 |
 |

17th November 2008, 01:58 AM
|
|
Senior Member
|
|
Join Date: Tue May 2008
Posts: 58
Rep Power: 2021
Thanks: 37
Thanked 110 Times in 29 Posts
|
|
Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK
Kampeni ya kummaliza kisiasa JK, Spika na wabunge kadhaa "wakorofi", imeanzishwa rasmi na Karamagi & Co. (Lowassa na Rostam) kupitia magazeti yao maalum ya AHSUBUHI NJEMA, TAZAMA, NYUNDO, TAIFA NA UMMA. Nia ni kuhakikisha JK anakuwa Rais kwa muhula moja tu na Spika Samuel Sitta na wabunge "wakorofi" hawarudi Bungeni mwaka 2010.
Magazeti hayo ambayo huchapishwa kila siku ya kazi kwa mpangilio, toka Jumatatu hadi Ijumaa, yanabeba ujumbe mahsusi wa ushawishi kwa umma kwamba: JK hana shukrani, kawatosa rafiki zake na kuwakumbatia "maadui"; Membe ni msaliti na anampotosha JK; Lowassa ni kiongozi safi na bora ambaye alionewa tu na Kamati ya Dk. Mwakyembe; bila Lowassa, Rostam, Karamagi, Makamba, Kingunge na wanamtandao wengine, JK hashindi uchaguzi wa 2010; Spika Sitta, Naibu Spika Anne Makinda na wabunge "wakorofi" wa CCM akina Anne Kilango, Mwakyembe, Selelii, Manyanya, Ole Sendeka, Kimaro, Zambi, Nkumba, Mpendazoe, Shellukindo (Bw. & Bi.), Mpesya, Ruth Msafiri na Nyalandu, ni wapinzani wa Serikali ya Awamu ya Nne.
Magazeti haya yanahaririwa na waandishi walewale mamluki: Deodatus Balile, Manyerere Jackton, Charles Charles, Muhingo Rweyemamu, Prince Bagenda na Gama wa gazeti la HOJA. Baadhi ya makala huchangiwa na Salva Rweyemamu na Premy Kibanga wa Ikulu na Mbunge wa Kigoma Peter Serukamba ambaye alibubujikwa machozi na kuugua baada ya Lowassa kujiuzulu. Yalianzishwa kwa mtaji wa sh. milioni 300 alizotoa Karamagi kwa niaba ya Lowassa na Rostam, mara baada ya Lowassa kujiuzulu.
Taarifa ndani ya Chama Tawala zinasema magazeti haya yana baraka zote za Makamba. Ndiyo maana baadhi yake yanahaririwa kwenye ofisi za UVCCM na kwa kutumia kompyuta za jumuiya hiyo.
Kwa mujibu wa kikao cha KALOKIRO kilichokaa Morogoro hivi karibuni, magazeti hayo yatasaidiwa baadaye (karibu na uchaguzi mkuu) na magazeti ya RAI, MTANZANIA na THE AFRICAN. Mwakani, mtandao huo wa mafisadi unaanzisha kituo cha redio na televisheni. Lengo kuu ni kuwamaliza wote hao kisiasa na kumwinua Lowassa agombee Urais mwaka 2010.
Matoleo ya wiki mbili zilizopita za magazeti hayo yote yalikuwa na makala za kumsafisha Lowassa na kudai kuwa Sitta anamhujumu JK, Sitta ana lengo la kuhamia CHADEMA, Kimaro kapora shamba la chuo, Mwakyembe ni mkabila, Membe ni mfuasi wa Malecela, JK hana fadhila mfano wa dereva aliyesaidiwa kwa kusukumwa kutoka kwenye matope lakini akakataa kuwabeba waliomsaidia ili wasichafue gari lake n.k. NGOMA IMEANZA, MAKUBWA ZAIDI YAJA!
|
|
The Following 22 Users Say Thank You to LazaroSMtindi For This Useful Post:
|
AmaniGK (17th November 2008), BabaJ (1st January 2009), Bubu Msemaovyo (17th November 2008), Bulesi (31st December 2008), Dark City (17th November 2008), Degauche2008 (18th November 2008), F2S (19th November 2008), Halisi (17th November 2008), Invisible (17th November 2008), Kakalende (17th November 2008), Mchukia Fisadi (17th November 2008), Mlalahoi (31st December 2008), Mzee Mwanakijiji (31st December 2008), Mzuzu (17th November 2008), Positive Thinker (17th November 2008), Realist (18th November 2008), Rev. Kishoka (17th November 2008), Susuviri (17th November 2008), tofty (31st December 2008), totoirse (18th November 2008), Yassin (17th November 2008), Yebo Yebo (17th November 2008) |

