Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Jukwaa la Siasa


Jukwaa la Siasa Tanzania & World Politics General Discussion Forum. You need to be registered in order to post your comment(s)


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 17th November 2008, 01:58 AM   #1 (permalink)
Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK
LazaroSMtindi LazaroSMtindi is offline 17th November 2008, 01:58 AM


Kampeni ya kummaliza kisiasa JK, Spika na wabunge kadhaa "wakorofi", imeanzishwa rasmi na Karamagi & Co. (Lowassa na Rostam) kupitia magazeti yao maalum ya AHSUBUHI NJEMA, TAZAMA, NYUNDO, TAIFA NA UMMA. Nia ni kuhakikisha JK anakuwa Rais kwa muhula moja tu na Spika Samuel Sitta na wabunge "wakorofi" hawarudi Bungeni mwaka 2010.

Magazeti hayo ambayo huchapishwa kila siku ya kazi kwa mpangilio, toka Jumatatu hadi Ijumaa, yanabeba ujumbe mahsusi wa ushawishi kwa umma kwamba: JK hana shukrani, kawatosa rafiki zake na kuwakumbatia "maadui"; Membe ni msaliti na anampotosha JK; Lowassa ni kiongozi safi na bora ambaye alionewa tu na Kamati ya Dk. Mwakyembe; bila Lowassa, Rostam, Karamagi, Makamba, Kingunge na wanamtandao wengine, JK hashindi uchaguzi wa 2010; Spika Sitta, Naibu Spika Anne Makinda na wabunge "wakorofi" wa CCM akina Anne Kilango, Mwakyembe, Selelii, Manyanya, Ole Sendeka, Kimaro, Zambi, Nkumba, Mpendazoe, Shellukindo (Bw. & Bi.), Mpesya, Ruth Msafiri na Nyalandu, ni wapinzani wa Serikali ya Awamu ya Nne.

Magazeti haya yanahaririwa na waandishi walewale mamluki: Deodatus Balile, Manyerere Jackton, Charles Charles, Muhingo Rweyemamu, Prince Bagenda na Gama wa gazeti la HOJA. Baadhi ya makala huchangiwa na Salva Rweyemamu na Premy Kibanga wa Ikulu na Mbunge wa Kigoma Peter Serukamba ambaye alibubujikwa machozi na kuugua baada ya Lowassa kujiuzulu. Yalianzishwa kwa mtaji wa sh. milioni 300 alizotoa Karamagi kwa niaba ya Lowassa na Rostam, mara baada ya Lowassa kujiuzulu.

Taarifa ndani ya Chama Tawala zinasema magazeti haya yana baraka zote za Makamba. Ndiyo maana baadhi yake yanahaririwa kwenye ofisi za UVCCM na kwa kutumia kompyuta za jumuiya hiyo.

Kwa mujibu wa kikao cha KALOKIRO kilichokaa Morogoro hivi karibuni, magazeti hayo yatasaidiwa baadaye (karibu na uchaguzi mkuu) na magazeti ya RAI, MTANZANIA na THE AFRICAN. Mwakani, mtandao huo wa mafisadi unaanzisha kituo cha redio na televisheni. Lengo kuu ni kuwamaliza wote hao kisiasa na kumwinua Lowassa agombee Urais mwaka 2010.

Matoleo ya wiki mbili zilizopita za magazeti hayo yote yalikuwa na makala za kumsafisha Lowassa na kudai kuwa Sitta anamhujumu JK, Sitta ana lengo la kuhamia CHADEMA, Kimaro kapora shamba la chuo, Mwakyembe ni mkabila, Membe ni mfuasi wa Malecela, JK hana fadhila mfano wa dereva aliyesaidiwa kwa kusukumwa kutoka kwenye matope lakini akakataa kuwabeba waliomsaidia ili wasichafue gari lake n.k. NGOMA IMEANZA, MAKUBWA ZAIDI YAJA!

