Go Back   JamiiForums.com > Public Forums > Jukwaa la Siasa

Reply
 
LinkBack Thread Tools Display Modes
  #11 (permalink)  
Old 20th November 2008, 09:07 PM
Invisible's Avatar
Robot
 
Join Date: Sun Jan 2004
Location: Africa, Europe, America & Asia
Posts: 2,269
Rep Power: 100000
Invisible is one of most respected JF members!Invisible is one of most respected JF members!Invisible is one of most respected JF members!Invisible is one of most respected JF members!Invisible is one of most respected JF members!Invisible is one of most respected JF members!Invisible is one of most respected JF members!Invisible is one of most respected JF members!Invisible is one of most respected JF members!Invisible is one of most respected JF members!Invisible is one of most respected JF members!
Thanks: 1,316
Thanked 4,528 Times in 1,168 Posts
Credits: 201,846
Send a message via MSN to Invisible
Default

Quote:
mmeniuzunisha sana na sikuamini kama pesa inaweza kununua utu wenu.
na kama mnajifanya kuwa watu huru katika masuala ya demokrasia kama makala ya LULa inavyomdai DPP, basi chapisheni barua yangu hii kwenye gazeti. vinginevyo nitajua kwamba wengi tunaojifanya wasafi sio wasafi bali tunatumia makosa ya wengine kutajirika na kupata umaarufu wa reja reja.
Jamaa anaonekana kuwa na machungu, lakini anajua Lula huyo ni nani? Si Mhariri wa gazeti hilo? I do get his/her concern lakini nachelea kuegemea upande wake ama upande wa Raia Mwema...
__________________
Ficha upumbavu wako usiifiche hekima yako!

Thank you for supporting JF! (click if you wanna support us)
Reply With Quote


  #12 (permalink)  
Old 20th November 2008, 10:27 PM
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Thu Aug 2006
Location: London, UK
Posts: 967
Rep Power: 24
Mlalahoi has much to be proud ofMlalahoi has much to be proud ofMlalahoi has much to be proud ofMlalahoi has much to be proud ofMlalahoi has much to be proud ofMlalahoi has much to be proud ofMlalahoi has much to be proud ofMlalahoi has much to be proud of
Thanks: 660
Thanked 564 Times in 235 Posts
Credits: 30,060
Default Re: Msomaji alitolea uvivu 'Raia Mwema'

Quote:
Originally Posted by Shy View Post
Wewe uliyandika ujumbe huu hauna maana hata blogu yako sitembelei -- kama kutangaza blogu ni kwa hoja kama hizi na lugha hizi basi wabongo tuna safari ndefu za mafanikio nina uhakika wewe utakuwa ni mhitimu wa mlimani
Hivi kama huna cha ku-comment si unaweza kukaa kimya tu?Na si lazima kuandika chochote ili ku-hit posts elfu kadhaa.It's the substance contained in x numbr of posts that matters most than the actual number of posts.
Reply With Quote
The Following 8 Users Say Thank You to Mlalahoi For This Useful Post:
Chakaza (21st November 2008), Dark City (23rd November 2008), Kipunguni (21st November 2008), Madela Wa- Madilu (20th November 2008), Mambo Jambo (21st November 2008), MwakyJ (21st November 2008), Mzee Mwanakijiji (20th November 2008), Yo Yo (21st November 2008)
  #13 (permalink)  
Old 20th November 2008, 10:48 PM
Madela Wa- Madilu's Avatar
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Sat Mar 2007
Location: NORTH WEST USA
Posts: 1,129
Rep Power: 24
Madela Wa- Madilu has much to be proud ofMadela Wa- Madilu has much to be proud ofMadela Wa- Madilu has much to be proud ofMadela Wa- Madilu has much to be proud ofMadela Wa- Madilu has much to be proud ofMadela Wa- Madilu has much to be proud ofMadela Wa- Madilu has much to be proud ofMadela Wa- Madilu has much to be proud of
Thanks: 887
Thanked 837 Times in 406 Posts
Credits: 73,695
Default Re: Msomaji alitolea uvivu 'Raia Mwema'

