Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Vipi kuhusu Jairo, Mbona kimya?

    Report Post
    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 41 to 60 of 67
    1. #1
      Neng'uli's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Posts : 123
      Rep Power : 418
      Likes Received
      33
      Likes Given
      20

      Default Vipi kuhusu Jairo, Mbona kimya?

      Mbona kimya hatupati taarifa zozote kuhusu huyu Mheshimiwa? Yaani mkuu bado anafikiria au maamuzi yameshafanyika. Isije ikawa anatafutiwa sehemu ya kwenda kuwa Balozi-Kuiwakilisha TZ Maana TZ bwana
      Daudi Mchambuzi likes this.
      If you see me from a distance it is because I have stood on top of elphant's back

    2. FemaTV & Radio

    3. #41
      kichomi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 484
      Rep Power : 509
      Likes Received
      51
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Kibanga Ampiga MKoloni
      Posho kwanza!
      Wananch baadae.

    4. #42
      PATOXIC's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th November 2011
      Posts : 47
      Rep Power : 386
      Likes Received
      30
      Likes Given
      1

      Default Re: Vipi kuhusu Jairo, Mbona kimya?

      Jamani hayaa mambo miyananiboa hivi Kikwete anatumia akili kuiongoza nchi?

    5. #43
      JIULIZE KWANZA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Posts : 1,585
      Rep Power : 750
      Likes Received
      248
      Likes Given
      672

      Default Re: Vipi kuhusu Jairo, Mbona kimya?

      By Mwita25
      JK has no guts to demote Jairo not to mention dismissing him. Jairo is purpoted to have been in possession of many state secrets and he has played vital role in putting JK into power in both of previous elections. His close association to JK was consolidated during 2010 elections when he actively colluded with TISS to print phantom ballot papers in a large-scale plot to rig the vote in favour of Kikwete. Given this loyal affiliation between the two, one may anticipate how hesitant JK might be as regards execution of recommended punitive measures against his confidant Jairo.







      Quote By Matola
      Vipi mkuu CCM wamevunja makubaliano mliyokubaliana!!? i can't beleive if this is Mwita 25 i use to know!!

      shetani akizeeka huwa malaika...iko siku wanakondoo wote wakiongozwa na faiza watarudi kundini time will tell dudes
      There shall be no peace without right for all...By Bob Marley.

    6. #44
      Wacha1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2009
      Posts : 6,714
      Rep Power : 1820
      Likes Received
      1082
      Likes Given
      1253

      Default Re: Vipi kuhusu Jairo, Mbona kimya?

      Quote By Neng'uli
      Mbona kimya hatupati taarifa zozote kuhusu huyu Mheshimiwa? Yaani mkuu bado anafikiria au maamuzi yameshafanyika. Isije ikawa anatafutiwa sehemu ya kwenda kuwa Balozi-Kuiwakilisha TZ Maana TZ bwana

      Ndio imetoka hiyo next time utamsikia yupo kwenye cabinet ... ...
      TANESCO hawashindwi kununua mitambo yao Kama kweli Dowans siyo ya JK ataifishe mitambo hiyo kwa sheria ya uhujumu awafilisi RA, EL vile vile awachukulie hatua waliokwapua fedha BOT

    7. #45
      watundawangu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th March 2011
      Posts : 89
      Rep Power : 430
      Likes Received
      30
      Likes Given
      0

      Default Re: Vipi kuhusu Jairo, Mbona kimya?

