Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: MwanaHalisi: Serikali hali ngumu - yaagiza kusitisha ajira na kutopandisha vyeo kuelekea 2012

    Report Post
    Page 1 of 5 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 87
    1. #1
      Zak Malang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2008
      Posts : 4,835
      Rep Power : 1926
      Likes Received
      187
      Likes Given
      2

      Default MwanaHalisi: Serikali hali ngumu - yaagiza kusitisha ajira na kutopandisha vyeo kuelekea 2012

      Wadau;


      Serikali yetu inayoongozwa na magamba sasa imedhihirika rasmi kwamba imefilisika. Mwanahalisi leo imeandika kwamba serikali iko hoi kifedha na imetoa nakala ya barua kutoka menejiment ya utumishi wa Umma ambayo ni taasisi chini ya Ofisi ya rais kwenda kwa makatibu Wakuu wote ikiwaagiza kwamba kutokana na ufinyu wa mapato ya serikali, ajira mpya zipunguzwe kwa asilimia 50. Upandishwaji vyeo nao upunguzwe kwa asilimia hiyo hiyo.

      CCM KAZI KWISHA!!! WAMESHINDWA KABISA KUSIMAMIA NCHI!
      Being prolific doesnt mean you are an accomplished person


    2. #2
      Zak Malang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2008
      Posts : 4,835
      Rep Power : 1926
      Likes Received
      187
      Likes Given
      2

      Default Re: MwanaHALISI: Imedhihirika rasmi serikali ya JK muflisi kabisa!

      Na bado! Ndo maana wanakazania Kafulila asamehwe bcoz hawana hela za by-elections?
      Na jee iwapo serikali ya magamba itakazania kuona akina Lema na wabunge wengine wa CDM wenye kesi za uchaguzi wakishindwa kesi hizo?
      Saint Ivuga and Consigliere like this.
      Being prolific doesnt mean you are an accomplished person

    3. #3
      mfarisayo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd November 2010
      Location : tanganyika
      Posts : 3,205
      Rep Power : 1081
      Likes Received
      485
      Likes Given
      1123

      Default Re: MwanaHALISI: Imedhihirika rasmi serikali ya JK muflisi kabisa!

      Ni kweli Taasisis zote za serikali, Wizara na Halmashauri zimeshaagizwa kupunguza bajeti ya Mishahara by January 2012 wapeleke bajeti mpya isiyojumuisha ajira mpya na kupanda vyeo.
      “Mwaka jana tulikutana na ‘single’ yaani waliandika mashairi kwa uchache, lakini mwaka huu tumepata albamu nzima…” :- Dk Ndalichako

    4. #4
      TzPride's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2006
      Location : Downhole
      Posts : 1,660
      Rep Power : 978
      Likes Received
      177
      Likes Given
      72

      Default Re: MwanaHALISI: Imedhihirika rasmi serikali ya JK muflisi kabisa!

      weka habari ndugu, wengine tuko jimboni kwa Tundu Lissu, magazeti huku 'mbado'.

    5. #5
      Mbayuwa2's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th December 2011
      Posts : 26
      Rep Power : 386
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: MwanaHALISI: Imedhihirika rasmi serikali ya JK muflisi kabisa!

      Jaman wana JF. kama mwajiri wetu kafulisika? Mishahara yetu je!


    6. #6
      mfarisayo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd November 2010
      Location : tanganyika
      Posts : 3,205
      Rep Power : 1081
      Likes Received
      485
      Likes Given
      1123

      Default Re: MwanaHALISI: Imedhihirika rasmi serikali ya JK muflisi kabisa!

      Na bado madaraja yamebokoka pande zote za nchi
      “Mwaka jana tulikutana na ‘single’ yaani waliandika mashairi kwa uchache, lakini mwaka huu tumepata albamu nzima…” :- Dk Ndalichako

    7. #7
      PrN-kazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 2,246
      Rep Power : 5370
      Likes Received
      307
      Likes Given
      4

      Default Re: MwanaHALISI: Imedhihirika rasmi serikali ya JK muflisi kabisa!