LazaroSMtindi
Senior Member
Join Date: Tue May 2008
Posts: 77
Thanks: 51
Thanked 133 Times in 40 Posts
Views: 6364
Reply With Quote
The Following 23 Users Say Thank You to LazaroSMtindi For This Useful Post:
AmaniGK (17th November 2008), BabaJ (1st January 2009), Bubu Msemaovyo (17th November 2008), Bulesi (31st December 2008), Dark City (17th November 2008), Degauche2008 (18th November 2008), F2S (19th November 2008), Halisi (17th November 2008), Invisible (17th November 2008), Kakalende (17th November 2008), Mchaga (13th January 2009), Mchukia Fisadi (17th November 2008), Mlalahoi (31st December 2008), Mzee Mwanakijiji (31st December 2008), Mzuzu (17th November 2008), Positive Thinker (17th November 2008), Realist (18th November 2008), Rev. Kishoka (17th November 2008), Susuviri (17th November 2008), tofty (31st December 2008), Totoirse (18th November 2008), Yassin (17th November 2008), Yebo Yebo (17th November 2008)
  #2 (permalink)  
Old 17th November 2008, 02:59 AM
Mkandara Aviator
JF Premium Member
 
Join Date: Fri Mar 2006
Location: T dot
Posts: 5,927
Thanks: 3,283
Thanked 4,297 Times in 2,038 Posts
Rep Power: 76
Mkandara is one of most respected JF members!Mkandara is one of most respected JF members!Mkandara is one of most respected JF members!Mkandara is one of most respected JF members!Mkandara is one of most respected JF members!Mkandara is one of most respected JF members!Mkandara is one of most respected JF members!Mkandara is one of most respected JF members!Mkandara is one of most respected JF members!Mkandara is one of most respected JF members!Mkandara is one of most respected JF members!
Credits: 21,599,290,138
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya karamagi & co. Dhidi ya jk

LazaroSMtindi,
Quote:
Magazeti hayo ambayo huchapishwa kila siku ya kazi kwa mpangilio, toka Jumatatu hadi Ijumaa, yanabeba ujumbe mahsusi wa ushawishi kwa umma kwamba: JK hana shukrani, kawatosa rafiki zake na kuwakumbatia "maadui"; Membe ni msaliti na anampotosha JK; Lowassa ni kiongozi safi na bora ambaye alionewa tu na Kamati ya Dk. Mwakyembe; bila Lowassa, Rostam, Karamagi, Makamba, Kingunge na wanamtandao wengine, JK hashindi uchaguzi wa 2010; Spika Sitta, Naibu Spika Anne Makinda na wabunge "wakorofi" wa CCM akina Anne Kilango, Mwakyembe, Selelii, Manyanya, Ole Sendeka, Kimaro, Zambi, Nkumba, Mpendazoe, Shellukindo (Bw. & Bi.), Mpesya, Ruth Msafiri na Nyalandu, ni wapinzani wa Serikali ya Awamu ya Nne.
Hivi kuna ukweli ktk maneno uliyo andika mkuu wangu!.. Na kama kuna ukweli mkuu wangu basi haya ndio magazeti ya kufungiwa.. Kilichoandikwa hapa ni kizito kuliko hata Mwanahalisi na kinapotosha wananchi waliowachagua viongozi hawa...
Kama kweli Chiligati ni mtetezi wa haki basi maelezo hayo hapo juu yanatosha kabisa kufungia magazeti haya ama kuwapeleka mahakamani wahusika wote...Nina hakika ushahidi wa madai yao ni mgumu kupatikana kuliko ule wa gazeti la Mwanahalisi..
__________________
Exploration of reality
Reply With Quote
The Following 3 Users Say Thank You to Mkandara For This Useful Post:
Field Marshall ES (17th November 2008), Mzuzu (17th November 2008), Yassin (17th November 2008)
  #3 (permalink)  
Old 17th November 2008, 03:20 AM
Pasco has no status.
JF Premium Member
 
