Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Anne Makinda: Spika wangu wa bunge la Tanzania nakushukuru kwa elimu yako!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 23
    1. #1
      Kasheshe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th June 2007
      Location : Bububu
      Posts : 3,547
      Rep Power : 1330
      Likes Received
      165
      Likes Given
      279

      Default Anne Makinda: Spika wangu wa bunge la Tanzania nakushukuru kwa elimu yako!

      Wanabodi,

      Wakati mwingine ni vyema kumsoma mtu maneno yake vizuri! Sintasahau maneno haya kutoka kwa Spika wangu, "Kwamba mbunge anakatwa mkopo laki nani, Sh. 800,000/-" hivyo "take home" yake inakuwa ndogo, ati hiki kilikuwa pia kigezo cha kuomba posho ziongezwe.

      Somo kubwa hapa:

      Kila ambaye ana mkopo kwenye mshahara wake atumie kama kigezo kuongezewa mshahara zaidi: Maajabu ya Dunia ambayo ni mara yangu ya kwanza kuyaelewa.

      Kwa maana nyingine kila ukikopa hiyo ni motivation ya kuongezewa mshahara ili "take home" yako inone. La haula.....

      Walimu mpo? maktari mpo?

    2. Miaka 50

    3. #2
      King2's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2011
      Posts : 1,280
      Rep Power : 636
      Likes Received
      159
      Likes Given
      0

      Default re: Anne Makinda: Spika wangu wa bunge la Tanzania nakushukuru kwa elimu yako!

      HANA HADHI YA KUITWA SPIKA! AnA UDHALILISHA WADHIFA WA USPIKA.

    4. #3
      Bulesi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2008
      Posts : 3,347
      Rep Power : 1241
      Likes Received
      344
      Likes Given
      73

      Default re: Anne Makinda: Spika wangu wa bunge la Tanzania nakushukuru kwa elimu yako!

      Ndio maana anapewa nishani kwa kufikiri na kuzungumza namna hiyo!!

    5. #4
      Mwita25's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2011
      Posts : 3,852
      Rep Power : 1317
      Likes Received
      1119
      Likes Given
      43

      Default re: Anne Makinda: Spika wangu wa bunge la Tanzania nakushukuru kwa elimu yako!

      Huyu mama ni wa kumsamehe tu. Hajawahi kuolewa tangu aingia usichana wake na mchumba wake aliahirisha mipango ya kumuoa baada yu kugundua kamama kanashiriki kwenye vitendo vya kishirikana. Nakumbuka kalikuwa kanamuwekea jamaa utumbo wa konokono kwenye maji ya kuoga ili eti kaendelee kupendwa. No wonder kalikataa kutumia kiti ambacho alikuwa anatumia spika Sitta na kakadai kubadilishiwa na kupewa kipya.

    6. #5
      King2's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2011
      Posts : 1,280
      Rep Power : 636
      Likes Received
      159
      Likes Given
      0

      Default re: Anne Makinda: Spika wangu wa bunge la Tanzania nakushukuru kwa elimu yako!

      NISHANI KITU GANI? Huyo anayewapa hiyo nishani Hana chembe ya uadilifu na uongozi hata kidogo! WALE WALE TU..Fisadi Kama Mafisadi Wengine.
      Last edited by King2; 13th December 2011 at 18:57.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Margwe's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th April 2008
      Location : chini ya jua
      Posts : 193
      Rep Power : 603
      Likes Received
      30
      Likes Given
      39

      Default re: Anne Makinda: Spika wangu wa bunge la Tanzania nakushukuru kwa elimu yako!

      Quote By Mwita25
      Huyu mama ni wa kumsamehe tu. Hajawahi kuolewa tangu aingia usichana wake na mchumba wake aliahirisha mipango ya kumuoa baada yu kugundua kamama kanashiriki kwenye vitendo vya kishirikana. Nakumbuka kalikuwa kanamuwekea jamaa utumbo wa konokono kwenye maji ya kuoga ili eti kaendelee kupendwa. No wonder kalikataa kutumia kiti ambacho alikuwa anatumia spika Sitta na kakadai kubadilishiwa na kupewa kipya.

      Mwita, ni wewe au email imekuwa hacked?

    9. #7
      Kinyengeli's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th December 2011
      Posts : 146
      Rep Power : 405
      Likes Received
      19
      Likes Given
      43

      Default re: Anne Makinda: Spika wangu wa bunge la Tanzania nakushukuru kwa elimu yako!

      Wala sishangai hilo ni zao la mafisadi na ufisadi!!! Hako kamama nikikaona kananichefuaaaaaaa!!!