      Serikali kufirisika sipendi kabisa kuamini kauli hiyo: Ni namna tu kwa walioko juu waweze kuchukua chao mapema kwani 2015 imekaribika: iweje serikali ifirisike wakati wataalamu wa kupiga usingizi MJENGONI wanajiongezea posho!!!!!!!, Raisi ajaye anakazi kubwa ya kuziba mapengo kwani atakuta Hazina haina kitu kabisa.
      zumbemkuu likes this.

    8. #8
      Jeremiah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th February 2009
      Location : Geita
      Posts : 336
      Rep Power : 594
      Likes Received
      41
      Likes Given
      25

      Default Re: MwanaHALISI: Imedhihirika rasmi serikali ya JK muflisi kabisa!

      Sisi tunapiga kazi kwa wazungu mpaka saa hizi tumeisha tia kibindoni maelfu ya shilingi. sijui tutafika mwaka mpya na pesa?
      Hendisamu likes this.

    9. #9
      shizukan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th January 2011
      Posts : 1,160
      Rep Power : 847
      Likes Received
      533
      Likes Given
      219

      Default Re: MwanaHALISI: Imedhihirika rasmi serikali ya JK muflisi kabisa!

      Mficha mauti, ugonjwa humuumbua!

      Zitto alisema siku nyingi tu kuwa hamna kitu mule, kipara akabisha. Sasa mambo hadharani, tukae mkao wa kukimbia. Ukimbizi wa kiuchumi utakuwa mpya kwa watakaotupokea. Mi nilifikiri wangekata bajeti ya Land Cruiser V8, badala yake wanakata ajira mpya, mweh!

      Waongeze bajeti ya FFU manake mwakani tutaandamana mfano wake hakuna
      "You know you are in Tanzania whenyour president believes traffic jam is anindicator of development!" Dr. Wilbrod Peter Slaa

    10. #10
      ndetichia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Mwime - Buswangili
      Posts : 18,568
      Rep Power : 5178
      Likes Received
      2873
      Likes Given
      237

      Default Re: MwanaHALISI: Imedhihirika rasmi serikali ya JK muflisi kabisa!

      nchi zote zinazoendelea bajeti yake kama 3/4 yote ina enda kwenye matumizi ya utawala..

    11. #11
      ntamaholo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : Mwilavya
      Posts : 4,119
      Rep Power : 1391
      Likes Received
      919
      Likes Given
      412

      Default Re: MwanaHALISI: Imedhihirika rasmi serikali ya JK muflisi kabisa!

      na kwa wale wenye kawaida ya kusherehekea sikukuu, nwapeni pole kwani mishahara hakuna na mwezi utapita hivhivi
      UTUMISHI WA HAKI, NI SULUHISHO LA MAOVU YOTE

    12. #12
      Kinyengeli's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th December 2011
      Posts : 149
      Rep Power : 409
      Likes Received
      20
      Likes Given
      43

      Default Re: MwanaHALISI: Imedhihirika rasmi serikali ya JK muflisi kabisa!

      Tanesco wao mishahara tangu jana poa kabisa!! Hv wao sio serikali?

    13. #13
      Msarendo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2011
      Location : Rich Forever.
      Posts : 2,609
      Rep Power : 946
      Likes Received
      338
      Likes Given
      7

      Default Re: MwanaHALISI: Imedhihirika rasmi serikali ya JK muflisi kabisa!

      Nimeshanunua nakala ya gazeti, i cant wait kuisoma.

    14. #14
      Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2007
      Location : Tanzania
      Posts : 2,852
      Rep Power : 10822
      Likes Received
      3791
      Likes Given
      2756

      Default Re: MwanaHALISI: Imedhihirika rasmi serikali ya JK muflisi kabisa!

      Si tuliambiwa ni Uchumi imara? Kumbe ni Uchumi Uchwara wa Ndullu na Mkullo.
      "In the future, it is possible that a Second Party will grow in Tanganyika, but in one sense such a growth would represent a failure by TANU."

