Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK - Page 12 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Jukwaa la Siasa


Jukwaa la Siasa Tanzania & World Politics General Discussion Forum. You need to be registered in order to post your comment(s)


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 17th November 2008, 12:58 AM  
Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK
LazaroSMtindi LazaroSMtindi is offline 17th November 2008, 12:58 AM


Kampeni ya kummaliza kisiasa JK, Spika na wabunge kadhaa "wakorofi", imeanzishwa rasmi na Karamagi & Co. (Lowassa na Rostam) kupitia magazeti yao maalum ya AHSUBUHI NJEMA, TAZAMA, NYUNDO, TAIFA NA UMMA. Nia ni kuhakikisha JK anakuwa Rais kwa muhula moja tu na Spika Samuel Sitta na wabunge "wakorofi" hawarudi Bungeni mwaka 2010.

Magazeti hayo ambayo huchapishwa kila siku ya kazi kwa mpangilio, toka Jumatatu hadi Ijumaa, yanabeba ujumbe mahsusi wa ushawishi kwa umma kwamba: JK hana shukrani, kawatosa rafiki zake na kuwakumbatia "maadui"; Membe ni msaliti na anampotosha JK; Lowassa ni kiongozi safi na bora ambaye alionewa tu na Kamati ya Dk. Mwakyembe; bila Lowassa, Rostam, Karamagi, Makamba, Kingunge na wanamtandao wengine, JK hashindi uchaguzi wa 2010; Spika Sitta, Naibu Spika Anne Makinda na wabunge "wakorofi" wa CCM akina Anne Kilango, Mwakyembe, Selelii, Manyanya, Ole Sendeka, Kimaro, Zambi, Nkumba, Mpendazoe, Shellukindo (Bw. & Bi.), Mpesya, Ruth Msafiri na Nyalandu, ni wapinzani wa Serikali ya Awamu ya Nne.

Magazeti haya yanahaririwa na waandishi walewale mamluki: Deodatus Balile, Manyerere Jackton, Charles Charles, Muhingo Rweyemamu, Prince Bagenda na Gama wa gazeti la HOJA. Baadhi ya makala huchangiwa na Salva Rweyemamu na Premy Kibanga wa Ikulu na Mbunge wa Kigoma Peter Serukamba ambaye alibubujikwa machozi na kuugua baada ya Lowassa kujiuzulu. Yalianzishwa kwa mtaji wa sh. milioni 300 alizotoa Karamagi kwa niaba ya Lowassa na Rostam, mara baada ya Lowassa kujiuzulu.

Taarifa ndani ya Chama Tawala zinasema magazeti haya yana baraka zote za Makamba. Ndiyo maana baadhi yake yanahaririwa kwenye ofisi za UVCCM na kwa kutumia kompyuta za jumuiya hiyo.

Kwa mujibu wa kikao cha KALOKIRO kilichokaa Morogoro hivi karibuni, magazeti hayo yatasaidiwa baadaye (karibu na uchaguzi mkuu) na magazeti ya RAI, MTANZANIA na THE AFRICAN. Mwakani, mtandao huo wa mafisadi unaanzisha kituo cha redio na televisheni. Lengo kuu ni kuwamaliza wote hao kisiasa na kumwinua Lowassa agombee Urais mwaka 2010.

Matoleo ya wiki mbili zilizopita za magazeti hayo yote yalikuwa na makala za kumsafisha Lowassa na kudai kuwa Sitta anamhujumu JK, Sitta ana lengo la kuhamia CHADEMA, Kimaro kapora shamba la chuo, Mwakyembe ni mkabila, Membe ni mfuasi wa Malecela, JK hana fadhila mfano wa dereva aliyesaidiwa kwa kusukumwa kutoka kwenye matope lakini akakataa kuwabeba waliomsaidia ili wasichafue gari lake n.k. NGOMA IMEANZA, MAKUBWA ZAIDI YAJA!

