Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK - Page 13 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Jukwaa la Siasa


Jukwaa la Siasa Tanzania & World Politics General Discussion Forum. You need to be registered in order to post your comment(s)


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 17th November 2008, 12:58 AM  
Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK
LazaroSMtindi LazaroSMtindi is offline 17th November 2008, 12:58 AM


Kampeni ya kummaliza kisiasa JK, Spika na wabunge kadhaa "wakorofi", imeanzishwa rasmi na Karamagi & Co. (Lowassa na Rostam) kupitia magazeti yao maalum ya AHSUBUHI NJEMA, TAZAMA, NYUNDO, TAIFA NA UMMA. Nia ni kuhakikisha JK anakuwa Rais kwa muhula moja tu na Spika Samuel Sitta na wabunge "wakorofi" hawarudi Bungeni mwaka 2010.

Magazeti hayo ambayo huchapishwa kila siku ya kazi kwa mpangilio, toka Jumatatu hadi Ijumaa, yanabeba ujumbe mahsusi wa ushawishi kwa umma kwamba: JK hana shukrani, kawatosa rafiki zake na kuwakumbatia "maadui"; Membe ni msaliti na anampotosha JK; Lowassa ni kiongozi safi na bora ambaye alionewa tu na Kamati ya Dk. Mwakyembe; bila Lowassa, Rostam, Karamagi, Makamba, Kingunge na wanamtandao wengine, JK hashindi uchaguzi wa 2010; Spika Sitta, Naibu Spika Anne Makinda na wabunge "wakorofi" wa CCM akina Anne Kilango, Mwakyembe, Selelii, Manyanya, Ole Sendeka, Kimaro, Zambi, Nkumba, Mpendazoe, Shellukindo (Bw. & Bi.), Mpesya, Ruth Msafiri na Nyalandu, ni wapinzani wa Serikali ya Awamu ya Nne.

Magazeti haya yanahaririwa na waandishi walewale mamluki: Deodatus Balile, Manyerere Jackton, Charles Charles, Muhingo Rweyemamu, Prince Bagenda na Gama wa gazeti la HOJA. Baadhi ya makala huchangiwa na Salva Rweyemamu na Premy Kibanga wa Ikulu na Mbunge wa Kigoma Peter Serukamba ambaye alibubujikwa machozi na kuugua baada ya Lowassa kujiuzulu. Yalianzishwa kwa mtaji wa sh. milioni 300 alizotoa Karamagi kwa niaba ya Lowassa na Rostam, mara baada ya Lowassa kujiuzulu.

Taarifa ndani ya Chama Tawala zinasema magazeti haya yana baraka zote za Makamba. Ndiyo maana baadhi yake yanahaririwa kwenye ofisi za UVCCM na kwa kutumia kompyuta za jumuiya hiyo.

Kwa mujibu wa kikao cha KALOKIRO kilichokaa Morogoro hivi karibuni, magazeti hayo yatasaidiwa baadaye (karibu na uchaguzi mkuu) na magazeti ya RAI, MTANZANIA na THE AFRICAN. Mwakani, mtandao huo wa mafisadi unaanzisha kituo cha redio na televisheni. Lengo kuu ni kuwamaliza wote hao kisiasa na kumwinua Lowassa agombee Urais mwaka 2010.

Matoleo ya wiki mbili zilizopita za magazeti hayo yote yalikuwa na makala za kumsafisha Lowassa na kudai kuwa Sitta anamhujumu JK, Sitta ana lengo la kuhamia CHADEMA, Kimaro kapora shamba la chuo, Mwakyembe ni mkabila, Membe ni mfuasi wa Malecela, JK hana fadhila mfano wa dereva aliyesaidiwa kwa kusukumwa kutoka kwenye matope lakini akakataa kuwabeba waliomsaidia ili wasichafue gari lake n.k. NGOMA IMEANZA, MAKUBWA ZAIDI YAJA!

