TMF|JamiiForums Blog
  • Member Login:
http://www.jamiiforums.com/zain.jpg

+ Reply to Topic
Page 2 of 7 FirstFirst 1 2 3 4 ... LastLast
Results 21 to 40 of 131
  1. #1
    Senior Member LazaroSMtindi is one of most respected JF members! LazaroSMtindi is one of most respected JF members! LazaroSMtindi is one of most respected JF members! LazaroSMtindi is one of most respected JF members! LazaroSMtindi is one of most respected JF members! LazaroSMtindi is one of most respected JF members! LazaroSMtindi is one of most respected JF members! LazaroSMtindi is one of most respected JF members! LazaroSMtindi is one of most respected JF members! LazaroSMtindi is one of most respected JF members! LazaroSMtindi is one of most respected JF members!
    Join Date
    Tue May 2008
    Posts
    79
    Thanks : 0
    Thanked 0 Times in 0 Posts
    Rep Power
    2023

    Default Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK


    Kampeni ya kummaliza kisiasa JK, Spika na wabunge kadhaa "wakorofi", imeanzishwa rasmi na Karamagi & Co. (Lowassa na Rostam) kupitia magazeti yao maalum ya AHSUBUHI NJEMA, TAZAMA, NYUNDO, TAIFA NA UMMA. Nia ni kuhakikisha JK anakuwa Rais kwa muhula moja tu na Spika Samuel Sitta na wabunge "wakorofi" hawarudi Bungeni mwaka 2010.

    Magazeti hayo ambayo huchapishwa kila siku ya kazi kwa mpangilio, toka Jumatatu hadi Ijumaa, yanabeba ujumbe mahsusi wa ushawishi kwa umma kwamba: JK hana shukrani, kawatosa rafiki zake na kuwakumbatia "maadui"; Membe ni msaliti na anampotosha JK; Lowassa ni kiongozi safi na bora ambaye alionewa tu na Kamati ya Dk. Mwakyembe; bila Lowassa, Rostam, Karamagi, Makamba, Kingunge na wanamtandao wengine, JK hashindi uchaguzi wa 2010; Spika Sitta, Naibu Spika Anne Makinda na wabunge "wakorofi" wa CCM akina Anne Kilango, Mwakyembe, Selelii, Manyanya, Ole Sendeka, Kimaro, Zambi, Nkumba, Mpendazoe, Shellukindo (Bw. & Bi.), Mpesya, Ruth Msafiri na Nyalandu, ni wapinzani wa Serikali ya Awamu ya Nne.

    Magazeti haya yanahaririwa na waandishi walewale mamluki: Deodatus Balile, Manyerere Jackton, Charles Charles, Muhingo Rweyemamu, Prince Bagenda na Gama wa gazeti la HOJA. Baadhi ya makala huchangiwa na Salva Rweyemamu na Premy Kibanga wa Ikulu na Mbunge wa Kigoma Peter Serukamba ambaye alibubujikwa machozi na kuugua baada ya Lowassa kujiuzulu. Yalianzishwa kwa mtaji wa sh. milioni 300 alizotoa Karamagi kwa niaba ya Lowassa na Rostam, mara baada ya Lowassa kujiuzulu.

    Taarifa ndani ya Chama Tawala zinasema magazeti haya yana baraka zote za Makamba. Ndiyo maana baadhi yake yanahaririwa kwenye ofisi za UVCCM na kwa kutumia kompyuta za jumuiya hiyo.

    Kwa mujibu wa kikao cha KALOKIRO kilichokaa Morogoro hivi karibuni, magazeti hayo yatasaidiwa baadaye (karibu na uchaguzi mkuu) na magazeti ya RAI, MTANZANIA na THE AFRICAN. Mwakani, mtandao huo wa mafisadi unaanzisha kituo cha redio na televisheni. Lengo kuu ni kuwamaliza wote hao kisiasa na kumwinua Lowassa agombee Urais mwaka 2010.

    Matoleo ya wiki mbili zilizopita za magazeti hayo yote yalikuwa na makala za kumsafisha Lowassa na kudai kuwa Sitta anamhujumu JK, Sitta ana lengo la kuhamia CHADEMA, Kimaro kapora shamba la chuo, Mwakyembe ni mkabila, Membe ni mfuasi wa Malecela, JK hana fadhila mfano wa dereva aliyesaidiwa kwa kusukumwa kutoka kwenye matope lakini akakataa kuwabeba waliomsaidia ili wasichafue gari lake n.k. NGOMA IMEANZA, MAKUBWA ZAIDI YAJA!