LazaroSMtindi
Senior Member
Points: 5,119,422, Level: 100 Points: 5,119,422, Level: 100 Points: 5,119,422, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
Join Date: Tue May 2008
Posts: 79
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Views: 7191
Reply With Quote
  #111  
Old 31st December 2008, 08:59 AM
Recta's Avatar
Recta Recta is offline
Recta worried: TZ is going down faster than anticipated
JF Premium Member
Points: 112,651, Level: 100 Points: 112,651, Level: 100 Points: 112,651, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Fri Dec 2006
Posts: 749
Thanks: 717
Thanked 108 Times in 61 Posts
Rep Power: 25
Recta will become famous soon enoughRecta will become famous soon enoughRecta will become famous soon enoughRecta will become famous soon enoughRecta will become famous soon enoughRecta will become famous soon enoughRecta will become famous soon enoughRecta will become famous soon enough
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

Quote:
View Post
Hivi wakuu si kuna wakati hapa JF tulisema Pastor Laizer aliyesimamia mapokezi ya Lowassa jimboni kwake baada ya kujiuzulu kwamba ni mwenda wazimu alipomsifia mkuu huyu? Halafu tukasema kwamba wananchi waliompokea huko jimboni kwake ni wenda wazimu! What happened to all that? Ooh my God, only in Tanzania.

Yaani kiongozi aliyetufikisha taifa kulipa dola laki moja na nusu kwa siku kwa ajili ya umeme ambao haukuwepo, na kuwaacha wananchi wakiishi kwenye giza, huku zile hela zikienda mifukoni mwake na washikaji zake, eti ni bora sana na ni mchapa kazi hodari?

Pleeeeeease somebody take me to another planet! Maana hapa on earth labda I am lost! Damn it!
Mkuu FMES inasikitisha. Ila wanasema penye udhia penyeza rupia. Niliambiwa kuwa wana-Apolo walisaidia sana katika mapokezi yale. Michangi mikubwa ya fedha hubadilisha akili za watu.
Reply With Quote
  #112  
Old 31st December 2008, 09:32 AM
Recta's Avatar
Recta Recta is offline
Recta worried: TZ is going down faster than anticipated
JF Premium Member
Points: 112,651, Level: 100 Points: 112,651, Level: 100 Points: 112,651, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Fri Dec 2006
Posts: 749
Thanks: 717
Thanked 108 Times in 61 Posts
Rep Power: 25
Recta will become famous soon enoughRecta will become famous soon enoughRecta will become famous soon enoughRecta will become famous soon enoughRecta will become famous soon enoughRecta will become famous soon enoughRecta will become famous soon enoughRecta will become famous soon enough
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

Quote:
View Post
Hayo yaliyotajwa ndiyo yaliyomharibia Lowasa nadhani kuna mtu ana hamu tufyatue dark side of Lowasa humu ndani.

1.Mashangingi ya wabunge yaliyonunuliwa kuna tuhuma za kifisadi za hali ya juu ambazo pengine yeye mwenyewe ndiye aweza eleza alivyopata lile benzi la kutembelea baada ya manunuzi yale ya magari ya wabunge.

2.Fedha za maafa na mafuriko wakati ule zilifisadiwa.Labda atueleze aliwezaje kujenga jumba lile alilopangisha ubalozi wa Afrika ya kusini kwa hela ipi ambayo aliipata wapi kipindi kile?

3.Kufutwa kwa kibali cha ujenzi wa mnazi mmoja kulitokana na ugomvi wake na Kitwana Kondo aliyekuwa meya wa Jiji wakati huo wakati Lowasa akiwa waziri alihisi mwenzie kapata pengine bila kumshirikisha?!!! Kitwana au kumgawia?!!! Akaamua kufuta vile vya mwenzie Kitwana Kondo akabakiza vya kwake ambavyo navyo vilijaa harufu za kifisadi tu ambavyo viliuzwa kwa bei ya chini cha juu kikaenda kwa ....Utajaza.Vingine wakagawiana kiswahiba kifisadi.

Mabati yalibomolewa na wananchi si kwa amri ya Lowasa bali Christopher
Mtikila ndiye alihamasisha machinga kuvamia eneo hilo ambalo lina mnara wa uhuru na kubeba mabati na kutimuka.

Kusema nyota yake iling`ara kwa ajili ya hayo nina wasiwasi.