Join Date: Mon Sep 2008
Posts: 923
Thanks: 979
Thanked 871 Times in 406 Posts
Rep Power: 22
Pasco has much to be proud ofPasco has much to be proud ofPasco has much to be proud ofPasco has much to be proud ofPasco has much to be proud ofPasco has much to be proud ofPasco has much to be proud ofPasco has much to be proud of
Credits: 12,904,396
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya karamagi & co. Dhidi ya jk

Kama ni kweli. Politics is really a dirty game.
Pia nakiri kuelekea uchaguzi ndio kipindi cha kuvuna kwa waandishi wa habari sio siri waandishi wanateseka sana kwa kusota juani kwa malipo duni huku wanataaluma wengine kama wanasheria wanapeta sana kwa malipo manono tena kivulini.
2010 ni mwaka wa neema kwa wana habari.
Reply With Quote
The Following User Says Thank You to Pasco For This Useful Post:
LazyDog (17th November 2008)
  #4 (permalink)  
Old 17th November 2008, 05:20 AM
Nurujamii has no status.
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Thu Jun 2007
Posts: 364
Thanks: 896
Thanked 251 Times in 107 Posts
Rep Power: 23
Nurujamii has much to be proud ofNurujamii has much to be proud ofNurujamii has much to be proud ofNurujamii has much to be proud ofNurujamii has much to be proud ofNurujamii has much to be proud ofNurujamii has much to be proud ofNurujamii has much to be proud of
Credits: 638,120
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya karamagi & co. Dhidi ya jk

Mwandishi wa JK (Premy) naye yuko? Mbona naona kama ni contradiction?
Reply With Quote
The Following 4 Users Say Thank You to Nurujamii For This Useful Post:
Jasusi (17th November 2008), LazaroSMtindi (17th November 2008), LazyDog (17th November 2008), macho_mdiliko (17th November 2008)
  #5 (permalink)  
Old 17th November 2008, 06:30 AM
Rev. Kishoka's Avatar
Rev. Kishoka has no status.
JF Premium Member
 
Join Date: Tue Mar 2006
Location: USA
Posts: 2,764
Thanks: 2,855
Thanked 3,091 Times in 1,345 Posts
Rep Power: 130
Rev. Kishoka is one of most respected JF members!Rev. Kishoka is one of most respected JF members!Rev. Kishoka is one of most respected JF members!Rev. Kishoka is one of most respected JF members!Rev. Kishoka is one of most respected JF members!Rev. Kishoka is one of most respected JF members!Rev. Kishoka is one of most respected JF members!Rev. Kishoka is one of most respected JF members!Rev. Kishoka is one of most respected JF members!Rev. Kishoka is one of most respected JF members!Rev. Kishoka is one of most respected JF members!
Credits: 11,017,016
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya karamagi & co. Dhidi ya jk

Quote:
View Post
LazaroSMtindi,

Hivi kuna ukweli ktk maneno uliyo andika mkuu wangu!.. Na kama kuna ukweli mkuu wangu basi haya ndio magazeti ya kufungiwa.. Kilichoandikwa hapa ni kizito kuliko hata Mwanahalisi na kinapotosha wananchi waliowachagua viongozi hawa...
Kama kweli Chiligati ni mtetezi wa haki basi maelezo hayo hapo juu yanatosha kabisa kufungia magazeti haya ama kuwapeleka mahakamani wahusika wote...Nina hakika ushahidi wa madai yao ni mgumu kupatikana kuliko ule wa gazeti la Mwanahalisi..
Mkandara,

Penye moshi kuna moto unafukuta. Sasa ukisoma vizuri hiyo listi ya wanaotaka angamizwa, ndio hao ninaowaita CCM Mageuzi ambao wanang'angania kubakia CCM huku wajanja wachache hawawataki.

Hii habari pamoja na kuwa imeletwa kama maoni, ni kitu ambacho nimekiona na kukizungumza upenuni tangu mwezi wa pili kuwa kutakuwa na kampeni kubwa sana ya kuwan'goa wale wote ambao si CCM Mafisadi ndani ya CCM.

