 |
 |

20th November 2008, 09:07 PM
|
 |
Robot
|
|
Join Date: Sun Jan 2004
Location: Africa, Europe, America & Asia
Posts: 2,269
Rep Power: 100000
Thanks: 1,316
Thanked 4,528 Times in 1,168 Posts
|
|
Quote:
mmeniuzunisha sana na sikuamini kama pesa inaweza kununua utu wenu.
na kama mnajifanya kuwa watu huru katika masuala ya demokrasia kama makala ya LULa inavyomdai DPP, basi chapisheni barua yangu hii kwenye gazeti. vinginevyo nitajua kwamba wengi tunaojifanya wasafi sio wasafi bali tunatumia makosa ya wengine kutajirika na kupata umaarufu wa reja reja.
|
Jamaa anaonekana kuwa na machungu, lakini anajua Lula huyo ni nani? Si Mhariri wa gazeti hilo? I do get his/her concern lakini nachelea kuegemea upande wake ama upande wa Raia Mwema...
|

20th November 2008, 10:27 PM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Thu Aug 2006
Location: London, UK
Posts: 967
Rep Power: 24
Thanks: 660
Thanked 564 Times in 235 Posts
|
|
Re: Msomaji alitolea uvivu 'Raia Mwema'
Quote:
Originally Posted by Shy
Wewe uliyandika ujumbe huu hauna maana hata blogu yako sitembelei -- kama kutangaza blogu ni kwa hoja kama hizi na lugha hizi basi wabongo tuna safari ndefu za mafanikio nina uhakika wewe utakuwa ni mhitimu wa mlimani
|
Hivi kama huna cha ku-comment si unaweza kukaa kimya tu?Na si lazima kuandika chochote ili ku-hit posts elfu kadhaa.It's the substance contained in x numbr of posts that matters most than the actual number of posts.
|
|
The Following 8 Users Say Thank You to Mlalahoi For This Useful Post:
|
|

20th November 2008, 10:48 PM
|
 |
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Sat Mar 2007
Location: NORTH WEST USA
Posts: 1,129
Rep Power: 24
Thanks: 887
Thanked 837 Times in 406 Posts
|
|
Re: Msomaji alitolea uvivu 'Raia Mwema'
Quote:
Originally Posted by Nyani Ngabu
Who's this guy? Is it Mwanakijiji?
|
If it is Mwanakijiji so what?
__________________
BINADAMU HAENDELEZWI HUJIENDELEZA
|
|
The Following User Says Thank You to Madela Wa- Madilu For This Useful Post:
|
Yo Yo (21st November 2008) |

20th November 2008, 10:54 PM
|
 |
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Sat Mar 2007
Location: NORTH WEST USA
Posts: 1,129
Rep Power: 24
Thanks: 887
Thanked 837 Times in 406 Posts
|
|
Re: Msomaji alitolea uvivu 'Raia Mwema'
Quote:
Originally Posted by Invisible
Msomaji ana haki ya kulalamika lakini uandishi wa namna hii pia haujakaa kiungwana, gazeti lingekuwa langu ningeweza kuifanyia marekebisho hoja ya mlalamikaji na ikasomeka vema na wazi kuwa ni malalamiko lakini ikiwa katika mtiririko ambao naweza kumwomba radhi akanielewa.
Inasikitisha kama alichoandika mhusika ndicho kilichotokea lakini bado sishangai kwani natambua safari bado ni ndefu, yani hata wao (Raia Mwema) yawezekana wakawa wanatumiwa bila wao kujua kuwa ndio hivyo wanatumiwa ama uchumi ndio unaochangia hali hii. Haya pia yanawezekana kuwa yaleyale kwa mwandishi wa barua pepe hii.
Mwanakijiji, katika Cheche unaandika kila unachotumiwa?
|
Umeleta hoja nzuri sana hapa.
Suala la kutumiwa bila wewe kujua, ni suala nyeti sana.
Unapewa ule kisha wakati wewe unakula watu wanakula kila kitu.
Nijiulizacho kila siku ni hiki.
Big Boss mwenyewe nyuma ya karibu kila mtu kutumiwa ni nani?
uzoefu wangu wa kuongea na viongozi wazito ndani ya serikali, ikiwa ni pamoja na mashushu wa muda mrefu sana unaonyesha kwamba kuna kundi la watu au wanao ogopwa siku zote na kila mtu.
Nijuavyo mimi watu hao si wana siasa wala wanajeshi ila ni watu waliojizazia nguvu nyingi za ajabu. Walitakalo kamwe halipingwi.
Huyo Big Boss wa kumfanya kila mtu ndani na nje ya CCM kijakazi ni nani au ni kina nani??
__________________
BINADAMU HAENDELEZWI HUJIENDELEZA
|

20th November 2008, 11:13 PM
|
 |
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Mon May 2006
Location: Inside the Perimeter
Posts: 7,564
Rep Power: 38
Thanks: 963
Thanked 2,555 Times in 1,617 Posts
|
|
Re: Msomaji alitolea uvivu 'Raia Mwema'
Quote:
Originally Posted by Madela Wa- Madilu
If it is Mwanakijiji so what?
|
So I will now know what he looks like.....
Next question Mr. Bushman....
__________________
What!?
|