      Serikali corrupted kama tuliyonayo haina uwezo wa kuwachukulia hatuwa wahalifu, hata tume milioni kumi za uchunguzi wa skendo mbalimbali zikiundwa. Serikali ya CCM haina haina nia kusaidia Tanzania zaidi tu ya kuwa mfumo wa kulindana kati yao kati ya wakubwa. Ni skendo zilizotokea hapa Tanzania na serikalini zikaziundia tume za uchunguzi lakini asilimia 99.99 za taarifa za tume hizo hazikuleta manufaa yoyote kwa taifa na hakuna maamuzi yoyote yaliyochukuliwa kutokana na ripoti za uchunguzi wa tume zenyewe? Sasa tungetegemea nini juu ya hilo la Jairo na akina Luhanjo? Tena wahusika hao ni swahiba wakuu wa JK? Unatarajia nini kingetokea? Mbona hamjajiuliza nini matokeo ya uchunguzi wa tume za Mv Bukoba, Richmond, milipuko yan mabomu ya Mbagala na Gongo la Mboto, na meli iliyoua watu kule Zanzibar na nyinginezo? Nini kilifanyika baada ya matokeo ya tume zile za uchunguzi? Kama si kulindana tu kwa viongozi wetu? Nani mwenye uwezo ndani ya CCM na serikali yake ya kumnyonyea kidole mwingine? JK? CCM? Siamini! Hawana uwezo wa kuwachukuliwa hatua wahalifu wanaokula nao sahani moja. Na hivyo kutuchukua watanzania wote kuwa wajinga. Kwa kesi ya Jairo, Luhanjo, Mkaguzi mkuu wa Serikali na hata waziri wa Nishati na madini kwa jinsi ripoti ya hiyo bunge ilivyoeleza kila mtanzania alitegemea kuwa kungekuwa na tsunami ya watu kujiuzulu na kuchukuliwa hatua... lakini hadi leo kimya na JK mwenyewe hasemi chochote juu ya skendo za watu wake. Luhanjo bado yuko ikulu na anaendelea kucheka naye. Je Jk. ni kipofu namna gani asione yote yaliyosemwa kwenye ripoti za tume hizi? Mbona anazidi kuwakumbatia watu hawa... anangojea ushahidi gani zaidi? Anataka kutuambia nini watanzania ? Tumechoka na hii Serikali corrupted ya CCM ambayo haina maamuzi yoyote. ndio maana tunapigania mabadiliko Tanzania. Akina Jairo, Luhanjo na wengineyo...peteni tu sasa chini ya muhimili huu wa serikali ya CCM. Lakini siku zinakuja, mabadilio yanakuja, na uhuru wa kweli wa Tanzania na wa watanzania unakuja, wote mtachukuliwa hatua kwa maovu yenu dhidi ya wananchi. Endeleeni kulindana tu! Watanzania tumechoka na hii serikali yetu inayolala usingizi wa pono.

    8. Miaka 50

    9. #46
      watundawangu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th March 2011
      Posts : 89
      Rep Power : 430
      Likes Received
      30
      Likes Given
      0

      Default Re: Vipi kuhusu Jairo, Mbona kimya?

      Serikali corrupted kama tuliyonayo haina uwezo wa kuwachukulia hatuwa wahalifu, hata tume milioni kumi za uchunguzi wa skendo mbalimbali zikiundwa. Serikali ya CCM haina nia kusaidia Tanzania zaidi tu ya kuwa mfumo wa kulindana kati yao kati ya wakubwa. Ni skendo ngapi zilizotokea hapa Tanzania ambazo serikali zikaziundia tume za uchunguzi? Asilimia 99.99 za taarifa za tume hizo hazikuleta manufaa yoyote kwa taifa na hakuna maamuzi wala hatua zozote yoyote zilizochukuliwa kutokana na ripoti za uchunguzi wa tume zilizoundwa. Sasa tungetegemea nini juu ya hilo la Jairo na akina Luhanjo? Tena wahusika wenyewe ni swahiba wakuu wa JK? Unatarajia nini kingetokea? Mbona hatujajiuliza nini matokeo ya uchunguzi wa tume za Mv Bukoba, Richmond, milipuko yan mabomu ya Mbagala na Gongo la Mboto, na meli iliyoua watu kule Zanzibar na nyinginezo? Nini kilifanyika baada ya matokeo ya tume zile za uchunguzi? Kama si kulindana tu kwa viongozi wetu? Nani alijiuzulu? Nani alifikishwa mahakamani? Kumba basi ni nani mwenye uwezo ndani ya CCM na serikali yake ya kumnyoshea kidole mwingine? ,JK anaweza ? Je CCM inaweza? Siamini! Hawana uwezo wa kuwachukuliwa hatua wahalifu ambao wanakula nao sahani moja. Kwa kesi ya Jairo, Luhanjo, Mkaguzi mkuu wa Serikali na hata waziri wa Nishati na madini kwa jinsi ripoti ya hiyo bunge ilivyoeleza kila mtanzania alitegemea kuwa kungekuwa na tsunami ya watu kujiuzulu na kuchukuliwa hatua... lakini hadi leo kimya na JK mwenyewe hasemi chochote juu ya skendo za watu wake. Luhanjo bado yuko ikulu na anaendelea kucheka naye. Je Jk. ni kipofu namna gani asione yote yaliyosemwa kwenye ripoti za tume hizi? Mbona anazidi kuwakumbatia watu hawa..? Anangojea ushahidi gani zaidi? Anataka kutuambia nini watanzania? Tumechoka na hii Serikali corrupted ya CCM ambayo haina maamuzi yoyote. ndio maana tunapigania mabadiliko Tanzania. Akina Jairo, Luhanjo na wengineyo...peteni tu sasa chini ya muhimili huu wa serikali ya CCM. Lakini siku zinakuja, mabadilio yanakuja, na uhuru wa kweli wa Tanzania na wa watanzania unakuja, wote mtachukuliwa hatua kwa maovu yenu dhidi ya wananchi. Endeleeni kulindana tu! Watanzania tumechoka na hii serikali yetu inayolala usingizi wa pono.

