Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: CHADEMA njooni vijijini uza sera kwenye jamii watu wana kiu na CHADEMA

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 46
    1. #1
      Mtumishi Wetu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Location : Arusha
      Posts : 2,857
      Rep Power : 3548
      Likes Received
      543
      Likes Given
      5186

      Default CHADEMA njooni vijijini uza sera kwenye jamii watu wana kiu na CHADEMA

      Wapendwa wana JF bila shaka hamjambo,Asalaama Aleikhum; Bwana asifiwe!!!
      Jamani natoa ushauri kwa chama cha CHADEMA, tegemeo la wanyonge wanaodhurumiwa Watanzania, fanyeni mambo ya uhakika yafuatayo:-

      1. Kwanza kabisa hamasisha vijana wa vijijini ambao wako tayari kutumikia chama chetu, maana bila kuwa na vijana kwenye vijiji itakuwa vigumu kupata upenyo wa kupeleka sera za chama kwa jamaii!!!!!!

      2. Tayarisha kadi, vipeperushi, matangazo ya sera za chama ili zifike vijijini kwa watu wa rika zote. Kusambaza kadi ni muhimu saana kuna watu wanapenda kuwa wanachama wa CHADEMA lakini hawajui watapata wapi kadi za chama.Peleka kadi nyingi vijijini tupate wanachama wapya wengi!!!!!!!! Nacho ni chanzo cha mapato ya chama!!!

      3. Kipindi hiki ambacho watu wengine wana shughuli zingine ni muhimu kujitangaza kwa watu wa vijijini ( grass root), huko kuna wananchi wengi wanataka kujua habari za CHADEMA, msingojee mikutano ya hadhara watu wengine hjawafiki huko.

      4. Kutokana na hali mbaya ya uchumi watu wanausongo na hii serikali ya CCM inayopandisha bei za kila kitu, kuanzia sukari, mafuta, sabuni hadi chumvi, watu wanataka njia mbadala kuondoa kero za majanga ya gharama za maisha na CHADEMA ndilo jibu lao wanatakiwa kuelezwa wajiandae!!!

      5. Wakati huu wa kujivua maghamba ni muafaka kusambaza sera kwa watu wa kawaida, kama huku Arusha kina mama yeyo,Leighwanani, siankiki na molani wanataka kujua ukombozi utatoka wapi?????????
      Wadau wa mapambano ya ukombozi wa TZ nawakilisha!!!!!!!!!


    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      ntogwisangu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2011
      Posts : 435
      Rep Power : 466
      Likes Received
      113
      Likes Given
      29

      Default Re: Chadema zama vijijini uza sera kwenye jamii watu wana kiu na chadema.

      Quote By Mtumishi Wetu
      Wapendwa wana JF bila shaka hamjambo,Asalaama Aleikhum; Bwana asifiwe!!!
      Jamani natoa ushauri kwa chama cha CHADEMA, tegemeo la wanyonge wanaodhurumiwa Watanzania, fanyeni mambo ya uhakika yafuatayo:-
      1. Kwanza kabisa hamasisha vijana wa vijijini ambao wako tayari kutumikia chama chetu, maana bila kuwa na vijana kwenye vijiji itakuwa vigumu kupata upenyo wa kupeleka sera za chama kwa jamaii!!!!!!
      2. Tayarisha kadi, vipeperushi, matangazo ya sera za chama ili zifike vijijini kwa watu wa rika zote. Kusambaza kadi ni muhimu saana kuna watu wanapenda kuwa wanachama wa CHADEMA lakini hawajui watapata wapi kadi za chama.Peleka kadi nyingi vijijini tupate wanachama wapya wengi!!!!!!!! Nacho ni chanzo cha mapato ya chama!!!
      3. Kipindi hiki ambacho watu wengine wana shughuli zingine ni muhimu kujitangaza kwa watu wa vijijini ( grass root), huko kuna wananchi wengi wanataka kujua habari za CHADEMA, msingojee mikutano ya hadhara watu wengine hjawafiki huko.
      4. Kutokana na hali mbaya ya uchumi watu wanausongo na hii serikali ya CCM inayopandisha bei za kila kitu, kuanzia sukari, mafuta, sabuni hadi chumvi, watu wanataka njia mbadala kuondoa kero za majanga ya gharama za maisha na CHADEMA ndilo jibu lao wanatakiwa kuelezwa wajiandae!!!
      5. Wakati huu wa kujivua maghamba ni muafaka kusambaza sera kwa watu wa kawaida, kama huku Arusha kina mama yeyo,Leighwanani, siankiki na molani wanataka kujua ukombozi utatoka wapi?????????
      Wadau wa mapambano ya ukombozi wa TZ nawakilisha!!!!!!!!!
      mtumishi umenena!!!!twazungumza katika kujenga chama!!!MIMI NASEMA KAMANDA MBOWE KAZI ULIYOIFANYA YATOSHA!TUWAPE WENGINE TUONE KWA STRATEGY ZAO WATATUFIKISHA WAPI 2015!!!WEWE YATOSHA!!!SIKUCHUKII NI HOJA YANGU!!!!!