20th November 2008, 11:33 PM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Tue Aug 2006
Location: Tampere
Posts: 2,484
Rep Power: 4027
Thanks: 542
Thanked 799 Times in 544 Posts
|
|
Re: Msomaji alitolea uvivu 'Raia Mwema'
Quote:
Originally Posted by Madela Wa- Madilu
Umeleta hoja nzuri sana hapa.
Suala la kutumiwa bila wewe kujua, ni suala nyeti sana.
Unapewa ule kisha wakati wewe unakula watu wanakula kila kitu.
Nijiulizacho kila siku ni hiki.
Big Boss mwenyewe nyuma ya karibu kila mtu kutumiwa ni nani?
uzoefu wangu wa kuongea na viongozi wazito ndani ya serikali, ikiwa ni pamoja na mashushu wa muda mrefu sana unaonyesha kwamba kuna kundi la watu au wanao ogopwa siku zote na kila mtu.
Nijuavyo mimi watu hao si wana siasa wala wanajeshi ila ni watu waliojizazia nguvu nyingi za ajabu. Walitakalo kamwe halipingwi.
Huyo Big Boss wa kumfanya kila mtu ndani na nje ya CCM kijakazi ni nani au ni kina nani??
|
Mara nyingi watu wa aina hii utengenezwa na system yenyewe. Na ni kutokana na wengi waliopo kwenye madaraka, wafanyabiashara wakubwa kubwa kutopenda baadhi ya shughuli zao kujulikana. Hivyo uwapa kazi hawa mabig boss. Baada ya muda mabig boss hawa huwa wanajua mengi na hasa udhaifu wa kila aliye mtumia.
Katika hatua hii ndio uaanza kuogopwa, na system yenyewe na waliokuwa nje ya system. Ni katika hatua hii ambapo uweza hata kutoa ushauri katika system, na ni katika hatua hii ambapo hata vyombo vya dola uwa vijakazi wao.
__________________
Save Water Drink Beer "Beer helping ugly people to have sex..."
Vituko Vya Zenj
|
|
The Following User Says Thank You to Kibunango For This Useful Post:
|
|

20th November 2008, 11:55 PM
|
 |
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Sat May 2007
Location: iloganzala
Posts: 414
Rep Power: 22
Thanks: 11
Thanked 111 Times in 86 Posts
|
|
Re: Msomaji alitolea uvivu 'Raia Mwema'
Tusiojua kusoma shida kweli, hata magazeti hatununui!!!!! kwani hayo matangazo yanahusu nini???
hamna kwayo ujumbe kwa wanainji???
Yana tofauti sana na matokeo ya mitihani ambayo huwa yanatolewa ktk magazeti mengi tu??
Huyo mlalamikaji, ana hoja anapozungumzia punguzo la bei (japo angekuwa sahihi zaidi aongelee kuongezwa karatasi kwa ajili ya hayo matangazo [ya biashara] ili makala na taarifa ziendelee kuwa covered na zile kurasa za kawaida). Hata hivyo yaonekana malalamiko yake yamevuka mipaka ya kutomtilia mtu mashaka kuwa ana lake jambo!!!!
Kama alivyosema Invisible, kuwa raia mwema yaweza kutumiwa bila kujijua, vivyo hivyo huyo ndugu aweza akawa anataka kututumia dhidi ya raia mwema bila sisi kujijua!!
WAJINGA NDIO WALIWAO
Nawahi lindo!!!
__________________
A man who views the world the same at fifty as he did at twenty has wasted thirty years of his life. Muhammad Ali
|

21st November 2008, 02:07 AM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Sat Feb 2007
Posts: 549
Rep Power: 23
Thanks: 247
Thanked 235 Times in 160 Posts
|
|
Re: Msomaji alitolea uvivu 'Raia Mwema'
ukishakuwa big boss mpaka ukawa unaitishia "system" hatua
inayofuata ni "kupopolewa" tu na unabaki historia.
|

21st November 2008, 02:23 AM
|
 |
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Sat Mar 2007
Location: NORTH WEST USA
Posts: 1,129
Rep Power: 24
Thanks: 887
Thanked 837 Times in 406 Posts
|
|
Re: Msomaji alitolea uvivu 'Raia Mwema'
Quote:
Originally Posted by kafara
ukishakuwa big boss mpaka ukawa unaitishia "system" hatua
inayofuata ni "kupopolewa" tu na unabaki historia.
|
Hapo umeniacha mtupu kabisa,kupopolewa ndiyo nini?
__________________
BINADAMU HAENDELEZWI HUJIENDELEZA
|

21st November 2008, 02:51 AM
|
|
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Fri Mar 2006
Location: T dot
Posts: 4,728
Rep Power: 73
Thanks: 2,173
Thanked 2,885 Times in 1,390 Posts
|
|
Re: Msomaji alitolea uvivu 'Raia Mwema'
hata sielewi...
Gazeti ni biashara ya mtu na inategemea unataka kuwatangazia wananchi kitu gani.. Hupendi Matangazo usinunue, tafuta gazeti lenye kurasa nyingi za habari unazotaka wewe kusoma.
Inawezekana kabisa Raia mwema wana wateja wengi wanaotaka kununua vitu, kutafuta kazi, kutafuta wachumba na kadhalika, hivyo soko lao la biashara limehama toka habari za Kudanganyana kwenda habari za maisha halisi..
It's all business!
__________________
Exploration of reality
|
|
The Following 4 Users Say Thank You to Mkandara For This Useful Post:
|
|
|
Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
|
|
|
| Thread Tools |
|
|
| Display Modes |
Linear Mode
|
Posting Rules
|
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts
HTML code is Off
|
|
|
All times are GMT +3. The time now is 01:36 PM.
|
 |