Kuhusu Richmond alihusika kabisa.Kwa nini kama suala lile aliliona linamzidi uwezo na lina utata kwa nini hakumpelekea faili makamu wa Raisi au Raisi mwenyewe alifanyie uamuzi.Kwa nini yeye alitoa "go ahead" Mradi fisadi wa Richmond uendelee wakati akijua kabisa ulikuwa una utata kama alivyojieleza bungeni? Kwani wakubwa zake Makamu wa Raisi na Raisi walikuwa wamekufa si walikuwepo kwa nini hakuwapelekea wao walifanyie maamuzi kama si ulaji rushwa?

Richmond siyo porojo wala kampeni za kumchafua.Tunasubiri tu. ngoja suala la EPA lishughulikiwe.Tutamshukia kama mwewe asidhani tumelisahau kawekwa kiporo.Tutamshukia tu labda akimbie nchi au akajifiche porini kwenye mashimo lakini hata akijificha kwenye mashimo tutamfuata huko huko kumfukua kama Saddam Hussein alivyofukuliwa.

Kikwete ana udhaifu wake mkubwa tu lakini kwa ufisadi kumlinganisha na Lowasa kwaweza kuwa ni kumwonea.Hajafikia kiwango hicho.Nyerere alimkataa Lowasa sababu ya ufisadi na Kilichomponza hata Kikwete akataliwe na Nyerere ilikuwa ni urafiki wake na Lowasa.Lowasa ndiye alimponza kipindi kile Kikwete.Nyerere alijua kuwa ukiwa rafiki na fisadi lazima na wewe una matatizo au utapata matatizo.

Kipindi cha utawala wa Kikwete Lowasa katoa mchango mkubwa wa kuharibu crediblity ya Raisi Kikwete kuliko waziri mwingine yeyote.Na ametoa mchango mkubwa sana kumfanya Kikwete anuke kifisadi mbele ya umma.


.
Nakubaliana sana na wewe Mkuu. Kwa kuongezea tu, UVCCM ndio waliopendekeza JMK na EL wachukue form za kugombea URais 1995. Na wao (UVCCM) ndio waliahidi kusaidia ushindi wao. Ikumbukwe pia kwamba, mwaka ule walijitokeza wagombea wengi kuliko wakati wowote wa chaguzi za ndani (CCM) siku za nyuma.

Wasiwasi wangu mkubwa kuhusiana na EL ni ubinafsi wake. Kuna issue moja ambayo hadi leo siielewi, inashangaza na inauma sana. Nayo ni ubomoaji wa jengo kubwa (apartments) karibu na nyumba yake aliyopangisha kwa ubalozi wa SA. Jengo lile lilibomolewa kwa kisingizio kuwa lilikosa hati zilizohitajika kulijenga (building permits). Na hata hati hizo zilipotolewa na wahusika, zilikataliwa na baadhi wa watendaji wa Municipal ya Kinondoni walichukuliwa hatua kutokana na kutoa hati hizo. Inasemekana Jengo lilibomolewa kwasababu kuwepo kwake kulizuia hewa nzuri kufikia nyumba yake (Ubalozi wa SA). Naamini kuwa kama jengo lile lingekuwa la mtu mwingine, lisingebomolewa. Na hata kama halikuwa na uhalali wa kuwepo, ingekuwa busara zaidi kutoza "fine" kubwa kwa wamiliki ili iwe fundisho, kuliko kuacha masalia yake yasiyopendeza kabisa.
Reply With Quote
  #113  
Old 31st December 2008, 09:41 AM
Bulesi Bulesi is online now
Bulesi not satisfied until justice is done
JF Premium Member
Points: 110,439, Level: 100 Points: 110,439, Level: 100 Points: 110,439, Level: 100
Activity: 16% Activity: 16% Activity: 16%
 
Join Date: Wed May 2008
Posts: 1,394
Thanks: 123
Thanked 285 Times in 190 Posts
Rep Power: 24
Bulesi will become famous soon enoughBulesi will become famous soon enoughBulesi will become famous soon enoughBulesi will become famous soon enoughBulesi will become famous soon enoughBulesi will become famous soon enoughBulesi will become famous soon enoughBulesi will become famous soon enough
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