Quote:
Originally Posted by Nyani Ngabu View Post
Who's this guy? Is it Mwanakijiji?
If it is Mwanakijiji so what?
__________________
BINADAMU HAENDELEZWI HUJIENDELEZA
Reply With Quote
The Following User Says Thank You to Madela Wa- Madilu For This Useful Post:
Yo Yo (21st November 2008)
  #14 (permalink)  
Old 20th November 2008, 10:54 PM
Madela Wa- Madilu's Avatar
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Sat Mar 2007
Location: NORTH WEST USA
Posts: 1,129
Rep Power: 24
Madela Wa- Madilu has much to be proud ofMadela Wa- Madilu has much to be proud ofMadela Wa- Madilu has much to be proud ofMadela Wa- Madilu has much to be proud ofMadela Wa- Madilu has much to be proud ofMadela Wa- Madilu has much to be proud ofMadela Wa- Madilu has much to be proud ofMadela Wa- Madilu has much to be proud of
Thanks: 887
Thanked 837 Times in 406 Posts
Credits: 73,695
Default Re: Msomaji alitolea uvivu 'Raia Mwema'

Quote:
Originally Posted by Invisible View Post
Msomaji ana haki ya kulalamika lakini uandishi wa namna hii pia haujakaa kiungwana, gazeti lingekuwa langu ningeweza kuifanyia marekebisho hoja ya mlalamikaji na ikasomeka vema na wazi kuwa ni malalamiko lakini ikiwa katika mtiririko ambao naweza kumwomba radhi akanielewa.

Inasikitisha kama alichoandika mhusika ndicho kilichotokea lakini bado sishangai kwani natambua safari bado ni ndefu, yani hata wao (Raia Mwema) yawezekana wakawa wanatumiwa bila wao kujua kuwa ndio hivyo wanatumiwa ama uchumi ndio unaochangia hali hii. Haya pia yanawezekana kuwa yaleyale kwa mwandishi wa barua pepe hii.

Mwanakijiji, katika Cheche unaandika kila unachotumiwa?
Umeleta hoja nzuri sana hapa.

Suala la kutumiwa bila wewe kujua, ni suala nyeti sana.
Unapewa ule kisha wakati wewe unakula watu wanakula kila kitu.

Nijiulizacho kila siku ni hiki.
Big Boss mwenyewe nyuma ya karibu kila mtu kutumiwa ni nani?

uzoefu wangu wa kuongea na viongozi wazito ndani ya serikali, ikiwa ni pamoja na mashushu wa muda mrefu sana unaonyesha kwamba kuna kundi la watu au wanao ogopwa siku zote na kila mtu.
Nijuavyo mimi watu hao si wana siasa wala wanajeshi ila ni watu waliojizazia nguvu nyingi za ajabu. Walitakalo kamwe halipingwi.

Huyo Big Boss wa kumfanya kila mtu ndani na nje ya CCM kijakazi ni nani au ni kina nani??
__________________
BINADAMU HAENDELEZWI HUJIENDELEZA
Reply With Quote
  #15 (permalink)  
Old 20th November 2008, 11:13 PM
Nyani Ngabu's Avatar
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Mon May 2006
Location: Inside the Perimeter
Posts: 7,564
Rep Power: 38
Nyani Ngabu has much to be proud ofNyani Ngabu has much to be proud ofNyani Ngabu has much to be proud ofNyani Ngabu has much to be proud ofNyani Ngabu has much to be proud ofNyani Ngabu has much to be proud ofNyani Ngabu has much to be proud ofNyani Ngabu has much to be proud of
Thanks: 963
Thanked 2,555 Times in 1,617 Posts
Credits: 16,961,009
Default Re: Msomaji alitolea uvivu 'Raia Mwema'

Quote:
Originally Posted by Madela Wa- Madilu View Post
If it is Mwanakijiji so what?
So I will now know what he looks like.....