    10. #47
      2mbaku's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st October 2010
      Location : Msituni
      Posts : 229
      Rep Power : 590
      Likes Received
      41
      Likes Given
      32

      Default Hatma ya Jairo, CAG Luhanjo utata mtupu

      UTATA mpya umegubika utekelezaji wa hatua za kuwachukulia hatua Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini David Jairo, Katibu Mkuu Kiongozi Philemon Luhanjo, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Ludovick Utouh na Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja kama lilivyoagiza Bunge hivi karibuni, baada ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ‘kurushiana mpira’ na mawaziri wake juu ya nani anayestahili kutekeleza maagizo ya Bunge.

      Mwananchi!!
      “Nobody can go back and start a new beginning, but anyone can start today and make a new ending.” -Maria Robinson

    11. #48
      CHEMPO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2011
      Location : A TOWN
      Posts : 369
      Rep Power : 1932
      Likes Received
      58
      Likes Given
      19

      Default Re: Hatma ya Jairo, CAG Luhanjo utata mtupu

      Wakuna msafi hapo..nani wa kumfunga paka kengele..kila mtu ana kashfa.wakumwajibisha mwenzake hayupo

    12. #49
      Tony Almeda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2011
      Location : C.T.U
      Posts : 395
      Rep Power : 466
      Likes Received
      117
      Likes Given
      37

      Default Re: Hatma ya Jairo, CAG Luhanjo utata mtupu

      Quote By CHEMPO
      Wakuna msafi hapo..nani wa kumfunga paka kengele..kila mtu ana kashfa.wakumwajibisha mwenzake hayupo
      Yap! wabunge nao wana kashfa ya kujiongezea posho.
      WAMETHUBUTU, HAWAWEZI LAKINI WANASONGA MBELE

    13. #50
      Jayfour_King's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2009
      Location : Tanzania
      Posts : 1,148
      Rep Power : 712
      Likes Received
      84
      Likes Given
      186

      Default Re: Hatma ya Jairo, CAG Luhanjo utata mtupu

      Tanzania inafiwa na kila kitu kutokana na kukosa umakini katika maamuzi, nimekuwa nikijiuliza hivi kuna ugumu gani kumwambia mtu kwamba sheria za kazi zinasema hivi na kwa kuwa umefanya kinyume hebu tupishe!
      Wrong is a mirror for the rights

    14. #51
      sexon2000's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th April 2010
      Posts : 301
      Rep Power : 521
      Likes Received
      54
      Likes Given
      59

      Default Re: Hatma ya Jairo, CAG Luhanjo utata mtupu

      Zitto,

      Kuna jukumu ulimpa CAG kukagua malipo tata ya PPF. Audit ilifanywa vizuri sana na Auditors aliowatuma pale PPF na kubaini madudu yote. Naomba uifuatilie wasije nayo waka-I-JAIRO maana ni miezi zaidi ya nane sasa. Wafanyakazi tunaujua ukweli wa hiyo ripoti.

    15. #52
      Sumba-Wanga's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : Gambushi
      Posts : 3,929
      Rep Power : 1205
      Likes Received
      765
      Likes Given
      673

      Default Re: Hatma ya Jairo, CAG Luhanjo utata mtupu

      Quote By Tony Almeda
      Yap! wabunge nao wana kashfa ya kujiongezea posho.
      KIla mtu ana kashfa, at the end of the day hakuna wa kuchukua maamuzi, kwa maana hata wewe mwenyewe sio msafi kiasi cha kuchukua maamuzi.

      Inasemekama wabunge waliongezwa posho ili walikaukie hili swala,. maana Jairo alitakiwa kwua mrithi wa Luhanjo, wanga wametibua deal..... Kama kawaida ya wanasiasa, wanajipanga upyaaa.
      "A man's or woman's best or worst choice in life is his or her spouse"

    16. #53
      kichomi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 484
      Rep Power : 509
      Likes Received
      51
      Likes Given
      2

      Default Re: Hatma ya Jairo, CAG Luhanjo utata mtupu

      Watawajibishwa na nani sasa,hilo lilikuwa changa la macho tu,hakuna utekelezaji ndani ya nchi hii.