      J.K Nyerere, 1968.

    15. #15
      FairPlayer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2006
      Location : UK
      Posts : 4,382
      Rep Power : 1555
      Likes Received
      456
      Likes Given
      205

      Default Re: MwanaHALISI: Imedhihirika rasmi serikali ya JK muflisi kabisa!

      Masikini JK. Kama ni kweli angalia cha kufanya.

      AM sure rais ajaye atakua makini hali hii (kama ni kweli) isitokee.
      A positive thinker!

    16. #16
      FairPlayer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2006
      Location : UK
      Posts : 4,382
      Rep Power : 1555
      Likes Received
      456
      Likes Given
      205

      Default Re: MwanaHALISI: Imedhihirika rasmi serikali ya JK muflisi kabisa!

      Quote By Mchambuzi View Post
      Si tuliambiwa ni Uchumi imara? Kumbe ni Uchumi Uchwara wa Ndullu na Mkullo.
      Kweli nimeamini Kusoma kwingi hakuna maana. Huyo bwana naona ni bure kabisa.
      A positive thinker!

    17. #17
      Lambardi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2008
      Location : KITAANI ZAIDI
      Posts : 4,588
      Rep Power : 1813
      Likes Received
      664
      Likes Given
      0

      Default Re: MwanaHALISI: Imedhihirika rasmi serikali ya JK muflisi kabisa!

      Alichokikimbilia mule jumba jeupe ndio atakijua sasa!!!!historia haitamsahau huyu mjomba!!aibu kubwa sana anaturudisha enzi zile za ankal yake nae nchi ilienda mrama kama sasa!!

    18. #18
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,518
      Rep Power : 37787
      Likes Received
      4929
      Likes Given
      2342

      Default Re: MwanaHALISI: Imedhihirika rasmi serikali ya JK muflisi kabisa!

      Serikali imefilisika kiuchumi
      Viongozi wa Serikali wamefilisika kichwani hamna kitu
      fredmlay, zumbemkuu and Malekanya like this.
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    19. #19
      Mr. Zero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2007
      Posts : 4,096
      Rep Power : 1444
      Likes Received
      484
      Likes Given
      72

      Default Re: MwanaHALISI: Imedhihirika rasmi serikali ya JK muflisi kabisa!

      Nasubiri FF atuletee zile figure zake za uchumi wa Tanzania unakua kwa kasi chini ya uongozi wa JK!!
      "The Only Necessary for the Triumph of Evil is for Good Men to do Nothing" Edmund Burke (1729 - 97)

    20. FJM is offline
      FJM
      #20
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,213
      Rep Power : 2580
      Likes Received
      5344
      Likes Given
      4607

      Default Re: MwanaHALISI: Imedhihirika rasmi serikali ya JK muflisi kabisa!

      Serikali ipunguze matumizi kwa kufuta wizara ambazo hazina maana wala tija kwa taifa.
      1. Wassira na Wizara yake ya uhusiano (haina tija kabisa)
      2. Utawala bora (tayari tuna wizara ya katiba na sheria)
      3. Uwezekezaji (tunayo wizara ya viwanda na biashara)
      4. Wizara inayosimamia ajira - ifutwe kabisa hakuna kitu pale. Ajira gani wakati vijana wanauza viberiti ubungo mataa tena kwa kufukuzana na city?

    Page 1 of 5 123 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Waraka wa kusitisha ajira
      By Konakali in forum Nafasi za Kazi na Tenda
      Replies: 0
      Last Post: 15th June 2011, 13:36
    2. Ufisadi wa Kutisha kuelekea bajeti ya serikali 2011/2012
      By mopaozi in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 14
      Last Post: 8th June 2011, 08:20
    3. Replies: 5
      Last Post: 19th June 2010, 03:17
    4. Serikali isilaumiwe kwa hali ngumu ya maisha-JK
      By BAK in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 35
      Last Post: 16th October 2008, 13:29

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...