  2. #21
    JF Senior Expert Member Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough
    Join Date
    Tue Jul 2007
    Posts
    2,392
    Thanks : 70
    Thanked 66 Times in 35 Posts
    Rep Power
    28

    Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

    Quote Originally Posted by Masatu View Post
    Habari ina mapungufu mengi ( half baked ) apart from mfano wa Nape hakuna maelezo na mifano halisi ya mateleo ya magazeti hayo kuonyesha hizo mengine ya "kampeni" za kuwachafua watajwa.

    Kuna baadhi ya watajwa haiingii akilini kutoka na nyadhifa zao kushiriki katika jambo kama hilo, one can understand uhusika wa EL, Karamagi et al lakini Premy na Salva give me a break!
    Maswali makubwa ni je magazeti haya yapo?
    Je hizo habari zenye malengo maalumu zimeisa chapishwa?
    Kama yapo na habari zenye mlengo wa namna hiyo zimeisha chapishwa!...

    kwa vyovyote vile ni mpango maalumu.. ambao watu wamewekeza kwake kwa ajili ya malengo maalumu. na wala sishangai watu hao kuwemo ama kwa kujua kabisa ( kama ilivo kuwa mtandao 2005) ama kutumika bila kujua!

  3. #22
    JF Senior Expert Member Kevo will become famous soon enough Kevo will become famous soon enough Kevo will become famous soon enough Kevo will become famous soon enough Kevo will become famous soon enough Kevo will become famous soon enough Kevo will become famous soon enough Kevo will become famous soon enough Kevo's Avatar
    Join Date
    Thu Jun 2008
    Location
    Around the World
    Posts
    1,310
    Thanks : 1
    Thanked 28 Times in 15 Posts
    Rep Power
    25

    Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

    Thats a very good job wanachokifanya maana yeye JK tumeshamchoka na sasa wao kama hizo akili zao zimeenda likizo wakitegemea tutampigia kura Lowassa then wameshindwa labda atapigiwa kura huko Monduli tuu!
    'I could have annihilated all the Jews in the World,but I left some of them so you will know why I was killing them'-Adolf Hitler;Mien Kampf

  4. #23
    JF Senior Expert Member Tujisenti will become famous soon enough Tujisenti will become famous soon enough Tujisenti will become famous soon enough Tujisenti will become famous soon enough Tujisenti will become famous soon enough Tujisenti will become famous soon enough Tujisenti will become famous soon enough Tujisenti will become famous soon enough
    Join Date
    Wed May 2008
    Posts
    272
    Thanks : 0
    Thanked 7 Times in 6 Posts
    Rep Power
    23

    Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

    Makubwa hayo. Siasa kweli ni mchezo mbaya. Sasa wakina Salva na Makamba vipi tena????????

  5. #24
    JF Senior Expert Member Kevo will become famous soon enough Kevo will become famous soon enough Kevo will become famous soon enough Kevo will become famous soon enough Kevo will become famous soon enough Kevo will become famous soon enough Kevo will become famous soon enough Kevo will become famous soon enough Kevo's Avatar
    Join Date
    Thu Jun 2008
    Location
    Around the World
    Posts
    1,310
    Thanks : 1
    Thanked 28 Times in 15 Posts
    Rep Power
    25

    Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

    Quote Originally Posted by Tujisenti View Post
    Makubwa hayo. Siasa kweli ni mchezo mbaya. Sasa wakina Salva na Makamba vipi tena????????
    Ushauri wa bure nawaomba wafanye haraka wamalizane kweli kweli bila kuoneana huruma maana the better for us spectators!
    'I could have annihilated all the Jews in the World,but I left some of them so you will know why I was killing them'-Adolf Hitler;Mien Kampf

  6. #25
    JF Senior Expert Member Masatu is infamous around these parts
    Join Date
    Mon Jan 2007
    Location
    Mbagala, Jeshini
    Posts
    3,745
    Thanks : 0
    Thanked 96 Times in 68 Posts
    Rep Power
    0

    Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

    Quote Originally Posted by Mpita Njia View Post
    Wanaweza kuwa wanahusika bila wenyewe kujua, kama mabavyo Lizwan alihusika against baba yake bila kujua
    Hao watajwa huwezi kuwafananisha na Ridhwan hata kidogo kuna watu kuchukuliwa msekule lakini sio hizo figure
    Mkulima kala Mbegu......

  7. #26
    JF Premium Member Game Theory is an unknown quantity at this point Game Theory's Avatar
    Join Date
    Tue Sep 2006
    Posts
    7,284
    Thanks : 60
    Thanked 441 Times in 184 Posts
    Rep Power
    20

    Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

    halafu mkishamwondoa JK mnataka kumreplace na nani?