    4. #3
      Mtumishi Wetu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Location : Arusha
      Posts : 2,857
      Rep Power : 3548
      Likes Received
      543
      Likes Given
      5186

      Default Re: Chadema zama vijijini uza sera kwenye jamii watu wana kiu na chadema.

      Quote By ntogwisangu
      mtumishi umenena!!!!twazungumza katika kujenga chama!!!MIMI NASEMA KAMANDA MBOWE KAZI ULIYOIFANYA YATOSHA!TUWAPE WENGINE TUONE KWA STRATEGY ZAO WATATUFIKISHA WAPI 2015!!!WEWE YATOSHA!!!SIKUCHUKII NI HOJA YANGU!!!!!
      Mkuu tusianze kumpopoa Mw/kiti hata watu wakubwa wanapewa ushauri na wanaufanyia kazi, kabla ya kulumbana ebu tujenge chama cha wakombozi wa TZ!!!!!!!!!!Aluta Continua mapambano bado yanaendelea!!!!!!!

      In the middle of difficulty lies opportunity. Jumping at several small opportunities may get us there more quickly than waiting for one big one to come.
      Albert Einstein & Hugh Allen.

    5. #4
      ntogwisangu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2011
      Posts : 435
      Rep Power : 466
      Likes Received
      113
      Likes Given
      29

      Default Re: Chadema zama vijijini uza sera kwenye jamii watu wana kiu na chadema.

      Quote By mtumishi wetu
      mkuu tusianze kumpopoa mw/kiti hata watu wakubwa wanapewa ushauri na wanaufanyia kazi, kabla ya kulumbana ebu tujenge chama cha wakombozi wa tz!!!!!!!!!!aluta continua mapambano bado yanaendelea!!!!!!!

      In the middle of difficulty lies opportunity. Jumping at several small opportunities may get us there more quickly than waiting for one big one to come.
      albert einstein & hugh allen.
      ni hoja nayo!!!!lakin mh!!!!
      Mtumishi Wetu likes this.

    6. #5
      Chatumkali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Location : DOM
      Posts : 1,384
      Rep Power : 974
      Likes Received
      184
      Likes Given
      166

      Default Re: Chadema zama vijijini uza sera kwenye jamii watu wana kiu na chadema.

      Hoja imetolewa na imeungwa mkono.
      Mtumishi Wetu likes this.

    7. Miaka 50

    8. #6
      TONGINDI's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd November 2011
      Posts : 91
      Rep Power : 397
      Likes Received
      10
      Likes Given
      0

      Default Re: Chadema zama vijijini uza sera kwenye jamii watu wana kiu na chadema

      ni kweli mdau chadema bado ina kazi ya ziada kujinadi vijijini, ili 2015 ichukue dola kiulaini.
      Mtumishi Wetu likes this.

    9. #7
      Mtumishi Wetu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Location : Arusha
      Posts : 2,857
      Rep Power : 3548
      Likes Received
      543
      Likes Given
      5186

      Default Re: Chadema zama vijijini uza sera kwenye jamii watu wana kiu na chadema.

