Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Makamu wa Rais ana kazi gani?

    Report Post
    Page 3 of 8 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 160
    1. #1
      MwanaFalsafa1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Posts : 5,443
      Rep Power : 9877
      Likes Received
      609
      Likes Given
      444

      Default Makamu wa Rais ana kazi gani?

      Habari zenu wakuu.

      Leo nina dukuduku ambalo nataka kulitoa. Sijui kama wenzangu linawatatiza pia. Hivi jamani makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ana kazi gani haswa?

      Nauliza hivi kutokana na ninayoyaona kwahiyo kama sipo sahihi nitarekebishwa. Kila nikiona kwenye vyombo vya habari namuona makamu wa rais aidha anazindua kitu au ni mgeni rasmi sehemu au anafanya ziara sehemu. Yani amekuwa "mzee wa kukata utepe". Ninachosema ni hivi huyu mtu tunaemuita makamu wa rais tunamlipa na kumhudumia kwa ajili ya kuhudhuria sherehe tu? Kwa nchi masikini kama yetu why do we need a ceremonial leader?

      Najua watu wataanza kusema oh ni kwa ajili ya ku-accomodate muungano. Siamini hiyo ni sababu. Kwa maana tunaweza kabisa kufuta nafasi ya makamo wa rais na tukasema rais akitoka upande mmoja wa muungano basi waziri mkuu atoke upande mwingine. Kwanini tupoteze rasilimali za nchi kwa ajili ya kuwa na mtu asiye na shughuli za maana ambazo hata rais na waziri mkuu wanaweza waka gawana na kufanya?

      Sina nia ya kumshushia heshima makamu wa raisi wala nafasi ya umakamu wa rais ila ninachosema sasa ifike wakati aidha tumpe makamu wa rais kazi za maana za kufanya au tukifute hiki cheo. Kwa ufahamu wangu, Makamu wa Rais ni msaidizi wa rais kwa maana rais ndiyo anaamua ampe kazi zipi makamu wake. Sasa ni kwamba rais hamuamini makamu wake kumpa kazi zozote za maana?

      Jamani hili ndilo dukuduku langu.
      mwaJ, GOMA, Mauza uza and 12 others like this.

    2. Miaka 50

    3. #41
      mikatabafeki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Posts : 4,840
      Rep Power : 1397
      Likes Received
      766
      Likes Given
      1463

      Default Re: Makamu wa raisi ana kazi gani?

      ni CEREMONIAL leader.....................nad hani upo hapo.
      when love goes wrong,nothing goes right.

    4. #42
      MwanaFalsafa1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Posts : 5,443
      Rep Power : 9877
      Likes Received
      609
      Likes Given
      444

      Default Re: Makamu wa raisi ana kazi gani?

      Quote By GeniusBrain

      Nilitegemea uende extra miles kwa kusoma katiba ya JMT, ila hukufanya hivyo na unataka sie tukusomee, ww kweli ni GT ? au hujui kusoma mkuu ?


      Wenye akili washaelewa point yangu. Au ni wewe usiejua kusoma?
      Matola likes this.

    5. #43
      MwanaFalsafa1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Posts : 5,443
      Rep Power : 9877
      Likes Received
      609
      Likes Given
      444

      Default Re: Makamu wa raisi ana kazi gani?

      Quote By HISIA KALI
      (c) atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi.
      Sijawahi ona au sikia huyu mtu akifanya kazi zozote za raisi wakati raisi hayupo. Nitoe mifano.
      1. Ishu ya Jairo inaibuka raisi alikua nje ya nchi. Sikumsikia makamu wa rais.
      2. Mgomo wa madaktari unatokea rais hayupo. Sikumsikia rais.

      Sasa nitolee mfano wa lini kafanya kazi za raisi wakati raisi yupo nje ya nchi. Huwa namsikiaga tu waziri mkuu.

    6. #44
      MwanaFalsafa1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Posts : 5,443
      Rep Power : 9877
      Likes Received
      609
      Likes Given
      444

      Default Re: Makamu wa raisi ana kazi gani?

      Quote By EMT
      Kwa kweli hata mimi sielewi umuhimu wa kuwa na Makamu wa Rais. Katiba ya sasa inasema kwamba Makamu wa Rais ni Msaidizi Mkuu wa Rais kuhusu mambo yote ya Jamhuri ya Muungano kwa jumla. Hususan (a) atamsaidia Rais katika kufuatilia utekelezaji wa siku hata siku za Mambo ya Muungano; (b) atafanya kazi zote atakazoagizwa na Rais; na (c) atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi.