    Dont tell me its Freeman Mbowe/Maalim Sefu/Lupumba/Mrema et al

  8. #27
    JF Senior Expert Member Mr. Zero will become famous soon enough Mr. Zero will become famous soon enough Mr. Zero will become famous soon enough Mr. Zero will become famous soon enough Mr. Zero will become famous soon enough Mr. Zero will become famous soon enough Mr. Zero will become famous soon enough Mr. Zero will become famous soon enough
    Join Date
    Tue Jun 2007
    Posts
    1,331
    Thanks : 39
    Thanked 81 Times in 60 Posts
    Rep Power
    26

    Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

    Vita vya panzi....................!!!! Watatusaidia sana kama ni kweli. Maana Jamaa yetu kazi imemshinda na wala CCM hawana mpango wa kumtosa!!!!!!!!!!!!!!!!!
    "Money never made a man happy yet, nor will it. There is nothing in its nature to produce happiness. The more a man has, the more he wants. Instead of filling a vacuum, it makes one" by --Benjamin Franklin-- scientist, inventor, statesman, printer, philosopher, musician and economist

  9. #28
    JF Senior Expert Member Majita will become famous soon enough Majita will become famous soon enough Majita will become famous soon enough Majita will become famous soon enough Majita will become famous soon enough Majita will become famous soon enough Majita will become famous soon enough Majita will become famous soon enough
    Join Date
    Sun Jan 2008
    Posts
    311
    Thanks : 0
    Thanked 0 Times in 0 Posts
    Rep Power
    23

    Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

    Quote Originally Posted by Game Theory View Post
    halafu mkishamwondoa JK mnataka kumreplace na nani?

    Dont tell me its Freeman Mbowe/Maalim Sefu/Lupumba/Mrema et al
    Kama JK ni Rais basi Mtanzania YEYOTE yule anaweza kuwa rais wa Tanzania.
    Unafikiri kuna mtanzania ambae hajui kupanda ndege tu na kukaa????

  10. #29
    JF Premium Member Game Theory is an unknown quantity at this point Game Theory's Avatar
    Join Date
    Tue Sep 2006
    Posts
    7,284
    Thanks : 60
    Thanked 441 Times in 184 Posts
    Rep Power
    20

    Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

    Quote Originally Posted by Majita View Post
    Kama JK ni Rais basi Mtanzania YEYOTE yule anaweza kuwa rais wa Tanzania.
    Unafikiri kuna mtanzania ambae hajui kupanda ndege tu na kukaa????


    kwa hiyo the right replacement wa JK ni Freeman Mbowe?

  11. #30
    JF Senior Expert Member Majita will become famous soon enough Majita will become famous soon enough Majita will become famous soon enough Majita will become famous soon enough Majita will become famous soon enough Majita will become famous soon enough Majita will become famous soon enough Majita will become famous soon enough
    Join Date
    Sun Jan 2008
    Posts
    311
    Thanks : 0
    Thanked 0 Times in 0 Posts
    Rep Power
    23

    Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

    Quote Originally Posted by Game Theory View Post
    kwa hiyo the right replacement wa JK ni Freeman Mbowe?
    Wewe wasema.
    Mimi nimesema kama JK ni rais wa Tanzania basi Mtanzania yeyote anaweza kuwa Rais wa Tanzania.Kama Mbowe ni chagua lako sikubishii

  12. #31
    JF Premium Member Game Theory is an unknown quantity at this point Game Theory's Avatar
    Join Date
    Tue Sep 2006
    Posts
    7,284
    Thanks : 60
    Thanked 441 Times in 184 Posts
    Rep Power
    20

    Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

    Quote Originally Posted by Majita View Post
    Wewe wasema.
    Mimi nimesema kama JK ni rais wa Tanzania basi Mtanzania yeyote anaweza kuwa Rais wa Tanzania.Kama Mbowe ni chagua lako sikubishii
    Je una maoni gani na Mbowe kuwa Rais wa Tanzania?

    Je atafaa?

  13. #32
    JF Premium Member Kite Munganga will become famous soon enough Kite Munganga will become famous soon enough Kite Munganga will become famous soon enough Kite Munganga will become famous soon enough Kite Munganga will become famous soon enough Kite Munganga will become famous soon enough Kite Munganga will become famous soon enough Kite Munganga will become famous soon enough Kite Munganga's Avatar
    Join Date
    Sun Nov 2006
    Posts
    444
    Thanks : 11
    Thanked 31 Times in 20 Posts
    Rep Power
    24

    Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

    Quote Originally Posted by Majita View Post
    Kama JK ni Rais basi Mtanzania YEYOTE yule anaweza kuwa rais wa Tanzania.
    Unafikiri kuna mtanzania ambae hajui kupanda ndege tu na kukaa????
    Majita wewe mkubwa sasa, jambo linaloongelewa ni muhimu kwa mstakabali wa Nchi yetu na hii ukiangalia kwa mbaaaali unaiona (Kimbari)Mahakama ya kimataifa AICC-Arusha or the Hague!!!