Phillemon Mikael mkuu, kuna kitu kimoja umekisema katika mchango wako ambacho nadhani wanajanvi hawakichukulii seriously ingawa ni muhimu sana kwa utawala wa Jakaya; nacho ni role ya SANGOMA katika maamuzi. Ni kweli usiopingika kuwa waganga wa kienyeji wanainfluence sana na maamuzi ya muungwana kwahiyo kama alivyosema Mikael siyo ripoti ya Mwakyembe peke yake iliyomfanya Jakaya amtose Lowassa bali ni ushauri wa waganga wake wa kienyeji kuwa huyu bwana alikuwa anampiku mwaka 2010. Hata wakati wa mchakato pale DODOMA mwaka 2005 Jakaya alikuwaanatembea na SANGOMA wake kwenye Cruiser lake.; wengine anaimport toka West Africa!! sasa kwa imani potofu namna hiyo uongozi utaleta maendeleo au maaalbino wataachwa kuchinjwa kweli??
Reply With Quote
  #114  
Old 31st December 2008, 10:00 AM
Kichuguu's Avatar
Kichuguu Kichuguu is offline
Kichuguu Nyumba ya Mchwa na Nguchiro
JF Premium Member
Points: 789,166, Level: 100 Points: 789,166, Level: 100 Points: 789,166, Level: 100
Activity: 10% Activity: 10% Activity: 10%
 
Join Date: Wed Oct 2006
Location: Popote Porini
Posts: 4,146
Thanks: 176
Thanked 499 Times in 226 Posts
Rep Power: 33
Kichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enough
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

Quote:
View Post
Phillemon Mikael mkuu, kuna kitu kimoja umekisema katika mchango wako ambacho nadhani wanajanvi hawakichukulii seriously ingawa ni muhimu sana kwa utawala wa Jakaya; nacho ni role ya SANGOMA katika maamuzi. Ni kweli usiopingika kuwa waganga wa kienyeji wanainfluence sana na maamuzi ya muungwana kwahiyo kama alivyosema Mikael siyo ripoti ya Mwakyembe peke yake iliyomfanya Jakaya amtose Lowassa bali ni ushauri wa waganga wake wa kienyeji kuwa huyu bwana alikuwa anampiku mwaka 2010. Hata wakati wa mchakato pale DODOMA mwaka 2005 Jakaya alikuwaanatembea na SANGOMA wake kwenye Cruiser lake.; wengine anaimport toka West Africa!! sasa kwa imani potofu namna hiyo uongozi utaleta maendeleo au maaalbino wataachwa kuchinjwa kweli??
...............duh!!!!!!!!!!!!.................... JUJUMAN ndani ya IKULU?????
__________________
Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo
Reply With Quote
  #115  
Old 31st December 2008, 01:06 PM
MwalimuZawadi's Avatar
MwalimuZawadi MwalimuZawadi is offline
MwalimuZawadi Ut Omnes Unum Sint
JF Senior Expert Member
Points: 90,992, Level: 100 Points: 90,992, Level: 100 Points: 90,992, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Sat Sep 2007
Posts: 526
Thanks: 9
Thanked 47 Times in 33 Posts
Rep Power: 24
MwalimuZawadi will become famous soon enoughMwalimuZawadi will become famous soon enoughMwalimuZawadi will become famous soon enoughMwalimuZawadi will become famous soon enoughMwalimuZawadi will become famous soon enoughMwalimuZawadi will become famous soon enoughMwalimuZawadi will become famous soon enoughMwalimuZawadi will become famous soon enough
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

