 |
 |

22nd November 2008, 12:40 AM
|
 |
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Sat May 2008
Posts: 418
Rep Power: 21
Thanks: 321
Thanked 497 Times in 228 Posts
|
|
Ni huyu ama mwingine..
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA), Profesa John Nkoma (kushoto) akimkabidhi Mkurugenzi wa Kampuni mpya ya simu ya Mycell, Bw. Yusuph Manji leseni ya biashara katika hafla iliyofanyika, Dar es Salaam jana. Anayeshuhudia ni Ofisa Mawasiliano wa TCRA, Bw. Victor Nkya.
Je, ni huyu kijana mdogo ndiye anaitikisa serikali ya Tanzania ama mwingine ? Je, ni huyu ndiye mfadhili mkuu wa Yanga ? Je ni huyu kweli ? Kweli pesa kiboko.
__________________
Something that is much more scarce than ability is the ability to recognize ability.
|
|
The Following 3 Users Say Thank You to Mag3 For This Useful Post:
|
|

22nd November 2008, 02:40 AM
|
 |
Senior Member
|
|
Join Date: Mon Mar 2008
Location: on planet earth
Posts: 2,535
Rep Power: 4026
Thanks: 1,409
Thanked 1,572 Times in 946 Posts
|
|
Re: Ni huyu ama mwingine..
Hizi hafla hafla hizi zimezidi. Kwani kuna ulazima gani wa kufanya hafla ili kukabidhiwa leseni?
|
|
The Following User Says Thank You to Mama For This Useful Post:
|
|

22nd November 2008, 03:05 AM
|
 |
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Mon Jun 2007
Location: Mapinduzi - Iringa & Nyambiti - Mwanza
Posts: 3,091
Rep Power: 148
Thanks: 3,312
Thanked 1,815 Times in 1,022 Posts
|
|
Re: Ni huyu ama mwingine..
Quote:
Originally Posted by Mama
Hizi hafla hafla hizi zimezidi. Kwani kuna ulazima gani wa kufanya hafla ili kukabidhiwa leseni?
|
Yaani kitu ambacho kinatakiwa kitumwe kwa posta au kiende kuchukuliwa ndani ya mfuko wa kaki kinafanyiwa sherehe na viongozi wanaenda kusherehekea...... Naona amekosa mkasi tu kukata ribbon ya uzinduzi!!!
Tanzania tuanze kulipwa kwa masaa!!! Mtu uki clock-out ndani ya masaa ya kazi unaenda unpaid.
__________________
~*~ Happy New Year To You All !! ~*~
Fikra ni kitu kizuri, uzushi unatokana na fikra, fikra za uzushi ni kitu kibaya na ni uzushi, kutotenganisha uzushi na fikra ni kitu kibaya zaidi kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SDD6-07.
|
|
The Following 2 Users Say Thank You to SteveD For This Useful Post:
|
LazyDog (23rd November 2008), Mama (22nd November 2008) |

22nd November 2008, 03:08 AM
|
 |
Senior Member
|
|
Join Date: Mon Mar 2008
Location: on planet earth
Posts: 2,535
Rep Power: 4026
Thanks: 1,409
Thanked 1,572 Times in 946 Posts
|
|
Re: Ni huyu ama mwingine..
Quote:
Originally Posted by SteveD
Yaani kitu ambacho kinatakiwa kitumwe kwa posta au kiende kuchukuliwa ndani ya mfuko wa kaki kinafanyiwa sherehe na viongozi wanaenda kusherehekea...... Naona amekosa mkasi tu kukata ribbon ya uzinduzi!!!
Tanzania tuanze kulipwa kwa masaa!!! Mtu uki clock-out ndani ya masaa ya kazi unaenda unpaid.
|
Mwanangu wazo zuri sana. Ni feasible kwa Tanzania?
|

22nd November 2008, 04:15 AM
|
|
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Mon Nov 2006
Posts: 2,057
Rep Power: 27
Thanks: 2,859
Thanked 800 Times in 381 Posts
|
|
Re: Ni huyu ama mwingine..
Quote:
Originally Posted by SteveD
Yaani kitu ambacho kinatakiwa kitumwe kwa posta au kiende kuchukuliwa ndani ya mfuko wa kaki kinafanyiwa sherehe na viongozi wanaenda kusherehekea...... Naona amekosa mkasi tu kukata ribbon ya uzinduzi!!!
Tanzania tuanze kulipwa kwa masaa!!! Mtu uki clock-out ndani ya masaa ya kazi unaenda unpaid.
|
Hapo cha kilichotiliwa mkazo kwenye hizo sherehe sio kutolewa kwa hiyo leseni, bali ni "mtu" anayepewa leseni.
Mimi nimefurahi thou..wacha wafungue makampuni ya simu lukuki, washindane weee sie walala hoi tutanufaika na gharama nafuu za kupiga simu.
Ila I wish kama wangekuwa wanatumia minara ya kurusha mawimbi ya simu kwa kushirikiana, badala ya kila kampuni kujenga minara yake.
__________________
"Development is for Man, by Man, and of Man", Julius K. Nyerere. The Declaration of Dar es Salaam" in Budd L. Hall and J. Roby Kidd (eds.) (1978) Adult Education: A Design for Action, Oxford: Pergamon.
|
|
The Following User Says Thank You to Yebo Yebo For This Useful Post:
|
|