      Quote By chatumkali
      Hoja imetolewa na imeungwa mkono.
      Tunahitaji wadau waje na mapendekezo:-
      Kwa mfano; kama kadi zikiuzwa na maagent kwa bei tuseme Tshs 2000/= @ kila kadi moja chama kikachukua Tshs 1500/=@ Agent akabaki na Tshs 500/=. sio mbaya.
      Akisambaza kadi kumi tuu, anapata Tshs 5000/= kwa siku kama kuuza vocha vile!!! Chama kikiuza kadi (10,000) elfu kumi kwa siku kitu kinachowezekana, watapata Tshs 15,000,000/=.
      Hayoyatakuwa mapato ya kuimalisha chama kama kufungua ofisi na kuwa na matawi mengi vijijini!!!!!!!!!!!

      Ringo Edmund likes this.

    10. #8
      Mtumishi Wetu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Location : Arusha
      Posts : 2,857
      Rep Power : 3548
      Likes Received
      543
      Likes Given
      5186

      Default Re: Chadema zama vijijini uza sera kwenye jamii watu wana kiu na chadema

      Quote By TONGINDI
      ni kweli mdau chadema bado ina kazi ya ziada kujinadi vijijini, ili 2015 ichukue dola kiulaini.
      CHADEMA inahitaji kujiimalisha vijijini, mbali na kukamata mijini vijijini pia wanahitaji wakombozi wafike, kujiimalisha kwenye grass roots ili kuwe na urahisi kipindi cha uchaguzi wa 2015!! Haya tusonge mbele!!!


    11. #9
      KIROJO's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th December 2011
      Posts : 155
      Rep Power : 408
      Likes Received
      19
      Likes Given
      2

      Default Re: Chadema zama vijijini uza sera kwenye jamii watu wana kiu na chadema

      Ninaunga mkono hoja
      Mtumishi Wetu likes this.

    12. #10
      Mtumishi Wetu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Location : Arusha
      Posts : 2,857
      Rep Power : 3548
      Likes Received
      543
      Likes Given
      5186

      Default Re: Chadema zama vijijini uza sera kwenye jamii watu wana kiu na chadema

      Quote By KIROJO
      Ninaunga mkono hoja
      Katika vurugu hizi za posho za wabunge , mara fedha za rada, mara kujivua maghamba ni wakati muafaka kufanya shughuli za kujitangaza na ku posses ground !!!!Tuwe kama wacheza mpira mabeki wakisinzia hayo hesabuni ni magoli, CHADEMA wanatakiwa kufunga magoli mengi kipindi hiki, jamaa wakishutuka washindwe kusawazisha!!!!!!!!!!!!
      Ushindi kwa kwenda mbele!!!!!!!
      Reply With Quote

    13. #11
      SILENT ACtOR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2011
      Location : KANDA MAALUM!
      Posts : 551
      Rep Power : 521
      Likes Received
      110
      Likes Given
      142

      Default Re: ChADEMA zama vijijini uza sera kwenye jamii watu wana kiu na chadema

      Mtumishi unaona mbali, hongera. Chadema na wasikie tunataka kuona si tu maandamano bali pia kukua kwa chama chetu. Magazeti mengi makini yameandika kuhusu hoja hii japo chama hakitoi taarifa ni kwa kiwango gani wamelifanyia kazi.
      Mtumishi Wetu likes this.
      SUCCESS MEANS; DOING THE BEST YOU CAN WITH WHAT YOU HAVE.

    14. #12
      Mtumishi Wetu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Location : Arusha
      Posts : 2,857
      Rep Power : 3548
      Likes Received
      543
      Likes Given
      5186

      Default Re: ChADEMA zama vijijini uza sera kwenye jamii watu wana kiu na chadema

      Quote By SILENT ACtOR
      Mtumishi unaona mbali, hongera. Chadema na wasikie tunataka kuona si tu maandamano bali pia kukua kwa chama chetu. Magazeti mengi makini yameandika kuhusu hoja hii japo chama hakitoi taarifa ni kwa kiwango gani wamelifanyia kazi.
      Ahsante SILENT ACtOR kwa kuliona hilo inatakiwa chama kitoe taarifa ya kulitendea kazi isije ikawa tuna payuka tunaonekana majuha!!!! Kwa taarifa nilikwenda kijiji kimoja Kiseriani kata ya Mlangalini Arusha, kina mama Yeyo, wazee na vijana kibao wanahitaji kadi za CHADEMA, hizo zinahitajika faster kabla moto haujapoa!!!!

