Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK - Page 2 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Jukwaa la Siasa


Jukwaa la Siasa Tanzania & World Politics General Discussion Forum. You need to be registered in order to post your comment(s)


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 17th November 2008, 01:58 AM  
Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK
LazaroSMtindi LazaroSMtindi is offline 17th November 2008, 01:58 AM


Kampeni ya kummaliza kisiasa JK, Spika na wabunge kadhaa "wakorofi", imeanzishwa rasmi na Karamagi & Co. (Lowassa na Rostam) kupitia magazeti yao maalum ya AHSUBUHI NJEMA, TAZAMA, NYUNDO, TAIFA NA UMMA. Nia ni kuhakikisha JK anakuwa Rais kwa muhula moja tu na Spika Samuel Sitta na wabunge "wakorofi" hawarudi Bungeni mwaka 2010.

Magazeti hayo ambayo huchapishwa kila siku ya kazi kwa mpangilio, toka Jumatatu hadi Ijumaa, yanabeba ujumbe mahsusi wa ushawishi kwa umma kwamba: JK hana shukrani, kawatosa rafiki zake na kuwakumbatia "maadui"; Membe ni msaliti na anampotosha JK; Lowassa ni kiongozi safi na bora ambaye alionewa tu na Kamati ya Dk. Mwakyembe; bila Lowassa, Rostam, Karamagi, Makamba, Kingunge na wanamtandao wengine, JK hashindi uchaguzi wa 2010; Spika Sitta, Naibu Spika Anne Makinda na wabunge "wakorofi" wa CCM akina Anne Kilango, Mwakyembe, Selelii, Manyanya, Ole Sendeka, Kimaro, Zambi, Nkumba, Mpendazoe, Shellukindo (Bw. & Bi.), Mpesya, Ruth Msafiri na Nyalandu, ni wapinzani wa Serikali ya Awamu ya Nne.

Magazeti haya yanahaririwa na waandishi walewale mamluki: Deodatus Balile, Manyerere Jackton, Charles Charles, Muhingo Rweyemamu, Prince Bagenda na Gama wa gazeti la HOJA. Baadhi ya makala huchangiwa na Salva Rweyemamu na Premy Kibanga wa Ikulu na Mbunge wa Kigoma Peter Serukamba ambaye alibubujikwa machozi na kuugua baada ya Lowassa kujiuzulu. Yalianzishwa kwa mtaji wa sh. milioni 300 alizotoa Karamagi kwa niaba ya Lowassa na Rostam, mara baada ya Lowassa kujiuzulu.

Taarifa ndani ya Chama Tawala zinasema magazeti haya yana baraka zote za Makamba. Ndiyo maana baadhi yake yanahaririwa kwenye ofisi za UVCCM na kwa kutumia kompyuta za jumuiya hiyo.

Kwa mujibu wa kikao cha KALOKIRO kilichokaa Morogoro hivi karibuni, magazeti hayo yatasaidiwa baadaye (karibu na uchaguzi mkuu) na magazeti ya RAI, MTANZANIA na THE AFRICAN. Mwakani, mtandao huo wa mafisadi unaanzisha kituo cha redio na televisheni. Lengo kuu ni kuwamaliza wote hao kisiasa na kumwinua Lowassa agombee Urais mwaka 2010.

Matoleo ya wiki mbili zilizopita za magazeti hayo yote yalikuwa na makala za kumsafisha Lowassa na kudai kuwa Sitta anamhujumu JK, Sitta ana lengo la kuhamia CHADEMA, Kimaro kapora shamba la chuo, Mwakyembe ni mkabila, Membe ni mfuasi wa Malecela, JK hana fadhila mfano wa dereva aliyesaidiwa kwa kusukumwa kutoka kwenye matope lakini akakataa kuwabeba waliomsaidia ili wasichafue gari lake n.k. NGOMA IMEANZA, MAKUBWA ZAIDI YAJA!