  14. #33
    JF Senior Expert Member Majita will become famous soon enough Majita will become famous soon enough Majita will become famous soon enough Majita will become famous soon enough Majita will become famous soon enough Majita will become famous soon enough Majita will become famous soon enough Majita will become famous soon enough
    Join Date
    Sun Jan 2008
    Posts
    311
    Thanks : 0
    Thanked 0 Times in 0 Posts
    Rep Power
    23

    Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

    Quote Originally Posted by Game Theory View Post
    Je una maoni gani na Mbowe kuwa Rais wa Tanzania?

    Je atafaa?
    Je Mbowe ni Mtanzania??

  15. #34
    JF Senior Expert Member Majita will become famous soon enough Majita will become famous soon enough Majita will become famous soon enough Majita will become famous soon enough Majita will become famous soon enough Majita will become famous soon enough Majita will become famous soon enough Majita will become famous soon enough
    Join Date
    Sun Jan 2008
    Posts
    311
    Thanks : 0
    Thanked 0 Times in 0 Posts
    Rep Power
    23

    Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

    Quote Originally Posted by Kite Munganga View Post
    Majita wewe mkubwa sasa, jambo linaloongelewa ni muhimu kwa mstakabali wa Nchi yetu na hii ukiangalia kwa mbaaaali unaiona (Kimbari)Mahakama ya kimataifa AICC-Arusha or the Hague!!!
    Hapo siioni UNICTR Arusha wala ICTY.Angalia sababu za kutokea kwazo then linganisha na TZ.Kitakachotupeleka ni huko ni hiyo thread ingine hiyo inayoendelea ya vipaza sauti sijui mawaidha TBC 1

  16. #35
    JF Premium Member Dark City will become famous soon enough Dark City will become famous soon enough Dark City will become famous soon enough Dark City will become famous soon enough Dark City will become famous soon enough Dark City will become famous soon enough Dark City will become famous soon enough Dark City will become famous soon enough Dark City's Avatar
    Join Date
    Sat Oct 2008
    Location
    Roaming
    Posts
    2,143
    Thanks : 2,203
    Thanked 890 Times in 526 Posts
    Rep Power
    26

    Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

    Quote Originally Posted by Majita View Post
    Je Mbowe ni Mtanzania??
    Naona kuna watu wanaanza kuingia kwenye mtego wa kupoteza busara kwa kujadili watu badala ya mambo ya maana! Tujadili kwanza issue na si watu (especially hii ya presidential candidate)! Labda kama tunadhani kati ya watu karibia milioni 40 tuliopo Tz hakuna anayefaa kuwa raisi. Mimi naona tujadili kwanza majambo, na baadaye tunaweza kuleta hoja ya kuweka wazi sifa za mtu anayetakiwa kuwa raisi wetu wa 5. Kama hapa kwetu hapatikani basi tutaagiza toka nchi za nje (we will import). Vingevyo kuingiza majina kwenye hoja nyeti kama hii ni kututoa kwenye mstari wa mambo ya maana tunayojadili. Naona hili tatizo linazidi kukua hapa JF ambapo watu wengine wanakuwa na tabia ya kwenda off thread badala ya kuanzisha nyingine zenye mambo wanayoyataka. Ni vizuri tukajitahidi kukomalia issue iliyo kwenye mjadala!

  17. #36
    JF Senior Expert Member Boney E.M. will become famous soon enough Boney E.M. will become famous soon enough Boney E.M. will become famous soon enough Boney E.M. will become famous soon enough Boney E.M. will become famous soon enough Boney E.M. will become famous soon enough Boney E.M. will become famous soon enough Boney E.M. will become famous soon enough
    Join Date
    Mon Jan 2007
    Posts
    259
    Thanks : 0
    Thanked 13 Times in 11 Posts
    Rep Power
    24

    Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

    Katika hali hii na upepo wa kisiasa hatuna budi kukaa macho vinginevyo mamluki wa kisiasa watashika kasi na kutupeleka pabaya. Na inawezekana wakabuni mbinu zingine kama hii imebumburuka. Wana JF tupashane!!!

