Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK - Page 3 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Jukwaa la Siasa


Jukwaa la Siasa Tanzania & World Politics General Discussion Forum. You need to be registered in order to post your comment(s)


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 17th November 2008, 12:58 AM  
Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK
LazaroSMtindi LazaroSMtindi is offline 17th November 2008, 12:58 AM


Kampeni ya kummaliza kisiasa JK, Spika na wabunge kadhaa "wakorofi", imeanzishwa rasmi na Karamagi & Co. (Lowassa na Rostam) kupitia magazeti yao maalum ya AHSUBUHI NJEMA, TAZAMA, NYUNDO, TAIFA NA UMMA. Nia ni kuhakikisha JK anakuwa Rais kwa muhula moja tu na Spika Samuel Sitta na wabunge "wakorofi" hawarudi Bungeni mwaka 2010.

Magazeti hayo ambayo huchapishwa kila siku ya kazi kwa mpangilio, toka Jumatatu hadi Ijumaa, yanabeba ujumbe mahsusi wa ushawishi kwa umma kwamba: JK hana shukrani, kawatosa rafiki zake na kuwakumbatia "maadui"; Membe ni msaliti na anampotosha JK; Lowassa ni kiongozi safi na bora ambaye alionewa tu na Kamati ya Dk. Mwakyembe; bila Lowassa, Rostam, Karamagi, Makamba, Kingunge na wanamtandao wengine, JK hashindi uchaguzi wa 2010; Spika Sitta, Naibu Spika Anne Makinda na wabunge "wakorofi" wa CCM akina Anne Kilango, Mwakyembe, Selelii, Manyanya, Ole Sendeka, Kimaro, Zambi, Nkumba, Mpendazoe, Shellukindo (Bw. & Bi.), Mpesya, Ruth Msafiri na Nyalandu, ni wapinzani wa Serikali ya Awamu ya Nne.

Magazeti haya yanahaririwa na waandishi walewale mamluki: Deodatus Balile, Manyerere Jackton, Charles Charles, Muhingo Rweyemamu, Prince Bagenda na Gama wa gazeti la HOJA. Baadhi ya makala huchangiwa na Salva Rweyemamu na Premy Kibanga wa Ikulu na Mbunge wa Kigoma Peter Serukamba ambaye alibubujikwa machozi na kuugua baada ya Lowassa kujiuzulu. Yalianzishwa kwa mtaji wa sh. milioni 300 alizotoa Karamagi kwa niaba ya Lowassa na Rostam, mara baada ya Lowassa kujiuzulu.

Taarifa ndani ya Chama Tawala zinasema magazeti haya yana baraka zote za Makamba. Ndiyo maana baadhi yake yanahaririwa kwenye ofisi za UVCCM na kwa kutumia kompyuta za jumuiya hiyo.

Kwa mujibu wa kikao cha KALOKIRO kilichokaa Morogoro hivi karibuni, magazeti hayo yatasaidiwa baadaye (karibu na uchaguzi mkuu) na magazeti ya RAI, MTANZANIA na THE AFRICAN. Mwakani, mtandao huo wa mafisadi unaanzisha kituo cha redio na televisheni. Lengo kuu ni kuwamaliza wote hao kisiasa na kumwinua Lowassa agombee Urais mwaka 2010.

Matoleo ya wiki mbili zilizopita za magazeti hayo yote yalikuwa na makala za kumsafisha Lowassa na kudai kuwa Sitta anamhujumu JK, Sitta ana lengo la kuhamia CHADEMA, Kimaro kapora shamba la chuo, Mwakyembe ni mkabila, Membe ni mfuasi wa Malecela, JK hana fadhila mfano wa dereva aliyesaidiwa kwa kusukumwa kutoka kwenye matope lakini akakataa kuwabeba waliomsaidia ili wasichafue gari lake n.k. NGOMA IMEANZA, MAKUBWA ZAIDI YAJA!

LazaroSMtindi
Senior Member
Points: 5,119,422, Level: 100 Points: 5,119,422, Level: 100 Points: 5,119,422, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
Join Date: Tue May 2008
Posts: 79
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Views: 7186
Reply With Quote
  #21  
Old 17th November 2008, 11:43 AM
Rwabugiri Rwabugiri is offline
Rwabugiri has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 166,430, Level: 100 Points: 166,430, Level: 100 Points: 166,430, Level: 100
Activity: 5% Activity: 5% Activity: 5%
 
Join Date: Tue Jul 2007
Posts: 2,304
Thanks: 10
Thanked 8 Times in 8 Posts
Rep Power: 27
Rwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enough
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

Quote:
View Post
Habari ina mapungufu mengi ( half baked ) apart from mfano wa Nape hakuna maelezo na mifano halisi ya mateleo ya magazeti hayo kuonyesha hizo mengine ya "kampeni" za kuwachafua watajwa.