    10. #8
      Ngoiva's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th November 2011
      Posts : 234
      Rep Power : 426
      Likes Received
      38
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Mwita25
      Huyu mama ni wa kumsamehe tu. Hajawahi kuolewa tangu aingia usichana wake na mchumba wake aliahirisha mipango ya kumuoa baada yu kugundua kamama kanashiriki kwenye vitendo vya kishirikana. Nakumbuka kalikuwa kanamuwekea jamaa utumbo wa konokono kwenye maji ya kuoga ili eti kaendelee kupendwa. No wonder kalikataa kutumia kiti ambacho alikuwa anatumia spika Sitta na kakadai kubadilishiwa na kupewa kipya.
      teh teh teh teh......!mmmmmnnnh! Jamani kuna mambo humu. Asente kwa kiminyio bwana.

    11. #9
      Kinyungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2008
      Posts : 1,883
      Rep Power : 944
      Likes Received
      236
      Likes Given
      378

      Default re: Anne Makinda: Spika wangu wa bunge la Tanzania nakushukuru kwa elimu yako!

      Quote By Mwita25
      Huyu mama ni wa kumsamehe tu. Hajawahi kuolewa tangu aingia usichana wake na mchumba wake aliahirisha mipango ya kumuoa baada yu kugundua kamama kanashiriki kwenye vitendo vya kishirikana. Nakumbuka kalikuwa kanamuwekea jamaa utumbo wa konokono kwenye maji ya kuoga ili eti kaendelee kupendwa. No wonder kalikataa kutumia kiti ambacho alikuwa anatumia spika Sitta na kakadai kubadilishiwa na kupewa kipya.


      Kweli dunia haiishiwi maajabu.
      Together in Poverty Apart in Riches

    12. #10
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,248
      Rep Power : 1541
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default re: Anne Makinda: Spika wangu wa bunge la Tanzania nakushukuru kwa elimu yako!

      duh! Huyu mama ni poyoyo

    13. #11
      dada jane's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2011
      Posts : 505
      Rep Power : 478
      Likes Received
      94
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Mwita25
      Huyu mama ni wa kumsamehe tu. Hajawahi kuolewa tangu aingia usichana wake na mchumba wake aliahirisha mipango ya kumuoa baada yu kugundua kamama kanashiriki kwenye vitendo vya kishirikana. Nakumbuka kalikuwa kanamuwekea jamaa utumbo wa konokono kwenye maji ya kuoga ili eti kaendelee kupendwa. No wonder kalikataa kutumia kiti ambacho alikuwa anatumia spika Sitta na kakadai kubadilishiwa na kupewa kipya.
      mmh mwita25!

    14. #12
      MwafrikaHalisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th October 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,657
      Rep Power : 783
      Likes Received
      418
      Likes Given
      449

      Default

      Quote By Mwita25
      Huyu mama ni wa kumsamehe tu. Hajawahi kuolewa tangu aingia usichana wake na mchumba wake aliahirisha mipango ya kumuoa baada yu kugundua kamama kanashiriki kwenye vitendo vya kishirikana. Nakumbuka kalikuwa kanamuwekea jamaa utumbo wa konokono kwenye maji ya kuoga ili eti kaendelee kupendwa. No wonder kalikataa kutumia kiti ambacho alikuwa anatumia spika Sitta na kakadai kubadilishiwa na kupewa kipya.
      Inaelekea alikuwa mtu wako wa karibu sana. Au ni wewe uliyekuwa mume mtarajiwa?

    15. #13
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,920
      Rep Power : 5062
      Likes Received
      3200
      Likes Given
      2653

      Default re: Anne Makinda: Spika wangu wa bunge la Tanzania nakushukuru kwa elimu yako!

      Si nilisikia wamekopeshwa mil 90 sasa kwa makato ya laki 8 ndani ya miezi 60 unapata mil 48 sasa hapa ndo sielewi kama makinda anaongea ukweli.

    16. #14
      Navoyne's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th December 2010
      Location : Tandahimba
      Posts : 675
      Rep Power : 563
      Likes Received
      128
      Likes Given
      76

      Default re: Anne Makinda: Spika wangu wa bunge la Tanzania nakushukuru kwa elimu yako!

      Anne Makinga ndio nani ??
      IMMITATIONS are LIMITATIONS

    17. #15
      Bhbm's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2009
      Posts : 650
      Rep Power : 616
      Likes Received
      151
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Mwita25
      Huyu mama ni wa kumsamehe tu. Hajawahi kuolewa tangu aingia usichana wake na mchumba wake aliahirisha mipango ya kumuoa baada yu kugundua kamama kanashiriki kwenye vitendo vya kishirikana. Nakumbuka kalikuwa kanamuwekea jamaa utumbo wa konokono kwenye maji ya kuoga ili eti kaendelee kupendwa. No wonder kalikataa kutumia kiti ambacho alikuwa anatumia spika Sitta na kakadai kubadilishiwa na kupewa kipya.
      Mkuu hivi ni wewe kweli ama kuna mtu kaandika badala yako? Kama ni wewe basi naanza kuona mwanga wa neema ya mabadiliko ya kweli kwa mbaaaaaliiiii...