LazaroSMtindi
Senior Member
Points: 5,119,422, Level: 100 Points: 5,119,422, Level: 100 Points: 5,119,422, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
Join Date: Tue May 2008
Posts: 79
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Views: 7161
Reply With Quote
  #11  
Old 17th November 2008, 08:39 AM
Lorah Lorah is offline
Lorah has no status.
Senior Member
Points: 70,926, Level: 100 Points: 70,926, Level: 100 Points: 70,926, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Fri Aug 2008
Posts: 166
Thanks: 5
Thanked 5 Times in 4 Posts
Rep Power: 22
Lorah will become famous soon enoughLorah will become famous soon enoughLorah will become famous soon enoughLorah will become famous soon enoughLorah will become famous soon enoughLorah will become famous soon enoughLorah will become famous soon enoughLorah will become famous soon enough
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya karamagi & co. Dhidi ya jk

Quote:
View Post
Mkuu umepiga ndipo! Umelonga kiuelewa. Umenikuna. Hawa watu hawahitaji fedha za mauzo za magazeti yao hayo ya udaku ambayo story zake nyingi ni za ubabaishaji tu. Wao wanauza message na soko lao kubwa ni Dar es Salaam. Fedha ya mauzo ni kwa ajili ya mamluki wao akina Prince Bagenda, Manyerere, Balile, na Muhingo. Magazeti haya yana kazi maalumu. Kwa mfano, gazeti la Nyundo lilipewa kazi moja tu kufanya: kumbomoa huyu kijana Nape kwa kumzulia kila jambo: si mtoto wa Nnauye, mpenda madaraka, mpuuzi, umri mkubwa utadhani Nchimbi ni teenager n.k. Kazi imefanyika, sasa gazeti hilo limesimama kidogo kusubiri assignment nyingine. TAIFA kazi kubwa ni kuwabamiza mastaa wa Mbeya na Kilimanjaro: Kimaro, Mwandosya, Kilango, Mwakyembe n.k. ndiyo maana magazeti mengi ya TAIFA yanauzwa Dar es Salaam, Mbeya na Kilimanjaro. Mkuchika aliingizwa mkenge na Salva na RA kuifungia MwanaHalisi. Walimpa shinikizo kubwa na kumpelekea ujumbe wa siri kuwa kabla ya kuwa Waziri alikuwa mfadhili wa MwanaHalisi. Of course huo ni uongo mkubwa, blackmail tupu. Lakini imefanyakazi.





hahahahahaha! Uzuri JK nae anajua ukizoea kula vya wenzako nawe ukubali kuliwa.........................................., hapo ndipo
Reply With Quote
  #12  
Old 17th November 2008, 08:45 AM
WildCard WildCard is offline
WildCard has no status.
JF Premium Member
Points: 117,609, Level: 100 Points: 117,609, Level: 100 Points: 117,609, Level: 100
Activity: 14% Activity: 14% Activity: 14%
 
Join Date: Tue Apr 2008
Posts: 1,466
Thanks: 38
Thanked 301 Times in 180 Posts
Rep Power: 24
WildCard will become famous soon enoughWildCard will become famous soon enoughWildCard will become famous soon enoughWildCard will become famous soon enoughWildCard will become famous soon enoughWildCard will become famous soon enoughWildCard will become famous soon enoughWildCard will become famous soon enough
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya karamagi & co. Dhidi ya jk

Quote:
View Post

...hizi taarifa hapa tunazo kitambo.....na ukweli ni kuwa haya magazeti ,tv,na redio vyote vilikuwa tayari kwenda hewani miezi sita iliyopita...lakini vilikatishwa na moto wa ajabu uliounguza WASHIRIKA BUILDING.....mkurugenzi walikuwa wamempachika PRINCE BAGENDA...tunahisi kuwa moto uliounguza washirika building ulichomwa na personal intelligence wa kikwete ili kupunguza speed ya haya magazeti...........nadhani wamejipanga upya..

kaka wild hawa watu wana pesa hawategemei mauzo ya issues ili waendelee .....siunaona RAI haliuzi lakini hawatetereki......
PM,
Ninaposema hayauziki nina maana pia kwamba hayana wasomaji. Wakianzisha TV na Radio hapo hayo wanayotaka yawafikie watu wengi yatafika. Bahati nzuri ni kuwa wanajulikana kuwa ni watu hatari sio tu kwa ustawi na uchumi wa nchi yetu, bali hata kwa USALAMA na AMANI iliyopo. Walishindwa kumbakiza EL kwenye u-PM, hawataweza na majaribio mengine wanayo/watakayo fanya.
Reply With Quote
  #13  
Old 17th November 2008, 09:49 AM
Congo Congo is offline
Congo has no status.
Senior Member
Points: 94,621, Level: 100 Points: 94,621, Level: 100 Points: 94,621, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Thu Mar 2008
Posts: 203
Thanks: 14
Thanked 22 Times in 14 Posts
Rep Power: 22
Congo will become famous soon enoughCongo will become famous soon enoughCongo will become famous soon enoughCongo will become famous soon enoughCongo will become famous soon enoughCongo will become famous soon enoughCongo will become famous soon enoughCongo will become famous soon enough
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya karamagi & co. Dhidi ya jk