Next question Mr. Bushman....
__________________
What!?
Reply With Quote
  #16 (permalink)  
Old 20th November 2008, 11:33 PM
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Tue Aug 2006
Location: Tampere
Posts: 2,484
Rep Power: 4027
Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!
Thanks: 542
Thanked 799 Times in 544 Posts
Credits: 82,876
Send a message via MSN to Kibunango Send a message via Yahoo to Kibunango
Default Re: Msomaji alitolea uvivu 'Raia Mwema'

Quote:
Originally Posted by Madela Wa- Madilu View Post
Umeleta hoja nzuri sana hapa.

Suala la kutumiwa bila wewe kujua, ni suala nyeti sana.
Unapewa ule kisha wakati wewe unakula watu wanakula kila kitu.

Nijiulizacho kila siku ni hiki.
Big Boss mwenyewe nyuma ya karibu kila mtu kutumiwa ni nani?

uzoefu wangu wa kuongea na viongozi wazito ndani ya serikali, ikiwa ni pamoja na mashushu wa muda mrefu sana unaonyesha kwamba kuna kundi la watu au wanao ogopwa siku zote na kila mtu.
Nijuavyo mimi watu hao si wana siasa wala wanajeshi ila ni watu waliojizazia nguvu nyingi za ajabu. Walitakalo kamwe halipingwi.

Huyo Big Boss wa kumfanya kila mtu ndani na nje ya CCM kijakazi ni nani au ni kina nani??
Mara nyingi watu wa aina hii utengenezwa na system yenyewe. Na ni kutokana na wengi waliopo kwenye madaraka, wafanyabiashara wakubwa kubwa kutopenda baadhi ya shughuli zao kujulikana. Hivyo uwapa kazi hawa mabig boss. Baada ya muda mabig boss hawa huwa wanajua mengi na hasa udhaifu wa kila aliye mtumia.

Katika hatua hii ndio uaanza kuogopwa, na system yenyewe na waliokuwa nje ya system. Ni katika hatua hii ambapo uweza hata kutoa ushauri katika system, na ni katika hatua hii ambapo hata vyombo vya dola uwa vijakazi wao.
__________________
Save Water Drink Beer "Beer helping ugly people to have sex..."
Vituko Vya Zenj
Reply With Quote
The Following User Says Thank You to Kibunango For This Useful Post:
Madela Wa- Madilu (21st November 2008)
  #17 (permalink)  
Old 20th November 2008, 11:55 PM
bokassa's Avatar
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Sat May 2007
Location: iloganzala
Posts: 414
Rep Power: 22
bokassa has much to be proud ofbokassa has much to be proud ofbokassa has much to be proud ofbokassa has much to be proud ofbokassa has much to be proud ofbokassa has much to be proud ofbokassa has much to be proud ofbokassa has much to be proud of
Thanks: 11
Thanked 111 Times in 86 Posts
Credits: 9,199
Default Re: Msomaji alitolea uvivu 'Raia Mwema'

Tusiojua kusoma shida kweli, hata magazeti hatununui!!!!! kwani hayo matangazo yanahusu nini???

hamna kwayo ujumbe kwa wanainji???
Yana tofauti sana na matokeo ya mitihani ambayo huwa yanatolewa ktk magazeti mengi tu??


Huyo mlalamikaji, ana hoja anapozungumzia punguzo la bei (japo angekuwa sahihi zaidi aongelee kuongezwa karatasi kwa ajili ya hayo matangazo [ya biashara] ili makala na taarifa ziendelee kuwa covered na zile kurasa za kawaida). Hata hivyo yaonekana malalamiko yake yamevuka mipaka ya kutomtilia mtu mashaka kuwa ana lake jambo!!!!

Kama alivyosema Invisible, kuwa raia mwema yaweza kutumiwa bila kujijua, vivyo hivyo huyo ndugu aweza akawa anataka kututumia dhidi ya raia mwema bila sisi kujijua!!