22nd November 2008, 07:40 AM
|
 |
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Sun Feb 2007
Location: Buzwagi
Posts: 7,578
Rep Power: 2057
Thanks: 3,127
Thanked 3,602 Times in 2,051 Posts
|
|
Kampuni mbili mpya za simu za mkononi zaingia
Imetolewa mara ya mwisho: 22.11.2008 0003 EAT
• Kampuni mbili mpya za simu za mkononi zaingia
Na Eben-Ezery Mende
Majira
KAMPUNI mbili mpya za simu za mkononi zimepewa leseni kwa ajili ya kutoa huduma hizo na kuungana na nyingine kubwa nne zilizopo hivi sasa.
Zilizopewa leseni hizo jana na Mkurugenzi wa Mamlaka Mawasiliano nchini (TCRA), Profesa John Nkoma, ni Mycell na Egotel.
Pamoja na kampuni hizo, kampuni nyingine ya Zain ilipewa leseni ya kutoa huduma zake kimataifa baada ya kuwa na leseni ya huduma za ndani tangu mwaka jana.
Akikabidhi leseni hizo Dar es Salaam Profesa Nkoma alisema Zain imefikia hatua hiyo ya kuingia katika ushindani wa kimataifa baada ya kujiimarisha kimasoko.
Alisema kuwapo na ongezeko la kampuni za mawasiliano kumeongeza ushindani wa kibiashara na utasaidia kupunguza gharama za mawasiliano kwa wateja.
Akizungumza baada ya kukabidhiwa leseni hiyo, Mkurugenzi wa Mycell, Bw. Yusuf Manji ambaye pia ni Mkurugenzi Mrendaji wa kampuni ya Quality Group, alisema kampuni yake imejizatiti kutoa huduma ya mawasiliano kwa kiwango bora kinachokubalika katika tasnia ya mawasiliano.
Naye Mkurugenzi wa Egotel, Bw. Mohamedi Ali, alisema soko la ushindani la mawasiliano ni kubwa nchini, lakini bado linahitaji uwezo mkubwa wa huduma hiyo.
Kampuni zingine zinzotoa husuma hiyo ya simu za mkononi ni pamoja na Tigo, Vodacom na Zantel.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA),
Profesa John Nkoma (kushoto) akimkabidhi Mkurugenzi
wa Kampuni mpya ya simu ya Mycell, Bw. Yusuph Manji
leseni ya biashara katika hafla iliyofanyika, Dar es
Salaam jana. Anayeshuhudia ni Ofisa Mawasiliano wa
TCRA, Bw. Victor Nkya. (Picha na Charles Lucas)
__________________
I will die poor rather than stealing from Tanzanians through fake contracts and dubious ownership of Tanzanians' Natural Resources
|
|
The Following User Says Thank You to Bubu Ataka Kusema For This Useful Post:
|
|

22nd November 2008, 08:32 AM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Sat May 2008
Posts: 1,203
Rep Power: 23
Thanks: 262
Thanked 534 Times in 342 Posts
|
|
Re: Kampuni mbili mpya za simu za mkononi zaingia
Manji kweli kiboko mpaka anafungua kampuni ya simu?
Au wapo share na vibopa wa serikalini?Ngoja tusubili tutapata news.
__________________
Mkono unao kulisha usiung'ate.Ukiung'ata kesho utakula na nini?
|
|
The Following User Says Thank You to Fidel80 For This Useful Post:
|
|