Je sasa waelewa kwa nini Mchungaji anakuwa mkali?
__________________
Amani Iwe Nanyi,

Camerlengo

Plu Camerlenghi- Revolutionary Right Reverend Kishoka

"Any existence deprived of freedom is a kind of death." Gen. Michel Aoun

'Who comes to give greeting to the Inkosi-kaas? Who would taste her kiss, whereof the fruit is death? I, the Woodpecker, I, the Slaughterer, I the Swiftfooted! I, Umslopogaas!"
Reply With Quote
The Following 3 Users Say Thank You to Rev. Kishoka For This Useful Post:
Dark City (17th November 2008), Kuntakinte (17th November 2008), LazyDog (17th November 2008)
  #6 (permalink)  
Old 17th November 2008, 07:45 AM
WildCard has no status.
JF Premium Member
 
Join Date: Tue Apr 2008
Posts: 828
Thanks: 138
Thanked 494 Times in 309 Posts
Rep Power: 23
WildCard has much to be proud ofWildCard has much to be proud ofWildCard has much to be proud ofWildCard has much to be proud ofWildCard has much to be proud ofWildCard has much to be proud ofWildCard has much to be proud ofWildCard has much to be proud of
Credits: 1,580,185
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya karamagi & co. Dhidi ya jk

Magazeti yenyewe hayana soko. Hayauziki. Wanajihangaisha kama ni kweli.
Reply With Quote
  #7 (permalink)  
Old 17th November 2008, 08:01 AM
Phillemon Mikael has no status.
JF Premium Member
 
Join Date: Sun Nov 2006
Location: mwanza,/uk/santa clara
Posts: 2,471
Thanks: 157
Thanked 1,652 Times in 747 Posts
Rep Power: 27
Phillemon Mikael has much to be proud ofPhillemon Mikael has much to be proud ofPhillemon Mikael has much to be proud ofPhillemon Mikael has much to be proud ofPhillemon Mikael has much to be proud ofPhillemon Mikael has much to be proud ofPhillemon Mikael has much to be proud ofPhillemon Mikael has much to be proud of
Credits: 9,211,460
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya karamagi & co. Dhidi ya jk

Quote:
View Post
Magazeti yenyewe hayana soko. Hayauziki. Wanajihangaisha kama ni kweli.

...hizi taarifa hapa tunazo kitambo.....na ukweli ni kuwa haya magazeti ,tv,na redio vyote vilikuwa tayari kwenda hewani miezi sita iliyopita...lakini vilikatishwa na moto wa ajabu uliounguza WASHIRIKA BUILDING.....mkurugenzi walikuwa wamempachika PRINCE BAGENDA...tunahisi kuwa moto uliounguza washirika building ulichomwa na personal intelligence wa kikwete ili kupunguza speed ya haya magazeti...........nadhani wamejipanga upya..

kaka wild hawa watu wana pesa hawategemei mauzo ya issues ili waendelee .....siunaona RAI haliuzi lakini hawatetereki......
__________________
Reply With Quote
The Following 10 Users Say Thank You to Phillemon Mikael For This Useful Post:
Dark City (17th November 2008), FairPlayer (17th November 2008), Indume Yene (17th November 2008), Kakalende (17th November 2008), LazaroSMtindi (17th November 2008), Mzuzu (17th November 2008), Next Level (17th November 2008), Ng'azagala (18th November 2008), Sikonge (17th November 2008), WildCard (17th November 2008)
  #8 (permalink)  
Old 17th November 2008, 08:08 AM
LazaroSMtindi has no status.
Senior Member
 