WAJINGA NDIO WALIWAO

Nawahi lindo!!!
__________________
A man who views the world the same at fifty as he did at twenty has wasted thirty years of his life. Muhammad Ali
Reply With Quote
  #18 (permalink)  
Old 21st November 2008, 02:07 AM
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Sat Feb 2007
Posts: 549
Rep Power: 23
kafara has much to be proud ofkafara has much to be proud ofkafara has much to be proud ofkafara has much to be proud ofkafara has much to be proud ofkafara has much to be proud ofkafara has much to be proud ofkafara has much to be proud of
Thanks: 247
Thanked 235 Times in 160 Posts
Credits: 21,660
Default Re: Msomaji alitolea uvivu 'Raia Mwema'

ukishakuwa big boss mpaka ukawa unaitishia "system" hatua
inayofuata ni "kupopolewa" tu na unabaki historia.
Reply With Quote
  #19 (permalink)  
Old 21st November 2008, 02:23 AM
Madela Wa- Madilu's Avatar
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Sat Mar 2007
Location: NORTH WEST USA
Posts: 1,129
Rep Power: 24
Madela Wa- Madilu has much to be proud ofMadela Wa- Madilu has much to be proud ofMadela Wa- Madilu has much to be proud ofMadela Wa- Madilu has much to be proud ofMadela Wa- Madilu has much to be proud ofMadela Wa- Madilu has much to be proud ofMadela Wa- Madilu has much to be proud ofMadela Wa- Madilu has much to be proud of
Thanks: 887
Thanked 837 Times in 406 Posts
Credits: 73,695
Default Re: Msomaji alitolea uvivu 'Raia Mwema'

Quote:
Originally Posted by kafara View Post
ukishakuwa big boss mpaka ukawa unaitishia "system" hatua
inayofuata ni "kupopolewa" tu na unabaki historia.
Hapo umeniacha mtupu kabisa,kupopolewa ndiyo nini?
__________________
BINADAMU HAENDELEZWI HUJIENDELEZA
Reply With Quote
  #20 (permalink)  
Old 21st November 2008, 02:51 AM
JF Senior & Premium Member
 
Join Date: Fri Mar 2006
Location: T dot
Posts: 4,728
Rep Power: 73
Mkandara is one of most respected JF members!Mkandara is one of most respected JF members!Mkandara is one of most respected JF members!Mkandara is one of most respected JF members!Mkandara is one of most respected JF members!Mkandara is one of most respected JF members!Mkandara is one of most respected JF members!Mkandara is one of most respected JF members!Mkandara is one of most respected JF members!Mkandara is one of most respected JF members!Mkandara is one of most respected JF members!
Thanks: 2,173
Thanked 2,885 Times in 1,390 Posts
Credits: 428,356
Default Re: Msomaji alitolea uvivu 'Raia Mwema'

hata sielewi...
Gazeti ni biashara ya mtu na inategemea unataka kuwatangazia wananchi kitu gani.. Hupendi Matangazo usinunue, tafuta gazeti lenye kurasa nyingi za habari unazotaka wewe kusoma.
Inawezekana kabisa Raia mwema wana wateja wengi wanaotaka kununua vitu, kutafuta kazi, kutafuta wachumba na kadhalika, hivyo soko lao la biashara limehama toka habari za Kudanganyana kwenda habari za maisha halisi..
It's all business!
__________________
Exploration of reality
Reply With Quote
The Following 4 Users Say Thank You to Mkandara For This Useful Post:
Chakaza (21st November 2008), Mzee Mwanakijiji (21st November 2008), Nyani Ngabu (21st November 2008), Yo Yo (21st November 2008)
Reply

Bookmarks


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are On
Pingbacks are On
Refbacks are On

Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Majambazi Arusha: Mabomu, Bunduki, Risasi, Bastola - Hii ni Kashfa JWTZ Hasara Jukwaa la Siasa 224 20th March 2008 03:40 AM
Wapi RAIA MWEMA? Mlalahoi Jukwaa la Siasa 6 9th January 2008 05:37 PM
JK awa Vasco da Gama ... Makala ya Raia Mwema Keil Jukwaa la Siasa 23 8th December 2007 03:38 PM
Raia mwema anapoamua kutafuta haki na Paradiso iliyopotea Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Siasa 0 31st October 2007 08:17 PM


All times are GMT +3. The time now is 01:36 PM.



Copyright JamiiForums.com