Quote:
View Post
Phillemon Mikael mkuu, kuna kitu kimoja umekisema katika mchango wako ambacho nadhani wanajanvi hawakichukulii seriously ingawa ni muhimu sana kwa utawala wa Jakaya; nacho ni role ya SANGOMA katika maamuzi. Ni kweli usiopingika kuwa waganga wa kienyeji wanainfluence sana na maamuzi ya muungwana kwahiyo kama alivyosema Mikael siyo ripoti ya Mwakyembe peke yake iliyomfanya Jakaya amtose Lowassa bali ni ushauri wa waganga wake wa kienyeji kuwa huyu bwana alikuwa anampiku mwaka 2010. Hata wakati wa mchakato pale DODOMA mwaka 2005 Jakaya alikuwaanatembea na SANGOMA wake kwenye Cruiser lake.; wengine anaimport toka West Africa!! sasa kwa imani potofu namna hiyo uongozi utaleta maendeleo au maaalbino wataachwa kuchinjwa kweli??
Ndio maana muungwana huwa anapagawa wakati mwingine ggggrrrrrrrrrrrrrrrrrrhhhh! Kweli Nyerere aliona mengi, aliweza kutueleza machache tu. Mengine tutasoma wenyewe kwa nyakati. Nilifikiri Muungwana kaacha masangomaism!
Mkuu Bulesi,
Hivi hayo Masangoma hayapokei 'rushwa' tuyape hoja zetu za mafisadi na mustakabali wa taifa?
__________________
Favour is the weapon of choice for the impotent
Frantz Fanon
Reply With Quote
  #116  
Old 31st December 2008, 01:18 PM
Pundamilia07's Avatar
Pundamilia07 Pundamilia07 is offline
Pundamilia07 pundamilia@rocketmail.com
JF Senior Expert Member
Points: 260,314, Level: 100 Points: 260,314, Level: 100 Points: 260,314, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Mon Oct 2007
Posts: 1,391
Thanks: 42
Thanked 54 Times in 32 Posts
Rep Power: 25
Pundamilia07 will become famous soon enoughPundamilia07 will become famous soon enoughPundamilia07 will become famous soon enoughPundamilia07 will become famous soon enoughPundamilia07 will become famous soon enoughPundamilia07 will become famous soon enoughPundamilia07 will become famous soon enoughPundamilia07 will become famous soon enough
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

Quote:
View Post
Kampeni ya kummaliza kisiasa JK, Spika na wabunge kadhaa "wakorofi", imeanzishwa rasmi na Karamagi & Co. (Lowassa na Rostam) kupitia magazeti yao maalum ya AHSUBUHI NJEMA, TAZAMA, NYUNDO, TAIFA NA UMMA. Nia ni kuhakikisha JK anakuwa Rais kwa muhula moja tu na Spika Samuel Sitta na wabunge "wakorofi" hawarudi Bungeni mwaka 2010.

Magazeti hayo ambayo huchapishwa kila siku ya kazi kwa mpangilio, toka Jumatatu hadi Ijumaa, yanabeba ujumbe mahsusi wa ushawishi kwa umma kwamba: JK hana shukrani, kawatosa rafiki zake na kuwakumbatia "maadui"; Membe ni msaliti na anampotosha JK; Lowassa ni kiongozi safi na bora ambaye alionewa tu na Kamati ya Dk. Mwakyembe; bila Lowassa, Rostam, Karamagi, Makamba, Kingunge na wanamtandao wengine, JK hashindi uchaguzi wa 2010; Spika Sitta, Naibu Spika Anne Makinda na wabunge "wakorofi" wa CCM akina Anne Kilango, Mwakyembe, Selelii, Manyanya, Ole Sendeka, Kimaro, Zambi, Nkumba, Mpendazoe, Shellukindo (Bw. & Bi.), Mpesya, Ruth Msafiri na Nyalandu, ni wapinzani wa Serikali ya Awamu ya Nne.

Magazeti haya yanahaririwa na waandishi walewale mamluki: Deodatus Balile, Manyerere Jackton, Charles Charles, Muhingo Rweyemamu, Prince Bagenda na Gama wa gazeti la HOJA. Baadhi ya makala huchangiwa na Salva Rweyemamu na Premy Kibanga wa Ikulu na Mbunge wa Kigoma Peter Serukamba ambaye alibubujikwa machozi na kuugua baada ya Lowassa kujiuzulu. Yalianzishwa kwa mtaji wa sh. milioni 300 alizotoa Karamagi kwa niaba ya Lowassa na Rostam, mara baada ya Lowassa kujiuzulu.

Taarifa ndani ya Chama Tawala zinasema magazeti haya yana baraka zote za Makamba. Ndiyo maana baadhi yake yanahaririwa kwenye ofisi za UVCCM na kwa kutumia kompyuta za jumuiya hiyo.

Kwa mujibu wa kikao cha KALOKIRO kilichokaa Morogoro hivi karibuni, magazeti hayo yatasaidiwa baadaye (karibu na uchaguzi mkuu) na magazeti ya RAI, MTANZANIA na THE AFRICAN. Mwakani, mtandao huo wa mafisadi unaanzisha kituo cha redio na televisheni. Lengo kuu ni kuwamaliza wote hao kisiasa na kumwinua Lowassa agombee Urais mwaka 2010.