    17. #54
      Losomich's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2011
      Posts : 370
      Rep Power : 454
      Likes Received
      69
      Likes Given
      45

      Default Re: Hatma ya Jairo, CAG Luhanjo utata mtupu

      Kwa sasa ni vigumu sana kumwajibisha mtu yeyote katika serikali ya Jk! Maana wa kwanza anayepaswa kuwajibishwa ni jk mwenyewe! Lile sakata la Richmond lina mfanya jk awe ameshajiuzuli ndani ya siku 90 tu. Baada ya ule ushahidi uliotolewa na mpenzi wake wa karibu EL kwenye kile kikao cha NEC pale Ddm. Jk aanze wa chini yake wafuate!!!

    18. #55
      MASIKITIKO's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th December 2011
      Posts : 203
      Rep Power : 476
      Likes Received
      28
      Likes Given
      2

      Default Re: Hatma ya Jairo, CAG Luhanjo utata mtupu

      Wabunge wapige kura ya kutokuwa na imani na 'rahisi'lakini kwa bunge posho sijui kama litawezekana

    19. #56
      Neng'uli's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Posts : 123
      Rep Power : 418
      Likes Received
      33
      Likes Given
      20

      Default Mwaka ndo Unaisha Hatima ya Jairo iko wapi?

      Lazima tuhoji bila kuchoka,
      Mwaka unaishi huyu jamaa hatuimbiwi hatima yake.
      WHy??
      Tuamake tupaze sauti zetu, michezo michafu kama hii isijirudie
      If you see me from a distance it is because I have stood on top of elphant's back

    20. #57
      OSCAR ELIA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th October 2011
      Posts : 50
      Rep Power : 393
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Re: Mwaka ndo Unaisha Hatima ya JAIRO IKO WAPI?

      Quote By Neng'uli
      Lazima tuhoji bila kuchoka,
      Mwaka unaishi huyu jamaa hatuimbiwi hatima yake.
      WHy??
      Tuamake tupaze sauti zetu, michezo michafu kama hii isijirudie
      Nafikiri hatima yake itajulikana baada ya rafiki yake Luhanjo kustaafu leo.Mambo mazuri hayataki haraka jk yuko makini katika kuchukua hatua ili asivunje sheria.

    21. #58
      FIDIVIN's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th August 2010
      Posts : 186
      Rep Power : 483
      Likes Received
      39
      Likes Given
      20

      Default Re: Mwaka ndo Unaisha Hatima ya JAIRO IKO WAPI?

      Quote By Neng'uli
      Lazima tuhoji bila kuchoka,
      Mwaka unaishi huyu jamaa hatuimbiwi hatima yake.
      WHy??
      Tuamake tupaze sauti zetu, michezo michafu kama hii isijirudie
      Kijana panga mikakati ya kujikomboa mwenyewe kwa kufanya kazi au kusoma kwa bidii, ukikalia porojo za jinsi hii I bet umasikini haundoki kwako.

    22. #59
      Neng'uli's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Posts : 123
      Rep Power : 418
      Likes Received
      33
      Likes Given
      20

      Default Re: Vipi kuhusu Jairo, Mbona kimya?

      nipangaje bwana acha kunikatisha tamaa
      If you see me from a distance it is because I have stood on top of elphant's back

    23. #60
      Mr. Clean's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Posts : 232
      Rep Power : 700
      Likes Received
      32
      Likes Given
      0

      Default Re: Vipi kuhusu Jairo, Mbona kimya?

      Quote By Neng'uli
      Mbona kimya hatupati taarifa zozote kuhusu huyu Mheshimiwa? Yaani mkuu bado anafikiria au maamuzi yameshafanyika. Isije ikawa anatafutiwa sehemu ya kwenda kuwa Balozi-Kuiwakilisha TZ Maana TZ bwana

      so far umemtambua kuwa ni mheshimiwa, hence, hanabudi kuendelea kuishi kama mheshimiwa, ikizingatiwa hakuwa na kosa as jairo bali ni system nzima ya ikulu!
      "U Can't Change The Nature"

    24. Study Abroad
    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    Similar Topics

    1. Wadau vipi nhif mbona kimya?
      By Naitwa Nani in forum Nafasi za Kazi na Tenda
      Replies: 5
      Last Post: 26th December 2011, 11:22
    2. Ctv vipi! Mbona kimya tena!
      By DASA in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 2
      Last Post: 9th November 2011, 16:05
    3. Replies: 3
      Last Post: 19th August 2011, 15:58
    4. Dar vipi mbona kimya
      By Challenger M in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 3
      Last Post: 1st November 2010, 20:42

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...