Join Date: Tue May 2008
Posts: 77
Thanks: 51
Thanked 133 Times in 40 Posts
Rep Power: 2022
LazaroSMtindi is one of most respected JF members!LazaroSMtindi is one of most respected JF members!LazaroSMtindi is one of most respected JF members!LazaroSMtindi is one of most respected JF members!LazaroSMtindi is one of most respected JF members!LazaroSMtindi is one of most respected JF members!LazaroSMtindi is one of most respected JF members!LazaroSMtindi is one of most respected JF members!LazaroSMtindi is one of most respected JF members!LazaroSMtindi is one of most respected JF members!LazaroSMtindi is one of most respected JF members!
Credits: 2,958,446
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya karamagi & co. Dhidi ya jk

WanaJF Mkandara, Pasco,Nurujamii, Rev. Kishoka na WildCat nimewasoma, nimewaelewa. Naomba mniamini, nilichoandika ni kweli kweli tupu. Kama mnakumbuka, nilishawadokeza kuwa nafanya kazi mojawapo ya kampuni kubwa ya RA. Nikigundulika ni mimi nachangia hapa JF, nitakuwa marehemu kesho ahsubuhi. Hawa watu wana mtandao wa nguvu sana, wana pesa na wana sauti kubwa kwenye vyombo vya usalama. Ni mtandao uleule uliompa ushindi JK. Wachache ni waadilifu, wamebaki na JK. Wengi wamefuata fedha za EPA, Richmond, Import Support - kikao kimoja tu cha KALOKIRO unalipwa 1m/= au 2m/=, utaacha kuunga mkono? Mwenyekiti wa operesheni nzima, kama nilivyosema awali, ni mzee wa Sumbawanga. Salva Rweyemamu hana record ya uzalendo, ni mamluki tu aliyeajiliwa na Richmond kwa msaada wa RA. Leo yuko Ikulu, atabadilika? Premy haelewi kuwa marafiki wa jana wa JK, ndo maadui wake leo. She is naive, anafuata mkumbo tu bila kuwa na bigger picture, bila kujua kuwa anamwumiza bwana mkubwa! Wahariri wa RAI wanajua hilo maana ndo wanaopokea "vigongo" kutoka kwa akina Salva. Niishie hapo maana naandika huku naangaza macho nisijeonekana Internet Cafe ahsubuhi nikichonga taarifa za JF.

Last edited by Invisible; 17th November 2008 at 11:21 AM.. Reason: Rechecking Personal details
Reply With Quote
The Following 9 Users Say Thank You to LazaroSMtindi For This Useful Post:
Dark City (17th November 2008), Eeka Mangi (17th November 2008), Jasusi (17th November 2008), LazyDog (17th November 2008), Mzuzu (17th November 2008), Next Level (17th November 2008), Ng'azagala (18th November 2008), Realist (18th November 2008), Sikonge (17th November 2008)
  #9 (permalink)  
Old 17th November 2008, 08:14 AM
Dark City The last of the Thomaso's
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Sat Oct 2008
Location: Roaming
Posts: 605
Thanks: 1,310
Thanked 413 Times in 238 Posts
Rep Power: 22
Dark City has much to be proud ofDark City has much to be proud ofDark City has much to be proud ofDark City has much to be proud ofDark City has much to be proud ofDark City has much to be proud ofDark City has much to be proud ofDark City has much to be proud of
Credits: 1,265,795
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya karamagi & co. Dhidi ya jk

Quote:
View Post

...hizi taarifa hapa tunazo kitambo.....na ukweli ni kuwa haya magazeti ,tv,na redio vyote vilikuwa tayari kwenda hewani miezi sita iliyopita...lakini vilikatishwa na moto wa ajabu uliounguza WASHIRIKA BUILDING.....mkurugenzi walikuwa wamempachika PRINCE BAGENDA...tunahisi kuwa moto uliounguza washirika building ulichomwa na personal intelligence wa kikwete ili kupunguza speed ya haya magazeti...........nadhani wamejipanga upya..