Matoleo ya wiki mbili zilizopita za magazeti hayo yote yalikuwa na makala za kumsafisha Lowassa na kudai kuwa Sitta anamhujumu JK, Sitta ana lengo la kuhamia CHADEMA, Kimaro kapora shamba la chuo, Mwakyembe ni mkabila, Membe ni mfuasi wa Malecela, JK hana fadhila mfano wa dereva aliyesaidiwa kwa kusukumwa kutoka kwenye matope lakini akakataa kuwabeba waliomsaidia ili wasichafue gari lake n.k. NGOMA IMEANZA, MAKUBWA ZAIDI YAJA!
Nimesoma, hakuna hoja hapa!

Bye bye thread
__________________
'Tough times never last but tough people do' Dr. Robert Schuller
Reply With Quote
  #117  
Old 31st December 2008, 01:49 PM
Halisi's Avatar
Halisi Halisi is offline
Halisi is for REAL!
JF Premium Member
Points: 2,152,118, Level: 100 Points: 2,152,118, Level: 100 Points: 2,152,118, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Jan 2007
Posts: 2,206
Thanks: 137
Thanked 147 Times in 44 Posts
Rep Power: 28
Halisi will become famous soon enoughHalisi will become famous soon enoughHalisi will become famous soon enoughHalisi will become famous soon enoughHalisi will become famous soon enoughHalisi will become famous soon enoughHalisi will become famous soon enoughHalisi will become famous soon enough
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la...-maxell-3.html

Mod na hii ya Sauti Huru ingewekwa humu kwani ina uhusiano mkubwa kwa kuwa nalo ni miongoni mwa magazeti yaliyoanzishwa mahsusi kuwatetea watu ambao jamii imeamini na serikali imeamini na kuwachukulia hatua. Hii ni hatari, lazima tukatae kulishwa sumu hii mbaya na tena bila hoja. Kuna gazeti moja limethubutu hata kusema kwamba VITA YA UFISADI NI VITA KATI YA WACHAGA NA WAHAYA na bado Mkuchika na jamaa zake wa Maelezo hawajachukua hatua kwa habari/makala inayolenga kuchochea mgawanyiko wa kikabila. HII NI HATARI KUBWA NA SIJUI hao UWT wanafanya kazi gani.

Lakini habari ya Sauti Huru sijui kama ni habari ama makala
Reply With Quote
  #118  
Old 31st December 2008, 07:44 PM
Jujuman Jujuman is offline
Jujuman has no status.
Senior Member
Points: 73,197, Level: 100 Points: 73,197, Level: 100 Points: 73,197, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sun Dec 2008
Posts: 142
Thanks: 126
Thanked 16 Times in 11 Posts
Rep Power: 22
Jujuman will become famous soon enoughJujuman will become famous soon enoughJujuman will become famous soon enoughJujuman will become famous soon enoughJujuman will become famous soon enoughJujuman will become famous soon enoughJujuman will become famous soon enoughJujuman will become famous soon enough
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

Nimesoma kwa mshangao sifa anazotupiwa Lowasa,kabla ya kumpamba mtu kwa sifa ni bora uangalie uadilifu wake kwanza Mh: huyu hana tofauti na Mkapa kwa waliyowatendea wananchi wa Tanzania si watu wa kusifiwa hawa. Mkapa ni mung'unye ameharibikia ukubwani ameanza wizi ktk hatua za mwisho za kipindi cha pili cha uraisi wake. Lowasa nimebahatika kumjua kidogo ktk miaka ya mwanzoni mwa 80 nilipokuwa Arusha wakati huo nchi inanuka hamna bidhaa,chakula ,nguo nk naye alikuwa katibu wa CCM mkoa by then alishaharibika kwa ulafi. alipopewa uwaziri ndipo alipofungulia mbwa akasema mtanikoma, kiasi hayati mwl Nyerere akamwambia hafai kuwa raisi mtoto mdogo mwenye tamaa ya mali, bahati mbaya na huyo mtoto mkubwa alietupa ndio akawa MZINGA MBOVU unalipuka ovyo kwa tamaa na ufisadi. kwakifupi hawa jamaa ni ma********* tu hawastahili sifayeyote. wamejivua heshima ya kusifiwa kitambo.
Reply With Quote
  #119  
Old 31st December 2008, 10:50 PM
Field Marshall ES Field Marshall ES is offline
Field Marshall ES has no status.
JF Premium Member
Points: 2,217,184, Level: 100 Points: 2,217,184, Level: 100 Points: 2,217,184, Level: 100
Activity: 43% Activity: 43% Activity: 43%
 