    15. #13
      TUNTEMEKE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2009
      Location : Mombasa
      Posts : 4,504
      Rep Power : 11337
      Likes Received
      323
      Likes Given
      236

      Default Re: CHADEMA zama vijijini uza sera kwenye jamii watu wana kiu na CHADEMA

      Kaka nia na ya chadema sio kuchukua dola bali ni kurise ruzuku.sasa wanapata ruzuku ya milion280 kutoka serikalini tayari wamesha kipata walichokua wanakitaka ndio maana sasa wameacha operation sangara ambayo ilikua inasambaza chama vijijini na sasa wanadeal na maandamano ili wagawane posho na kulipana madeni hewa.kwa sasa wameamua kugawana posho kwa kisingio kwamba wanakwenda kutoa elimu kuhusu katiba.wananchi wameichoka ccm lakini hawana kimbilio mwisho wa siku wanajikuta wako chadema,chadema wanasambaza chama kwa kutoa matamko makao makuu ndugu zangu wanachadema kuchukua nchi2015 kwa kusubili matamko ya mnyika makao makuu ni ndoto za mchana na Dk slaa kuwa rais haiwezekani maana kwa sasa hana hoja zaidi ya maandamano na kukesha viwanja vya NMC arusha?mwanachadema jenga chama mwenyewe huko uliko ukisubili wakujengee hao wachaga unapoteza mda wao wako kumaximize profit sasa wanapataprofit ndio maana Dk slaa analipwa mshahara wa milion saba na nusu kwa kuongeza ruzuku na mbowe ndio anawauzia magari chakavu chadema mfano mafuso matatu kwa milion mia tano.

    16. #14
      Ringo Edmund's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Location : MDAWI
      Posts : 3,671
      Rep Power : 1361
      Likes Received
      885
      Likes Given
      586

      Default Re: CHADEMA zama vijijini uza sera kwenye jamii watu wana kiu na CHADEMA

      heshima mbele makamanda.
      hoja imeungwa mkono na cc nzima ya chadema na kwa niaba yao nawaambia kaeni mkao wa kupokea mabadiliko.
      Mtumishi Wetu likes this.
      ​kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.

    17. #15
      Galileo Galilei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2011
      Posts : 6,278
      Rep Power : 1607
      Likes Received
      559
      Likes Given
      3

      Default Re: CHADEMA zama vijijini uza sera kwenye jamii watu wana kiu na CHADEMA

      Kwa nini msikate 10% ya 200,000 posho za wabunge wa Chadema wanaouchukuwa kila siku bungeni...hiyo ni nje ya mshahara..

      Wabunge wachangie chama chao, nani atanunua kadi vijijini!
      Last edited by Galileo Galilei; 7th December 2011 at 11:37.

    18. #16
      Mtumishi Wetu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Location : Arusha
      Posts : 2,857
      Rep Power : 3548
      Likes Received
      543
      Likes Given
      5186