kaka wild hawa watu wana pesa hawategemei mauzo ya issues ili waendelee .....siunaona RAI haliuzi lakini hawatetereki......
Nakushukuru sana kwa hii taarifa muhimu (it's an eye opener). Sikuwa na taarifa kabisa kuhusu hili (nadhani tuko wengi tu)! Pamoja na kwamba haoy magazeti hayauziki, ila ni muhimu sana kwa majukwaa ya ukombozi kama JF na magazeti yenye uzalendo kuweka hili suala wazi ili Watz wajue hili jambo. Hilo ndilo litakuwa hitimisho la njama zao! Kwani wataandika tu, hata TV itarusha matangazo hewani lakini mwisho wa siku wataambulia hukumu ya umma. Tuwasaidie Watanzania wenzetu wajue hii njama ya hatari sana. Sioni kitu gani EL anaweza kutufanyia akiwa raisi. Itakuwa ni sherehe (party) ya mbwa mwitu wenye njaa kuwararua mbuzi (WaTz) wasio na hatia (poor naive Tzn)! We should not (by hooks and crooks) let this happen.
Reply With Quote
  #10 (permalink)  
Old 17th November 2008, 08:24 AM
LazaroSMtindi has no status.
Senior Member
 
Join Date: Tue May 2008
Posts: 77
Thanks: 51
Thanked 133 Times in 40 Posts
Rep Power: 2022
LazaroSMtindi is one of most respected JF members!LazaroSMtindi is one of most respected JF members!LazaroSMtindi is one of most respected JF members!LazaroSMtindi is one of most respected JF members!LazaroSMtindi is one of most respected JF members!LazaroSMtindi is one of most respected JF members!LazaroSMtindi is one of most respected JF members!LazaroSMtindi is one of most respected JF members!LazaroSMtindi is one of most respected JF members!LazaroSMtindi is one of most respected JF members!LazaroSMtindi is one of most respected JF members!
Credits: 2,958,446
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya karamagi & co. Dhidi ya jk

Mkuu umepiga ndipo! Umelonga kiuelewa. Umenikuna. Hawa watu hawahitaji fedha za mauzo za magazeti yao hayo ya udaku ambayo story zake nyingi ni za ubabaishaji tu. Wao wanauza message na soko lao kubwa ni Dar es Salaam. Fedha ya mauzo ni kwa ajili ya mamluki wao akina Prince Bagenda, Manyerere, Balile, na Muhingo. Magazeti haya yana kazi maalumu. Kwa mfano, gazeti la Nyundo lilipewa kazi moja tu kufanya: kumbomoa huyu kijana Nape kwa kumzulia kila jambo: si mtoto wa Nnauye, mpenda madaraka, mpuuzi, umri mkubwa utadhani Nchimbi ni teenager n.k. Kazi imefanyika, sasa gazeti hilo limesimama kidogo kusubiri assignment nyingine. TAIFA kazi kubwa ni kuwabamiza mastaa wa Mbeya na Kilimanjaro: Kimaro, Mwandosya, Kilango, Mwakyembe n.k. ndiyo maana magazeti mengi ya TAIFA yanauzwa Dar es Salaam, Mbeya na Kilimanjaro. Mkuchika aliingizwa mkenge na Salva na RA kuifungia MwanaHalisi. Walimpa shinikizo kubwa na kumpelekea ujumbe wa siri kuwa kabla ya kuwa Waziri alikuwa mfadhili wa MwanaHalisi. Of course huo ni uongo mkubwa, blackmail tupu. Lakini imefanyakazi.
Reply With Quote
The Following 6 Users Say Thank You to LazaroSMtindi For This Useful Post:
Dark City (17th November 2008), Endaku's (18th November 2008), Jasusi (17th November 2008), Mzuzu (17th November 2008), Next Level (17th November 2008), Totoirse (18th November 2008)
Reply

Bookmarks


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are On
Pingbacks are On
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
The Confession of Nazir Karamagi Zitto Jukwaa la Siasa 40 4th March 2008 11:10 AM
Karamagi anasafiri na mihuri yetu? Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Siasa 13 20th August 2007 09:19 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 01:49 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com

no new posts