Join Date: Thu Apr 2006
Posts: 12,623
Thanks: 1,016
Thanked 1,700 Times in 784 Posts
Rep Power: 91
Field Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the rough
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

Quote:
Nimesoma kwa mshangao sifa anazotupiwa Lowasa,kabla ya kumpamba mtu kwa sifa ni bora uangalie uadilifu wake kwanza Mh: huyu hana tofauti na Mkapa kwa waliyowatendea wananchi wa Tanzania si watu wa kusifiwa hawa. Mkapa ni mung'unye ameharibikia ukubwani ameanza wizi ktk hatua za mwisho za kipindi cha pili cha uraisi wake. Lowasa nimebahatika kumjua kidogo ktk miaka ya mwanzoni mwa 80 nilipokuwa Arusha wakati huo nchi inanuka hamna bidhaa,chakula ,nguo nk naye alikuwa katibu wa CCM mkoa by then alishaharibika kwa ulafi. alipopewa uwaziri ndipo alipofungulia mbwa akasema mtanikoma, kiasi hayati mwl Nyerere akamwambia hafai kuwa raisi mtoto mdogo mwenye tamaa ya mali, bahati mbaya na huyo mtoto mkubwa alietupa ndio akawa MZINGA MBOVU unalipuka ovyo kwa tamaa na ufisadi. kwakifupi hawa jamaa ni ma********* tu hawastahili sifayeyote. wamejivua heshima ya kusifiwa kitambo.
- Mkuu Jujuman, saafi sana maneno mazito sana haya.
Reply With Quote
  #120  
Old 1st January 2009, 12:32 AM
MkamaP MkamaP is offline
MkamaP has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 293,459, Level: 100 Points: 293,459, Level: 100 Points: 293,459, Level: 100
Activity: 16% Activity: 16% Activity: 16%
 
Join Date: Sat Jan 2007
Posts: 2,590
Thanks: 48
Thanked 214 Times in 163 Posts
Rep Power: 29
MkamaP will become famous soon enoughMkamaP will become famous soon enoughMkamaP will become famous soon enoughMkamaP will become famous soon enoughMkamaP will become famous soon enoughMkamaP will become famous soon enoughMkamaP will become famous soon enoughMkamaP will become famous soon enough
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK

Quote:
View Post
Ndio maana muungwana huwa anapagawa wakati mwingine ggggrrrrrrrrrrrrrrrrrrhhhh! Kweli Nyerere aliona mengi, aliweza kutueleza machache tu. Mengine tutasoma wenyewe kwa nyakati. Nilifikiri Muungwana kaacha masangomaism!
Mkuu Bulesi,
Hivi hayo Masangoma hayapokei 'rushwa' tuyape hoja zetu za mafisadi na mustakabali wa taifa?
Hakuna JARS zozote hizo ni imani potofu na zimepitwa na wakati harafu ni stori za vijiweni,kwanza humu duniani hakuna sangoma lolote sangoma ni wewe mwenyewe ama rafiki yako.
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
dhidi, jk, kampeni, karamagi, magazeti, mapya


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Lazima tuwekane sawa kuhusu UKIMWI Shy JF Doctor 139 18th June 2009 02:00 PM
Karamagi na wanasheria wake watupiana mpira kuhusu tuhuma za ufisadi. Lawson Jukwaa la Siasa 4 12th November 2007 10:12 AM
Kampeni dhidi ya Mkapa asishinde Tuzo ya uongozi bora Mwafrika wa Kike Celebrities Forum 127 23rd October 2007 12:54 PM
Karamagi anasafiri na mihuri yetu? Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Siasa 13 20th August 2007 09:19 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 11:39 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com