      Kwa Makamu huyu wa Rais ni mambo yapi ya muungano ambayo amemsaidia Rais kufuatilia utekelezaji? Ina maana hizi kazi anazofanya za kuzindua na kuwa mgeni rasmi anakuwa ametumwa na Rais? Halafu kuna hili la kufanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi. Sasa juzi tuu Rais alikuwa nje ya nchi na kulikuwa na mgomo wa madaktari. Je, Makamu wa Rais alifanya nini la maana kujaribu kushughulikia? Mimi nilmwona tuu alipoenda kumpokea Rais uwanja wa ndege wakati akirejea nchini. Inaonyesha labda hata madaktari walimdharau pale walipoamua kukutana na Waziri Mkuu.

      Inavyoonekana ni kwamba Makamu wa Rais huwa anatekeleza madaraka yake chini ya uongozi na usimamizi wa Rais na anaongoza na kuwajibika kwa Rais kuhusu mambo au shughuli zozote anazokabidhiwa na Rais. Kwa hiyo hapa itategemeana na Rais amempa kazi gani. Kama hajampa kazi, hana cha kufanya. Na kwa vile labda hakuna kazi za kumpa, ndiyo maana labda huwa anaishia kuzindua tuu vitu, kukata utepe, kuweka jiwe la msingi na kuwa mgeni rasmi kwenye mambo ambayo yangefanywa hata na mkuu wa wilaya?
      Mimi ninacho jiuliza ni je raisi haamini uwezo wa makamu wake au hauthamini? Maana katiba inasema raisi atampangia kazi makamu wake. Sasa ni kazi zipi JK kampangia Bilal? Pia inasema raisi akiwa nje ya nchi makamu ndiyo raisi. Juzi migomo inatokea raisi hayupo lakini sikumsikia makamu wa raisi.

    7. #45
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,509
      Rep Power : 19749
      Likes Received
      5429
      Likes Given
      3633

      Default Re: Makamu wa raisi ana kazi gani?

      Mwenye note book na aandike maneno haya, haitakuja kamwe Mzanzibar kuwa Rais wa Tanzania mpaka mwisho wa muungano huu, kwahiyo hiyo nafasi hiyo ni maalum kwa ajili ya kuwapa ulaji wa Muungano Wazanzibar, hivi hamjiulizi kwani hata yule Seif Sharrif Hamad ana kazi gani kwenye serikali ya Zanzibar?
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    8. FemaTV & Radio

    9. #46
      mpingiti's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th March 2011
      Posts : 22
      Rep Power : 417
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Makamu wa raisi ana kazi gani?

      Kuwaroga Wazanzibari ili muungano uendelee kudumu, tupate kuwatawala. tanganyika Oyee.

    10. #47
      babukijana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2009
      Posts : 2,879
      Rep Power : 1077
      Likes Received
      306
      Likes Given
      151

      Default Re: Makamu wa raisi ana kazi gani?

      ndio tabu ya kuwakabidhi nchi ma ustaadh

    11. #48
      trachomatis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2011
      Location : Dar es Salaam,Tanzania.
      Posts : 3,460
      Rep Power : 1094
      Likes Received
      484
      Likes Given
      235

      Default Re: Makamu wa raisi ana kazi gani?

      Jamani mbona mnamsakama au kukisakama na kuusakama wadhifa huo?

      Wengine badala kuiattack Katiba,wanamuattack as a person!! Aah..si vema jamani..

      Kwani hii si tumeicope US.. Mambo ya Running Mate?? Hata kama ilitumika kisiasa lakini,jamani,kwani Joe Bidden anasikika mara kwa mara kwenye US politics?

      Mara ngapi Obama amelazimika kuiacha familia yake kwenye vacation na kuja kuattend matters tofautitofauti?

    12. #49
      sinafungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th February 2010
      Posts : 469
      Rep Power : 564
      Likes Received
      63
      Likes Given
      8

      Default Makamu wa rais na mizunguko

      Jamani naomba mnijuze , hivi kutembea na wake zake tanzania yoooote vijijini hadi wilaya ndio kazi ya huyu mhe mohamedi gharib bilali........? hana ofisi........?

    13. #50
      Zion Train's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2008
      Posts : 506
      Rep Power : 660
      Likes Received
      72
      Likes Given
      155

      Default Re: Makamu wa rais na mizunguko

      na yeye anataka kuwa rais wa JMT watu wengi hawamjui sasa afanyaje kama si kwenda kwao kujitambulisha, ofisi anayo lakini cha kufanya ndiyo hamna.
      Love is my Religion

    14. #51
      Lord K's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th February 2012
      Posts : 203
      Rep Power : 406
      Likes Received
      27
      Likes Given
      25

      Default Umuhimu wa makamu wa Rais!

      Wana jf kila uchao ninachokiona anakifanya makamu wa rais ni kufungua shule,kuhudhuria mahafali, na mengine kama hayo.Hivi hiki cheo kina umuhimu gani hasa kwa nchi kama Tz ikizingatiwa tunaye waziri mkuu!?