LazaroSMtindi
Senior Member
Points: 5,119,422, Level: 100 Points: 5,119,422, Level: 100 Points: 5,119,422, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
Join Date: Tue May 2008
Posts: 79
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Views: 7193
Reply With Quote
  #121  
Old 1st January 2009, 01:05 AM
Chuma Chuma is offline
Chuma has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 290,413, Level: 100 Points: 290,413, Level: 100 Points: 290,413, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Mon Dec 2006
Posts: 1,283
Thanks: 15
Thanked 38 Times in 23 Posts
Rep Power: 26
Chuma will become famous soon enoughChuma will become famous soon enoughChuma will become famous soon enoughChuma will become famous soon enoughChuma will become famous soon enoughChuma will become famous soon enoughChuma will become famous soon enoughChuma will become famous soon enough
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

Wanaoleta Hoja za Sangoma wameishiwa na Hoja...na wanaharibu credibility yao ya mudamrefu hapa Jamvini...Kama Sangoma unawakubali na wewe kawatafute wako wamshinde wa Mpinzani wako...otherwise stop hoja MFU...
Reply With Quote
  #122  
Old 1st January 2009, 03:23 AM
Mtarajiwa Mtarajiwa is offline
Mtarajiwa has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 93,096, Level: 100 Points: 93,096, Level: 100 Points: 93,096, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Fri Feb 2008
Posts: 440
Thanks: 2
Thanked 21 Times in 14 Posts
Rep Power: 23
Mtarajiwa will become famous soon enoughMtarajiwa will become famous soon enoughMtarajiwa will become famous soon enoughMtarajiwa will become famous soon enoughMtarajiwa will become famous soon enoughMtarajiwa will become famous soon enoughMtarajiwa will become famous soon enoughMtarajiwa will become famous soon enough
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

Duh yani zama hizi tunazoishi bado kuna watu wanaamini sangoma?Halafu wengine ni wasomi wazuri tu na walishakaa nje wana exposure nzuri lakini bado wanakwenda kuongopewa na waganga wa kienyeji.
Wakuu acheni fikra finyu wakuu.Hakuna mganga wa kienyeji atakayefanikisha mambo yako.
Reply With Quote
  #123  
Old 13th January 2009, 01:04 PM
KadushiK's Avatar
KadushiK KadushiK is offline
KadushiK has no status.
Senior Member
Points: 81,291, Level: 100 Points: 81,291, Level: 100 Points: 81,291, Level: 100
Activity: 6% Activity: 6% Activity: 6%
 
Join Date: Fri Jan 2009
Posts: 247
Thanks: 5
Thanked 23 Times in 16 Posts
Rep Power: 22
KadushiK will become famous soon enoughKadushiK will become famous soon enoughKadushiK will become famous soon enoughKadushiK will become famous soon enoughKadushiK will become famous soon enoughKadushiK will become famous soon enoughKadushiK will become famous soon enoughKadushiK will become famous soon enough
Exclamation MENGI v/s CHECHE?

Jana kwenye ITV nimemsikia Mzee Mengi analaani kuibuka kwa vijigazeti peperushi mtaani ambavyo vinatumiwa na wanasiasa au mafisadi, je anamaanisha pamoja na CHECHE? Nijuavyo mie gazeti peperushi CHECHE mtaani kinapendwa sana hasa na vijana na wazee wakereketwa na nchi yao leo iweje Mengi akiponde kijarida mwanana? au kuna vijarida vingine mitaani ambavyo sie wengine hatuvijui? Nawasilisha nipate elimishwa!
Reply With Quote
  #124  
Old 13th January 2009, 01:09 PM
Allien's Avatar
Allien Allien is offline
Allien Alien
JF Premium Member
Points: 388,856, Level: 100 Points: 388,856, Level: 100 Points: 388,856, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sun Jul 2008
Posts: 450
Thanks: 5
Thanked 2 Times in 2 Posts
Rep Power: 62
Allien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the rough
Default Re: MENGI v/s CHECHE?

Mkuu!
Ulimsikiliza vizuri kweli? Mbona mimi sikusikia neno Vijarida?

Au ndo kunogesha Gumzo la Mengi V/S Anything which goes?

Kazi kweli kweli!
Reply With Quote
  #125  
Old 13th January 2009, 01:14 PM
Halisi's Avatar
Halisi Halisi is offline
Halisi is for REAL!
JF Premium Member
Points: 2,152,118, Level: 100 Points: 2,152,118, Level: 100 Points: 2,152,118, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Jan 2007
Posts: 2,206
Thanks: 137
Thanked 147 Times in 44 Posts
Rep Power: 28
Halisi will become famous soon enoughHalisi will become famous soon enoughHalisi will become famous soon enoughHalisi will become famous soon enoughHalisi will become famous soon enoughHalisi will become famous soon enoughHalisi will become famous soon enoughHalisi will become famous soon enough
Default Re: MENGI v/s CHECHE?