Kuna baadhi ya watajwa haiingii akilini kutoka na nyadhifa zao kushiriki katika jambo kama hilo, one can understand uhusika wa EL, Karamagi et al lakini Premy na Salva give me a break!
Maswali makubwa ni je magazeti haya yapo?
Je hizo habari zenye malengo maalumu zimeisa chapishwa?
Kama yapo na habari zenye mlengo wa namna hiyo zimeisha chapishwa!...

kwa vyovyote vile ni mpango maalumu.. ambao watu wamewekeza kwake kwa ajili ya malengo maalumu. na wala sishangai watu hao kuwemo ama kwa kujua kabisa ( kama ilivo kuwa mtandao 2005) ama kutumika bila kujua!
Reply With Quote
  #22  
Old 17th November 2008, 11:45 AM
Kevo's Avatar
Kevo Kevo is offline
Kevo is stuff is tough
JF Senior Expert Member
Points: 238,924, Level: 100 Points: 238,924, Level: 100 Points: 238,924, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu Jun 2008
Location: Around the World
Posts: 1,301
Thanks: 0
Thanked 24 Times in 12 Posts
Rep Power: 24
Kevo will become famous soon enoughKevo will become famous soon enoughKevo will become famous soon enoughKevo will become famous soon enoughKevo will become famous soon enoughKevo will become famous soon enoughKevo will become famous soon enoughKevo will become famous soon enough
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

Thats a very good job wanachokifanya maana yeye JK tumeshamchoka na sasa wao kama hizo akili zao zimeenda likizo wakitegemea tutampigia kura Lowassa then wameshindwa labda atapigiwa kura huko Monduli tuu!
__________________
'I could have annihilated all the Jews in the World,but I left some of them so you will know why I was killing them'-Adolf Hitler;Mien Kampf
Reply With Quote
  #23  
Old 17th November 2008, 11:49 AM
Tujisenti Tujisenti is offline
Tujisenti has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 121,323, Level: 100 Points: 121,323, Level: 100 Points: 121,323, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Wed May 2008
Posts: 272
Thanks: 0
Thanked 7 Times in 6 Posts
Rep Power: 22
Tujisenti will become famous soon enoughTujisenti will become famous soon enoughTujisenti will become famous soon enoughTujisenti will become famous soon enoughTujisenti will become famous soon enoughTujisenti will become famous soon enoughTujisenti will become famous soon enoughTujisenti will become famous soon enough
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

Makubwa hayo. Siasa kweli ni mchezo mbaya. Sasa wakina Salva na Makamba vipi tena????????
Reply With Quote
  #24  
Old 17th November 2008, 12:01 PM
Kevo's Avatar
Kevo Kevo is offline
Kevo is stuff is tough
JF Senior Expert Member
Points: 238,924, Level: 100 Points: 238,924, Level: 100 Points: 238,924, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu Jun 2008
Location: Around the World
Posts: 1,301
Thanks: 0
Thanked 24 Times in 12 Posts
Rep Power: 24
Kevo will become famous soon enoughKevo will become famous soon enoughKevo will become famous soon enoughKevo will become famous soon enoughKevo will become famous soon enoughKevo will become famous soon enoughKevo will become famous soon enoughKevo will become famous soon enough
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

Quote:
View Post
Makubwa hayo. Siasa kweli ni mchezo mbaya. Sasa wakina Salva na Makamba vipi tena????????
Ushauri wa bure nawaomba wafanye haraka wamalizane kweli kweli bila kuoneana huruma maana the better for us spectators!
__________________
'I could have annihilated all the Jews in the World,but I left some of them so you will know why I was killing them'-Adolf Hitler;Mien Kampf
Reply With Quote
  #25  
Old 17th November 2008, 12:17 PM
Masatu Masatu is offline
Masatu Is Magumashi
JF Senior Expert Member
Points: 733,039, Level: 100 Points: 733,039, Level: 100 Points: 733,039, Level: 100
Activity: 4% Activity: 4% Activity: 4%
 
Join Date: Mon Jan 2007
Location: Mbagala, Jeshini
Posts: 3,741
Thanks: 0
Thanked 88 Times in 66 Posts
Rep Power: 0
Masatu is infamous around these parts
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

Quote:
View Post
Wanaweza kuwa wanahusika bila wenyewe kujua, kama mabavyo Lizwan alihusika against baba yake bila kujua
Hao watajwa huwezi kuwafananisha na Ridhwan hata kidogo kuna watu kuchukuliwa msekule lakini sio hizo figure
__________________
Mkulima kala Mbegu......
Reply With Quote
  #26  
Old 17th November 2008, 12:24 PM
Game Theory's Avatar
Game Theory Game Theory is offline
Game Theory has no status.
JF Premium Member
Points: 6,834,698, Level: 100 Points: 6,834,698, Level: 100 Points: 6,834,698, Level: 100
Activity: 13% Activity: 13% Activity: 13%
 
Join Date: Tue Sep 2006
Posts: 7,285
Thanks: 60
Thanked 425 Times in 178 Posts
Rep Power: 19
Game Theory is an unknown quantity at this point
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

halafu mkishamwondoa JK mnataka kumreplace na nani?