17th November 2008, 02:59 AM
|
|
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Fri Mar 2006
Location: T dot
Posts: 4,728
Rep Power: 73
Thanks: 2,173
Thanked 2,885 Times in 1,390 Posts
|
|
Re: Kampeni ya magazeti mapya ya karamagi & co. Dhidi ya jk
LazaroSMtindi,
Quote:
|
Magazeti hayo ambayo huchapishwa kila siku ya kazi kwa mpangilio, toka Jumatatu hadi Ijumaa, yanabeba ujumbe mahsusi wa ushawishi kwa umma kwamba: JK hana shukrani, kawatosa rafiki zake na kuwakumbatia "maadui"; Membe ni msaliti na anampotosha JK; Lowassa ni kiongozi safi na bora ambaye alionewa tu na Kamati ya Dk. Mwakyembe; bila Lowassa, Rostam, Karamagi, Makamba, Kingunge na wanamtandao wengine, JK hashindi uchaguzi wa 2010; Spika Sitta, Naibu Spika Anne Makinda na wabunge "wakorofi" wa CCM akina Anne Kilango, Mwakyembe, Selelii, Manyanya, Ole Sendeka, Kimaro, Zambi, Nkumba, Mpendazoe, Shellukindo (Bw. & Bi.), Mpesya, Ruth Msafiri na Nyalandu, ni wapinzani wa Serikali ya Awamu ya Nne.
|
Hivi kuna ukweli ktk maneno uliyo andika mkuu wangu!.. Na kama kuna ukweli mkuu wangu basi haya ndio magazeti ya kufungiwa.. Kilichoandikwa hapa ni kizito kuliko hata Mwanahalisi na kinapotosha wananchi waliowachagua viongozi hawa...
Kama kweli Chiligati ni mtetezi wa haki basi maelezo hayo hapo juu yanatosha kabisa kufungia magazeti haya ama kuwapeleka mahakamani wahusika wote...Nina hakika ushahidi wa madai yao ni mgumu kupatikana kuliko ule wa gazeti la Mwanahalisi..
__________________
Exploration of reality
|
|
The Following 3 Users Say Thank You to Mkandara For This Useful Post:
|
|

17th November 2008, 03:20 AM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Mon Sep 2008
Posts: 281
Rep Power: 21
Thanks: 536
Thanked 217 Times in 114 Posts
|
|
Re: Kampeni ya magazeti mapya ya karamagi & co. Dhidi ya jk
Kama ni kweli. Politics is really a dirty game.
Pia nakiri kuelekea uchaguzi ndio kipindi cha kuvuna kwa waandishi wa habari sio siri waandishi wanateseka sana kwa kusota juani kwa malipo duni huku wanataaluma wengine kama wanasheria wanapeta sana kwa malipo manono tena kivulini.
2010 ni mwaka wa neema kwa wana habari.
|
|
The Following User Says Thank You to Pasco For This Useful Post:
|
|

17th November 2008, 05:20 AM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Thu Jun 2007
Posts: 317
Rep Power: 22
Thanks: 720
Thanked 224 Times in 90 Posts
|
|
Re: Kampeni ya magazeti mapya ya karamagi & co. Dhidi ya jk
Mwandishi wa JK (Premy) naye yuko? Mbona naona kama ni contradiction?
|
|
The Following 4 Users Say Thank You to Nurujamii For This Useful Post:
|
|

