Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wakuu wa wilaya wapya: majina yavuja!

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 49
    1. #1
      Ta Kamugisha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th May 2011
      Posts : 1,046
      Rep Power : 3609
      Likes Received
      268
      Likes Given
      23

      Default Wakuu wa wilaya wapya: majina yavuja!

      kitendawili cha wakuu wa wilaya kinateguliwa lini? maana tokea nimesoma kwenye gazeti la tanzania daima kuwa majina yamevuja mpaka sasa imekuwa kmya! ingawa kulikuwa na tetesi kuwa baada ya miaka 50 ya uhuru watatangazwa wapya, nimeandika ivyo kwa kuwa kwetu hatuna uyo mtu karibia mwaka mzma!

    2. Miaka 50

    3. #2
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      593
      Likes Given
      76

      Default re: Wakuu wa wilaya wapya watangazwa

      Unawataka wa nini??! Kwetu hawa kazi yao ni kupora mifugo yetu!

    4. #3
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2885
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Ta Kamugisha
      kitendawili cha wakuu wa wilaya kinateguliwa lini? maana tokea nimesoma kwenye gazeti la tanzania daima kuwa majina yamevuja mpaka sasa imekuwa kmya! ingawa kulikuwa na tetesi kuwa baada ya miaka 50 ya uhuru watatangazwa wapya, nimeandika ivyo kwa kuwa kwetu hatuna uyo mtu karibia mwaka mzma!
      umeathirikaje kwa kukosa d.c?na ulinufaikaje kwa kuwa nae?
      andare likes this.

    5. #4
      Ta Kamugisha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th May 2011
      Posts : 1,046
      Rep Power : 3609
      Likes Received
      268
      Likes Given
      23

      Default

      Quote By MNYISANZU
      Unawataka wa nini??! Kwetu hawa kazi yao ni kupora mifugo yetu!
      Wanasaidia kwenye mambo ya kijamii mkuu ingawa hawana faida sana

    6. #5
      Amiliki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2011
      Posts : 1,473
      Rep Power : 765
      Likes Received
      721
      Likes Given
      33

      Default Re: Wakuu wa wilaya wapya watangazwa

      Sisi kwetu hatuna mtu wa namna hiyo zaidi ya mwaka na hatuoni tofauti yoyote. Sioni umuhimu wa watu hao hata kidogo.
      Huku Magamba wakiendelea kusambaratishwa; Chadema Rahaaa!!!!! Si Rahaa!!!! WOTE: RAHAAAA!!!!!!!!!!

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Ta Kamugisha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th May 2011
      Posts : 1,046
      Rep Power : 3609
      Likes Received
      268
      Likes Given
      23

      Default

      Quote By Bajabiri
      umeathirikaje kwa kukosa d.c?na ulinufaikaje kwa kuwa nae?
      Mkuu bila wao kufuatilia mambo ya maendeleo uko vjijini mambo hayaendi, kwa sisi ambao tupo vjjn lakini, ingawa ningependelea mkuu wa wilaya tuwe tunawapata kwa kuwapigia kura au kuwafanyia interview na c kuchaguliwa na rais
      ndyoko likes this.

    9. #7
      Ta Kamugisha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th May 2011
      Posts : 1,046
      Rep Power : 3609
      Likes Received
      268
      Likes Given
      23

      Default

      Quote By Amiliki
      Sisi kwetu hatuna mtu wa namna hiyo zaidi ya mwaka na hatuoni tofauti yoyote. Sioni umuhimu wa watu hao hata kidogo.
      Mzee kwenye sikukuu za kitaifa na mbio za mwenge wanasaidia, hata kufuatilia watoto wanaoacha shule au wazazi wanaozuia watoto wao wa kike wasiende shule

    10. #8
      gambachovu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2011
      Posts : 1,865
      Rep Power : 2193
      Likes Received
      256
      Likes Given
      379

      Default

      Quote By Amiliki
      Sisi kwetu hatuna mtu wa namna hiyo zaidi ya mwaka na hatuoni tofauti yoyote. Sioni umuhimu wa watu hao hata kidogo.
      vyeo vya kuondolewa na katiba mpya hivyo

    11. #9
      gambachovu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2011
      Posts : 1,865
      Rep Power : 2193
      Likes Received
      256
      Likes Given
      379

      Default

      Quote By Ta Kamugisha
      Mkuu bila wao kufuatilia mambo ya maendeleo uko vjijini mambo hayaendi, kwa sisi ambao tupo vjjn lakini, ingawa ningependelea mkuu wa wilaya tuwe tunawapata kwa kuwapigia kura au kuwafanyia interview na c kuchaguliwa na rais
      na kazi za katibu tawala ni zipi?na afisa tawala je?
      ndyoko likes this.

    12. #10
      Wambugani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2007
      Posts : 1,241
      Rep Power : 834
      Likes Received
      142
      Likes Given
      169

      Default Re: Wakuu wa wilaya wapya: majina yavuja!