22nd November 2008, 08:55 AM
|
 |
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Wed May 2007
Location: Mlingotini
Posts: 612
Rep Power: 23
Thanks: 148
Thanked 150 Times in 107 Posts
|
|
Re: Kampuni mbili mpya za simu za mkononi zaingia
Quote:
Originally Posted by Bubu Ataka Kusema
Imetolewa mara ya mwisho: 22.11.2008 0003 EAT
• Kampuni mbili mpya za simu za mkononi zaingia
Na Eben-Ezery Mende
Majira
KAMPUNI mbili mpya za simu za mkononi zimepewa leseni kwa ajili ya kutoa huduma hizo na kuungana na nyingine kubwa nne zilizopo hivi sasa.
Zilizopewa leseni hizo jana na Mkurugenzi wa Mamlaka Mawasiliano nchini (TCRA), Profesa John Nkoma, ni Mycell na Egotel.
Pamoja na kampuni hizo, kampuni nyingine ya Zain ilipewa leseni ya kutoa huduma zake kimataifa baada ya kuwa na leseni ya huduma za ndani tangu mwaka jana.
Akikabidhi leseni hizo Dar es Salaam Profesa Nkoma alisema Zain imefikia hatua hiyo ya kuingia katika ushindani wa kimataifa baada ya kujiimarisha kimasoko.
Alisema kuwapo na ongezeko la kampuni za mawasiliano kumeongeza ushindani wa kibiashara na utasaidia kupunguza gharama za mawasiliano kwa wateja.
Akizungumza baada ya kukabidhiwa leseni hiyo, Mkurugenzi wa Mycell, Bw. Yusuf Manji ambaye pia ni Mkurugenzi Mrendaji wa kampuni ya Quality Group, alisema kampuni yake imejizatiti kutoa huduma ya mawasiliano kwa kiwango bora kinachokubalika katika tasnia ya mawasiliano.
Naye Mkurugenzi wa Egotel, Bw. Mohamedi Ali, alisema soko la ushindani la mawasiliano ni kubwa nchini, lakini bado linahitaji uwezo mkubwa wa huduma hiyo.
Kampuni zingine zinzotoa husuma hiyo ya simu za mkononi ni pamoja na Tigo, Vodacom na Zantel.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA),
Profesa John Nkoma (kushoto) akimkabidhi Mkurugenzi
wa Kampuni mpya ya simu ya Mycell, Bw. Yusuph Manji
leseni ya biashara katika hafla iliyofanyika, Dar es
Salaam jana. Anayeshuhudia ni Ofisa Mawasiliano wa
TCRA, Bw. Victor Nkya. (Picha na Charles Lucas)
|
Hivi Wakulu,
Hawa TALK TELL toka wamepewa licence hamna jipya hata hawajafunga switch board.
Kuna jamaa aliniambia kwamba ni matapeli hawa,hasa kwa wale suppliers vilaza mnawahonga ili kuingizwa kwenye list ya suppliers wao, alafu wao wanajilipa posho na kulipia pango pale quality plaza.
Kila siku hadithi kazi hazianzi,sasa wanasingizia matatizo ya kiuchumi ya Ulaya na America
__________________
God inspired me,Do not seek any perfect trust of the people and do not depend on them for they will perish you.......'' Bahaeddin al Balkh (Maarif I/360)
|

22nd November 2008, 10:35 AM
|
 |
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Thu Nov 2006
Posts: 2,676
Rep Power: 28
Thanks: 3
Thanked 772 Times in 497 Posts
|
|
Re: Kampuni mbili mpya za simu za mkononi zaingia
sasa hapo manji na mengi nani mzalendo
__________________
Don't assume anything. Take the time to brush up your knowledge because the computer world is always changing , The problem isn't your problems, it's your ridiculous solutions.
|

22nd November 2008, 10:44 AM
|
|
Senior Member
|
|
Join Date: Sun Jul 2008
Posts: 241
Rep Power: 21
Thanks: 113
Thanked 116 Times in 64 Posts
|
|
Re: Ni huyu ama mwingine..
Quote:
Originally Posted by Yebo Yebo
Hapo cha kilichotiliwa mkazo kwenye hizo sherehe sio kutolewa kwa hiyo leseni, bali ni "mtu" anayepewa leseni.
Mimi nimefurahi thou..wacha wafungue makampuni ya simu lukuki, washindane weee sie walala hoi tutanufaika na gharama nafuu za kupiga simu.
Ila I wish kama wangekuwa wanatumia minara ya kurusha mawimbi ya simu kwa kushirikiana, badala ya kila kampuni kujenga minara yake.
|
Wacha wajenge na minara kila mtu ya kwake maana wanaongeza ajira kwa mgambo wa kulinda.
|
|
The Following User Says Thank You to Eeka Mangi For This Useful Post:
|
|
|
Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
|
|
|
| Thread Tools |
|
|
| Display Modes |
Linear Mode
|
Posting Rules
|
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts
HTML code is Off
|
|
|
All times are GMT +3. The time now is 05:13 PM.
|
 |