17th November 2008, 06:30 AM
|
 |
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Tue Mar 2006
Location: USA
Posts: 2,418
Rep Power: 128
Thanks: 2,455
Thanked 2,644 Times in 1,202 Posts
|
|
Re: Kampeni ya magazeti mapya ya karamagi & co. Dhidi ya jk
Quote:
Originally Posted by Mkandara
LazaroSMtindi,
Hivi kuna ukweli ktk maneno uliyo andika mkuu wangu!.. Na kama kuna ukweli mkuu wangu basi haya ndio magazeti ya kufungiwa.. Kilichoandikwa hapa ni kizito kuliko hata Mwanahalisi na kinapotosha wananchi waliowachagua viongozi hawa...
Kama kweli Chiligati ni mtetezi wa haki basi maelezo hayo hapo juu yanatosha kabisa kufungia magazeti haya ama kuwapeleka mahakamani wahusika wote...Nina hakika ushahidi wa madai yao ni mgumu kupatikana kuliko ule wa gazeti la Mwanahalisi..
|
Mkandara,
Penye moshi kuna moto unafukuta. Sasa ukisoma vizuri hiyo listi ya wanaotaka angamizwa, ndio hao ninaowaita CCM Mageuzi ambao wanang'angania kubakia CCM huku wajanja wachache hawawataki.
Hii habari pamoja na kuwa imeletwa kama maoni, ni kitu ambacho nimekiona na kukizungumza upenuni tangu mwezi wa pili kuwa kutakuwa na kampeni kubwa sana ya kuwan'goa wale wote ambao si CCM Mafisadi ndani ya CCM.
Je sasa waelewa kwa nini Mchungaji anakuwa mkali?
__________________
Amani Iwe Nanyi,
Camerlengo
Plu Camerlenghi- Revolutionary Right Reverend Kishoka
"Any existence deprived of freedom is a kind of death." Gen. Michel Aoun
'Who comes to give greeting to the Inkosi-kaas? Who would taste her kiss, whereof the fruit is death? I, the Woodpecker, I, the Slaughterer, I the Swiftfooted! I, Umslopogaas!"
|
|
The Following 3 Users Say Thank You to Rev. Kishoka For This Useful Post:
|
|

17th November 2008, 07:45 AM
|
|
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Tue Apr 2008
Posts: 592
Rep Power: 22
Thanks: 109
Thanked 376 Times in 227 Posts
|
|
Re: Kampeni ya magazeti mapya ya karamagi & co. Dhidi ya jk
Magazeti yenyewe hayana soko. Hayauziki. Wanajihangaisha kama ni kweli.
|

17th November 2008, 08:01 AM
|
|
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Sun Nov 2006
Location: mwanza,/uk/santa clara
Posts: 2,080
Rep Power: 27
Thanks: 137
Thanked 1,208 Times in 585 Posts
|
|
Re: Kampeni ya magazeti mapya ya karamagi & co. Dhidi ya jk
Quote:
Originally Posted by WildCard
Magazeti yenyewe hayana soko. Hayauziki. Wanajihangaisha kama ni kweli.
|
...hizi taarifa hapa tunazo kitambo.....na ukweli ni kuwa haya magazeti ,tv,na redio vyote vilikuwa tayari kwenda hewani miezi sita iliyopita...lakini vilikatishwa na moto wa ajabu uliounguza WASHIRIKA BUILDING.....mkurugenzi walikuwa wamempachika PRINCE BAGENDA...tunahisi kuwa moto uliounguza washirika building ulichomwa na personal intelligence wa kikwete ili kupunguza speed ya haya magazeti...........nadhani wamejipanga upya..
kaka wild hawa watu wana pesa hawategemei mauzo ya issues ili waendelee .....siunaona RAI haliuzi lakini hawatetereki......
__________________
|
|
The Following 10 Users Say Thank You to Phillemon Mikael For This Useful Post:
|
|

17th November 2008, 08:08 AM
|
|
Senior Member
|
|
Join Date: Tue May 2008
Posts: 58
Rep Power: 2021
Thanks: 37
Thanked 110 Times in 29 Posts
|
|
Re: Kampeni ya magazeti mapya ya karamagi & co. Dhidi ya jk
WanaJF Mkandara, Pasco,Nurujamii, Rev. Kishoka na WildCat nimewasoma, nimewaelewa. Naomba mniamini, nilichoandika ni kweli kweli tupu. Kama mnakumbuka, nilishawadokeza kuwa nafanya kazi mojawapo ya kampuni kubwa ya RA. Nikigundulika ni mimi nachangia hapa JF, nitakuwa marehemu kesho ahsubuhi. Hawa watu wana mtandao wa nguvu sana, wana pesa na wana sauti kubwa kwenye vyombo vya usalama. Ni mtandao uleule uliompa ushindi JK. Wachache ni waadilifu, wamebaki na JK. Wengi wamefuata fedha za EPA, Richmond, Import Support - kikao kimoja tu cha KALOKIRO unalipwa 1m/= au 2m/=, utaacha kuunga mkono? Mwenyekiti wa operesheni nzima, kama nilivyosema awali, ni mzee wa Sumbawanga. Salva Rweyemamu hana record ya uzalendo, ni mamluki tu aliyeajiliwa na Richmond kwa msaada wa RA. Leo yuko Ikulu, atabadilika? Premy haelewi kuwa marafiki wa jana wa JK, ndo maadui wake leo. She is naive, anafuata mkumbo tu bila kuwa na bigger picture, bila kujua kuwa anamwumiza bwana mkubwa! Wahariri wa RAI wanajua hilo maana ndo wanaopokea "vigongo" kutoka kwa akina Salva. Niishie hapo maana naandika huku naangaza macho nisijeonekana Internet Cafe ahsubuhi nikichonga taarifa za JF.
Last edited by Invisible; 17th November 2008 at 11:21 AM.
Reason: Rechecking Personal details
|
|
The Following 9 Users Say Thank You to LazaroSMtindi For This Useful Post:
|
|