Quote:
View Post
Jana kwenye ITV nimemsikia Mzee Mengi analaani kuibuka kwa vijigazeti peperushi mtaani ambavyo vinatumiwa na wanasiasa au mafisadi, je anamaanisha pamoja na CHECHE? Nijuavyo mie gazeti peperushi CHECHE mtaani kinapendwa sana hasa na vijana na wazee wakereketwa na nchi yao leo iweje Mengi akiponde kijarida mwanana? au kuna vijarida vingine mitaani ambavyo sie wengine hatuvijui? Nawasilisha nipate elimishwa!
Bahati mbaya sana hukusikiliza kwa makini, lakini kwa kuwa nilikuwapo katika uzinduzi wa kijitabu cha "Uhuru Gerezani, Siku 90 za kufungiwa mwanahalisi", kwanza kabisa Mengi alinukuu Jamiiforums kwa kusema "katika mtandao wa jamiiforums kuna vijarida kama vipeperushi ambavyo ninatumiwa na mafisadi" naamini alinukuu hii hapa

http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la...a-kikwete.html

Kwa hiyo naona ume-miss point hapa kuhusisha Cheche kwani Cheche haijawahi kutuhumiwa na jamiiforums na halijawahi kuwatetea mafisadi na kuwashambuliwa wengine
Reply With Quote
  #126  
Old 13th January 2009, 01:17 PM
Kandambilimbili's Avatar
Kandambilimbili Kandambilimbili is offline
Kandambilimbili Unbiased
JF Premium Member
Points: 192,160, Level: 100 Points: 192,160, Level: 100 Points: 192,160, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Tue Nov 2008
Location: MGONGONI KWAKO
Posts: 742
Thanks: 11
Thanked 36 Times in 21 Posts
Rep Power: 23
Kandambilimbili will become famous soon enoughKandambilimbili will become famous soon enoughKandambilimbili will become famous soon enoughKandambilimbili will become famous soon enoughKandambilimbili will become famous soon enoughKandambilimbili will become famous soon enoughKandambilimbili will become famous soon enoughKandambilimbili will become famous soon enough
Default Re: MENGI v/s CHECHE?

Quote:
View Post
jana kwenye itv nimemsikia mzee mengi analaani kuibuka kwa vijigazeti peperushi mtaani ambavyo vinatumiwa na wanasiasa au mafisadi, je anamaanisha pamoja na cheche? Nijuavyo mie gazeti peperushi cheche mtaani kinapendwa sana hasa na vijana na wazee wakereketwa na nchi yao leo iweje mengi akiponde kijarida mwanana? Au kuna vijarida vingine mitaani ambavyo sie wengine hatuvijui? Nawasilisha nipate elimishwa!
naogopa kucomment.
Reply With Quote
  #127  
Old 13th January 2009, 01:52 PM
Kandambilimbili's Avatar
Kandambilimbili Kandambilimbili is offline
Kandambilimbili Unbiased
JF Premium Member
Points: 192,160, Level: 100 Points: 192,160, Level: 100 Points: 192,160, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Tue Nov 2008
Location: MGONGONI KWAKO
Posts: 742
Thanks: 11
Thanked 36 Times in 21 Posts
Rep Power: 23
Kandambilimbili will become famous soon enoughKandambilimbili will become famous soon enoughKandambilimbili will become famous soon enoughKandambilimbili will become famous soon enoughKandambilimbili will become famous soon enoughKandambilimbili will become famous soon enoughKandambilimbili will become famous soon enoughKandambilimbili will become famous soon enough
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

Quote:
View Post
kampeni ya kummaliza kisiasa jk, spika na wabunge kadhaa "wakorofi", imeanzishwa rasmi na karamagi & co. (lowassa na rostam) kupitia magazeti yao maalum ya ahsubuhi njema, tazama, nyundo, taifa na umma. Nia ni kuhakikisha jk anakuwa rais kwa muhula moja tu na spika samuel sitta na wabunge "wakorofi" hawarudi bungeni mwaka 2010.

spika sitta, naibu spika anne makinda na wabunge "wakorofi" wa ccm akina anne kilango, mwakyembe, selelii, manyanya, ole sendeka, kimaro, zambi, nkumba, mpendazoe, shellukindo (bw. & bi.), mpesya, ruth msafiri na nyalandu, ni wapinzani wa serikali ya awamu ya nne.
magazeti haya yanahaririwa na waandishi walewale mamluki: Deodatus balile, manyerere jackton, charles charles, muhingo rweyemamu, prince bagenda na gama wa gazeti la hoja. Baadhi ya makala huchangiwa na salva rweyemamu na premy kibanga wa ikulu na mbunge wa kigoma peter serukamba ambaye alibubujikwa machozi na kuugua baada ya lowassa kujiuzulu. Yalianzishwa kwa mtaji wa sh. Milioni 300 alizotoa karamagi kwa niaba ya lowassa na rostam, mara baada ya lowassa kujiuzulu.