Quote:
View Post

.....................Magazeti haya yanahaririwa na waandishi walewale mamluki: Deodatus Balile, Manyerere Jackton, Charles Charles, Muhingo Rweyemamu, Prince Bagenda na Gama wa gazeti la HOJA. Baadhi ya makala huchangiwa na Salva Rweyemamu na Premy Kibanga wa Ikulu na Mbunge wa Kigoma Peter Serukamba ambaye ...............................
What? Huyu wa Ikulu au mwingine? Mbona inanichanganya. Awe ndumila kuwili kiasi hicho? Naomba kuelemishwa.
Reply With Quote
  #14  
Old 17th November 2008, 10:25 AM
Ibrah's Avatar
Ibrah Ibrah is offline
Ibrah has no status.
JF Premium Member
Points: 590,543, Level: 100 Points: 590,543, Level: 100 Points: 590,543, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Thu Mar 2007
Location: TZ
Posts: 1,259
Thanks: 79
Thanked 79 Times in 47 Posts
Rep Power: 25
Ibrah will become famous soon enoughIbrah will become famous soon enoughIbrah will become famous soon enoughIbrah will become famous soon enoughIbrah will become famous soon enoughIbrah will become famous soon enoughIbrah will become famous soon enoughIbrah will become famous soon enough
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya karamagi & co. Dhidi ya jk

Quote:
View Post
Kampeni ya kummaliza kisiasa JK, Spika na wabunge kadhaa "wakorofi", imeanzishwa rasmi na Karamagi & Co. (Lowassa na Rostam) kupitia magazeti yao maalum ya AHSUBUHI NJEMA, TAZAMA, NYUNDO, TAIFA NA UMMA. Nia ni kuhakikisha JK anakuwa Rais kwa muhula moja tu na Spika Samuel Sitta na wabunge "wakorofi" hawarudi Bungeni mwaka 2010.

Magazeti hayo ambayo huchapishwa kila siku ya kazi kwa mpangilio, toka Jumatatu hadi Ijumaa, yanabeba ujumbe mahsusi wa ushawishi kwa umma kwamba: JK hana shukrani, kawatosa rafiki zake na kuwakumbatia "maadui"; Membe ni msaliti na anampotosha JK; Lowassa ni kiongozi safi na bora ambaye alionewa tu na Kamati ya Dk. Mwakyembe; bila Lowassa, Rostam, Karamagi, Makamba, Kingunge na wanamtandao wengine, JK hashindi uchaguzi wa 2010; Spika Sitta, Naibu Spika Anne Makinda na wabunge "wakorofi" wa CCM akina Anne Kilango, Mwakyembe, Selelii, Manyanya, Ole Sendeka, Kimaro, Zambi, Nkumba, Mpendazoe, Shellukindo (Bw. & Bi.), Mpesya, Ruth Msafiri na Nyalandu, ni wapinzani wa Serikali ya Awamu ya Nne.

Magazeti haya yanahaririwa na waandishi walewale mamluki: Deodatus Balile, Manyerere Jackton, Charles Charles, Muhingo Rweyemamu, Prince Bagenda na Gama wa gazeti la HOJA. Baadhi ya makala huchangiwa na Salva Rweyemamu na Premy Kibanga wa Ikulu na Mbunge wa Kigoma Peter Serukamba ambaye alibubujikwa machozi na kuugua baada ya Lowassa kujiuzulu. Yalianzishwa kwa mtaji wa sh. milioni 300 alizotoa Karamagi kwa niaba ya Lowassa na Rostam, mara baada ya Lowassa kujiuzulu.

Taarifa ndani ya Chama Tawala zinasema magazeti haya yana baraka zote za Makamba. Ndiyo maana baadhi yake yanahaririwa kwenye ofisi za UVCCM na kwa kutumia kompyuta za jumuiya hiyo.

Kwa mujibu wa kikao cha KALOKIRO kilichokaa Morogoro hivi karibuni, magazeti hayo yatasaidiwa baadaye (karibu na uchaguzi mkuu) na magazeti ya RAI, MTANZANIA na THE AFRICAN. Mwakani, mtandao huo wa mafisadi unaanzisha kituo cha redio na televisheni. Lengo kuu ni kuwamaliza wote hao kisiasa na kumwinua Lowassa agombee Urais mwaka 2010.

