Wanabodi.
Mada ya Kipima joto leo ITV wageni ni Dr Kitilio Mkumbo.
Wanabodi.
Mada ya Kipima joto leo ITV wageni ni Dr Kitilio Mkumbo.
wamshukuru mwalimu Nyerere alijenga umoja na nidhamu kwa wa tz ambayo sasa inaondoka baada ya kugundua kuwa walioko juu ndio wezi wetu.
Wakuu nisaidieni kuelewa leo hawakukataumeme maana Kitila yeye kisu ni kisu na si embe dodo na CCM hawapendi kisu kiwekisu wao huita mkuki .
Nasema : CCM tunadhani adui yetu ni Chadema hapana ni Watendaji wetu katika Serikali ya CCM tukawabane hao - Livingstone Kibajaji Lusinde 2013 25 April at 11:54am.
Follow Us Here