana kwakweli
      umesahau msafara una wake wawili pia teehteeh

    21. #19
      EL MAGNIFICAL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2011
      Location : mbeya
      Posts : 857
      Rep Power : 686
      Likes Received
      103
      Likes Given
      1

      Default Re: Makamu wa raisi ana kazi gani?

      hapa ndo unaweza amini c magonjwa tu tunayorithi
      MwanaFalsafa1 likes this.

    22. #20
      MwanaFalsafa1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Posts : 5,450
      Rep Power : 9880
      Likes Received
      613
      Likes Given
      448

      Default Re: Makamu wa raisi ana kazi gani?

      Quote By EL MAGNIFICAL
      hapa ndo unaweza amini c magonjwa tu tunayorithi
      Ni kweli mkuu. Our problems run deep!!!

    Page 1 of 8 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...