  18. #37
    Member Mbassa will become famous soon enough Mbassa will become famous soon enough Mbassa will become famous soon enough Mbassa will become famous soon enough Mbassa will become famous soon enough Mbassa will become famous soon enough Mbassa will become famous soon enough Mbassa will become famous soon enough
    Join Date
    Thu Sep 2007
    Posts
    28
    Thanks : 1
    Thanked 1 Time in 1 Post
    Rep Power
    0

    Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

    Hao akina Balile washajulikana nia na madhumuni yao na kila Mtanzaia, so hata kama wataandika vipi kwenye hayo magazeti yao, (niyaite ya UDAKU) lazima hoja zao zitatiliwa mashaka tu. Labda wabadilishe majina.
    Watamsafishaje EL wakati hata wao wenyewe wamechafuka tayari. Wakitaka kumsafisha EL waanze kujisafisha wao wenyewe kwanza.

  19. #38
    JF Senior Expert Member Mwiba is a jewel in the rough Mwiba is a jewel in the rough Mwiba is a jewel in the rough Mwiba is a jewel in the rough Mwiba is a jewel in the rough Mwiba is a jewel in the rough Mwiba is a jewel in the rough Mwiba is a jewel in the rough Mwiba is a jewel in the rough Mwiba is a jewel in the rough Mwiba is a jewel in the rough Mwiba's Avatar
    Join Date
    Tue Oct 2007
    Posts
    3,211
    Thanks : 1
    Thanked 70 Times in 49 Posts
    Rep Power
    70

    Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

    Vita vya panzi hivyo.
    Light travels faster than sound. This is why some people appear bright until you hear them speak.

  20. #39
    JF Senior Expert Member Kuntakinte will become famous soon enough Kuntakinte will become famous soon enough Kuntakinte will become famous soon enough Kuntakinte will become famous soon enough Kuntakinte will become famous soon enough Kuntakinte will become famous soon enough Kuntakinte will become famous soon enough Kuntakinte will become famous soon enough Kuntakinte's Avatar
    Join Date
    Sat May 2007
    Location
    Matombo, Morogoro
    Posts
    792
    Thanks : 12
    Thanked 4 Times in 3 Posts
    Rep Power
    25

    Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

    Hivi JF hatuwezi kuja na gazeti letu jamani na likafika mpk Ndanda, Kigonsela na kwingineko ndani ndani ya nchi ili wananchi waweze kujua nini kinaendelea maana naona Vyama vya Upinzani vimechemsha kufikisha ujumbe au yawezekana wanaonekana wote njaa za madaraka.

    Mimi naamini kila nchi wasomi huwa wanaaminiwa sana hasa kwa wale wenzetu walioko nje ya nchi na tathmini zao.

    Please, JF Admn naomba kama kuna mpango wowote kuhusiana na hili, Binafsi nipo tayari kuchangia gharama.
    "Mwisho wa ubaya Aibu"

  21. #40
    JF Premium Member Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough
    Join Date
    Thu Mar 2006
    Location
    T dot
    Posts
    8,247
    Thanks : 1,192
    Thanked 1,924 Times in 845 Posts
    Rep Power
    82

    Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

    Wanabodi,
    Mimi siwezi kushangaa kabisa uwezo wa Mdanganyika kusaliti tajiri (Muajiri)wake... Salva anaweza kabisa kuwa na sura mbili ni hulka ya Wadanganyika inapofikia swala la Mshiko, wala haina Ubishi..Ni sawa kabisa na Ufisadi, rushwa na kadhalika...
    Hapa hapa JF kabla ikiitwa Jambo forums kuna watu walikuwa humu humu tena wachangiaji wakubwa wakaanzisha usaliti na hata kumweka ndugu yetu Invisible ktk matatizo..wengine walisherehekea kufungwa kwa JF, leo vipi iwe ajabu kuona Salva yumo katika kundi la RA?... kumbukeni hawa wote walikuwa na JK toka achuke madarakani, tofauti zao zimejitokeza tu pale EL na mafisadi wengine walipochujwa...na kikubwa zaidi, asilimia 80 ya waasisi wa Mtandao wamepigwa chini... hiyo 20 iliyobakia lazima bado kuna Pumba..
    Exploration of reality


 
+ Reply to Topic
Page 2 of 7 FirstFirst 1 2 3 4 ... LastLast

Topic Information

Users Browsing this Topic

There are currently 1 users browsing this thread. (0 members and 1 guests)

     

Tags for this Topic

Bookmarks

Posting Permissions

  • You may not post new threads
  • You may not post replies
  • You may not post attachments
  • You may not edit your posts