    18. #16
      mtzedi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th December 2011
      Posts : 397
      Rep Power : 455
      Likes Received
      48
      Likes Given
      140

      Default re: Anne Makinda: Spika wangu wa bunge la Tanzania nakushukuru kwa elimu yako!

      tanzania ha2na viongoz 2na watawala kazi kuongezeana posho bungeni .2tafika kweli 2endako

    19. #17
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,989
      Rep Power : 1646
      Likes Received
      1136
      Likes Given
      414

      Default

      Filikunjombe

    20. #18
      BISKUT YA CHUMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2011
      Posts : 253
      Rep Power : 432
      Likes Received
      31
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Mwita25
      Huyu mama ni wa kumsamehe tu. Hajawahi kuolewa tangu aingia usichana wake na mchumba wake aliahirisha mipango ya kumuoa baada yu kugundua kamama kanashiriki kwenye vitendo vya kishirikana. Nakumbuka kalikuwa kanamuwekea jamaa utumbo wa konokono kwenye maji ya kuoga ili eti kaendelee kupendwa. No wonder kalikataa kutumia kiti ambacho alikuwa anatumia spika Sitta na kakadai kubadilishiwa na kupewa kipya.
      Mwita25???Kweli ngozi ya kondoo kumbe ndani .......

    21. #19
      Keil's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2007
      Posts : 2,381
      Rep Power : 1090
      Likes Received
      756
      Likes Given
      292

      Default Re: Anne Makinda: Spika wangu wa bunge la Tanzania nakushukuru kwa elimu yako!

      Mkuu Kasheshe,

      Sijakuona siku nyingi sana, salama lakini? Mpaka na wewe umesema basi hapa naona Mama kachemsha sana maana justification yake hai-make sense hata kwa mtoto mdogo.

      Sehemu zote ambazo nimeishawahi kufanya kazi, mfanyakazi huwa haruhusiwi kukopa mpaka take home yake iwe less than one-third ya basic salary yake. Sasa kwanini waheshimiwa wanaruhusiwa kukopa mpaka take home inakuwa ndogo?

      CCM walifanya kosa kubwa sana kumuweka huyo mama kwenye hiyo nafasi, nadhani watakuwa wanajuta kwanini walimuweka. Hili swala la posho litawazingua sana wana CCM na kuzidi kuwagawa zaidi, na chuki ya wapiga kura ndo inazidi kuongezeka!

    22. #20
      Kibanga Ampiga Mkoloni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2007
      Location : Here! here!
      Posts : 4,791
      Rep Power : 1633
      Likes Received
      1189
      Likes Given
      1701

      Default Re: Anne Makinda: Spika wangu wa bunge la Tanzania nakushukuru kwa elimu yako!

      Quote By Mwita25
      Huyu mama ni wa kumsamehe tu. Hajawahi kuolewa tangu aingia usichana wake na mchumba wake aliahirisha mipango ya kumuoa baada yu kugundua kamama kanashiriki kwenye vitendo vya kishirikana. Nakumbuka kalikuwa kanamuwekea jamaa utumbo wa konokono kwenye maji ya kuoga ili eti kaendelee kupendwa. No wonder kalikataa kutumia kiti ambacho alikuwa anatumia spika Sitta na kakadai kubadilishiwa na kupewa kipya.
      Duh!!!!!!
      For the Holy Quran says in Sura 42, verse 41: 'All those who fight when oppressed incur no guilt, but Allah shall punish the oppressor, Come the day.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Spika wa bunge (Anne Makinda) akiri posho kuongezwa!
      By EasyFit in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 364
      Last Post: 7th December 2011, 20:17
    2. Wabunge kumng'oa Spika Anne Makinda?
      By AMARIDONG in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 63
      Last Post: 23rd June 2011, 18:05
    3. Naomba kujua CV ya Spika wa Bunge la MuunganoTanzania (Bi Anne Makinda)
      By Barubaru in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 3
      Last Post: 15th June 2011, 12:56
    4. Je,uchaguzi wa spika anne makinda ulichakachuliwa?
      By makoye2009 in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 1
      Last Post: 15th November 2010, 09:51
    5. Replies: 12
      Last Post: 14th November 2010, 18:37

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...