taarifa ndani ya chama tawala zinasema magazeti haya yana baraka zote za makamba. Ndiyo maana baadhi yake yanahaririwa kwenye ofisi za uvccm na kwa kutumia kompyuta za jumuiya hiyo.
kwa mujibu wa kikao cha kalokiro kilichokaa morogoro hivi karibuni, magazeti hayo yatasaidiwa baadaye (karibu na uchaguzi mkuu) na magazeti ya rai, mtanzania na the african. Mwakani, mtandao huo wa mafisadi unaanzisha kituo cha redio na televisheni. lengo kuu ni kuwamaliza wote hao kisiasa na kumwinua lowassa agombee urais mwaka 2010.
. Ngoma imeanza, makubwa zaidi yaja!
beyond imagination.
Reply With Quote
  #128  
Old 13th January 2009, 02:02 PM
Gosheni Gosheni is offline
Gosheni has no status.
Member
Points: 74,025, Level: 100 Points: 74,025, Level: 100 Points: 74,025, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Oct 2008
Posts: 31
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
Gosheni will become famous soon enoughGosheni will become famous soon enoughGosheni will become famous soon enoughGosheni will become famous soon enoughGosheni will become famous soon enoughGosheni will become famous soon enoughGosheni will become famous soon enoughGosheni will become famous soon enough
Default Re: MENGI v/s CHECHE?

Quote:
View Post
Jana kwenye ITV nimemsikia Mzee Mengi analaani kuibuka kwa vijigazeti peperushi mtaani ambavyo vinatumiwa na wanasiasa au mafisadi, je anamaanisha pamoja na CHECHE? Nijuavyo mie gazeti peperushi CHECHE mtaani kinapendwa sana hasa na vijana na wazee wakereketwa na nchi yao leo iweje Mengi akiponde kijarida mwanana? au kuna vijarida vingine mitaani ambavyo sie wengine hatuvijui? Nawasilisha nipate elimishwa!
Hii nikweli hata mimi nilimsikia, nikahisi anazungumzia cheche
Reply With Quote
  #129  
Old 13th January 2009, 02:06 PM
Mchaga Mchaga is offline
Mchaga Support Sheria Mpya ya Uchaguzi
JF Senior Expert Member
Points: 159,393, Level: 100 Points: 159,393, Level: 100 Points: 159,393, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Fri Apr 2008
Location: Uru Kishimundu
Posts: 835
Thanks: 1
Thanked 33 Times in 26 Posts
Rep Power: 23
Mchaga will become famous soon enoughMchaga will become famous soon enoughMchaga will become famous soon enoughMchaga will become famous soon enoughMchaga will become famous soon enoughMchaga will become famous soon enoughMchaga will become famous soon enoughMchaga will become famous soon enough
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

Lakini Salva na Premi si wa JK au inakuwaje?
Reply With Quote
  #130  
Old 13th January 2009, 02:12 PM
Kituko Kituko is online now
Kituko has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 90,017, Level: 100 Points: 90,017, Level: 100 Points: 90,017, Level: 100
Activity: 24% Activity: 24% Activity: 24%
 
Join Date: Mon Jan 2009
Posts: 1,060
Thanks: 54
Thanked 175 Times in 129 Posts
Rep Power: 24
Kituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enough
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

ubovu wa JK ni upeo, jaribu kuangalia kwa muda mfupi tu ameshapangua baraza zaidi ya mara moja, tatizo aliowachagua wote walikuwa si wake na yeye hakuwa na upeo wa kujua nani ni nani sasa atavuna alichopanda
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
dhidi, jk, kampeni, karamagi, magazeti, mapya


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Lazima tuwekane sawa kuhusu UKIMWI Shy JF Doctor 139 18th June 2009 02:00 PM
Karamagi na wanasheria wake watupiana mpira kuhusu tuhuma za ufisadi. Lawson Jukwaa la Siasa 4 12th November 2007 10:12 AM
Kampeni dhidi ya Mkapa asishinde Tuzo ya uongozi bora Mwafrika wa Kike Celebrities Forum 127 23rd October 2007 12:54 PM
Karamagi anasafiri na mihuri yetu? Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Siasa 13 20th August 2007 09:19 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 05:50 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com