    15. #52
      mhondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2011
      Posts : 824
      Rep Power : 3807
      Likes Received
      171
      Likes Given
      36

      Default Re: Umuhimu wa makamu wa Rais!

      Akifariki Rais yeye ndiyo anakuwa Rais, labda hilo ndiyo la maana zaidi pamoja na kulinda Muungano.

    16. #53
      KING COBRA IIII's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th January 2012
      Posts : 26
      Rep Power : 377
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Umuhimu wa makamu wa Rais!

      Muungano ni Kiunganishi kati ya Tanganyika na Zanzibari hivyo Nafasi ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano ni Moja kati ya Dawa ya Maumivu kwa kuwatuliza Wazanzibari katika Muungano.

      Aidha kwa Zanzibari pia Makamu wa Kwanza wa Rais ni Dawa ya Maumivu kwa Chama kikuu cha Upinzani kwani nao pia ni Kelele kila kukicha na ndio maana wote wawili wamekabidhiwa Mikasi kwa Ajili ya Ufunguaji na Ufungaji wa Shughuli mbalimbali ndani ya Nchi kwani ni Kitulizo tosha kwao!.

      Vilevile katika Mamlaka ya Kimaamuzi hawa wote wawili ni Mashahidi tu kwa Maamuzi katika Mabaraza ya Mawaziri ya Pande zote kwani Tanganyika yuko Rais na Waziri Mkuu na Zanzibari yuko Rais na Makamu wa Pili wa Rais.

    17. #54
      MUSSOLIN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2012
      Location : mwanza
      Posts : 893
      Rep Power : 542
      Likes Received
      164
      Likes Given
      312

      Default Re: Umuhimu wa makamu wa Rais!

      kazi yake ni kutembea na mkasi wake maalum wa kuzindulia shule,hospitali n.k
      amemwagiza baba mwanaasha aka Mzamiaji amletee mkasi mpya kutoka brazil kwani alionao sasa umeaanza kuwa butu

    18. #55
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1825
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By MUSSOLIN
      kazi yake ni kutembea na mkasi wake maalum wa kuzindulia shule,hospitali n.k amemwagiza baba mwanaasha aka Mzamiaji amletee mkasi mpya kutoka brazil kwani alionao sasa umeaanza kuwa butu
      yap! Umejibu kwa ufasaha kabisa

    19. #56
      Makene's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,185
      Rep Power : 671
      Likes Received
      206
      Likes Given
      155

      Default

      Quote By MUSSOLIN
      kazi yake ni kutembea na mkasi wake maalum wa kuzindulia shule,hospitali n.k
      amemwagiza baba mwanaasha aka Mzamiaji amletee mkasi mpya kutoka brazil kwani alionao sasa umeaanza kuwa butu
      Si utani!

    20. #57
      Money stunna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2011
      Location : BeechGrove City,Indianapolis
      Posts : 2,802
      Rep Power : 954
      Likes Received
      812
      Likes Given
      520

      Default Re: Umuhimu wa makamu wa Rais!

      kuzindua visima vya maji,mahafali,na kuuzuria misiba

    21. #58
      ntamaholo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : Mwilavya
      Posts : 4,116
      Rep Power : 1386
      Likes Received
      918
      Likes Given
      412

      Default Re: Umuhimu wa makamu wa Rais!

      Quote By Lord K
      Wana jf kila uchao ninachokiona anakifanya makamu wa rais ni kufungua shule,kuhudhuria mahafali, na mengine kama hayo.Hivi hiki cheo kina umuhimu gani hasa kwa nchi kama Tz ikizingatiwa tunaye waziri mkuu!?
      leo yupo mwanza kuzindua semina ya GEPF, sijui ndo katiba inasema hivyo!!!!!!!!!!!!!!!!!!
      UTUMISHI WA HAKI, NI SULUHISHO LA MAOVU YOTE

    22. #59
      Elli's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 8,513
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2102
      Likes Given
      1839

      Default Re: Umuhimu wa makamu wa Rais!

      Unafahamu lile tangazo la Voda la baba mdogo wake Clement? Basi ndio hapo hapo kabisa mwanangu, yaani ile nataka kufungua tu uzi ndio nakuta umeshafungua

    23. #60
      Mchaka Mchaka's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 20th July 2010
      Location : Ashmore and Cartier Islands
      Posts : 3,660
      Rep Power : 1205
      Likes Received
      915
      Likes Given
      457

      Default Re: Umuhimu wa makamu wa Rais!

      Kila unapomuona sala zake ni baba mwanaasha afe tu! ili ashike nchi! yule ndio adui namba moja wa kikwete!
      Miili ya waliokufa katika ajali ya Meli ya Spice Islander ipimwe DNA ili kutambua Ndugu zao - Dk. Jakaya .M. Kikwete,, September 2011.

    Page 3 of 8 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...