17th November 2008, 08:14 AM
|
|
Senior Member
|
|
Join Date: Sat Oct 2008
Location: Roaming
Posts: 179
Rep Power: 21
Thanks: 342
Thanked 155 Times in 85 Posts
|
|
Re: Kampeni ya magazeti mapya ya karamagi & co. Dhidi ya jk
Quote:
Originally Posted by Phillemon Mikael
...hizi taarifa hapa tunazo kitambo.....na ukweli ni kuwa haya magazeti ,tv,na redio vyote vilikuwa tayari kwenda hewani miezi sita iliyopita...lakini vilikatishwa na moto wa ajabu uliounguza WASHIRIKA BUILDING.....mkurugenzi walikuwa wamempachika PRINCE BAGENDA...tunahisi kuwa moto uliounguza washirika building ulichomwa na personal intelligence wa kikwete ili kupunguza speed ya haya magazeti...........nadhani wamejipanga upya..
kaka wild hawa watu wana pesa hawategemei mauzo ya issues ili waendelee .....siunaona RAI haliuzi lakini hawatetereki......
|
Nakushukuru sana kwa hii taarifa muhimu (it's an eye opener). Sikuwa na taarifa kabisa kuhusu hili (nadhani tuko wengi tu)! Pamoja na kwamba haoy magazeti hayauziki, ila ni muhimu sana kwa majukwaa ya ukombozi kama JF na magazeti yenye uzalendo kuweka hili suala wazi ili Watz wajue hili jambo. Hilo ndilo litakuwa hitimisho la njama zao! Kwani wataandika tu, hata TV itarusha matangazo hewani lakini mwisho wa siku wataambulia hukumu ya umma. Tuwasaidie Watanzania wenzetu wajue hii njama ya hatari sana. Sioni kitu gani EL anaweza kutufanyia akiwa raisi. Itakuwa ni sherehe (party) ya mbwa mwitu wenye njaa kuwararua mbuzi (WaTz) wasio na hatia (poor naive Tzn)! We should not (by hooks and crooks) let this happen.
|

17th November 2008, 08:24 AM
|
|
Senior Member
|
|
Join Date: Tue May 2008
Posts: 58
Rep Power: 2021
Thanks: 37
Thanked 110 Times in 29 Posts
|
|
Re: Kampeni ya magazeti mapya ya karamagi & co. Dhidi ya jk
Mkuu umepiga ndipo! Umelonga kiuelewa. Umenikuna. Hawa watu hawahitaji fedha za mauzo za magazeti yao hayo ya udaku ambayo story zake nyingi ni za ubabaishaji tu. Wao wanauza message na soko lao kubwa ni Dar es Salaam. Fedha ya mauzo ni kwa ajili ya mamluki wao akina Prince Bagenda, Manyerere, Balile, na Muhingo. Magazeti haya yana kazi maalumu. Kwa mfano, gazeti la Nyundo lilipewa kazi moja tu kufanya: kumbomoa huyu kijana Nape kwa kumzulia kila jambo: si mtoto wa Nnauye, mpenda madaraka, mpuuzi, umri mkubwa utadhani Nchimbi ni teenager n.k. Kazi imefanyika, sasa gazeti hilo limesimama kidogo kusubiri assignment nyingine. TAIFA kazi kubwa ni kuwabamiza mastaa wa Mbeya na Kilimanjaro: Kimaro, Mwandosya, Kilango, Mwakyembe n.k. ndiyo maana magazeti mengi ya TAIFA yanauzwa Dar es Salaam, Mbeya na Kilimanjaro. Mkuchika aliingizwa mkenge na Salva na RA kuifungia MwanaHalisi. Walimpa shinikizo kubwa na kumpelekea ujumbe wa siri kuwa kabla ya kuwa Waziri alikuwa mfadhili wa MwanaHalisi. Of course huo ni uongo mkubwa, blackmail tupu. Lakini imefanyakazi.
|
|
The Following 6 Users Say Thank You to LazaroSMtindi For This Useful Post:
|
|
|
Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
|
|
|
| Thread Tools |
|
|
| Display Modes |
Linear Mode
|
Posting Rules
|
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts
HTML code is Off
|
|
|
All times are GMT +3. The time now is 03:32 PM.
|
 |