kitendawili cha wakuu wa wilaya kinateguliwa lini? maana tokea nimesoma kwenye gazeti la tanzania daima kuwa majina yamevuja mpaka sasa imekuwa kmya! ingawa kulikuwa na tetesi kuwa baada ya miaka 50 ya uhuru watatangazwa wapya, nimeandika ivyo kwa kuwa kwetu hatuna uyo mtu karibia mwaka mzma!

Reply With Quote

Follow Us Here