      Wakati wa ukoloni ndio waliitwa "Mabwana Washauri" na walikuwa wanasheria wakishughulikia maendeleo, ulipaji wa kodi
      na rufaa za mashauri kutoka kwa machifu. Kwa sasa hawana kazi maalum zaidi ya kupiga kampeni kupiga kampeni
      za chama Tawala na kuhamasisha mwenge.
      Wars are caused by undefended wealth - Ernest Hemingway, famous American writer

    13. #11
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2885
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Ta Kamugisha
      Mkuu bila wao kufuatilia mambo ya maendeleo uko vjijini mambo hayaendi, kwa sisi ambao tupo vjjn lakini, ingawa ningependelea mkuu wa wilaya tuwe tunawapata kwa kuwapigia kura au kuwafanyia interview na c kuchaguliwa na rais
      aaah,mdau mkuu wa wilaya hana nafas,mambo yanaweza kwenda bila yeye

    14. #12
      wende's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th September 2009
      Location : Arusha
      Posts : 539
      Rep Power : 601
      Likes Received
      37
      Likes Given
      123

      Default Re: Wakuu wa wilaya wapya: majina yavuja!

      Quote By Ta Kamugisha
      Mzee kwenye sikukuu za kitaifa na mbio za mwenge wanasaidia, hata kufuatilia watoto wanaoacha shule au wazazi wanaozuia watoto wao wa kike wasiende shule
      Mkuuuuuu,Apo kwenye red mark,icho ni kitu gani????
      Together,We Prosper.

    15. #13
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,638
      Rep Power : 2008
      Likes Received
      1655
      Likes Given
      1634

      Default Re: Wakuu wa wilaya wapya: majina yavuja!

      Hao ma DC hawana kazi yeyote zaidi ya kulipwa fadhila.
      "Makalio ya sufuria hayaogopi moto"

    16. #14
      Kitorondo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 28
      Rep Power : 389
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Wakuu wa wilaya wapya: majina yavuja!

      mkuu,wakuu wa wilaya tunawahitaji sana,sehemu ambazo umesema hakuna mkuu wa wilaya kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa na kazi zinakwenda,ni kwamba alikuwepo mkuu wa wilaya ya jirani ambaye anakaimu nafasi hiyo.Ipo NGO mmoja inatakiwa kupata fedha kiasi cha paund laki moja kutoka kwa wafadhili lakini wamekataa kutoa fedha hadi nyaraka zisainiwe na mkuu wa wilaya mwenyewe na si kaimu na wilaya yetu ina kaimu mkuu wa wilaya na muda walioutoa as grace period unakwisha Januari 10,2012 vinginevyo fedha itapangiwa matumizi mengine.kwa mfano ktk wilaya ya Bagamoyo aliyekuwa mkuu wa wilaya alifichua ubadhirifu mkubwa uliofanywa na viongozi wa halmashauri ya bagamoyo na kesi yao inaendelea walikaa lockup kwa zaidi ya miezi nane kutokana na jitihada za DC .hivyo mkuu sasa afanye haraka kuteua shughuli ziendelee

    17. #15
      muwaha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th May 2009
      Location : Lake Duluti
      Posts : 705
      Rep Power : 652
      Likes Received
      125
      Likes Given
      56

      Default Re: Wakuu wa wilaya wapya: majina yavuja!

      Kazi ya Mkuu wa wilaya kimsingi ni kumwakilisha Rais katika wilaya husika, lakini kwa bahati mbaya haifanyiki hivyo!!! I think cheo hiki kingefutwa kabisa, na wakurugenzi(wa wiliaya) wakaiwakilisha serikali kimajukumu.

      "Leadership is action not position" - Donald H. McGannon.

    18. #16
      ndyoko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 4,505
      Rep Power : 1706
      Likes Received
      1199
      Likes Given
      1916

      Default Re: Wakuu wa wilaya wapya: majina yavuja!

      Quote By gambachovu
      na kazi za katibu tawala ni zipi?na afisa tawala je?
      mkuu kama jambo hulijui ni heri kukaa kimya. vinginevyo utakuwa unaleta kichefuchefu tu!
      “If you can not get what you love, then love what you have”

    19. #17
      POMPO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 3,036
      Rep Power : 1192
      Likes Received
      1121
      Likes Given
      649

      Default Re: Wakuu wa wilaya wapya: majina yavuja!

      serikali haina pesa, walitumia vibaya kwenye maazimisho ya miaka 50, atawatangaza tu soon TRA wanafanya kazi kwanza
      "Tumefika hapa kutokana na UDHAIFU wa Rais Jakaya Kikwete.." J.J. Mnyika, Bungeni,June,2012.

    20. #18
      Najijua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Location : Morogoro - Tanzania
      Posts : 896
      Rep Power : 590
      Likes Received
      124
      Likes Given
      39

      Default Re: Wakuu wa wilaya wapya: majina yavuja!

      jamani mwenzenu silali nauota huo ukuu wa wilaya mnavyotaka ufutwe wengne tutapata presha bure

    21. #19
      FairPlayer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2006
      Location : UK
      Posts : 4,383
      Rep Power : 1551
      Likes Received
      456
      Likes Given
      205

      Default Re: Wakuu wa wilaya wapya: majina yavuja!

      wewe umo pia!
      A positive thinker!

    22. #20
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2885
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Ndibalema
      Hao ma DC hawana kazi yeyote zaidi ya kulipwa fadhila.
      cheo kisicho na specfic Education

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...