Dont tell me its Freeman Mbowe/Maalim Sefu/Lupumba/Mrema et al
Reply With Quote
  #27  
Old 17th November 2008, 12:48 PM
Mr. Zero Mr. Zero is offline
Mr. Zero has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 278,552, Level: 100 Points: 278,552, Level: 100 Points: 278,552, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Tue Jun 2007
Posts: 1,271
Thanks: 28
Thanked 70 Times in 51 Posts
Rep Power: 25
Mr. Zero will become famous soon enoughMr. Zero will become famous soon enoughMr. Zero will become famous soon enoughMr. Zero will become famous soon enoughMr. Zero will become famous soon enoughMr. Zero will become famous soon enoughMr. Zero will become famous soon enoughMr. Zero will become famous soon enough
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

Vita vya panzi....................!!!! Watatusaidia sana kama ni kweli. Maana Jamaa yetu kazi imemshinda na wala CCM hawana mpango wa kumtosa!!!!!!!!!!!!!!!!!
__________________
"Money never made a man happy yet, nor will it. There is nothing in its nature to produce happiness. The more a man has, the more he wants. Instead of filling a vacuum, it makes one" by --Benjamin Franklin-- scientist, inventor, statesman, printer, philosopher, musician and economist
Reply With Quote
  #28  
Old 17th November 2008, 12:53 PM
Majita Majita is offline
Majita has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 85,815, Level: 100 Points: 85,815, Level: 100 Points: 85,815, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sun Jan 2008
Posts: 310
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 23
Majita will become famous soon enoughMajita will become famous soon enoughMajita will become famous soon enoughMajita will become famous soon enoughMajita will become famous soon enoughMajita will become famous soon enoughMajita will become famous soon enoughMajita will become famous soon enough
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

Quote:
View Post
halafu mkishamwondoa JK mnataka kumreplace na nani?

Dont tell me its Freeman Mbowe/Maalim Sefu/Lupumba/Mrema et al
Kama JK ni Rais basi Mtanzania YEYOTE yule anaweza kuwa rais wa Tanzania.
Unafikiri kuna mtanzania ambae hajui kupanda ndege tu na kukaa????
Reply With Quote
  #29  
Old 17th November 2008, 01:03 PM
Game Theory's Avatar
Game Theory Game Theory is offline
Game Theory has no status.
JF Premium Member
Points: 6,834,698, Level: 100 Points: 6,834,698, Level: 100 Points: 6,834,698, Level: 100
Activity: 13% Activity: 13% Activity: 13%
 
Join Date: Tue Sep 2006
Posts: 7,285
Thanks: 60
Thanked 425 Times in 178 Posts
Rep Power: 19
Game Theory is an unknown quantity at this point
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

Quote:
View Post
Kama JK ni Rais basi Mtanzania YEYOTE yule anaweza kuwa rais wa Tanzania.
Unafikiri kuna mtanzania ambae hajui kupanda ndege tu na kukaa????


kwa hiyo the right replacement wa JK ni Freeman Mbowe?
Reply With Quote
  #30  
Old 17th November 2008, 01:08 PM
Majita Majita is offline
Majita has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 85,815, Level: 100 Points: 85,815, Level: 100 Points: 85,815, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sun Jan 2008
Posts: 310
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 23
Majita will become famous soon enoughMajita will become famous soon enoughMajita will become famous soon enoughMajita will become famous soon enoughMajita will become famous soon enoughMajita will become famous soon enoughMajita will become famous soon enoughMajita will become famous soon enough
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

Quote:
View Post
kwa hiyo the right replacement wa JK ni Freeman Mbowe?
Wewe wasema.
Mimi nimesema kama JK ni rais wa Tanzania basi Mtanzania yeyote anaweza kuwa Rais wa Tanzania.Kama Mbowe ni chagua lako sikubishii
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
dhidi, jk, kampeni, karamagi, magazeti, mapya


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Lazima tuwekane sawa kuhusu UKIMWI Shy JF Doctor 139 18th June 2009 02:00 PM
Karamagi na wanasheria wake watupiana mpira kuhusu tuhuma za ufisadi. Lawson Jukwaa la Siasa 4 12th November 2007 10:12 AM
Kampeni dhidi ya Mkapa asishinde Tuzo ya uongozi bora Mwafrika wa Kike Celebrities Forum 127 23rd October 2007 12:54 PM
Karamagi anasafiri na mihuri yetu? Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Siasa 13 20th August 2007 09:19 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 11:03 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com