Matoleo ya wiki mbili zilizopita za magazeti hayo yote yalikuwa na makala za kumsafisha Lowassa na kudai kuwa Sitta anamhujumu JK, Sitta ana lengo la kuhamia CHADEMA, Kimaro kapora shamba la chuo, Mwakyembe ni mkabila, Membe ni mfuasi wa Malecela, JK hana fadhila mfano wa dereva aliyesaidiwa kwa kusukumwa kutoka kwenye matope lakini akakataa kuwabeba waliomsaidia ili wasichafue gari lake n.k. NGOMA IMEANZA, MAKUBWA ZAIDI YAJA!

Duh! Magazeti hayo hayapatikani nje ya Dar? Sisi tulio bara tutapataje maana sijawahi kuyaona isipokuwa TAZAMA ambalo kwa kweli limekuwepo kwa miaka hata kabla ya hiyo mitandao ya uchaguzo wa 2005!

Sasa mbona baadhi ya waandishi ni waajiriwa na waandishi wa magazeti ambayo hayajatajwa hapo kama vile Balile (New Habari Coopration-RAI) na Muhingo ambaye ni Mhariri wa Rai? Au Mkuu unataka kutuambia kuwa hayo magazeti uliyoyataja hapo pia ni mali ya New Habari Corporation? Tujuze zaidi Mtindi.
__________________
"Then you will know the truth, and the truth will set you free; I am the way, the truth and the life." Jn 8:32; 14:6
Reply With Quote
  #15  
Old 17th November 2008, 10:59 AM
Kakalende's Avatar
Kakalende Kakalende is online now
Kakalende just around
JF Senior Expert Member
Points: 429,306, Level: 100 Points: 429,306, Level: 100 Points: 429,306, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Fri Dec 2006
Location: Itoma
Posts: 1,141
Thanks: 26
Thanked 33 Times in 17 Posts
Rep Power: 26
Kakalende will become famous soon enoughKakalende will become famous soon enoughKakalende will become famous soon enoughKakalende will become famous soon enoughKakalende will become famous soon enoughKakalende will become famous soon enoughKakalende will become famous soon enoughKakalende will become famous soon enough
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya karamagi & co. Dhidi ya jk

Quote:
View Post
Sioni kitu gani EL anaweza kutufanyia akiwa raisi. Itakuwa ni sherehe (party) ya mbwa mwitu wenye njaa kuwararua mbuzi (WaTz) wasio na hatia (poor naive Tzn)! We should not (by hooks and crooks) let this happen.
Hawa wanajaribu kumsumbua JK na kuifaya kazi yake iwe ngumu, lakini ukweli uko palepale kwamba kelele tunazopiga dhidi ya mafisadi wananchi wanaanza kuelewa, huwezi kuamini kuwa hadi vijijini wananchi wanafahamu ubaradhuli uliofanywa na mafisadi hawa. Hamtaamini nikiwaeleza kuwa baadhi yao mafisadi hawa hawana uhakika na ubunge 2010? ukifika majimboni, pamoja na pesa waliyo nayo, watu wengi wanapanga kuitafuna na kuwakataa vile vile.

Bado najaribu kufikiria hiyo sherehe ya mbwa mwitu itakavyokuwa iwapo watshinda 2010?
Reply With Quote
  #16  
Old 17th November 2008, 11:55 AM
FairPlayer's Avatar
FairPlayer FairPlayer is offline
FairPlayer is rolling ball fairly
JF Premium Member
Points: 721,188, Level: 100 Points: 721,188, Level: 100 Points: 721,188, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Mon Feb 2006
Location: UK
Posts: 3,359
Thanks: 50
Thanked 178 Times in 121 Posts
Rep Power: 30
FairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enough
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

Mmhhhh Hii habari kama vile JK ameandaa watu kumuonea huruma vile?....

Sio propaganda kweli hii jamani?
__________________
A positive thinker!
Reply With Quote
  #17  
Old 17th November 2008, 12:02 PM
Masatu Masatu is offline
Masatu Is Magumashi
JF Senior Expert Member
Points: 733,039, Level: 100 Points: 733,039, Level: 100 Points: 733,039, Level: 100
Activity: 4% Activity: 4% Activity: 4%
 
Join Date: Mon Jan 2007
Location: Mbagala, Jeshini
Posts: 3,741
Thanks: 0
Thanked 88 Times in 66 Posts
Rep Power: 0
Masatu is infamous around these parts
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

Habari ina mapungufu mengi ( half baked ) apart from mfano wa Nape hakuna maelezo na mifano halisi ya mateleo ya magazeti hayo kuonyesha hizo "kampeni" za kuwachafua watajwa.