      Default Re: CHADEMA zama vijijini uza sera kwenye jamii watu wana kiu na CHADEMA

      Quote By TII
      Kaka nia na ya chadema sio kuchukua dola bali ni kurise ruzuku.sasa wanapata ruzuku ya milion280 kutoka serikalini tayari wamesha kipata walichokua wanakitaka ndio maana sasa wameacha operation sangara ambayo ilikua inasambaza chama vijijini na sasa wanadeal na maandamano ili wagawane posho na kulipana madeni hewa.kwa sasa wameamua kugawana posho kwa kisingio kwamba wanakwenda kutoa elimu kuhusu katiba.wananchi wameichoka ccm lakini hawana kimbilio mwisho wa siku wanajikuta wako chadema,chadema wanasambaza chama kwa kutoa matamko makao makuu ndugu zangu wanachadema kuchukua nchi2015 kwa kusubili matamko ya mnyika makao makuu ni ndoto za mchana na Dk slaa kuwa rais haiwezekani maana kwa sasa hana hoja zaidi ya maandamano na kukesha viwanja vya NMC arusha?mwanachadema jenga chama mwenyewe huko uliko ukisubili wakujengee hao wachaga unapoteza mda wao wako kumaximize profit sasa wanapataprofit ndio maana Dk slaa analipwa mshahara wa milion saba na nusu kwa kuongeza ruzuku na mbowe ndio anawauzia magari chakavu chadema mfano mafuso matatu kwa milion mia tano.
      Hayo yoote umeyatoa wapi ndugu yangu, CHADEMA wanatumia kila mbinu kumfikia Mtanzania!!! Ila bado tuna toa ushauri wafike vijijini watumie watu woote wenye nia nzuri ya kujenga chama kusambaze sera za chama !!!! Kuwa kosoa sio mbaya maana hiyo ni changa moto ili wajisahihishe!!!! CHADEMA daima mbele kurudi nyuma mwiko!!!!!!


    19. #17
      Mtumishi Wetu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Location : Arusha
      Posts : 2,857
      Rep Power : 3548
      Likes Received
      543
      Likes Given
      5186

      Default Re: CHADEMA zama vijijini uza sera kwenye jamii watu wana kiu na CHADEMA

      Quote By Ringo Edmund
      heshima mbele makamanda.
      hoja imeungwa mkono na cc nzima ya chadema na kwa niaba yao nawaambia kaeni mkao wa kupokea mabadiliko.
      Kamanda Ringo Edmund hiyo ndiyo changa moto tuliyokuwa tunangojea kusikia toka kwenu!!!!!! Kweli watu wengi saana hasa vijana wanakiu ya kujiunga na chama makini cha kukomboa Watanzania toka mikono ya mafisadi!!!!!!!!!!!!


    20. #18
      Najijua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Location : Morogoro - Tanzania
      Posts : 896
      Rep Power : 590
      Likes Received
      124
      Likes Given
      39

      Default Re: CHADEMA zama vijijini uza sera kwenye jamii watu wana kiu na CHADEMA

      Kwani Oparesheni Sangara imeishia wapi? ile namba za kuchagia mbona hawazikumbishi na kuhamasisha tuchangie chama jamani?
      "Be the Window through which many young will see their future"

    21. #19
      Mtumishi Wetu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Location : Arusha
      Posts : 2,857
      Rep Power : 3548
      Likes Received
      543
      Likes Given
      5186

      Default Re: CHADEMA zama vijijini uza sera kwenye jamii watu wana kiu na CHADEMA

      Quote By Bruker
      Kwani Oparesheni Sangara imeishia wapi? ile namba za kuchagia mbona hawazikumbishi na kuhamasisha tuchangie chama jamani?
      Ndg Bruker kuchangia ni watu wachache wanasoma magazeti na hizi blogs zetu, lakini tunatoa ushauri wazame vijijini huko kuna watu wengi saana wana kiu ya kuwa wanacham wa CHADEMA!!!!!!!!


    22. #20
      Mtumishi Wetu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Location : Arusha
      Posts : 2,857
      Rep Power : 3548
      Likes Received
      543
      Likes Given
      5186

      Default Re: CHADEMA zama vijijini uza sera kwenye jamii watu wana kiu na CHADEMA

      Quote By Bruker
      Kwani Oparesheni Sangara imeishia wapi? ile namba za kuchagia mbona hawazikumbishi na kuhamasisha tuchangie chama jamani?
      Ndg Bruker kuchangia ni watu wachache wanasoma magazeti na hizi blogs zetu, lakini tunatoa ushauri wazame vijijini huko kuna watu wengi saana wana kiu ya kuwa wanachama wa CHADEMA!!!!!!!!

    Page 1 of 3 123 LastLast

    Similar Topics

    1. Chadema msipumbazwe na CCM vijijini hawahitaji kujua sera
      By Luteni in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 16
      Last Post: 4th September 2010, 21:41

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...