Kuna baadhi ya watajwa haiingii akilini kutokana na nyadhifa zao kushiriki katika jambo kama hilo, one can understand uhusika wa EL, Karamagi et al lakini Premy na Salva give me a break!
__________________
Mkulima kala Mbegu......

Last edited by Masatu; 17th November 2008 at 01:15 PM..
Reply With Quote
  #18  
Old 17th November 2008, 12:23 PM
FairPlayer's Avatar
FairPlayer FairPlayer is offline
FairPlayer is rolling ball fairly
JF Premium Member
Points: 721,188, Level: 100 Points: 721,188, Level: 100 Points: 721,188, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Mon Feb 2006
Location: UK
Posts: 3,359
Thanks: 50
Thanked 178 Times in 121 Posts
Rep Power: 30
FairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enough
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

Masatu;

Kumbe nawe umeona eeeeh?

Kazi ipo humu JF!
__________________
A positive thinker!
Reply With Quote
  #19  
Old 17th November 2008, 12:32 PM
Fidel80's Avatar
Fidel80 Fidel80 is offline
Fidel80 > Muosha huoshwa
JF Premium Member
Points: 796,676, Level: 100 Points: 796,676, Level: 100 Points: 796,676, Level: 100
Activity: 100% Activity: 100% Activity: 100%
 
Join Date: Sat May 2008
Location: UVUNGUNI
Posts: 7,283
Thanks: 493
Thanked 936 Times in 644 Posts
Rep Power: 36
Fidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enough
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

Quote:
View Post
Habari ina mapungufu mengi ( half baked ) apart from mfano wa Nape hakuna maelezo na mifano halisi ya mateleo ya magazeti hayo kuonyesha hizo mengine ya "kampeni" za kuwachafua watajwa.

Kuna baadhi ya watajwa haiingii akilini kutoka na nyadhifa zao kushiriki katika jambo kama hilo, one can understand uhusika wa EL, Karamagi et al lakini Premy na Salva give me a break!
Mkuu we endelea kuwa TOMASO lakini itafika kipindi unaweza ukaja na kauli ya hii habari kuwa breaking news wakati ilisha julikana tayari hapo.
Cha mhimu kama huamini uanze kujifanyia kautafiti kimya kimya.
Lakini ukiangalia vimagazeti hivi vinavyo anzishwa kama uyoga ndo kazi yake hiyo.Kwa mfano kuna kigazeti kimoja hivi nafikiri kinaitwa Vioja kama sijakosea hiki kigazeti kina utamaduni wa kuwaponda ze Orijino Comedi sasa sielewi ni cha hawa jamaa EATV au lah maana kila tokeo chenyewe na akina Masanja,Joti n.k hata hayo aliyo taja mkuu hapo juu nayo hivyo hivyo yanawachamba watu kadhaa.
__________________
Ukiuza utumbo usiogope nzi.
Chuda Raha

Email: fidel80@jamiiforums.com
Reply With Quote
  #20  
Old 17th November 2008, 12:35 PM
Mpita Njia Mpita Njia is offline
Mpita Njia has no status.
JF Premium Member
Points: 738,469, Level: 100 Points: 738,469, Level: 100 Points: 738,469, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Mon Mar 2008
Posts: 3,143
Thanks: 79
Thanked 89 Times in 58 Posts
Rep Power: 29
Mpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enough
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

Quote:
View Post
Habari ina mapungufu mengi ( half baked ) apart from mfano wa Nape hakuna maelezo na mifano halisi ya mateleo ya magazeti hayo kuonyesha hizo mengine ya "kampeni" za kuwachafua watajwa.

Kuna baadhi ya watajwa haiingii akilini kutoka na nyadhifa zao kushiriki katika jambo kama hilo, one can understand uhusika wa EL, Karamagi et al lakini Premy na Salva give me a break!
Wanaweza kuwa wanahusika bila wenyewe kujua, kama mabavyo Lizwan alihusika against baba yake bila kujua
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
dhidi, jk, kampeni, karamagi, magazeti, mapya


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Lazima tuwekane sawa kuhusu UKIMWI Shy JF Doctor 139 18th June 2009 03:00 PM
Karamagi na wanasheria wake watupiana mpira kuhusu tuhuma za ufisadi. Lawson Jukwaa la Siasa 4 12th November 2007 11:12 AM
Kampeni dhidi ya Mkapa asishinde Tuzo ya uongozi bora Mwafrika wa Kike Celebrities Forum 127 23rd October 2007 01:54 PM
Karamagi anasafiri na mihuri yetu? Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Siasa 13 20th August 2007 10:19 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 07:40 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com